DAH HUWEZI AMINI! DKT SULLE AMUAIBISHA MNO MCHUNGAJI NDACHA | MAZINGE AMVURUGA KABISAAAAAA
#riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
KZread: / @@riyadhtvonlineznz
Dkt Sulle Mazinge wakata mzizi wa Fitna, Qur an Ndo kitabu cha kweli cha Mungu
Пікірлер: 265
Aya iko ❤🎉🎉wacha kuteta kwamana mano yari😢omo kwamane yamungu yariomo bibilia
Nashukuru sana mungu kwa kuniumba mm kua mtu wa kristo,Hakika najiona utofaut wang,Maisha yang tupu ni xtor ndef,Ukiona mtu kahasi ukiristo karogwa uyo,Ndacha mmoja walimu wa kiislam 10 lakin umewapelekea moto
Ndugu mchungaji ndacha wewe kweli ni Mwalimu wakuwanyoosha waislamu ; ili wamwamini yesu kristo. asante sana kwa huduma hiyo.
Bwana yesu Apewe sifa waislamu wote waseme amina
Duhhhh Yani ndacha mungu kakupa kibali Yan umewasha moto Kwa wasilamu wapenda sifa badala ya ukwel
Allahumma inny mzidishie Dr.sule iman elmu na umri wenye faida kw waja wako wote dunian mpaka mbinguni na Aamiiiiin
Waislam kuelewa Mungu ni Ngumu
Mmmmmmh ili jamaaa ndacha AAAA sarut baba ndacha huna mfano Mimi Nina wasiwasi na wewe itakuwa YESU yupo ndani yako siyo bule duuuu baba baba wewe kiboko❤❤❤❤❤❤❤❤
The wisdom in Ndacha✌🏻 🔥 kiboko ya waislahamu
Ndacha Mungu akubariki,kumbe vitabu ivyo vinaijuwa Biblia Na wakristo 😮 Asante ndacha Mungu akubariki
@abediabdallah1547
6 ай бұрын
Kampe tako mjomba
@jonathangithinji2652
6 ай бұрын
@@abediabdallah1547kweli uisilamu dini ya amani bila matusi
@jumabuckary7698
3 ай бұрын
Mungu ndiyo alijua kwamba kuna binadam watakuja kujiita wao ni mungu pia Kuna wengine watajifanya mitume na manabii na dini zao za uwongo ndo maana Quran ya mungu aijaacha kitu katika maisha ya baadae
@user-hp6gz6ln4k
2 ай бұрын
@@jumabuckary7698Mungu gani😅allah
Waislam taften YESU awaonyeshe njia ya Kweli...
@OtundoJeremiah
4 ай бұрын
Kweli
Ndacha ubalikiwe sana
Wewe ndacha ubarikiwe mungu ariku jariya gipaji❤
Asante sana mch ndacha
Asante Sana Doctor mungu akulipe
amina ndacha kwa elimu kubwa MUNGU akubaliki nauendelee ivo kufundisha ukweliii na ukweli uko wazi
Masha ALLAH
Nani hao walio,WALIO iteremsha kaa alla ni mmoja,ama alisaidiwa kukibeba😂😂
Wote wapo vizuri safi sana kwa elimu wanayotupa
Hekima ya Ndacha iko juu sana ,
@abediabdallah1547
6 ай бұрын
Kampe mjomba akupelekee
@OtundoJeremiah
4 ай бұрын
This is the only man of God we have from Kenya
Aslm alykm ww sheikh sule ,waelimishe inshallah
Ndacha you’re the best
Ndasha una upako wa Mungu nu unyenyekufu ulio nao, Mungu akubariki zaidi na akupe maisha marefu
Mbona Sule abazunguka😂😂😂
Ndacha may God bless you
@DancanOsongo
Ай бұрын
Amen❤bleess
@DancanOsongo
Ай бұрын
To get it done before the end of next life😅
@DancanOsongo
Ай бұрын
Amen
Ndacha Mungu akulinde
Nimetokea kuiyamini na kuikubali sana uwaisalam
Dr sulle kwakweli imeshindikana🙌🙌 Allah akupe maisha marefu
@temesjames8867
6 ай бұрын
Mbona hajajibu hoja au kasahau
Mbona sure ajatwambia waandishi wa quran
Allahu akbar☝️
Ndacha mungu akuongeze umri uzidi kuwaelimisha jamii ❤❤
Nakukubali mwalim dk sule
Nimesikiriza kwa makini kiukweli biblia iko wazi sana walioiandika lakini korani haiko wazi walioiandika hii yote tumshukuru mungu kwa kumleta NDACHA duniani hongera mtumishi mwema wa mungu.
@user-kb4dk7zo1l
6 ай бұрын
Pole Sana Kaka c n Paul ndo aliandika ama kuna wengine?
@pharmkiksi7463
4 ай бұрын
Biblia iko wazi inamtukana Mungu, Inamwita Mungu MPUMBAVU na DHAIFU.... (1:15 wakurinto wa kwanza) Wewe ni kipofu huoni ayo maandishi basi hata husikii? Wewe moyo wako umekufa kabisa, tafuta ukweli usifuate upepo.....
Mashalla she
Ndacha akuwezeshe mwenyezi mungu
The book of luke 4;15-16-17-18
Ndacha ubalikiwe sana kwa kutetea dini ya kweli
Kumbe waisalm munaabudu binadamu mm nilikuwa sijui huyu Muhammad si ni mtu jameni chooni kwa wa kristo ❤❤❤😂
@zulekhaa6817
3 ай бұрын
Subhanallah Ww unamsikiliza ndacha hujamsikiliza sule, aau ni ubishi wako tu. Sisi tunamuabudu Allah tu, mtume Muhammad swalla llahu alyhi salaam, kaja kutufundisha nani Allah na vipi tumuabudu hakusema tumuabudu yeye kabisa. Funuka akili na usiwe mbishani. Ukimsikia muisiliamu kasema hivyo ulivyosema wewe basi huyo kakosea dini y uisilamu haijafundisha hivyo. Hayo n maneno y properganda tu, ili kuwapoteza watu km nyinyi, munaoburuzwa n wachungaji wenu.
For those who watching this in 2044 plz make duwaa for Dr Sule bcz he was doing amazing work Masha Allah
@andikadirali9738
6 ай бұрын
MashaAllah
@jumarobertonyancha8605
6 ай бұрын
Which work,for deceiving peoples to Islam
Suller hujatujibu koluani ina sura 7 lakini ina sula zaidi ya hizo 7 sura zingine zilitoka wapi ? Suller hajatujibu
Mko vizuri sana
Sulle kageuka nyuki 👆
Aliyeabishwa ni Sule kwa asilimia 1000!Acha kupotosha ukweli!
Amen dacha na frango onyango
sule hunaakili wangap wanamtukana mungu , adiafande sele pia alimtukana mungu namungu akumuazibu lkn nyny waslamu mlimuukumu lkn mungu akajifanya mpumbavu Sasa mungu Kwan nimpumbavu ,sule hunahoj Wala huna jibu naona wrkrktu
Ndacha alisema tu vizuri msikate hii vedio kwa vipande ndo watu waelewe ukweli.kiliwaramba waislamu sindano iliingia vizuri
@callennyabonyi5580
6 ай бұрын
Kawaida ya waislamu ni ushabiki tu,hawana lolote
@ezrommkambati1554
6 ай бұрын
Umenena vema ndugu
@jumarobertonyancha8605
5 ай бұрын
Hwa waganga wanaelimu ya majini😂😂😂😅
DHARNII WALMUKADHDHIBU BIHAADHALHADITH SANASTAJRIBUHUM MIN HAITHU LAA TA LAMUUN.
Napenda wahadhir wa kiislam Allan awalipe kheri
Hivi kusema "Hakika sisi ndio tulioiandika" "tukaishusha"Kama ni Mungu, ni miungu wangapi ?
Amen
Ndacha dar we noma umemdhalilisha doctor sule vibaya safi sana
Jamani jamani ejamani wakristo na wasihi ingieni katika uislam uyo yesu ni mtume2 na sio mtoto wala sio mungu jaman mungu hana mwana yesu kaulbwa kwa kupitia miujiza2 jaman ili allah atupe mtihani maana alisha umba pepo na moto sasa asingali muumba kwa njia hiyo jahannam isingali pata watu wa kuingia jaman njon katika uislam ndio dini ya kweli na ya haki hivi hamuoni nyinyi !
Ndacha anajua anachokificha Shekhe shukulan
Yaani mtu anafaulu mtihani anatangazwa mshindi aliyefeli !! Hivi kuna elimu hapo au vihoja tu !? Inahitaji kwa aliyefilisika kichwani kuona hapo aliyetangazwa mshindi kuwa mshindi !! Kuna elimu ? Kweli "..mwenye kusoma na afahamu" nami naona mwenye kusikia na asikilze apate ufahamu !
Wa adventiste wana mungu
Hiyo haedline ni ushabiki tu bt ule ukweli ikiwa kuna majibu muafaka kutoka kw muislam yeyote anaeweza kunibu mm au Ndacha bx naezi Slimu mana kuslimu n bure hakuna ada yoyote lakn sisi tunaangalia ukwel uko wapi
Lile jiwe jeuzi la majini ndio mungu wa dr sulle na timu yake
@SumaAbduly
6 ай бұрын
Ujui ulisemalo pole
@atwowa6380
6 ай бұрын
Hatuabudu jiwe tunaabudu Allah
@jumarobertonyancha8605
6 ай бұрын
Wapi hapa sulle kamwaibisha ndacha ,bila ushabik sulle bado kabisa😂😂😂😂😢😢😢
@jumarobertonyancha8605
6 ай бұрын
@@atwowa6380 Allah in nani sasa
@jumarobertonyancha8605
5 ай бұрын
@@atwowa6380Allah ni nani
ivi hii TV ni ya Sure ?kwanini mnaandika vichwa vya habari tofauti na yaliyomo waislam Mungu anawaona mnadanganya hata maneno tunayo yasikiliza mnaandika Ndacha kabanwa alafu ukisikiliza utakuta nyie ndio mmebanwa polepole mtampokea Yesu
Thanks for good combination but detail answer and good explanation should be there in answering the questions on both sides not as some as the questions are answered
Ndacha my God bless you abundantly kwa kazi unayofanya waisilamu patiswa kwa maji mengi kama mungu
Nimeona kweli waeslamu hawana majibu hata maneno ya kuongeya hawana.
Ndacha maneno mengi tu ajielewiii
Sulle toa hoja zito bana nikama umeshindwa tena umeleta matatani gaki bible inafanya nn qoran😅😅 2:20:53 2:20:58
Msomaji wa upande wa waislam anambwembwe mbaka anaboa baada asome anajilimbwasa tu!! Umetisha sana mch. Ndacha mungu akubariki amina
alafu makaratas yann mikonon mwenzenu yapo kichwan kishameza
Kumbe uislam ni dini ya haki kwel,Ndacha unajua ukwl uko wp lkn hautaki kuach sadaka
💖💖💖
Safi kabisa pastor ndacha ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU Alie hai. Asie kuelewa hilo ni sikio la kufa tu. Ndacha unaeleweka sana
My question is sijaiona mwislamu akianzisha mdahali kwani hawana hoja wanangojea ndacha kuanza
Ndacha chiz kabisa
@juliusmsangi6849
4 ай бұрын
Kumbe mkiambiwa ukweli kwa hoja ni uchizi? Poleni waislamu kwa uelewa mdogo!
Mazinge anaanza mechi na woga, tulia mzee kijana master mind huyo.... Tukubaliane umezeeka
Kaibisha ndacha wapi hapa😅😅😅😅,ndacha ndiye anayemfunza sulle dini ya haki kwa ulimwengu huu
@Hussayn21
6 ай бұрын
Sikiliza ufahamu sio ushabiki hufahamu?
@pharmkiksi7463
4 ай бұрын
Kaibishwa kitabu chao cha Biblia kinasema MUNGU ni mpumbavu na Dhaifu(1:15 wakurinto wa kwanza).... Bado tu mumekaa
Wewe mwandishi muongo mno! Unasema Ndacha kaibishwa wakati tunamsikia akiongea Kwa pointi Sana kumshinda Sulle!
@johnnation4000
6 ай бұрын
Hawa waongo tu,ndacha hutowa kweli sio peloronjo
@jumarobertonyancha8605
6 ай бұрын
Kabisa bro,hawa makafiri wa umma wa Mohammad ni watu wa kuchekesha mno,eti malaika wakahandika Qur'an kumbe ni ya muhitaji wa majini aliyopewa kwa pango pale macca
@pharmkiksi7463
4 ай бұрын
@@jumarobertonyancha8605 nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo......
@pharmkiksi7463
4 ай бұрын
nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu (1:15wakurinto wa Kwanza) bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo.....
Wakristo hapa wananakili kimakini lakini hawa waislamu ni ushabiki tu hapa ,hawajielewi na makelele mingi 😢😢😢😢
😂😂😂😂😂 Ndacha kachanganyikiwa 😢😢😢😢😢
kwani ukisema sule kashindwa utapata dhambi
Ndacha huwa anajaribu ,mashehe wengii na pastor mmoja
Ao walisema sisi tumekuletea au kukutelemshia kitabu maana yake ni zaid ya mmoja apo nanyie mnasema Yesu sio Mungu wala mwana wa Mungu
yesu nibwana
@jumamohamed3168
4 ай бұрын
Yusu ni mtu kama wewe alikuwa anakula ,anakunya anaoga kama kawaida .
Khai angetetea qurani
Ndacha noma
Mungu mmoja walioteremsha kitabu cha Quran ni akina nani??
Midahalo Ni mizuri lakini kweli Ya Mungu inabaki palepale hata uc hambuzi uwe wahali yajuu namna gani hauna uhusiano wowote kumsamehe dhambi mtu yeyote .Nibora kuchunguza Kama maandiko unayoyatumia kumtafuta Muumba wako Kama yanauvuvio wa pumzi ya Mungu au la,kwakuwa Mungu nihai neno lake Ni hai.
Ndacha is the best
Ahaaa! Kumbe mdahalo umeandaliwa na taasisi ya kiislam. Utaratibu wa mdahalo wenyewe una nia potofu.
Read from the book of LORD ISAIAH 34:16
Waisillamu tuko juu miaaka mia nane❤
@temesjames8867
6 ай бұрын
Kitabu kaandika nani?
@jonathangithinji2652
6 ай бұрын
nyinyi mkaja nyuma waisilamu 😂😂
vizuli sana
ndacha kiboko wafundishe wabishiawo kzyao ubishtu
Inahubiriwa wengi ila wakuelewa niwacace na inajulikana kama Yesu ndiye njia (Im Burundian)
Tukiwafundisha watoto biblia na Quran kwa usawa, alafu wakifikisha miaka 15, wachague kusilim au kubatizwa, Nina hakika uislamu utafutika katika uso wa dunia
Mutajijua wakristo wakati sisi waislam tunauhakika dini yetu ni ya haki na yakweli na ndio din ya manabii hatuna hata wasi wasi juu ya dini. Mm kama yesu ndio mungu kweli basi mm namwambia yesu pepo yako siitaki siitaki kabisa pepo aliyoumba yesu
Ubatizo gani huwooo? Ubatizo ni katika jina La Yesu Kristo, nahiyo ndoo Ubatizo sahihii.
Doctor, at the times of ISHA, Was the quran available??. If not, why is it that HE is in the quran?.
Ndacha anakumbuka hoja alizozungumza mwenzie hii kichwa kama computer anatembea mule mule kwenye chaki
Naanza kuelewa Uchristo ni dini ya Mungu
Yann Hawa wezetu hawaelewe kama Hawa masikio kwel wasilamu tuwaombee dua
Nasikia rahasana
Uislam forever
Ndacha unaeleweka sana ivo vizeevilivovaa kanzu hoja vimeishiwa kazi yao nikubisha tu🤣