Dizasta Vina - Siku Mbaya

Музыка

Stream And download SIKU MBAYA
Audiomack - audiomack.com/song/dizasta-vi...
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Boomplay - www.boomplay.com/songs/646553...
Apple Music - music.apple.com/us/album/siku...
Spotify - open.spotify.com/track/65361i...
Follow Dizasta Vina on socials
FACEBOOK - / dizastavina07
TWITTER - / dizastavina
INSTAGRAM - / dizastavina
Music video by Dizasta Vina performing SIKU MBAYA. (C) 2018
PanoramaAuthentik
Lyrics
[Yeah!
Black market!
Ringle Beatz!
Nakurupuka kitandani baada ya ndoto za kutisha
Moyo unadunda sana na jasho linanitiririka
Macho nafikicha, taswira, naona kiza
Kwa muda nasizi kimya na dakika zinapita
Zikijirudia ndoto hatari naona woga
Nakosa hoja napotafakari nilichoota
Namwamsha wife aniwekee maji ya kuoga
Ananijibu anahisi homa na mwili mzima umechoka
Nampa pole, Staki kuanzisha zogo wala nini
Maana hata sura inaonesha ana kinyongo na mimi
Ni muda sasa napokua nae hajiamini
Nacheki saa nagundua nimechelewa kazini
Napiga zangu maji mwilini
And just for the record, Mimi ndo mtunza funguo za ofisini
Nakuta wafanyakazi na bosi wapo getini
Kwa ghadhabu kila mmoja akinitazama mimi
Kabla sijameza mate wala sijabuni sala
Naambiwa walikuja wazabuni kwa biashara
Na kwakua nilichelewa kufungua ofisi
Mchongo ukafa, nimeingizia kampuni hasara
Baada ya masaa kibao ya kufikiri
Ofisi ikaweka kikao kunijadili
Waliniona driver nimeangusha basi
Wakafikia mwafaka wakunifukuza kazi
Nikatahamaki, sikujua lakufanya
Pale kwenye kamati hakuna wa kumtazama
Nikahisi ni mipango ya kikuda imefanywa
Sio gari tu, maana hata nyumba nilinyang'anywa
Nikajiuliza huruma imekwenda wapi?
Kila mtu alijua kua nilipenda kazi
Niliheshimu kama navyoheshimu ndoa ama mzazi
Ama muumba, leo nimepata doa kwenye shati
Acha familia, vipi deni la ofisi
Wamenipa mwezi, nikifeli watanifilisi
Mtoto shule, pia bunju nina shamba la kukopa
Sijalipa na kijiji nina ndugu wa kutosha
Nguvu zilimalizika, nikatoka kwa adabu
Licha ya ghadhabu kunishika
Nikajipa moyo kua nna mikono pia na miguu
Vyote vyangu sina sababu ya kushindwa
Nilikosa wa kunishika wa kumweleza
Mshahara ulikua mdogo nilishindwa kuwekeza
Nikapiga moyo konde mimi mwanaume nita-fight
Nikpanda gari nikampe taarifa wife
Nikiwa ndani ya dimbwi la mawazo
Nikitafakari hivi vitimbi na vikwazo
Mbele yangu akakatiza mpita njia
Kwakua sikua makini na gari nikamvamiA
Dakika mbili, wananchi wakalizunguka gari
Wakinishutumu sana sababu ya mwendo mkali
Nikaitikia wito nikitegemea thawabu
Nikampeleka mgonjwa na akaanza matibabu
Narudi zangu home, misemo ya kishenzi nikitema
Chumbani nasikia mihemo ya mapenzi
Bila hodi, mlango nikaufungua kwa ghadhabu
Nikamkuta house-boy juu ya kifua cha mke wangu!
Nikabaki kama zuzu
Yule wa kunifariji ndio ameniletea uchungu
Nilitaka nilianzishe sikua na nguvu
Huku nafsi inanishauri kwamba nimwachie Mungu
Swalini kwamba sina moyo mkunjufu?
Au kwakua muda sijaenda kuabudu?
Au tuseme mja nina gundu?
Au kwakua nilijenga nyumba na sikuwajulisha ndugu?
Sijaona faida ya pato langu
Wazazi walikufa bila kula jasho langu
Mawazo kwenye kichwa yamezidi
Dunia ina watu wengi na sioni wa kunifariji
Naitazama ardhi, naitazama mbingu
Sioni nuru nachoona ni maumivu
Maswali mengi, bila majibu
Ila Swali kubwa ni vipi mimi nitaimaliza siku?
Jua linazama bado sijiamini
Naona nadondoka ila sioni nikifika chini
Saa tano na dakika hamsini
Bado dakika kumi siku iishe na sijui kinafata nini
Oh my God!

Пікірлер: 114

  • @dizastavina
    @dizastavina6 жыл бұрын

    Thank you for watching, Pakua audio hapa www.audiomack.com/artist/dizasta-vina

  • @davidlendoro4819

    @davidlendoro4819

    5 жыл бұрын

    Much respect.... Getting you from +254

  • @gun_vina7283

    @gun_vina7283

    4 жыл бұрын

    U are ze best rapper and my roll modal

  • @khalidyndi

    @khalidyndi

    4 жыл бұрын

    2020 weka vitu master

  • @mussamasanja5842

    @mussamasanja5842

    3 жыл бұрын

    uko saw jietekeze

  • @johngodlovenderingo.7591
    @johngodlovenderingo.75915 жыл бұрын

    Afadhali nimekutana na ngoma kali nilikuwa nazitafuta kila siku. Ahsante sana brother Dizasta

  • @silasmwamburi9284
    @silasmwamburi928411 ай бұрын

    Hakuna story Kali kama siku mbaya aisee anayebisha atoe ngoma tuiskize

  • @samcharzy4657
    @samcharzy46574 жыл бұрын

    Duuh unaweza kulia aisee hii movie hatarii...!!(kumbe nyimbo) unajua kilichoongelewa chote kinakuja Kama picha kichwani.🙌🏼🙌🏼

  • @stanleydancertz4099

    @stanleydancertz4099

    3 жыл бұрын

    Point bonge bonge#🙏

  • @kapolesyaba3133
    @kapolesyaba31336 жыл бұрын

    unatumia lugha ya kiswahili kwa ufasaha, pongezi sana kwako. ni vema wasanii mufahamu zaidi namna ya kuwa na mtiririko mzuri wa lugha, mfano MSTARI MMOJA NI VEMA UKAWA NA LUGHA MOJA HATA KAMA WIMBO UMEIMBWA KWA LUGHA ZAIDI YA MOJA. sio mambo ya "yoooh! nilimove fasta na binti nikamkonyezaa, she was pretty haswaa mwenye macho ya kulegeza....nk" hiyo inakuwa sio sanaa bali kinyaa. BIG UP sana #Dizastavina

  • @yaedlifemedia3203

    @yaedlifemedia3203

    4 жыл бұрын

    Uyu mchiz fundi

  • @dizastavina
    @dizastavina3 жыл бұрын

    Thank you for watching, subscribe

  • @PaWahMusic

    @PaWahMusic

    3 жыл бұрын

    Maaad bars. KE follwing

  • @dennishullu870

    @dennishullu870

    3 жыл бұрын

    Daaam

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36835 жыл бұрын

    Nikiona wanavyo pewa promo mabwege nahisi kulia kiukweli😭😭 Pia mimi nina kipaji ila cha kwako ni moto kaka🔥🔥🔥🔥💯💪💪🇰🇪

  • @yaedlifemedia3203

    @yaedlifemedia3203

    4 жыл бұрын

    Yah kwel kabisa

  • @diamondplatnumz.148kviews5
    @diamondplatnumz.148kviews5 Жыл бұрын

    2023 tujuane hapa👇👇👇👇

  • @chipanta
    @chipanta Жыл бұрын

    Tunaosikiliza 2023 tujuane

  • @niyitegekaedson670
    @niyitegekaedson6702 жыл бұрын

    This channel diserve my Subscription.🔥

  • @salimgeyana7547
    @salimgeyana75476 жыл бұрын

    Dizasta broh ubongo wako una kitu kukuubwa sana hii ni moja ya ngoma nnayoikubali sn toka kwako..Endlea kushusha zana mwana.

  • @enockmelita34

    @enockmelita34

    6 жыл бұрын

    Jamaa ana chora sana. Kazi safi'

  • @delymoebright9326
    @delymoebright9326 Жыл бұрын

    2023🔥🔥🔥

  • @abantuboy
    @abantuboy2 жыл бұрын

    Daiiim ..! Yo day was fuckd up foreal

  • @petersimon2115
    @petersimon21156 жыл бұрын

    Uko vzur sana Braza kazi nzur sana hii hongera

  • @greysonkisinda7390
    @greysonkisinda7390 Жыл бұрын

    The verteller again the verteller bro u got huge gift from God

  • @hassancrip237
    @hassancrip2372 жыл бұрын

    All the way from kenya...uyu mnigga ni hatari

  • @remyathuman3699
    @remyathuman3699 Жыл бұрын

    😭😭😭😭nikisikiliza ngoma zako uwa nalia kaka

  • @aidangeorge9842
    @aidangeorge98425 жыл бұрын

    proffesa wa tungo dizasta vina.

  • @sadamkasimumsagati5548
    @sadamkasimumsagati55483 жыл бұрын

    Nakubali uwezo wako dah nooooma Sana

  • @ZakariaJRobert
    @ZakariaJRobert7 күн бұрын

    Unawez❤

  • @donmgabotz2639
    @donmgabotz2639 Жыл бұрын

    Salute homie

  • @hassanaman5143
    @hassanaman51434 жыл бұрын

    I wish ningekuwa presenter wa radio au Tv ningekuwa na bonge la show kwa hizi ngoma mtaani.... tungefunika show zao zotee mbovu za mchana...

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia32034 жыл бұрын

    oya d ww unafanya real hip hop wasikubadilishe mwana stay kwenye njia yako boy u made it.nitafute muhim sana D

  • @daudminja8118
    @daudminja81182 жыл бұрын

    Salutiii zebabaaa 💪

  • @hamisimtimbile5679
    @hamisimtimbile56793 жыл бұрын

    dizasta ngoma zako ziko powa sana my Brother Big up

  • @mahaboubabdallakhamis7599
    @mahaboubabdallakhamis75996 жыл бұрын

    Da hip hop inatuweka sehemu yaani.niivyooo sisi hatuharibu umeme kwa wabana pua.no ngumu na kweliiii tuuuu.hiphophiphop.

  • @kochaa6096
    @kochaa60962 жыл бұрын

    We jamaa hufai🤣🔥

  • @mahaboubabdallakhamis7599
    @mahaboubabdallakhamis75996 жыл бұрын

    Nyumba ndogo.kanisa.no body safe.du hii ni kweli dizasta.Ila ni dizasta kwa fake rappers

  • @fredrobnson4599
    @fredrobnson45993 жыл бұрын

    Story teller mnoma sana Dizasta

  • @user-xt9cr9xu7h
    @user-xt9cr9xu7h7 ай бұрын

    fund mkal dizasta Ngoma Bado ya moto

  • @KasekeKm-pz9uq
    @KasekeKm-pz9uq6 ай бұрын

    Brother, unajua mpaka unawakera wanaaaaaa,😂😂😂😂😂❤❤❤❤

  • @poisontz9298
    @poisontz92984 жыл бұрын

    Naelewa xana uandishi wako kaka noma xana

  • @ballisticsound4796
    @ballisticsound47965 жыл бұрын

    daah asee apart from otherswe want these kind of artists too

  • @ussikhamisussi4882
    @ussikhamisussi48826 жыл бұрын

    Duh! Mwana unaandika vtu almasi.

  • @godfreymbwanga7750
    @godfreymbwanga77505 жыл бұрын

    jamaa anajua mpaka unaboa

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud4 жыл бұрын

    Kila nikiskiliza ngoma zako najifunza kitu

  • @erickdioniz8277
    @erickdioniz8277 Жыл бұрын

    Shidaaa sana

  • @hillarykerry6385
    @hillarykerry63852 жыл бұрын

    ONE LOVE FROM KENYA DOGO LANDU

  • @nellylwitiko6377
    @nellylwitiko6377 Жыл бұрын

    Daaah Hawa watoto wasijaribu kumpima Dizasta miaka 100

  • @Pigwanabutwaa
    @Pigwanabutwaa3 жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥😅😅😅daaah nakosa la kusema

  • @erickfestor4542
    @erickfestor45426 жыл бұрын

    safi sana mwanangu... kuna kimdundo fulani kama cha Jayz FT Alicia keys NEW YORK

  • @youngsamaritan6448
    @youngsamaritan64482 жыл бұрын

    motoooo huo

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 Жыл бұрын

    Bongo bahati mbaya

  • @hashimjombaa6129
    @hashimjombaa61295 жыл бұрын

    Nakusikiliza sana vina we ni mtu hatari

  • @godmwasikili525
    @godmwasikili5253 жыл бұрын

    Naelewa mziki wako upo kihalisia isee we jamaa ni hataree

  • @dizastavina

    @dizastavina

    3 жыл бұрын

    Thanks, please share

  • @twaibunyoni4020
    @twaibunyoni40205 жыл бұрын

    Tishaaaa SaNa ma boi Wewe ndie mC pekee tz

  • @fadhilykaduma3026
    @fadhilykaduma30263 жыл бұрын

    So sensitive...

  • @richardyusuphmsongolomakat2049
    @richardyusuphmsongolomakat20496 жыл бұрын

    Maandishi makubwa sana mzeee unachora kwa bikari nini....hahaaaaaa Rap

  • @user-ox3tg6sx4z
    @user-ox3tg6sx4z5 ай бұрын

    Vinaaa

  • @barackbakari4802
    @barackbakari48026 жыл бұрын

    disaster nakuelewa xana bro

  • @ramadhanimrisho2564
    @ramadhanimrisho2564 Жыл бұрын

    Vip xx kuhusu video

  • @permanentsolutions6494
    @permanentsolutions64943 жыл бұрын

    informative content, big tune +254 love

  • @amondimani2375
    @amondimani23755 жыл бұрын

    Yani dizasta ulijua nilichokua naitaji dahh

  • @jacksonimwasoni2520
    @jacksonimwasoni25203 жыл бұрын

    Great

  • @miseleyetutv6328
    @miseleyetutv63282 жыл бұрын

    Yeyeeee

  • @iddymbarak9709
    @iddymbarak9709 Жыл бұрын

    My favorite song

  • @isayamichael
    @isayamichael4 жыл бұрын

    Uko vizur broo

  • @greysonkisinda7390
    @greysonkisinda7390 Жыл бұрын

    2023 twende bado tunasikiliza

  • @nayraahmed8349
    @nayraahmed83492 жыл бұрын

    NC one

  • @UmarAMbuzi
    @UmarAMbuzi11 ай бұрын

    Bigap kaka❤🎉

  • @donmgabotz2639
    @donmgabotz2639 Жыл бұрын

    ur lyrics Live homie,big up

  • @leolaswai5784
    @leolaswai57846 жыл бұрын

    bad day...... shsss, this is fire Man.... one for the record.

  • @hamadmasud6092
    @hamadmasud60925 жыл бұрын

    Sana iko poa

  • @boda2bodaAfrica
    @boda2bodaAfrica9 ай бұрын

    🔥🔥🔥🔥🎤🎤🎤 much love from kampala Uganda

  • @MRNYUKITV
    @MRNYUKITV6 жыл бұрын

    iko pw san

  • @tariqkhassim4059
    @tariqkhassim4059 Жыл бұрын

    OH MY GOD

  • @rajabseif2301
    @rajabseif23016 жыл бұрын

    ila sio mbaya ukapiga double double hizi za kwetu na mainstream pia tunahitaji kuona unafanikiwa kupitia kipaji chako

  • @meshack2559
    @meshack25594 жыл бұрын

    Dizasta vina ni achecheee achecheaaaa noma

  • @fadhilmohamoud
    @fadhilmohamoud4 жыл бұрын

    Vina vimekaaa

  • @Shirimatunda
    @Shirimatunda Жыл бұрын

    Hii ni movie

  • @martinmendrad3531
    @martinmendrad35315 жыл бұрын

    Daaaaah mwanangu husikate tamaa kuandika hizi lyrics za kibabe

  • @manjpaul_johnsonmaula167
    @manjpaul_johnsonmaula1672 жыл бұрын

    Bro.... Nakukubali sana

  • @alonsodachi3564
    @alonsodachi35645 жыл бұрын

    Oyoo 2019 twende sawa

  • @yaedlifemedia3203
    @yaedlifemedia32034 жыл бұрын

    ebwana blessed sana d vina

  • @petromamba5777
    @petromamba5777 Жыл бұрын

    💯💯

  • @daudmaikomwakapoma213
    @daudmaikomwakapoma2132 жыл бұрын

    The verteller

  • @salumshambani3527
    @salumshambani35275 жыл бұрын

    extra odinary!

  • @godfreymbwanga7750
    @godfreymbwanga77505 жыл бұрын

    komaaa kk

  • @paulnchanjiwa8669
    @paulnchanjiwa86695 жыл бұрын

    Still watching

  • @godfreycleophas1371
    @godfreycleophas13717 ай бұрын

    🎉🎉

  • @selemanihussein6820
    @selemanihussein68204 жыл бұрын

    Respect bro

  • @EmmaMakwela
    @EmmaMakwela12 күн бұрын

    😮

  • @legawayz6093
    @legawayz60934 жыл бұрын

    Skills💪

  • @user-gf5kf4bd8j
    @user-gf5kf4bd8j8 ай бұрын

    Nc

  • @austinkomba5792
    @austinkomba57925 жыл бұрын

    Life time Experience in a Day. Too deep mzee

  • @zittotv9972

    @zittotv9972

    5 жыл бұрын

    austin komb

  • @mkuryawadarmkuryawadar5223
    @mkuryawadarmkuryawadar52233 жыл бұрын

    Nomaaa

  • @jafetlaizer9191
    @jafetlaizer91915 жыл бұрын

    wejamaa noma

  • @mosesabwao2673
    @mosesabwao26734 жыл бұрын

    good idea bro

  • @mospeciol
    @mospeciol6 жыл бұрын

    Fundi

  • @Joseph-hp7ws
    @Joseph-hp7ws5 жыл бұрын

    🔥🔥

  • @dullysix6683
    @dullysix66834 жыл бұрын

    Dizasta

  • @cassimmwinyi5764
    @cassimmwinyi57643 жыл бұрын

    Anzia leo nipo kwenye boat yako

  • @dizastavina

    @dizastavina

    3 жыл бұрын

    Karibu

  • @ziggyhendrixx7445
    @ziggyhendrixx74454 жыл бұрын

    ziggy hendrix signed

  • @winsonvincent2883
    @winsonvincent28833 жыл бұрын

    Bro siongei sana ila una akili kubwa

  • @manjalejuniorlg7024
    @manjalejuniorlg70246 жыл бұрын

    mzee mbona nyimbo zako ni nzuri ila zote hazina chorus

  • @dizastavina

    @dizastavina

    6 жыл бұрын

    mrmanjale jr napenda zikiwa hazina chorus

  • @manjalejuniorlg7024

    @manjalejuniorlg7024

    6 жыл бұрын

    POA POA MZEE BABA NYIMBO ZAKO CONTENT IKO POA SANA NIKUOMBEE KILALAHERI KTK SAFARI YAKO YA MUZIKI UTAFIKA MBALI KIKUBWA NI KUKAZA TU

  • @richardyusuphmsongolomakat2049
    @richardyusuphmsongolomakat20496 жыл бұрын

    Maandishi makubwa sana mzeee unachora kwa bikari nini....hahaaaaaa Rap

  • @youngsamaritan6448
    @youngsamaritan64482 жыл бұрын

    motoooo huo

Келесі