Unamaneno mengi lkn hutubainishii msimamo wa wanazuoni ni kina Nan lkn wengine wawataja,km wazuoni gn watje waliokataza Sunnah hyo weka wazi
Ssa mbn Al imaam jauzzy kaitumia hyo na akaulizwa akasema haramu kufunga siku y jmamoc yye hakuona km ni mansoukh?
Wanavyuoni wapi wataje?c umesema tuseme ke inswaafu,mbn huwataji
Mbn huelezi msimamo wa masheikh kuhusu hyo Hadith?km uthaimin,ibnu taymiah,ibn baaz,kuwa mwadilifu ww mzungumzji ili waumini wko watambue
yaumu arafa?je inasimamwa tarehe ngapi katika mfungo tatu?je mahujaj wakisimama kisimamo cha arafa siku ya tatu dhulhija itaitwa yaumu arafa?
Пікірлер: 5
Unamaneno mengi lkn hutubainishii msimamo wa wanazuoni ni kina Nan lkn wengine wawataja,km wazuoni gn watje waliokataza Sunnah hyo weka wazi
Ssa mbn Al imaam jauzzy kaitumia hyo na akaulizwa akasema haramu kufunga siku y jmamoc yye hakuona km ni mansoukh?
Wanavyuoni wapi wataje?c umesema tuseme ke inswaafu,mbn huwataji
Mbn huelezi msimamo wa masheikh kuhusu hyo Hadith?km uthaimin,ibnu taymiah,ibn baaz,kuwa mwadilifu ww mzungumzji ili waumini wko watambue
yaumu arafa?je inasimamwa tarehe ngapi katika mfungo tatu?je mahujaj wakisimama kisimamo cha arafa siku ya tatu dhulhija itaitwa yaumu arafa?