Dakika 10 Za Maangamizi - Dogo Dee | Planet Bongo
Ойын-сауық
Dogo Dee Rapa kutoka Mwanza a akizitumia Dakika zake 10 za maanganizi ndani ya Planet Bongo.
Planet Bongo kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa saa 7:00 maacha hapa East Africa Rario kupitia 88.1 fm.
Пікірлер: 512
dogo dee umetisha sana mdogo anguu #sas inatakiwa ukamfundishe dogo @janjaroo haezii kabisaa ...kama umenielwa gonga @like hapo
Babu tale anafunga pesa,madee ana fuga ndevu 😂😂😂🔥🔥🔥🔥🔥👊👊👊💯
Uyu dogo aje chuga anatufaaa uyu aje kaskazini au vipi wachugaaaaaaaaa?? Kama unakubali gonga like
Dogo amewakalisha wengi wanao jiona in mabigwa wa hip hop. Safi sana Dee salute.
@yussufkansela8118
3 жыл бұрын
Yaaaap
Good job ya U.S.A we love it real hip hop 💪
@dunduumaster4815
4 жыл бұрын
UK too
Nimependa haisee ongera ongera sana kwakutuwakiliwa wan mwanza mambo ni fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Battle iwe bosho na dogo dee km unakubaliana na mm like iwepo battle
@japharysety5602
6 жыл бұрын
acha kumcompare bosho na mpuzzZ uyu Rhymes Nyepes Sana'a uyu Charlie
@nickherman4
6 жыл бұрын
Dogo Dee Noma sana
@madahakhamis2106
6 жыл бұрын
kwa boshoo bado sana
@andrewamos6887
6 жыл бұрын
hyo itakuw noma sanaaaaa
@gervaswenceslaus6158
6 жыл бұрын
+Madaha Khamis kweli kabisa
Ntamtag J mo na young dee huyu ndo mkubwa wao w kaz
Ikiwa Young Dee, alishindwa kumaliza Dakika 10, na Dogo Dee kamaliza na kauwa, inamaana Huyu kijana Hatari. Ningependa Battle kati yao. Am sure Huyu dogo atawacha watu kimya. Salute Dogo Dee. Heshima sana mdogo wangu.
@madahakhamis2106
6 жыл бұрын
Nate ngoja asira ziishe uone kama atamaliza
@dadychaps7527
6 жыл бұрын
Hasira za Young Dee au?
Natoka Mwanza mwanza ndo maana vesi ni mawe, kwa hii safari lazima mtu auwawe
Dogo noma sana anamistari mikali pia anajiamini sana hongera kwake dogo dee
@daudmaikomwakapoma213
6 жыл бұрын
Daaaah dogo umeonyesha namna ya kuzitumia dakika 10
Nisipo comment ndakuwa munfkii ..aisee dogo unajuwa
@Bombom-ze1sj
5 жыл бұрын
unajua sana aiseeh dogo dee unajua aiseeh ila badilisha mashahili utatoka maana hii ngoma nzito sana
Dogo Dee mistari Kali...Kenya yakubali talanta ipo ndani yako....kijana ni danger
Shish ukija kwangu uje umenyoa na mavuzi😂😂😂😂😂dogo hili shetani
I seeh huyu dogo ni umeme saana ati baraka Wee ongeza tu magari Na kofia za dope Wakati kwenu kajumba ka tope
Dogo Dee killed it.
dogo yuko fiti sana but mistari yake yakiki san muda wote kuwa sema watu mziki hauko hvyo Dee
Huyu dogo Nilimjua Tangu akiwa darasa la 5 Nilivyosikia anakuja nikajua kuwa huko studio kumevamiwa na Ninja Muulize Manengo alikalishwa na Dogo huyu Nyoko Nyoko Noko sana
@kelvindeogratiasi330
5 жыл бұрын
Nickson Herman nishida chalii wa mwanza
@kusekwasita1576
4 жыл бұрын
Ahahahha noko sana ahaha
kumamake dogo unajua akuna kama ww
Daaa D ni motoooo....🔥🔥🔥🔥
Dj kamtendea haki afu dogo kaua🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Dah...Dangerous! Kweli. Hivi nauliza, huyu ni mtoto au mtuzima? Hivi nauliza anaishi kwao au kwake? Hivi nauliza kamaliza chuo au bado anasoma? Dah.... Mswali mingi. Huyu kijana ana future. Mkali ajabu
@kevinsarungi2981
6 жыл бұрын
Dady Chaps yaah dogo dee koma tuliza kichwa utafika kweny safar yako
@sajdaibrahimmohamed4601
5 жыл бұрын
Dady Chaps dogonoma
Katisha sana Dogo D👏👏
The best so far hapa. Deee
Umetisha sana dogo
dogo big up sana I c light at the end of the tunnel
Utisha kinomanoma Dogo dee nakubari
Hio ndo mwanza yenye bongo za fleva
Mwanza nyinyi ni nyooooookooooooo daaaaa ndogo umeuwa
Umetisha dogo
Noma snaaaa dg d ametisha
Katika wasanii waote waliopiga free style huyu kijana amejaribu Tena sanaa.Dogo Dee uko sawa kuflow uko na punch poa ila usingilie wasani wenzako kwa ubaya sifu mtu sio mtukane mtu na hivyo ndivyo utapata kuwa femas
Daah atali we dogo noma atali sana wakomeshe
Dogo dee,,we ni fire
Dogo dee !!Ndoalo uwa dkk 10 Watu wote #likes APA
*Dogo Dee umetisha Sana kwa freestyle 🔥*
@stephanoamnaay642
2 жыл бұрын
Wahuniiii ganjaaaaa mabatiniiiii swazigireeer
Daaaa kwel dogo unachana we nkokiii
Nakuja kuja kuwakalisha wambie wajipange mungu ilinde Tanzania
rock city dogo ume tishaaaaaaaaa sana
mmmmh dogo anachana sana
umetisha DOGO D kama mambeeeeeeeeeeeleeeeeeeeeeeh!
Mwanza rap never die....big up Dogo dee
dogo ww ni nomaaaaaaaaa
Dogo asee full asee umetisha sana
dogo dee kweli danger
Dogo d na bosho ninja noma sana
Rock city hip hop home base
uyo dogo balaaa sana keep it up
Wana rock city tujivunie sanaaa vichwa vya kazii vinatuwakilishaa
Umetish dogo dee
nlitaka kupita bila kuandik lkn acha tyuu niseme dogoo dee we n hatar......hapo paka rapa wote umewauwwa keep it up boy
Sanaaaa
Dogo mkali sanaaaa anajuwa,, sema dj beats zake zijazielewa Kama kabana hivi
Noma sana
Dogo motoo, daa nakufahamu tangu 2012 toka furahisha woyooooo waueee
Duuh kweli dogo d mkongwe jama ana tema mistari utadhani kameza flash dish 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤😲😲😲😲😲😲😲😲😲😲
Nice one. Keep up young
From +254......noma sana
Boshoo is the best so far
Waue dog d "bong move wanavua san"
Dogo nomaaaaaaaa
Aiseeeeeeee gooooooood napenda sana hip hop
Dogo Dee amekuwa
@paulolujuo6100
6 жыл бұрын
fanya ufanye naye tena mkono mwingine
@deljaysamil1153
6 жыл бұрын
Young killer Msodoki umekubali
@asantesangawe7714
6 жыл бұрын
Ausyo msodoki
@asantesangawe7714
6 жыл бұрын
VP jembe
@musamasika3630
6 жыл бұрын
Young killer Msodoki kamekuwa haka kajamaa
Dogo fresh kaza asee
Hatare
Mwanza mwanza
Nakubar dogo unakipaji
Dee kiwango rapper from mwanza good
Dogo dee anamoto atali nampata uyu
Sijawah kukoment ngoja niseme dg dee keep it up
Nimemuelewa sna dogo uko vizuri
Daaah kali sana
mdogo wangu umetisha
Dogo Umeivaaaaaaaa
Bro nakukubalii
Rock city kalisheniiiii, fid, nchama, young dee, dogo dee n shiiiidah
@sangijamadukwa1486
6 жыл бұрын
Yasin James young dee sio wetu
@robertmsumai5485
6 жыл бұрын
Yasin James dogo D coyo edu boy
Anatisha Huyo dogo
Noma sanaaaa
Huyu dogo ni zaidi ya rapper 💪💪💪💪 tisha sana
Dogo umeuwa sema unajiamini sana
yeaaaah..!! umeua dogo dee, nmekuelewa knyamaa
Talented.!!! 🙌
dogo kafanya hip hop. saaf saaana!!! kwa huu msimu kaanza vzur tuendelee anaweza ish kwenye top 3
Hatali sana dg
nilikuwaga sijaionaga mc wangu...hongera sana dogo
Daaah dogo kajipnga ajaja kuchezaa cheza apoo... mi nampa 100%
Bongo muvi amzai kwa kuwa.mmetoa sana mimb.........dogo kaua
mpeni sapoti huyo dogo maan nihataree🔥🔥
una pumzi kama kibaka bhana mdogo, njoo uchukue buku hii hapa umetisha sana
Rock City in da house
❤❤❤❤
Dogo upo vizuri sana ....Ila usitukane
Dogo mkali aiseeeee
Mwanza mwanza htr xanaaaaaaa dgooo D cio mziki wala shule ww ni nouma
Nilichooenda huyu dogo na ndio kilichompa nguvu ana "Confidence" afu ana mazoezi so, amefanya poa sana! hongera young.
#DogoDee umeingia Dsm nna uhakika game unatoboa
Dogo yupo vzr
Dah cjawah kucoment ila uyu dogo kanifurahisha sanaaaaaa
Big up sanaaaa tu
Umetisha dee denja