DUA KWA MANJI | Clement Sanga akumbushia Manji alivyomsajili Okwi

Спорт

DUA KWA MANJI: Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC, Clement Sanga amekumbushia namna aliyekuwa Mwenyekiti na Mfadhili wa Yanga SC, Yusuf Manji alivyofanikisha usajili wa Emmanuel Okwi kutoka Simba SC ndani ya siku mbili.
Imefanyika dua kwa ajili ya Yusuf Manji aliyefariki Juni 30 ,2024 katika ukumbi wa Karimjee, Dar es Salaam.
#Dua #MaishaYaManji #YusufManji

Пікірлер

    Келесі