"Nimeumia sana" GODBLESS LEMA AUMIZWA NA TAARIFA ZA MCHUNGAJI MSIGWA KUHAMIA CCM //ATAMANI HAYA

Пікірлер: 62

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 күн бұрын

    Umefanya vizuri Lema imebidi Msigwa aondoke Mbowe kamfanyia vibaya yeye ndiyo aliyopanga kumtoa Msigwa ili kura apigiwe ba tule mwenye sura kama Nyani

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael61233 күн бұрын

    Afadhali angehamia kipindi cha ndugu yake JPM.

  • @MsetiMagabe
    @MsetiMagabe3 күн бұрын

    Peter mungu anakuona

  • @fadhilikyandofadhilikyando5666
    @fadhilikyandofadhilikyando56663 күн бұрын

    Chadema ni watu siyoo mtu kwahyo mtu awezi kuwapa tabu watuuu wapo waxuri ndani ya chama kuxidi yeye

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz3 күн бұрын

    Amechelewa sana na anaendekeza sana njaa,angehamia kipindi kile cha Magufuli angekula dodo.

  • @andrewkissava9184
    @andrewkissava91843 күн бұрын

    Magret polepole wewe ndo saka tonge na richawa lililo kubuhu la mama kulemba

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448Күн бұрын

    mzee wa kazi pole sana,ila ukweli CHADEMA uongozi wa juu kuna shida.1.Ubinafsi wa Mh Mbowe ajenge taasisi sio kuigeuza sacoss yake.2.Mhe Lisu ni mtu intelligent sana na mkweli,amelalamika sana hivi majuzi kuwa CHADEMA imepewa hongo kubwa,na akaonya pesa hizo akiziita za Mama Abdul hazitawaacha salama.3.Kina Halima Mdee na wenzie swala likoje?CHADEMA shida ipo kubwa japo CCM kuna majizi na mafisadi

  • @ottomap-u2i
    @ottomap-u2i3 күн бұрын

    nibora kuwa ccm ijulikane. kuliko kuwa chadema na mawazo ya ccm.

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l3 күн бұрын

    Mwisho wa hatua moja ni mwanzo wa hatua nyingine Nawahakikishia Msigwa atachuja kisiasa soon Na wala CDM Haitashuka viwango eti kwa kuwa Peter Msigwa kahamia CCM

  • @mohamedmoledina6403
    @mohamedmoledina64033 күн бұрын

    Chadema panueni democrasia acheni kumlalamikia msigwa

  • @healingsschool4630
    @healingsschool46303 күн бұрын

    EPHESIANS 6:12 Vita vyetu sio juu ya Damu na nyama bali juu ya principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places.

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852Күн бұрын

    Wanasiasa kama hawa kama tungekuwa somalia mnamalizana nae tu

  • @jolitabukabengwe3070
    @jolitabukabengwe30703 күн бұрын

    Mwenyekiti wenu ndugu Mbowe ndiyo tatizo kubwa bana.

  • @evelina9621
    @evelina96213 күн бұрын

    Mungu.hajamchagua.yuko.atayekujabora.zaidi.kuliko.msg

  • @user-qk9iz5lt8q
    @user-qk9iz5lt8q3 күн бұрын

    CHADEMA BADILISHENI UTARATIBU LA SIVYO WATU WATASHINDWA KWA KWENDA, MSIGWA HAJAPENDA KABISA KWENDA CCM , NI HASIRA 2 KUTOKANA ZULUMA ZA UCHAGUZI

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole74383 күн бұрын

    Mchezo umekwisha Chadema hampati kitu tena kwanini nilishasema Chadema ni Wasaka tonge tu hawana lolote nyie wazee mtoke Mbowe utoke kwenye Uwenyekiti Msigwa umeleta raha sanaaaa karibu Ccm yetu

  • @samsonphilipo7153

    @samsonphilipo7153

    3 күн бұрын

    🎉Hujui unachokiongea wewe

  • @AYUBURUGOYE
    @AYUBURUGOYE3 күн бұрын

    LEMAKAZAMWENDO TUNAKUTEGEMEA SAAANA MUNGU AWE NAWE ILAKWELI KUAGANAKUNATIA HUZUNI HASAKWA ANAYE ONDOKAANA ACHAUKIWA HATAKAMANIMBAYA MSIGWA RUDI TAFADHALI WEWENIMCHUNGAJI ONYESHA NURU IWAKE MIMISINALOLOTE LAKINISITANGITANGI

  • @RobertMushi-yh7re
    @RobertMushi-yh7re3 күн бұрын

    Haya Silaa alifanya hayo hayo muwe makini

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t2 күн бұрын

    Mbowe ndo amekufanya uwe mbunge miaka kumi ngoja tuone utakako enda

  • @rahiyamohamed65
    @rahiyamohamed653 күн бұрын

    Alisema akienda ccm nyumba yake na magari yake yacjomwe moto

  • @henrymligo2440
    @henrymligo2440Күн бұрын

    Msigwa unatamaa ya madaraka na pesa.

  • @ulomirabiel6980
    @ulomirabiel69803 күн бұрын

    Kama kweli unasimamia unachokiamini huwezi kuhama kwa sababu tu umekosa cheo. Wanasiasa mnawakosesha wananchi imani. Ina maana na hata prof nae angekosa cheo angeacha chama tuu? Hakika huko ulikoenda haufiti.

  • @melichmahingule2896
    @melichmahingule28963 күн бұрын

    Wana siasa ni wanafiki

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi3 күн бұрын

    Ccm inavuna ilichopanda

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi70013 күн бұрын

    Msigwa asingehama mwenyekitiwake angemfanya chochote wee lema si unajuwa???? Mambo yale ya chachawangwe ilikuwa hatareeeee!

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi3 күн бұрын

    Uyu anatamaa na viewo ata ccm wajiagarie mana ni hatari kwao

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma76163 күн бұрын

    mimi nilitarajia atahamia ccm tangia enzi za magufuli ila sihui kilimzuia nini mwendo wake ulikua unaonyesha dhahirr mjinga huyu

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i3 күн бұрын

    Kwanini msigwa anaandikiwa cha kusema

  • @fidelludemwa7223
    @fidelludemwa72233 күн бұрын

    Lema mwenyewe anaondoka mda wowote usione anaumia ni sababu ya ( FARU JOHN) JANA alikuwa kapiga kubwa anajirambatu ndiyo maana TINDILUSI 😅😅😅😂😂😂😂 KATOKOMEA KUSIKO JULIKANA KWA SABABU YA MBOOOWE CHAPOMBE

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o3 күн бұрын

    Msigwa shezi kabisa tena shizi sana

  • @user-xe8xv6so6s
    @user-xe8xv6so6s3 күн бұрын

    Kwa kweli. Viongozi mnatufundisha nini! Mimi wanachama wakawaida. Nitakuaje! Sijui uchu wa madalaka! Sio mbaya tuliumia na Akina halima mdee mwisho tumezoea. Na wametokea majembe mazuri.

  • @user-rn9og1rk3l
    @user-rn9og1rk3l3 күн бұрын

    CHADEMA ilikuwepo kabla ya Msingwa hajajiunga na CHADEMA kwahiyo msiwe wanyonge kiasi hicho Lets join to push on our Political part Msigwa alisha kuwa mnafiki siku nyingi sana

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge4183 күн бұрын

    Yuda

  • @user-cx1xz2is5d
    @user-cx1xz2is5d3 күн бұрын

    Njaa

  • @verdianabanabi2205

    @verdianabanabi2205

    3 күн бұрын

    Nhaa ni hatari.

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in3 күн бұрын

    Kumbe msigwa kilichokuweka chadema ni cheo, umeamua kuunga mkono wezi?, ningekuona wa maana sana kama ungehamia ACT

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u3 күн бұрын

    Hapa kuna kitu cha kujifunza hatuna upknzani kabisa kwani huwezi kuwa mpinzani una njaa

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella2053 күн бұрын

    Njaa haina baunsa🤣

  • @sjdbxjdhsudjxjhd615
    @sjdbxjdhsudjxjhd6153 күн бұрын

    Dah kwa utaratibu huu unfiki unaendelea

  • @Ahdall
    @Ahdall2 күн бұрын

    Rubbish

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o3 күн бұрын

    Hata samia atawaumiza na kuwafukuza watu kwanini haufukuzi wati Zanzibar why shenzi sanzi sana

  • @user-bf9xj3nf1o
    @user-bf9xj3nf1o3 күн бұрын

    Msingwa ni msenge for real ataendelea kuma mpaka mwisho shenzi sana

  • @verdianabanabi2205

    @verdianabanabi2205

    3 күн бұрын

    Inaonekana una kisa na msigwa maana umemtukana tusi kubwa jamani.

  • @stevenjackson4985

    @stevenjackson4985

    2 күн бұрын

    Jiandae kuwatukana wengi maana wengi bado watahama.

  • @pantaleolaurentlaurentkavu2011
    @pantaleolaurentlaurentkavu20113 күн бұрын

    Siasa za uongo.daima hujenga chuki.tanzania tunahitaji maendeleo.Sgr.barabara .miradi usalama elimu.

  • @khalifasaidi7001

    @khalifasaidi7001

    3 күн бұрын

    Historia ya mwenyekiti huwa ni mbaya hakuna aliyeingia angazake alafu akasalimika, mfano zito kabwe au yaliyomkuta chachawangwe,,,,,huyo ni mwenyekiti wa maisha

  • @edsonmnego4030
    @edsonmnego40303 күн бұрын

    Huyu Mzee acha akafie Kwa wazee wenzie huko

  • @hassankidilikia5566
    @hassankidilikia55663 күн бұрын

    Mipango yetu kuivuluga ccm

  • @estermark
    @estermark3 күн бұрын

    Huyu alishaonyesha sikunyingi tangu alipolipiwa fain na makofuli huyu aendetu

  • @NardhisMhagama-sy3eq
    @NardhisMhagama-sy3eq3 күн бұрын

    Angevumilia kwani lazima awe mwenyekiti nafasi si zipo nyingi kuwa mvumilivu kama makonda kaka benchi mda gani huyu sio mwana siasa kwasababu huu angalieni historia yake Ali ingiaje cdm baada ya mwakalebela kukataliwa na wananchi umuhimu

  • @japhetringo7688
    @japhetringo76883 күн бұрын

    Njaaa tuu apo uwaziri

  • @user-dk3ou5yk2f
    @user-dk3ou5yk2f3 күн бұрын

    MUNGU MWENYEZI atakuhukumu sawasawa na usaliti wako Umetimia imani ya watu wa Iringa kukuamini kama Mchungaji kumbe ni Yuda Iskariote Sawa utapewa uwenyekiti wa CCM na hatimae utapitshwa bila kupingwa kuwa Rais vyeo ulivyonyimwa na MBOWE LKI kwakuwa MUNGU ni WA haki atatenda haki

  • @user-jj7qv7kh2s
    @user-jj7qv7kh2s3 күн бұрын

    Hili ni pigo kwa chadema japo wanajikaza tuu.

  • @MonayLai
    @MonayLai3 күн бұрын

    Ila jamani tuwe wakweli hy mchungaji kama dishi lilishayumba siku nyingi tokea wakati wa maguila ila tu nafsi ilimsuta ndio akaasita ila sasa njaa haina aibu safari hii ameona heri kuingia kwenye pango la wanyang’anyi nimgemuelewa kama angeamua kurudi tu kanisakutumikia uchungaji wake?

  • @walidmgonja3644

    @walidmgonja3644

    3 күн бұрын

    Ni kweli,ametoka kwenye genge la majambazi ameingia kwenye chama cha walafi

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp3 күн бұрын

    Yaani huyu hastahili hata kumwita mchungaji mwiteni tu msingwa msaliti mkubwa wewe Huna ata aibu kauso kakavu

  • @AbelJohn-tx4in
    @AbelJohn-tx4in3 күн бұрын

    Kumbe msigwa ulivyo kuwa unapiga kelele kuhusu bandari ulikuwa mnafiki mkubwa, kumbe wewe ni ziro brain

  • @ibrahimsirajikaru1010
    @ibrahimsirajikaru10103 күн бұрын

    Kesho nawe kamfate

  • @victoriamaige2862
    @victoriamaige28622 күн бұрын

    Nimeumia km MCH anaweza kuondoka wakati Huu nguvu mliyotumia kuhamasisha umma Leo mmeanza kubomoa Tena hv mpaka lini

  • @evelina9621
    @evelina96213 күн бұрын

    Usimie.lema.wako.wengi.wazuri.wenye.uwezo.mkubwa

Келесі