MZEE ANAYEDAI KUWA YOHANA MBATIZAJI AMZIMA PASTOR NDACHA KAMA MSHUMAA

Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.
Tazama part 1 hapa • MKRISTO APAMBANA NA "K...

Пікірлер: 406

  • @zacheushamisi1338
    @zacheushamisi1338 Жыл бұрын

    Am a Christian, but I have to admit that I love Islam teachings .. I love what your doing bro.. Marshallah..

  • @shueb123

    @shueb123

    Жыл бұрын

    Bro try to follow him and some other religious comparative scholars and you will able to make a choice inshaAllah

  • @dannysengata2298

    @dannysengata2298

    Жыл бұрын

    Jesus is the only way that all human beings should submit their life to hime... because he is the only one who is offering eternal life..if u need the way to haven u should abide with him...If u need to see Father u should see him first...if u want righteousness and sin forgive u should submit to him as a high priest... There is no way that u can escape to Jesus..no way

  • @Adm9464

    @Adm9464

    Жыл бұрын

    Uislamu ni njia ya Mola wako iliyo nyoyoka. Islam has no drama it’s a straight forward religion with all the answers to humanity. You ask you get the straight answer from the Koran.

  • @user-mq6lu2po3y

    @user-mq6lu2po3y

    Жыл бұрын

    Wow❤️❤️❤️❤️

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    Welcome to Islam dear wangu

  • @husseinibrahim5438
    @husseinibrahim5438 Жыл бұрын

    Ustadh Ramadhan May Allah Azza wajjal reward you abundantly Allahumma Ameen coz the work you’re doing is very tough and convincing people it is very challenging ,May Allah makes it easier for you akhi Allahumma AMEEN.

  • @saadarashid8350

    @saadarashid8350

    Жыл бұрын

    Allahummah aamiin yaa Rabbul aamiin!!

  • @nooor1120
    @nooor1120 Жыл бұрын

    Maa shaa Allah Sheikh Ramadhan Allah akutangulie kila khatwa yako. Mumependeza mukiwa na kaka Ndacha ataposilimu mutafanya kazi ya Allah pamoja. Ameen

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    Жыл бұрын

    Amiin

  • @aishahazary4097
    @aishahazary4097 Жыл бұрын

    Ndugu zangu waislam.Tuombe saana ALLAH atufishe hali ya kuwa ni waislam wa kweli.Afadhar ukose mali, watoto lakini usiwe kwenye ukafir kama huu..Inauma sana ummat MUHAMMAD REHMA ZA ALLAH ZIWE JUU YAKE unapotea na kuangamia kwa kuipenda dunia.Laa haula walaaquwata illa billah.

  • @nooor1120

    @nooor1120

    Жыл бұрын

    Allahumma aameen yaarabb al alamiin

  • @rabiba

    @rabiba

    Жыл бұрын

    Kweli ndugu...Allah atufishe ilhali tuwaislamu sisi na watoto wetu na waislamu kwa jumla

  • @alimaalim2454

    @alimaalim2454

    Жыл бұрын

    Alhamdulilah kwa dini hii ya ukweli ya uislamu

  • @fatumamwalimu5765

    @fatumamwalimu5765

    Жыл бұрын

    Aamin yarab

  • @Mboki2

    @Mboki2

    Жыл бұрын

    Hehe kujichocha nayo 😂😂😂😂

  • @aminajumale6805
    @aminajumale6805 Жыл бұрын

    Jazakallahu kheir sheikh Ramadan Allah awaongoze wajue ukweli

  • @hamisijm8437
    @hamisijm8437 Жыл бұрын

    Masha allahy Sheikh Ramadhani Mungu akupatie nguvu zzaidi zakuwaelimisha dini yakweli

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 Жыл бұрын

    Ubarikiwe shehi ramadhan kwa sababu ndacha anatoka jasho kwa wakristo wezake mpaka ameshindwa kuutetea wala haelewi Léo yuko na hoyana mbatizaji eti

  • @shueb123
    @shueb123 Жыл бұрын

    Namuombea ndacha mungu amwinyeshe dini ya sahihi kwa hizi visa za kustaajabisha kwa sababu ndacha ni jamaa ako na akili

  • @chunaabdullah1333

    @chunaabdullah1333

    Жыл бұрын

    Yani mi hata uwa simuelewi huyu ndacha cjui ako na matatizo gani.

  • @marvelousofzanzibar9556
    @marvelousofzanzibar9556 Жыл бұрын

    Watching this from green and spice island Zanzibar, hatimae Ndacha anakutana na watu walio mzidi hapati jibu sahihi juu ya maswali yake. Ili Ndacha asiteseke awe muislamu tu.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Haingii uislam

  • @marvelousofzanzibar9556

    @marvelousofzanzibar9556

    Жыл бұрын

    @@Catherine-mh8sw Hakuna ulazima wa kuingia ila ujumbe ni lazima kumfikishia.

  • @maundu441

    @maundu441

    Жыл бұрын

    Mungu azidi kumpa hekima na asiingie uisilamu dini ya majini

  • @HUSTLERS085
    @HUSTLERS085 Жыл бұрын

    Mshalah sheikh ramadan kuria bin kaguo umefikisha dawa watu wengi siku ya misho mungu anajua umefikisha

  • @rizikiali328
    @rizikiali328 Жыл бұрын

    Mashallah masheikh Allah awalipe dunia na akhira waislamu hatuna jibu kesho mbele ya Allah koz wengi hawajaijua dini

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Жыл бұрын

    Masha Allah dawa inaendelea ishallah

  • @aminayunis7545
    @aminayunis75455 ай бұрын

    MashaAllah sheikh Ramadan kwa.kazi nzuri mungu atukupa kila la kheir kufundisha watu dini ya haki na ukweli na pia ni kazi ngumu manake kuna wale hata hawataki kuelewa

  • @aliroro9344
    @aliroro934410 ай бұрын

    Alhamdhullilah Allah kunijalia kua Muislam 🤲 na nijalia kurudi kwako hali yakua badoo ni Muislamu

  • @user-gg5id2cx5m
    @user-gg5id2cx5m Жыл бұрын

    Asalam aleikum sheikh Ramadan tunakushuru sana Kwa hio kazi kubwa lakn Nina maoni yoyote akiuliza swali yake naomba lijibiwe vizuri apate kuulewa vizuri hayifayi kuruka na mwengine kama huyo ajaelewa vizuri Kwa nfano huo aliye ulizia kwanini Muna swali Kwa mikeka na Kwa Nini munavaa kanzu hokumpa jawabu vizuri apate kuulewa. Otherwise Kwa menging mengine tuna appreciate sana mola awazidishie Kila kheri.

  • @ndikumanainnnocent7796
    @ndikumanainnnocent7796 Жыл бұрын

    asalam alykum www siyo mutu wote anapata bahati yakuwa mwislam mungu njo anaongoza mwenye anataka ndacha abaki uko kanisani azidi kukufuru

  • @maymgaya4192
    @maymgaya41927 ай бұрын

    Allah akujaalie umri mrefu ndgu yet ktk imani🙏

  • @MteleShadia-lc6gi
    @MteleShadia-lc6gi Жыл бұрын

    Mashallah mashallah mashallah mashallah,, ramadhan kuria bin kaguoo,, Allah akuongoze vyemaaa kwa Kaz njema

  • @hamissuche6576
    @hamissuche6576 Жыл бұрын

    ivi vizee vimechanganyikiwa,.. njaa itawauwa washenzi nyie,.. mara yesu, mara nabii,. nabii anavaa kapelo, nabii anakuwa mchafu ivo puumbavu !! kwenye uislamu hakuna huu upuuzi,. proud to be a muslim haki

  • @cishahayoali1136
    @cishahayoali11368 ай бұрын

    Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh, Allah awaongoze wasiyo kuwa waislam, na nyinyi Allah awapeni afya na nguvu, na awalindeni, Ameen!

  • @Adm9464
    @Adm9464 Жыл бұрын

    To a point the writers of the Bible we’re thinking to even come up with the name to call God. They had to think and debate, they took out thousands of names to come up with the present day bible.

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 Жыл бұрын

    Ndacha na Ramadhan wana hekima na maarifa sana kwa kuuliza maswali ,

  • @sirpleasureb

    @sirpleasureb

    Жыл бұрын

    wote wa kikuyu

  • @mariamfritsi4943

    @mariamfritsi4943

    Жыл бұрын

    @@sirpleasureb 😅😅

  • @MOHDNASSOR-zv5cx
    @MOHDNASSOR-zv5cx Жыл бұрын

    MASHAA ALLAH ❤❤

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva3 ай бұрын

    Ustadh Ramadan mungu akulipe kheri inshallah usichoke kuwafundisha

  • @fatimahrashid2356
    @fatimahrashid2356 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 nimecheka hustadhi ramadhan nawaombeya tote ALLAH awaongoze kwanjia yahaki insha Allah

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi3669 Жыл бұрын

    Jazaakallah khayrii shekh

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Жыл бұрын

    Assallam aleikum shekhe wangu woooi yani 100 percent ukristo sio dini yani wamechanganyikiwa wote hawana muelekeo haki wafundishe ukweli wa Quran na Allah akufungulie mlango wa peponi inshaaAllah

  • @mwanamtotosaid702

    @mwanamtotosaid702

    Жыл бұрын

    Allahumma Aamin 🤲

  • @HARUN_MOHA
    @HARUN_MOHA Жыл бұрын

    Sheikh Ramadan pongezi sana Allah akupee Afyaa na muda mrefu

  • @simpsonisoe8994

    @simpsonisoe8994

    Жыл бұрын

    Harun was Jewish, brother to Moses,, Jews more so Judaism the first religion, difference between Christianity and Islam is 700 years.but in Islam, infidels must be punished

  • @HARUN_MOHA

    @HARUN_MOHA

    Жыл бұрын

    @@simpsonisoe8994 Come to Islam the true religion of ALLAH

  • @user-uj6gw2cv2u
    @user-uj6gw2cv2u Жыл бұрын

    Mungu mjalie lamazan

  • @Fatma-dg9vb
    @Fatma-dg9vb Жыл бұрын

    mashallah mashallah Allah akujaalie kher inshaallh

  • @amanmyolo5359
    @amanmyolo53592 ай бұрын

    Mashallah ALLAH AKBAR

  • @IsmailabdiIsmailabdiismail63
    @IsmailabdiIsmailabdiismail63 Жыл бұрын

    Mashallah Allah akujalie kila kheri kakaetu Ramadhan

  • @GeorgeWambogo
    @GeorgeWambogo2 ай бұрын

    Kwani apa kuna magombano ya Mungu AMA nijwae juu mimi na jwa JEHOVA numbe kuna Mungu mwingine Napenda YESU ONLY the way Waislamu ni mpinga CHRISTO

  • @murithimurega4165
    @murithimurega4165 Жыл бұрын

    I wish we could earnestly practise what we believe without trying to disapprove what others believe.

  • @malikdodo5190
    @malikdodo5190 Жыл бұрын

    Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh

  • @husseinkonde7348
    @husseinkonde7348 Жыл бұрын

    Mzee anasema kaukweli kidogo😂❤❤

  • @duhhuskie2698
    @duhhuskie2698 Жыл бұрын

    Kiswahili mufti kwa hawa watu wa Bungoma. Hongera

  • @adanabdi5249
    @adanabdi5249 Жыл бұрын

    Subhaana Allah!

  • @alishamlan7434
    @alishamlan7434 Жыл бұрын

    Ramadhan ALLAH SW akuhifadhi duniani na akhra maana wewe ni kiboko yao

  • @Njorogejohn5
    @Njorogejohn511 ай бұрын

    Aki western people full of comedys,,,u never dissapoints😂😂

  • @SethMalova
    @SethMalova2 ай бұрын

    YESU Ni MFALME wa wafalme na atatawala milele andaeni njia maana anarudi kuchukua wanao mtafuta kwa kweli, na ukijiunga na uislam jeanamu inakungoja😭😭😭😭😭😭 don't try it

  • @hajinkulunge8493
    @hajinkulunge8493 Жыл бұрын

    MASHA ALLAH

  • @carendeborah5687
    @carendeborah5687 Жыл бұрын

    2Timothy2:14 Remind others about this thing,and warn them before God not to argue over words.Arguing does not do any good but only destroy those who are listening.

  • @ramadragon
    @ramadragon Жыл бұрын

    nimepend hyo conversation ya yohana ndacha ALLAH AKUZIDISHIE SHEIKH RAMADHAN

  • @MohammedShoba
    @MohammedShoba6 ай бұрын

    Mashaallah 💯💯💯

  • @Awatee
    @Awatee6 ай бұрын

    Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh

  • @Adm9464
    @Adm9464 Жыл бұрын

    Ukristo is complicated haki. You see many weird stories.

  • @smadon5638
    @smadon56383 ай бұрын

    Waluhya Mutatumaliza,eti Yesu na Yohana ni Waluhya

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva3 ай бұрын

    😂😂😂😂jamani vituko mungu awape wepes inshallah musichoke kuwatembelea hao viumbe

  • @Adm9464
    @Adm9464 Жыл бұрын

    Huyu Yohana si mkristo. Alisema straight

  • @user-bm5ov6kx3c
    @user-bm5ov6kx3c6 ай бұрын

    😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣duuuu jamani hiii dunia imeisha daaa yohana Ako na wake wangapi😝😝😝😝

  • @fatimaahmed8632
    @fatimaahmed8632 Жыл бұрын

    Asc ustadh ramadhan,, ManshaAllah best content,,,

  • @nevilokuthe398
    @nevilokuthe398 Жыл бұрын

    Haya maneno anayosema huyu Yohana sio ya ukweli kamwe. Yesu ni mwana wa Mungu na ndiye mfalme wa wafalme. hakuna mwingine hila yeye ndiye njia ya uzima milele na milele. msidanganyike. haya ni mafunzo potovu.

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Жыл бұрын

    Swali la kizushi shekhe kwa malikia. 😂😂😂na anawaweza wote.

  • @mahadabdullahi1746
    @mahadabdullahi1746 Жыл бұрын

    Hhhhh😅 Ndacha ameshanga Na Ame chaganyikiwa Thanks akhaanaa ramadaan kuria فعلت ما بوسعك والله يهدى من يشاء وإليه المرجع والمئاب بارك الله فيك وأحسن إليك لا تحزنوا الله معنا الإسلام يعلو ولا يعلى عليه وصلى الله على نبينا محمد وآله وصحبه أجمعين

  • @user-zv4sx9iv8z
    @user-zv4sx9iv8z5 ай бұрын

    Assalam alaykum warahmatulullah wabarkatu, tume furai n'a Dawa

  • @user-nb2tb9zk5i
    @user-nb2tb9zk5i Жыл бұрын

    😮hawa watu wako sawa kweli subhaana Allah

  • @josephmusagasa5566
    @josephmusagasa5566 Жыл бұрын

    Kenya kuna vituko kwelikweli,mara yesu,mara mungu,mara nabii na sasa waislamu wanatafuta wakristo mitaani ili wawe waislamu. Mmezidi vituko

  • @nakundwamkubwe7823

    @nakundwamkubwe7823

    Жыл бұрын

    @Joseph Musagasa Uislam hauitaji watu kwasababu Uislam ni Dini ya kweli aliyo ileta Mwenyezi Mungu. Watu ndio tunahitaji kuwa waislamu ili tuende Peponi ( Paradise, Jannah). Viongozi wetu wa Kiislam wakipita mitaani wanafundisha watu wamjuwe Mungu mmoja wa kweli na watu waache shirki na kuabudu viumbe bali wamuabudu Mwenyezi Mungu mmoja tu alie umba mbigu na ardhi nasio kuabudu Mungu wa tatu au Miungu wengi.

  • @rosemutinda3076

    @rosemutinda3076

    Жыл бұрын

    #JisephMusagasa,wanafuta Wenye hawajielewi Wala Hata huo uislamu Hawaujui Alafu wanasema ati ni Wakristo 🤣😂 Sasa Mimi vyenye nimejua uislamu na vituko vyake hata Kwa madawa Hakuna MTU anaweza niconfuse hata Kwa risasi 😆

  • @rosemutinda3076

    @rosemutinda3076

    Жыл бұрын

    #JosephMusagara, ndio ujue ni waislamu kwa majina walindanganywa tu, ebu sikiza mwingine alikuwa kwa mkutano wa akina Onyango juzi pale roundabout 😁ndio ujue hata Qo'ran yao hawasomangi wala hawaelewi na ati amezaliwa Muislamu 🤣🤣🤣

  • @josephmusagasa5566

    @josephmusagasa5566

    Жыл бұрын

    @@nakundwamkubwe7823 kwahiyo kabla ya Mohammed kuleta kuran wanadamu kabla yake na mafundisho ya Kristo wote walikuwa hawajui waendako?

  • @josephmusagasa5566

    @josephmusagasa5566

    Жыл бұрын

    @@kadhyanassor5046 nyie mmelewa uarabu,hamjui mwendako. Huyo mtume ambaye alioa mtoto wa miaka 6 na kumuingilia akiwa na miaka 9,angeyafanya mkristo ungekuwa wimbo kila siku. Je,huyo mnayemfuata kwa tendo hilo alikuwa sawa?

  • @nakundwamkubwe7823
    @nakundwamkubwe7823 Жыл бұрын

    Shekhe Ramadhani mbona Ndacha kakuganda vipi ataka atowe shahada nini ? Namuombea kwa Allah Ndacha amuongoze Ndacha atoke kwenye shirki na kufru kabla ya umauti kumfika In shaa Allah.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Ila hatoki ukristo

  • @nakundwamkubwe7823

    @nakundwamkubwe7823

    Жыл бұрын

    @@Catherine-mh8sw ukristo ni biashara siku akichoka kufanya biashara haramu ya kula sadaka za wakristo ataslim in shaa Allah.

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    @@nakundwamkubwe7823 mwenyezi Mungu amuongoze

  • @nakundwamkubwe7823

    @nakundwamkubwe7823

    Жыл бұрын

    @@Catherine-mh8sw Amiin

  • @elbaricktv1632

    @elbaricktv1632

    Жыл бұрын

    Bila kumkiri yesu kua ndo mwokozi njia ya pekee iliyonyooka waislam wote moton ila atakaemfanya yesu kua ndo njia ya pekee huyo ataiona pepo

  • @zakiaanwar677
    @zakiaanwar677 Жыл бұрын

    Ndacha anakubali huyu ni yohana mbatizaji 😂😂 wa amemkubali yohana kwa njia ya kando😊

  • @THOMASNYAGIROTV
    @THOMASNYAGIROTV Жыл бұрын

    Mungu hafi..mungu halali...yesu alikuja duniani akiwa na umbo la binadamu..ina maana alikuwa na madhaifu ya kibinadamu ndo maana akafa lakini akafufuka

  • @shueb123
    @shueb123 Жыл бұрын

    Inaonekana sheikh ramadan amepata mwenziyo wa kumsaidia kufanya da'wah pamoja naye😅

  • @Catherine-mh8sw

    @Catherine-mh8sw

    Жыл бұрын

    Kabisaa. Kakaa kuleee pembeni 😁

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    Жыл бұрын

    Anasubir wakubaliane au apatikane mshindi mmoja alafu ndo apambane nae sasa

  • @augustinemwengi8779
    @augustinemwengi877911 ай бұрын

    With time ntaslimu inshallah 😊

  • @DaimaKalebu
    @DaimaKalebu9 ай бұрын

    Daaah!!! Yohana wamchongo huyo mwalimu ndacha Mungu akubaliki

  • @chiefmkalikibz1503
    @chiefmkalikibz1503 Жыл бұрын

    Assalam alleykum. Bin Kaguo, mpleke mperampera huyo Abujahal.... Lazima apate adhabu ya kusingizia Roho

  • @Adm9464
    @Adm9464 Жыл бұрын

    But Jesus called Peter sheitani. So much contradiction here.

  • @jumahamad9463
    @jumahamad9463 Жыл бұрын

    HUYU YOHANA NA YESU NIWASANI NANIWATU HAWASHINDWI NALAKUJIBU KAMA KAZI MUNGU MAPENZI YA MUNGU NANDIO HIVYO HIVYO

  • @user-uy7br4io9b
    @user-uy7br4io9b6 ай бұрын

  • @daudilangat6123
    @daudilangat61236 ай бұрын

    Uyu mzee amezeeka na akili imejanganyikiwa ona anazinzia😅

  • @nameno8608
    @nameno8608 Жыл бұрын

    Hongera Babu Yohana kwa kuongeza familia

  • @mercyonchuru1165
    @mercyonchuru1165 Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂 you're killing

  • @joymwende851
    @joymwende851 Жыл бұрын

    I normally feel guda guda watching your show

  • @xaliimacabdullahi-lb8iz
    @xaliimacabdullahi-lb8iz Жыл бұрын

    Yesu aliingia kanisa gani

  • @naominzaomi1202
    @naominzaomi1202 Жыл бұрын

    Yesu na yohana wako sawa, Herode tu ndio amechele kumkata kichwa, na yesu wa tongaren asulubiwe.

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 Жыл бұрын

    Mwalimu ndacha mungu akuongoze kila hatua unayoichukuwa kwa kutetea Imani ya kwel

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    Жыл бұрын

    Bado nae hayupo imani ya sawa!!! Hakika dini ya haki mbele ya Mwenyez Mungu ni uislamu tu na hatokubaliwa mtu na dini nyingine tofaut na iyo

  • @CharoHarrison

    @CharoHarrison

    5 ай бұрын

    Hayo ni maneno ya mashetani

  • @StraightPathDawah
    @StraightPathDawah Жыл бұрын

    Mzee naye ameitwa katika kituo cha polisi ili kutoa taarifa kuhusu dini yake ya Muungano😅

  • @JephthahNangai
    @JephthahNangai4 ай бұрын

    Huyo jamaa mrefu wa T-Shirt amechanganyikiwa. Hakuna kanisa liitwalo Pentecostal Apostle of God.

  • @muhamedsawein-xm3cv
    @muhamedsawein-xm3cv Жыл бұрын

    Ramadani unafanya kazi mzuri

  • @husha6372
    @husha6372 Жыл бұрын

    Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Macedonia ni NCHI katika Europe karibu na Russia

  • @SalumJuma-iz2gj
    @SalumJuma-iz2gjАй бұрын

    Hahaha njaa bwana

  • @SalimuMbonyumukiza
    @SalimuMbonyumukiza6 ай бұрын

    Nimuchapa kazi kweli kakini yohani 40wake gapi rakini watoto miyatanu wajuku 600

  • @PeterMagoye
    @PeterMagoye3 ай бұрын

    Huko Kenya naona wazee wamezidisha bangi,, Yaani Kenya muwe na Yesu tena anaishi tongaren na huyo sasa Yohana mbatizaji

  • @umazimwambezi8092
    @umazimwambezi8092 Жыл бұрын

    Allah Akbar sherk Ramadhan kazi unayo challenge ya msristo kwa mkristo

  • @samuelwafula9334
    @samuelwafula93346 ай бұрын

    Mimi kama mkristo nakubaliana na KAZI ya Ramadhan japo siamini uislamu ni njia ya mungu

  • @StraightPathDawah

    @StraightPathDawah

    6 ай бұрын

    Itabidi usome zaidi na uweke akili waazi kabisa kukubali ukweli

  • @EIYEN
    @EIYEN7 ай бұрын

    Mungu ako kwa utatu; mungu baba mungu mwana na roho mtakatifu

  • @seiphyahya5353
    @seiphyahya5353 Жыл бұрын

    Sheikh Ramadhan tafadhali muonyesha Mheshimwa Ndacha na wengineo mahala Nabii Issa bin Mariam aliposema Mtume wa Mwisho Nabii Mhamad atatumwa na Allah Kuleta Amani na kuondoa Dhuluma na kurekebisha yote yaliyobadilishwa kwenye Zaburi, Taurati na Injili.

  • @felixgitonga6783

    @felixgitonga6783

    Жыл бұрын

    Hio torati na zaburi na hinjili,uko na oringino na iliariviwa Hama utuo haya hinasema mwemedi Dio wa mwizo waslimu ni makafiri unasema mungu Hana mwana Quran himeteremucwa na adui wa jivile

  • @hassanjuma2772

    @hassanjuma2772

    Жыл бұрын

    @@felixgitonga6783 hata uandishi wako haueleweki ni kiswahili au kizungu naona uwemo tu na wewe ikiwa huelewi kaa kimya

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    Жыл бұрын

    Sidhan km inapendeza mtu anaeitia watu kwny ukafiri ukamwita mheshimiwa

  • @Yu-jr9uf

    @Yu-jr9uf

    Жыл бұрын

    @@felixgitonga6783 jitahd kwnz ujifunze kusoma alaf ujifunze maandiko ndo sasa uje kucomment

  • @elbaricktv1632

    @elbaricktv1632

    Жыл бұрын

    Bila yesu hakuna atakaeiona pepo enyi ndugu zangu waislam yesu ndyo njia hata Quran imeandikwa kasome uelewe

  • @abbiecox1
    @abbiecox14 ай бұрын

    NABII MPENDA WANAWAKE HUYU JAMANI NI HATARI SANA

  • @kombrashid-bn2gr
    @kombrashid-bn2gr Жыл бұрын

    Mwalim ramachandra,Allah akure maisha ref,kwasa7bu Dunia savi imefunikwa namapambo yadunia,halipo lile kundi alilolisema Allah yakwmba@liwepo kundi miongon menu wenye kuamrisha woman nakukatza machafu....

  • @maymunamakungu6265

    @maymunamakungu6265

    Жыл бұрын

    Aamin Yaarabbi

  • @michaeljacobo269
    @michaeljacobo269 Жыл бұрын

    Wasubiri hukum ya Mungu....maana wanamshuhudia Mungu uongo...na Mungu ni Mtakatifu....

  • @JumaMohammad-nt3jl

    @JumaMohammad-nt3jl

    4 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ambarnelly6071
    @ambarnelly6071 Жыл бұрын

    Asalama alaikum mbona hatuoni ni giza tu hapa

  • @jamilaomari2444
    @jamilaomari2444 Жыл бұрын

    😂Hawa wamama hatari!

  • @munyokimakau.
    @munyokimakau. Жыл бұрын

    Hii bibilia ya kiswahili mnasoma ni version ngani nikainunue nimeipeda sana.plz reply

  • @SAKAYONZA
    @SAKAYONZA Жыл бұрын

    I need to join islam .....kwa imani yote na nimukumbali mutume mohammed ndio wa mwisho niko eldoret

  • @maymunamakungu6265

    @maymunamakungu6265

    Жыл бұрын

    Karibu kwenye Uislam

  • @samxx411

    @samxx411

    Жыл бұрын

    Mungu akuongoze kaka angu ila baadae uusome uislamu ili ujuwe mengi na nna imani utaupenda tu

  • @MrMgiriama

    @MrMgiriama

    3 ай бұрын

    Waislamu wapinga kristo tu

  • @MrMgiriama

    @MrMgiriama

    3 ай бұрын

    1 Wakorintho 11:3,7 [3]Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. But I would have you know, that the head of every man is Christ; and the head of the woman is the man; and the head of Christ is God. [7]Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume. For a man indeed ought not to cover his head, forasmuch as he is the image and glory of God: but the woman is the glory of the man.

  • @beardedalade
    @beardedalade11 ай бұрын

    Ndacha amepatana na joker mwenzake 😂😂😂

  • @walidrubeya9946
    @walidrubeya9946 Жыл бұрын

    Twasubiri uwakutanishe yesu na yohana sheikh😂

  • @kikwaleharuna3426

    @kikwaleharuna3426

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @mcapolo-g2747
    @mcapolo-g27476 ай бұрын

    Waislamu wanujua sheria mbili tu, kuwsali na na kufunga. Watu roho mbaya, wenye matusi, wauaji, wajeuri, wasio na huruma etc

  • @yusufsong7993
    @yusufsong7993 Жыл бұрын

    Ndacha anakupigia Duuuuu🤣🤣🤣

  • @isseamin2017
    @isseamin2017 Жыл бұрын

    Hhhh nimeshanga sana huyu mkristo anakata ukweli really hyu ni mjinga kabisa mungu aongoze

  • @user-pj8ed9kn6g
    @user-pj8ed9kn6g Жыл бұрын

    😂😂😂Astaghafrullah et Yohan aliyeuliwa na herod duuuuuh

  • @estatekisombola9251
    @estatekisombola9251 Жыл бұрын

    Huyu mzee ndie aliye timing andiko la nendeni duniani mkaijaze 😂😂😂

  • @jumashekalage2435

    @jumashekalage2435

    Жыл бұрын

    Shekh RAMADHANI Allah akuafikishe na akupe mwisho mwema