Makonda Mungu azidi kukutunza hakika wew ni kiongozi bora na si bora kiongozi
@mollelemanuel465915 күн бұрын
Mh Makonda wewe ni mbunifu sana ki ukweli nakupenda sana ... Unaisadia Arusha yetu kwa kiwango cha juu sana ... I wish kila kiongozi angelikua kama wewe ... Tanzania ingeliweza kuwa na maaendeleo na kujitegemea
@user-yl2br2ts3i16 күн бұрын
we proud of u makonda❤
@georgesamwelchacha768016 күн бұрын
Mr. P
@thomasmollel946516 күн бұрын
Mr.paul your the best my president to be we pray for you
@annanaiman932116 күн бұрын
Ni kweli awe na sifa hizo,wengine hata biashara hawajui wanasubiri uanzishe biashara waje kusumbua watu
@halimadamasi277016 күн бұрын
❤❤❤❤
@mungholomakalanga895816 күн бұрын
Heri titi ulilonyonya,na tumbo lililokubeba .
@ashachitemo781616 күн бұрын
Kuna watu maalum wamezaliwa na vipaji vya uongozi!! Huyu ni mtu mwenye utu .Na wale viongozi wengine ni binadamu na wanaendelea kubaki na ubinadamu wao kwa sababu wao si watu kwani wamekosa utu.
@user-if4ub9km1v16 күн бұрын
Ukosawa mkuuu
@philipjoseph593116 күн бұрын
Makonda siyo kwamba unatafuta kiki, kwa Kutumia saikolojia ndogo tu ya kuzaliwa nayo siyo ya Shuleni, mtu anaweza kugundua kuwa wewe ni Kiongozi mbunifu. Unaubongo mkubwa wa Uongozi. TUACHE WIVU TU, TUSEMENI UKWELI
Пікірлер: 12
Creative Leader always we proud of you.
Makonda Mungu azidi kukutunza hakika wew ni kiongozi bora na si bora kiongozi
Mh Makonda wewe ni mbunifu sana ki ukweli nakupenda sana ... Unaisadia Arusha yetu kwa kiwango cha juu sana ... I wish kila kiongozi angelikua kama wewe ... Tanzania ingeliweza kuwa na maaendeleo na kujitegemea
we proud of u makonda❤
Mr. P
Mr.paul your the best my president to be we pray for you
Ni kweli awe na sifa hizo,wengine hata biashara hawajui wanasubiri uanzishe biashara waje kusumbua watu
❤❤❤❤
Heri titi ulilonyonya,na tumbo lililokubeba .
Kuna watu maalum wamezaliwa na vipaji vya uongozi!! Huyu ni mtu mwenye utu .Na wale viongozi wengine ni binadamu na wanaendelea kubaki na ubinadamu wao kwa sababu wao si watu kwani wamekosa utu.
Ukosawa mkuuu
Makonda siyo kwamba unatafuta kiki, kwa Kutumia saikolojia ndogo tu ya kuzaliwa nayo siyo ya Shuleni, mtu anaweza kugundua kuwa wewe ni Kiongozi mbunifu. Unaubongo mkubwa wa Uongozi. TUACHE WIVU TU, TUSEMENI UKWELI