CHIEF KADHI ATANGAZA MWEZI WA DHUL HIJJAH//SHEIKH ABDULHALIM

SAMBAZA KWA WAISLAMU WOTE

Пікірлер: 156

  • @salimjawas8123
    @salimjawas8123Ай бұрын

    Hongera Kadhi...Sababu arafah ni mmoja, hakuna arafah nyingine duniani. Allah akulinde kwa elmu yako sheikh. Shukran Jazilan

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764Ай бұрын

    chief kadhi ALLAH akujalie umri wenye kheri na ilmu yenye manufaa kwako na kwa sisi waumini!! tunafurahi kwa kututangazia siku ya eid el udhihiya ili sahihi!!

  • @user-xx2ex2nj8f
    @user-xx2ex2nj8fАй бұрын

    Asante Sheikh achana na ujinga WA watanzania mm ndogu Yako kutoka Somalia tupo pamoja.

  • @h.alshidhani8971

    @h.alshidhani8971

    Ай бұрын

    Unatukana wa Tanzania... Wewe msomali fyoko

  • @IsmailJuma-zb5ni

    @IsmailJuma-zb5ni

    Ай бұрын

    Soma dini kwanza ujue sheria, huyo ndio mwenye mamlaka kisheria kama katangaza kumfata ni wajibu kwani ni kiongoz

  • @user-xx2ex2nj8f

    @user-xx2ex2nj8f

    Ай бұрын

    Mimi nimesoma alhamdullah ndio nikasema chef Kazi kusikiliza ujinga WA watanzania unajua nyinyi Tanzania munachukulia Dini kama Chama chenu tawala CCN

  • @IsmailJuma-zb5ni

    @IsmailJuma-zb5ni

    Ай бұрын

    @@user-xx2ex2nj8f msomi hawezi kua na Sifa hizo,pia Nakukumbusha ikitokezea hakuenda nao sawa basi umfuate

  • @ummuhalima4037
    @ummuhalima4037Ай бұрын

    MashaAllah tabarakallah Allah Allah akuhifadhi kadhi wetu

  • @hassanboru
    @hassanboruАй бұрын

    FREE FREE PALESTINE ☝️ HasbunAllah wa nemal wakil ☝️

  • @abduwahabi7019
    @abduwahabi7019Ай бұрын

    Namuomba Allah akuingize moja kwa moja ktk njia ya wema walio tangulia uweke na ndevu

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kbАй бұрын

    Alhamdulillah Qaadhi maadamu Allah yuko Raadhi nawewe hio ndio muhimu usiwasikize watu wa baathil Na uendelee hivi hivi hata katika kutangaza mwezi wa Ramadhan inshallah

  • @rahmahasan32
    @rahmahasan32Ай бұрын

    Masha Allah tabarak Allah shukrani

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340Ай бұрын

    MAASHAA ALLAH barakallahu feek

  • @kijazkijaz8781
    @kijazkijaz8781Ай бұрын

    جزاك الله خيرا

  • @imamuhusseni8476
    @imamuhusseni8476Ай бұрын

    Asante shekh tupo pamoja

  • @khadijaibrahim870
    @khadijaibrahim870Ай бұрын

    Mashallah mashallah mashallah Allah akuhifadhi na akupe Subra sana umefanya uamuzi mzuri sana umoja ni nguvu tusiwape nguvu wasio upenda uislamu kwa kutofautiana wao wana madhehebu mbalimbali lakini huwezi kuwasikia wanatofautiana kwenye mitandao wala vyombo vya habari mbali na kuwa madhehebu yao ni mbalimbali mbali.Allah akuweke na akuhifadhi na ndimi zetu sisi sisi waislamu

  • @rashidngumbao3362
    @rashidngumbao3362Ай бұрын

    Mashallah Allah akuzidishie yaliyo mema na kher

  • @user-ri9kz2ej5j
    @user-ri9kz2ej5jАй бұрын

    Mashaallah Sheikh wa kenya from tanzania 🇹🇿

  • @MussaMussa-ph6wm
    @MussaMussa-ph6wmАй бұрын

    Maashaallah Tabaarakallaah

  • @SophiaMnguyu-ob4gh
    @SophiaMnguyu-ob4ghАй бұрын

    Mashallah tabaraka Rahman alayka

  • @murshidjaffer2023
    @murshidjaffer2023Ай бұрын

    Swaumu ya mwezi wa Ramadhan pia ni kitendo chenyewe kinacho fanyika makan, ambapo ni sehemu takatifu Makkatul Mukarramah. Kwanini walipo tangaza siku yao ya kufunga sisi hatukufunga? Tangaza msimamo sheikh. Ikiwa hatustahili tena kuangalia mwezi twambie. قال الله تعالى ﴿يَسأَلونَكَ عَنِ الأَهِلَّةِ قُل هِيَ مَواقيتُ لِلنّاسِ وَالحَجِّ ﴾ [Al-Baqarah: 189] Nyakati za Swaumu ya Ramadhani na Iddil ud-hiya kwa watu; na hajj zote zaendeshwa na muandamo wa mwezi. Hakuna kipengele cha kua wakati huu ni wakufuata DHUL HARAMAINI SHARIFANI na wakati mwengine niwa kila mmoja aangalie mwezi nchini kwao.

  • @ramadhanabdalla1203

    @ramadhanabdalla1203

    Ай бұрын

    Swadakta,

  • @abuubakarhamza
    @abuubakarhamzaАй бұрын

    maashaa allah allah akulipe achanana hayo mazwazwa

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284Ай бұрын

    MM YANGU NI MONDAY IN SHAA ALLAH NI VILE HAWAJUI HAO VILEMBA

  • @akramdinn8602

    @akramdinn8602

    Ай бұрын

    BAKWATA TUNAWAJUA BARAZA KUULA WAISLAM

  • @IddiAli-sd5sb
    @IddiAli-sd5sbАй бұрын

    Allah Akuhifadhi tuna taka vio ngoz wenye kujitambua Kama wewe

  • @user-nw1ib6qg5x
    @user-nw1ib6qg5xАй бұрын

    Alhamdulillah allah akuhifadh qadh

  • @fauzproduction

    @fauzproduction

    Ай бұрын

    Ameen

  • @mwanakombopopo5117

    @mwanakombopopo5117

    Ай бұрын

    Amiin Amiin Amiin

  • @saba-gv3mj

    @saba-gv3mj

    Ай бұрын

    ​@@muktarkassim6647 saudia hufuata kalenda sio mwezi

  • @aliassaa5606

    @aliassaa5606

    Ай бұрын

    Maashallah Allah akuzidishie kilalakheri shekhe

  • @kasimhamisi9855
    @kasimhamisi9855Ай бұрын

    Allah akubaarik na akujaalie uwe katika manhaji ya wema waliotangulia. Manhaji ya maswahaba wa mtume wetu. Maasha Allah. Shukran sana.

  • @yahyamaulana7791

    @yahyamaulana7791

    Ай бұрын

    Manhaj ya maswahaba ni kuangalia MWEZI Si kuangalia tv kuona mahujaji wako wapi na waenda wapi. Hebu tusomeni japo kidogo

  • @SirlemNasir
    @SirlemNasirАй бұрын

    Wa Alaykum Salam Wa Rahmatullah Wa Barakatuh KWANIMI MNAPENDA KULETA MIGOGORO YA MWEZI, MUANDAMO WA RAMADAN, MUANDAMO WA SHAWAL NA MUANDAMO WA DHUL HIJJA. KWANI HIYO MIEZI.ILIYOBAKIA, SIO YA WAISILAMU, MBONA HAMUJI KATIKA SOCIAL MEDIA NA KUITANGAZA....????? Allahumma Aaamin Ya Rabbi

  • @MhinaKulewa

    @MhinaKulewa

    Ай бұрын

    Miezi hii inahusianishwa na misimu muhimu sana ya ibada tofauti na miezi mingine

  • @user-qe8xp6ii1u

    @user-qe8xp6ii1u

    Ай бұрын

    Hiyo mengine ni zamu yko utakuja kutuyabgazia Inshaallah. Kwa mantiki hyo na ww utakuwa umeepukana na hiyo migogoro Tajwa hapo juu ktk Commnt yako.

  • @AbuSaeed-pz2kb
    @AbuSaeed-pz2kbАй бұрын

    Mwezi wa Ramadhan utangaze pia kwa msimamo wa mwezi wa kimataifa inshallah JazaakaAllahu Khairan kwa kuunganisha ummah

  • @Silay1034

    @Silay1034

    Ай бұрын

    Huyu chief kadhi ndo mpotoshaji wa haqq nyie mnampongeza, je katoa dalili gn ya hlo kuwa kuna uhusiano uhusiano gan huo na je kunatofauti gn kati ya mwandamo wa shahr Ramadhani na shahr eidil Adhha? Hapo elimu haijatumika bali hyo ndo siasa na nyie mnajiita watu wa sunnah kitabu na sunnah iko wap acheni ushabiki katka dini

  • @thamani5842

    @thamani5842

    Ай бұрын

    Umma gani alouunganisha? Hatufati mwezi uloandamishwa kwa siku 28 ng'o

  • @abdullahamedsalumel-riyamy9258
    @abdullahamedsalumel-riyamy9258Ай бұрын

    Duh, kwa kuwa mna uhusiano wa karibu na Saudia ndo mufate mwezi sawa na wao. Allah Atakuhidi Inshallah

  • @ustadhabdullahaji8105

    @ustadhabdullahaji8105

    Ай бұрын

    Hujaelewa vizuri

  • @TausiMwenda-fl1yu
    @TausiMwenda-fl1yuАй бұрын

    Mashaallah shukran sana kadhi tukopamoja

  • @abubakarmwasumilwe7070
    @abubakarmwasumilwe7070Ай бұрын

    MashaAllah.... Huku bongo wanasbr Eid ya kisiasa watangaze

  • @ukhtyzainab7254

    @ukhtyzainab7254

    Ай бұрын

    Hahaha

  • @rahmaabdallah4514
    @rahmaabdallah4514Ай бұрын

    Duh innalilah wainna ilayhi rajiun

  • @mishaalabdallah001

    @mishaalabdallah001

    Ай бұрын

    Nini Rahma?kunani?

  • @Silay1034

    @Silay1034

    Ай бұрын

    Huoni huo msiba namjibia rahma huyo chief kadh asifikiri hii dini inakwenda kwa utashi wa cheo na ushabiki hii dini inakwenda kwa dalili upo wp mwez ulioandama? Na kunatofauti gn kati ya mwandamo wa ramadhan na dhulhijjah هاتوا برهانكم إنكنتم صادقين

  • @Silay1034

    @Silay1034

    Ай бұрын

    في الحقيقة هذه المصيبة العظمى

  • @hadiyamohamed594

    @hadiyamohamed594

    Ай бұрын

    Sasa wewe ungekuwa unaenda hajj ungeenda wapi na arafaa ungesimsna siku yako . Msiba ni wewe na wenzako

  • @mamitomamita6284
    @mamitomamita6284Ай бұрын

    EID NI MONDAY BWANA KADHI

  • @user-qm2of7vd3k
    @user-qm2of7vd3kАй бұрын

    Chief kadhi wetu wallahi mimi binafsi nakuheshimusana lakini kwa hili ulilosema samahani sipo na wewe kwa maaana kati ya idd hajj ipi ilitangulia mwanzo tabaan utakuta idd ilitanguliamwanzo mwaka wa pili mtume s.a.w. alikua akiswali idul adha ma kuchinja hio hajj ilikuwa wapi wakati huo jee mtume s.a.w. alikosea kuswali idul adha na kuchinja na hijja hakuna kwa hivyo sitoacha kufuata sunna ya mtume na kukufuata wewe na hii ni dalili tosha kuwa hakuna mafungamano kati ya idulal adha na hajj na kama kuna mafungamano basi idd na hajj zingekuwa mwaka wa pili zote mbili lakini sihivyo idd ilisuniwa mwaka wapili na hajj mwaka wa tisa wakiislamu leo vimekuaje chief kadhi kueta mafingamano hizi ibada mbili tofauti na kufanya kuwa moja

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780Ай бұрын

    Hizi ndio akili tunazihitaji kusimamia dini.

  • @mishaalabdallah001

    @mishaalabdallah001

    Ай бұрын

    Alhamdulillah

  • @Silay1034

    @Silay1034

    Ай бұрын

    Wewe unasifia akili katika matumiz ya dini umefeli asee pole san dini haiendi kwa utashi wala akili ya mtu yeyote awae bali dini inaenda kwa ushahid wa Quran na sunnah

  • @biijahamisi7541
    @biijahamisi7541Ай бұрын

    Waa itii bikheir

  • @fatmaali6571
    @fatmaali6571Ай бұрын

    Inna lillahi wa inna illeihi rajiun

  • @cheapunderage8228

    @cheapunderage8228

    Ай бұрын

    Msiba wa nan tena wako au wa nan mh

  • @user-ts1kz1lw9p

    @user-ts1kz1lw9p

    Ай бұрын

    Pole kwa msiba aliondoka Allah amueke pema

  • @Tandalesse
    @TandalesseАй бұрын

    Mbona ni picha na sauti,ilishindikanaje kuzungumza moja kwa moja kupitia "video"?.

  • @user-to1it9hk2z

    @user-to1it9hk2z

    Ай бұрын

    Ayo mahojiano ni ya simu....ndio maana

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Nyinyi mutajibu mbele ya Allaah nyinyi

  • @mishaalabdallah001

    @mishaalabdallah001

    Ай бұрын

    Kuhusu nini??

  • @fatumajuma592

    @fatumajuma592

    Ай бұрын

    Ww watajibu kuhusu nn

  • @Silay1034

    @Silay1034

    Ай бұрын

    Kuhusu kupotosha ummah et eidilhijjah kuungana na saudia huyu apimwe akili kama ni kweli ausokasome sheria na apigwe chini huyo ni fitna kwa ummah

  • @mishaalabdallah001

    @mishaalabdallah001

    Ай бұрын

    @@Silay1034 Ndugu katka Eemaan Allwah Subhanahu wat'aala ansisitiza tuwatw'ii viongozi wetu hata wakiwa Dhwaifu,hata wakiwa chini ya Mamlaka....hii ni mitandao ya kijamii usiwape Faida wasiokua sisi...na kumbuka unachokiandika hakitokuja kufutika mpka Qiyama kismame....Na ulimwenguni Ar'afa ni Moja Na Hajj yafanywa Makkah peke yake,punguza hassad na Chuki na Saudiya....kasome uelewe,acha ushabiki.Allwah atuongoze sote.

  • @salhakhalfan6513

    @salhakhalfan6513

    Ай бұрын

    Hukuambiwa uwatwii hata katika makosa,, hata wazazi tumeamrishwa kutokuwatwii wakikupelekea katika aswi

  • @IdrisaAbdulwakil-tg3pk
    @IdrisaAbdulwakil-tg3pkАй бұрын

    Kasome ndugu n maana ya skukuu ya aladhha

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6gАй бұрын

    KENYA ISHATEKWA 🇰🇪 NA MAWAHABI KAMA ILIVYO UGANDA, BADO TANZANIA 🇹🇿 TUUU

  • @rajababdallah9239

    @rajababdallah9239

    Ай бұрын

    Masheikh wa Tanzania wana elimu sana kuwashinda wenzao .wabaki na msimamo wao huo huo.na pia waombe msaada serikalini watu wazuiwe kuswali idi

  • @Brotherkhaalid

    @Brotherkhaalid

    Ай бұрын

    إِنَّ الَّذِينَ فَرَّقُوا دِينَهُمْ وَكَانُوا شِيَعًا لَسْتَ مِنْهُمْ فِي شَيْءٍ ۚ إِنَّمَا أَمْرُهُمْ إِلَى اللَّهِ ثُمَّ يُنَبِّئُهُمْ بِمَا كَانُوا يَفْعَلُونَ Indeed, those who have divided their religion and become sects - you, [O Muhammad], are not [associated] with them in anything. Their affair is only [left] to Allah; then He will inform them about what they used to do. Al Quran 6:159

  • @fatumajuma592

    @fatumajuma592

    Ай бұрын

    Mbona ww uko na fikra potovu

  • @rajababdallah9239

    @rajababdallah9239

    Ай бұрын

    Kama wameshatekwa tuwafate watekaji waturudishie makadhi wetu.

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340Ай бұрын

    Huuu ni wazimu sasa sio elimu Wallaahi nyiny watu mcheni Mungu msipoteze watu hii ndio elimu kweli jamani au ni ukhabith

  • @user-qe8xp6ii1u

    @user-qe8xp6ii1u

    Ай бұрын

    Kwa hyo Na Imaam Shafi naye ni Khabithi???

  • @user-ts1kz1lw9p

    @user-ts1kz1lw9p

    Ай бұрын

    Siku ya kiama utaulizwa juu ya maneno yako haya

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    @@user-qe8xp6ii1u kwani huyo mwehu Ni imam shafy?. Acha wehu wewe

  • @user-hr9kb7ev1i
    @user-hr9kb7ev1iАй бұрын

    Aslm Alykm, muongope Allah ww Sheikh utajibu nn mbele ya Allah? Angalia uislam c pesa

  • @froma3732
    @froma3732Ай бұрын

    Kwa hivo huu Mfungo pili calendar ni 28

  • @asalkhan9168

    @asalkhan9168

    Ай бұрын

    😂😂😂

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    Mawahabi ata 27 haina neno. Muhimu wasikilikane TU kama na WAO wapo. Sasa Bila FUJO FUJO watajulikana vipi kama wapo😁

  • @hilalkhalfan1452
    @hilalkhalfan1452Ай бұрын

    NILISEMA KUWA KENYA INA MSHIPA WA NGIRI. NAOMBA TANZANIA IONDOE USHIRIKIANO WA MWEZI WA NCHI YOYOTE KAMA ILIVYO KUWA OMAM ALHAMDULILLAH HAWATAKI UPUUZI. IPI IMARA NA FASAHA. MIE NILISEMA TUFUATE KAULI YA IBN ABBAS RA KISAWA SAWA. KILA MJI NA MUANDAMO WAKE. HII MPAKA NCHI KUUNGANA MWEZI NI UPUUZI SIO DINI

  • @fatumajuma592

    @fatumajuma592

    Ай бұрын

    Ww huna mawazo mazuri Allah akupe mufahamu ili usiwe na ujinga

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    @@fatumajuma592 MWEZI haukundam kokote. HILO Lijue. Ni calendar ya KUPANGWA ni Leo. Dhulhija inaanza ijumaa mosi

  • @yahyamaulana7791

    @yahyamaulana7791

    Ай бұрын

    Mzee umeongea ilimu hapo lakini WATAKAO elewa ni wachache

  • @zainulabidiendhulfikar7398
    @zainulabidiendhulfikar7398Ай бұрын

    Kwapicha na maneno aaaah siamin mbn haikuja vedio kamili ???? Msitudanganye

  • @nchimbuke7261
    @nchimbuke7261Ай бұрын

    HII NDIO SAWA KABSAA SABABU HAKUNA ARAFAH MBILI

  • @habibujuma4277
    @habibujuma4277Ай бұрын

    Mtajua amjui kadhi twende mbele uko sawa na hiyo ndio dini

  • @abushawalihamisi2649
    @abushawalihamisi2649Ай бұрын

    Mawahabi wamendamganya kadhi wa Kenya laajabu wao hawajamfuata kwenye msimamo wake wa ulazima wa kuona mwezi katika idd alfitr

  • @iddimohamed254

    @iddimohamed254

    Ай бұрын

    Ata ikikuuma stahamili tu coz ndio ishatangazwa...🤫🤫

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    @@iddimohamed254 kweli inauma kwasababu umma unapotea. ARAFA mwezi 8 sijui Sunna ya Mtume yupi hapo

  • @khamisjuma7616
    @khamisjuma7616Ай бұрын

    nampongeza chief kadhi kwa kuwatoa watu kwenye mtindio wa mawazo wakati haki imedhihiri kila kitu kiko wazi .wanaosema sijui nchi nyengine hazitokua sawa na saudia kinyakati basi hiyo itakua dharura lkn sisi east africa hatuna sabababu mana mpaka saa zetu zinaenda sambamba na macca

  • @Silay1034

    @Silay1034

    Ай бұрын

    Unampongeza kwa lipi huyo mpotoshaji dalili gn katoa yemen wenyewe hawajatangaza mwez wao ni wajinga halaf mashekh wote sunnah wanasema miandamo inatofautiana mbn hamna adabu na mashekh Ibn Baz ibn uthaymin nk

  • @MB-yq3ty

    @MB-yq3ty

    Ай бұрын

    ​@@Silay1034 Ungevua hereni kwanza kisha uongee

  • @mwajumafuadsaad5994

    @mwajumafuadsaad5994

    Ай бұрын

    Mbona sisi waislam twachekwa twateta wenye kwa wenyewe

  • @MB-yq3ty

    @MB-yq3ty

    Ай бұрын

    @@mwajumafuadsaad5994 Wanaostahili kuchekwa ni wale wanao nyamaziana hata kwenye makosa.

  • @KhalidAbdalla-lb4ph

    @KhalidAbdalla-lb4ph

    Ай бұрын

    kwaiyo ndo hoja kwako ?​@@Silay1034

  • @hajjisanga789
    @hajjisanga789Ай бұрын

    Tanzania wamesoma hatuendi ovyo tunaenda na dalili madh but

  • @HamadaZubeirTahir
    @HamadaZubeirTahirАй бұрын

    Alkhamisi ni mwezi 28 mwez hauwezi kuonekanwa hata kwa darubini

  • @muadhibrahim6914

    @muadhibrahim6914

    Ай бұрын

    Wahuko macho yao makalu wanakula nyama ya mandi

  • @akthammuhammad7844
    @akthammuhammad7844Ай бұрын

    Ama kweli munafataa MAMLAKA TUL SAUDIA AL ARABIA SIO AL ISLAMIYAAH

  • @asiakheir8684

    @asiakheir8684

    Ай бұрын

    Nq qibla je? Unayako?

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    WAO wanafata mamlaka sio muandamo 😁

  • @Tandalesse
    @TandalesseАй бұрын

    Muft wa Kenya anajikoroga,inakuaje hili alilolifanya hapa ikiwa Mwezi wa Ramadhan,Shawwal na miezi yote 12 ya kalenda ya Hijria hupimwa kwa kuandama kwa mwezi yeye awe kigeugeu?.

  • @thamani5842
    @thamani5842Ай бұрын

    Uo mwezi umeandama wapi?

  • @yahyamaulana7791
    @yahyamaulana7791Ай бұрын

    MBNA WAJIKOROGA MZEE. YAANI KWA RAMADHANI TUANGALIE MWEZI LAKINI EID UL ADH HAA TUFATE SUUDIA? ALAFU TWASUBIRI SIKU YA KURUDI KWA MWEZI MUANDAMO WA KWETU. MAANA HIYO ULOSEMA NI TAREKHE MOJA HUKU KWETU NI 29. SASA SIJUI MWEZI WA 28 UMEKUAJE AMA NI FEBRUARY.

  • @saidimkwinzu9106

    @saidimkwinzu9106

    Ай бұрын

    Kwani mwez unatoka mara ngapi kwenye Dunia?

  • @cheapunderage8228

    @cheapunderage8228

    Ай бұрын

    Kasomo km aujasoma na km umesima pia omba uwelewa kwan nao ni neema pia vitu ivyo vipo tofaut ila vinakaa pamoja

  • @cheapunderage8228

    @cheapunderage8228

    Ай бұрын

    Unashi wap ww kwan mmnh

  • @user-mf4km2gi9l

    @user-mf4km2gi9l

    Ай бұрын

    Nawe tengeneza arafa Yako tukufuate tuachie ile alotuachia kipenzi chetu mtume saw

  • @yahyamaulana7791

    @yahyamaulana7791

    Ай бұрын

    @@user-mf4km2gi9l oooooh kumbe uko Makkah, Hebu nisaidie hapa kidogo. Miaka ya kina Imam shafi na Imam nawawi na mfano wao. Hii swaum ya arafa waliifungaje ama hawakuwai kufunga vile walikua hawaoni Makkah. Ama misingi na kanuni ya ibada yabadilika Kwa kubadlika maendeleo ya mitandao. Hebu Wacha kushabikia kama huna upeo katika jambo

  • @user-cp3xl1hh1u
    @user-cp3xl1hh1uАй бұрын

    Kwa mwezi nakuunga mkono ulionekana jana

  • @abuumaryam185
    @abuumaryam185Ай бұрын

    Umejitoa kwenye dhimmah

  • @Silay1034

    @Silay1034

    Ай бұрын

    Kajitoa kweny dhimmah au kajiangamiza kabisa Allah ufaham sahihi hakunaga mwez mwandamo mmoja dunia nzima mustahiil sasa ili ajitoe kweny dhimmah alete dalili mushbai maana nikiongozi mkubwa

  • @Silay1034

    @Silay1034

    Ай бұрын

    Kajitoa kweny dhimmah au kajiangamiza kabisa Allah ufaham sahihi hakunaga mwez mwandamo mmoja dunia nzima mustahiil sasa ili ajitoe kweny dhimmah alete dalili mushbai maana nikiongozi mkubwa

  • @Silay1034

    @Silay1034

    Ай бұрын

    هذا القاض يبدو أنه جاهل مركب عن فقه الإسلام

  • @thamani5842
    @thamani5842Ай бұрын

    Inasikitisha, kuna mwezi unoandama kwa siku 28?

  • @cheapunderage8228

    @cheapunderage8228

    Ай бұрын

    Kalenda yako ya kinaswara..ok em onesha huo mwz wako wa jana ijumaa km sio wa juz mwez ulio toka eeeh

  • @AllyMuawiyahMuawiya
    @AllyMuawiyahMuawiyaАй бұрын

    Tz vipi😂?

  • @user-bt8wh8cd3g
    @user-bt8wh8cd3gАй бұрын

    Ww kadh kumbe waipeleka ibada kwa hawaa zako nawala hufuat Qur'an wala hadith mngu akuongoze

  • @safiyagulamhussein2528
    @safiyagulamhussein2528Ай бұрын

    Nyinyi munasimama arafa siku gani

  • @AhmadKunde
    @AhmadKundeАй бұрын

    Huyu anaeongea kwani ndio qadhi...? Atume vidio..... Asiongee kwenye hijabu kama nanihii.......

  • @Mohamed-vv8fc
    @Mohamed-vv8fcАй бұрын

    Kadhi Mawahabi hawakukufuata maoni yako kwa mwezi wa Eid Fitr.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    MIE SIJAMFAHAMU BADO HUYU MTU. SASA MWEZI UMEONEKANA SAUDIA NDIO KATANGAZA AU VIPI SIWAELEWI UNAJUA

  • @muadhibrahim6914

    @muadhibrahim6914

    Ай бұрын

    ​@@hilalkhalfan1452 Afwan. Hakuna ijumaa tarehe 7 mara mbili duniani.....

  • @mishaalabdallah001

    @mishaalabdallah001

    Ай бұрын

    Acheni Hassad na Chuki na Watu wa Sunnah...Habibuna Sheikh Abdulhalim Hussein Uthman(Hafidhwahullwah)ashatangaza Tarehe Moja ya Dhulhijjah tuanzeni Funga inn shaa Allwah Jumapili Ei'd Tosha,Siasa Za Nini Sasa?.....na wafungao ni hao muitaio,"Mawahabbi".....Masufi wallwahi lbda wafunge hyo Araf'a tu wavivu wa Sunnah.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    @@mishaalabdallah001 MIMI NIMEULIZA SUALI. HASAD UNAZO WEYE NA HUYO MUWAHABI MWENZAKO. JEE MWEZI UMEONEKANA SAUDIA AU KENYA?. KWASABABU KULE WAMETANGAZA CALENDER NA MWEZI HAUKUONEKANA ILA KUTWII SHURUTI ZA NCHI KUHUSU HIJA NI SAWA JUKUMU WATABEBA WAO. SAUDI WASHATANGAZA, JEE KENYA WAMEUONA AU WAMEFATA?. SUALI LANGU SIMPLE SIMFATI KADHI KAMA MWEZI HAUJAANDAMA. SUALI. JEE KWETU KENYA UMEONEKANA AU LAA?!. KADHI SIO DINI YANGU, MIE NAFATA DINI SIO KADHI, YEYE ATAENDA NA IBADA ZAKE NA MIE NITAULIZWA ZANGU

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    @@mishaalabdallah001 HASAD jibu suali

  • @uqbahzahor2340
    @uqbahzahor2340Ай бұрын

    Uvundo huu na uchafu

  • @TajiriUstadh
    @TajiriUstadhАй бұрын

    Mimi nakusalimu cheifu kadhi kama ndugu yako tu

  • @yusuftaib4034
    @yusuftaib4034Ай бұрын

    How and where did u get to announce this type of crap? Mwezi umeona wapi? This is pure disgusting and totally unacceptable..wewe utajibu mbele ya Allah and this is not what we want.twaona mwezi twapiga hesabu za siku kumi.wacheni ujinga wenu munalipwa na Saudia

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764Ай бұрын

    hao wanaocoment eti saudia ni wahabi,ahamie irani kwa mashia!! chief kadhi wajinga wasikutishe!!

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764Ай бұрын

    Enyi masufi kama hamtaki kufuata tarekh za saudia basi wafuateni mashia wa irani kwenye hija zao za KARBALA!!

  • @user-cy7zz4wy2n

    @user-cy7zz4wy2n

    Ай бұрын

    Wacha maneno ya utenganisho katika dini ungamisha waja mwachie Allah jukmu la kuhumu nasi.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    Ndio umesema Nini?. Tokea lini tukafata muandamo nje ya nchi?. Au mawahabi mshaishiwa la kusema baada ya upotovu wenu

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    Ndio umesema Nini?. Tokea lini tukafata muandamo nje ya nchi?. Au mawahabi mshaishiwa la kusema baada ya upotovu wenu

  • @hamynas
    @hamynasАй бұрын

    wahuni saana nyie mawahabi

  • @muadhibrahim6914

    @muadhibrahim6914

    Ай бұрын

    Kasome....

  • @mishaalabdallah001

    @mishaalabdallah001

    Ай бұрын

    Hassad zakusumbua katafte Il'mu usichukie pasi na El'mu.

  • @hilalkhalfan1452

    @hilalkhalfan1452

    Ай бұрын

    KENYA WAHUNI WASHAKUWA SKUIZI. HAKUNA SHEKH KENYA

  • @mishaalabdallah001

    @mishaalabdallah001

    Ай бұрын

    @@hilalkhalfan1452 kuwa wewe sheikh inn shaa Allwah tukuskize,ikiwa humuheshimu babako basi muheshimu kiongozi wako.

  • @mishaalabdallah001

    @mishaalabdallah001

    Ай бұрын

    @@hilalkhalfan1452 una chuki mpka Kwa Muislamu mwenzako...kiongozi wako,huna haya wewe?uhuni upi alokufanyia?alikuibiya?alikuziniya jamaa Yako?mushawai vuta nae Bangi au Heroine?au mshatafuna pamoja miraa au Mugukaa?....huu ni mtandao wa kijamii wafkiri waso Waislamu watatuonaje ikiwa hatumuheshimu kiongozi wetu,twamdhalilisha You Tube.

Келесі