DR SLAA ATEMA CHECHE MSIGWA KUHAMIA CCM,MPINA KUPELEKA KESI MAHAKAMANI, ALIYOCHOFANYIWA YOHANA DUUH!

DR SLAA ATEMA CHECHE PETER MSIGWA KUHAMIA CCM,MPINA KUPELEKA KESI MAHAKAMANI AKIDAI HAKUTENDEWA HAKI NA SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE.TULIA AKSON NA WAZIRI BASHE KUINGIZA SUKARI KIMAGENDO BILA KIBARI, ALIYOCHOFANYIWA YOHANA GWANGWAYI NA KIONGOZI MKUBWA KABISA WA SERIKALI NA KUMTISHIA KUWA ATAMWITIA WATU WASIOJULIKANA DUUH!

Пікірлер: 46

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza58842 күн бұрын

    Wanaotoka Chadema wanatoka kwa sababu zao binafsi. Haina maana Chadema is weak

  • @nestanesta5704
    @nestanesta57042 күн бұрын

    Mjomba yuda

  • @user-ig3bu6lb5i
    @user-ig3bu6lb5i2 күн бұрын

    Tatizo kubwa la chadema.mlikuwa mnaenda vizuri.tatizol lenu ni kudandia kitu ambacho hamjui.mfano mnaongea ya msigwa.mara ya mpina.

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza4822 күн бұрын

    Msigwa maisha yamempiga, sasa anona ccm watamuhurumia, angalau wampe ukuu wa wilaya, unajua njaa ikitoka tumboni na kwenda kichwani lazima uende hovyo, kama msigwa

  • @chedijohn2270
    @chedijohn22702 күн бұрын

    Hata chama cha Tanu,miaka hiyo ya 1950,60,hakikuwa imara,nikusonga mbele kwa,mbele,mambo yatakaa sawa,chama gani hapa duniani kabla yakushika nchi hakikupata misukosuko.

  • @lgf7297
    @lgf72972 күн бұрын

    Waziri Bashe si malaika lakini kwa hili alikuwa anagombana na cartel ya sugar manufacturers iliyokuwa inatupa shortages za makusudi ili wapandishe bei.

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk2 күн бұрын

    Big up msigwa hata silaa awamu ya Tano alikuwa CCM. Umemtumia haki Yako ya kidemocracia.

  • @premiercarelab
    @premiercarelabКүн бұрын

    ina maana ukiwa mpinzani huwezi kuhamia ccm is your choice to join popote so please let him be

  • @StevenMtambo
    @StevenMtambo2 күн бұрын

    Naombeni jamani msigwa athibitishe madai yake kuwa ndani ya chadema Kuna sakosi ya mtu mmoja tafadhari athibitishe

  • @kashiririrkaasongwisye9487

    @kashiririrkaasongwisye9487

    2 күн бұрын

    Maneno ya mtu mwenye njaa hayo

  • @ramadhankhatwib8561
    @ramadhankhatwib8561Күн бұрын

    Slaa mwenyewe alirubuniwa na ccm akaenda kula maisha mambele huko Siasa za uongo na ulafi ndio zinazo tesa wanasiasa wetu tz Maslahi binafsi mbele kama tumbo

  • @davidephraim4553
    @davidephraim45532 күн бұрын

    Uncle yuda

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza4822 күн бұрын

    Bunge ni dhaifu sana

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole743823 сағат бұрын

    Mhuuuuu Ccm kweli inawezq kushtakiwa maajabu haya

  • @dicksonkilupa2258
    @dicksonkilupa22582 күн бұрын

    Kwa nini ccm inafurahi sana kupokea watu toka Chadema? huwenda ni kitu tofauti na tunavyofikiri.

  • @kashiririrkaasongwisye9487

    @kashiririrkaasongwisye9487

    2 күн бұрын

    Fact question

  • @AzizMangara
    @AzizMangaraКүн бұрын

    SHIDA NI MBOWE. Tuwe wawazi. Hii kupindisha ukweli ni mbaya saana. Watatoka wengi. Sio msigwa tu.

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q2 күн бұрын

    CHADEMA HII NDIO TABIA YAO NA BADO WAPO WENGI WATAENDA CCM,SIASA ZA TZ NI SAWA2NA POMBE ZA KIENYEJI WANYWAJI WANAPOJIANDAA KWENDA KUNYWA UTASHANGAA 2 ZIMEHARIBIKA HAZIFAI TENA,UNADHANI TUTAMUAMINI NANA? NI PUMBA2

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh2 күн бұрын

    Petro musigwa ungekuwa mwanamke unguitwa likahaba mpuuzi sana wewe kwasababu wewe nimalaya wamadalaka nauko watakutimua

  • @lgf7297
    @lgf72972 күн бұрын

    TLHRC imepunguza matusi kwa vile mabeberu wamepunza ruzuku. Lipieni wenyewe, sort of like ile kodi ya ndani waliyokuwa wakikatwa Viti Maalum kulipia trekta la Mwenyekiti shambani kwake Hai na Kilombero.

  • @maggiehiza5884
    @maggiehiza58842 күн бұрын

    You are biased..Chadema i reflect nini?? Yaani wewe umemwamini Msigwa

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel71492 күн бұрын

    Wanaoshukia njiani wapo siku zote,wala haivunji nguvu ya chama ila Chadema inaimarika zaidi. Sababu ziko nyingi lakini kubwa ni fedha nono inayotolewa na wenye fedha za bwerere ambazo sio za jasho ni za ufisadi tu sasa wakikupa ofer ukakubali nia yao ni kuua demokrasia na umoja wenye nguvu dhidi yao. Kuhusu Bashe na Mwigullu ni kawaida serikali kulinda waovu lakini hawatafika mbali bila kubainika ila fedha ndio hazirudi tunaanza alifu kwa kijiti kila awamu.

  • @patrickmkiriti747
    @patrickmkiriti747Күн бұрын

    Dr slas mbona alikuwa balozi kwa meamvuli ea ccm

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l2 күн бұрын

    Nashindwa cha kukoment

  • @evelina9621
    @evelina96212 күн бұрын

    Nguvu.yao Kuigaccm.wa,nagawa.kodi.yetu.viongozi.wanajifunza.nn.kenyewenyemasikio Wasikie

  • @MnubiMm
    @MnubiMm2 күн бұрын

    Wewe Mzee ulikuwa Barozi katika utawala wa CCM ulivyoondolewa kwenye Ubarozi ukarudi speed chadema eti leo wewe nae unamsema Msigwa unatuletea hadith ya NYANI

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t2 күн бұрын

    Msigwa kahama lakini chadema itazidi kuwepo mda wote

  • @margarethpolepole7438

    @margarethpolepole7438

    23 сағат бұрын

    User Ccm oyeeeee kazi inaendelea wanawake jeshi kubwa Msigwa yuko Ccm Kaachq Chama cha Saccoss bin Kikoba

  • @lupyanamatimbwi8064
    @lupyanamatimbwi806422 сағат бұрын

    Msigwa kwenda CCM ni utashi wake na sio kwamba chadema is weak

  • @sadikidaudi460
    @sadikidaudi4602 күн бұрын

    Chadema jibuni hoja za msigwa uhalali wa Mbowe kua mwenyekiti wamilele ameutoa waapi hata wewe Dr nimuhanga

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319Күн бұрын

    Mtuu akisimamia haki kwenye sehemu ya haki tutamfuata mtuu sio chama sababu haya nccr ilikuwa na watu wanaosimamia haki ilikufa sababu wakusimamia haki waliondoka nccr mageuzi Sasa kwa nn msigwA abaenda kufa kisiasa ndani ya ccm leadership sababu ccm hakuna haki hawezi kukubali msigwA kuikosia kufanya hivyo itamfanya apate pesa akae kimiyia watajaribu kumtumia abese chadema lakini anavizingiti kitakachomsumbua kichwani hata akibeza chadema au freeman mbowe au lisu ni kujiaibisha ktk mfumo wa kisiasa nchini ndio pale akili kubwa kuwa msigwA akili ndogo aibu kwa msigwA Saba tuu kafuata pesa na kujiuwa ktk sisa nchini

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni96762 күн бұрын

    Acha aende chadema songeni mbele

  • @DamasAmos-ue2gh
    @DamasAmos-ue2gh2 күн бұрын

    Petro msigwa ndiomahana walikukanseli nyasa walijua wewe nilichumia tumbo nilipambe la ccm limpumbavu sana unaludia matapishi pumbavu zako

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo57042 күн бұрын

    Bora angeenda chama kingine

  • @gabrielsanya3278
    @gabrielsanya3278Күн бұрын

    Msigwa ni MALAYA wa siasa, njaa imwkumba ameshawishika na kulagaiwa na Chama Cha Majizi ili alambishwe asali na kujifunga na club ya Majizi.

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_2 күн бұрын

    Badilikeni hampendi kuambiwa madhaifu yenu

  • @evelina9621
    @evelina96212 күн бұрын

    Msigwa.amejitia.aibu.mwenyewe.uvumilivu.tunda.linaloleta.amani.ccm.inatoa.ahadi.kama.hawa.alindanywa.mungu.ndiye.anajua

  • @emmanuelpeter9744
    @emmanuelpeter97442 күн бұрын

    Pamoja na uovu mwingi wa CCM usiojificha kwa miaka yote, swala la Kamanda MPINA ni swala ambalo liko wazi kulingana na ushaidi aliouweka wazi na unaopimika. Ila ishu ya Peter Msigwa haishangazi sana maana Huyo jamaa ni Mbinafsi na anapenda sana madaraka, baada ya kukosa nafasi ya uongozi tu Nyanda za juu imekuwa shida kwake and also kupigika kiuchumi ni shida kwake, bad to him Hana cha kufanya kwa kupitia CCM na kuleta ladha au Tija kwa Watanzania zaidi tu kwa asilia ya watu kama Hawa mwisho huwa hawana maisha marefu. Pole kwake na maisha mema kwa alichochagua

  • @7675kio

    @7675kio

    2 күн бұрын

    Kwa hiyo CCM ndo kuna haki?

  • @bujugoinvest8562

    @bujugoinvest8562

    2 күн бұрын

    Ubinafsi wa mbowe

  • @evelina9621
    @evelina96212 күн бұрын

    Mpina.awe.mkweli.ccm.inatumia.hila.nyingi.kusababisha.malumbano.upinzani.kutoa,mabuluki.watashindwa.jina.mungu.anamona.ubaya.wa.mtu

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf2 күн бұрын

    Msigwa upo sahihi %99⁹⁹ chadema hakuna Demokrasi, uhuru na haki. Wa Tanzania tupo pamoja na wewe hususan wana Mbeya tupo tayari kukufata Karibu Mbeya tukukabizi kadi za Chadema tuchukuwe kadi za CCM.

  • @nashirkamugisha9425
    @nashirkamugisha94252 күн бұрын

    Huyu slaaa mbona haeleweki😂

  • @bujugoinvest8562
    @bujugoinvest85622 күн бұрын

    Ubinafsi wa mbowe anakiiua chama

  • @faithmlay5944

    @faithmlay5944

    Күн бұрын

    Chama hakijafa na wala hakifi. Wasiostahili kuwa huko ndio wataondoka wenyewe na ni haki yao kuondoka

  • @ramadhankhatwib8561
    @ramadhankhatwib8561Күн бұрын

    Slaa mwenyewe alirubuniwa na ccm akaenda kula maisha mambele huko Siasa za uongo na ulafi ndio zinazo tesa wanasiasa wetu tz Maslahi binafsi mbele kama tumbo

Келесі