VIDEO: JAMAA ABOMOA NYUMBA YAKE KISA MADENI YA MKEWE, "BORA TUKOSE WOTE"

Пікірлер: 244

  • @shabanisaleeh4541
    @shabanisaleeh4541 Жыл бұрын

    Makofi kaka kwako mm mwanaume mwenzako kaka ww jasili upewe ubarozi wa uvumilivu kama wanaume wengine sahizi uyo yupo kabulini yani anabahati sana uyo najua umelia sana sana sema mtangulize mungu kaka ww ni mtu wa ajabu wangapi wana kubaliana na mm bila chuki

  • @hamiduhamisi2371

    @hamiduhamisi2371

    Жыл бұрын

    good comment

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Жыл бұрын

    Huyo angekua mke wangu nyumba sivunji na hao wanaopiga cm ningewaambia mkamateni mliomkopesha mpumbavu huyo

  • @KautharMohamed-kj5zc

    @KautharMohamed-kj5zc

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣hatar sana

  • @mariasafari1004

    @mariasafari1004

    Жыл бұрын

    Ningeshamfukuza mm bila huruma yaani

  • @happynesbaemuhappynes8813

    @happynesbaemuhappynes8813

    Жыл бұрын

    Huyu kaka kavunja nyumba kwa kuhofia usalama wake. No ukweli mwanamke mwenzetu kakosea sana

  • @teedullah5708

    @teedullah5708

    Жыл бұрын

    Kabisa hasara kweli sisi wanawake

  • @melchiadmbeho8040

    @melchiadmbeho8040

    Жыл бұрын

    Tuishi nao kwa akili.

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Жыл бұрын

    Daaah jmn wanawake tunamatatizo sana baadhi yetu wallah😢😢 Mungu awape wanawake sahihi wanaume wenye moyo mzuri Amiin Yarrab 🤲

  • @abedysteven4930

    @abedysteven4930

    Жыл бұрын

    Ubarikiwe dada!

  • @helenakay2839

    @helenakay2839

    Жыл бұрын

    Kabisaa yaani

  • @zayumar2955

    @zayumar2955

    Жыл бұрын

    @@abedysteven4930 amiin yarrab Kwa sote pia 🤲

  • @zayumar2955

    @zayumar2955

    Жыл бұрын

    @@helenakay2839 inasikitisha kwakweli

  • @kudraabdallah

    @kudraabdallah

    Жыл бұрын

    Zey umar nmekupendaje aisee

  • @khamisrashid9645
    @khamisrashid9645 Жыл бұрын

    Hapo sasa ndio umuhimu wa kurisisha mali kwa mama🥰🥰🥰

  • @tato8979

    @tato8979

    Жыл бұрын

    😂😂

  • @lulually5209

    @lulually5209

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 kiboko yao mama hakimi peke yake

  • @kandiboy2777

    @kandiboy2777

    Жыл бұрын

    Mama nae ni mke wa baba..anamatatizo pia kwa baba

  • @rashidyally8715
    @rashidyally8715 Жыл бұрын

    Mzee hapo huna mke Hilo ni kahaba madeni ndio yanafanya ajiuze Hilo sio jitu la kuishi nalo achana nalo kabisa hilo

  • @shameemrashid5219
    @shameemrashid5219 Жыл бұрын

    Dahhh wanawake tuna nini lakini😢😢😢😢😢

  • @maggyvan8992
    @maggyvan89923 ай бұрын

    Wewe kaka unamoyo wa kipekee🙌

  • @asalkhan9168
    @asalkhan9168 Жыл бұрын

    Pole brother Yaani muda wote na marukio yote ayo analala nje bado mke unae tu ndani 😢😢😭😭

  • @onespour7189

    @onespour7189

    Жыл бұрын

    Sungura kamchola sungura🤣

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Жыл бұрын

    Umefanya maamuzi ya busara sana. Ungeuzwa ndani ya nyumba kaka.

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 Жыл бұрын

    ila Kuna wanaume wanaonewa dunia hii acha kabisa Mungu avisaidie vizazi vyetu

  • @daudimauya874
    @daudimauya874 Жыл бұрын

    Kazi nzuri mwamba 😝😝 rafiki wa kweri ni wazazi tu na sio mwanamke 🤝🤝 kazi nzuri kaka. Na ndio mana wanaaake saivi tunawaogopa

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 Жыл бұрын

    Kumuelewa huyuuu unahitajika uwe na akili kidg, safi maisha kuanza sio hasara ila usalama muhimu zaidi

  • @joycesanga4378

    @joycesanga4378

    Жыл бұрын

    Bora uliyebomoa nyumba kuliko wanaofanya matukio ya kuuwa

  • @omnsultan383
    @omnsultan383 Жыл бұрын

    Wanaume wana pitia changa moto nyingi sana

  • @jofreymsigwa85

    @jofreymsigwa85

    Жыл бұрын

    Sana tu

  • @pendo8082
    @pendo8082 Жыл бұрын

    Kuna wanawake wanajiamulia maamuzi wenyewe bila kumshirikisha waume zao kwanza hii mikopo na vikoba wakati mwingine hurudisha maendeleo nyuma

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 Жыл бұрын

    Usingebomoa ungewaambia wamkamate mwenyewe yaani huyo dada kichaa kabisa pole sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын

    Subhannallah, mimi sithubutu ningempata talaka tu

  • @hussenhemed1050
    @hussenhemed1050 Жыл бұрын

    Bora alivyobomoa kuliko mtu kuja kuchukua nyumba

  • @mbwanarajab4756
    @mbwanarajab4756 Жыл бұрын

    Mtakumbuka tu kauli hii OENI MKE MMOJA , WAWILI, WATATU AU WANNE ILA KM MNAOGOPA HAMTAFANYA UADILIFU BASI OENI MMOJA TU.. Yaani leo wanaume wengi wanakufa na kuteseka kwa ajili ya wake zao na haku chombo chochote cha kuwatetea wanaume hawa.. Wanawake wamepewa fursa ya kukopa na ndio maisha ndan yamezidi vituko

  • @daudmadaha4168
    @daudmadaha4168 Жыл бұрын

    Maamuzi mazuri sana tofauti na wanaochukua maamuzi ya kuua

  • @jofreymsigwa85

    @jofreymsigwa85

    Жыл бұрын

    Kweli ndugu

  • @AshaMakame-zg9xi

    @AshaMakame-zg9xi

    Жыл бұрын

    Swadakta

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 Жыл бұрын

    Bora ulivyovunja hiyo nyumba kuliko kuuwa

  • @hamiduhamisi2371

    @hamiduhamisi2371

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣mana mh😳😳😳😳😳

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Жыл бұрын

    Uyo mwanamke kamkosea Sana uyu Kaka wa watu

  • @jumasaidseif2924
    @jumasaidseif2924 Жыл бұрын

    Nilitaka nijue hii nchi kuna haki za wanawaketu hamnaga haki za wanaume

  • @larryking623
    @larryking623 Жыл бұрын

    Sometimes word's can't say it all.... Man has been through alot.....

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Жыл бұрын

    Mimi ningekuwa huyu kaka ningeuza hiyo nyumba Na ningeenda kupanga Na mwanangu nimtozame atakavyohaha , yaan wanawake wengine , anapata mume anajielewa unajitoa ufahamu , yaan huyu dada akili hana , pole sana kaka lakin najua serekali ifanye maamuzi hapo

  • @giftibrahim
    @giftibrahim Жыл бұрын

    Umeboa Watauza ardhi bora ungeuza hela ukaweka benk but pole

  • @malila4582
    @malila4582 Жыл бұрын

    Mh! Pole sana kaka

  • @alimohammedomar3412
    @alimohammedomar3412 Жыл бұрын

    Huyo dada hadaiwi chochote lakini aliamua kupanga njama za kutaka kudhulumu hiyo nyumba kwa kushirikiana na hao waliosema wanamdai.

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Жыл бұрын

    Pole Sana kakangu

  • @marychris8224
    @marychris8224 Жыл бұрын

    Safi Sana sisi wanawake tumezidi😎

  • @komandowainjiliyayesu
    @komandowainjiliyayesu Жыл бұрын

    Pole sana jamn wanawake Hawa

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma30456 ай бұрын

    Baba wa watu moyo unamuuma ila ndio hivyo tena hana namna😢

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma30456 ай бұрын

    Kwa maelezo ya huyu baba anakagubu fulani hiivii😅😅😅😅ila pole yake kwa kupata mke kizaazaa

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Жыл бұрын

    Msipo olewa ooh atuolewi mkiolewa mnanza usumbufu na umalaya

  • @TeophilBuilding
    @TeophilBuilding Жыл бұрын

    Kwa wenye upeo mdog watabwata ila kwa sis tuloyapitia yanayofanania kabisa na haya kwaamri yangu natamani wanawake wote dunian wauwawe jamani hawa Ni mashetani wakubwa hawanaga akili wanaum tujali watot wetu ila hizi mbwa natamani kuchinja kbs nigawanye viungo

  • @tato8979
    @tato8979 Жыл бұрын

    Pole sana kaka 😢

  • @sophiamirambo9656
    @sophiamirambo9656 Жыл бұрын

    Duh,, pole sana kaka ila usingebomoa ungesaka ushauri na kutuliza akili halafu ungepauza hapo uhame zako abaki na maisha yake unabomoa na kiwanja kimebaki ndio nini ungepauza tu hapo ungehamia kwengine duh,,!! Pole sana mshkaji unapita

  • @DainesMwapela-mr4wc
    @DainesMwapela-mr4wc Жыл бұрын

    Duh hao ndo wavamiaji kwenye ndoa Sasa mke jaman Bado wamgeuka mume je ungekua mchepuko nahisi ungemuweka rehani huyo baba😅😅😅

  • @nellyreani893
    @nellyreani893 Жыл бұрын

    Wanawake wengine chefu kwakweli sa unachukua aje pesa bila kumushirikisha Mmeo jamani kazi ipo apambane alizilipe mwenyewe nyoo tamaa ya pesa na auna kazi za maana unayo fanya uho ni uhuni

  • @musaogira8375
    @musaogira8375 Жыл бұрын

    jamaa yupo sawa sana

  • @josephineminanisalma3792
    @josephineminanisalma3792 Жыл бұрын

    Duh🙆🤔

  • @fauzibinzoo6563
    @fauzibinzoo6563 Жыл бұрын

    Hakimi kokote alipo mu gu akubariki maana wewe ndio mfano wa kuigwa na wanaume wote duniani

  • @philemornmutta1597
    @philemornmutta1597 Жыл бұрын

    Pole sana ndg yangu hakuna mwanamke hapo kaka isitoshe ww ni mvumilivu sana

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy2640 Жыл бұрын

    ☹️☹️ Hakimi njo uku uone😭😭😭

  • @mwajumasaidi2041

    @mwajumasaidi2041

    Жыл бұрын

    😂😂😂

  • @asianassoro2567

    @asianassoro2567

    Жыл бұрын

    Hakim hana baya

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 Жыл бұрын

    Mungu atusaidie

  • @masturasudi7394
    @masturasudi7394 Жыл бұрын

    Pole kaka

  • @ElizabethFesto-fv2ku
    @ElizabethFesto-fv2ku Жыл бұрын

    Mungu atusaidie wanawake

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 Жыл бұрын

    Bora tu ulivyobomoa mwaya ndio maana wanaume wanakufa mapema maumivu mengi Sana katika mioyo yenu mungu awanusuru wanaume wote japo mnatupigaga matukio lakini poleni sana

  • @detlantamarooned1809

    @detlantamarooned1809

    Жыл бұрын

    Asante sana Sister T,mnatuumiza sana sometimes.

  • @michaelsamson9663

    @michaelsamson9663

    Жыл бұрын

    Minkiona mtu ajielewi namwachia Mali nasepa

  • @jay-nyeye1900
    @jay-nyeye1900 Жыл бұрын

    Safi Sana mwamba umefanya maamuzi mazuri Sana hata ningekuwa Mimi ningefanya hivyo 🙌🏽

  • @heavenlymusicproduction4360

    @heavenlymusicproduction4360

    Жыл бұрын

    Hahahaa

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g Жыл бұрын

    Mke ni tamaa

  • @CarolneJohn-nr2nj
    @CarolneJohn-nr2nj8 ай бұрын

    Mimi ni mwanamke lakin sjawah kuona mwanamke mjinga kama huyu alipe kama hawez kulipa afungwe tyu

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k Жыл бұрын

    Jamani pole sana bro

  • @manilabonalumanula9210
    @manilabonalumanula9210 Жыл бұрын

    Huyo mama ni "mchepuo" hajakupenda kaka yangu.. Hata vikao suluhisho visikushawishi kurudiana naye, atakuuwa kwa kushirikiana na hao " michepuko" yake

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Жыл бұрын

    Kuna wanawke wanapt bahat ila hawajitambui angekuw mwanaume mwingine tungesikia mengine ila huy wala

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Жыл бұрын

    Heee,,, subhanallah kuna wanawake hawajitambui hata kidogo ni akili zake au zakushikiwa duhh kaka ungempeleka police kuliko kubomoa nyumba

  • @jofreymsigwa85

    @jofreymsigwa85

    Жыл бұрын

    Polis wanawake wanasikilizwa kuliko wanaume tena hatari

  • @agnerapius7244
    @agnerapius7244 Жыл бұрын

    Ukiona jina said tu ni majanga sasa ndo nini😮

  • @justnjustn6168
    @justnjustn6168 Жыл бұрын

    Uyo polisi sio pwhh mashaalah

  • @musampanda3643

    @musampanda3643

    Жыл бұрын

    Weeeee!

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia2323 Жыл бұрын

    Asilimia Kubwa ya wanawake wa kitanzania ndio huwa ni chanzo cha kurudisha maendeleo nyuma kwa waume zao na Kizazi chake...Na huwa wanapenda kukurupuka kwa Tamaa ya pesa

  • @Mpakauseme

    @Mpakauseme

    Жыл бұрын

    Mimi nawaogopa sana aisee bora nioe baniani mweusi kuliko mbongo

  • @zabibubashiri3034
    @zabibubashiri3034 Жыл бұрын

    Msilaum Mke pengine walikubaliana skilizeni na upande wa pili

  • @nurdinkisaria9476
    @nurdinkisaria9476 Жыл бұрын

    Check and balance

  • @salimuhassani7030
    @salimuhassani7030 Жыл бұрын

    Nimekukubali bro

  • @twilumbakabelege3426
    @twilumbakabelege342611 ай бұрын

    Huyu mwanamke anajielewa kwelii

  • @gabrielzakaria2810
    @gabrielzakaria2810 Жыл бұрын

    We ni mpumbavu unabomoa nyumba

  • @lulually5209
    @lulually5209 Жыл бұрын

    Wapi mama hakimi 😂😂😂😂

  • @japhetizo4613
    @japhetizo4613 Жыл бұрын

    Da polee xana

  • @vero57
    @vero57 Жыл бұрын

    Sasa hizo pesa kafanyia nini huyo mama, mbona hatare!! Pole sana kaka

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 Жыл бұрын

    Yani wake zetu daah alafu unaweza kuta izo hela ana faidika mchepuko 😂

  • @salmahoperi9783
    @salmahoperi9783 Жыл бұрын

    Wanawake mkopo hatali pole kaka

  • @salimkassim6020
    @salimkassim6020 Жыл бұрын

    Apo kwenye kuishi na mwanamke bila ndoa,,,, ndo shida ilipoanzia.

  • @hamidmweusiii35
    @hamidmweusiii35 Жыл бұрын

    Hawa wanawake wengne kenge kwel hawafai ata kuolewa kbsa some time Bora ata usioe kbsa Bora ununue Malaya tu ulale nae ili upunguze upwiru kulikon kuoa

  • @rashidyally8715

    @rashidyally8715

    Жыл бұрын

    😄😄😄😄

  • @pendo8082

    @pendo8082

    Жыл бұрын

    Upwiru😂😂

  • @firdausqutty2067

    @firdausqutty2067

    Жыл бұрын

    Upwiru wa king kiba au🙄

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Жыл бұрын

    Huyo mke mjanja sana....umefany la maana kuibomoa

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Eeh nyumban zuri jamn 🙄🙄😳

  • @browndebora2195
    @browndebora2195 Жыл бұрын

    pole Sana kaka ila wanawake

  • @omanmct135
    @omanmct135 Жыл бұрын

    Hatari kwweli

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 Жыл бұрын

    Mkopo kausha damu 🤣🤣

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986 Жыл бұрын

    angekutana na mie mhehe nishamnyonga kitambo sana

  • @privamushi2512
    @privamushi2512 Жыл бұрын

    Dah sema nyie wanawake anatuchanganyaga xna

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 Жыл бұрын

    Hahaha 😂 nimempenda said hahaha 😂

  • @Ayuminchasi
    @Ayuminchasi4 ай бұрын

    Huyo mke ni hatariiii kwa afya yako kaka

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 Жыл бұрын

    pole kakaangu 😭😭😭😭

  • @ayoublupande3007
    @ayoublupande3007 Жыл бұрын

    Wanawake wanakera San wakat mwingine Sasa unakopa bila kumwambia mmeo kweli

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂kama mbwai mbai tu

  • @paultz1731
    @paultz1731 Жыл бұрын

    Safi Sana

  • @adammjomba5814
    @adammjomba5814 Жыл бұрын

    Bora alivyobomoa hiyo nyumba kila mmoja aendezake .hapo jamaa ameondoa mzizi Wa fitina. Dawa ya moto ni moto..sasa huyo jamaa atie nia .ZAIDI ajenge nyumba nyingine aoe mke mpya kabisa .

  • @abdallahkassim318
    @abdallahkassim318 Жыл бұрын

    Huo ni mpango na mchepuko wake

  • @josephinabakhita
    @josephinabakhita Жыл бұрын

    We nawe kilaza tu,

  • @jacksonhaggai6771
    @jacksonhaggai6771 Жыл бұрын

    dhu pole sana Ina umaa

  • @fatiajuma4685
    @fatiajuma4685 Жыл бұрын

    Huyo mdada ako na mume mwingine lakin malipo ni hap hapa dunian

  • @udizungwahimalaya5213
    @udizungwahimalaya5213 Жыл бұрын

    Sema uyu jamaa anaongea kama kameza flash 😂😂😂

  • @mkumbozakaria7266

    @mkumbozakaria7266

    Жыл бұрын

    Hata baba yko anaongeaga hvy hvyo😅😅😅

  • @sophiamirambo9656
    @sophiamirambo9656 Жыл бұрын

    Mahakimu wawe wanatumia busara na hekima sasa hapo wamempendelea mwanamke mpumbavu 😏😏😏

  • @stevenhipolity6198
    @stevenhipolity6198 Жыл бұрын

    Daahh bora kuishi na sabuni tyu

  • @jazeerajuma5014
    @jazeerajuma5014 Жыл бұрын

    Uza iyo sehemu ukanunue kwingine kaka

  • @chifuthedoni8889
    @chifuthedoni8889 Жыл бұрын

    Wanawake wanajifyatuaga na kujifanya miamba ya rusaka! Lazima mwanaume uchukue maamuzi yatakayomfanya ajute! Na maamuzi ndo haya sasa ambayo hakutegemea!

  • @user-en6cd4zn1t
    @user-en6cd4zn1t Жыл бұрын

    Jamaaan

  • @priscamsuya-xd4tu
    @priscamsuya-xd4tu Жыл бұрын

    Hiyo ni kausha damu riba imeongezeka

  • @goodlucknjau77
    @goodlucknjau77 Жыл бұрын

    Broo huyo sio mke atakuuwa mkimbize haraka sana

  • @personpeter2221
    @personpeter2221 Жыл бұрын

    Hyu jamaa anaharisa angeweza kumuua hyo dem bora kaamua kumaliza hasrazake kuvunja nymba yake

  • @mwajumakweli
    @mwajumakweli Жыл бұрын

    Jamani pole Sana ! Wana wake tuna feli kweli

  • @benderarulenge2477
    @benderarulenge2477 Жыл бұрын

    Ningekuwa Mimi harudi kwangu Tena,

  • @sangaezra6917
    @sangaezra6917 Жыл бұрын

    nibola abomowe tu siyo mbaya kuliko akopee hela nyumba ambayo mm na hangaikiya

  • @sabinaonline6575
    @sabinaonline6575 Жыл бұрын

    Hatujasikia upande wa pili mke wake anasemaje

  • @dullodullodullo686

    @dullodullodullo686

    Жыл бұрын

    Mwanamke muongo hatajitetea mwanaume adi kufikia hatua iyo ujue niukweli mtupu kachoka

Келесі