Mashabiki waumizwa na video ya Wema akipokelewa na mbwa wake Manunu airport

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 40

  • @EvaJuakaliTV
    @EvaJuakaliTV16 күн бұрын

    Mungu Amsaidie Next time apokelewe na Mtoto wake mwenyewe Inshaallah

  • @NtakarutimanaIriho

    @NtakarutimanaIriho

    16 күн бұрын

    Sini mungu alikua anamupa akitoa ebu wacha kusingizia mungu

  • @rehemathoya8754

    @rehemathoya8754

    15 күн бұрын

    Hapo umesema

  • @TrinaRoman345
    @TrinaRoman34516 күн бұрын

    Binafsi ckupenda alivyoweka wazi kuwa alitoa mimba mbili..cjui alipatwa na nini mtaani wengi wanaporomosha mitoto na wanavunga tu.. lkn kuweka kwake wazi mbele ya jamii na Mungu wake itamtafuna maishani mwake

  • @pikanaauntzuu1466

    @pikanaauntzuu1466

    15 күн бұрын

    Ndio ukifiria mambo aliyoyafanya unaweza usimuhurumie maana wanajisahau sana km ujana una mwisho

  • @wemakalama6458
    @wemakalama645816 күн бұрын

    Kwani tatizo liko wapi binadamu mna mambo kweli.

  • @suzysam6002
    @suzysam600216 күн бұрын

    Ipo siku MUNGU wa mbinguni atamkumbuka atampa watoto ,

  • @ContentSmartphone-rq6po

    @ContentSmartphone-rq6po

    16 күн бұрын

    Labda watoto wa mbwa😢

  • @stellachalamila7455

    @stellachalamila7455

    16 күн бұрын

    Akome kutoa mimba hayo ndio majibu yake

  • @NtakarutimanaIriho

    @NtakarutimanaIriho

    16 күн бұрын

    Wale wenye alikua anatowa walukua vidudu ama??

  • @jassonnelly3445

    @jassonnelly3445

    16 күн бұрын

    Wakati alipewa akawa anazitoa si alipewa na kanumba ila ujanja wa mjini akajiona star

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc15 күн бұрын

    Dada wema jaribu ata kuadapt mtoto uwe unaishi naye na kumlea,inaleta baraka pia kuna sio lazima umlee mtoto wa kutoka tumboni mwako, wakati ukifika mungu atakupa asipokupa pia unatakiwa kushukuru kwa yote

  • @nindymuruga4798
    @nindymuruga479815 күн бұрын

    Sasa ubaya uko wapi ndio kitu kinampa furaha jamani mbwa ukimpenda nae atakupendeza haingiliani na kukosa mtoto

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja971315 күн бұрын

    Watanzania bado tupo nyuma Sana kwani .chaajabu nini hapo Ange kuwaa mzungu hapo tusinge yasikia. Lakini ni vile ni WEMA.kapokelewa na nunu kwa furakha kimewakera mmmmh lakini kila mtu na maisha yake hata angepokelewa na mavi yake mngestaaajabu. Tuelimike.hakuna cha ajabu hapo.Lov❤❤❤❤WEMA.

  • @zahararamadhanisalmu395
    @zahararamadhanisalmu39516 күн бұрын

    Kwann asi hasili mtoto mbona watoto wapo wengi2 hawana mama

  • @kiningashukran5177
    @kiningashukran51779 күн бұрын

    Kwa uwezo Mwenyezi Mungu 2026 atakuwa na watoto

  • @ankalmzito254
    @ankalmzito25415 күн бұрын

    😂😂😂manyunyu mwenyewe hana hata habari....

  • @starjay3052
    @starjay305216 күн бұрын

    asa kizazi ana atapokelewa na nani unazani 😁😁🤣🤣😂😂

  • @hopechidera
    @hopechidera16 күн бұрын

    Hiyi dunia ya leo kama Wema hajazaa nikutaka kwake tu. Watoto wanapandikizwa sana,na sperm banks zinajaa ma hospitals nyingi...

  • @sidonie-vi2mu

    @sidonie-vi2mu

    14 күн бұрын

    Iyo nikweli ajapenda kuzaaa tu kwasababu ana hela yakumulipa mtu amuzaliye mutoto wake, inawezekana

  • @aminamohamed8969
    @aminamohamed896915 күн бұрын

    Bora ao wanyama kama binaadam loh binaadam wanakupiga tukio mishuzi inakutoka ovyo kwa stress

  • @rehemathoya8754
    @rehemathoya875415 күн бұрын

    It is OK, very OK,

  • @hamisitsuma-rc2ej
    @hamisitsuma-rc2ej15 күн бұрын

    +254 hapa wema anamalizia bila mboga😂

  • @nancyg8664
    @nancyg866415 күн бұрын

    mbona kawaida jmn tatizo hatujazoea uzungu😂😂

  • @jassonnelly3445
    @jassonnelly344516 күн бұрын

    Wakati alipewa akawa anazitoa si alipewa na kanumba ila ujanja wa mjini akajiona star

  • @henriettenkuba3240
    @henriettenkuba324016 күн бұрын

    Ndio sababu hapate moto maa na umbwa ndiye kamuweka akilini.mungu anacukizwa n'a hayo

  • @NOELKISONGA
    @NOELKISONGA16 күн бұрын

    Nenda kwa Mwamposa

  • @annamussa185
    @annamussa18515 күн бұрын

    Ukitoa mimba sana lazima upokelewe na mbwa coz mtoto huwezipata,Kila upandacho lazima uvune

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania153914 күн бұрын

    Watoto wamejaa kwenye vituo vya watoto wenye uhitaji wa wazazi Kwanini asiende kuchota akingoja Wakati sahihi wa Mungu kwake?

  • @FredrickMatiku-xf2uk
    @FredrickMatiku-xf2uk16 күн бұрын

    Wemaaa aje tu nimpe mbeguuuu zangu zinagundiiiii zinakamata nzito aje nimpe mimbaaaa tu namfanyiaaaa bureeee simchaji pesa

  • @isaacramadhan9721
    @isaacramadhan972115 күн бұрын

    Kuja kenya nikupeleke kwa mtu kazi kizazi kitarudi ndani ya siku 3

  • @pikanaauntzuu1466
    @pikanaauntzuu146615 күн бұрын

    Kwa hiyo watu hawajamuona yule alipokea mabegi wamemuona manunu tu ifike mahali mumuache nyie mashabiki ndio mnamfanyaga anajilizaliza kila siku

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra63616 күн бұрын

    Eti mama yake!😢

  • @muanashaswaleh5110
    @muanashaswaleh511016 күн бұрын

    Kwa mwamposa akafanye nini kama ali mwaga mwaga mimba kama mbili ama 3 hukujua ume pangiwa wa ngapi tusidanganywe nausichana tukajuta baadae

  • @claudejc8648
    @claudejc864816 күн бұрын

    Aje nimuzalishe

  • @AbrahmanHamad-ld3gp
    @AbrahmanHamad-ld3gp15 күн бұрын

    Sasa atapateje mtoto wakati hajaolewa

  • @EstaDaffi-wg5cr
    @EstaDaffi-wg5cr16 күн бұрын

    Akiwa anampokea nani????

  • @derickkarugila5766
    @derickkarugila576616 күн бұрын

    Is there any problem?

  • @jeanneandfrancislifestyle1518

    @jeanneandfrancislifestyle1518

    16 күн бұрын

    No but we all wish wema to get baby one day 😢🙏🏾

  • @milamila8653
    @milamila865316 күн бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

Келесі