DAH HUWEZI AMINI! DKT SULLE AMUAIBISHA MNO MCHUNGAJI NDACHA | MAZINGE AMVURUGA KABISAAAAAA

#riyadhTvZnz #zanzibar
Follow Us On:
INSTAGRAM: / riyadhtvznz
FACEBOOK: / riyadhtvonlineznz
TIKTOK: / riyadhtvonlineznz
KZread: / @@riyadhtvonlineznz
Dkt Sulle Mazinge wakata mzizi wa Fitna, Qur an Ndo kitabu cha kweli cha Mungu

Пікірлер: 265

  • @DancanOsongo
    @DancanOsongoАй бұрын

    Aya iko ❤🎉🎉wacha kuteta kwamana mano yari😢omo kwamane yamungu yariomo bibilia

  • @deogratiusthobias4322
    @deogratiusthobias43226 ай бұрын

    Nashukuru sana mungu kwa kuniumba mm kua mtu wa kristo,Hakika najiona utofaut wang,Maisha yang tupu ni xtor ndef,Ukiona mtu kahasi ukiristo karogwa uyo,Ndacha mmoja walimu wa kiislam 10 lakin umewapelekea moto

  • @kitumainikubatu3182
    @kitumainikubatu31826 ай бұрын

    Ndugu mchungaji ndacha wewe kweli ni Mwalimu wakuwanyoosha waislamu ; ili wamwamini yesu kristo. asante sana kwa huduma hiyo.

  • @AmosNicas
    @AmosNicas7 ай бұрын

    Bwana yesu Apewe sifa waislamu wote waseme amina

  • @user-sh5ks5hg9r
    @user-sh5ks5hg9r5 ай бұрын

    Duhhhh Yani ndacha mungu kakupa kibali Yan umewasha moto Kwa wasilamu wapenda sifa badala ya ukwel

  • @MaggySimon-nr5if
    @MaggySimon-nr5if3 ай бұрын

    Allahumma inny mzidishie Dr.sule iman elmu na umri wenye faida kw waja wako wote dunian mpaka mbinguni na Aamiiiiin

  • @jacksonpatrick9814
    @jacksonpatrick98146 ай бұрын

    Waislam kuelewa Mungu ni Ngumu

  • @barackamosi4116
    @barackamosi41163 ай бұрын

    Mmmmmmh ili jamaaa ndacha AAAA sarut baba ndacha huna mfano Mimi Nina wasiwasi na wewe itakuwa YESU yupo ndani yako siyo bule duuuu baba baba wewe kiboko❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @kriswanyanya256
    @kriswanyanya2566 ай бұрын

    The wisdom in Ndacha✌🏻 🔥 kiboko ya waislahamu

  • @user-hp6gz6ln4k
    @user-hp6gz6ln4k6 ай бұрын

    Ndacha Mungu akubariki,kumbe vitabu ivyo vinaijuwa Biblia Na wakristo 😮 Asante ndacha Mungu akubariki

  • @abediabdallah1547

    @abediabdallah1547

    6 ай бұрын

    Kampe tako mjomba

  • @jonathangithinji2652

    @jonathangithinji2652

    6 ай бұрын

    ​@@abediabdallah1547kweli uisilamu dini ya amani bila matusi

  • @jumabuckary7698

    @jumabuckary7698

    3 ай бұрын

    Mungu ndiyo alijua kwamba kuna binadam watakuja kujiita wao ni mungu pia Kuna wengine watajifanya mitume na manabii na dini zao za uwongo ndo maana Quran ya mungu aijaacha kitu katika maisha ya baadae

  • @user-hp6gz6ln4k

    @user-hp6gz6ln4k

    2 ай бұрын

    ​@@jumabuckary7698Mungu gani😅allah

  • @juliusjamanda7313
    @juliusjamanda73136 ай бұрын

    Waislam taften YESU awaonyeshe njia ya Kweli...

  • @OtundoJeremiah

    @OtundoJeremiah

    4 ай бұрын

    Kweli

  • @jonathanharabandi2707
    @jonathanharabandi27076 ай бұрын

    Ndacha ubalikiwe sana

  • @user-wj2vd9jr7p
    @user-wj2vd9jr7p2 ай бұрын

    Wewe ndacha ubarikiwe mungu ariku jariya gipaji❤

  • @MchungajiSilungwe
    @MchungajiSilungwe6 ай бұрын

    Asante sana mch ndacha

  • @husseinismail5972
    @husseinismail59726 ай бұрын

    Asante Sana Doctor mungu akulipe

  • @akilyemily5788
    @akilyemily57887 ай бұрын

    amina ndacha kwa elimu kubwa MUNGU akubaliki nauendelee ivo kufundisha ukweliii na ukweli uko wazi

  • @user-su3cx9qr8h
    @user-su3cx9qr8h3 ай бұрын

    Masha ALLAH

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua75935 ай бұрын

    Nani hao walio,WALIO iteremsha kaa alla ni mmoja,ama alisaidiwa kukibeba😂😂

  • @alvinsafi2733
    @alvinsafi27334 ай бұрын

    Wote wapo vizuri safi sana kwa elimu wanayotupa

  • @kennedyeboso6820
    @kennedyeboso68206 ай бұрын

    Hekima ya Ndacha iko juu sana ,

  • @abediabdallah1547

    @abediabdallah1547

    6 ай бұрын

    Kampe mjomba akupelekee

  • @OtundoJeremiah

    @OtundoJeremiah

    4 ай бұрын

    This is the only man of God we have from Kenya

  • @IsmailJuma-ke2wd
    @IsmailJuma-ke2wdАй бұрын

    Aslm alykm ww sheikh sule ,waelimishe inshallah

  • @blessingmuyambo908
    @blessingmuyambo9086 ай бұрын

    Ndacha you’re the best

  • @mirengekahamwiti1260
    @mirengekahamwiti12606 ай бұрын

    Ndasha una upako wa Mungu nu unyenyekufu ulio nao, Mungu akubariki zaidi na akupe maisha marefu

  • @jamesswai6583
    @jamesswai65836 ай бұрын

    Mbona Sule abazunguka😂😂😂

  • @barakafondo8090
    @barakafondo80906 ай бұрын

    Ndacha may God bless you

  • @DancanOsongo

    @DancanOsongo

    Ай бұрын

    Amen❤bleess

  • @DancanOsongo

    @DancanOsongo

    Ай бұрын

    To get it done before the end of next life😅

  • @DancanOsongo

    @DancanOsongo

    Ай бұрын

    Amen

  • @maicoandrelilepe3728
    @maicoandrelilepe37286 ай бұрын

    Ndacha Mungu akulinde

  • @user-kn8dj7rl1r
    @user-kn8dj7rl1r4 ай бұрын

    Nimetokea kuiyamini na kuikubali sana uwaisalam

  • @user-wr8fo9cc4t
    @user-wr8fo9cc4t6 ай бұрын

    Dr sulle kwakweli imeshindikana🙌🙌 Allah akupe maisha marefu

  • @temesjames8867

    @temesjames8867

    6 ай бұрын

    Mbona hajajibu hoja au kasahau

  • @Makevo08
    @Makevo086 ай бұрын

    Mbona sure ajatwambia waandishi wa quran

  • @HajraMohammed-vs9fn
    @HajraMohammed-vs9fn3 ай бұрын

    Allahu akbar☝️

  • @user-vb4ek9jd7x
    @user-vb4ek9jd7x4 ай бұрын

    Ndacha mungu akuongeze umri uzidi kuwaelimisha jamii ❤❤

  • @AhmedSleman-fj9ry
    @AhmedSleman-fj9ry4 ай бұрын

    Nakukubali mwalim dk sule

  • @temesjames8867
    @temesjames88676 ай бұрын

    Nimesikiriza kwa makini kiukweli biblia iko wazi sana walioiandika lakini korani haiko wazi walioiandika hii yote tumshukuru mungu kwa kumleta NDACHA duniani hongera mtumishi mwema wa mungu.

  • @user-kb4dk7zo1l

    @user-kb4dk7zo1l

    6 ай бұрын

    Pole Sana Kaka c n Paul ndo aliandika ama kuna wengine?

  • @pharmkiksi7463

    @pharmkiksi7463

    4 ай бұрын

    Biblia iko wazi inamtukana Mungu, Inamwita Mungu MPUMBAVU na DHAIFU.... (1:15 wakurinto wa kwanza) Wewe ni kipofu huoni ayo maandishi basi hata husikii? Wewe moyo wako umekufa kabisa, tafuta ukweli usifuate upepo.....

  • @IddiZuberi-ef6oz
    @IddiZuberi-ef6oz4 ай бұрын

    Mashalla she

  • @MarcellinMitamo-jx6qu
    @MarcellinMitamo-jx6qu4 ай бұрын

    Ndacha akuwezeshe mwenyezi mungu

  • @richardkiarie7445
    @richardkiarie74456 ай бұрын

    The book of luke 4;15-16-17-18

  • @kennethjunior6071
    @kennethjunior60716 ай бұрын

    Ndacha ubalikiwe sana kwa kutetea dini ya kweli

  • @hghh6056
    @hghh60565 ай бұрын

    Kumbe waisalm munaabudu binadamu mm nilikuwa sijui huyu Muhammad si ni mtu jameni chooni kwa wa kristo ❤❤❤😂

  • @zulekhaa6817

    @zulekhaa6817

    3 ай бұрын

    Subhanallah Ww unamsikiliza ndacha hujamsikiliza sule, aau ni ubishi wako tu. Sisi tunamuabudu Allah tu, mtume Muhammad swalla llahu alyhi salaam, kaja kutufundisha nani Allah na vipi tumuabudu hakusema tumuabudu yeye kabisa. Funuka akili na usiwe mbishani. Ukimsikia muisiliamu kasema hivyo ulivyosema wewe basi huyo kakosea dini y uisilamu haijafundisha hivyo. Hayo n maneno y properganda tu, ili kuwapoteza watu km nyinyi, munaoburuzwa n wachungaji wenu.

  • @ZeroBlen
    @ZeroBlen6 ай бұрын

    For those who watching this in 2044 plz make duwaa for Dr Sule bcz he was doing amazing work Masha Allah

  • @andikadirali9738

    @andikadirali9738

    6 ай бұрын

    MashaAllah

  • @jumarobertonyancha8605

    @jumarobertonyancha8605

    6 ай бұрын

    Which work,for deceiving peoples to Islam

  • @omanbarka1588
    @omanbarka15886 ай бұрын

    Suller hujatujibu koluani ina sura 7 lakini ina sula zaidi ya hizo 7 sura zingine zilitoka wapi ? Suller hajatujibu

  • @LwitikoKatule
    @LwitikoKatule6 ай бұрын

    Mko vizuri sana

  • @HirabDigfer-iu3rs
    @HirabDigfer-iu3rs6 ай бұрын

    Sulle kageuka nyuki 👆

  • @juliusmsangi6849
    @juliusmsangi68494 ай бұрын

    Aliyeabishwa ni Sule kwa asilimia 1000!Acha kupotosha ukweli!

  • @DancanOsongo
    @DancanOsongoАй бұрын

    Amen dacha na frango onyango

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q6 ай бұрын

    sule hunaakili wangap wanamtukana mungu , adiafande sele pia alimtukana mungu namungu akumuazibu lkn nyny waslamu mlimuukumu lkn mungu akajifanya mpumbavu Sasa mungu Kwan nimpumbavu ,sule hunahoj Wala huna jibu naona wrkrktu

  • @kimelirono5084
    @kimelirono50846 ай бұрын

    Ndacha alisema tu vizuri msikate hii vedio kwa vipande ndo watu waelewe ukweli.kiliwaramba waislamu sindano iliingia vizuri

  • @callennyabonyi5580

    @callennyabonyi5580

    6 ай бұрын

    Kawaida ya waislamu ni ushabiki tu,hawana lolote

  • @ezrommkambati1554

    @ezrommkambati1554

    6 ай бұрын

    Umenena vema ndugu

  • @jumarobertonyancha8605

    @jumarobertonyancha8605

    5 ай бұрын

    Hwa waganga wanaelimu ya majini😂😂😂😅

  • @mohamedumri4176
    @mohamedumri41767 ай бұрын

    DHARNII WALMUKADHDHIBU BIHAADHALHADITH SANASTAJRIBUHUM MIN HAITHU LAA TA LAMUUN.

  • @LukasKastiko
    @LukasKastiko3 ай бұрын

    Napenda wahadhir wa kiislam Allan awalipe kheri

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj6 ай бұрын

    Hivi kusema "Hakika sisi ndio tulioiandika" "tukaishusha"Kama ni Mungu, ni miungu wangapi ?

  • @filisalkhah5832
    @filisalkhah58326 ай бұрын

    Amen

  • @user-yp1lm5fb1v
    @user-yp1lm5fb1v4 ай бұрын

    Ndacha dar we noma umemdhalilisha doctor sule vibaya safi sana

  • @user-th2ks9et2m
    @user-th2ks9et2m5 ай бұрын

    Jamani jamani ejamani wakristo na wasihi ingieni katika uislam uyo yesu ni mtume2 na sio mtoto wala sio mungu jaman mungu hana mwana yesu kaulbwa kwa kupitia miujiza2 jaman ili allah atupe mtihani maana alisha umba pepo na moto sasa asingali muumba kwa njia hiyo jahannam isingali pata watu wa kuingia jaman njon katika uislam ndio dini ya kweli na ya haki hivi hamuoni nyinyi !

  • @Leo-xc1nh
    @Leo-xc1nh6 ай бұрын

    Ndacha anajua anachokificha Shekhe shukulan

  • @richardnganya2311
    @richardnganya23117 ай бұрын

    Yaani mtu anafaulu mtihani anatangazwa mshindi aliyefeli !! Hivi kuna elimu hapo au vihoja tu !? Inahitaji kwa aliyefilisika kichwani kuona hapo aliyetangazwa mshindi kuwa mshindi !! Kuna elimu ? Kweli "..mwenye kusoma na afahamu" nami naona mwenye kusikia na asikilze apate ufahamu !

  • @jeanmwamba7380
    @jeanmwamba73803 күн бұрын

    Wa adventiste wana mungu

  • @rodgersmae-rc2pn
    @rodgersmae-rc2pn6 ай бұрын

    Hiyo haedline ni ushabiki tu bt ule ukweli ikiwa kuna majibu muafaka kutoka kw muislam yeyote anaeweza kunibu mm au Ndacha bx naezi Slimu mana kuslimu n bure hakuna ada yoyote lakn sisi tunaangalia ukwel uko wapi

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha86057 ай бұрын

    Lile jiwe jeuzi la majini ndio mungu wa dr sulle na timu yake

  • @SumaAbduly

    @SumaAbduly

    6 ай бұрын

    Ujui ulisemalo pole

  • @atwowa6380

    @atwowa6380

    6 ай бұрын

    Hatuabudu jiwe tunaabudu Allah

  • @jumarobertonyancha8605

    @jumarobertonyancha8605

    6 ай бұрын

    Wapi hapa sulle kamwaibisha ndacha ,bila ushabik sulle bado kabisa😂😂😂😂😢😢😢

  • @jumarobertonyancha8605

    @jumarobertonyancha8605

    6 ай бұрын

    @@atwowa6380 Allah in nani sasa

  • @jumarobertonyancha8605

    @jumarobertonyancha8605

    5 ай бұрын

    ​@@atwowa6380Allah ni nani

  • @user-jf2gp7wb9i
    @user-jf2gp7wb9i7 ай бұрын

    ivi hii TV ni ya Sure ?kwanini mnaandika vichwa vya habari tofauti na yaliyomo waislam Mungu anawaona mnadanganya hata maneno tunayo yasikiliza mnaandika Ndacha kabanwa alafu ukisikiliza utakuta nyie ndio mmebanwa polepole mtampokea Yesu

  • @user-qn5ne3oz3d
    @user-qn5ne3oz3d6 ай бұрын

    Thanks for good combination but detail answer and good explanation should be there in answering the questions on both sides not as some as the questions are answered

  • @user-ey4hj9jk1i
    @user-ey4hj9jk1i7 ай бұрын

    Ndacha my God bless you abundantly kwa kazi unayofanya waisilamu patiswa kwa maji mengi kama mungu

  • @besteddynashanatukambale5163
    @besteddynashanatukambale51636 ай бұрын

    Nimeona kweli waeslamu hawana majibu hata maneno ya kuongeya hawana.

  • @user-nc4jh2gw2h
    @user-nc4jh2gw2h5 ай бұрын

    Ndacha maneno mengi tu ajielewiii

  • @user-ey4hj9jk1i
    @user-ey4hj9jk1i7 ай бұрын

    Sulle toa hoja zito bana nikama umeshindwa tena umeleta matatani gaki bible inafanya nn qoran😅😅 2:20:53 2:20:58

  • @JamesDonat
    @JamesDonat3 ай бұрын

    Msomaji wa upande wa waislam anambwembwe mbaka anaboa baada asome anajilimbwasa tu!! Umetisha sana mch. Ndacha mungu akubariki amina

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q6 ай бұрын

    alafu makaratas yann mikonon mwenzenu yapo kichwan kishameza

  • @user-dw9jl4lk7x
    @user-dw9jl4lk7x4 ай бұрын

    Kumbe uislam ni dini ya haki kwel,Ndacha unajua ukwl uko wp lkn hautaki kuach sadaka

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor78477 ай бұрын

    💖💖💖

  • @user-nw9ds9qe5i
    @user-nw9ds9qe5i7 ай бұрын

    Safi kabisa pastor ndacha ubarikiwe sana mtumishi wa MUNGU Alie hai. Asie kuelewa hilo ni sikio la kufa tu. Ndacha unaeleweka sana

  • @stanleycheroben4120
    @stanleycheroben41206 ай бұрын

    My question is sijaiona mwislamu akianzisha mdahali kwani hawana hoja wanangojea ndacha kuanza

  • @user-wr5ce6lu8q
    @user-wr5ce6lu8q5 ай бұрын

    Ndacha chiz kabisa

  • @juliusmsangi6849

    @juliusmsangi6849

    4 ай бұрын

    Kumbe mkiambiwa ukweli kwa hoja ni uchizi? Poleni waislamu kwa uelewa mdogo!

  • @amankimaryo1809
    @amankimaryo18094 ай бұрын

    Mazinge anaanza mechi na woga, tulia mzee kijana master mind huyo.... Tukubaliane umezeeka

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha86057 ай бұрын

    Kaibisha ndacha wapi hapa😅😅😅😅,ndacha ndiye anayemfunza sulle dini ya haki kwa ulimwengu huu

  • @Hussayn21

    @Hussayn21

    6 ай бұрын

    Sikiliza ufahamu sio ushabiki hufahamu?

  • @pharmkiksi7463

    @pharmkiksi7463

    4 ай бұрын

    Kaibishwa kitabu chao cha Biblia kinasema MUNGU ni mpumbavu na Dhaifu(1:15 wakurinto wa kwanza).... Bado tu mumekaa

  • @lacksonmwakanema6799
    @lacksonmwakanema67996 ай бұрын

    Wewe mwandishi muongo mno! Unasema Ndacha kaibishwa wakati tunamsikia akiongea Kwa pointi Sana kumshinda Sulle!

  • @johnnation4000

    @johnnation4000

    6 ай бұрын

    Hawa waongo tu,ndacha hutowa kweli sio peloronjo

  • @jumarobertonyancha8605

    @jumarobertonyancha8605

    6 ай бұрын

    Kabisa bro,hawa makafiri wa umma wa Mohammad ni watu wa kuchekesha mno,eti malaika wakahandika Qur'an kumbe ni ya muhitaji wa majini aliyopewa kwa pango pale macca

  • @pharmkiksi7463

    @pharmkiksi7463

    4 ай бұрын

    ​​@@jumarobertonyancha8605 nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo......

  • @pharmkiksi7463

    @pharmkiksi7463

    4 ай бұрын

    nyinyi mioyo imekufa kweli, kwenye biblia Mungu anaambiwa yeye Mpumbavu na Dhaifu (1:15wakurinto wa Kwanza) bado tu munasema NDACHA Hasemi porojo, Sikiliza Sule Anayasema ayo.....

  • @jumarobertonyancha8605
    @jumarobertonyancha86057 ай бұрын

    Wakristo hapa wananakili kimakini lakini hawa waislamu ni ushabiki tu hapa ,hawajielewi na makelele mingi 😢😢😢😢

  • @jumabuckary7698
    @jumabuckary76983 ай бұрын

    😂😂😂😂😂 Ndacha kachanganyikiwa 😢😢😢😢😢

  • @user-rg4qv3ey8k
    @user-rg4qv3ey8k6 ай бұрын

    kwani ukisema sule kashindwa utapata dhambi

  • @FaithImani-qj1ci
    @FaithImani-qj1ci7 ай бұрын

    Ndacha huwa anajaribu ,mashehe wengii na pastor mmoja

  • @bongelabwana7366
    @bongelabwana73666 ай бұрын

    Ao walisema sisi tumekuletea au kukutelemshia kitabu maana yake ni zaid ya mmoja apo nanyie mnasema Yesu sio Mungu wala mwana wa Mungu

  • @MarkIranzi
    @MarkIranzi5 ай бұрын

    yesu nibwana

  • @jumamohamed3168

    @jumamohamed3168

    4 ай бұрын

    Yusu ni mtu kama wewe alikuwa anakula ,anakunya anaoga kama kawaida .

  • @hirammbugua7593
    @hirammbugua75935 ай бұрын

    Khai angetetea qurani

  • @elismadunsdon
    @elismadunsdon6 ай бұрын

    Ndacha noma

  • @JamesDonat
    @JamesDonat3 ай бұрын

    Mungu mmoja walioteremsha kitabu cha Quran ni akina nani??

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta88756 ай бұрын

    Midahalo Ni mizuri lakini kweli Ya Mungu inabaki palepale hata uc hambuzi uwe wahali yajuu namna gani hauna uhusiano wowote kumsamehe dhambi mtu yeyote .Nibora kuchunguza Kama maandiko unayoyatumia kumtafuta Muumba wako Kama yanauvuvio wa pumzi ya Mungu au la,kwakuwa Mungu nihai neno lake Ni hai.

  • @blessingmuyambo908
    @blessingmuyambo9086 ай бұрын

    Ndacha is the best

  • @AlphaBarageti-ru5xj
    @AlphaBarageti-ru5xj6 ай бұрын

    Ahaaa! Kumbe mdahalo umeandaliwa na taasisi ya kiislam. Utaratibu wa mdahalo wenyewe una nia potofu.

  • @richardkiarie7445
    @richardkiarie74456 ай бұрын

    Read from the book of LORD ISAIAH 34:16

  • @swalehmuhamed1619
    @swalehmuhamed16196 ай бұрын

    Waisillamu tuko juu miaaka mia nane❤

  • @temesjames8867

    @temesjames8867

    6 ай бұрын

    Kitabu kaandika nani?

  • @jonathangithinji2652

    @jonathangithinji2652

    6 ай бұрын

    nyinyi mkaja nyuma waisilamu 😂😂

  • @MuhsinSambega-ox8xq
    @MuhsinSambega-ox8xq6 ай бұрын

    vizuli sana

  • @user-ys2gn1nd4q
    @user-ys2gn1nd4q6 ай бұрын

    ndacha kiboko wafundishe wabishiawo kzyao ubishtu

  • @IsraelNiyonsaba
    @IsraelNiyonsaba7 ай бұрын

    Inahubiriwa wengi ila wakuelewa niwacace na inajulikana kama Yesu ndiye njia (Im Burundian)

  • @amankimaryo1809
    @amankimaryo18094 ай бұрын

    Tukiwafundisha watoto biblia na Quran kwa usawa, alafu wakifikisha miaka 15, wachague kusilim au kubatizwa, Nina hakika uislamu utafutika katika uso wa dunia

  • @user-th2ks9et2m
    @user-th2ks9et2m5 ай бұрын

    Mutajijua wakristo wakati sisi waislam tunauhakika dini yetu ni ya haki na yakweli na ndio din ya manabii hatuna hata wasi wasi juu ya dini. Mm kama yesu ndio mungu kweli basi mm namwambia yesu pepo yako siitaki siitaki kabisa pepo aliyoumba yesu

  • @besteddynashanatukambale5163
    @besteddynashanatukambale51636 ай бұрын

    Ubatizo gani huwooo? Ubatizo ni katika jina La Yesu Kristo, nahiyo ndoo Ubatizo sahihii.

  • @user-tr8vy7gf4m
    @user-tr8vy7gf4m6 ай бұрын

    Doctor, at the times of ISHA, Was the quran available??. If not, why is it that HE is in the quran?.

  • @user-yp7nv3mg4b
    @user-yp7nv3mg4b7 ай бұрын

    Ndacha anakumbuka hoja alizozungumza mwenzie hii kichwa kama computer anatembea mule mule kwenye chaki

  • @boscojohnny8980
    @boscojohnny89802 ай бұрын

    Naanza kuelewa Uchristo ni dini ya Mungu

  • @user-sv3em3hm8u
    @user-sv3em3hm8u5 ай бұрын

    Yann Hawa wezetu hawaelewe kama Hawa masikio kwel wasilamu tuwaombee dua

  • @bidaathumani3555
    @bidaathumani35556 ай бұрын

    Nasikia rahasana

  • @Shamim-hl1hf
    @Shamim-hl1hfАй бұрын

    Uislam forever

  • @mamamtakatifu6465
    @mamamtakatifu64654 ай бұрын

    Ndacha unaeleweka sana ivo vizeevilivovaa kanzu hoja vimeishiwa kazi yao nikubisha tu🤣

Келесі