ADABU KATIKA KUKHTALIFIANA//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD

Пікірлер: 24

  • @user-ug8hc4yh5k
    @user-ug8hc4yh5kАй бұрын

    Shukran sana sheikh wetu doctor Islam Nakupenda kwaajili ya Allah Ni mzaliwa wa Burundi naishi south Afrika

  • @AyubuKimea
    @AyubuKimeaАй бұрын

    Maashaallah

  • @SalumKeya
    @SalumKeyaАй бұрын

    Allah akuhifadh dr islam

  • @aman.recitations
    @aman.recitationsАй бұрын

    mashaAllah sheikh shukran kwa kutupa elimu inshaAllah mungu atakulipa na akuweke uzidi kutuelimisha

  • @abdallahsaid4997
    @abdallahsaid4997Ай бұрын

    Lau hao mashekhe wote wangesoma adabu za ikhtilafu na wazitekeleza aslimia kubwa sana ya mashakil yetu yangeondoka na tunge shughulika na vitu muhimu

  • @user-kn1tb8ko4k
    @user-kn1tb8ko4kАй бұрын

    Allah akuhifadhi..

  • @abdichongowe2255
    @abdichongowe2255Ай бұрын

    Maneno ya busara Sana haya , Asante shekh

  • @rajababdallah9239
    @rajababdallah9239Ай бұрын

    Mawaidha mazuri sana. Kiukweli ikhtilifu au kutofautiana ndio asili yetu wanadamu.ifike mahala ikhtilafu hizi ziwepo bila kutukanana,kukejeliana,kuvunjiana hishma n.k. Jahazi letu ni moja Al-ISLAM. Tofauti zitaendelea kuwepo lakini mapenzi na kuheshimiana na kushirikiana bado itabaki ni muhimu mno katika umma huu .tusisahau waislam sisi sote ni ndugu.

  • @bwanamakakassim3659
    @bwanamakakassim3659Ай бұрын

    Shukran sheikh kwa khutba yako mzuri sana na mungu atakubariki akupe umri ulio na mwema, Leo mekuwa hakuna dini tena ya allah bali kumebaki mizozano tuu isio na faida kwa umma,tumebaki na miashindano na mikao isio kuwa na maana.mungu atuongoze,ameen

  • @sakinasakku8340
    @sakinasakku8340Ай бұрын

    MAASHAA ALLAH Dr ALLAH akuhifadhi

  • @ustadhamiin5941
    @ustadhamiin5941Ай бұрын

    Aslm alykm, mashallah!! Allah akuzudishie ufahamu huu na wengine wafate mfumo huu inshallah

  • @jimjam-xg7rv
    @jimjam-xg7rvАй бұрын

    Maa Shaa ALLAH 💚. Jazakallahu hyeir sheikh.

  • @abdullahyahaya7092
    @abdullahyahaya7092Ай бұрын

    Mashaallah

  • @Dhikriqadiriarazaqia
    @DhikriqadiriarazaqiaАй бұрын

    Nice

  • @hadiyamohamed594
    @hadiyamohamed594Ай бұрын

    Nilikuwa na dubiri hii khutba . Masha Allah Dr

  • @SurprisedCat-wk8ls
    @SurprisedCat-wk8lsАй бұрын

    Mashaallah umesema kweli

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623Ай бұрын

    Assalamu alykum warhatuallah wabarakatuh

  • @JumaMvungi-ot4ef
    @JumaMvungi-ot4efАй бұрын

    Huu uwanja uko wapi kwa anaejua

  • @mahamedmonte

    @mahamedmonte

    Ай бұрын

    Kizingo ground

  • @HamzaAli-cw7qg
    @HamzaAli-cw7qgАй бұрын

    Apa nadhani ni ummu kulthum kwa joho.

  • @Ibunmaulanashirazy-sn5ui
    @Ibunmaulanashirazy-sn5uiАй бұрын

    Mawahabi mukishindwa hoja munakumbuka adabu zaikhitilafu

  • @user-qy9qx5hd2u

    @user-qy9qx5hd2u

    Ай бұрын

    Kuwa na adab ya dini..dini si ushindani lazma uheshimu maneno yenye haki bila kuangalia yameoka kwa nani

  • @hamisilewa1943
    @hamisilewa1943Ай бұрын

    Mwawalaumu salaf ,sawa lakini sisi hatuna neno katika hili masala ya mwezi hamna shida ikhitilafu hii ipo ,lakini manhaji jamani , sasa salaf wanalaumiwa tayari

  • @SalumKeya
    @SalumKeyaАй бұрын

    Allah akuhifadh dr islam

Келесі