Shukran sana sheikh wetu doctor Islam Nakupenda kwaajili ya Allah Ni mzaliwa wa Burundi naishi south Afrika
@AyubuKimeaАй бұрын
Maashaallah
@SalumKeyaАй бұрын
Allah akuhifadh dr islam
@aman.recitationsАй бұрын
mashaAllah sheikh shukran kwa kutupa elimu inshaAllah mungu atakulipa na akuweke uzidi kutuelimisha
@abdallahsaid4997Ай бұрын
Lau hao mashekhe wote wangesoma adabu za ikhtilafu na wazitekeleza aslimia kubwa sana ya mashakil yetu yangeondoka na tunge shughulika na vitu muhimu
@user-kn1tb8ko4kАй бұрын
Allah akuhifadhi..
@abdichongowe2255Ай бұрын
Maneno ya busara Sana haya , Asante shekh
@rajababdallah9239Ай бұрын
Mawaidha mazuri sana. Kiukweli ikhtilifu au kutofautiana ndio asili yetu wanadamu.ifike mahala ikhtilafu hizi ziwepo bila kutukanana,kukejeliana,kuvunjiana hishma n.k. Jahazi letu ni moja Al-ISLAM. Tofauti zitaendelea kuwepo lakini mapenzi na kuheshimiana na kushirikiana bado itabaki ni muhimu mno katika umma huu .tusisahau waislam sisi sote ni ndugu.
@bwanamakakassim3659Ай бұрын
Shukran sheikh kwa khutba yako mzuri sana na mungu atakubariki akupe umri ulio na mwema, Leo mekuwa hakuna dini tena ya allah bali kumebaki mizozano tuu isio na faida kwa umma,tumebaki na miashindano na mikao isio kuwa na maana.mungu atuongoze,ameen
@sakinasakku8340Ай бұрын
MAASHAA ALLAH Dr ALLAH akuhifadhi
@ustadhamiin5941Ай бұрын
Aslm alykm, mashallah!! Allah akuzudishie ufahamu huu na wengine wafate mfumo huu inshallah
Kuwa na adab ya dini..dini si ushindani lazma uheshimu maneno yenye haki bila kuangalia yameoka kwa nani
@hamisilewa1943Ай бұрын
Mwawalaumu salaf ,sawa lakini sisi hatuna neno katika hili masala ya mwezi hamna shida ikhitilafu hii ipo ,lakini manhaji jamani , sasa salaf wanalaumiwa tayari
Пікірлер: 24
Shukran sana sheikh wetu doctor Islam Nakupenda kwaajili ya Allah Ni mzaliwa wa Burundi naishi south Afrika
Maashaallah
Allah akuhifadh dr islam
mashaAllah sheikh shukran kwa kutupa elimu inshaAllah mungu atakulipa na akuweke uzidi kutuelimisha
Lau hao mashekhe wote wangesoma adabu za ikhtilafu na wazitekeleza aslimia kubwa sana ya mashakil yetu yangeondoka na tunge shughulika na vitu muhimu
Allah akuhifadhi..
Maneno ya busara Sana haya , Asante shekh
Mawaidha mazuri sana. Kiukweli ikhtilifu au kutofautiana ndio asili yetu wanadamu.ifike mahala ikhtilafu hizi ziwepo bila kutukanana,kukejeliana,kuvunjiana hishma n.k. Jahazi letu ni moja Al-ISLAM. Tofauti zitaendelea kuwepo lakini mapenzi na kuheshimiana na kushirikiana bado itabaki ni muhimu mno katika umma huu .tusisahau waislam sisi sote ni ndugu.
Shukran sheikh kwa khutba yako mzuri sana na mungu atakubariki akupe umri ulio na mwema, Leo mekuwa hakuna dini tena ya allah bali kumebaki mizozano tuu isio na faida kwa umma,tumebaki na miashindano na mikao isio kuwa na maana.mungu atuongoze,ameen
MAASHAA ALLAH Dr ALLAH akuhifadhi
Aslm alykm, mashallah!! Allah akuzudishie ufahamu huu na wengine wafate mfumo huu inshallah
Maa Shaa ALLAH 💚. Jazakallahu hyeir sheikh.
Mashaallah
Nice
Nilikuwa na dubiri hii khutba . Masha Allah Dr
Mashaallah umesema kweli
Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh
Huu uwanja uko wapi kwa anaejua
@mahamedmonte
Ай бұрын
Kizingo ground
Apa nadhani ni ummu kulthum kwa joho.
Mawahabi mukishindwa hoja munakumbuka adabu zaikhitilafu
@user-qy9qx5hd2u
Ай бұрын
Kuwa na adab ya dini..dini si ushindani lazma uheshimu maneno yenye haki bila kuangalia yameoka kwa nani
Mwawalaumu salaf ,sawa lakini sisi hatuna neno katika hili masala ya mwezi hamna shida ikhitilafu hii ipo ,lakini manhaji jamani , sasa salaf wanalaumiwa tayari
Allah akuhifadh dr islam