DIAMOND PLATNUMZ: MEDIA HIZI ZIMEJARIBU KUNIUA ZIMESHINDWA / ALIKIBA / SIJA MFOLLOW

Ойын-сауық

(PART3) EXCLUSIVE INTERVIEW NA DIAMOND PLATNUMZ KWA MARA YA KWANZA TIMES FM BAADA YA KUTOKA TU KENYA, KAONGEA MENGI SANA KUHUSU BEEF NA MEDIA, ZARI, ALBUM YAKE, WEMA, ALIKIBA, KUFUNGIWA NYIMBO NK.
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!

Пікірлер: 1 000

  • @kakamau0384
    @kakamau03842 жыл бұрын

    Yani mimi kila nikiisikiliza hii Interview ninapata uchungu na ninazidi mpenda Diamond Platnumz. Appreciate kwa Diamond Platnumz No one like Diamond Platnumz

  • @nelsonzakayo496
    @nelsonzakayo4964 жыл бұрын

    Maana Kuna media zingine sijui ufanye nini, labda wakulale, kama na wewe umesikia hapo gonga like

  • @mrbasit4718
    @mrbasit47184 жыл бұрын

    Natamani harmonize mjeshi aende kuirejea kuiangalia hii interview ili ajifunze kitu ktk safar yake mpya aliyoichagua. Mondi mungu azid kukupa na akuongezee ktk fungu ulilonalo. Hamo watu walipambana kwa ajili yako nawe pambana kwa ajili ya wengine. Wcb for life

  • @nshonabdll9363

    @nshonabdll9363

    4 жыл бұрын

    Sn yn maneno hayo yanamfaa sn korosho Hy maneno ya mtu mwenyeupeo wambali sn

  • @hoseanobocka4533
    @hoseanobocka45336 жыл бұрын

    Diamond we ni best artist in east Africa ,kuanzia Leo we ni professor wa interview mana unavyojibu haya maswali kama vle umesomea na una taaluma , appreciate Diamond

  • @jastinkigahe1359

    @jastinkigahe1359

    4 жыл бұрын

    Saaf

  • @kaulukaulusk1119

    @kaulukaulusk1119

    4 жыл бұрын

    katisha sana

  • @neemamgona3164

    @neemamgona3164

    3 жыл бұрын

    True

  • @tonypm5197
    @tonypm51973 жыл бұрын

    Interview kali sana hii kama unachek hadi leo 26/8/2020 gonga like apa

  • @hoseanobocka4533
    @hoseanobocka45336 жыл бұрын

    Ila we liloomy ni mchawi mana maswali nlyonayo ndo hayohayo unamuulza Diamond ,duuu we ni best presenter tz

  • @evancechangae
    @evancechangae4 жыл бұрын

    Kama umecheki hii interview hadi January 2020, gonga like hapa.

  • @rashidnjengo2126

    @rashidnjengo2126

    4 жыл бұрын

    Hkg

  • @mathiasstive6301

    @mathiasstive6301

    4 жыл бұрын

    Juni 13

  • @theoblesslesaf1285

    @theoblesslesaf1285

    4 жыл бұрын

    june 27

  • @dieudonnebigirimana8083

    @dieudonnebigirimana8083

    3 жыл бұрын

    Mpaka mwezi 10/2020

  • @kalebzacharia9302

    @kalebzacharia9302

    3 жыл бұрын

    Diamond

  • @nesomusic8703
    @nesomusic87035 жыл бұрын

    After 9 years ... Leo ndo nimemjua who really is Diamond Platinum

  • @sshaby52
    @sshaby524 жыл бұрын

    Kama bado unacheki iyi interview ya kizazi hadi 2019 Dec. gonga like apa twende sote

  • @alainkiss3848

    @alainkiss3848

    4 жыл бұрын

    Ina pendeza

  • @husseinc

    @husseinc

    4 жыл бұрын

    2020

  • @cktamunga2356

    @cktamunga2356

    4 жыл бұрын

    Pole kwa yoteupitiayo napendi ishuja uliyo nayo love you may dia

  • @anodymwambigija9462

    @anodymwambigija9462

    2 жыл бұрын

    2022 hinaish

  • @platnumztz4266
    @platnumztz42662 жыл бұрын

    Kama umeskia Neno bro mara 20 like hapa👇👇👇

  • @ericnzaro9138
    @ericnzaro91388 ай бұрын

    It remains the best interview of all time

  • @jacksonjoakim4115
    @jacksonjoakim41154 жыл бұрын

    Kam unaangalia hii intavy wakati lilommy amehamia wasafi tv

  • @lucialeonard2675
    @lucialeonard26754 жыл бұрын

    Kupitia interview hii nimejua kwa nn vannesa ameacha mzik respect sana kwa wasanii wote

  • @slimsan3859
    @slimsan38596 жыл бұрын

    The best interview ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever ever........... Haters I see ya...

  • @diamondplatnumz5598

    @diamondplatnumz5598

    4 жыл бұрын

    @Ali Ali we mkundu unawatukana sana watu na coment zao umetumwa ureply au??😋😋😋😋😋😋

  • @brownmwakanyamale9289
    @brownmwakanyamale92895 жыл бұрын

    Big up chibu dangote nimekuelewa sana kwa maelezo yako. Siku zote huwezi kupata hela paspo kupitia mikononi mwa watu .

  • @issakinono9124
    @issakinono91242 жыл бұрын

    Kama umeicheki hii interview 2021 like ziwe nyingi

  • @nicholasnthengemutinda

    @nicholasnthengemutinda

    7 ай бұрын

    2023 bado tupo

  • @antonycharles3733
    @antonycharles37333 жыл бұрын

    Iv diamond mbn una moyo mzur ivooo siamin mungu akusaidie

  • @youngkillermsodoki7664
    @youngkillermsodoki76646 жыл бұрын

    My Favorite Artist in Tanzania In bongo flvr Diamond platnumz simba On hip hop Young killer msodoki Both of them their Genius they has mkre talent They know how to live with people and other artist.

  • @kdf1246
    @kdf12464 жыл бұрын

    Jamaa anamkubali sana harmonize aisee mond mwana kinomaa

  • @abelharry_tz
    @abelharry_tz6 жыл бұрын

    Nikwambie kitu broo Wewe ndo the MVP broo Unatisha sana broo Me ni fun wako sana broo Unawapa taabu sana broo @Diamondplatnumz nakukbal sana broo

  • @luqmaankimoloni2375

    @luqmaankimoloni2375

    5 жыл бұрын

    BUGHY HARRY good haha

  • @mbcgrams5415

    @mbcgrams5415

    4 жыл бұрын

    Sawa nimekuelewa bro😂

  • @ramzy5280
    @ramzy52802 жыл бұрын

    Diamond: Bro Lil ommy : Oh yes 😂😂

  • @lucaslukanya5606
    @lucaslukanya56066 жыл бұрын

    Mondi bwana uko serious na kiukweli zaidi ila kwenye bro umenifurahisha sana dash!!!!

  • @sambayoo6441
    @sambayoo64414 жыл бұрын

    Kama unaicheck hii interview 2020 plz gonga like tujuane

  • @josephnganga6387
    @josephnganga63873 жыл бұрын

    I love Diamond Platinumz......He is my role model....This video imenipata the right time...I've learnt a lot...🙏

  • @lostboyzfamily9087
    @lostboyzfamily90874 жыл бұрын

    duh kweli kabisa broo usipende kupelekwa kama mjinga ndo maana wanapotea kwa kuburuzwa buruzwa big up mondi

  • @buharimwanga284
    @buharimwanga2846 жыл бұрын

    Lil ommy we ni fundi nadhani unalijua hilo natamani nikuone wasafi tv siku moja,big up kwako mi nilishasemaga comment zangu huko nyuma hakuna presenter kama wewe bongo kwa sasa

  • @amashau9057
    @amashau90574 жыл бұрын

    Brighton..Tulio check hii 2020 plz gonga like.......leo nimekujua zaidi .....Halafu tusifiche Kama chibu alivyoongea kwa hisia ......Anaowasema hapa tusifiche Ni RUGE was Clouds#. ..........Cha mwisho Ni congrats kwa discpline yako BRO

  • @hamidhamadhamad5653
    @hamidhamadhamad56534 жыл бұрын

    23/12/2019 bado naiyangaliya hii interview love simba

  • @ahmedmahamudu4140

    @ahmedmahamudu4140

    4 жыл бұрын

    Pamoja

  • @petermillanga4762
    @petermillanga47626 жыл бұрын

    Nimekubali Dai ni muwazi na amefunguka kweli na hayo maswali angekuwa ni Ally dah mngeona majibu ya kidharau, safi mno diamond

  • @mirajikihanga8

    @mirajikihanga8

    5 жыл бұрын

    utumbo mtupu

  • @diamondplatnumz5598

    @diamondplatnumz5598

    4 жыл бұрын

    @Ali Ali we mbona unareply coments za watu??😋😋😋😋😋😋 au umetumwa hapa ni kutoa maon ya kila mtu toa yako na ww😋😝😋

  • @juliusuronu8812
    @juliusuronu88126 жыл бұрын

    Huyu jamaa ana akili sana.....Ni vigumu mno kumuangusha...Keep it up DiamondPlatinumz

  • @ramadhanihamza797

    @ramadhanihamza797

    5 жыл бұрын

    Jamaa ni kiboko hana mbwembwe

  • @emmanueltvemmanueltv3574

    @emmanueltvemmanueltv3574

    5 жыл бұрын

    Wewe huna😀😇😇😇😂😂😂

  • @herielgodwin472

    @herielgodwin472

    5 жыл бұрын

    diamond platnumz big up sanAaa simba ndan ya village

  • @miriamnyari7761

    @miriamnyari7761

    4 жыл бұрын

    as for the use of the day of zzzçxcvggggggggggggggggchjjo99ll

  • @cktamunga2356

    @cktamunga2356

    4 жыл бұрын

    Mimi napenda muziki wako

  • @godfreymwambwalo5282
    @godfreymwambwalo52825 жыл бұрын

    kumbe unaongea pointi sana nimekuelewa Mwenyezi Mungu akujalie afya njema

  • @dicksonkamanga3143

    @dicksonkamanga3143

    3 жыл бұрын

    Jamaa nilizani bubu anaejua kuimba tu leo nmegundua kumbe jamaa ana madini kinywani ndo maana anaongea kwa piinti tupu

  • @bongomusic4994
    @bongomusic49945 жыл бұрын

    bef la mond na kiba lilitengenezwa na alikiba aliasept ndo maana kanyonywa hadi mwisho mond always yupo juuu gonnga likee

  • @saidjuma9782

    @saidjuma9782

    5 жыл бұрын

    Pointless

  • @unclek4402

    @unclek4402

    4 жыл бұрын

    Diamond kanipigia simu anataka nimpe collabo..naomba advice yenu..

  • @abdullykapole9617
    @abdullykapole96173 жыл бұрын

    Naseeb abdully (DIAMONDPLATNUMZ,SIMBA,DANGOTE) unaongea vizuri bila majizuno yoyote allah aendelee kutupa maono mazuri mbele yetu...INSHA-ALLAH🙏

  • @fabianmilanga4980
    @fabianmilanga49805 жыл бұрын

    Kijana mudogo hakiri mingi sana wcb ni 🔥mimi mutoto ya kongo

  • @mohamedikibasa418
    @mohamedikibasa4186 жыл бұрын

    Unaongeaaaaa point sanaaaa. Mungu akuongoze uendeleee hivo hivo. Usishuke chiniiiiiiiiii aiseeeeeee. Km unakubali gonga life hapa

  • @wiseriziki2433
    @wiseriziki24335 жыл бұрын

    Bro unaongea haraka kama umemeza cd, ila nakukubali endelea kupambana never quit

  • @stanslauschatata3483
    @stanslauschatata34833 жыл бұрын

    Bado tunaangalia interview ya karne 30/6/2021

  • @abdulladosantosjr
    @abdulladosantosjr4 жыл бұрын

    Nan anaangalia baada ya lil ommy kujiunga wasaf

  • @hamzamoshi8275

    @hamzamoshi8275

    4 жыл бұрын

    MIMI HAPA NAICHEKI

  • @adamuwikunze8631
    @adamuwikunze86316 жыл бұрын

    This dude is smart 🙏 he will be the one. just keep that way kaka

  • @akibarahamadi5058
    @akibarahamadi50584 жыл бұрын

    harmo ni msenge sana diamond platnumz amepigana sana juu awe juuu lakin ivi anajifany kama yeye yuko juuu

  • @jafarikule7300
    @jafarikule73005 жыл бұрын

    My favorite interview of all time

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    2 жыл бұрын

    Lets go

  • @dicksonmsetivevo9722
    @dicksonmsetivevo97226 жыл бұрын

    Kama Umemuelewa Diamond Platnumz Vizuri Kama Mimi Basi Gonga Like Yako Hapa. #TeamPlatnumz

  • @iamcharlzpaul2341

    @iamcharlzpaul2341

    6 жыл бұрын

    DicksonMsetiVEVO tupo pamoj

  • @marcomakoye5559

    @marcomakoye5559

    6 жыл бұрын

    DicksonMsetiVEVO kama kawa

  • @youscletvchannel3974

    @youscletvchannel3974

    6 жыл бұрын

    Umetishaa

  • @abdulhamis3145

    @abdulhamis3145

    5 жыл бұрын

    tishaa sana

  • @venancechrissant4113

    @venancechrissant4113

    5 жыл бұрын

    DicksonMsetiVEVO ,jamaa mkal

  • @chaomadedo
    @chaomadedo5 жыл бұрын

    This guy has a beautiful heart..very beautiful!! GOD embraces such hearts! Bless u Nasib Abdul

  • @vinvane1822
    @vinvane18225 жыл бұрын

    Diamond uko vizuri bro. Unafaa kuigwa na artists wengine. Keep it up !

  • @dkensmopainvevo3683
    @dkensmopainvevo36836 жыл бұрын

    Diamond Wee ni mfano wa kuigwa bro 👏👏👏👏👏👏 Maongezi yako yanajenga

  • @chrispinusodende8691

    @chrispinusodende8691

    5 жыл бұрын

    Simba kweli yaaani Konki Master...Best interview ever Baba Tifaa.

  • @elishaezroni7360

    @elishaezroni7360

    5 жыл бұрын

    Dkens Mo Pain J

  • @sayrachuna6705
    @sayrachuna67056 жыл бұрын

    Nakupenda sana mondi

  • @SHOMYTZ
    @SHOMYTZ2 жыл бұрын

    Best interview inaishi had Leo 2021 🔥🔥🔥

  • @husseinbinde9421
    @husseinbinde94213 жыл бұрын

    Napenda hiii interview iwe ndio best 2020.... To 202...

  • @laurentngowi3052
    @laurentngowi30526 жыл бұрын

    Msani ambaye kwenye interview hakuna swali analoshindwa

  • @jamesthadeo3091
    @jamesthadeo30913 жыл бұрын

    My favorite interview of All time,, 21-04-2021

  • @onlinemovie8580
    @onlinemovie85806 жыл бұрын

    Nilichogundua kwenye hiii interview Neno BRO Limetumika sana #INFACT

  • @zamrathussen5367

    @zamrathussen5367

    5 жыл бұрын

    tatizo nn kwn

  • @sabrinaali9750

    @sabrinaali9750

    4 жыл бұрын

    No heshima tu anajua kuwa huyo ni mkubwa wake hawezi kumkata jina

  • @patrickpaschal219

    @patrickpaschal219

    4 жыл бұрын

    Ulitakajee ww

  • @shaabaniarrmas4865

    @shaabaniarrmas4865

    4 жыл бұрын

    boe_bryn tv hhhvhhhhvh

  • @peterlongo2078

    @peterlongo2078

    4 жыл бұрын

    Dah ulitaka atumie neno gan?

  • @mwanabinmariam8475
    @mwanabinmariam84755 жыл бұрын

    Mashaa llah ww unajua mungu atakufanyia wepec in shaa llah

  • @kenallday1115
    @kenallday11154 жыл бұрын

    Lil ommy yupo sehemu nzuri,Wasafi FM

  • @johnsilima1629
    @johnsilima16293 жыл бұрын

    Like kama umeangalia hii interview baada ya Harmonize kusaliti chama la wana WCB 4life

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын

    Huyu dogo ana akili sanaaa,nimefurahi hta huyu mtangazaji yupo tight full vipaji ,hongereni. Clouds na wengine mnaguswa hapo,jitathminini!!!!

  • @aimfetty1641
    @aimfetty16416 жыл бұрын

    lil omy unafanya research ya kutosha thats why unapresent vizuri maswali yako keep it up bro

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    6 жыл бұрын

    Fatma Salim ana akili mno huyu mtangazaji,

  • @shebbymzalendoadkinstz4562
    @shebbymzalendoadkinstz45625 жыл бұрын

    No comment ahahaha😀😁😂 Gonga like kama unamkubali simbaaaaa

  • @mickysangali3268

    @mickysangali3268

    4 жыл бұрын

    Broo ulipotoka na hapo ulipo u deserve Broo

  • @rajiathumani7086

    @rajiathumani7086

    4 жыл бұрын

    Raj

  • @kassimujafari6342
    @kassimujafari63424 жыл бұрын

    Am steal whatchng 2019 end of years big interview for aver

  • @akibarahamadi5058
    @akibarahamadi50584 жыл бұрын

    awato kuweza mzee baba loa wey njo king wa africaaa

  • @young_mmbaga
    @young_mmbaga4 жыл бұрын

    HAYA WALE TUNAOANGALIA HII NDANI YA 2020,...LIKE TUNABONYEZAGA HAPA....ni moja tu.

  • @ramahusomore1374
    @ramahusomore13742 жыл бұрын

    Salute to this Niggah...he works and talk smart.intelligent

  • @qudraevarah8215
    @qudraevarah82154 жыл бұрын

    Daaaah Diamond ww mungu anakuona hatakama nyimbo zako hazipigwi so tatizo utabaki kua @BABALAO

  • @blackboytz6873
    @blackboytz68735 жыл бұрын

    Kwa diamond platnum kumuit huy jamaa bro dah kwel mond msoto umekufunz heshim kaza bro bado safar ndef

  • @djraymond6185
    @djraymond61854 жыл бұрын

    One of my best interview of all the time Feb,2020.

  • @salamia__mwangu599
    @salamia__mwangu5996 жыл бұрын

    umeongea vizuri xana a boy from tandale💚

  • @benazirmohammed8761
    @benazirmohammed87616 жыл бұрын

    Unajielewa sana Mungu akuweke big up sana na una heshima sana ndio maana unafanikiwa.

  • @magrethsidodo3953

    @magrethsidodo3953

    5 жыл бұрын

    Benazir Mohammed anajielewa mpka nampenda huyu kaka

  • @ernestkipire9200
    @ernestkipire92002 жыл бұрын

    All watching this interview in 2022,drop like here down

  • @diamondplatnumz4891
    @diamondplatnumz48912 жыл бұрын

    1/8/2021 bado naangalia hii interview 🙏👂

  • @LilOmmyTV

    @LilOmmyTV

    2 жыл бұрын

    Pamoja sana

  • @ramsoshenge387
    @ramsoshenge3873 жыл бұрын

    Bonge moja la interview Kama tunaangalia 2020 tujuane kwa likes

  • @moseskessy8077
    @moseskessy80774 жыл бұрын

    Best interview still 2020🤙 #Platnumz4ever

  • @mateiroman572

    @mateiroman572

    3 жыл бұрын

    Broo nakukubal

  • @jamessakubu3875

    @jamessakubu3875

    2 жыл бұрын

    Wee Ni kisu buchani hivyo utakufa na Makali yako Kaka Piga kazi

  • @mandiafelix1813
    @mandiafelix18133 жыл бұрын

    He z very humble diamond ni mstaarabu wa sura habadiliki he speak fact since namfatilia this guy ni tunu ya Africa

  • @ommaryszamsportyanganaazam633
    @ommaryszamsportyanganaazam6334 жыл бұрын

    Mond bg up mdogo wangu wewe ni bina adamu tena zaidi yako hakunaa una moyo wa ajabu sana tena wa huruma thank you mond mdogo wangu songa mbele kk .

  • @abednego3876
    @abednego38765 жыл бұрын

    2019 jamaa ana own Wasafi Media daa... maisha ni proccess sio Safari

  • @ombeniibawa4481
    @ombeniibawa44813 жыл бұрын

    Anaeendelea kuangalia hii interview hadi leo september 2020 gonga likes apa

  • @chicharitoronaldo5950
    @chicharitoronaldo59506 жыл бұрын

    Ukweli Ndio Huoo...Pamoja Sana The Real Mvp Ya kizazi Sana!!!

  • @nashondavid1408

    @nashondavid1408

    6 жыл бұрын

    Mwamba mond we kaza

  • @martiniyohani7908

    @martiniyohani7908

    5 жыл бұрын

    Nice

  • @Manshyne
    @Manshyne6 жыл бұрын

    Yan nataman liliommy ushinde tuzo zoote za u presenter....

  • @dizboegalax7620

    @dizboegalax7620

    6 жыл бұрын

    manSHYNE

  • @nunuuali5316

    @nunuuali5316

    6 жыл бұрын

    manSHYNE the best and the true comment

  • @amiriramadhan7753

    @amiriramadhan7753

    6 жыл бұрын

    manSHYNE exactly

  • @landmadvdmbeyacity9561

    @landmadvdmbeyacity9561

    4 жыл бұрын

    mtaniua njie masela story zenu daaaaaa

  • @bmpchanneltz2438

    @bmpchanneltz2438

    4 жыл бұрын

    Done💪

  • @victorfibretv5923
    @victorfibretv59236 жыл бұрын

    Kweli simbaaaaa,,,,,,,hata ukiwa na machungu unajithibiti tu

  • @jumampony4346

    @jumampony4346

    5 жыл бұрын

    Yess simba 👍

  • @esombommambelwa6809
    @esombommambelwa6809 Жыл бұрын

    Kama umeguswa na kuelimishwa na hii interview 2023 nakujifunza mengi gonga like

  • @ayuburajabu8530
    @ayuburajabu85304 жыл бұрын

    2020 Still watching who else tujuane

  • @nasramsami3410
    @nasramsami34106 жыл бұрын

    waoo hua napnd sn kusikiliz enter view ya mond big up

  • @sahaplatnum1033
    @sahaplatnum10336 жыл бұрын

    #Team_platnumz_wcb_wasafi_classci_baby____

  • @khalidmbarouk6186
    @khalidmbarouk61863 жыл бұрын

    Kama unamkubali lil omy gonga like

  • @shosemanjira3076
    @shosemanjira30766 жыл бұрын

    Safii sanaaa Diamond umeongea ukweliii jmn clouds wanatabia mbayaa sanaaa

  • @kelvoosmartboy2273

    @kelvoosmartboy2273

    5 жыл бұрын

    Mond hajataja clouds wew ndyo umetaja clouds

  • @zuberitwaibu5901

    @zuberitwaibu5901

    5 жыл бұрын

    naomba daimondi nisaidie kimziki Niko chini yako blaza

  • @zuberitwaibu5901

    @zuberitwaibu5901

    5 жыл бұрын

    naomba namba take mond

  • @jamesthadeo3091
    @jamesthadeo30914 жыл бұрын

    Hii interview mpk Leo naichek 23-10-2019 ni noumaaaaa

  • @alainkiss3848

    @alainkiss3848

    4 жыл бұрын

    👍👍👍👍

  • @ramadhanhelman658

    @ramadhanhelman658

    4 жыл бұрын

    Nakobareee sana chigu

  • @fransicimashauri5450

    @fransicimashauri5450

    4 жыл бұрын

    Mm leo 27/3/2020 na ingalia

  • @eunicesaumu7486
    @eunicesaumu74866 жыл бұрын

    More 🔥🔥🔥🔥 I like your interview keep burning brother

  • @joevang4685
    @joevang46854 жыл бұрын

    afu leo clouds wanajifanya majirani wa konde gang wakati wamembania sana sna. dogo alivyo amesahau.

  • @rehemanyumile7887

    @rehemanyumile7887

    4 жыл бұрын

    x mbwa yule

  • @habibukinyogori4789

    @habibukinyogori4789

    4 жыл бұрын

    Ubinadamu kazi sna wallahi

  • @tedylaswai8563

    @tedylaswai8563

    3 жыл бұрын

    Kweli mwanangu

  • @swalhaahmed1041
    @swalhaahmed10412 жыл бұрын

    Namuombea mungu Amlidesana mungu Amuhifadhi mungu Akuepushie na mabalaa

  • @emanuelmushi6878
    @emanuelmushi68785 жыл бұрын

    Nimegundua watu wanapenda kugandamiza wengine kwa maslai yao :unapoonekana mjanja utaki kugandamizwa wanasema una kiburi AF visa vinaanza

  • @BESMARTTELEVISION
    @BESMARTTELEVISION6 жыл бұрын

    Facts Aisee kuna some points unaonesha kukua kiakili na busara

  • @BESMARTTELEVISION

    @BESMARTTELEVISION

    6 жыл бұрын

    Maisha yakifikirika hufanya watu wafikiri wanachokiona lakini kuacha wanachokiamini, Watu huota Miujiza na kusahau kuweka Nguvu Ndoto ziwe kweli, Haki hupotea kwa kuamua kupokonywa haki yako na kusahau kupigania ulipo sawa bali Udhaifu wa Uhitaji na kufikia Ndoto zetu hufanya tusahau haki zetu @diamond your inspirational kwa Vijana wengi Juhudi inalipa bila kumsahau MUNGU 2018 Tufanye kazi..LiLy Ommy Your a Star bro, Sauti yako inapaza sauti za WENGI Hakuna mtangazaji mwenye Punch line za Maswali kama WEWE keep it Up your Talented bro

  • @sarumabdarah8898

    @sarumabdarah8898

    6 жыл бұрын

    BE SMART TELEVISION nimekusoma.

  • @chrisantgeorge6018

    @chrisantgeorge6018

    6 жыл бұрын

    ameongea vitu vya ukweli kabisa. miaka ya 2000 wasanii wengi chipukizi walibaniwa sana na kushindwa kutoka. akili zile zisirudi tena bonge

  • @patrickkilonginamatukhu8766

    @patrickkilonginamatukhu8766

    6 жыл бұрын

    Mashaallah! Diamond uko sawa you just... No comment

  • @jamskimaro7630

    @jamskimaro7630

    5 жыл бұрын

    platinum nishida

  • @master_iStore
    @master_iStore4 жыл бұрын

    Gonga like kama badoo una watch 2020

  • @sarahtony3937
    @sarahtony39373 жыл бұрын

    We mtt mbona unamaneno mazuri unaongea mpaka natamani kulia mondi nakupenda Sana sio kimapenzi ila kwa kazi nzr

  • @alexkilolo5032
    @alexkilolo50326 жыл бұрын

    mondi mti mkavu hauchimbwi dawa,pambana sana kijana na hongera kwa ushujaa

  • @mahmadougronkjaer8316
    @mahmadougronkjaer83166 жыл бұрын

    mi nimeipenda hiyo kaka tusifollowane by chibu

  • @dogobyalimasilubunga5110
    @dogobyalimasilubunga51105 жыл бұрын

    My favourite interview in the world

  • @mlabata8705
    @mlabata87054 жыл бұрын

    Upo perfect kaka mungu yupo na ww

  • @fadilymousa4325
    @fadilymousa43253 жыл бұрын

    27-11-2020 bdo naanglia bonge la interview bin laden simbaaaa

  • @stevohmkenya1335
    @stevohmkenya13354 жыл бұрын

    Am back 2019 October... Naomba likes

  • @emmanuellugano8679
    @emmanuellugano86794 жыл бұрын

    Kama bado unaangalia hii interview 2020 gonga like

  • @josephochieng2522
    @josephochieng25226 жыл бұрын

    My favorite! ,Mbosso,that kid .......,his humility, I love him.

  • @frankmganda116
    @frankmganda1165 жыл бұрын

    Diamond mungu ni mwema endelea kutenda haki

Келесі