Dogo Janja: Sijutii kufunga ndoa na Irene Uwoya, sijamblock, sijawahi kupenda kama ninavyopenda sasa
Sehemu ya pili ya #ChillnaSky, Dogo Janja anazungumzia ndoa yake na Irene Uwoya, uhusiano wake wa sasa na Queen Lina Toto na jinsi maisha yake yalivyobadilika
Пікірлер: 49
Huyu mi nampenda saaana, ana akili mingi kweli. Pia anaheshimu wanawake even thou no one is perfect!! Well, nice interview Sky!!N big up Dogo Janja, much Love!!❤
Me and my hubby love dogo Janka so sooooo much,he's young but very brave and humble.msalimie sana Queen she's also adorable.love from narobiii
I have enjoyed a lot the the interview n Uko vzuri sana mzazi sky piya janjaro yuko intelligent anafunguka so kiujumla interview imefana.... 🔥 🔥 🔥
Dah hongera sana aisee ulipitia wakat mgumu sana, halafu sasa janjaro umenenepaaaa
Ni mdogo ila anaakli sana anajua kujielezea sana
Napenda sana interview ya Dogo Janja, nime enjoy sana hapa. Katika kuchekesha nilitaka kushangaa umemsahau benpize
Dogo janja yuko so mature 😘😘😘 nice interview bro sky
Wakenyan's love you Janjaro❤❤❤🇰🇪Karibu kwetu kila siku
@pilikhamis2924
4 жыл бұрын
Duuh dogo uko vzr sana sio utani
I can listen to this guy all day. Alafu design kama anaongeanga kiswahili ya Kenya
Safi sana a
😂😂Napenda dogo anavyoongea but bro unauliza maswari vizuri sana
Mashaallah we janjaro noma unajielewa inshaallah tuone ndowa amen
Janjaro anaongea point sana asee haraf achoshi cjawah kujua asee😂
Dogo naomba unipende navyo kupenda😘😢
@nomaboytz
4 жыл бұрын
Ester naomba mawasiliano yako
Dogo janja God bless you much
Very entertaining to listen to..
*Aiseee interview imepatana na utaratibu yaani CHILL NA SKY ni kiboko JANJA matukio tu*
Skywalker you have earn my subscription because of your humbleness and professionally on interviews
Nice
waoo
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥janjalo
Mmh kali
Bora nisile kuliko mtu anung'ung'unike kwa ajili yangu🙌🏽 i like that👏🏽 dogo ana akili sana na upeo wa kupembua mambo🙏🏽
Sky nakukubalie sana bro
Asante sana nimepata kitu kikubwa sana
Eshima kwako dogo janja🙌
Jembe LA chugaa. Chalii unaongea mapoint tuu 🙏
Interview ya leo nzuri
Kila la heri mzee wa NURU uko vizuri
Kila LA kher penzi lenu lifike mbali
Fungenindow
Interview imekaa poa sana bro
Janjaro✋✋✋
Fungenindo aceni kuzini zini
By the way Corona imeingia Tz mmeskia iyo?? Be careful yo'all, this thing is not a game!😒
Kila La kheri
Wenoma
Vita kubwa kubwa
Janjaro
furaha pasi na kifani
Jmn wa iraq kzread.info/dash/bejne/gomNspZxks6qqbQ.html
Tanzania patamu Sana kutoka siweziii😂😂😂🤗,acha tujipoze na Corona kwakweliiii Kama ni mpenzi wa vitu vya asilia karibu katika Chanel yangu na subscribe uwe mtu was kwanza kujipatia mafunzo yangu live📢📢📢📢📢
@nuruamani4014
4 жыл бұрын
Nakupenda sanaa janjaloo unahakili sana spend SAA
@janethmuziranenge5024
4 жыл бұрын
Huyu dogo akili nyingi nakapenda sana
Kumbe unatambuwa kwamb choz l mwanamke ni baya, na hasa akiwa Ana haki, penda San dog janja
Nice
Dogo janja me namkubal tu yan na mkunal akitoa ngoma mbov hua naumia kmbas