"Nimeumia sana" GODBLESS LEMA AUMIZWA NA TAARIFA ZA MCHUNGAJI MSIGWA KUHAMIA CCM //ATAMANI HAYA
Жүктеу.....
Пікірлер: 62
@margarethpolepole74383 күн бұрын
Umefanya vizuri Lema imebidi Msigwa aondoke Mbowe kamfanyia vibaya yeye ndiyo aliyopanga kumtoa Msigwa ili kura apigiwe ba tule mwenye sura kama Nyani
@albertinamichael61233 күн бұрын
Afadhali angehamia kipindi cha ndugu yake JPM.
@MsetiMagabe3 күн бұрын
Peter mungu anakuona
@fadhilikyandofadhilikyando56663 күн бұрын
Chadema ni watu siyoo mtu kwahyo mtu awezi kuwapa tabu watuuu wapo waxuri ndani ya chama kuxidi yeye
@MathewNathan-yb2bz3 күн бұрын
Amechelewa sana na anaendekeza sana njaa,angehamia kipindi kile cha Magufuli angekula dodo.
@andrewkissava91843 күн бұрын
Magret polepole wewe ndo saka tonge na richawa lililo kubuhu la mama kulemba
@jeanmusamba8448Күн бұрын
mzee wa kazi pole sana,ila ukweli CHADEMA uongozi wa juu kuna shida.1.Ubinafsi wa Mh Mbowe ajenge taasisi sio kuigeuza sacoss yake.2.Mhe Lisu ni mtu intelligent sana na mkweli,amelalamika sana hivi majuzi kuwa CHADEMA imepewa hongo kubwa,na akaonya pesa hizo akiziita za Mama Abdul hazitawaacha salama.3.Kina Halima Mdee na wenzie swala likoje?CHADEMA shida ipo kubwa japo CCM kuna majizi na mafisadi
@ottomap-u2i3 күн бұрын
nibora kuwa ccm ijulikane. kuliko kuwa chadema na mawazo ya ccm.
@user-rn9og1rk3l3 күн бұрын
Mwisho wa hatua moja ni mwanzo wa hatua nyingine Nawahakikishia Msigwa atachuja kisiasa soon Na wala CDM Haitashuka viwango eti kwa kuwa Peter Msigwa kahamia CCM
EPHESIANS 6:12 Vita vyetu sio juu ya Damu na nyama bali juu ya principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places.
@lucaschisamalo2852Күн бұрын
Wanasiasa kama hawa kama tungekuwa somalia mnamalizana nae tu
@jolitabukabengwe30703 күн бұрын
Mwenyekiti wenu ndugu Mbowe ndiyo tatizo kubwa bana.
CHADEMA BADILISHENI UTARATIBU LA SIVYO WATU WATASHINDWA KWA KWENDA, MSIGWA HAJAPENDA KABISA KWENDA CCM , NI HASIRA 2 KUTOKANA ZULUMA ZA UCHAGUZI
@margarethpolepole74383 күн бұрын
Mchezo umekwisha Chadema hampati kitu tena kwanini nilishasema Chadema ni Wasaka tonge tu hawana lolote nyie wazee mtoke Mbowe utoke kwenye Uwenyekiti Msigwa umeleta raha sanaaaa karibu Ccm yetu
Mbowe ndo amekufanya uwe mbunge miaka kumi ngoja tuone utakako enda
@rahiyamohamed653 күн бұрын
Alisema akienda ccm nyumba yake na magari yake yacjomwe moto
@henrymligo2440Күн бұрын
Msigwa unatamaa ya madaraka na pesa.
@ulomirabiel69803 күн бұрын
Kama kweli unasimamia unachokiamini huwezi kuhama kwa sababu tu umekosa cheo. Wanasiasa mnawakosesha wananchi imani. Ina maana na hata prof nae angekosa cheo angeacha chama tuu? Hakika huko ulikoenda haufiti.
@melichmahingule28963 күн бұрын
Wana siasa ni wanafiki
@MalamboSelijusi3 күн бұрын
Ccm inavuna ilichopanda
@khalifasaidi70013 күн бұрын
Msigwa asingehama mwenyekitiwake angemfanya chochote wee lema si unajuwa???? Mambo yale ya chachawangwe ilikuwa hatareeeee!
@MajutoElliasi3 күн бұрын
Uyu anatamaa na viewo ata ccm wajiagarie mana ni hatari kwao
@khamisjuma76163 күн бұрын
mimi nilitarajia atahamia ccm tangia enzi za magufuli ila sihui kilimzuia nini mwendo wake ulikua unaonyesha dhahirr mjinga huyu
@user-fw6dp9iy4i3 күн бұрын
Kwanini msigwa anaandikiwa cha kusema
@fidelludemwa72233 күн бұрын
Lema mwenyewe anaondoka mda wowote usione anaumia ni sababu ya ( FARU JOHN) JANA alikuwa kapiga kubwa anajirambatu ndiyo maana TINDILUSI 😅😅😅😂😂😂😂 KATOKOMEA KUSIKO JULIKANA KWA SABABU YA MBOOOWE CHAPOMBE
@user-bf9xj3nf1o3 күн бұрын
Msigwa shezi kabisa tena shizi sana
@user-xe8xv6so6s3 күн бұрын
Kwa kweli. Viongozi mnatufundisha nini! Mimi wanachama wakawaida. Nitakuaje! Sijui uchu wa madalaka! Sio mbaya tuliumia na Akina halima mdee mwisho tumezoea. Na wametokea majembe mazuri.
@user-rn9og1rk3l3 күн бұрын
CHADEMA ilikuwepo kabla ya Msingwa hajajiunga na CHADEMA kwahiyo msiwe wanyonge kiasi hicho Lets join to push on our Political part Msigwa alisha kuwa mnafiki siku nyingi sana
@giftkalenge4183 күн бұрын
Yuda
@user-cx1xz2is5d3 күн бұрын
Njaa
@verdianabanabi2205
3 күн бұрын
Nhaa ni hatari.
@AbelJohn-tx4in3 күн бұрын
Kumbe msigwa kilichokuweka chadema ni cheo, umeamua kuunga mkono wezi?, ningekuona wa maana sana kama ungehamia ACT
@user-ig5yn4zp2u3 күн бұрын
Hapa kuna kitu cha kujifunza hatuna upknzani kabisa kwani huwezi kuwa mpinzani una njaa
@dennisungonella2053 күн бұрын
Njaa haina baunsa🤣
@sjdbxjdhsudjxjhd6153 күн бұрын
Dah kwa utaratibu huu unfiki unaendelea
@Ahdall2 күн бұрын
Rubbish
@user-bf9xj3nf1o3 күн бұрын
Hata samia atawaumiza na kuwafukuza watu kwanini haufukuzi wati Zanzibar why shenzi sanzi sana
@user-bf9xj3nf1o3 күн бұрын
Msingwa ni msenge for real ataendelea kuma mpaka mwisho shenzi sana
@verdianabanabi2205
3 күн бұрын
Inaonekana una kisa na msigwa maana umemtukana tusi kubwa jamani.
@stevenjackson4985
2 күн бұрын
Jiandae kuwatukana wengi maana wengi bado watahama.
@pantaleolaurentlaurentkavu20113 күн бұрын
Siasa za uongo.daima hujenga chuki.tanzania tunahitaji maendeleo.Sgr.barabara .miradi usalama elimu.
@khalifasaidi7001
3 күн бұрын
Historia ya mwenyekiti huwa ni mbaya hakuna aliyeingia angazake alafu akasalimika, mfano zito kabwe au yaliyomkuta chachawangwe,,,,,huyo ni mwenyekiti wa maisha
@edsonmnego40303 күн бұрын
Huyu Mzee acha akafie Kwa wazee wenzie huko
@hassankidilikia55663 күн бұрын
Mipango yetu kuivuluga ccm
@estermark3 күн бұрын
Huyu alishaonyesha sikunyingi tangu alipolipiwa fain na makofuli huyu aendetu
@NardhisMhagama-sy3eq3 күн бұрын
Angevumilia kwani lazima awe mwenyekiti nafasi si zipo nyingi kuwa mvumilivu kama makonda kaka benchi mda gani huyu sio mwana siasa kwasababu huu angalieni historia yake Ali ingiaje cdm baada ya mwakalebela kukataliwa na wananchi umuhimu
@japhetringo76883 күн бұрын
Njaaa tuu apo uwaziri
@user-dk3ou5yk2f3 күн бұрын
MUNGU MWENYEZI atakuhukumu sawasawa na usaliti wako Umetimia imani ya watu wa Iringa kukuamini kama Mchungaji kumbe ni Yuda Iskariote Sawa utapewa uwenyekiti wa CCM na hatimae utapitshwa bila kupingwa kuwa Rais vyeo ulivyonyimwa na MBOWE LKI kwakuwa MUNGU ni WA haki atatenda haki
@user-jj7qv7kh2s3 күн бұрын
Hili ni pigo kwa chadema japo wanajikaza tuu.
@MonayLai3 күн бұрын
Ila jamani tuwe wakweli hy mchungaji kama dishi lilishayumba siku nyingi tokea wakati wa maguila ila tu nafsi ilimsuta ndio akaasita ila sasa njaa haina aibu safari hii ameona heri kuingia kwenye pango la wanyang’anyi nimgemuelewa kama angeamua kurudi tu kanisakutumikia uchungaji wake?
@walidmgonja3644
3 күн бұрын
Ni kweli,ametoka kwenye genge la majambazi ameingia kwenye chama cha walafi
@NancyMatuli-fb5jp3 күн бұрын
Yaani huyu hastahili hata kumwita mchungaji mwiteni tu msingwa msaliti mkubwa wewe Huna ata aibu kauso kakavu
@AbelJohn-tx4in3 күн бұрын
Kumbe msigwa ulivyo kuwa unapiga kelele kuhusu bandari ulikuwa mnafiki mkubwa, kumbe wewe ni ziro brain
@ibrahimsirajikaru10103 күн бұрын
Kesho nawe kamfate
@victoriamaige28622 күн бұрын
Nimeumia km MCH anaweza kuondoka wakati Huu nguvu mliyotumia kuhamasisha umma Leo mmeanza kubomoa Tena hv mpaka lini
Пікірлер: 62
Umefanya vizuri Lema imebidi Msigwa aondoke Mbowe kamfanyia vibaya yeye ndiyo aliyopanga kumtoa Msigwa ili kura apigiwe ba tule mwenye sura kama Nyani
Afadhali angehamia kipindi cha ndugu yake JPM.
Peter mungu anakuona
Chadema ni watu siyoo mtu kwahyo mtu awezi kuwapa tabu watuuu wapo waxuri ndani ya chama kuxidi yeye
Amechelewa sana na anaendekeza sana njaa,angehamia kipindi kile cha Magufuli angekula dodo.
Magret polepole wewe ndo saka tonge na richawa lililo kubuhu la mama kulemba
mzee wa kazi pole sana,ila ukweli CHADEMA uongozi wa juu kuna shida.1.Ubinafsi wa Mh Mbowe ajenge taasisi sio kuigeuza sacoss yake.2.Mhe Lisu ni mtu intelligent sana na mkweli,amelalamika sana hivi majuzi kuwa CHADEMA imepewa hongo kubwa,na akaonya pesa hizo akiziita za Mama Abdul hazitawaacha salama.3.Kina Halima Mdee na wenzie swala likoje?CHADEMA shida ipo kubwa japo CCM kuna majizi na mafisadi
nibora kuwa ccm ijulikane. kuliko kuwa chadema na mawazo ya ccm.
Mwisho wa hatua moja ni mwanzo wa hatua nyingine Nawahakikishia Msigwa atachuja kisiasa soon Na wala CDM Haitashuka viwango eti kwa kuwa Peter Msigwa kahamia CCM
Chadema panueni democrasia acheni kumlalamikia msigwa
EPHESIANS 6:12 Vita vyetu sio juu ya Damu na nyama bali juu ya principalities, against powers, against the rulers of the darkness of this world, against spiritual wickedness in high places.
Wanasiasa kama hawa kama tungekuwa somalia mnamalizana nae tu
Mwenyekiti wenu ndugu Mbowe ndiyo tatizo kubwa bana.
Mungu.hajamchagua.yuko.atayekujabora.zaidi.kuliko.msg
CHADEMA BADILISHENI UTARATIBU LA SIVYO WATU WATASHINDWA KWA KWENDA, MSIGWA HAJAPENDA KABISA KWENDA CCM , NI HASIRA 2 KUTOKANA ZULUMA ZA UCHAGUZI
Mchezo umekwisha Chadema hampati kitu tena kwanini nilishasema Chadema ni Wasaka tonge tu hawana lolote nyie wazee mtoke Mbowe utoke kwenye Uwenyekiti Msigwa umeleta raha sanaaaa karibu Ccm yetu
@samsonphilipo7153
3 күн бұрын
🎉Hujui unachokiongea wewe
LEMAKAZAMWENDO TUNAKUTEGEMEA SAAANA MUNGU AWE NAWE ILAKWELI KUAGANAKUNATIA HUZUNI HASAKWA ANAYE ONDOKAANA ACHAUKIWA HATAKAMANIMBAYA MSIGWA RUDI TAFADHALI WEWENIMCHUNGAJI ONYESHA NURU IWAKE MIMISINALOLOTE LAKINISITANGITANGI
Haya Silaa alifanya hayo hayo muwe makini
Mbowe ndo amekufanya uwe mbunge miaka kumi ngoja tuone utakako enda
Alisema akienda ccm nyumba yake na magari yake yacjomwe moto
Msigwa unatamaa ya madaraka na pesa.
Kama kweli unasimamia unachokiamini huwezi kuhama kwa sababu tu umekosa cheo. Wanasiasa mnawakosesha wananchi imani. Ina maana na hata prof nae angekosa cheo angeacha chama tuu? Hakika huko ulikoenda haufiti.
Wana siasa ni wanafiki
Ccm inavuna ilichopanda
Msigwa asingehama mwenyekitiwake angemfanya chochote wee lema si unajuwa???? Mambo yale ya chachawangwe ilikuwa hatareeeee!
Uyu anatamaa na viewo ata ccm wajiagarie mana ni hatari kwao
mimi nilitarajia atahamia ccm tangia enzi za magufuli ila sihui kilimzuia nini mwendo wake ulikua unaonyesha dhahirr mjinga huyu
Kwanini msigwa anaandikiwa cha kusema
Lema mwenyewe anaondoka mda wowote usione anaumia ni sababu ya ( FARU JOHN) JANA alikuwa kapiga kubwa anajirambatu ndiyo maana TINDILUSI 😅😅😅😂😂😂😂 KATOKOMEA KUSIKO JULIKANA KWA SABABU YA MBOOOWE CHAPOMBE
Msigwa shezi kabisa tena shizi sana
Kwa kweli. Viongozi mnatufundisha nini! Mimi wanachama wakawaida. Nitakuaje! Sijui uchu wa madalaka! Sio mbaya tuliumia na Akina halima mdee mwisho tumezoea. Na wametokea majembe mazuri.
CHADEMA ilikuwepo kabla ya Msingwa hajajiunga na CHADEMA kwahiyo msiwe wanyonge kiasi hicho Lets join to push on our Political part Msigwa alisha kuwa mnafiki siku nyingi sana
Yuda
Njaa
@verdianabanabi2205
3 күн бұрын
Nhaa ni hatari.
Kumbe msigwa kilichokuweka chadema ni cheo, umeamua kuunga mkono wezi?, ningekuona wa maana sana kama ungehamia ACT
Hapa kuna kitu cha kujifunza hatuna upknzani kabisa kwani huwezi kuwa mpinzani una njaa
Njaa haina baunsa🤣
Dah kwa utaratibu huu unfiki unaendelea
Rubbish
Hata samia atawaumiza na kuwafukuza watu kwanini haufukuzi wati Zanzibar why shenzi sanzi sana
Msingwa ni msenge for real ataendelea kuma mpaka mwisho shenzi sana
@verdianabanabi2205
3 күн бұрын
Inaonekana una kisa na msigwa maana umemtukana tusi kubwa jamani.
@stevenjackson4985
2 күн бұрын
Jiandae kuwatukana wengi maana wengi bado watahama.
Siasa za uongo.daima hujenga chuki.tanzania tunahitaji maendeleo.Sgr.barabara .miradi usalama elimu.
@khalifasaidi7001
3 күн бұрын
Historia ya mwenyekiti huwa ni mbaya hakuna aliyeingia angazake alafu akasalimika, mfano zito kabwe au yaliyomkuta chachawangwe,,,,,huyo ni mwenyekiti wa maisha
Huyu Mzee acha akafie Kwa wazee wenzie huko
Mipango yetu kuivuluga ccm
Huyu alishaonyesha sikunyingi tangu alipolipiwa fain na makofuli huyu aendetu
Angevumilia kwani lazima awe mwenyekiti nafasi si zipo nyingi kuwa mvumilivu kama makonda kaka benchi mda gani huyu sio mwana siasa kwasababu huu angalieni historia yake Ali ingiaje cdm baada ya mwakalebela kukataliwa na wananchi umuhimu
Njaaa tuu apo uwaziri
MUNGU MWENYEZI atakuhukumu sawasawa na usaliti wako Umetimia imani ya watu wa Iringa kukuamini kama Mchungaji kumbe ni Yuda Iskariote Sawa utapewa uwenyekiti wa CCM na hatimae utapitshwa bila kupingwa kuwa Rais vyeo ulivyonyimwa na MBOWE LKI kwakuwa MUNGU ni WA haki atatenda haki
Hili ni pigo kwa chadema japo wanajikaza tuu.
Ila jamani tuwe wakweli hy mchungaji kama dishi lilishayumba siku nyingi tokea wakati wa maguila ila tu nafsi ilimsuta ndio akaasita ila sasa njaa haina aibu safari hii ameona heri kuingia kwenye pango la wanyang’anyi nimgemuelewa kama angeamua kurudi tu kanisakutumikia uchungaji wake?
@walidmgonja3644
3 күн бұрын
Ni kweli,ametoka kwenye genge la majambazi ameingia kwenye chama cha walafi
Yaani huyu hastahili hata kumwita mchungaji mwiteni tu msingwa msaliti mkubwa wewe Huna ata aibu kauso kakavu
Kumbe msigwa ulivyo kuwa unapiga kelele kuhusu bandari ulikuwa mnafiki mkubwa, kumbe wewe ni ziro brain
Kesho nawe kamfate
Nimeumia km MCH anaweza kuondoka wakati Huu nguvu mliyotumia kuhamasisha umma Leo mmeanza kubomoa Tena hv mpaka lini
Usimie.lema.wako.wengi.wazuri.wenye.uwezo.mkubwa