CCM imekununua kwa shilingi ngapi? lisikie jibu la Mtatiro akihojiwa na Azam TV
CCM imekununua kwa shilingi ngapi? Ni moja ya maswali aliyoulizwa Mtatiro, haya hapa majibu yake
Mmoja ya wakuu na mwanachama mashuhuri zaidi wa Chama wa Wananchi, CUF, Julius Mtatiro, alitangaza siku ya Jumamosi kwamba amejitoa katika chama hicho na kuamua kujiunga na CCM. Leo amezungumza na Azam TV na kuweka bayana “mbivu na mbichi.’
Mtatiro alichukua uamuzi huo akiwa katika nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati ya uongozi ya chama hicho chini ya Maalim Seif Sharif Hamad.
Wakati anatangaza uamuzi huo alitaja sababu kadha, moja ikiwa ni kuwatumikia waanchi tofauti na angekuwepo CUF, nimezungumza naye katika mahojiano maalum.
Пікірлер: 181
Charls unafurahisha kwa masuali yako ni kweli wewe ni mmoja kati ya wachache sana katika Tanzania . Ukweli ni silaha katika kila nyanja ya maisha yetu. Hongera.
@victajosph9824
5 жыл бұрын
Bakari Mngazija
@lalesmhina5090
5 жыл бұрын
Charles uko vizur sana kuuliza maswali
Mungu atujalie watanzania na Tanzania yetuuu.
Azam nawakubali sanaaa
Charles Up Vizuri sana, yani Swali fupi ila linamchukua jamaa muda kujibu.
usicheze na njaa bhana, inaweza kukupeleka popote pale. ndo kilicho mkuta
@mukrimkhamis8514
5 жыл бұрын
william kivulenge 100%
Mtatilo njaa inakusumbua,Mungu anakuona
Kama uliaga bac much respect kwako coz kuhama sehemu kisha ukaaga majirani ni jambo jema hata ukikutana nao njiani hawata kuchukia. Kuhamia chama yoyote ni haki ya mtu yoyote ila kwa wenye kutafakari siasa watakuona hauna msimamo wa kweli coz ni ww juzi tu ulilaani sanaaa serikali hiii hata miezi haijapita leo waisifu utafikiri inaongozwa ni malaika hhhhhh wanasiasa nyie Mungu awaona.
Mmmhhh!! Sura tuu inaonyesha haupo sawa
Me nilijua we ni mwanasiasa imara sana tangu mwanzo!! Ila sasa nimejua kwamba ( Usimwamini Mtu)..🏌🏽♂️
@mohammedsalim6398
5 жыл бұрын
noel bryson Hakuna mwanasiasa anaefanya Siasa pasipo na pesa Siasa ni kazi tu kama zingine, ni kama katoka kampuni moja kahamia kungine, kama chars Hilary ulivyotoka BBC, kuhamia Azam, mtatiro uko sahihi hakuna aliechangia karo yako SHULE ni wazazi wako tu. Hongera Sana
I hate politics, I hate politicians......
from now onwards sitaipenda tena siasa ya kibongo...upuuzi mtupu
Safi kuhama chama ni democracy na Haki yako kikatiba asiyependa akanyeeeeee....
we mwongo bana!!!,,,,,,,,,,wanasiasa wa Tanzania hawaaminiki pumbavu!!!!
Godfrey Mbwambo uko sahihi kabisa.
Un points
Saf bro
Mungu tupe nguvu, MUNGU tizama Tanzania, tunaenda wapi ee Mungu??
the guy is right
Kama kwake hana maendeleo.ataweza kuleta maendeleo.kwa watanzani zaidi y milion 50.
@ugaboy4736
5 жыл бұрын
weee uliisha tukana sana hakuna chance kuwa mpole tu
Kala milioni mia Tatu cash na ubalozi kaahidiwa wacha aende ndo maisha IPO siku tutafika inshallah
@margarethsolomon9823
5 жыл бұрын
Ali Khalfan Alikuwepo nanyi lakini hakuwa wakwenu. Angelikuwa wa kwenu angeliendelea kubaki kwenu. Kama ni msomaji mzuri wa magazeti. Soma gazeti la mwananchi la Jmos 09.5.2015 ISSN 0856-7573 Na.5401. Uk 28,29... Utamjua Julius Mtatiro ni nani na wajibu wake ni upi. Hana njaa kama watoa maoni wengi wasemavyo. Kila jambo na majira yake.Ninaamini ktk hilo.
@buguzangunura8157
5 жыл бұрын
Ali Khalfan kuwa upinzani sio kazi nyepesi. hao kabila la wandengeleko siku zote awaaminiki mtulia yuko wapi
@yasinikimbega5730
5 жыл бұрын
Aliwah kusema wanachama wananunuliwa kwa vipande vya sh, je yeye amenunuliwa kwa vipande vya Dora ngap?
nlikua Namuona Mtatiro Wa Maana Baada ya Kufika Bei Nimemdharau Sana Uyo Mbwa Mshenzi.
Atatudanganya sisi tu ila ukweli anao mwenyewe Mimi nasema huyo ni mnafik na atakwenda chomwa ameshapoteza watu wengi alishawapotosha
Kwa msioelewa sanaa ya kIvita, Mtatiro angekuwa mtu mbaya kwa CUF, angebaki CUF kisha aitumikie CCM akiwa CUF...
Ongera kka
Wewe sema tu ukweli kuwa njaa imekuingia kichwani ukaona bora ukatafute cheo kama cha kafulila. Acha kutukana chama kilicho kutowa matongotongo utapata laana bora uondoke kimya.
Mtangazaji uko vizur hukwepeshi
Ok
Je na masuala ya watu kupotea na wengine Kukutwa kwenye fukwe za Bahari ni yamekwisha? Au watuhumiwa wamepatikana?
Bange mbaya sana mtatiro
Njaa tuu, itakua hana hela huyu.
Alikuwepo nyerere Akipigania haki Uhuru na umoja na bado hakuwa Amepeleka watanzania wanapo takiwa kuwepo Utakuwa wewe na kauli zako za kinafiki Fata njaa yako Fata ahida zako Fata maisha yako Tanzania itakuwepo tu wote mtapita hata mfanyaje Hakuna mwenye kuishi miaka 60 mbele Tunaamini ipo siku atakuja kiongozi mwadilifu atakaye tatua shida za watanzania kama mzazi anavyo tatua shida za watoto aliyo wazaa mwenyewe
@kagomaeliezer5126
5 жыл бұрын
Raid asimpe cheo hiyo jamaa, ameletwa ccm na njaa, ccm inawatu wengi wenye uwezo wa uongozi zaidi yake
ivi ninyi mnaponda hamjui maana ya chaguo ccm ni chaguo lake kama nyny manavochagua wake wengine mbwiiru lakini mmewapenda alllllaaaaaaaaaaaa
Njaaa bwana
Ata sura ishageuka ni dalili za unafiki
@BGHaule
5 жыл бұрын
bakar ali nimecheka sana,hata sura imebadilika
Huyu ukikanae mahali ukamuomba kitu Fulani kwa utaratibu atakupa.
Duh.....siasa za njaa hizi ni shida sana
Njaa imekuondoa CUF, acha kudanganya umma. Nawashauri CCM wasiwaamini watu kama hao.
Njaa mbaya
Bora utapewa uwaziri
Swali la mwisho jibu limeonyesha utata. Unaposema chama kikipitisha jambo unakwenda kuliongelea kwa mujibu wa chama (this means wananchi mnaotakiwa kuwatumikia wapo out of equation for that time, kwahiyo wanaweza kudanganywa tu as to benefit your political party, au unaweza sema ambacho deep inside hukiamini lakini utafanya nini sababu unatakiwa uwakilishe chama…) #Politics
Fursa, safi!
Yaani kama kina martin luther Nyerere, nkrumah, mandela wangekuwa na akili KM zetu nafikiri ukombozi mpaka leo ungekuwa bado
Karibu CCM huku hatuna matatizo utakayokaa nayo.
Ila wanasiasa wa tz asiewajua atawauliza ..hakuna lolote zaidi ya njaa
Njaa inasumbua tumbo la mtatilo
MASWALI MENGINE BHANA HAYANA TIJA UR WELCOME NDG ITATIRO
Umbongo wako hauko sawa, ww ni kigeugeu
Huyu mwandishi wa habarivni mzuri sanaa
Ujasiri wote kwisha. Ongea yako tu ni ya kinafiki. Taarifa za wewe kuhamia CCM zilishavuja hata kabla hujaongea na waandishi wa habari.
Mtatiro nimekuelewa ,naamini umechukua uamuzi sahihi kutokana na kile unachokiamani ,na hiyo ni haki yako ya kikakatiba.Niwaombe wale wanaokubeza na kukutukana wakuache ukatekeleze wajibu wako wa kikatiba,kwani hata RED CROSS, na Madaktari wasio na mipaka wanapinga vita ,lakini wakati wa vita wana shiriki kwa kuwatibu majeruhi wa pande zote vitani ,na kwa kufanya hivyo ,wanaokoa maisha ambayo wasingeyaokoa kama wangepinga vita ile huku wakiwa ,,wanapiga kelele wakiwa majumbani,.Naamini hawa wanaokutukana wanaweza kuwa ni majeruhi katikati ya vita ,na wewe ni RED CROSS,AU DAKTARI usiye na mpaka ambaye unaenda kuokoa maisha yao katikati ya vita na kwa sababu wa namajeraha wataona thamani yako mwisho wa vita.Kuwa mweledi na mwaminifu na Mungu atakutangulia Mtatiro.
Kwanini mtu akiomba kuhamia chama fulani huwa hakataliwi?
njaa
Mtatiro nyamaza tu!! Maana unatia kichefuchefu
Tanzania hakuna Upinzani, njaa za wasaka Tonge tu! CCM haiwanunui ila wanajioeleka wenyewe sababu hawakuwa wapinzani tokea mwanzo ni wasaka tonge tu
na hata hivyo unachelewa sana.
Wewe sio kati ya wanaume mtatiro bwana mwanaume akimbii matatzo anakabiliana nayo wewe sawa na wakina shilole
Uko sahihi Mtatiro.. nakuunga Mkono N.a. ninaamini CCM watakutumia vizuri CHIN YA JEMBE JPM
Mwee elimu yetu na wasomi wetu bora uwe mbumbumbu!!!
Mmhhh mbona muhongo sana ina maana CCM walistuka na walikuwa hawajui chochote duuuh uhongo huo kaongope milembe wanaweza kukuelewa
Nimemtowa thamani buibui uyu yumeamgaika naye sana leo amenda kikeni tuwache wanaume tuko powa
Napata shida, Maneno yote yale yenye msimamo Wa MTU anaejua anachokitaka hasa kuhusu haki za wanyonge yalikuwa maneno tu?
Jamaa mnafiki kweli
Huna lolote tamaaa 2
@emmanueltarimo892
5 жыл бұрын
Prince Makale kwaiyo unataka kutuambia lowassa na sumaye wana tamaa pia?maana nao wana tamaa pia
Mbona umekonda sana Mura?!. Kweli hukuwa na jinsi aisee!
Wakati wa uchaguzi kina lowasa na wengine waliotoka CCM walinunuliwa na wao?
Huo ni unafiki Hakuna maendeleo yoyote ila njaa tu ndio inakusumbua
@margarethsolomon9823
5 жыл бұрын
Ghulam Soud Huyo Julius Mtatiro hana njaa. Ila kama unamfuatilia vizuri, huyo hakuwa wa CUF, angelikuwa wa huko, angeliendelea kuwa nao, ni mtafiti aliyebobea na ni mwandishi mzuri sana. Nikisema hivyo utakuwa umenielewa. Hii ndio Tanzania ya asili ya mwalimu Nyerere na itabaki kuwa hivyo labda wafahidina wa maggharibi watumie mbie zao.
@samiahazali2027
5 жыл бұрын
Kalubu xana ccm 🎖🎖🎖🎖🎖
@nicolassteven7749
5 жыл бұрын
Ghulam Soud @hao ndio wanaitwa mwanaume symuruali haya kukosavtu mimamo wewe ni suruari tu!!
@margarethsolomon9823
5 жыл бұрын
Nicolas Steven THINK BIG
Kwann usifanye maendeleo ukiwa cafu Na Mkuu kashasema maendeleo hayana chama?
Tulikuwa tunajua fika
haya bhana hameni tu kisanga kitaonekana
mpinzani wa kweli nliyebak n mm tu
pesa bwana
Mpinzani Wa Kweli Amebaki Mbowe na Tundulissu Na Chadema Yenyewe
Kiapo cha mwenye njaaaa hakidumu..nadhan ndio muhimu kujifunzaa hilo
Mtatiro amefanya maamuzi mazuri ila mazungumzo yake hayavutii kumwamini wanaccm tujiridhishe kwanza na huyu MTU sina historia yake Kwa kina ispokuwa sijamridhika najua mtanielewa fatilia majibu yake
Njaaaaaaa
duuuuuh.....
Azam two, rusheni matangazo live maana Chanel nyingine hazionekani
kwahyo angepata ubunge angejiuzulu tu na uchaguz ungerudiwa na jimbo lingerudi kwa ccm uchaguz wa marudio
Ulimuaga nani vile mtatirooo????
Huyu jamaaa anamswali hadi Raha😁😁
Mwanasiasa pekee imara kwasasa ambae ashatikiswa hajatkisa n maalim Seif pekee
Ha ha ha ha ha huyoni ndina
Mbona ulisema wengine walinunuliwa tunakuamini vp juu ya hilo!!!!!!!!??????????
Chizi huyo
watumepoteza,vingovao,lemnawssalit,mungunkubwa
Nae alikuwa kiongoz sasa kwanin akimbie..
jiamini mwenyewe mm siwezi kkuamini tena.
Ni njaa tatizo
Wamekununua shingapi unatia aibu mtatiro
wewe nikama mwnamke anajisahau anappoona maisha yanaelemea kwa mume uyu anaanzisha migogoro ili tu apate sababu
Political is a business like other business that uses policies to get their archivement
Anasema yale aliyokuwa anasema wakati yupo huko dhidi ya serikali inayoongoza/sera zake/viongozi wake n.k aliyasema kwa sababu ndio ulikuwa msimamo/matamko ya huko alikokuwa, na kwamba hicho "sio kitu cha ajabu kabisa duniani". Kama nimeelewa vema ni kwamba falsafa ya uongozi ya bwana huyu si kusimamia kile anachokiamini, bali yeye husimamia, kuchambua, na kutekeleza maamuzi/misimamo/matamko ambayo chama au mamlaka ya chama alichopo itakuwa imepitisha. Kwa maana nyingine mambo yooote aliyokuwa analalamikia alipokuwa upande wa pili sasa anakwenda jikoni kuyatekeleza kwa mikono yake mwenyewe (endapo atapewa dhamana, na atapewa tu!), kwa sababu hayo aliyokuwa analalamikia ndio sera/maamuzi/mipango/wimbo n.k ya huko anakokwenda.
Moja kwa moja ili uweze kushiriki kikamilifu??????
umenunuliwa shingapi? jibu
Uso wako umejaa njaaa.....uongo unaonekana machoni mwako
Nyinyinyinyi mnaohama hayaa
Mm mwenyewwe nimecheka sn
Chaz hilal ww unajua lakini upo na hilo jinga ukitoka hapo ukaoge utoe nuksi
Kuwa na akiba ya maneno
Mhhh!!!ulijiunga na siasa utendendewe na CUF au uitende Cuf!! inakuweje mwanamume kupenda mazngira yaliyo andaliwa badala kutaandaa mwenyewe?et waenda ccm kwa kuwa ndo kuna fursa ya kuongea,kwa nini usipambane ili upande wenu na nyie kama oposistion kupata fursa ya kutoa ushaur au misimamo yenu!! How a man can a ma by being a woman?