🔴

#mpina

Пікірлер: 44

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x3 күн бұрын

    Asante kumpigia MPINA makofi Mimi nilishampigia sana makofi baada ya kusikiliza ueledi wake. Uzalendo wake. Na pia kujitoa kwake Kwa taifa hasa Kwa WATANGANYIKA. ILA NASIKITIKA sana kuona WATANGANYIKA HATUMUUNGI MKONO VYA Kutosha.

  • @nestor384
    @nestor3842 күн бұрын

    Uko vizuri mhe. Mpina spoke the truth

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha59334 сағат бұрын

    Baba upo na akili nyingi sana, pokea 100%

  • @victorkisenha5933
    @victorkisenha59334 сағат бұрын

    Ni kweli,

  • @davidlyamboko7477
    @davidlyamboko7477Күн бұрын

    Twendeni polepole ndugu zangu, haya ni mapito tu. Msije kupita mitaani mmeinamisha vichwa, hakuna mjinga Nji hii.

  • @FredymaswiMwita-oj6gv
    @FredymaswiMwita-oj6gv3 күн бұрын

    duh duh duh

  • @victaboy7273
    @victaboy72733 күн бұрын

    Kwani na huyu ni nani sasa

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy43913 күн бұрын

    Kweli kabisa

  • @petermogha7025
    @petermogha70253 күн бұрын

    Mpina nakuomba tulia ukiamia cdm utapitea kama nyalandu usiwasikilize

  • @janethpallangyo3855
    @janethpallangyo3855Күн бұрын

    Mpina❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa87283 күн бұрын

    AU NYIE NDO MNANUFAKA KUAGIZA SUKARI?

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman2 күн бұрын

    Kwa dalili ccm kumuacha 2025 si rahisi lazima wampige panga

  • @praygodmawalla7884
    @praygodmawalla78842 күн бұрын

    Huyu nabii ni shida. Sheria hazijui viziti au anajua sana . Nilichopenda ni kutambua Mpina ni mkweli.

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga45842 күн бұрын

    Unauliza usenge gani we kiumbe😮

  • @jacksonmsele1500
    @jacksonmsele15003 күн бұрын

    Hehe here

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b14 сағат бұрын

    Aungane na machinga siyo vyama vya upinzani atuhamasishe tuiondowe ccm

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn16 сағат бұрын

    Kwa hyo waliomchagua hawana akili?

  • @user-uh3eg5cj2r
    @user-uh3eg5cj2rКүн бұрын

    Tulishangaa tulia kulalia nafac kubwa kiasi kile! Lkn your NEVER KNOW!!!

  • @enziseme4712
    @enziseme47122 күн бұрын

    Huyu mzee kaamua kufanya komed ya siasa, eti Dr Tulia hana sifa duuh!!! Kweli nabili na watu wa kwao!!

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 күн бұрын

    Na athithubutu kwenda Chadema hata kama hataendelea na Ubunge

  • @YORAMYETERO
    @YORAMYETERO3 күн бұрын

    Mpina kaza buti na wasikundanganye kuhama baki huko ulipo

  • @FelicianSimon

    @FelicianSimon

    3 күн бұрын

    Ataongea ukweli na atabaki kuwa kijani

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Күн бұрын

    Hawampendi hapo alipo2 amewaumnua

  • @user-ev2xf1tv3w
    @user-ev2xf1tv3w3 күн бұрын

    Mtu mzima unaongea utumbo uo kwahyo unatak nayeye awe mjinga kama waninga wengine et

  • @monicamwita7865

    @monicamwita7865

    Күн бұрын

    Manganese usiyejitambua

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im2 күн бұрын

    Kichwa cha habari kinapotosha

  • @omarkapula588
    @omarkapula5882 күн бұрын

    Mchukueni hata muda huu

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde69002 күн бұрын

    Huyu ametoka wapi tena 😂😂😂

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im2 күн бұрын

    Bashe ni waziri kaajiliwa na watanzania. CCM Itaongoza maisha kwasababu wanaongoza wajinga. Wananchi hawajuwi haki zawo. Na serikali inajua. Mpina asikae kimya aende tu mahakani watanzania wengi wanangoja kuona haki inatendeka. Hata kama akikosa haki, kuta kuwa na record ya watoto wetu kujifunza.

  • @hassanmitayo1875
    @hassanmitayo18752 күн бұрын

    Kwani wabunge wanawake wa Chadema wakijiuzuru kwa kukiheshimu chama chao spika atawalazimisha wabaki?,

  • @hajihassan5433

    @hajihassan5433

    2 күн бұрын

    Mbunge kuingia au kutoka Bungeni haihusiani na Spika ni Tume ya Uchaguzi NEC ndio wanaohusika na hilo. Ni ujinga wa watu kumvamia Spika badala ya Tume ya Uchaguzi.

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im2 күн бұрын

    Hakuna lolote Chadema. Tanzania haiko huru. Hatuna upinzani, na wanaotuongoza kwa sasa wanatumia ujanja na mabavu kuzuwia watu kuanzisha vyama vipya kwa kuweka mashariti yasiyokuwa na haki. Kama Bashe harachukuliwa hatuwa, Basi watanzania tukate tamaa. Serikali inawaonea watanzania kwa upole wawo. Nchi hii haina amani bali wananchi wamenyimwa haki zawo, wachache walio Iteka nchi wanatuongoza kwa mabavu.

  • @FelicianSimon
    @FelicianSimon3 күн бұрын

    Ww mzee nimegundua unashida ya akili kwani magufuri alikuwa chadema mbona alisema ukwe siasa ya Tanzania inatakiwa ikomae watu waishi kwa wanayo amini ww na wengine wengi munaishi kwa mkumbo sio nyinyi kusimama mm binafsi na simama na MH MPINA

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    2 күн бұрын

    Felician wewe ndio akili haziko sawa, yakupasa ukapimwe akili zako. Bado una blanketi usoni mwako .Ujinga umekujaa hadi kwenye 😏😏😏

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s2 күн бұрын

    Mpina ndiyo mbunge mazarendo anatetea wananchi,bashe kabadilika kwa Sasa

  • @hajihassan5433
    @hajihassan54332 күн бұрын

    Unaongea ujinga kweli, vigezo vya Spika waliomchagua duniani ni watu wenye akili timamu. Hivi bila kujali hoja ya Mpina kuwa ni nzuri au mbaya kweli hukuona utovu wa nidham aliofanya? Mpina ni Mbunge kwa kipindi cha nne sasa katoka hewani lini kutuelezea ajenda ya mkutano wa Bunge jambo ambalo Watanzania ni haki tunayokoseshwa na Wabunge.

  • @DaimonMwapelele
    @DaimonMwapelele22 сағат бұрын

    Tulia amepewa uspika wa mabunge dunian il tanzania iwe pango la mashoga wazungu sio wajinga, sasa yanayotokea tsnzania watoto mpaka madhulen wanalawitiwa

  • @2003hintay
    @2003hintay3 күн бұрын

    Mpina anausongo wa madaraka baada ya kupigwa chini uwaziri, wewe pia hapo ni muongo

  • @usembiphonedar5632

    @usembiphonedar5632

    3 күн бұрын

    Hayo ni ya kwako yeye hajakwambia hayo unayowaza! Jichunguze afya ya akili!

  • @FelicianSimon

    @FelicianSimon

    3 күн бұрын

    ​@@usembiphonedar5632umeongea ukweli mtupu

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    @RubenMtuwaMungu-bz8ee

    2 күн бұрын

    Afya ya akili ni tatizo kwa baadhi ya watanzania badala ya kujadili hoja iliyopo mtu anajadili hisia zake. Sasa huo si uchuro.😂😂😂😂

  • @phabianshimba6791

    @phabianshimba6791

    2 күн бұрын

    Ubongo wako upo sawa wewe?

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74382 күн бұрын

    Hawezi kuja Chadema kamwe na asithubutu kugombana ndani ya Ccm ni kitu cha kawaida

Келесі