VIDEO: JAMAA ABOMOA NYUMBA YAKE KISA MADENI YA MKEWE, "BORA TUKOSE WOTE"
Жүктеу.....
Пікірлер: 244
@shabanisaleeh4541 Жыл бұрын
Makofi kaka kwako mm mwanaume mwenzako kaka ww jasili upewe ubarozi wa uvumilivu kama wanaume wengine sahizi uyo yupo kabulini yani anabahati sana uyo najua umelia sana sana sema mtangulize mungu kaka ww ni mtu wa ajabu wangapi wana kubaliana na mm bila chuki
@hamiduhamisi2371
Жыл бұрын
good comment
@rashidyally8715 Жыл бұрын
Huyo angekua mke wangu nyumba sivunji na hao wanaopiga cm ningewaambia mkamateni mliomkopesha mpumbavu huyo
@KautharMohamed-kj5zc
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣hatar sana
@mariasafari1004
Жыл бұрын
Ningeshamfukuza mm bila huruma yaani
@happynesbaemuhappynes8813
Жыл бұрын
Huyu kaka kavunja nyumba kwa kuhofia usalama wake. No ukweli mwanamke mwenzetu kakosea sana
@teedullah5708
Жыл бұрын
Kabisa hasara kweli sisi wanawake
@melchiadmbeho8040
Жыл бұрын
Tuishi nao kwa akili.
@zayumar2955 Жыл бұрын
Daaah jmn wanawake tunamatatizo sana baadhi yetu wallah😢😢 Mungu awape wanawake sahihi wanaume wenye moyo mzuri Amiin Yarrab 🤲
@abedysteven4930
Жыл бұрын
Ubarikiwe dada!
@helenakay2839
Жыл бұрын
Kabisaa yaani
@zayumar2955
Жыл бұрын
@@abedysteven4930 amiin yarrab Kwa sote pia 🤲
@zayumar2955
Жыл бұрын
@@helenakay2839 inasikitisha kwakweli
@kudraabdallah
Жыл бұрын
Zey umar nmekupendaje aisee
@khamisrashid9645 Жыл бұрын
Hapo sasa ndio umuhimu wa kurisisha mali kwa mama🥰🥰🥰
@tato8979
Жыл бұрын
😂😂
@lulually5209
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kiboko yao mama hakimi peke yake
@kandiboy2777
Жыл бұрын
Mama nae ni mke wa baba..anamatatizo pia kwa baba
@rashidyally8715 Жыл бұрын
Mzee hapo huna mke Hilo ni kahaba madeni ndio yanafanya ajiuze Hilo sio jitu la kuishi nalo achana nalo kabisa hilo
@shameemrashid5219 Жыл бұрын
Dahhh wanawake tuna nini lakini😢😢😢😢😢
@maggyvan89923 ай бұрын
Wewe kaka unamoyo wa kipekee🙌
@asalkhan9168 Жыл бұрын
Pole brother Yaani muda wote na marukio yote ayo analala nje bado mke unae tu ndani 😢😢😭😭
@onespour7189
Жыл бұрын
Sungura kamchola sungura🤣
@shakilamasoud2983 Жыл бұрын
Umefanya maamuzi ya busara sana. Ungeuzwa ndani ya nyumba kaka.
@farajasallah2338 Жыл бұрын
ila Kuna wanaume wanaonewa dunia hii acha kabisa Mungu avisaidie vizazi vyetu
@daudimauya874 Жыл бұрын
Kazi nzuri mwamba 😝😝 rafiki wa kweri ni wazazi tu na sio mwanamke 🤝🤝 kazi nzuri kaka. Na ndio mana wanaaake saivi tunawaogopa
@ameirzapy1318 Жыл бұрын
Kumuelewa huyuuu unahitajika uwe na akili kidg, safi maisha kuanza sio hasara ila usalama muhimu zaidi
@joycesanga4378
Жыл бұрын
Bora uliyebomoa nyumba kuliko wanaofanya matukio ya kuuwa
@omnsultan383 Жыл бұрын
Wanaume wana pitia changa moto nyingi sana
@jofreymsigwa85
Жыл бұрын
Sana tu
@pendo8082 Жыл бұрын
Kuna wanawake wanajiamulia maamuzi wenyewe bila kumshirikisha waume zao kwanza hii mikopo na vikoba wakati mwingine hurudisha maendeleo nyuma
@asteriashios1852 Жыл бұрын
Usingebomoa ungewaambia wamkamate mwenyewe yaani huyo dada kichaa kabisa pole sana
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Subhannallah, mimi sithubutu ningempata talaka tu
@hussenhemed1050 Жыл бұрын
Bora alivyobomoa kuliko mtu kuja kuchukua nyumba
@mbwanarajab4756 Жыл бұрын
Mtakumbuka tu kauli hii OENI MKE MMOJA , WAWILI, WATATU AU WANNE ILA KM MNAOGOPA HAMTAFANYA UADILIFU BASI OENI MMOJA TU.. Yaani leo wanaume wengi wanakufa na kuteseka kwa ajili ya wake zao na haku chombo chochote cha kuwatetea wanaume hawa.. Wanawake wamepewa fursa ya kukopa na ndio maisha ndan yamezidi vituko
@daudmadaha4168 Жыл бұрын
Maamuzi mazuri sana tofauti na wanaochukua maamuzi ya kuua
@jofreymsigwa85
Жыл бұрын
Kweli ndugu
@AshaMakame-zg9xi
Жыл бұрын
Swadakta
@rukiauwonde7062 Жыл бұрын
Bora ulivyovunja hiyo nyumba kuliko kuuwa
@hamiduhamisi2371
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mana mh😳😳😳😳😳
@achouraachoura5763 Жыл бұрын
Uyo mwanamke kamkosea Sana uyu Kaka wa watu
@jumasaidseif2924 Жыл бұрын
Nilitaka nijue hii nchi kuna haki za wanawaketu hamnaga haki za wanaume
@larryking623 Жыл бұрын
Sometimes word's can't say it all.... Man has been through alot.....
@user-wk1ix1gm1p Жыл бұрын
Mimi ningekuwa huyu kaka ningeuza hiyo nyumba Na ningeenda kupanga Na mwanangu nimtozame atakavyohaha , yaan wanawake wengine , anapata mume anajielewa unajitoa ufahamu , yaan huyu dada akili hana , pole sana kaka lakin najua serekali ifanye maamuzi hapo
@giftibrahim Жыл бұрын
Umeboa Watauza ardhi bora ungeuza hela ukaweka benk but pole
@malila4582 Жыл бұрын
Mh! Pole sana kaka
@alimohammedomar3412 Жыл бұрын
Huyo dada hadaiwi chochote lakini aliamua kupanga njama za kutaka kudhulumu hiyo nyumba kwa kushirikiana na hao waliosema wanamdai.
@rehematawalani733 Жыл бұрын
Pole Sana kakangu
@marychris8224 Жыл бұрын
Safi Sana sisi wanawake tumezidi😎
@komandowainjiliyayesu Жыл бұрын
Pole sana jamn wanawake Hawa
@magrethmbuma30456 ай бұрын
Baba wa watu moyo unamuuma ila ndio hivyo tena hana namna😢
@magrethmbuma30456 ай бұрын
Kwa maelezo ya huyu baba anakagubu fulani hiivii😅😅😅😅ila pole yake kwa kupata mke kizaazaa
@michaelsamson9663 Жыл бұрын
Msipo olewa ooh atuolewi mkiolewa mnanza usumbufu na umalaya
@TeophilBuilding Жыл бұрын
Kwa wenye upeo mdog watabwata ila kwa sis tuloyapitia yanayofanania kabisa na haya kwaamri yangu natamani wanawake wote dunian wauwawe jamani hawa Ni mashetani wakubwa hawanaga akili wanaum tujali watot wetu ila hizi mbwa natamani kuchinja kbs nigawanye viungo
@tato8979 Жыл бұрын
Pole sana kaka 😢
@sophiamirambo9656 Жыл бұрын
Duh,, pole sana kaka ila usingebomoa ungesaka ushauri na kutuliza akili halafu ungepauza hapo uhame zako abaki na maisha yake unabomoa na kiwanja kimebaki ndio nini ungepauza tu hapo ungehamia kwengine duh,,!! Pole sana mshkaji unapita
@DainesMwapela-mr4wc Жыл бұрын
Duh hao ndo wavamiaji kwenye ndoa Sasa mke jaman Bado wamgeuka mume je ungekua mchepuko nahisi ungemuweka rehani huyo baba😅😅😅
@nellyreani893 Жыл бұрын
Wanawake wengine chefu kwakweli sa unachukua aje pesa bila kumushirikisha Mmeo jamani kazi ipo apambane alizilipe mwenyewe nyoo tamaa ya pesa na auna kazi za maana unayo fanya uho ni uhuni
@musaogira8375 Жыл бұрын
jamaa yupo sawa sana
@josephineminanisalma3792 Жыл бұрын
Duh🙆🤔
@fauzibinzoo6563 Жыл бұрын
Hakimi kokote alipo mu gu akubariki maana wewe ndio mfano wa kuigwa na wanaume wote duniani
@philemornmutta1597 Жыл бұрын
Pole sana ndg yangu hakuna mwanamke hapo kaka isitoshe ww ni mvumilivu sana
@elidiustudoy2640 Жыл бұрын
☹️☹️ Hakimi njo uku uone😭😭😭
@mwajumasaidi2041
Жыл бұрын
😂😂😂
@asianassoro2567
Жыл бұрын
Hakim hana baya
@felisterandrew8741 Жыл бұрын
Mungu atusaidie
@masturasudi7394 Жыл бұрын
Pole kaka
@ElizabethFesto-fv2ku Жыл бұрын
Mungu atusaidie wanawake
@sistertrashid2488 Жыл бұрын
Bora tu ulivyobomoa mwaya ndio maana wanaume wanakufa mapema maumivu mengi Sana katika mioyo yenu mungu awanusuru wanaume wote japo mnatupigaga matukio lakini poleni sana
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
Asante sana Sister T,mnatuumiza sana sometimes.
@michaelsamson9663
Жыл бұрын
Minkiona mtu ajielewi namwachia Mali nasepa
@jay-nyeye1900 Жыл бұрын
Safi Sana mwamba umefanya maamuzi mazuri Sana hata ningekuwa Mimi ningefanya hivyo 🙌🏽
@heavenlymusicproduction4360
Жыл бұрын
Hahahaa
@user-nn5sq8ol4g Жыл бұрын
Mke ni tamaa
@CarolneJohn-nr2nj8 ай бұрын
Mimi ni mwanamke lakin sjawah kuona mwanamke mjinga kama huyu alipe kama hawez kulipa afungwe tyu
@user-qs7lj7kj1k Жыл бұрын
Jamani pole sana bro
@manilabonalumanula9210 Жыл бұрын
Huyo mama ni "mchepuo" hajakupenda kaka yangu.. Hata vikao suluhisho visikushawishi kurudiana naye, atakuuwa kwa kushirikiana na hao " michepuko" yake
@aminatanzanya7475 Жыл бұрын
Kuna wanawke wanapt bahat ila hawajitambui angekuw mwanaume mwingine tungesikia mengine ila huy wala
@aisharamadhani1948 Жыл бұрын
Heee,,, subhanallah kuna wanawake hawajitambui hata kidogo ni akili zake au zakushikiwa duhh kaka ungempeleka police kuliko kubomoa nyumba
@jofreymsigwa85
Жыл бұрын
Polis wanawake wanasikilizwa kuliko wanaume tena hatari
@agnerapius7244 Жыл бұрын
Ukiona jina said tu ni majanga sasa ndo nini😮
@justnjustn6168 Жыл бұрын
Uyo polisi sio pwhh mashaalah
@musampanda3643
Жыл бұрын
Weeeee!
@stevenlugojeremia2323 Жыл бұрын
Asilimia Kubwa ya wanawake wa kitanzania ndio huwa ni chanzo cha kurudisha maendeleo nyuma kwa waume zao na Kizazi chake...Na huwa wanapenda kukurupuka kwa Tamaa ya pesa
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Mimi nawaogopa sana aisee bora nioe baniani mweusi kuliko mbongo
@zabibubashiri3034 Жыл бұрын
Msilaum Mke pengine walikubaliana skilizeni na upande wa pili
@nurdinkisaria9476 Жыл бұрын
Check and balance
@salimuhassani7030 Жыл бұрын
Nimekukubali bro
@twilumbakabelege342611 ай бұрын
Huyu mwanamke anajielewa kwelii
@gabrielzakaria2810 Жыл бұрын
We ni mpumbavu unabomoa nyumba
@lulually5209 Жыл бұрын
Wapi mama hakimi 😂😂😂😂
@japhetizo4613 Жыл бұрын
Da polee xana
@vero57 Жыл бұрын
Sasa hizo pesa kafanyia nini huyo mama, mbona hatare!! Pole sana kaka
@issazalala4907 Жыл бұрын
Yani wake zetu daah alafu unaweza kuta izo hela ana faidika mchepuko 😂
@salmahoperi9783 Жыл бұрын
Wanawake mkopo hatali pole kaka
@salimkassim6020 Жыл бұрын
Apo kwenye kuishi na mwanamke bila ndoa,,,, ndo shida ilipoanzia.
@hamidmweusiii35 Жыл бұрын
Hawa wanawake wengne kenge kwel hawafai ata kuolewa kbsa some time Bora ata usioe kbsa Bora ununue Malaya tu ulale nae ili upunguze upwiru kulikon kuoa
@rashidyally8715
Жыл бұрын
😄😄😄😄
@pendo8082
Жыл бұрын
Upwiru😂😂
@firdausqutty2067
Жыл бұрын
Upwiru wa king kiba au🙄
@mrsinia3064 Жыл бұрын
Huyo mke mjanja sana....umefany la maana kuibomoa
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Eeh nyumban zuri jamn 🙄🙄😳
@browndebora2195 Жыл бұрын
pole Sana kaka ila wanawake
@omanmct135 Жыл бұрын
Hatari kwweli
@zainabubalama8869 Жыл бұрын
Mkopo kausha damu 🤣🤣
@shedrackshaibu1986 Жыл бұрын
angekutana na mie mhehe nishamnyonga kitambo sana
@privamushi2512 Жыл бұрын
Dah sema nyie wanawake anatuchanganyaga xna
@ayoublupande3007 Жыл бұрын
Hahaha 😂 nimempenda said hahaha 😂
@Ayuminchasi4 ай бұрын
Huyo mke ni hatariiii kwa afya yako kaka
@ayshamahariq6665 Жыл бұрын
pole kakaangu 😭😭😭😭
@ayoublupande3007 Жыл бұрын
Wanawake wanakera San wakat mwingine Sasa unakopa bila kumwambia mmeo kweli
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂kama mbwai mbai tu
@paultz1731 Жыл бұрын
Safi Sana
@adammjomba5814 Жыл бұрын
Bora alivyobomoa hiyo nyumba kila mmoja aendezake .hapo jamaa ameondoa mzizi Wa fitina. Dawa ya moto ni moto..sasa huyo jamaa atie nia .ZAIDI ajenge nyumba nyingine aoe mke mpya kabisa .
@abdallahkassim318 Жыл бұрын
Huo ni mpango na mchepuko wake
@josephinabakhita Жыл бұрын
We nawe kilaza tu,
@jacksonhaggai6771 Жыл бұрын
dhu pole sana Ina umaa
@fatiajuma4685 Жыл бұрын
Huyo mdada ako na mume mwingine lakin malipo ni hap hapa dunian
@udizungwahimalaya5213 Жыл бұрын
Sema uyu jamaa anaongea kama kameza flash 😂😂😂
@mkumbozakaria7266
Жыл бұрын
Hata baba yko anaongeaga hvy hvyo😅😅😅
@sophiamirambo9656 Жыл бұрын
Mahakimu wawe wanatumia busara na hekima sasa hapo wamempendelea mwanamke mpumbavu 😏😏😏
@stevenhipolity6198 Жыл бұрын
Daahh bora kuishi na sabuni tyu
@jazeerajuma5014 Жыл бұрын
Uza iyo sehemu ukanunue kwingine kaka
@chifuthedoni8889 Жыл бұрын
Wanawake wanajifyatuaga na kujifanya miamba ya rusaka! Lazima mwanaume uchukue maamuzi yatakayomfanya ajute! Na maamuzi ndo haya sasa ambayo hakutegemea!
@user-en6cd4zn1t Жыл бұрын
Jamaaan
@priscamsuya-xd4tu Жыл бұрын
Hiyo ni kausha damu riba imeongezeka
@goodlucknjau77 Жыл бұрын
Broo huyo sio mke atakuuwa mkimbize haraka sana
@personpeter2221 Жыл бұрын
Hyu jamaa anaharisa angeweza kumuua hyo dem bora kaamua kumaliza hasrazake kuvunja nymba yake
@mwajumakweli Жыл бұрын
Jamani pole Sana ! Wana wake tuna feli kweli
@benderarulenge2477 Жыл бұрын
Ningekuwa Mimi harudi kwangu Tena,
@sangaezra6917 Жыл бұрын
nibola abomowe tu siyo mbaya kuliko akopee hela nyumba ambayo mm na hangaikiya
@sabinaonline6575 Жыл бұрын
Hatujasikia upande wa pili mke wake anasemaje
@dullodullodullo686
Жыл бұрын
Mwanamke muongo hatajitetea mwanaume adi kufikia hatua iyo ujue niukweli mtupu kachoka
Пікірлер: 244
Makofi kaka kwako mm mwanaume mwenzako kaka ww jasili upewe ubarozi wa uvumilivu kama wanaume wengine sahizi uyo yupo kabulini yani anabahati sana uyo najua umelia sana sana sema mtangulize mungu kaka ww ni mtu wa ajabu wangapi wana kubaliana na mm bila chuki
@hamiduhamisi2371
Жыл бұрын
good comment
Huyo angekua mke wangu nyumba sivunji na hao wanaopiga cm ningewaambia mkamateni mliomkopesha mpumbavu huyo
@KautharMohamed-kj5zc
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣hatar sana
@mariasafari1004
Жыл бұрын
Ningeshamfukuza mm bila huruma yaani
@happynesbaemuhappynes8813
Жыл бұрын
Huyu kaka kavunja nyumba kwa kuhofia usalama wake. No ukweli mwanamke mwenzetu kakosea sana
@teedullah5708
Жыл бұрын
Kabisa hasara kweli sisi wanawake
@melchiadmbeho8040
Жыл бұрын
Tuishi nao kwa akili.
Daaah jmn wanawake tunamatatizo sana baadhi yetu wallah😢😢 Mungu awape wanawake sahihi wanaume wenye moyo mzuri Amiin Yarrab 🤲
@abedysteven4930
Жыл бұрын
Ubarikiwe dada!
@helenakay2839
Жыл бұрын
Kabisaa yaani
@zayumar2955
Жыл бұрын
@@abedysteven4930 amiin yarrab Kwa sote pia 🤲
@zayumar2955
Жыл бұрын
@@helenakay2839 inasikitisha kwakweli
@kudraabdallah
Жыл бұрын
Zey umar nmekupendaje aisee
Hapo sasa ndio umuhimu wa kurisisha mali kwa mama🥰🥰🥰
@tato8979
Жыл бұрын
😂😂
@lulually5209
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 kiboko yao mama hakimi peke yake
@kandiboy2777
Жыл бұрын
Mama nae ni mke wa baba..anamatatizo pia kwa baba
Mzee hapo huna mke Hilo ni kahaba madeni ndio yanafanya ajiuze Hilo sio jitu la kuishi nalo achana nalo kabisa hilo
Dahhh wanawake tuna nini lakini😢😢😢😢😢
Wewe kaka unamoyo wa kipekee🙌
Pole brother Yaani muda wote na marukio yote ayo analala nje bado mke unae tu ndani 😢😢😭😭
@onespour7189
Жыл бұрын
Sungura kamchola sungura🤣
Umefanya maamuzi ya busara sana. Ungeuzwa ndani ya nyumba kaka.
ila Kuna wanaume wanaonewa dunia hii acha kabisa Mungu avisaidie vizazi vyetu
Kazi nzuri mwamba 😝😝 rafiki wa kweri ni wazazi tu na sio mwanamke 🤝🤝 kazi nzuri kaka. Na ndio mana wanaaake saivi tunawaogopa
Kumuelewa huyuuu unahitajika uwe na akili kidg, safi maisha kuanza sio hasara ila usalama muhimu zaidi
@joycesanga4378
Жыл бұрын
Bora uliyebomoa nyumba kuliko wanaofanya matukio ya kuuwa
Wanaume wana pitia changa moto nyingi sana
@jofreymsigwa85
Жыл бұрын
Sana tu
Kuna wanawake wanajiamulia maamuzi wenyewe bila kumshirikisha waume zao kwanza hii mikopo na vikoba wakati mwingine hurudisha maendeleo nyuma
Usingebomoa ungewaambia wamkamate mwenyewe yaani huyo dada kichaa kabisa pole sana
Subhannallah, mimi sithubutu ningempata talaka tu
Bora alivyobomoa kuliko mtu kuja kuchukua nyumba
Mtakumbuka tu kauli hii OENI MKE MMOJA , WAWILI, WATATU AU WANNE ILA KM MNAOGOPA HAMTAFANYA UADILIFU BASI OENI MMOJA TU.. Yaani leo wanaume wengi wanakufa na kuteseka kwa ajili ya wake zao na haku chombo chochote cha kuwatetea wanaume hawa.. Wanawake wamepewa fursa ya kukopa na ndio maisha ndan yamezidi vituko
Maamuzi mazuri sana tofauti na wanaochukua maamuzi ya kuua
@jofreymsigwa85
Жыл бұрын
Kweli ndugu
@AshaMakame-zg9xi
Жыл бұрын
Swadakta
Bora ulivyovunja hiyo nyumba kuliko kuuwa
@hamiduhamisi2371
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mana mh😳😳😳😳😳
Uyo mwanamke kamkosea Sana uyu Kaka wa watu
Nilitaka nijue hii nchi kuna haki za wanawaketu hamnaga haki za wanaume
Sometimes word's can't say it all.... Man has been through alot.....
Mimi ningekuwa huyu kaka ningeuza hiyo nyumba Na ningeenda kupanga Na mwanangu nimtozame atakavyohaha , yaan wanawake wengine , anapata mume anajielewa unajitoa ufahamu , yaan huyu dada akili hana , pole sana kaka lakin najua serekali ifanye maamuzi hapo
Umeboa Watauza ardhi bora ungeuza hela ukaweka benk but pole
Mh! Pole sana kaka
Huyo dada hadaiwi chochote lakini aliamua kupanga njama za kutaka kudhulumu hiyo nyumba kwa kushirikiana na hao waliosema wanamdai.
Pole Sana kakangu
Safi Sana sisi wanawake tumezidi😎
Pole sana jamn wanawake Hawa
Baba wa watu moyo unamuuma ila ndio hivyo tena hana namna😢
Kwa maelezo ya huyu baba anakagubu fulani hiivii😅😅😅😅ila pole yake kwa kupata mke kizaazaa
Msipo olewa ooh atuolewi mkiolewa mnanza usumbufu na umalaya
Kwa wenye upeo mdog watabwata ila kwa sis tuloyapitia yanayofanania kabisa na haya kwaamri yangu natamani wanawake wote dunian wauwawe jamani hawa Ni mashetani wakubwa hawanaga akili wanaum tujali watot wetu ila hizi mbwa natamani kuchinja kbs nigawanye viungo
Pole sana kaka 😢
Duh,, pole sana kaka ila usingebomoa ungesaka ushauri na kutuliza akili halafu ungepauza hapo uhame zako abaki na maisha yake unabomoa na kiwanja kimebaki ndio nini ungepauza tu hapo ungehamia kwengine duh,,!! Pole sana mshkaji unapita
Duh hao ndo wavamiaji kwenye ndoa Sasa mke jaman Bado wamgeuka mume je ungekua mchepuko nahisi ungemuweka rehani huyo baba😅😅😅
Wanawake wengine chefu kwakweli sa unachukua aje pesa bila kumushirikisha Mmeo jamani kazi ipo apambane alizilipe mwenyewe nyoo tamaa ya pesa na auna kazi za maana unayo fanya uho ni uhuni
jamaa yupo sawa sana
Duh🙆🤔
Hakimi kokote alipo mu gu akubariki maana wewe ndio mfano wa kuigwa na wanaume wote duniani
Pole sana ndg yangu hakuna mwanamke hapo kaka isitoshe ww ni mvumilivu sana
☹️☹️ Hakimi njo uku uone😭😭😭
@mwajumasaidi2041
Жыл бұрын
😂😂😂
@asianassoro2567
Жыл бұрын
Hakim hana baya
Mungu atusaidie
Pole kaka
Mungu atusaidie wanawake
Bora tu ulivyobomoa mwaya ndio maana wanaume wanakufa mapema maumivu mengi Sana katika mioyo yenu mungu awanusuru wanaume wote japo mnatupigaga matukio lakini poleni sana
@detlantamarooned1809
Жыл бұрын
Asante sana Sister T,mnatuumiza sana sometimes.
@michaelsamson9663
Жыл бұрын
Minkiona mtu ajielewi namwachia Mali nasepa
Safi Sana mwamba umefanya maamuzi mazuri Sana hata ningekuwa Mimi ningefanya hivyo 🙌🏽
@heavenlymusicproduction4360
Жыл бұрын
Hahahaa
Mke ni tamaa
Mimi ni mwanamke lakin sjawah kuona mwanamke mjinga kama huyu alipe kama hawez kulipa afungwe tyu
Jamani pole sana bro
Huyo mama ni "mchepuo" hajakupenda kaka yangu.. Hata vikao suluhisho visikushawishi kurudiana naye, atakuuwa kwa kushirikiana na hao " michepuko" yake
Kuna wanawke wanapt bahat ila hawajitambui angekuw mwanaume mwingine tungesikia mengine ila huy wala
Heee,,, subhanallah kuna wanawake hawajitambui hata kidogo ni akili zake au zakushikiwa duhh kaka ungempeleka police kuliko kubomoa nyumba
@jofreymsigwa85
Жыл бұрын
Polis wanawake wanasikilizwa kuliko wanaume tena hatari
Ukiona jina said tu ni majanga sasa ndo nini😮
Uyo polisi sio pwhh mashaalah
@musampanda3643
Жыл бұрын
Weeeee!
Asilimia Kubwa ya wanawake wa kitanzania ndio huwa ni chanzo cha kurudisha maendeleo nyuma kwa waume zao na Kizazi chake...Na huwa wanapenda kukurupuka kwa Tamaa ya pesa
@Mpakauseme
Жыл бұрын
Mimi nawaogopa sana aisee bora nioe baniani mweusi kuliko mbongo
Msilaum Mke pengine walikubaliana skilizeni na upande wa pili
Check and balance
Nimekukubali bro
Huyu mwanamke anajielewa kwelii
We ni mpumbavu unabomoa nyumba
Wapi mama hakimi 😂😂😂😂
Da polee xana
Sasa hizo pesa kafanyia nini huyo mama, mbona hatare!! Pole sana kaka
Yani wake zetu daah alafu unaweza kuta izo hela ana faidika mchepuko 😂
Wanawake mkopo hatali pole kaka
Apo kwenye kuishi na mwanamke bila ndoa,,,, ndo shida ilipoanzia.
Hawa wanawake wengne kenge kwel hawafai ata kuolewa kbsa some time Bora ata usioe kbsa Bora ununue Malaya tu ulale nae ili upunguze upwiru kulikon kuoa
@rashidyally8715
Жыл бұрын
😄😄😄😄
@pendo8082
Жыл бұрын
Upwiru😂😂
@firdausqutty2067
Жыл бұрын
Upwiru wa king kiba au🙄
Huyo mke mjanja sana....umefany la maana kuibomoa
Eeh nyumban zuri jamn 🙄🙄😳
pole Sana kaka ila wanawake
Hatari kwweli
Mkopo kausha damu 🤣🤣
angekutana na mie mhehe nishamnyonga kitambo sana
Dah sema nyie wanawake anatuchanganyaga xna
Hahaha 😂 nimempenda said hahaha 😂
Huyo mke ni hatariiii kwa afya yako kaka
pole kakaangu 😭😭😭😭
Wanawake wanakera San wakat mwingine Sasa unakopa bila kumwambia mmeo kweli
😂😂😂😂😂😂😂kama mbwai mbai tu
Safi Sana
Bora alivyobomoa hiyo nyumba kila mmoja aendezake .hapo jamaa ameondoa mzizi Wa fitina. Dawa ya moto ni moto..sasa huyo jamaa atie nia .ZAIDI ajenge nyumba nyingine aoe mke mpya kabisa .
Huo ni mpango na mchepuko wake
We nawe kilaza tu,
dhu pole sana Ina umaa
Huyo mdada ako na mume mwingine lakin malipo ni hap hapa dunian
Sema uyu jamaa anaongea kama kameza flash 😂😂😂
@mkumbozakaria7266
Жыл бұрын
Hata baba yko anaongeaga hvy hvyo😅😅😅
Mahakimu wawe wanatumia busara na hekima sasa hapo wamempendelea mwanamke mpumbavu 😏😏😏
Daahh bora kuishi na sabuni tyu
Uza iyo sehemu ukanunue kwingine kaka
Wanawake wanajifyatuaga na kujifanya miamba ya rusaka! Lazima mwanaume uchukue maamuzi yatakayomfanya ajute! Na maamuzi ndo haya sasa ambayo hakutegemea!
Jamaaan
Hiyo ni kausha damu riba imeongezeka
Broo huyo sio mke atakuuwa mkimbize haraka sana
Hyu jamaa anaharisa angeweza kumuua hyo dem bora kaamua kumaliza hasrazake kuvunja nymba yake
Jamani pole Sana ! Wana wake tuna feli kweli
Ningekuwa Mimi harudi kwangu Tena,
nibola abomowe tu siyo mbaya kuliko akopee hela nyumba ambayo mm na hangaikiya
Hatujasikia upande wa pili mke wake anasemaje
@dullodullodullo686
Жыл бұрын
Mwanamke muongo hatajitetea mwanaume adi kufikia hatua iyo ujue niukweli mtupu kachoka