DR SLAA ATEMA CHECHE MSIGWA KUHAMIA CCM,MPINA KUPELEKA KESI MAHAKAMANI, ALIYOCHOFANYIWA YOHANA DUUH!
DR SLAA ATEMA CHECHE PETER MSIGWA KUHAMIA CCM,MPINA KUPELEKA KESI MAHAKAMANI AKIDAI HAKUTENDEWA HAKI NA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.TULIA AKSON NA WAZIRI BASHE KUINGIZA SUKARI KIMAGENDO BILA KIBARI, ALIYOCHOFANYIWA YOHANA GWANGWAYI NA KIONGOZI MKUBWA KABISA WA SERIKALI NA KUMTISHIA KUWA ATAMWITIA WATU WASIOJULIKANA DUUH!
Пікірлер: 46
Wanaotoka Chadema wanatoka kwa sababu zao binafsi. Haina maana Chadema is weak
Mjomba yuda
Tatizo kubwa la chadema.mlikuwa mnaenda vizuri.tatizol lenu ni kudandia kitu ambacho hamjui.mfano mnaongea ya msigwa.mara ya mpina.
Msigwa maisha yamempiga, sasa anona ccm watamuhurumia, angalau wampe ukuu wa wilaya, unajua njaa ikitoka tumboni na kwenda kichwani lazima uende hovyo, kama msigwa
Hata chama cha Tanu,miaka hiyo ya 1950,60,hakikuwa imara,nikusonga mbele kwa,mbele,mambo yatakaa sawa,chama gani hapa duniani kabla yakushika nchi hakikupata misukosuko.
Waziri Bashe si malaika lakini kwa hili alikuwa anagombana na cartel ya sugar manufacturers iliyokuwa inatupa shortages za makusudi ili wapandishe bei.
Big up msigwa hata silaa awamu ya Tano alikuwa CCM. Umemtumia haki Yako ya kidemocracia.
ina maana ukiwa mpinzani huwezi kuhamia ccm is your choice to join popote so please let him be
Naombeni jamani msigwa athibitishe madai yake kuwa ndani ya chadema Kuna sakosi ya mtu mmoja tafadhari athibitishe
@kashiririrkaasongwisye9487
2 күн бұрын
Maneno ya mtu mwenye njaa hayo
Slaa mwenyewe alirubuniwa na ccm akaenda kula maisha mambele huko Siasa za uongo na ulafi ndio zinazo tesa wanasiasa wetu tz Maslahi binafsi mbele kama tumbo
Uncle yuda
Bunge ni dhaifu sana
Mhuuuuu Ccm kweli inawezq kushtakiwa maajabu haya
Kwa nini ccm inafurahi sana kupokea watu toka Chadema? huwenda ni kitu tofauti na tunavyofikiri.
@kashiririrkaasongwisye9487
2 күн бұрын
Fact question
SHIDA NI MBOWE. Tuwe wawazi. Hii kupindisha ukweli ni mbaya saana. Watatoka wengi. Sio msigwa tu.
CHADEMA HII NDIO TABIA YAO NA BADO WAPO WENGI WATAENDA CCM,SIASA ZA TZ NI SAWA2NA POMBE ZA KIENYEJI WANYWAJI WANAPOJIANDAA KWENDA KUNYWA UTASHANGAA 2 ZIMEHARIBIKA HAZIFAI TENA,UNADHANI TUTAMUAMINI NANA? NI PUMBA2
Petro musigwa ungekuwa mwanamke unguitwa likahaba mpuuzi sana wewe kwasababu wewe nimalaya wamadalaka nauko watakutimua
TLHRC imepunguza matusi kwa vile mabeberu wamepunza ruzuku. Lipieni wenyewe, sort of like ile kodi ya ndani waliyokuwa wakikatwa Viti Maalum kulipia trekta la Mwenyekiti shambani kwake Hai na Kilombero.
You are biased..Chadema i reflect nini?? Yaani wewe umemwamini Msigwa
Wanaoshukia njiani wapo siku zote,wala haivunji nguvu ya chama ila Chadema inaimarika zaidi. Sababu ziko nyingi lakini kubwa ni fedha nono inayotolewa na wenye fedha za bwerere ambazo sio za jasho ni za ufisadi tu sasa wakikupa ofer ukakubali nia yao ni kuua demokrasia na umoja wenye nguvu dhidi yao. Kuhusu Bashe na Mwigullu ni kawaida serikali kulinda waovu lakini hawatafika mbali bila kubainika ila fedha ndio hazirudi tunaanza alifu kwa kijiti kila awamu.
Dr slas mbona alikuwa balozi kwa meamvuli ea ccm
Nashindwa cha kukoment
Nguvu.yao Kuigaccm.wa,nagawa.kodi.yetu.viongozi.wanajifunza.nn.kenyewenyemasikio Wasikie
Wewe Mzee ulikuwa Barozi katika utawala wa CCM ulivyoondolewa kwenye Ubarozi ukarudi speed chadema eti leo wewe nae unamsema Msigwa unatuletea hadith ya NYANI
Msigwa kahama lakini chadema itazidi kuwepo mda wote
@margarethpolepole7438
23 сағат бұрын
User Ccm oyeeeee kazi inaendelea wanawake jeshi kubwa Msigwa yuko Ccm Kaachq Chama cha Saccoss bin Kikoba
Msigwa kwenda CCM ni utashi wake na sio kwamba chadema is weak
Chadema jibuni hoja za msigwa uhalali wa Mbowe kua mwenyekiti wamilele ameutoa waapi hata wewe Dr nimuhanga
Mtuu akisimamia haki kwenye sehemu ya haki tutamfuata mtuu sio chama sababu haya nccr ilikuwa na watu wanaosimamia haki ilikufa sababu wakusimamia haki waliondoka nccr mageuzi Sasa kwa nn msigwA abaenda kufa kisiasa ndani ya ccm leadership sababu ccm hakuna haki hawezi kukubali msigwA kuikosia kufanya hivyo itamfanya apate pesa akae kimiyia watajaribu kumtumia abese chadema lakini anavizingiti kitakachomsumbua kichwani hata akibeza chadema au freeman mbowe au lisu ni kujiaibisha ktk mfumo wa kisiasa nchini ndio pale akili kubwa kuwa msigwA akili ndogo aibu kwa msigwA Saba tuu kafuata pesa na kujiuwa ktk sisa nchini
Acha aende chadema songeni mbele
Petro msigwa ndiomahana walikukanseli nyasa walijua wewe nilichumia tumbo nilipambe la ccm limpumbavu sana unaludia matapishi pumbavu zako
Bora angeenda chama kingine
Msigwa ni MALAYA wa siasa, njaa imwkumba ameshawishika na kulagaiwa na Chama Cha Majizi ili alambishwe asali na kujifunga na club ya Majizi.
Badilikeni hampendi kuambiwa madhaifu yenu
Msigwa.amejitia.aibu.mwenyewe.uvumilivu.tunda.linaloleta.amani.ccm.inatoa.ahadi.kama.hawa.alindanywa.mungu.ndiye.anajua
Pamoja na uovu mwingi wa CCM usiojificha kwa miaka yote, swala la Kamanda MPINA ni swala ambalo liko wazi kulingana na ushaidi aliouweka wazi na unaopimika. Ila ishu ya Peter Msigwa haishangazi sana maana Huyo jamaa ni Mbinafsi na anapenda sana madaraka, baada ya kukosa nafasi ya uongozi tu Nyanda za juu imekuwa shida kwake and also kupigika kiuchumi ni shida kwake, bad to him Hana cha kufanya kwa kupitia CCM na kuleta ladha au Tija kwa Watanzania zaidi tu kwa asilia ya watu kama Hawa mwisho huwa hawana maisha marefu. Pole kwake na maisha mema kwa alichochagua
@7675kio
2 күн бұрын
Kwa hiyo CCM ndo kuna haki?
@bujugoinvest8562
2 күн бұрын
Ubinafsi wa mbowe
Mpina.awe.mkweli.ccm.inatumia.hila.nyingi.kusababisha.malumbano.upinzani.kutoa,mabuluki.watashindwa.jina.mungu.anamona.ubaya.wa.mtu
Msigwa upo sahihi %99⁹⁹ chadema hakuna Demokrasi, uhuru na haki. Wa Tanzania tupo pamoja na wewe hususan wana Mbeya tupo tayari kukufata Karibu Mbeya tukukabizi kadi za Chadema tuchukuwe kadi za CCM.
Huyu slaaa mbona haeleweki😂
Ubinafsi wa mbowe anakiiua chama
@faithmlay5944
Күн бұрын
Chama hakijafa na wala hakifi. Wasiostahili kuwa huko ndio wataondoka wenyewe na ni haki yao kuondoka
Slaa mwenyewe alirubuniwa na ccm akaenda kula maisha mambele huko Siasa za uongo na ulafi ndio zinazo tesa wanasiasa wetu tz Maslahi binafsi mbele kama tumbo