CCM imekununua kwa shilingi ngapi? lisikie jibu la Mtatiro akihojiwa na Azam TV

CCM imekununua kwa shilingi ngapi? Ni moja ya maswali aliyoulizwa Mtatiro, haya hapa majibu yake
Mmoja ya wakuu na mwanachama mashuhuri zaidi wa Chama wa Wananchi, CUF, Julius Mtatiro, alitangaza siku ya Jumamosi kwamba amejitoa katika chama hicho na kuamua kujiunga na CCM. Leo amezungumza na Azam TV na kuweka bayana “mbivu na mbichi.’
Mtatiro alichukua uamuzi huo akiwa katika nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati ya uongozi ya chama hicho chini ya Maalim Seif Sharif Hamad.
Wakati anatangaza uamuzi huo alitaja sababu kadha, moja ikiwa ni kuwatumikia waanchi tofauti na angekuwepo CUF, nimezungumza naye katika mahojiano maalum.

Пікірлер: 181

  • @bakarimngazija6672
    @bakarimngazija66725 жыл бұрын

    Charls unafurahisha kwa masuali yako ni kweli wewe ni mmoja kati ya wachache sana katika Tanzania . Ukweli ni silaha katika kila nyanja ya maisha yetu. Hongera.

  • @victajosph9824

    @victajosph9824

    5 жыл бұрын

    Bakari Mngazija

  • @lalesmhina5090

    @lalesmhina5090

    5 жыл бұрын

    Charles uko vizur sana kuuliza maswali

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya58555 жыл бұрын

    Mungu atujalie watanzania na Tanzania yetuuu.

  • @bonifacebenny2733
    @bonifacebenny27335 жыл бұрын

    Azam nawakubali sanaaa

  • @daudimkwela
    @daudimkwela5 жыл бұрын

    Charles Up Vizuri sana, yani Swali fupi ila linamchukua jamaa muda kujibu.

  • @williamkivulenge3081
    @williamkivulenge30815 жыл бұрын

    usicheze na njaa bhana, inaweza kukupeleka popote pale. ndo kilicho mkuta

  • @mukrimkhamis8514

    @mukrimkhamis8514

    5 жыл бұрын

    william kivulenge 100%

  • @magembeedward9483
    @magembeedward94835 жыл бұрын

    Mtatilo njaa inakusumbua,Mungu anakuona

  • @komboomar8275
    @komboomar82755 жыл бұрын

    Kama uliaga bac much respect kwako coz kuhama sehemu kisha ukaaga majirani ni jambo jema hata ukikutana nao njiani hawata kuchukia. Kuhamia chama yoyote ni haki ya mtu yoyote ila kwa wenye kutafakari siasa watakuona hauna msimamo wa kweli coz ni ww juzi tu ulilaani sanaaa serikali hiii hata miezi haijapita leo waisifu utafikiri inaongozwa ni malaika hhhhhh wanasiasa nyie Mungu awaona.

  • @lelomsechu7569
    @lelomsechu75695 жыл бұрын

    Mmmhhh!! Sura tuu inaonyesha haupo sawa

  • @noelbryson7840
    @noelbryson78405 жыл бұрын

    Me nilijua we ni mwanasiasa imara sana tangu mwanzo!! Ila sasa nimejua kwamba ( Usimwamini Mtu)..🏌🏽‍♂️

  • @mohammedsalim6398

    @mohammedsalim6398

    5 жыл бұрын

    noel bryson Hakuna mwanasiasa anaefanya Siasa pasipo na pesa Siasa ni kazi tu kama zingine, ni kama katoka kampuni moja kahamia kungine, kama chars Hilary ulivyotoka BBC, kuhamia Azam, mtatiro uko sahihi hakuna aliechangia karo yako SHULE ni wazazi wako tu. Hongera Sana

  • @stephenmalilo9833
    @stephenmalilo98335 жыл бұрын

    I hate politics, I hate politicians......

  • @musarichard2934
    @musarichard29345 жыл бұрын

    from now onwards sitaipenda tena siasa ya kibongo...upuuzi mtupu

  • @chambimagele6726
    @chambimagele67265 жыл бұрын

    Safi kuhama chama ni democracy na Haki yako kikatiba asiyependa akanyeeeeee....

  • @aloyceiluminata3650
    @aloyceiluminata36505 жыл бұрын

    we mwongo bana!!!,,,,,,,,,,wanasiasa wa Tanzania hawaaminiki pumbavu!!!!

  • @samsonmwijage1602
    @samsonmwijage16025 жыл бұрын

    Godfrey Mbwambo uko sahihi kabisa.

  • @allahuakbarmuhammadrasulul9835
    @allahuakbarmuhammadrasulul98355 жыл бұрын

    Un points

  • @sirajiabdulnuru6885
    @sirajiabdulnuru68855 жыл бұрын

    Saf bro

  • @elirehemaissangya4785
    @elirehemaissangya47855 жыл бұрын

    Mungu tupe nguvu, MUNGU tizama Tanzania, tunaenda wapi ee Mungu??

  • @peterfumbuka4104
    @peterfumbuka41045 жыл бұрын

    the guy is right

  • @hamadshein935
    @hamadshein9355 жыл бұрын

    Kama kwake hana maendeleo.ataweza kuleta maendeleo.kwa watanzani zaidi y milion 50.

  • @ugaboy4736

    @ugaboy4736

    5 жыл бұрын

    weee uliisha tukana sana hakuna chance kuwa mpole tu

  • @alikhalfan9551
    @alikhalfan95515 жыл бұрын

    Kala milioni mia Tatu cash na ubalozi kaahidiwa wacha aende ndo maisha IPO siku tutafika inshallah

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    5 жыл бұрын

    Ali Khalfan Alikuwepo nanyi lakini hakuwa wakwenu. Angelikuwa wa kwenu angeliendelea kubaki kwenu. Kama ni msomaji mzuri wa magazeti. Soma gazeti la mwananchi la Jmos 09.5.2015 ISSN 0856-7573 Na.5401. Uk 28,29... Utamjua Julius Mtatiro ni nani na wajibu wake ni upi. Hana njaa kama watoa maoni wengi wasemavyo. Kila jambo na majira yake.Ninaamini ktk hilo.

  • @buguzangunura8157

    @buguzangunura8157

    5 жыл бұрын

    Ali Khalfan kuwa upinzani sio kazi nyepesi. hao kabila la wandengeleko siku zote awaaminiki mtulia yuko wapi

  • @yasinikimbega5730

    @yasinikimbega5730

    5 жыл бұрын

    Aliwah kusema wanachama wananunuliwa kwa vipande vya sh, je yeye amenunuliwa kwa vipande vya Dora ngap?

  • @goodluckymakere9023
    @goodluckymakere90235 жыл бұрын

    nlikua Namuona Mtatiro Wa Maana Baada ya Kufika Bei Nimemdharau Sana Uyo Mbwa Mshenzi.

  • @karemozil2923
    @karemozil29235 жыл бұрын

    Atatudanganya sisi tu ila ukweli anao mwenyewe Mimi nasema huyo ni mnafik na atakwenda chomwa ameshapoteza watu wengi alishawapotosha

  • @thetreasure2230
    @thetreasure22305 жыл бұрын

    Kwa msioelewa sanaa ya kIvita, Mtatiro angekuwa mtu mbaya kwa CUF, angebaki CUF kisha aitumikie CCM akiwa CUF...

  • @salmadalaquimane5303
    @salmadalaquimane53035 жыл бұрын

    Ongera kka

  • @ebitariho9720
    @ebitariho97205 жыл бұрын

    Wewe sema tu ukweli kuwa njaa imekuingia kichwani ukaona bora ukatafute cheo kama cha kafulila. Acha kutukana chama kilicho kutowa matongotongo utapata laana bora uondoke kimya.

  • @hashimumsilamgunda3636
    @hashimumsilamgunda36365 жыл бұрын

    Mtangazaji uko vizur hukwepeshi

  • @nkwabitz233
    @nkwabitz2335 жыл бұрын

    Ok

  • @mooking7913
    @mooking79135 жыл бұрын

    Je na masuala ya watu kupotea na wengine Kukutwa kwenye fukwe za Bahari ni yamekwisha? Au watuhumiwa wamepatikana?

  • @jagarforever4201
    @jagarforever42015 жыл бұрын

    Bange mbaya sana mtatiro

  • @francisa.masawe5099
    @francisa.masawe50995 жыл бұрын

    Njaa tuu, itakua hana hela huyu.

  • @staywar85
    @staywar855 жыл бұрын

    Alikuwepo nyerere Akipigania haki Uhuru na umoja na bado hakuwa Amepeleka watanzania wanapo takiwa kuwepo Utakuwa wewe na kauli zako za kinafiki Fata njaa yako Fata ahida zako Fata maisha yako Tanzania itakuwepo tu wote mtapita hata mfanyaje Hakuna mwenye kuishi miaka 60 mbele Tunaamini ipo siku atakuja kiongozi mwadilifu atakaye tatua shida za watanzania kama mzazi anavyo tatua shida za watoto aliyo wazaa mwenyewe

  • @kagomaeliezer5126

    @kagomaeliezer5126

    5 жыл бұрын

    Raid asimpe cheo hiyo jamaa, ameletwa ccm na njaa, ccm inawatu wengi wenye uwezo wa uongozi zaidi yake

  • @destiny4life439
    @destiny4life4395 жыл бұрын

    ivi ninyi mnaponda hamjui maana ya chaguo ccm ni chaguo lake kama nyny manavochagua wake wengine mbwiiru lakini mmewapenda alllllaaaaaaaaaaaa

  • @aronbanda4484
    @aronbanda44845 жыл бұрын

    Njaaa bwana

  • @bakarali8075
    @bakarali80755 жыл бұрын

    Ata sura ishageuka ni dalili za unafiki

  • @BGHaule

    @BGHaule

    5 жыл бұрын

    bakar ali nimecheka sana,hata sura imebadilika

  • @donaldnelson9226
    @donaldnelson92265 жыл бұрын

    Huyu ukikanae mahali ukamuomba kitu Fulani kwa utaratibu atakupa.

  • @ismailhassanaly5420
    @ismailhassanaly54205 жыл бұрын

    Duh.....siasa za njaa hizi ni shida sana

  • @sarababi3560
    @sarababi35605 жыл бұрын

    Njaa imekuondoa CUF, acha kudanganya umma. Nawashauri CCM wasiwaamini watu kama hao.

  • @eradmdage8504
    @eradmdage85045 жыл бұрын

    Njaa mbaya

  • @mahrooqsuleiman7216
    @mahrooqsuleiman72165 жыл бұрын

    Bora utapewa uwaziri

  • @successpathnetwork
    @successpathnetwork5 жыл бұрын

    Swali la mwisho jibu limeonyesha utata. Unaposema chama kikipitisha jambo unakwenda kuliongelea kwa mujibu wa chama (this means wananchi mnaotakiwa kuwatumikia wapo out of equation for that time, kwahiyo wanaweza kudanganywa tu as to benefit your political party, au unaweza sema ambacho deep inside hukiamini lakini utafanya nini sababu unatakiwa uwakilishe chama…) #Politics

  • @MrSoftBrains
    @MrSoftBrains5 жыл бұрын

    Fursa, safi!

  • @hechechacha4032
    @hechechacha40325 жыл бұрын

    Yaani kama kina martin luther Nyerere, nkrumah, mandela wangekuwa na akili KM zetu nafikiri ukombozi mpaka leo ungekuwa bado

  • @DeusNchembah
    @DeusNchembah5 жыл бұрын

    Karibu CCM huku hatuna matatizo utakayokaa nayo.

  • @abuuhafsah9630
    @abuuhafsah96305 жыл бұрын

    Ila wanasiasa wa tz asiewajua atawauliza ..hakuna lolote zaidi ya njaa

  • @muhangwatv8580
    @muhangwatv85805 жыл бұрын

    Njaa inasumbua tumbo la mtatilo

  • @Ba63828
    @Ba638285 жыл бұрын

    MASWALI MENGINE BHANA HAYANA TIJA UR WELCOME NDG ITATIRO

  • @kitelaleonardleonard7588
    @kitelaleonardleonard75885 жыл бұрын

    Umbongo wako hauko sawa, ww ni kigeugeu

  • @frankzominister1473
    @frankzominister14735 жыл бұрын

    Huyu mwandishi wa habarivni mzuri sanaa

  • @kanyatilawanafiki1694
    @kanyatilawanafiki16945 жыл бұрын

    Ujasiri wote kwisha. Ongea yako tu ni ya kinafiki. Taarifa za wewe kuhamia CCM zilishavuja hata kabla hujaongea na waandishi wa habari.

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso57675 жыл бұрын

    Mtatiro nimekuelewa ,naamini umechukua uamuzi sahihi kutokana na kile unachokiamani ,na hiyo ni haki yako ya kikakatiba.Niwaombe wale wanaokubeza na kukutukana wakuache ukatekeleze wajibu wako wa kikatiba,kwani hata RED CROSS, na Madaktari wasio na mipaka wanapinga vita ,lakini wakati wa vita wana shiriki kwa kuwatibu majeruhi wa pande zote vitani ,na kwa kufanya hivyo ,wanaokoa maisha ambayo wasingeyaokoa kama wangepinga vita ile huku wakiwa ,,wanapiga kelele wakiwa majumbani,.Naamini hawa wanaokutukana wanaweza kuwa ni majeruhi katikati ya vita ,na wewe ni RED CROSS,AU DAKTARI usiye na mpaka ambaye unaenda kuokoa maisha yao katikati ya vita na kwa sababu wa namajeraha wataona thamani yako mwisho wa vita.Kuwa mweledi na mwaminifu na Mungu atakutangulia Mtatiro.

  • @makalamkumbo954
    @makalamkumbo9545 жыл бұрын

    Kwanini mtu akiomba kuhamia chama fulani huwa hakataliwi?

  • @hassangaudence1814
    @hassangaudence18145 жыл бұрын

    njaa

  • @tumainrenatus9733
    @tumainrenatus97335 жыл бұрын

    Mtatiro nyamaza tu!! Maana unatia kichefuchefu

  • @myself4128
    @myself41285 жыл бұрын

    Tanzania hakuna Upinzani, njaa za wasaka Tonge tu! CCM haiwanunui ila wanajioeleka wenyewe sababu hawakuwa wapinzani tokea mwanzo ni wasaka tonge tu

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam24195 жыл бұрын

    na hata hivyo unachelewa sana.

  • @karemozil2923
    @karemozil29235 жыл бұрын

    Wewe sio kati ya wanaume mtatiro bwana mwanaume akimbii matatzo anakabiliana nayo wewe sawa na wakina shilole

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam24195 жыл бұрын

    Uko sahihi Mtatiro.. nakuunga Mkono N.a. ninaamini CCM watakutumia vizuri CHIN YA JEMBE JPM

  • @emmanuelhaule4410
    @emmanuelhaule44105 жыл бұрын

    Mwee elimu yetu na wasomi wetu bora uwe mbumbumbu!!!

  • @mussamwalimu4192
    @mussamwalimu41925 жыл бұрын

    Mmhhh mbona muhongo sana ina maana CCM walistuka na walikuwa hawajui chochote duuuh uhongo huo kaongope milembe wanaweza kukuelewa

  • @emanuelimaiko8740
    @emanuelimaiko87405 жыл бұрын

    Nimemtowa thamani buibui uyu yumeamgaika naye sana leo amenda kikeni tuwache wanaume tuko powa

  • @rabielulomi8607
    @rabielulomi86075 жыл бұрын

    Napata shida, Maneno yote yale yenye msimamo Wa MTU anaejua anachokitaka hasa kuhusu haki za wanyonge yalikuwa maneno tu?

  • @salumrashidi216
    @salumrashidi2165 жыл бұрын

    Jamaa mnafiki kweli

  • @makalejr1360
    @makalejr13605 жыл бұрын

    Huna lolote tamaaa 2

  • @emmanueltarimo892

    @emmanueltarimo892

    5 жыл бұрын

    Prince Makale kwaiyo unataka kutuambia lowassa na sumaye wana tamaa pia?maana nao wana tamaa pia

  • @stanleymuhimbula5590
    @stanleymuhimbula55905 жыл бұрын

    Mbona umekonda sana Mura?!. Kweli hukuwa na jinsi aisee!

  • @AliAli-xi3hu
    @AliAli-xi3hu5 жыл бұрын

    Wakati wa uchaguzi kina lowasa na wengine waliotoka CCM walinunuliwa na wao?

  • @ghulamsoud6331
    @ghulamsoud63315 жыл бұрын

    Huo ni unafiki Hakuna maendeleo yoyote ila njaa tu ndio inakusumbua

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    5 жыл бұрын

    Ghulam Soud Huyo Julius Mtatiro hana njaa. Ila kama unamfuatilia vizuri, huyo hakuwa wa CUF, angelikuwa wa huko, angeliendelea kuwa nao, ni mtafiti aliyebobea na ni mwandishi mzuri sana. Nikisema hivyo utakuwa umenielewa. Hii ndio Tanzania ya asili ya mwalimu Nyerere na itabaki kuwa hivyo labda wafahidina wa maggharibi watumie mbie zao.

  • @samiahazali2027

    @samiahazali2027

    5 жыл бұрын

    Kalubu xana ccm 🎖🎖🎖🎖🎖

  • @nicolassteven7749

    @nicolassteven7749

    5 жыл бұрын

    Ghulam Soud @hao ndio wanaitwa mwanaume symuruali haya kukosavtu mimamo wewe ni suruari tu!!

  • @margarethsolomon9823

    @margarethsolomon9823

    5 жыл бұрын

    Nicolas Steven THINK BIG

  • @soccertv293
    @soccertv2935 жыл бұрын

    Kwann usifanye maendeleo ukiwa cafu Na Mkuu kashasema maendeleo hayana chama?

  • @abuaymanalshirazy2472
    @abuaymanalshirazy24725 жыл бұрын

    Tulikuwa tunajua fika

  • @calvinamon4125
    @calvinamon41255 жыл бұрын

    haya bhana hameni tu kisanga kitaonekana

  • @marymahimbo7089
    @marymahimbo70895 жыл бұрын

    mpinzani wa kweli nliyebak n mm tu

  • @makalanikweli9383
    @makalanikweli93835 жыл бұрын

    pesa bwana

  • @goodluckymakere9023
    @goodluckymakere90235 жыл бұрын

    Mpinzani Wa Kweli Amebaki Mbowe na Tundulissu Na Chadema Yenyewe

  • @milimomashini9432
    @milimomashini94325 жыл бұрын

    Kiapo cha mwenye njaaaa hakidumu..nadhan ndio muhimu kujifunzaa hilo

  • @pastorgodsonjohn8562
    @pastorgodsonjohn85625 жыл бұрын

    Mtatiro amefanya maamuzi mazuri ila mazungumzo yake hayavutii kumwamini wanaccm tujiridhishe kwanza na huyu MTU sina historia yake Kwa kina ispokuwa sijamridhika najua mtanielewa fatilia majibu yake

  • @jonsonsamweli865
    @jonsonsamweli8655 жыл бұрын

    Njaaaaaaa

  • @hamisjingu90
    @hamisjingu905 жыл бұрын

    duuuuuh.....

  • @brassbandnbb4855
    @brassbandnbb48555 жыл бұрын

    Azam two, rusheni matangazo live maana Chanel nyingine hazionekani

  • @rashidihamis6202
    @rashidihamis62025 жыл бұрын

    kwahyo angepata ubunge angejiuzulu tu na uchaguz ungerudiwa na jimbo lingerudi kwa ccm uchaguz wa marudio

  • @kibokoyaotz4509
    @kibokoyaotz45095 жыл бұрын

    Ulimuaga nani vile mtatirooo????

  • @alexjosephat9030
    @alexjosephat90305 жыл бұрын

    Huyu jamaaa anamswali hadi Raha😁😁

  • @salehlofy4251
    @salehlofy42515 жыл бұрын

    Mwanasiasa pekee imara kwasasa ambae ashatikiswa hajatkisa n maalim Seif pekee

  • @jaliabahati39
    @jaliabahati395 жыл бұрын

    Ha ha ha ha ha huyoni ndina

  • @costacosta3247
    @costacosta32475 жыл бұрын

    Mbona ulisema wengine walinunuliwa tunakuamini vp juu ya hilo!!!!!!!!??????????

  • @selemanimdabwa1967
    @selemanimdabwa19675 жыл бұрын

    Chizi huyo

  • @kungurumbwambo542
    @kungurumbwambo5425 жыл бұрын

    watumepoteza,vingovao,lemnawssalit,mungunkubwa

  • @hamzasaidi3055
    @hamzasaidi30555 жыл бұрын

    Nae alikuwa kiongoz sasa kwanin akimbie..

  • @petermasele4686
    @petermasele46865 жыл бұрын

    jiamini mwenyewe mm siwezi kkuamini tena.

  • @frankzominister1473
    @frankzominister14735 жыл бұрын

    Ni njaa tatizo

  • @bushrahusban5210
    @bushrahusban52105 жыл бұрын

    Wamekununua shingapi unatia aibu mtatiro

  • @kassimkipingu4813
    @kassimkipingu48135 жыл бұрын

    wewe nikama mwnamke anajisahau anappoona maisha yanaelemea kwa mume uyu anaanzisha migogoro ili tu apate sababu

  • @alimauld7733
    @alimauld77335 жыл бұрын

    Political is a business like other business that uses policies to get their archivement

  • @andrewmhagama1042
    @andrewmhagama10425 жыл бұрын

    Anasema yale aliyokuwa anasema wakati yupo huko dhidi ya serikali inayoongoza/sera zake/viongozi wake n.k aliyasema kwa sababu ndio ulikuwa msimamo/matamko ya huko alikokuwa, na kwamba hicho "sio kitu cha ajabu kabisa duniani". Kama nimeelewa vema ni kwamba falsafa ya uongozi ya bwana huyu si kusimamia kile anachokiamini, bali yeye husimamia, kuchambua, na kutekeleza maamuzi/misimamo/matamko ambayo chama au mamlaka ya chama alichopo itakuwa imepitisha. Kwa maana nyingine mambo yooote aliyokuwa analalamikia alipokuwa upande wa pili sasa anakwenda jikoni kuyatekeleza kwa mikono yake mwenyewe (endapo atapewa dhamana, na atapewa tu!), kwa sababu hayo aliyokuwa analalamikia ndio sera/maamuzi/mipango/wimbo n.k ya huko anakokwenda.

  • @mikajohn1229
    @mikajohn12295 жыл бұрын

    Moja kwa moja ili uweze kushiriki kikamilifu??????

  • @adijamwampulule6947
    @adijamwampulule69475 жыл бұрын

    umenunuliwa shingapi? jibu

  • @andrewsailen7628
    @andrewsailen76285 жыл бұрын

    Uso wako umejaa njaaa.....uongo unaonekana machoni mwako

  • @danielmwampondele9913
    @danielmwampondele99135 жыл бұрын

    Nyinyinyinyi mnaohama hayaa

  • @mfubwakilua5380
    @mfubwakilua53805 жыл бұрын

    Mm mwenyewwe nimecheka sn

  • @alirashid1233
    @alirashid12335 жыл бұрын

    Chaz hilal ww unajua lakini upo na hilo jinga ukitoka hapo ukaoge utoe nuksi

  • @mwendafrances7722
    @mwendafrances77225 жыл бұрын

    Kuwa na akiba ya maneno

  • @yesgood3491
    @yesgood34915 жыл бұрын

    Mhhh!!!ulijiunga na siasa utendendewe na CUF au uitende Cuf!! inakuweje mwanamume kupenda mazngira yaliyo andaliwa badala kutaandaa mwenyewe?et waenda ccm kwa kuwa ndo kuna fursa ya kuongea,kwa nini usipambane ili upande wenu na nyie kama oposistion kupata fursa ya kutoa ushaur au misimamo yenu!! How a man can a ma by being a woman?

Келесі