Dakika 25 za hoja ya Mbunge Ole Sendeka, Mawaziri waingia 18 za Spika Tulia

Spika w Bunge, Dk Tulia Ackson ameielekeza Serikali ikafanyie kazi madai ya mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka kwamba Serikali imepanga kuchukua vijiji 80 vya wafugaji wa Simajiro na vijiji vingine kadhaa vya wafugaji wa maeneo mingine kwa ajili ya hifadhi ya wanyamapori.
Hayo yametoke bungeni leo Jumatatu ya Juni 3, 2024 wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii ambapo Spika alitoa maelekezo hayo baada ya maelekezo yake ya kwanza ya kumtuma Naibu Waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) anayeshughulikia Elimu, Zainabu Katimba kumtafuta Mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota ili aeleze kama aliandika barua hiyo.
“Nimepokea barua hapa kutoka kwa mheshimiwa Ole Sendeka hii barua imeandikwa na mkurugenzi mtendaji wa wilaya ya Simanjiro, Gracian Makota (amekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro toka Agosti 2021).
“Mheshimiwa Naibu Waziri wa Tamisemi huyu bado ni mkurugenzi wa Simanjiro (sauti zikasikika ndiyo). Mheshimiwa Naibu Waziri hebu nenda hapo nje mpigie simu kuhusu hii barua.
Barua imeandikwa kwa ofisa mtednaji Kijiji cha olcholoni tarehe 16 tathmini ya maeneo yenye wanyamapori katika mapori ya Simanjiro na Berela na Simanjiro Kitiangare. Mkurugenzi akaseme aliandika hiyo barua au hapana.”
Tazama zaidi.

Пікірлер: 48

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3buАй бұрын

    Naiomba sana Serikali yetu ifike wakati wabunge wakifika umri flani wastaafu Kwa MASLAHI ya taifa letu

  • @PartimayoNyoroi-om9hq
    @PartimayoNyoroi-om9hq18 күн бұрын

    Good blessings you Dr TUlia na olesendeka mko sahihi sana

  • @PauloAlfayo-qi1gn
    @PauloAlfayo-qi1gnАй бұрын

    Kwa hio tuseme waziri hawanui kazi zao kweli speaker uko sawa,endelea kuwaelimisha tu

  • @Olerumas
    @OlerumasАй бұрын

    Spiker be blessed ww ni kiongozi nimependa sanaaa hoja zako

  • @shomari_Msumi
    @shomari_MsumiАй бұрын

    Ole Sendeka👏👏

  • @YakoboMolell-t7w
    @YakoboMolell-t7w21 күн бұрын

    Nakupenda Tanzania 🇹🇿 yangu ,uzalendo na uadilifu.

  • @josephmilandononi1096
    @josephmilandononi1096Ай бұрын

    Safi Sana Mh Speaker Dr Tulia kweli wewe ni Rais wa Dunia.

  • @lomunyaklesikar
    @lomunyaklesikarАй бұрын

    Kweli Baba mungu akupe ulimi Safi ile uteteye Sisi Wana simanyiro

  • @benny4345
    @benny4345Ай бұрын

    Kwa mara ya kwanza, nimependa Tulia alivyoshughulika na jambo hili. Wanarukaruka tu hawataki kukubali wala kukataa.

  • @MossesiMosessilaizerlaizer
    @MossesiMosessilaizerlaizerАй бұрын

    Thank you mh ole sendeka ilove you mh

  • @SARAHKATAGIRA
    @SARAHKATAGIRAАй бұрын

    Ni Bora ktk huo mkoa wampeleke makonda ndoo atamaliza utata

  • @mkondomkondo4721
    @mkondomkondo472127 күн бұрын

    Angalia wapiga debe wengine,umezeeka hujui unachokiongea,eti samia hafananishwi,hiloooooo...

  • @dassustephen731
    @dassustephen731Ай бұрын

    Kama mawaziri wenyewe ndo hawa ukweli hatuna viongozi Tutaendelea kuwa omba omba milele.

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6iАй бұрын

    Jenista ni mtu wa hovyo cjawai kuona

  • @StanleySewando-nb4xm
    @StanleySewando-nb4xmАй бұрын

    Bado Tanzania tuko mbali sana hiyo taarifa Ina mwenye kiti aliyesimia timu na walilipwa posho Sasa bunge lilitakiwa kuagiza kamati iitwe iseme ilitumwa na nani

  • @Rokonga
    @RokongaАй бұрын

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585Ай бұрын

    Mh.Spika utapata kazi sana kwa maamzi uliyoanza kuyachukua ya kusimamia hoja za Wabunge .Mawaziri wako matapeli sana na ni waongo sana

  • @maasaiafricanguides5717

    @maasaiafricanguides5717

    Ай бұрын

    😀😀😀😀

  • @KasangaKalanga-vo6od
    @KasangaKalanga-vo6odАй бұрын

    Lipo bwana kaskazini ni mbaya Sana kwa mgogoro ya ardhi yote imekua pori tengefu

  • @HassanMkotya
    @HassanMkotyaАй бұрын

    Kuna mawaziri dhamana waliyonayo si haiba yao.

  • @yokoi3970
    @yokoi3970Ай бұрын

    Huku makonda ana piga spana huku wengine wanafanya yao dah noma sana 😂😂😂😂😂

  • @OlaIseya
    @OlaIseyaАй бұрын

    Tendeni haki

  • @williammbuzimai5744
    @williammbuzimai5744Ай бұрын

    Kumbe ole sendeka nawe unapoint eeeeeh

  • @mohammedkhimji7505
    @mohammedkhimji7505Ай бұрын

    semeni tu mnasubiri uchaguzi ipite 🤣🤣🤣 acheni kutuzungusha zungusha na vitambi vyenu

  • @user-zk9ox3di4b
    @user-zk9ox3di4bАй бұрын

    asante sana kaka yetu olesendeka pole sana kwa shambulio la kutaka kuuawa je serekali inasemaje je nauliza. Wanyama wanapotuvamia mbona sisi wamasai atuwakamati lakini sisi ngombe zetu zinakamatwa na kuuzwa na je nauliza wabunge mkowapi mmelala usingizi tunataka katiba mpya nilazima watanganyika nilazima tujikomboe kwa asante sana wenu Simba sauti ya wanyonge tupewe haki

  • @aloycemruma6552

    @aloycemruma6552

    Ай бұрын

    Hao Watu ni wajanja wajanja chenga ni nyimgi baadae litakwepo

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    ​@@aloycemruma6552Hilo lilishapitishwa wanasubiri wakishapigiwa kura waliweke wazi na madharau kibao

  • @user-kv2cx8kx4j
    @user-kv2cx8kx4jАй бұрын

    Baba waseme tu ukweli wanaficha siri kwanza mpaka wachaguliwe kwanza ndiyo watasema ukweli

  • @audifacejosephat7071
    @audifacejosephat7071Ай бұрын

    Hawa mawaziri janjajanja nawasiwasi na elimu zao

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935Ай бұрын

    Kime uka waparurana wenyewe. Kwa wenyewe

  • @mokiaolenaputu7648
    @mokiaolenaputu7648Ай бұрын

    Huyu mama Jenister ndiyo waziri wa hovyo kuliko wote kwenye hili baraza

  • @dassustephen731

    @dassustephen731

    Ай бұрын

    Kweli kabisa

  • @DanielLambalelo
    @DanielLambaleloАй бұрын

    Serikali tatueni shda kwa wananch

  • @RichardMgweno
    @RichardMgwenoАй бұрын

    Tukuite chawa

  • @joelilukumay9137
    @joelilukumay9137Ай бұрын

    Mh spika Tulia Ackson, nimekukubali kwa jinsi unavyoonyesha ushirikiano na mh Cristopher Ole sendeka ili kuwatetea wananchi wanyonge. Yawezekana kuna ujanja ujanja. Mh waziri atamke kua jambo hilo hamna ili kuondoa wasiwasi kwa wananchi. Mungu akubariki sana mh Tulia Ackson spika wa bunge. Hio ndio uongozi inayotakiwa.

  • @healingsschool4630
    @healingsschool4630Ай бұрын

    Waarabu ni watu waajabu saana Wana mapesa isiyo na kazi . Soma historia kuna kipindi walinunua visiwa pamoja na kilomita kumi za Tanganyika toka baharini. Nakumbuka kabla ya 2010 kuna mmoja aliuziwa toka Kigamboni mpaka kimbiji akaweka mabango hakuna kilichoendele. Juzi nilishangaa hawa dpworld tuliambiwa wamechukua bandari zote kumbe wamekodishiwa gati 7 tu! na wao hawapo wameweka wahindi tu cio!

  • @daudimchileg307
    @daudimchileg307Ай бұрын

    Kwanini mpo hivo nyie watanzania? Mlisena maguful ni Rais wa mfano kwa uongoz wake mzur, mlimsifia hadi saaana, leo samia ni bola kuliko marais wote waliopta. sasa nyie ni machawa zaid ya baba levo na mwijaku.

  • @hollymore4904
    @hollymore4904Ай бұрын

    Shameful

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6iАй бұрын

    Ccm ni wahuni kama wahuni wengine

  • @johnlaizer5925
    @johnlaizer5925Ай бұрын

    Mungu wetu tulindie mtetezi wetu

  • @user-kv2cx8kx4j
    @user-kv2cx8kx4jАй бұрын

    Ole sendeka aliwahi kusema hawaniwatapeli tu watu kuwanyang'anya watu maenewo yao hata raisi hausiki mimi naona hilo jambo lifutwe tu halipo kabisa niwajanjanja wanataka kutapeli watu maenewo yao

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Asikudanganye mtu hii imetoka juu hakuna linalopitishwa bila raisi kusaini wanasubiri wakishapigiwa kura kwanza ndio waliweke wazi

  • @1961nungwi
    @1961nungwiАй бұрын

    Serikali imeikana, maana yake ni taarifa feki!

  • @MiriamAbdallah

    @MiriamAbdallah

    Ай бұрын

    Hii ipo subiri wakishapigiwa kura

  • @salmanmagwe2612
    @salmanmagwe2612Ай бұрын

    Hizi pesa zinazopotea kuwalipa kijiji ni bora wajenge fance ya umeme kuzunguka hifadhi zetu na mtakuwa mmemaliza migogoro isiyokuwa na sababu,kwani hata hawa wabunge wengi wao wana yao nyuma yake.

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatshaАй бұрын

    Du kumbe umalaya wa kisiasa unarejea taratibu! Unamlinganisha rais wa kudra na waliopita? Wamasai wenzio wanafukuzwa wewe unasifia ujinga mtupu? Nilikuwa nakuheshimu sana Ole Sendeka sasa sikuheshimu tena.

  • @aloycemruma6552
    @aloycemruma6552Ай бұрын

    Umeona kama uchawi hali hii instesa taifa kwani historia ya ofisi hawakabidhiani Mtu anaingia ofisini kwa mihemko

Келесі