CHIEF KADHI ATANGAZA MWEZI WA DHUL HIJJAH//SHEIKH ABDULHALIM
SAMBAZA KWA WAISLAMU WOTE
Жүктеу.....
Пікірлер: 156
@salimjawas8123Ай бұрын
Hongera Kadhi...Sababu arafah ni mmoja, hakuna arafah nyingine duniani. Allah akulinde kwa elmu yako sheikh. Shukran Jazilan
@hamzakimaro3764Ай бұрын
chief kadhi ALLAH akujalie umri wenye kheri na ilmu yenye manufaa kwako na kwa sisi waumini!! tunafurahi kwa kututangazia siku ya eid el udhihiya ili sahihi!!
@user-xx2ex2nj8fАй бұрын
Asante Sheikh achana na ujinga WA watanzania mm ndogu Yako kutoka Somalia tupo pamoja.
@h.alshidhani8971
Ай бұрын
Unatukana wa Tanzania... Wewe msomali fyoko
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Soma dini kwanza ujue sheria, huyo ndio mwenye mamlaka kisheria kama katangaza kumfata ni wajibu kwani ni kiongoz
@user-xx2ex2nj8f
Ай бұрын
Mimi nimesoma alhamdullah ndio nikasema chef Kazi kusikiliza ujinga WA watanzania unajua nyinyi Tanzania munachukulia Dini kama Chama chenu tawala CCN
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
@@user-xx2ex2nj8f msomi hawezi kua na Sifa hizo,pia Nakukumbusha ikitokezea hakuenda nao sawa basi umfuate
@ummuhalima4037Ай бұрын
MashaAllah tabarakallah Allah Allah akuhifadhi kadhi wetu
@hassanboruАй бұрын
FREE FREE PALESTINE ☝️ HasbunAllah wa nemal wakil ☝️
@abduwahabi7019Ай бұрын
Namuomba Allah akuingize moja kwa moja ktk njia ya wema walio tangulia uweke na ndevu
@AbuSaeed-pz2kbАй бұрын
Alhamdulillah Qaadhi maadamu Allah yuko Raadhi nawewe hio ndio muhimu usiwasikize watu wa baathil Na uendelee hivi hivi hata katika kutangaza mwezi wa Ramadhan inshallah
@rahmahasan32Ай бұрын
Masha Allah tabarak Allah shukrani
@sakinasakku8340Ай бұрын
MAASHAA ALLAH barakallahu feek
@kijazkijaz8781Ай бұрын
جزاك الله خيرا
@imamuhusseni8476Ай бұрын
Asante shekh tupo pamoja
@khadijaibrahim870Ай бұрын
Mashallah mashallah mashallah Allah akuhifadhi na akupe Subra sana umefanya uamuzi mzuri sana umoja ni nguvu tusiwape nguvu wasio upenda uislamu kwa kutofautiana wao wana madhehebu mbalimbali lakini huwezi kuwasikia wanatofautiana kwenye mitandao wala vyombo vya habari mbali na kuwa madhehebu yao ni mbalimbali mbali.Allah akuweke na akuhifadhi na ndimi zetu sisi sisi waislamu
@rashidngumbao3362Ай бұрын
Mashallah Allah akuzidishie yaliyo mema na kher
@user-ri9kz2ej5jАй бұрын
Mashaallah Sheikh wa kenya from tanzania 🇹🇿
@MussaMussa-ph6wmАй бұрын
Maashaallah Tabaarakallaah
@SophiaMnguyu-ob4ghАй бұрын
Mashallah tabaraka Rahman alayka
@murshidjaffer2023Ай бұрын
Swaumu ya mwezi wa Ramadhan pia ni kitendo chenyewe kinacho fanyika makan, ambapo ni sehemu takatifu Makkatul Mukarramah. Kwanini walipo tangaza siku yao ya kufunga sisi hatukufunga? Tangaza msimamo sheikh. Ikiwa hatustahili tena kuangalia mwezi twambie. قال الله تعالى ﴿يَسأَلونَكَ عَنِ الأَهِلَّةِ قُل هِيَ مَواقيتُ لِلنّاسِ وَالحَجِّ ﴾ [Al-Baqarah: 189] Nyakati za Swaumu ya Ramadhani na Iddil ud-hiya kwa watu; na hajj zote zaendeshwa na muandamo wa mwezi. Hakuna kipengele cha kua wakati huu ni wakufuata DHUL HARAMAINI SHARIFANI na wakati mwengine niwa kila mmoja aangalie mwezi nchini kwao.
@ramadhanabdalla1203
Ай бұрын
Swadakta,
@abuubakarhamzaАй бұрын
maashaa allah allah akulipe achanana hayo mazwazwa
@mamitomamita6284Ай бұрын
MM YANGU NI MONDAY IN SHAA ALLAH NI VILE HAWAJUI HAO VILEMBA
@akramdinn8602
Ай бұрын
BAKWATA TUNAWAJUA BARAZA KUULA WAISLAM
@IddiAli-sd5sbАй бұрын
Allah Akuhifadhi tuna taka vio ngoz wenye kujitambua Kama wewe
@user-nw1ib6qg5xАй бұрын
Alhamdulillah allah akuhifadh qadh
@fauzproduction
Ай бұрын
Ameen
@mwanakombopopo5117
Ай бұрын
Amiin Amiin Amiin
@saba-gv3mj
Ай бұрын
@@muktarkassim6647 saudia hufuata kalenda sio mwezi
@aliassaa5606
Ай бұрын
Maashallah Allah akuzidishie kilalakheri shekhe
@kasimhamisi9855Ай бұрын
Allah akubaarik na akujaalie uwe katika manhaji ya wema waliotangulia. Manhaji ya maswahaba wa mtume wetu. Maasha Allah. Shukran sana.
@yahyamaulana7791
Ай бұрын
Manhaj ya maswahaba ni kuangalia MWEZI Si kuangalia tv kuona mahujaji wako wapi na waenda wapi. Hebu tusomeni japo kidogo
@SirlemNasirАй бұрын
Wa Alaykum Salam Wa Rahmatullah Wa Barakatuh KWANIMI MNAPENDA KULETA MIGOGORO YA MWEZI, MUANDAMO WA RAMADAN, MUANDAMO WA SHAWAL NA MUANDAMO WA DHUL HIJJA. KWANI HIYO MIEZI.ILIYOBAKIA, SIO YA WAISILAMU, MBONA HAMUJI KATIKA SOCIAL MEDIA NA KUITANGAZA....????? Allahumma Aaamin Ya Rabbi
@MhinaKulewa
Ай бұрын
Miezi hii inahusianishwa na misimu muhimu sana ya ibada tofauti na miezi mingine
@user-qe8xp6ii1u
Ай бұрын
Hiyo mengine ni zamu yko utakuja kutuyabgazia Inshaallah. Kwa mantiki hyo na ww utakuwa umeepukana na hiyo migogoro Tajwa hapo juu ktk Commnt yako.
@AbuSaeed-pz2kbАй бұрын
Mwezi wa Ramadhan utangaze pia kwa msimamo wa mwezi wa kimataifa inshallah JazaakaAllahu Khairan kwa kuunganisha ummah
@Silay1034
Ай бұрын
Huyu chief kadhi ndo mpotoshaji wa haqq nyie mnampongeza, je katoa dalili gn ya hlo kuwa kuna uhusiano uhusiano gan huo na je kunatofauti gn kati ya mwandamo wa shahr Ramadhani na shahr eidil Adhha? Hapo elimu haijatumika bali hyo ndo siasa na nyie mnajiita watu wa sunnah kitabu na sunnah iko wap acheni ushabiki katka dini
@thamani5842
Ай бұрын
Umma gani alouunganisha? Hatufati mwezi uloandamishwa kwa siku 28 ng'o
@abdullahamedsalumel-riyamy9258Ай бұрын
Duh, kwa kuwa mna uhusiano wa karibu na Saudia ndo mufate mwezi sawa na wao. Allah Atakuhidi Inshallah
@ustadhabdullahaji8105
Ай бұрын
Hujaelewa vizuri
@TausiMwenda-fl1yuАй бұрын
Mashaallah shukran sana kadhi tukopamoja
@abubakarmwasumilwe7070Ай бұрын
MashaAllah.... Huku bongo wanasbr Eid ya kisiasa watangaze
@ukhtyzainab7254
Ай бұрын
Hahaha
@rahmaabdallah4514Ай бұрын
Duh innalilah wainna ilayhi rajiun
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Nini Rahma?kunani?
@Silay1034
Ай бұрын
Huoni huo msiba namjibia rahma huyo chief kadh asifikiri hii dini inakwenda kwa utashi wa cheo na ushabiki hii dini inakwenda kwa dalili upo wp mwez ulioandama? Na kunatofauti gn kati ya mwandamo wa ramadhan na dhulhijjah هاتوا برهانكم إنكنتم صادقين
@Silay1034
Ай бұрын
في الحقيقة هذه المصيبة العظمى
@hadiyamohamed594
Ай бұрын
Sasa wewe ungekuwa unaenda hajj ungeenda wapi na arafaa ungesimsna siku yako . Msiba ni wewe na wenzako
@mamitomamita6284Ай бұрын
EID NI MONDAY BWANA KADHI
@user-qm2of7vd3kАй бұрын
Chief kadhi wetu wallahi mimi binafsi nakuheshimusana lakini kwa hili ulilosema samahani sipo na wewe kwa maaana kati ya idd hajj ipi ilitangulia mwanzo tabaan utakuta idd ilitanguliamwanzo mwaka wa pili mtume s.a.w. alikua akiswali idul adha ma kuchinja hio hajj ilikuwa wapi wakati huo jee mtume s.a.w. alikosea kuswali idul adha na kuchinja na hijja hakuna kwa hivyo sitoacha kufuata sunna ya mtume na kukufuata wewe na hii ni dalili tosha kuwa hakuna mafungamano kati ya idulal adha na hajj na kama kuna mafungamano basi idd na hajj zingekuwa mwaka wa pili zote mbili lakini sihivyo idd ilisuniwa mwaka wapili na hajj mwaka wa tisa wakiislamu leo vimekuaje chief kadhi kueta mafingamano hizi ibada mbili tofauti na kufanya kuwa moja
@selemankishema5780Ай бұрын
Hizi ndio akili tunazihitaji kusimamia dini.
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Alhamdulillah
@Silay1034
Ай бұрын
Wewe unasifia akili katika matumiz ya dini umefeli asee pole san dini haiendi kwa utashi wala akili ya mtu yeyote awae bali dini inaenda kwa ushahid wa Quran na sunnah
@biijahamisi7541Ай бұрын
Waa itii bikheir
@fatmaali6571Ай бұрын
Inna lillahi wa inna illeihi rajiun
@cheapunderage8228
Ай бұрын
Msiba wa nan tena wako au wa nan mh
@user-ts1kz1lw9p
Ай бұрын
Pole kwa msiba aliondoka Allah amueke pema
@TandalesseАй бұрын
Mbona ni picha na sauti,ilishindikanaje kuzungumza moja kwa moja kupitia "video"?.
@user-to1it9hk2z
Ай бұрын
Ayo mahojiano ni ya simu....ndio maana
@HamadaZubeirTahirАй бұрын
Nyinyi mutajibu mbele ya Allaah nyinyi
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Kuhusu nini??
@fatumajuma592
Ай бұрын
Ww watajibu kuhusu nn
@Silay1034
Ай бұрын
Kuhusu kupotosha ummah et eidilhijjah kuungana na saudia huyu apimwe akili kama ni kweli ausokasome sheria na apigwe chini huyo ni fitna kwa ummah
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
@@Silay1034 Ndugu katka Eemaan Allwah Subhanahu wat'aala ansisitiza tuwatw'ii viongozi wetu hata wakiwa Dhwaifu,hata wakiwa chini ya Mamlaka....hii ni mitandao ya kijamii usiwape Faida wasiokua sisi...na kumbuka unachokiandika hakitokuja kufutika mpka Qiyama kismame....Na ulimwenguni Ar'afa ni Moja Na Hajj yafanywa Makkah peke yake,punguza hassad na Chuki na Saudiya....kasome uelewe,acha ushabiki.Allwah atuongoze sote.
@salhakhalfan6513
Ай бұрын
Hukuambiwa uwatwii hata katika makosa,, hata wazazi tumeamrishwa kutokuwatwii wakikupelekea katika aswi
@IdrisaAbdulwakil-tg3pkАй бұрын
Kasome ndugu n maana ya skukuu ya aladhha
@user-hb8vi9fx6gАй бұрын
KENYA ISHATEKWA 🇰🇪 NA MAWAHABI KAMA ILIVYO UGANDA, BADO TANZANIA 🇹🇿 TUUU
@rajababdallah9239
Ай бұрын
Masheikh wa Tanzania wana elimu sana kuwashinda wenzao .wabaki na msimamo wao huo huo.na pia waombe msaada serikalini watu wazuiwe kuswali idi
@Brotherkhaalid
Ай бұрын
إِنَّ الَّذِينَ فَرَّقُوا دِينَهُمْ وَكَانُوا شِيَعًا لَسْتَ مِنْهُمْ فِي شَيْءٍ ۚ إِنَّمَا أَمْرُهُمْ إِلَى اللَّهِ ثُمَّ يُنَبِّئُهُمْ بِمَا كَانُوا يَفْعَلُونَ Indeed, those who have divided their religion and become sects - you, [O Muhammad], are not [associated] with them in anything. Their affair is only [left] to Allah; then He will inform them about what they used to do. Al Quran 6:159
@fatumajuma592
Ай бұрын
Mbona ww uko na fikra potovu
@rajababdallah9239
Ай бұрын
Kama wameshatekwa tuwafate watekaji waturudishie makadhi wetu.
@uqbahzahor2340Ай бұрын
Huuu ni wazimu sasa sio elimu Wallaahi nyiny watu mcheni Mungu msipoteze watu hii ndio elimu kweli jamani au ni ukhabith
@user-qe8xp6ii1u
Ай бұрын
Kwa hyo Na Imaam Shafi naye ni Khabithi???
@user-ts1kz1lw9p
Ай бұрын
Siku ya kiama utaulizwa juu ya maneno yako haya
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@user-qe8xp6ii1u kwani huyo mwehu Ni imam shafy?. Acha wehu wewe
@user-hr9kb7ev1iАй бұрын
Aslm Alykm, muongope Allah ww Sheikh utajibu nn mbele ya Allah? Angalia uislam c pesa
@froma3732Ай бұрын
Kwa hivo huu Mfungo pili calendar ni 28
@asalkhan9168
Ай бұрын
😂😂😂
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
Mawahabi ata 27 haina neno. Muhimu wasikilikane TU kama na WAO wapo. Sasa Bila FUJO FUJO watajulikana vipi kama wapo😁
@hilalkhalfan1452Ай бұрын
NILISEMA KUWA KENYA INA MSHIPA WA NGIRI. NAOMBA TANZANIA IONDOE USHIRIKIANO WA MWEZI WA NCHI YOYOTE KAMA ILIVYO KUWA OMAM ALHAMDULILLAH HAWATAKI UPUUZI. IPI IMARA NA FASAHA. MIE NILISEMA TUFUATE KAULI YA IBN ABBAS RA KISAWA SAWA. KILA MJI NA MUANDAMO WAKE. HII MPAKA NCHI KUUNGANA MWEZI NI UPUUZI SIO DINI
@fatumajuma592
Ай бұрын
Ww huna mawazo mazuri Allah akupe mufahamu ili usiwe na ujinga
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@fatumajuma592 MWEZI haukundam kokote. HILO Lijue. Ni calendar ya KUPANGWA ni Leo. Dhulhija inaanza ijumaa mosi
@yahyamaulana7791
Ай бұрын
Mzee umeongea ilimu hapo lakini WATAKAO elewa ni wachache
Mtajua amjui kadhi twende mbele uko sawa na hiyo ndio dini
@abushawalihamisi2649Ай бұрын
Mawahabi wamendamganya kadhi wa Kenya laajabu wao hawajamfuata kwenye msimamo wake wa ulazima wa kuona mwezi katika idd alfitr
@iddimohamed254
Ай бұрын
Ata ikikuuma stahamili tu coz ndio ishatangazwa...🤫🤫
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@iddimohamed254 kweli inauma kwasababu umma unapotea. ARAFA mwezi 8 sijui Sunna ya Mtume yupi hapo
@khamisjuma7616Ай бұрын
nampongeza chief kadhi kwa kuwatoa watu kwenye mtindio wa mawazo wakati haki imedhihiri kila kitu kiko wazi .wanaosema sijui nchi nyengine hazitokua sawa na saudia kinyakati basi hiyo itakua dharura lkn sisi east africa hatuna sabababu mana mpaka saa zetu zinaenda sambamba na macca
@Silay1034
Ай бұрын
Unampongeza kwa lipi huyo mpotoshaji dalili gn katoa yemen wenyewe hawajatangaza mwez wao ni wajinga halaf mashekh wote sunnah wanasema miandamo inatofautiana mbn hamna adabu na mashekh Ibn Baz ibn uthaymin nk
@MB-yq3ty
Ай бұрын
@@Silay1034 Ungevua hereni kwanza kisha uongee
@mwajumafuadsaad5994
Ай бұрын
Mbona sisi waislam twachekwa twateta wenye kwa wenyewe
@MB-yq3ty
Ай бұрын
@@mwajumafuadsaad5994 Wanaostahili kuchekwa ni wale wanao nyamaziana hata kwenye makosa.
@KhalidAbdalla-lb4ph
Ай бұрын
kwaiyo ndo hoja kwako ?@@Silay1034
@hajjisanga789Ай бұрын
Tanzania wamesoma hatuendi ovyo tunaenda na dalili madh but
@HamadaZubeirTahirАй бұрын
Alkhamisi ni mwezi 28 mwez hauwezi kuonekanwa hata kwa darubini
@muadhibrahim6914
Ай бұрын
Wahuko macho yao makalu wanakula nyama ya mandi
@akthammuhammad7844Ай бұрын
Ama kweli munafataa MAMLAKA TUL SAUDIA AL ARABIA SIO AL ISLAMIYAAH
@asiakheir8684
Ай бұрын
Nq qibla je? Unayako?
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
WAO wanafata mamlaka sio muandamo 😁
@TandalesseАй бұрын
Muft wa Kenya anajikoroga,inakuaje hili alilolifanya hapa ikiwa Mwezi wa Ramadhan,Shawwal na miezi yote 12 ya kalenda ya Hijria hupimwa kwa kuandama kwa mwezi yeye awe kigeugeu?.
@thamani5842Ай бұрын
Uo mwezi umeandama wapi?
@yahyamaulana7791Ай бұрын
MBNA WAJIKOROGA MZEE. YAANI KWA RAMADHANI TUANGALIE MWEZI LAKINI EID UL ADH HAA TUFATE SUUDIA? ALAFU TWASUBIRI SIKU YA KURUDI KWA MWEZI MUANDAMO WA KWETU. MAANA HIYO ULOSEMA NI TAREKHE MOJA HUKU KWETU NI 29. SASA SIJUI MWEZI WA 28 UMEKUAJE AMA NI FEBRUARY.
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Kwani mwez unatoka mara ngapi kwenye Dunia?
@cheapunderage8228
Ай бұрын
Kasomo km aujasoma na km umesima pia omba uwelewa kwan nao ni neema pia vitu ivyo vipo tofaut ila vinakaa pamoja
@@user-mf4km2gi9l oooooh kumbe uko Makkah, Hebu nisaidie hapa kidogo. Miaka ya kina Imam shafi na Imam nawawi na mfano wao. Hii swaum ya arafa waliifungaje ama hawakuwai kufunga vile walikua hawaoni Makkah. Ama misingi na kanuni ya ibada yabadilika Kwa kubadlika maendeleo ya mitandao. Hebu Wacha kushabikia kama huna upeo katika jambo
@user-cp3xl1hh1uАй бұрын
Kwa mwezi nakuunga mkono ulionekana jana
@abuumaryam185Ай бұрын
Umejitoa kwenye dhimmah
@Silay1034
Ай бұрын
Kajitoa kweny dhimmah au kajiangamiza kabisa Allah ufaham sahihi hakunaga mwez mwandamo mmoja dunia nzima mustahiil sasa ili ajitoe kweny dhimmah alete dalili mushbai maana nikiongozi mkubwa
@Silay1034
Ай бұрын
Kajitoa kweny dhimmah au kajiangamiza kabisa Allah ufaham sahihi hakunaga mwez mwandamo mmoja dunia nzima mustahiil sasa ili ajitoe kweny dhimmah alete dalili mushbai maana nikiongozi mkubwa
@Silay1034
Ай бұрын
هذا القاض يبدو أنه جاهل مركب عن فقه الإسلام
@thamani5842Ай бұрын
Inasikitisha, kuna mwezi unoandama kwa siku 28?
@cheapunderage8228
Ай бұрын
Kalenda yako ya kinaswara..ok em onesha huo mwz wako wa jana ijumaa km sio wa juz mwez ulio toka eeeh
Huyu anaeongea kwani ndio qadhi...? Atume vidio..... Asiongee kwenye hijabu kama nanihii.......
@Mohamed-vv8fcАй бұрын
Kadhi Mawahabi hawakukufuata maoni yako kwa mwezi wa Eid Fitr.
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
MIE SIJAMFAHAMU BADO HUYU MTU. SASA MWEZI UMEONEKANA SAUDIA NDIO KATANGAZA AU VIPI SIWAELEWI UNAJUA
@muadhibrahim6914
Ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 Afwan. Hakuna ijumaa tarehe 7 mara mbili duniani.....
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Acheni Hassad na Chuki na Watu wa Sunnah...Habibuna Sheikh Abdulhalim Hussein Uthman(Hafidhwahullwah)ashatangaza Tarehe Moja ya Dhulhijjah tuanzeni Funga inn shaa Allwah Jumapili Ei'd Tosha,Siasa Za Nini Sasa?.....na wafungao ni hao muitaio,"Mawahabbi".....Masufi wallwahi lbda wafunge hyo Araf'a tu wavivu wa Sunnah.
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@mishaalabdallah001 MIMI NIMEULIZA SUALI. HASAD UNAZO WEYE NA HUYO MUWAHABI MWENZAKO. JEE MWEZI UMEONEKANA SAUDIA AU KENYA?. KWASABABU KULE WAMETANGAZA CALENDER NA MWEZI HAUKUONEKANA ILA KUTWII SHURUTI ZA NCHI KUHUSU HIJA NI SAWA JUKUMU WATABEBA WAO. SAUDI WASHATANGAZA, JEE KENYA WAMEUONA AU WAMEFATA?. SUALI LANGU SIMPLE SIMFATI KADHI KAMA MWEZI HAUJAANDAMA. SUALI. JEE KWETU KENYA UMEONEKANA AU LAA?!. KADHI SIO DINI YANGU, MIE NAFATA DINI SIO KADHI, YEYE ATAENDA NA IBADA ZAKE NA MIE NITAULIZWA ZANGU
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@mishaalabdallah001 HASAD jibu suali
@uqbahzahor2340Ай бұрын
Uvundo huu na uchafu
@TajiriUstadhАй бұрын
Mimi nakusalimu cheifu kadhi kama ndugu yako tu
@yusuftaib4034Ай бұрын
How and where did u get to announce this type of crap? Mwezi umeona wapi? This is pure disgusting and totally unacceptable..wewe utajibu mbele ya Allah and this is not what we want.twaona mwezi twapiga hesabu za siku kumi.wacheni ujinga wenu munalipwa na Saudia
@hamzakimaro3764Ай бұрын
hao wanaocoment eti saudia ni wahabi,ahamie irani kwa mashia!! chief kadhi wajinga wasikutishe!!
@hamzakimaro3764Ай бұрын
Enyi masufi kama hamtaki kufuata tarekh za saudia basi wafuateni mashia wa irani kwenye hija zao za KARBALA!!
@user-cy7zz4wy2n
Ай бұрын
Wacha maneno ya utenganisho katika dini ungamisha waja mwachie Allah jukmu la kuhumu nasi.
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
Ndio umesema Nini?. Tokea lini tukafata muandamo nje ya nchi?. Au mawahabi mshaishiwa la kusema baada ya upotovu wenu
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
Ndio umesema Nini?. Tokea lini tukafata muandamo nje ya nchi?. Au mawahabi mshaishiwa la kusema baada ya upotovu wenu
@hamynasАй бұрын
wahuni saana nyie mawahabi
@muadhibrahim6914
Ай бұрын
Kasome....
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Hassad zakusumbua katafte Il'mu usichukie pasi na El'mu.
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
KENYA WAHUNI WASHAKUWA SKUIZI. HAKUNA SHEKH KENYA
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 kuwa wewe sheikh inn shaa Allwah tukuskize,ikiwa humuheshimu babako basi muheshimu kiongozi wako.
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 una chuki mpka Kwa Muislamu mwenzako...kiongozi wako,huna haya wewe?uhuni upi alokufanyia?alikuibiya?alikuziniya jamaa Yako?mushawai vuta nae Bangi au Heroine?au mshatafuna pamoja miraa au Mugukaa?....huu ni mtandao wa kijamii wafkiri waso Waislamu watatuonaje ikiwa hatumuheshimu kiongozi wetu,twamdhalilisha You Tube.
Пікірлер: 156
Hongera Kadhi...Sababu arafah ni mmoja, hakuna arafah nyingine duniani. Allah akulinde kwa elmu yako sheikh. Shukran Jazilan
chief kadhi ALLAH akujalie umri wenye kheri na ilmu yenye manufaa kwako na kwa sisi waumini!! tunafurahi kwa kututangazia siku ya eid el udhihiya ili sahihi!!
Asante Sheikh achana na ujinga WA watanzania mm ndogu Yako kutoka Somalia tupo pamoja.
@h.alshidhani8971
Ай бұрын
Unatukana wa Tanzania... Wewe msomali fyoko
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
Soma dini kwanza ujue sheria, huyo ndio mwenye mamlaka kisheria kama katangaza kumfata ni wajibu kwani ni kiongoz
@user-xx2ex2nj8f
Ай бұрын
Mimi nimesoma alhamdullah ndio nikasema chef Kazi kusikiliza ujinga WA watanzania unajua nyinyi Tanzania munachukulia Dini kama Chama chenu tawala CCN
@IsmailJuma-zb5ni
Ай бұрын
@@user-xx2ex2nj8f msomi hawezi kua na Sifa hizo,pia Nakukumbusha ikitokezea hakuenda nao sawa basi umfuate
MashaAllah tabarakallah Allah Allah akuhifadhi kadhi wetu
FREE FREE PALESTINE ☝️ HasbunAllah wa nemal wakil ☝️
Namuomba Allah akuingize moja kwa moja ktk njia ya wema walio tangulia uweke na ndevu
Alhamdulillah Qaadhi maadamu Allah yuko Raadhi nawewe hio ndio muhimu usiwasikize watu wa baathil Na uendelee hivi hivi hata katika kutangaza mwezi wa Ramadhan inshallah
Masha Allah tabarak Allah shukrani
MAASHAA ALLAH barakallahu feek
جزاك الله خيرا
Asante shekh tupo pamoja
Mashallah mashallah mashallah Allah akuhifadhi na akupe Subra sana umefanya uamuzi mzuri sana umoja ni nguvu tusiwape nguvu wasio upenda uislamu kwa kutofautiana wao wana madhehebu mbalimbali lakini huwezi kuwasikia wanatofautiana kwenye mitandao wala vyombo vya habari mbali na kuwa madhehebu yao ni mbalimbali mbali.Allah akuweke na akuhifadhi na ndimi zetu sisi sisi waislamu
Mashallah Allah akuzidishie yaliyo mema na kher
Mashaallah Sheikh wa kenya from tanzania 🇹🇿
Maashaallah Tabaarakallaah
Mashallah tabaraka Rahman alayka
Swaumu ya mwezi wa Ramadhan pia ni kitendo chenyewe kinacho fanyika makan, ambapo ni sehemu takatifu Makkatul Mukarramah. Kwanini walipo tangaza siku yao ya kufunga sisi hatukufunga? Tangaza msimamo sheikh. Ikiwa hatustahili tena kuangalia mwezi twambie. قال الله تعالى ﴿يَسأَلونَكَ عَنِ الأَهِلَّةِ قُل هِيَ مَواقيتُ لِلنّاسِ وَالحَجِّ ﴾ [Al-Baqarah: 189] Nyakati za Swaumu ya Ramadhani na Iddil ud-hiya kwa watu; na hajj zote zaendeshwa na muandamo wa mwezi. Hakuna kipengele cha kua wakati huu ni wakufuata DHUL HARAMAINI SHARIFANI na wakati mwengine niwa kila mmoja aangalie mwezi nchini kwao.
@ramadhanabdalla1203
Ай бұрын
Swadakta,
maashaa allah allah akulipe achanana hayo mazwazwa
MM YANGU NI MONDAY IN SHAA ALLAH NI VILE HAWAJUI HAO VILEMBA
@akramdinn8602
Ай бұрын
BAKWATA TUNAWAJUA BARAZA KUULA WAISLAM
Allah Akuhifadhi tuna taka vio ngoz wenye kujitambua Kama wewe
Alhamdulillah allah akuhifadh qadh
@fauzproduction
Ай бұрын
Ameen
@mwanakombopopo5117
Ай бұрын
Amiin Amiin Amiin
@saba-gv3mj
Ай бұрын
@@muktarkassim6647 saudia hufuata kalenda sio mwezi
@aliassaa5606
Ай бұрын
Maashallah Allah akuzidishie kilalakheri shekhe
Allah akubaarik na akujaalie uwe katika manhaji ya wema waliotangulia. Manhaji ya maswahaba wa mtume wetu. Maasha Allah. Shukran sana.
@yahyamaulana7791
Ай бұрын
Manhaj ya maswahaba ni kuangalia MWEZI Si kuangalia tv kuona mahujaji wako wapi na waenda wapi. Hebu tusomeni japo kidogo
Wa Alaykum Salam Wa Rahmatullah Wa Barakatuh KWANIMI MNAPENDA KULETA MIGOGORO YA MWEZI, MUANDAMO WA RAMADAN, MUANDAMO WA SHAWAL NA MUANDAMO WA DHUL HIJJA. KWANI HIYO MIEZI.ILIYOBAKIA, SIO YA WAISILAMU, MBONA HAMUJI KATIKA SOCIAL MEDIA NA KUITANGAZA....????? Allahumma Aaamin Ya Rabbi
@MhinaKulewa
Ай бұрын
Miezi hii inahusianishwa na misimu muhimu sana ya ibada tofauti na miezi mingine
@user-qe8xp6ii1u
Ай бұрын
Hiyo mengine ni zamu yko utakuja kutuyabgazia Inshaallah. Kwa mantiki hyo na ww utakuwa umeepukana na hiyo migogoro Tajwa hapo juu ktk Commnt yako.
Mwezi wa Ramadhan utangaze pia kwa msimamo wa mwezi wa kimataifa inshallah JazaakaAllahu Khairan kwa kuunganisha ummah
@Silay1034
Ай бұрын
Huyu chief kadhi ndo mpotoshaji wa haqq nyie mnampongeza, je katoa dalili gn ya hlo kuwa kuna uhusiano uhusiano gan huo na je kunatofauti gn kati ya mwandamo wa shahr Ramadhani na shahr eidil Adhha? Hapo elimu haijatumika bali hyo ndo siasa na nyie mnajiita watu wa sunnah kitabu na sunnah iko wap acheni ushabiki katka dini
@thamani5842
Ай бұрын
Umma gani alouunganisha? Hatufati mwezi uloandamishwa kwa siku 28 ng'o
Duh, kwa kuwa mna uhusiano wa karibu na Saudia ndo mufate mwezi sawa na wao. Allah Atakuhidi Inshallah
@ustadhabdullahaji8105
Ай бұрын
Hujaelewa vizuri
Mashaallah shukran sana kadhi tukopamoja
MashaAllah.... Huku bongo wanasbr Eid ya kisiasa watangaze
@ukhtyzainab7254
Ай бұрын
Hahaha
Duh innalilah wainna ilayhi rajiun
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Nini Rahma?kunani?
@Silay1034
Ай бұрын
Huoni huo msiba namjibia rahma huyo chief kadh asifikiri hii dini inakwenda kwa utashi wa cheo na ushabiki hii dini inakwenda kwa dalili upo wp mwez ulioandama? Na kunatofauti gn kati ya mwandamo wa ramadhan na dhulhijjah هاتوا برهانكم إنكنتم صادقين
@Silay1034
Ай бұрын
في الحقيقة هذه المصيبة العظمى
@hadiyamohamed594
Ай бұрын
Sasa wewe ungekuwa unaenda hajj ungeenda wapi na arafaa ungesimsna siku yako . Msiba ni wewe na wenzako
EID NI MONDAY BWANA KADHI
Chief kadhi wetu wallahi mimi binafsi nakuheshimusana lakini kwa hili ulilosema samahani sipo na wewe kwa maaana kati ya idd hajj ipi ilitangulia mwanzo tabaan utakuta idd ilitanguliamwanzo mwaka wa pili mtume s.a.w. alikua akiswali idul adha ma kuchinja hio hajj ilikuwa wapi wakati huo jee mtume s.a.w. alikosea kuswali idul adha na kuchinja na hijja hakuna kwa hivyo sitoacha kufuata sunna ya mtume na kukufuata wewe na hii ni dalili tosha kuwa hakuna mafungamano kati ya idulal adha na hajj na kama kuna mafungamano basi idd na hajj zingekuwa mwaka wa pili zote mbili lakini sihivyo idd ilisuniwa mwaka wapili na hajj mwaka wa tisa wakiislamu leo vimekuaje chief kadhi kueta mafingamano hizi ibada mbili tofauti na kufanya kuwa moja
Hizi ndio akili tunazihitaji kusimamia dini.
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Alhamdulillah
@Silay1034
Ай бұрын
Wewe unasifia akili katika matumiz ya dini umefeli asee pole san dini haiendi kwa utashi wala akili ya mtu yeyote awae bali dini inaenda kwa ushahid wa Quran na sunnah
Waa itii bikheir
Inna lillahi wa inna illeihi rajiun
@cheapunderage8228
Ай бұрын
Msiba wa nan tena wako au wa nan mh
@user-ts1kz1lw9p
Ай бұрын
Pole kwa msiba aliondoka Allah amueke pema
Mbona ni picha na sauti,ilishindikanaje kuzungumza moja kwa moja kupitia "video"?.
@user-to1it9hk2z
Ай бұрын
Ayo mahojiano ni ya simu....ndio maana
Nyinyi mutajibu mbele ya Allaah nyinyi
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Kuhusu nini??
@fatumajuma592
Ай бұрын
Ww watajibu kuhusu nn
@Silay1034
Ай бұрын
Kuhusu kupotosha ummah et eidilhijjah kuungana na saudia huyu apimwe akili kama ni kweli ausokasome sheria na apigwe chini huyo ni fitna kwa ummah
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
@@Silay1034 Ndugu katka Eemaan Allwah Subhanahu wat'aala ansisitiza tuwatw'ii viongozi wetu hata wakiwa Dhwaifu,hata wakiwa chini ya Mamlaka....hii ni mitandao ya kijamii usiwape Faida wasiokua sisi...na kumbuka unachokiandika hakitokuja kufutika mpka Qiyama kismame....Na ulimwenguni Ar'afa ni Moja Na Hajj yafanywa Makkah peke yake,punguza hassad na Chuki na Saudiya....kasome uelewe,acha ushabiki.Allwah atuongoze sote.
@salhakhalfan6513
Ай бұрын
Hukuambiwa uwatwii hata katika makosa,, hata wazazi tumeamrishwa kutokuwatwii wakikupelekea katika aswi
Kasome ndugu n maana ya skukuu ya aladhha
KENYA ISHATEKWA 🇰🇪 NA MAWAHABI KAMA ILIVYO UGANDA, BADO TANZANIA 🇹🇿 TUUU
@rajababdallah9239
Ай бұрын
Masheikh wa Tanzania wana elimu sana kuwashinda wenzao .wabaki na msimamo wao huo huo.na pia waombe msaada serikalini watu wazuiwe kuswali idi
@Brotherkhaalid
Ай бұрын
إِنَّ الَّذِينَ فَرَّقُوا دِينَهُمْ وَكَانُوا شِيَعًا لَسْتَ مِنْهُمْ فِي شَيْءٍ ۚ إِنَّمَا أَمْرُهُمْ إِلَى اللَّهِ ثُمَّ يُنَبِّئُهُمْ بِمَا كَانُوا يَفْعَلُونَ Indeed, those who have divided their religion and become sects - you, [O Muhammad], are not [associated] with them in anything. Their affair is only [left] to Allah; then He will inform them about what they used to do. Al Quran 6:159
@fatumajuma592
Ай бұрын
Mbona ww uko na fikra potovu
@rajababdallah9239
Ай бұрын
Kama wameshatekwa tuwafate watekaji waturudishie makadhi wetu.
Huuu ni wazimu sasa sio elimu Wallaahi nyiny watu mcheni Mungu msipoteze watu hii ndio elimu kweli jamani au ni ukhabith
@user-qe8xp6ii1u
Ай бұрын
Kwa hyo Na Imaam Shafi naye ni Khabithi???
@user-ts1kz1lw9p
Ай бұрын
Siku ya kiama utaulizwa juu ya maneno yako haya
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@user-qe8xp6ii1u kwani huyo mwehu Ni imam shafy?. Acha wehu wewe
Aslm Alykm, muongope Allah ww Sheikh utajibu nn mbele ya Allah? Angalia uislam c pesa
Kwa hivo huu Mfungo pili calendar ni 28
@asalkhan9168
Ай бұрын
😂😂😂
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
Mawahabi ata 27 haina neno. Muhimu wasikilikane TU kama na WAO wapo. Sasa Bila FUJO FUJO watajulikana vipi kama wapo😁
NILISEMA KUWA KENYA INA MSHIPA WA NGIRI. NAOMBA TANZANIA IONDOE USHIRIKIANO WA MWEZI WA NCHI YOYOTE KAMA ILIVYO KUWA OMAM ALHAMDULILLAH HAWATAKI UPUUZI. IPI IMARA NA FASAHA. MIE NILISEMA TUFUATE KAULI YA IBN ABBAS RA KISAWA SAWA. KILA MJI NA MUANDAMO WAKE. HII MPAKA NCHI KUUNGANA MWEZI NI UPUUZI SIO DINI
@fatumajuma592
Ай бұрын
Ww huna mawazo mazuri Allah akupe mufahamu ili usiwe na ujinga
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@fatumajuma592 MWEZI haukundam kokote. HILO Lijue. Ni calendar ya KUPANGWA ni Leo. Dhulhija inaanza ijumaa mosi
@yahyamaulana7791
Ай бұрын
Mzee umeongea ilimu hapo lakini WATAKAO elewa ni wachache
Kwapicha na maneno aaaah siamin mbn haikuja vedio kamili ???? Msitudanganye
HII NDIO SAWA KABSAA SABABU HAKUNA ARAFAH MBILI
Mtajua amjui kadhi twende mbele uko sawa na hiyo ndio dini
Mawahabi wamendamganya kadhi wa Kenya laajabu wao hawajamfuata kwenye msimamo wake wa ulazima wa kuona mwezi katika idd alfitr
@iddimohamed254
Ай бұрын
Ata ikikuuma stahamili tu coz ndio ishatangazwa...🤫🤫
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@iddimohamed254 kweli inauma kwasababu umma unapotea. ARAFA mwezi 8 sijui Sunna ya Mtume yupi hapo
nampongeza chief kadhi kwa kuwatoa watu kwenye mtindio wa mawazo wakati haki imedhihiri kila kitu kiko wazi .wanaosema sijui nchi nyengine hazitokua sawa na saudia kinyakati basi hiyo itakua dharura lkn sisi east africa hatuna sabababu mana mpaka saa zetu zinaenda sambamba na macca
@Silay1034
Ай бұрын
Unampongeza kwa lipi huyo mpotoshaji dalili gn katoa yemen wenyewe hawajatangaza mwez wao ni wajinga halaf mashekh wote sunnah wanasema miandamo inatofautiana mbn hamna adabu na mashekh Ibn Baz ibn uthaymin nk
@MB-yq3ty
Ай бұрын
@@Silay1034 Ungevua hereni kwanza kisha uongee
@mwajumafuadsaad5994
Ай бұрын
Mbona sisi waislam twachekwa twateta wenye kwa wenyewe
@MB-yq3ty
Ай бұрын
@@mwajumafuadsaad5994 Wanaostahili kuchekwa ni wale wanao nyamaziana hata kwenye makosa.
@KhalidAbdalla-lb4ph
Ай бұрын
kwaiyo ndo hoja kwako ?@@Silay1034
Tanzania wamesoma hatuendi ovyo tunaenda na dalili madh but
Alkhamisi ni mwezi 28 mwez hauwezi kuonekanwa hata kwa darubini
@muadhibrahim6914
Ай бұрын
Wahuko macho yao makalu wanakula nyama ya mandi
Ama kweli munafataa MAMLAKA TUL SAUDIA AL ARABIA SIO AL ISLAMIYAAH
@asiakheir8684
Ай бұрын
Nq qibla je? Unayako?
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
WAO wanafata mamlaka sio muandamo 😁
Muft wa Kenya anajikoroga,inakuaje hili alilolifanya hapa ikiwa Mwezi wa Ramadhan,Shawwal na miezi yote 12 ya kalenda ya Hijria hupimwa kwa kuandama kwa mwezi yeye awe kigeugeu?.
Uo mwezi umeandama wapi?
MBNA WAJIKOROGA MZEE. YAANI KWA RAMADHANI TUANGALIE MWEZI LAKINI EID UL ADH HAA TUFATE SUUDIA? ALAFU TWASUBIRI SIKU YA KURUDI KWA MWEZI MUANDAMO WA KWETU. MAANA HIYO ULOSEMA NI TAREKHE MOJA HUKU KWETU NI 29. SASA SIJUI MWEZI WA 28 UMEKUAJE AMA NI FEBRUARY.
@saidimkwinzu9106
Ай бұрын
Kwani mwez unatoka mara ngapi kwenye Dunia?
@cheapunderage8228
Ай бұрын
Kasomo km aujasoma na km umesima pia omba uwelewa kwan nao ni neema pia vitu ivyo vipo tofaut ila vinakaa pamoja
@cheapunderage8228
Ай бұрын
Unashi wap ww kwan mmnh
@user-mf4km2gi9l
Ай бұрын
Nawe tengeneza arafa Yako tukufuate tuachie ile alotuachia kipenzi chetu mtume saw
@yahyamaulana7791
Ай бұрын
@@user-mf4km2gi9l oooooh kumbe uko Makkah, Hebu nisaidie hapa kidogo. Miaka ya kina Imam shafi na Imam nawawi na mfano wao. Hii swaum ya arafa waliifungaje ama hawakuwai kufunga vile walikua hawaoni Makkah. Ama misingi na kanuni ya ibada yabadilika Kwa kubadlika maendeleo ya mitandao. Hebu Wacha kushabikia kama huna upeo katika jambo
Kwa mwezi nakuunga mkono ulionekana jana
Umejitoa kwenye dhimmah
@Silay1034
Ай бұрын
Kajitoa kweny dhimmah au kajiangamiza kabisa Allah ufaham sahihi hakunaga mwez mwandamo mmoja dunia nzima mustahiil sasa ili ajitoe kweny dhimmah alete dalili mushbai maana nikiongozi mkubwa
@Silay1034
Ай бұрын
Kajitoa kweny dhimmah au kajiangamiza kabisa Allah ufaham sahihi hakunaga mwez mwandamo mmoja dunia nzima mustahiil sasa ili ajitoe kweny dhimmah alete dalili mushbai maana nikiongozi mkubwa
@Silay1034
Ай бұрын
هذا القاض يبدو أنه جاهل مركب عن فقه الإسلام
Inasikitisha, kuna mwezi unoandama kwa siku 28?
@cheapunderage8228
Ай бұрын
Kalenda yako ya kinaswara..ok em onesha huo mwz wako wa jana ijumaa km sio wa juz mwez ulio toka eeeh
Tz vipi😂?
Ww kadh kumbe waipeleka ibada kwa hawaa zako nawala hufuat Qur'an wala hadith mngu akuongoze
Nyinyi munasimama arafa siku gani
Huyu anaeongea kwani ndio qadhi...? Atume vidio..... Asiongee kwenye hijabu kama nanihii.......
Kadhi Mawahabi hawakukufuata maoni yako kwa mwezi wa Eid Fitr.
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
MIE SIJAMFAHAMU BADO HUYU MTU. SASA MWEZI UMEONEKANA SAUDIA NDIO KATANGAZA AU VIPI SIWAELEWI UNAJUA
@muadhibrahim6914
Ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 Afwan. Hakuna ijumaa tarehe 7 mara mbili duniani.....
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Acheni Hassad na Chuki na Watu wa Sunnah...Habibuna Sheikh Abdulhalim Hussein Uthman(Hafidhwahullwah)ashatangaza Tarehe Moja ya Dhulhijjah tuanzeni Funga inn shaa Allwah Jumapili Ei'd Tosha,Siasa Za Nini Sasa?.....na wafungao ni hao muitaio,"Mawahabbi".....Masufi wallwahi lbda wafunge hyo Araf'a tu wavivu wa Sunnah.
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@mishaalabdallah001 MIMI NIMEULIZA SUALI. HASAD UNAZO WEYE NA HUYO MUWAHABI MWENZAKO. JEE MWEZI UMEONEKANA SAUDIA AU KENYA?. KWASABABU KULE WAMETANGAZA CALENDER NA MWEZI HAUKUONEKANA ILA KUTWII SHURUTI ZA NCHI KUHUSU HIJA NI SAWA JUKUMU WATABEBA WAO. SAUDI WASHATANGAZA, JEE KENYA WAMEUONA AU WAMEFATA?. SUALI LANGU SIMPLE SIMFATI KADHI KAMA MWEZI HAUJAANDAMA. SUALI. JEE KWETU KENYA UMEONEKANA AU LAA?!. KADHI SIO DINI YANGU, MIE NAFATA DINI SIO KADHI, YEYE ATAENDA NA IBADA ZAKE NA MIE NITAULIZWA ZANGU
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
@@mishaalabdallah001 HASAD jibu suali
Uvundo huu na uchafu
Mimi nakusalimu cheifu kadhi kama ndugu yako tu
How and where did u get to announce this type of crap? Mwezi umeona wapi? This is pure disgusting and totally unacceptable..wewe utajibu mbele ya Allah and this is not what we want.twaona mwezi twapiga hesabu za siku kumi.wacheni ujinga wenu munalipwa na Saudia
hao wanaocoment eti saudia ni wahabi,ahamie irani kwa mashia!! chief kadhi wajinga wasikutishe!!
Enyi masufi kama hamtaki kufuata tarekh za saudia basi wafuateni mashia wa irani kwenye hija zao za KARBALA!!
@user-cy7zz4wy2n
Ай бұрын
Wacha maneno ya utenganisho katika dini ungamisha waja mwachie Allah jukmu la kuhumu nasi.
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
Ndio umesema Nini?. Tokea lini tukafata muandamo nje ya nchi?. Au mawahabi mshaishiwa la kusema baada ya upotovu wenu
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
Ndio umesema Nini?. Tokea lini tukafata muandamo nje ya nchi?. Au mawahabi mshaishiwa la kusema baada ya upotovu wenu
wahuni saana nyie mawahabi
@muadhibrahim6914
Ай бұрын
Kasome....
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
Hassad zakusumbua katafte Il'mu usichukie pasi na El'mu.
@hilalkhalfan1452
Ай бұрын
KENYA WAHUNI WASHAKUWA SKUIZI. HAKUNA SHEKH KENYA
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 kuwa wewe sheikh inn shaa Allwah tukuskize,ikiwa humuheshimu babako basi muheshimu kiongozi wako.
@mishaalabdallah001
Ай бұрын
@@hilalkhalfan1452 una chuki mpka Kwa Muislamu mwenzako...kiongozi wako,huna haya wewe?uhuni upi alokufanyia?alikuibiya?alikuziniya jamaa Yako?mushawai vuta nae Bangi au Heroine?au mshatafuna pamoja miraa au Mugukaa?....huu ni mtandao wa kijamii wafkiri waso Waislamu watatuonaje ikiwa hatumuheshimu kiongozi wetu,twamdhalilisha You Tube.