WEMA SEPETU: Hamisa Mobetto, Siwezi Beef na Watoto wadogo / Kiss na Diamond / Nilianzisha Mimi
Ойын-сауық
#WemaSEPETU afanya INTERVIEW EXCLUSIVE kwenye #ThePlaylist na kuongea MENGI kuhusu TATIZO lake la UZAZI na MAMBO MENGI Kuhusu Ommy Dimpoz, Diamond Platnumz, Alikiba, Hamisa Mobetto na Mengine Kibao. #LilOmmy
Fatilia mahojiano ya moto na mastaa unaowakubali kujua kila kitu kuhusu Muziki na Maisha yao, #LilOmmy #THEMVP #KingOfInterviews anakukutanisha nao hapa hapa kwenye #LilOmmyTV
Let's Connect
/ lilommy
/ lilommy
/ lilommyfanpage
lilommy.com/
Hakikisha Subscribe, Gonga Like, Angusha Comment na Share kwenye WhatsApp Groups au Facebook na Twitter..... enjoy!
Пікірлер: 1 300
She is honest n she talking out real You be their n fake ur life Let her be my wema
hakuna mtu asiye taka mtoto kama unakubalina na wema anacho kisema gonga like nyingi sana ili twende sawa
@joycemunisi1230
4 жыл бұрын
Mungu yupo pamoja nawe amin ipo siku utafuta machoz yako
@sharifaissamussahussein3454
3 жыл бұрын
Mtoto nimuhim inshalhaa muombe mungu utapata
Pole wema ipo siku mungu atakufanyia wepesi kwa uwezo wake utapata mtoto
She made a good remark about our Kenya,proud to be Kenyan always telling as it is,wow
@kahindopassy7674
2 жыл бұрын
Mungu anaweza kusaidia tafuta maombi, Mungu akusaidie
Wema stop hurting yourself, you can adopt a child and you'll love him as your own, loving a kid comes naturally. I have an adopted child who gives alot of hapiness
One of my best actor 😍😍😍 van vicker 💕💕from kenya
Kama unamkubali tz sweetheart gonga like hapa💖👄
@yasintaswahasni4747
5 жыл бұрын
Sana 😙😙😙😙😙
@blandinaemanuel3512
5 жыл бұрын
mungu wetu siyo mchoyo hipo siku Mungu atakupa aja ya moyo wako wema tunakupenda
@hasramhassan6346
5 жыл бұрын
Usijali Aunt wema utapata tu mtoto inshaAllah
@sadrinewangu7869
5 жыл бұрын
Love you sweetheart 😘😍 namkubali uyooo daahaha mkali wa Tanzania ,😍😘😘
@shakiraponela364
5 жыл бұрын
Mti wenye matunda haukosi mawe, wema wewe ni matunda '""so zoea kupigwa mawe, na kuhusu swala la mtoto Muda wowote waweza Pata, na ukumbuke kuwa wanadam sio mungu! Kiujumla nakupenda sana.
Mungu yuko naweye utapata mtoto tena wengi sana ,soit forte💪 ❤️❤️❤️😘😘
@swaumumustaphamapondanga4707
5 жыл бұрын
Nakupenda wema
@shanimbaruku2071
5 жыл бұрын
Sana kabisa
@samwelkuyi6710
5 жыл бұрын
Mungu mkubwa. Wema utapata mtoto. Mimi naamini hivyo.
@wandelugenzi8358
5 жыл бұрын
pole madam mungu yupo nawe
@banpaulo3770
4 жыл бұрын
Munezero Sereine vp
Wema I feel you I know God always comes at the right time you're still young💓💓
kizungu cha wema ni cha kizazi saana, si kama cha Hamissa chenye vocabulary yakawaida _ i can cry hysterically 🙌🙌🙌
@rose_Winchester86
5 жыл бұрын
Hysterically
@yasintaswahasni4747
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@joharindaro7235
5 жыл бұрын
yaan mpaka kitamu
@yasintaswahasni4747
5 жыл бұрын
😂😂😂
@limowiliezlimo8725
5 жыл бұрын
wema anatweng hamisa yake ni sanifu
your story is touching my heart Mwenyezi Mungu ni mkubwa inshallah atakupa watoto wengi
Utapata Wema my dear, you are still young and everyone is praying for you!
@rahmaramla7030
5 жыл бұрын
Very true
@amosikilizant315
5 жыл бұрын
Navy kenzo ft diamond
@annengugi2939
5 жыл бұрын
I love Jesus zasfgihdagj
@fatmamaulidi6583
5 жыл бұрын
I love Jesus kwa kwel
@kashindiwashikala8792
5 жыл бұрын
Wow love dont woory we pray for you
God will bless you with a beautiful baby - just trust in Him. Much love from KE!!
Yaah Allah ujaalie @wemasepetu kupata mtoto mwenye kheli naye ameen thumaa ameen
@jessymalembeka6181
5 жыл бұрын
Amen
@kautharsalat6449
5 жыл бұрын
Ameen
@rahmaramla7030
5 жыл бұрын
Allaahuma aamiin
@ummamne2558
5 жыл бұрын
Amiin
@ABCDEFG-li2qn
5 жыл бұрын
Aaaa Aaaa Ameen may Allah bless her with many babies.
I can't wait to see ur baby,,, l always pray you 2 hv kid
Yaah Allah mjaalie wemasepetu kupata mtoto halie mwenye kheli naye ameen thumaa ameen
@mymunamymuna4807
5 жыл бұрын
Ushakwenda kwa waganga sana acha kudanganya
@gladysgacheri9774
5 жыл бұрын
Mtoto utapata dada wacha haraka mungu yupo....
@saidjuma9782
4 жыл бұрын
Amin
@safikisubi3592
4 жыл бұрын
Alipataga ujauzito Ila akamtupa chooni Ila Allah amrahisishie
@zuberifikirini2519
4 жыл бұрын
Yaarab mungu mpe mtot
the reason i get to love Wema more and more, girl is so real!
@kianpierce3912
2 жыл бұрын
i realize Im kinda off topic but do anybody know a good site to stream newly released series online ?
@madduxclayton9047
2 жыл бұрын
@Kian Pierce Flixportal :D
@kianpierce3912
2 жыл бұрын
@Maddux Clayton thanks, I went there and it seems like they got a lot of movies there :D I appreciate it !
@madduxclayton9047
2 жыл бұрын
@Kian Pierce No problem :D
@mtumzima2078
2 жыл бұрын
Don't worry may sister siku moja munga hatakupa mtoto bora uwe na imani kwa mungu wachana na wanadamu hawakosi kusema
Jamn roho imeniuma dahhh but kwa Sababu unayo iman Mungu atakupa kama unavyo amin my one and only Wema sepetu nakipenda hadi najishangaa jamn dahhhh ila jua tyuuuu hvyo tzsweetheart
@landmadvdmbeyacity9561
4 жыл бұрын
We boya nn???
This gal speaks soo well ,I just love you
Wema, you rock. God is gonna give you children let alone a child!! Your Grammar (English) is just lit 🔥 🔥 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
God will bless you Wema. God's time is always the right time. A testimony is coming ur way. In my prayers sweet Wema
Uzuri wa wakenya kama hawawezi wasema hawawezi❤️👍🏽👍🏽 Kenya 🇰🇪
I am really touched with your words, and I believe in God that He is going to do something about you, I pray to God for you and I know that 2020 you will call yourself mother of children yani maman watoto
@pillymcharo9855
2 жыл бұрын
Mungu atakusaidia wema Wala usikate tamaa Cha msingi kua na subra acha na mambo ya walimwengu wapotezee muombe mungu alaf mashoga sio watu wazuri wablock tu hamna namna
Happy birthday to you cc' wema love😍😍😍😍😍 nice interview big up van vkr
Wemaaa is really a sweetheart of tanzanian.So so cute and beutiful
May God bless you with twins wema
Very positive!!! That's the source of faith!
Uko na Mungu my lov ❤️ utapata mutoto in Jesus name . And i ❤️❤️❤️❤️
@teresaakengo420
5 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏
@nellyliz9901
5 жыл бұрын
Amen
@lidyagasper1492
5 жыл бұрын
Just prayers Wema, God will you, don't give up! Huyo movie na Vickers itakuwa nzr mnoo cause you look wow together!
@janethpendasanawewemtoto4154
3 жыл бұрын
Amen
Here for Van Vicker 🔥🔥👌🏾. Congratulations to Wema & Van Vicker. I hope we can get that movie online and someday on Netflix by God’s grace. Nice show Ommy as usual.
@MichaelCharlesBishubo
5 жыл бұрын
So the rest mentions are accidental encounters.
@rebekashija6539
3 жыл бұрын
Wema usijali utapata tu mtoto kumbuka Sala alizaa uzeeni mungu anaona hitaji lako SEMA amin
@sumampwapwa4917
2 жыл бұрын
Nakupenda.wema.mungu.atakujaliya.utapata.mtoto
Big up#lilommy na kukubali bongo la interview 😍😍😘
Mdogo wangu OMMY uko juu Sana huwa napenda interviews zako. Umependeza Sana kichwani unavaa kanzu size gani. Ushauri kwa wema aolewe kwanza huwenda hilo ndiyo suluhisho la matatizo yake tena aolewe kisheria kwa mujibu wa dini yake ninaushahidi wawatu waliotamani Kama hivyo lakini walipo ingia kwenye haki wakafaulu
Love mingimingi Tanzania sweet heart, Mungu atakupa kabeby usijal my Dia, tunakuombea!
Loving these for real
Mungu anakuona momy yake ipo siku atakupa mtoto nautafirai sana love you wema
I don't know yyy i love this woman much, nakupenda bure madam Sepetu ❤❤❤
Usijali my dear, God's tym is the best just have faith.
your season is still on the horizon #keepfaith one day you will hold your baby in your arms
Ipo siku Mungu hatakupatia hitaji la moyo wako sweetheartheart wetu
@kettymghoi2823
5 жыл бұрын
Love you wema,Allah atakusaidia
Jaman Wema yan nkikuona tu kunafeelings za furaha sana ndan ya moyo wang naz observe wish yu all the best i love yu tz sweart HEART
Don't give up. Mie nilipata mtoto na miaka 37
@teresiaairafay8136
5 жыл бұрын
Mbilika Mwakanyamale 😘
@lissamsalu2179
5 жыл бұрын
Mbilika Mwakanyamale ulifanyanje paka ukapata mtoto mimi am 27 but nimetafuta mtoto kwada sasa nimeolewa na ndoa imevunjika kwasababu ya hiyo tatizo la uzazi nanimeisha check sana sina tatizo lolote mayai yako sawa sorry nisaidie ulifanyaje plz WhatsApp me +85593315471
@latifamchekenje6718
5 жыл бұрын
@@lissamsalu2179 Mh mbona miaka 27 bado mdogo tyu vuta subra
@lissamsalu2179
5 жыл бұрын
Latifa Mchekenje sio hivo natamani kuitwa mama maisha enyewe yasikuhizi mafupi
@latifamchekenje6718
5 жыл бұрын
@@lissamsalu2179 hospital wamekuambia tatizo nini??
am happy to see u here van vicker one ov my favourite actor
@domtilawakesho3030
5 жыл бұрын
juliana wakesho sere mwasare
TZ sweetheart mungu atakubariki na mtoto hakuna jambo gumu mbele ya mungu utabarikiwa tu
Ua de best wew mdada....m nakupendaga sana mzurii,mcheshi hujui kukaa n kinyongo...mwenyez MUNGU akupe haja ya moyo wako
Love u wema ur so nice good heart mungu akuzidishie ...husikate tamaaa utapata tuu mtoto
Yaah Allah mjaalie wemasepetu kupata mtoto mwenye kheli naye ameen thumaa ameen insha'Allah
@kudraabdallah5471
5 жыл бұрын
Amen
@marielouise623
5 жыл бұрын
Ameen
@shanimbaruku2071
5 жыл бұрын
Amina
@mynersaid8943
5 жыл бұрын
Aaaa Aaaa Ameen inshaallah na itakuwa kwa uwezo wa allah
@ashminaabdullah5626
5 жыл бұрын
Ameen
Wema kila kitu kiko na wakati wake.mungu atakujalia mtoto mrembo.
you will surely answer mum in your own special time ,,kids are special gifts and come in special times,, keep pushing
Wema Allah kheir Utapate my love
Wema endelea kuchanja mbuga watakuelewa tu .....Tanzania imepiga hodi Ghana kwa Mara nyingine tena baada ya Kanumba Sasa ni Wema!!!! Tunakuombea Sana we mwanamke
@franciskingtv2505
5 жыл бұрын
Shangwe Fisima ww usimfananishe kanumba na vitu vya kijinga
@saidmussa4902
5 жыл бұрын
Song new daimond
@saidmussa4902
5 жыл бұрын
Daimond plantnam song new tetema
Wow, pole sana wema duniani njoivyo tu.❤️❤️❤️❤️❤️💋💋💋💋👌👌👌👌👌
Pole Sana wema wang Acha bina damu waseme iyo ndo sifa yao yakuongea Ila kaza moyo na umuamini mungu usitupi matumaini inshallah uta pata mtoto kwa uwezo wake Allah I love you so much my sister 😘😘
@wemasepetu pole sana PCOS (thats poly cystic ovarian syndrom) allah kariim,,, will bless u my dear...... Usihofu,,, God iz great
@edinaokhonga1255
5 жыл бұрын
Fatuma Kassim Amen
@bodabless1049
5 жыл бұрын
AMIN
@rahmaramla7030
5 жыл бұрын
Kabsaa
@muniramboya9939
5 жыл бұрын
She will be fine i had dat pcos and now i have 2 kids
@wanjalamarie9257
5 жыл бұрын
Hi van,wema niaje
mambo ni fire...da wema Mungu atakufanyia wepesi Inshaallah..!!
Wema niko Rwandaise lakini nafatiliya story zako. Nakupenda sana tena endereya kuomba mungu atakupea mutoto. I love you wema.
Wama Dada angu usivunjike moyo IPO ck utapata mototo mm ninadada angu amebeba mimba ana miaka hamsini lkn cha kushangaza kabeba mimba shilikishe mimba ktk hayo na wanao kutukana kukosa MTT hawana hakili unaweza ukawa na wtt kumi mungu akakupa pigo moja tu usiweze kubaki na MTT ht mmoja
Wema is so mature. May God grant her the desires of her heart
@vickylayda6336
2 жыл бұрын
Lunastahili kuwa mama kwa jinsi inavyjisikia Mungu akupeni huyo mtoto
@vickylayda6336
2 жыл бұрын
Mungu akupe haja ya moyo wako mama
Mungu atakujaalia mtoto mwenyekheri nawewe ucjali Prinsis Wema
Wow nice to see my van here well done guys
Nakupenda my friend
pole sana wema
God's time is the best Wema. Keep the faith
May God accept your prayers abundantly
Tambweeee ,,show show every day ,,,u make us proud of you ,,show Kali sana
@priscillaamossen8249
5 жыл бұрын
kadabra one she makes you proud for lying on Tv/radio.?
@hananmustafa6430
5 жыл бұрын
Allah atakupa mtoto dadangu Inshaallah usijali vuta subra Inshaallah utapata Mm naamini hilo kwauwezo wa allah
@ismailwickam5829
5 жыл бұрын
kadabra one
@dominicadominica4976
5 жыл бұрын
kadabra one kabisaa bro
@evanicekitomo8558
5 жыл бұрын
Mungu hana choyo wema
my Tanzanian sweetheart, ka wema ka supuuuuu!!!
In shaa ALLAH Utapata mtoto mwenye khery na ww Sepengaa...Tz sweetheart pekee...usibabaishwe na yule mchawi skota wa marekani na pugi wake....kelele zake tushazizoeaa hana jipyaaa..
Nitafute Wema. In God all things are possible. Pliz nitafute you will be happy swtht
Wema nakupenda mamayangu
@annempesha2971
4 жыл бұрын
Hi wema I like your films that u acted with kanumba so much , keep it up.u have knocked the door will be opened for u insha'Allah
King of interview lil ommy
@hassanichangalima8595
5 жыл бұрын
paul Santana tzee ukogudi
That's not too long,and getting kids,nowadays you can have in many ways!God gonna bless you.I like your faith
Duh subhanallah allah akufanyie wepes in shaa allah na ss atujaalie wa kheir in shaa allah
Wema ipo siku usio zania naamini utapata tu mtoto kwa uwezo wa mungu, usikate tamaa kumuomba mungu, mungu ni wakwetu sote
@bahatisamwel4772
5 жыл бұрын
Bahati samwel hakuna kitu cpendi kama wema kusemwa juu ya mtoto jmn naumia sana ,kwani mtoto ni majariwa p wawza kua na watoto hta 10 lakini wte wakachukuliwa ukabaki kama wema,Cheka mtu mavzi cyo mtoto !!
@beninokidanca3229
3 жыл бұрын
Am not jocking gyz,I wanna wema's no,coz hilo tatizo ni dogo sanaaa atapata mtoto,sio utani,km hatajali naomba no zake me nipo Arusha
@beninokidanca3229
3 жыл бұрын
Sio vyema kumchapa mtu kwa izaifu alionae,i do not like it,km unataka nakutumia my contact then unitafute
@beninokidanca3229
3 жыл бұрын
Sio vyema kumchapa mtu kwa izaifu alionae,i do not like it,km unataka nakutumia my contact then unitafute
@aminamzee5338
3 жыл бұрын
Hello wema
I love you with passion wema ,like your name mungu akutende wema.
I love the faith in Wema. You will overcome Inshallah.
Am here just for Wema & Vans💖❤💖❤❤
Aolewe mm namshauri asitafute ,mtoto nje ya ndoa yeye Ni mtoto wa kiislamu ....
@wardamaulid4190
5 жыл бұрын
Hilo nalo neno pngne ktk ndoa yake atapata mtt
@mohamedhadidja7395
5 жыл бұрын
Omary Hajji niko pamoja na wewe wema wewe unasema ni mtoto wakislamu kwahio kupata mtoto wanje sijambo zuri nivizuri ukafunga ndoa ikisha ukaanza kutafuta mtoto basi inshadhwa mungu atakujaliya utapata mtoto waheri na wewe
@sadaabdallah1641
5 жыл бұрын
Naam kbs, uko sahihi
@wisperfect1960
4 жыл бұрын
Sema tu aolewe, sio kisa mtoto wa kiisilamu kuolewa hakuna dini kila dini inasisitiza ivo
@animahassan687
3 жыл бұрын
Una uhakika Kama ni muislam
Jamaniii ommy 😖😖unajua mpaka natamani kukuongezea views 😍😘😘love you too much
@rukiaswalehe109
5 жыл бұрын
love utapat mtoto my don't worry just pray for GUd
Being real is the best thing one can do.... God will see you through
Love you so much my dear Wema. Watu wote tunapita mmy usijali kwa wale wote wanaokuzungumzia vibaya kwani walitamani kuwa kama wewe wameshindwa. cha zaidi n kuwaombea kwa Mungu then let u ignore them ili maisha yasonge mbele mpnz.
usikate tamaa mungu atakujaalia kwan maneno yao hayatakutoa uhai wewe muombe mungu
hakuna kitu kinacho shindikana Kwa mungu utapata Mtoto madam.
Wema you are more beautiful in person, and matured , a girl with both brain and beauty, hellow from zanzibar.
Pole sana Da Wema Mungu yupo pamoja na wewe hilo tatizo litaisha na utapata mtoto mzuri Mamy
Wema acha kumrembuliaVan anamke wake kwao😀😀maana nyie hamchelewi😊😊😊
Mungu mwaminifu San wema atakujariaa mapacha
love u much wema mungu yupo ucjal mom atafanya kwa wakati wake
Big up..wema..looove u ....congratulations.. Don't worry..one day Allah..will ans ur dua..and one day...u will call mamy....insha Allah...
It was abit impolite to speak Swahili while u have a guest who don’t understand what you guys are talking about, hio interview ya mtoto ingekuwa just for Wema while Van is not there🙇🏾♂️#justmytwocents pray God to bless u with ur own children Wema 🙏🙏
@praiseaddy4388
5 жыл бұрын
catherine mumbi very impolite my dear
@romanachao245
5 жыл бұрын
Kweli kabisa
@catherinemumbi2973
5 жыл бұрын
Juliet Jeremiah utaboeka pia 🙄, there is nothing that’s boring like people speaking a language n u don’t understand what’s they are talking about 🤦🏾♀️🙆🏽♀️
@catherinemumbi2973
5 жыл бұрын
Praise Addy 🙆🏽♀️not good 🤦🏾♀️
@serahmutua4387
2 жыл бұрын
Wema si ukuje kenya,meet this pastor by the name Ezekiel Na Hakika utapata mimba
love you
Kwanza uwolewe ndio upate mtoto na kama unasema una dreams ya kupata mtoto tulia uolewe na utulie na mume wako usiruke ruke ruke ndio sababu hupati mimba ndio Mungu akaleta kuowa na kuolewa kwa dini zote kwanza ujue dini zote zinakaza ngono kabla ya kuolewa sasa wewe unasema hupati mtoto wakati hujaolewa ebu kuwa na haya kidogo
Pole sana my dear Wema, Allah atakufanyia wepesi utapata mtoto inshallah.
Love u wema
Mbona mnamuacha Van bored? Yupo hapo hajui lugha yetu bado mnatililika. Basi tafsiri in English angalau nae aelewe. Unamuhoji Wema and there is nothing about movie si ungetafuta siku nyingine ya wema peke yake? Wema Mungu wetu anatupenda ipo siku atasikia kilio chako na atakupa mtoto, mwamini tu!
@mufasamufas6023
5 жыл бұрын
Yaani hata mimi wananiboa wanajisahau kama mwenzao anaboreka
@lollol-xi3oy
5 жыл бұрын
Well said!! @Aggi👌
@Myright888
5 жыл бұрын
Kweli wangemuita tena kwa ajili ya hili
@epifaniapaul9993
5 жыл бұрын
nmeliona hlo pia..n kama wamembagua
@againstallodds8548
5 жыл бұрын
Kweli walifanya makosa hata mm nilihisi vibaya sana
God has a reason why and just keep on praying and he will answer ur prayer. he is always by your side Dear
Wawooh my sister wema sepetu I appreciate you sna
pole tz sweetheart mungu atakujalia mtoto usisikilize mange kwa sababu yeye ana lana ya kulala na babake ww piga kazi
@josephandrew8043
5 жыл бұрын
Dada wema hao unaokutana nao hawakufurahishi wanamawazo kwenda kwa waganga sio big dill if uko serious to have baby plz send me back your n .nitakupa mimba for the one second
I did not like the interview.. Tanzanian presenters you should upgrade.. Look for a friend who can write for you English interview next time when you will host a foreigner who doesn't speak Swahili.. The entire interview is for wema.. Na najua tatizo ni kizungu..
@adamluwi8644
5 жыл бұрын
utapata tu mungu atakusaidia
@tonymlatino4810
5 жыл бұрын
Idiot, some of you think that English shows intelligence and class but it show how you're mentally enslaved to a point of hating your own native language, Enkundoooo!!!!!!!!!
@deedas1436
5 жыл бұрын
Get ur silly ass out of here.. tumu hoji van vicker ili iweje 😕
@kiatu
4 жыл бұрын
Gloria Wekesa You’re right, it’s always worse with boys, denial is being foolish. Work on it. God will help you conceive one day, watching in 2019
@jjboy5157
4 жыл бұрын
Mn our Swahili is internationally language😂😂
Much love to u guys van vicker&wema sepetu
i love you so much wema keep it up god is with you
Pol sana wema inshaAllah uta pata mtoto ila usikati tamaa dada yangu nakupnda sana ju uwa unasemesha ukwli uzae na diamond wasiopnda wajinyonge
Ushauri wangu kwa wema akiwa tayari kuzaa asizae na watanzania