MZEE ANAYEDAI KUWA YOHANA MBATIZAJI AMZIMA PASTOR NDACHA KAMA MSHUMAA
Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.
Tazama part 1 hapa • MKRISTO APAMBANA NA "K...
Tafadhali subscribe kwenye channel yetu ya STRAIGHT PATH DAWAH ili uendelee kunufaika kupitia video zetu.
Tazama part 1 hapa • MKRISTO APAMBANA NA "K...
Пікірлер: 406
Am a Christian, but I have to admit that I love Islam teachings .. I love what your doing bro.. Marshallah..
@shueb123
Жыл бұрын
Bro try to follow him and some other religious comparative scholars and you will able to make a choice inshaAllah
@dannysengata2298
Жыл бұрын
Jesus is the only way that all human beings should submit their life to hime... because he is the only one who is offering eternal life..if u need the way to haven u should abide with him...If u need to see Father u should see him first...if u want righteousness and sin forgive u should submit to him as a high priest... There is no way that u can escape to Jesus..no way
@Adm9464
Жыл бұрын
Uislamu ni njia ya Mola wako iliyo nyoyoka. Islam has no drama it’s a straight forward religion with all the answers to humanity. You ask you get the straight answer from the Koran.
@user-mq6lu2po3y
Жыл бұрын
Wow❤️❤️❤️❤️
@nooor1120
Жыл бұрын
Welcome to Islam dear wangu
Ustadh Ramadhan May Allah Azza wajjal reward you abundantly Allahumma Ameen coz the work you’re doing is very tough and convincing people it is very challenging ,May Allah makes it easier for you akhi Allahumma AMEEN.
@saadarashid8350
Жыл бұрын
Allahummah aamiin yaa Rabbul aamiin!!
Maa shaa Allah Sheikh Ramadhan Allah akutangulie kila khatwa yako. Mumependeza mukiwa na kaka Ndacha ataposilimu mutafanya kazi ya Allah pamoja. Ameen
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
Amiin
Ndugu zangu waislam.Tuombe saana ALLAH atufishe hali ya kuwa ni waislam wa kweli.Afadhar ukose mali, watoto lakini usiwe kwenye ukafir kama huu..Inauma sana ummat MUHAMMAD REHMA ZA ALLAH ZIWE JUU YAKE unapotea na kuangamia kwa kuipenda dunia.Laa haula walaaquwata illa billah.
@nooor1120
Жыл бұрын
Allahumma aameen yaarabb al alamiin
@rabiba
Жыл бұрын
Kweli ndugu...Allah atufishe ilhali tuwaislamu sisi na watoto wetu na waislamu kwa jumla
@alimaalim2454
Жыл бұрын
Alhamdulilah kwa dini hii ya ukweli ya uislamu
@fatumamwalimu5765
Жыл бұрын
Aamin yarab
@Mboki2
Жыл бұрын
Hehe kujichocha nayo 😂😂😂😂
Jazakallahu kheir sheikh Ramadan Allah awaongoze wajue ukweli
Masha allahy Sheikh Ramadhani Mungu akupatie nguvu zzaidi zakuwaelimisha dini yakweli
Ubarikiwe shehi ramadhan kwa sababu ndacha anatoka jasho kwa wakristo wezake mpaka ameshindwa kuutetea wala haelewi Léo yuko na hoyana mbatizaji eti
Namuombea ndacha mungu amwinyeshe dini ya sahihi kwa hizi visa za kustaajabisha kwa sababu ndacha ni jamaa ako na akili
@chunaabdullah1333
Жыл бұрын
Yani mi hata uwa simuelewi huyu ndacha cjui ako na matatizo gani.
Watching this from green and spice island Zanzibar, hatimae Ndacha anakutana na watu walio mzidi hapati jibu sahihi juu ya maswali yake. Ili Ndacha asiteseke awe muislamu tu.
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Haingii uislam
@marvelousofzanzibar9556
Жыл бұрын
@@Catherine-mh8sw Hakuna ulazima wa kuingia ila ujumbe ni lazima kumfikishia.
@maundu441
Жыл бұрын
Mungu azidi kumpa hekima na asiingie uisilamu dini ya majini
Mshalah sheikh ramadan kuria bin kaguo umefikisha dawa watu wengi siku ya misho mungu anajua umefikisha
Mashallah masheikh Allah awalipe dunia na akhira waislamu hatuna jibu kesho mbele ya Allah koz wengi hawajaijua dini
Masha Allah dawa inaendelea ishallah
MashaAllah sheikh Ramadan kwa.kazi nzuri mungu atukupa kila la kheir kufundisha watu dini ya haki na ukweli na pia ni kazi ngumu manake kuna wale hata hawataki kuelewa
Alhamdhullilah Allah kunijalia kua Muislam 🤲 na nijalia kurudi kwako hali yakua badoo ni Muislamu
Asalam aleikum sheikh Ramadan tunakushuru sana Kwa hio kazi kubwa lakn Nina maoni yoyote akiuliza swali yake naomba lijibiwe vizuri apate kuulewa vizuri hayifayi kuruka na mwengine kama huyo ajaelewa vizuri Kwa nfano huo aliye ulizia kwanini Muna swali Kwa mikeka na Kwa Nini munavaa kanzu hokumpa jawabu vizuri apate kuulewa. Otherwise Kwa menging mengine tuna appreciate sana mola awazidishie Kila kheri.
asalam alykum www siyo mutu wote anapata bahati yakuwa mwislam mungu njo anaongoza mwenye anataka ndacha abaki uko kanisani azidi kukufuru
Allah akujaalie umri mrefu ndgu yet ktk imani🙏
Mashallah mashallah mashallah mashallah,, ramadhan kuria bin kaguoo,, Allah akuongoze vyemaaa kwa Kaz njema
ivi vizee vimechanganyikiwa,.. njaa itawauwa washenzi nyie,.. mara yesu, mara nabii,. nabii anavaa kapelo, nabii anakuwa mchafu ivo puumbavu !! kwenye uislamu hakuna huu upuuzi,. proud to be a muslim haki
Asalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh, Allah awaongoze wasiyo kuwa waislam, na nyinyi Allah awapeni afya na nguvu, na awalindeni, Ameen!
To a point the writers of the Bible we’re thinking to even come up with the name to call God. They had to think and debate, they took out thousands of names to come up with the present day bible.
Ndacha na Ramadhan wana hekima na maarifa sana kwa kuuliza maswali ,
@sirpleasureb
Жыл бұрын
wote wa kikuyu
@mariamfritsi4943
Жыл бұрын
@@sirpleasureb 😅😅
MASHAA ALLAH ❤❤
Ustadh Ramadan mungu akulipe kheri inshallah usichoke kuwafundisha
😂😂😂😂😂 nimecheka hustadhi ramadhan nawaombeya tote ALLAH awaongoze kwanjia yahaki insha Allah
Jazaakallah khayrii shekh
Assallam aleikum shekhe wangu woooi yani 100 percent ukristo sio dini yani wamechanganyikiwa wote hawana muelekeo haki wafundishe ukweli wa Quran na Allah akufungulie mlango wa peponi inshaaAllah
@mwanamtotosaid702
Жыл бұрын
Allahumma Aamin 🤲
Sheikh Ramadan pongezi sana Allah akupee Afyaa na muda mrefu
@simpsonisoe8994
Жыл бұрын
Harun was Jewish, brother to Moses,, Jews more so Judaism the first religion, difference between Christianity and Islam is 700 years.but in Islam, infidels must be punished
@HARUN_MOHA
Жыл бұрын
@@simpsonisoe8994 Come to Islam the true religion of ALLAH
Mungu mjalie lamazan
mashallah mashallah Allah akujaalie kher inshaallh
Mashallah ALLAH AKBAR
Mashallah Allah akujalie kila kheri kakaetu Ramadhan
Kwani apa kuna magombano ya Mungu AMA nijwae juu mimi na jwa JEHOVA numbe kuna Mungu mwingine Napenda YESU ONLY the way Waislamu ni mpinga CHRISTO
I wish we could earnestly practise what we believe without trying to disapprove what others believe.
Walaikum salaam warahmatu-llahi wabarakatuh
Mzee anasema kaukweli kidogo😂❤❤
Kiswahili mufti kwa hawa watu wa Bungoma. Hongera
Subhaana Allah!
Ramadhan ALLAH SW akuhifadhi duniani na akhra maana wewe ni kiboko yao
Aki western people full of comedys,,,u never dissapoints😂😂
YESU Ni MFALME wa wafalme na atatawala milele andaeni njia maana anarudi kuchukua wanao mtafuta kwa kweli, na ukijiunga na uislam jeanamu inakungoja😭😭😭😭😭😭 don't try it
MASHA ALLAH
2Timothy2:14 Remind others about this thing,and warn them before God not to argue over words.Arguing does not do any good but only destroy those who are listening.
nimepend hyo conversation ya yohana ndacha ALLAH AKUZIDISHIE SHEIKH RAMADHAN
Mashaallah 💯💯💯
Waleykum salam warahmatullah wabarakatuh
Ukristo is complicated haki. You see many weird stories.
Waluhya Mutatumaliza,eti Yesu na Yohana ni Waluhya
😂😂😂😂jamani vituko mungu awape wepes inshallah musichoke kuwatembelea hao viumbe
Huyu Yohana si mkristo. Alisema straight
😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣duuuu jamani hiii dunia imeisha daaa yohana Ako na wake wangapi😝😝😝😝
Asc ustadh ramadhan,, ManshaAllah best content,,,
Haya maneno anayosema huyu Yohana sio ya ukweli kamwe. Yesu ni mwana wa Mungu na ndiye mfalme wa wafalme. hakuna mwingine hila yeye ndiye njia ya uzima milele na milele. msidanganyike. haya ni mafunzo potovu.
Swali la kizushi shekhe kwa malikia. 😂😂😂na anawaweza wote.
Hhhhh😅 Ndacha ameshanga Na Ame chaganyikiwa Thanks akhaanaa ramadaan kuria فعلت ما بوسعك والله يهدى من يشاء وإليه المرجع والمئاب بارك الله فيك وأحسن إليك لا تحزنوا الله معنا الإسلام يعلو ولا يعلى عليه وصلى الله على نبينا محمد وآله وصحبه أجمعين
Assalam alaykum warahmatulullah wabarkatu, tume furai n'a Dawa
😮hawa watu wako sawa kweli subhaana Allah
Kenya kuna vituko kwelikweli,mara yesu,mara mungu,mara nabii na sasa waislamu wanatafuta wakristo mitaani ili wawe waislamu. Mmezidi vituko
@nakundwamkubwe7823
Жыл бұрын
@Joseph Musagasa Uislam hauitaji watu kwasababu Uislam ni Dini ya kweli aliyo ileta Mwenyezi Mungu. Watu ndio tunahitaji kuwa waislamu ili tuende Peponi ( Paradise, Jannah). Viongozi wetu wa Kiislam wakipita mitaani wanafundisha watu wamjuwe Mungu mmoja wa kweli na watu waache shirki na kuabudu viumbe bali wamuabudu Mwenyezi Mungu mmoja tu alie umba mbigu na ardhi nasio kuabudu Mungu wa tatu au Miungu wengi.
@rosemutinda3076
Жыл бұрын
#JisephMusagasa,wanafuta Wenye hawajielewi Wala Hata huo uislamu Hawaujui Alafu wanasema ati ni Wakristo 🤣😂 Sasa Mimi vyenye nimejua uislamu na vituko vyake hata Kwa madawa Hakuna MTU anaweza niconfuse hata Kwa risasi 😆
@rosemutinda3076
Жыл бұрын
#JosephMusagara, ndio ujue ni waislamu kwa majina walindanganywa tu, ebu sikiza mwingine alikuwa kwa mkutano wa akina Onyango juzi pale roundabout 😁ndio ujue hata Qo'ran yao hawasomangi wala hawaelewi na ati amezaliwa Muislamu 🤣🤣🤣
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
@@nakundwamkubwe7823 kwahiyo kabla ya Mohammed kuleta kuran wanadamu kabla yake na mafundisho ya Kristo wote walikuwa hawajui waendako?
@josephmusagasa5566
Жыл бұрын
@@kadhyanassor5046 nyie mmelewa uarabu,hamjui mwendako. Huyo mtume ambaye alioa mtoto wa miaka 6 na kumuingilia akiwa na miaka 9,angeyafanya mkristo ungekuwa wimbo kila siku. Je,huyo mnayemfuata kwa tendo hilo alikuwa sawa?
Shekhe Ramadhani mbona Ndacha kakuganda vipi ataka atowe shahada nini ? Namuombea kwa Allah Ndacha amuongoze Ndacha atoke kwenye shirki na kufru kabla ya umauti kumfika In shaa Allah.
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Ila hatoki ukristo
@nakundwamkubwe7823
Жыл бұрын
@@Catherine-mh8sw ukristo ni biashara siku akichoka kufanya biashara haramu ya kula sadaka za wakristo ataslim in shaa Allah.
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
@@nakundwamkubwe7823 mwenyezi Mungu amuongoze
@nakundwamkubwe7823
Жыл бұрын
@@Catherine-mh8sw Amiin
@elbaricktv1632
Жыл бұрын
Bila kumkiri yesu kua ndo mwokozi njia ya pekee iliyonyooka waislam wote moton ila atakaemfanya yesu kua ndo njia ya pekee huyo ataiona pepo
Ndacha anakubali huyu ni yohana mbatizaji 😂😂 wa amemkubali yohana kwa njia ya kando😊
Mungu hafi..mungu halali...yesu alikuja duniani akiwa na umbo la binadamu..ina maana alikuwa na madhaifu ya kibinadamu ndo maana akafa lakini akafufuka
Inaonekana sheikh ramadan amepata mwenziyo wa kumsaidia kufanya da'wah pamoja naye😅
@Catherine-mh8sw
Жыл бұрын
Kabisaa. Kakaa kuleee pembeni 😁
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
Anasubir wakubaliane au apatikane mshindi mmoja alafu ndo apambane nae sasa
With time ntaslimu inshallah 😊
Daaah!!! Yohana wamchongo huyo mwalimu ndacha Mungu akubaliki
Assalam alleykum. Bin Kaguo, mpleke mperampera huyo Abujahal.... Lazima apate adhabu ya kusingizia Roho
But Jesus called Peter sheitani. So much contradiction here.
HUYU YOHANA NA YESU NIWASANI NANIWATU HAWASHINDWI NALAKUJIBU KAMA KAZI MUNGU MAPENZI YA MUNGU NANDIO HIVYO HIVYO
❤
Uyu mzee amezeeka na akili imejanganyikiwa ona anazinzia😅
Hongera Babu Yohana kwa kuongeza familia
😂😂😂😂😂 you're killing
I normally feel guda guda watching your show
Yesu aliingia kanisa gani
Yesu na yohana wako sawa, Herode tu ndio amechele kumkata kichwa, na yesu wa tongaren asulubiwe.
Mwalimu ndacha mungu akuongoze kila hatua unayoichukuwa kwa kutetea Imani ya kwel
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
Bado nae hayupo imani ya sawa!!! Hakika dini ya haki mbele ya Mwenyez Mungu ni uislamu tu na hatokubaliwa mtu na dini nyingine tofaut na iyo
@CharoHarrison
5 ай бұрын
Hayo ni maneno ya mashetani
Mzee naye ameitwa katika kituo cha polisi ili kutoa taarifa kuhusu dini yake ya Muungano😅
Huyo jamaa mrefu wa T-Shirt amechanganyikiwa. Hakuna kanisa liitwalo Pentecostal Apostle of God.
Ramadani unafanya kazi mzuri
Assalamu Aleikum warahmatullahi wabarakatuhu Macedonia ni NCHI katika Europe karibu na Russia
Hahaha njaa bwana
Nimuchapa kazi kweli kakini yohani 40wake gapi rakini watoto miyatanu wajuku 600
Huko Kenya naona wazee wamezidisha bangi,, Yaani Kenya muwe na Yesu tena anaishi tongaren na huyo sasa Yohana mbatizaji
Allah Akbar sherk Ramadhan kazi unayo challenge ya msristo kwa mkristo
Mimi kama mkristo nakubaliana na KAZI ya Ramadhan japo siamini uislamu ni njia ya mungu
@StraightPathDawah
6 ай бұрын
Itabidi usome zaidi na uweke akili waazi kabisa kukubali ukweli
Mungu ako kwa utatu; mungu baba mungu mwana na roho mtakatifu
Sheikh Ramadhan tafadhali muonyesha Mheshimwa Ndacha na wengineo mahala Nabii Issa bin Mariam aliposema Mtume wa Mwisho Nabii Mhamad atatumwa na Allah Kuleta Amani na kuondoa Dhuluma na kurekebisha yote yaliyobadilishwa kwenye Zaburi, Taurati na Injili.
@felixgitonga6783
Жыл бұрын
Hio torati na zaburi na hinjili,uko na oringino na iliariviwa Hama utuo haya hinasema mwemedi Dio wa mwizo waslimu ni makafiri unasema mungu Hana mwana Quran himeteremucwa na adui wa jivile
@hassanjuma2772
Жыл бұрын
@@felixgitonga6783 hata uandishi wako haueleweki ni kiswahili au kizungu naona uwemo tu na wewe ikiwa huelewi kaa kimya
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
Sidhan km inapendeza mtu anaeitia watu kwny ukafiri ukamwita mheshimiwa
@Yu-jr9uf
Жыл бұрын
@@felixgitonga6783 jitahd kwnz ujifunze kusoma alaf ujifunze maandiko ndo sasa uje kucomment
@elbaricktv1632
Жыл бұрын
Bila yesu hakuna atakaeiona pepo enyi ndugu zangu waislam yesu ndyo njia hata Quran imeandikwa kasome uelewe
NABII MPENDA WANAWAKE HUYU JAMANI NI HATARI SANA
Mwalim ramachandra,Allah akure maisha ref,kwasa7bu Dunia savi imefunikwa namapambo yadunia,halipo lile kundi alilolisema Allah yakwmba@liwepo kundi miongon menu wenye kuamrisha woman nakukatza machafu....
@maymunamakungu6265
Жыл бұрын
Aamin Yaarabbi
Wasubiri hukum ya Mungu....maana wanamshuhudia Mungu uongo...na Mungu ni Mtakatifu....
@JumaMohammad-nt3jl
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
Asalama alaikum mbona hatuoni ni giza tu hapa
😂Hawa wamama hatari!
Hii bibilia ya kiswahili mnasoma ni version ngani nikainunue nimeipeda sana.plz reply
I need to join islam .....kwa imani yote na nimukumbali mutume mohammed ndio wa mwisho niko eldoret
@maymunamakungu6265
Жыл бұрын
Karibu kwenye Uislam
@samxx411
Жыл бұрын
Mungu akuongoze kaka angu ila baadae uusome uislamu ili ujuwe mengi na nna imani utaupenda tu
@MrMgiriama
3 ай бұрын
Waislamu wapinga kristo tu
@MrMgiriama
3 ай бұрын
1 Wakorintho 11:3,7 [3]Lakini nataka mjue ya kuwa kichwa cha kila mwanamume ni Kristo, na kichwa cha mwanamke ni mwanamume, na kichwa cha Kristo ni Mungu. But I would have you know, that the head of every man is Christ; and the head of the woman is the man; and the head of Christ is God. [7]Kwa maana kweli haimpasi mwanamume kufunikwa kichwa, kwa sababu yeye ni mfano na utukufu wa Mungu. Lakini mwanamke ni utukufu wa mwanamume. For a man indeed ought not to cover his head, forasmuch as he is the image and glory of God: but the woman is the glory of the man.
Ndacha amepatana na joker mwenzake 😂😂😂
Twasubiri uwakutanishe yesu na yohana sheikh😂
@kikwaleharuna3426
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Waislamu wanujua sheria mbili tu, kuwsali na na kufunga. Watu roho mbaya, wenye matusi, wauaji, wajeuri, wasio na huruma etc
Ndacha anakupigia Duuuuu🤣🤣🤣
Hhhh nimeshanga sana huyu mkristo anakata ukweli really hyu ni mjinga kabisa mungu aongoze
😂😂😂Astaghafrullah et Yohan aliyeuliwa na herod duuuuuh
Huyu mzee ndie aliye timing andiko la nendeni duniani mkaijaze 😂😂😂
@jumashekalage2435
Жыл бұрын
Shekh RAMADHANI Allah akuafikishe na akupe mwisho mwema