BREAKING: Zitto Kabwe Aibua Mambo 8 Ripoti Ya C.A.G
BREAKING: Zitto Kabwe Aibua Mambo 8 Ripoti Ya C.A.G
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe amemtaka Rais John Magufuli kumchukulia hatua kali ikiwemo kumuondoa katika nafasi yake Katibu mkuu wa Hazina, Dotto James kutokana na kushindwa kusimamia taasisi zilizo chini yake na kupata hati chafu.
Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma, Zitto amesema, Taarifa ya CAG imebainisha madudu 8 yaliyofanywa na Katibu mkuu wa hazina kwa kushindwa kusimamia vizuri mapato ya serikali.
Zitto amemtaka Rais Magufuli kumchukulia hatua katibu mkuu huyo kama alivyofanya kwa wakurugenzi ambao wamepata hati chafu katika ukaguzi huo wa CAG.
Insert….Zitto Kabwe-Mbunge wa Kigoma mjini
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, Prof. Mussa Assad ametoa taarifa yake ya ukaguzi wa mapato na matumizi ya fedha za umma kwa mwaka 2016/17. Kwa sasa taarifa hiyo iko wazi kwa umma, baada ya kuwa imekabidhiwa rasmi bungeni. Sisi ACT Wazalendo, tumeisoma, kuipitia na kuichambua taarifa husika, kwa lengo la kuitumia ili itusaidie kutimiza wajibu wetu wa kuisimamia Serikali, kama chama cha Upinzani bungeni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu Magufuli tayari amechukua hatua za kiuwajibikaji dhidi ya baadhi ya Watendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa zenye hati isiyoridhisha, hatua hii ni ya njema, ACT Wazalendo tunampongeza kwa jambo hilo. Hata hivyo, baada ya kuipitia ripoti husika, tumegundua kuwa CAG ameibua masuala mazito ambayo yana madhara makubwa kwenye mfumo mzima wa Bajeti ya Nchi kama hayatashughulikiwa. Tumewaita hapa kuyazungumzia hayo.
Пікірлер: 177
Mwenyezi Mungu aendelee kukutia nguvu na uelewa uliotukuka ili tuyajue mengi kupitia kwako! Gonga like kama tuko pamoja.
Daah aisee kichwa ya mh, Zito ni sawa na vichwa 100, vya wale wabunge wenye kazi moja tu bungeni, kupiga makofi kwa meza, kuunga mkono kila hoja bila kupima. Salute kwako mh, Zito werevu wamekuelewa. Maana unavyojua kudadavua we noma aisee
Ahsante Zito ,You are real master of that particular field! Those who do not appreciate You , either now's nothing or are benefiting from this fraud
@mshindimshindi9120
6 жыл бұрын
nicolaus ekama great
@gabrielpaul1082
6 жыл бұрын
cjawai kukuelewa zito. nonsense
@mshindimshindi9120
6 жыл бұрын
Gabriel Paul utamuelewaje na wewe zero brain
@gabrielpaul1082
6 жыл бұрын
ha ha ha zito alifaa kua actor
Asante Zito na CAG,ukweli unaweka watu huru,hii ndo maana ya usomi kuelewesha wengine ambao hawana uwezo wa kujua yaliyomo
hongera zito kabwe.
zito hakika uko vzr, nchi inawahitaji Sana
zitto hajawahi kusema uongo kwa mda niliomfahamu so huwa namwamin kuliko mwanasiasa yeyote tz.,hongera mwami
Uelewa Mdogo wa watanzania wengi bado ni kikwazo , Mr fact Zitto
Asante zitto kabwe,umetuelewesha sisi tusio elewa, pamoja nakuchambua haya wapo wengine wasio elewa watakukosoa,watakutukana napia watakusema vibaya lakina pamoja na hayo tumetambua umhimu Wa upinzaniiiii. Don't give up our opposition
Mwami unafikiri hao walio hama vyama vyao,walihana hivihivi? Mzigi umepigwa huo.
Tar 26/4 ndio jibu sahihi. Maansamano ya amani kabisa
zito mungu akujalie maisha malefu uje kua Rais wa tz
thanks for accentuating those facts. Let's wait and see if our govt authorities may have senses on this situation! Kazi kwa Kamati watusaidie kupata majibu na maelezo kwa mambo haya! Mr Zitto, well done dude!
Hatari sana !! hongera sana Mh zitto kwa darasa.
mfumo wa serikali wameuvuruga Sana ndo maana hata mawaziri wanakurupukia majukum ambayo sio yao.
@mtanzaniamzalendo7001
6 жыл бұрын
ndele mwalonde kuna shida hapo
@meshackmasanja2844
6 жыл бұрын
Sawaaaa
nivizuri kuwaelimisha watz ila yote hayo nimatunda ya rais kwasababu yeye anajiona ndo kila kitu ndiomaana leo vyombo vyetu vingi havinasauti na maamuzi sababu ya rais kuingilia kati kila kona anaendesha nchi anavyo taka bila kufuata utaratibu
@davidburton4478
6 жыл бұрын
huu ndiyo uzarendo
@ceciliajimmy5652
6 жыл бұрын
Kweli kabisa Zito.
@Mobmob2013
6 жыл бұрын
Grey five hata ayo ameshanunuliwa siku mingi
you are the master
Nyinyi Global Tv acheni uzwazwa au mnatumiwa? Sehemu zote sauti ipo hadi ilipofika kwenye kusoma moja kwa moja kutoka kwenye report mkakata sauti. Lengo lenu watu wajue yale mengine Zitto amejitungia? Kama video haipo sawa mnapost ya nini?
zito kichwa sana
asante zito wenye akili timamu tunakuelewa mazezeta never.
asante zitto na ndyo unaenifanya niupende upinzani,,,, safi sana
magu anachota tu pesa bila kuthibitishwa na bunge utafikili Pesa zake
@godwinmwandimo1681
6 жыл бұрын
paul sambe funguka zito
@boscomaboga1021
6 жыл бұрын
We na wewe sasa ndo umeongea pumba gani, magu anachotaje pesa au na wewe ndo uelewa wako umeishia hapo?
Nabii,unaongozwa na Malaika Ubarikiwe.Amen.
sema ukweli mzee,
Mbona. Mnakata sauti mnapoambiwa ukwli sisi wnanchi haki zetu mini,jibuni hoja
Kama simba angurumaye, na dubu mwenye njaa; Ndivyo alivyo mtu mbaya awatawalaye maskini. Mithali 28:15 Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako. Isaya 3:12 Yesu akawaita, akawaambia, Mwajua ya kuwa wale wanaohesabiwa kuwa wakuu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha. Marko 10:42
Shkamoo CAG Shkamoo zito
Tupo kwenye safari ngumu sana asante Zito kutuweka wazi
Viva zitto kigoma hapatoki mazwazwa nakupenda sana kiongozi wangu
Watu wanashughulika na wanawake waliotelekezwa ujinga mtupu nchi hiyo
Brilliant Observations.
mbulura bado ni wengi sana ndugu yangu uko vizur,kigoma hatoki mtu fala nice zitto kabwe
Anaebisha maneno yko hajasoma ifkie kpnd watanzania wawe wanafuata ukwel halaf hyo ndio kaz yko kma mwanasiasa na msomi
Ina maana anachoeleza zito unaona hausiki? na huyo CAG ndio ametoa hoja na kuziwasilisha serikalini ukiukwaji unafanywa wa waziwazi, usiwe mshabiki wa vitu vya hovyohovyo.
@josephmwabange9633
6 жыл бұрын
Jamani Zito ni mwanasiasa,tena ni Mbunge,ndio wanaotunga sheria,sisi huku mtaani ndo tunajua chama hiki chama kile,wao wakiwa bungeni mambo hayo hakuna kuna Bunge la wananchi,kwa hiyo kwa kufanya hivyo ndo demokrasia ili yamkini watakaosikia wasikie,na warudi kwenye mstari na kuweka Tanzania kwanza na sio matumbo yao,na kumsaidia rais wetu!
Kukosa Kazi Kubaya. Kwahiyo Zito ANATOA Taarifa Yake. KWANANI??? Pole DOMO
Hauko vizuri kwenye sauti Global
hii kichwa hatari.We nijeshi la mtu moja.Big up
Hivi huko juu kukoje? Ktk uumbaji wa Mungu, viungo vyote ni muhimu ktk sekta yake kiki feli kimoja mwili hudhoofu pia viungo hivi huzeeka kwa pamoja. Jamani hebu tuige viungo vya mwili kama vinavyo shirikiana ktk kazi.
Mh ZITO uko Sawa kabisa
@daniellwanji7074
6 жыл бұрын
Naona Sauti imekatwa kuanzia dakika 18, Ayo TV wametoa dakika 11 tu. 🏃🏃🏃
@georgesamwelchacha7680
6 жыл бұрын
+Daniel Lwanji NENDA GLOBAL TV ONLINE NDO IKO FULU mwanzo mwisho
Hichi ndo tunachokitarajia kweli, bado mchaw wetu anafanya kaz tuongeze maombi zaid na zaid, otherwise we are going no where
zito upo sawa ila hatuna uratibu mzuri kk.
matamko yanaongeza nchi.
Sema baba sema wanatuibia tu
Jamani kwani huu mfumo wa utawala wa serikali Mbona ninakuwa gizani kiasi hiki? Ni lini Mtanzania ataachana na uchungu wa moyo kwa Nchi yake. Tunaomba demokrasia ya kweli
Yeye cag si mwanasiasa ndio maana hajaongea acha unafiki kama huna cha kuongea pita zito juuuuuuuuu wewe ni kichwa sana 2teteee 2nakufa
huyu jamaa angepewa nafasi wizara ya fedha,angesaidia
zito kafafanua vizuri sana, vipi Magufuli unazaidiapo ?
watakubali wakaguliwe kwa ukaguzi maalumu??? Sio rahisi kuruhisu hilo.
catastrophic adminstration
Mh asante sana
@sangawasanga4936
5 жыл бұрын
Abroad Connected Education Ltd mbona sauti hamuna jamani lekebisheni sauti
Ni kweli sote tuna paswa kushirikiana kuijenga Tz
Global TV umefeli 100% ktk swala la sauti tatizo nchi yetu inaongozwa na mazwazwa
Ninaona sasa mtamuelewa Zitto Kabwe in nani.
zimenunulia mweweee
mbona hamna sauti !! hujuma hizi
Still bado utasema umenyimwa uhuru wa kuongea. Hayo unayoongea ni mavi
Chatne patne margeya tumepigwa nini pesa nehiye aiiiiiiiiii
ndomana makonda anavuruga kumbe anajuwa yajaho yule bint anamuomba msaama roasa eti anajuta magufuli makonda anakupoza uyo c kiongozi tumbuwa uyo
Zitto safi
Kwa uelewa tu mdogo wa kawaida. nimemsilikiza waziri mpango akijibu baadhi ya tuhuma za CAG. kimsingi kama jinsi ilivyo kwenye ukaguzi wa makampuni binafsi. ukaguzi wa nje(external audit) unafanywa kwa amri ya mwenye kampuni, mkaguzi hufanya ukagizi na kupeleka ripoti yake kwa shareholders. si ruhusa kwa namna yoyote management kujibu hoja za external auditor bila kuulizwa na mwajiri wake yaani Shareholders. Kwenye utawala wa fedha za uma, kanuni ni hizo hizo. nchi ni kampuni, serikali ni management, wenye kampuni au wamiliki wa kampuni (nchi) ni wananchi wakiwakilishwa na wabunge yaani bunge. na external auditor ni CAG. sasa baada ya ripoti kutolewa inapaswa kujadiliwa na bunge ambao kimsingi ndiyo wanaohusika na kuijadili ripoti hiyo kupitia kamati zake zote haswa PAC. na kisha kama bunge litaona ulazima wa kuwaita watendaji wa serilkali kama mawaziri. itawaira na mawaziri hao wanatakiwa kuoa maelezo yao huko.
wakati utafika watakuelewa tu saa hizi bado
Mmmmmh haya mambo ni magumu
Mh zitto endelea kuwasaidia watanzania kwani bila wewe nchi hii isingekua hapa tulipofikia hongera.
Blobal Tv online mnafanya kazi yenu kwa kubahatisha yani inafika sehemu nyeti na muhimu mnafuta sauti hampitii kazi yenu kbla ya kupost ?
Nchi inaliwa kweli
serikali ya ovyo sana hii!!! ila yote haya n kupotezea tar 26 siku ya uhuru
Kaz kaz mzee
@boscobakila2068
6 жыл бұрын
Zitto acha kuupotosha UMMA,,,""""
Asant mweshimiwa zito waambie hao
huyu kichaa bana,mwaka huu atayumba kweli.
Acheni uhuni nyie global tv amefika kwenye taarifa ambazo serikali haitaki wananchi wazijue mnakata sauti. Woga wa nn nyie?
@amryzubery1051
6 жыл бұрын
Matege Moses acha uoga dogo tusijue nn wakati cc ndyo waripa kodi
@mategemoses3874
6 жыл бұрын
Amry Zubery utakuwa hujanielewa
🙄🙄sasa hapo mmeibua!!!!!siasa hizi bhana.
Mtashinda kusema mambo ya chato wewe ni nani ambaye akipewa uraisi hata tengeneza kwao kidogo. Acheni unafiki uwanja wa ndege chato ni sawa tu
Aya lissu asipoongea zitto atasema
Sasa TRA si ndoo wamezikusanya? Mikopo inatolewa na serikali na inalipwa kwa serikali
@mxofmfk8406
6 жыл бұрын
Kibila Wazebanga unajua maana ya kodi na mkopo?
oya mbona mmekata sauti ,,,, oya nyie rudisheni sauti wengine tuko bize tunafuatilia hivi vitu au ni unsubscribe
Hii clip mngeikata kwanza kabla ya kuirusha, sasa mnatuhabarisha sinema bubu?
serekali YA magufulii ndioo yakifisadii zaiid kuliko serekali zotee zilizoo pitaaa
Viwanda! Viwanda viwanda!
usisahau matumizi ya vyama
Waliomjibu kwa vyombo vya habari hao nao Walitaka waonekane kwetu!
@ashraffhussein9963
6 жыл бұрын
uyo milad ayo katumwa tutaipata tu yote umesha kuwa na pesa unaona wote wajinga endelea kaka unampendelea mumeo bashite
Uyu magufuli anatutoza kodi kumbe mwizi dah na mie silipi kodi
@boscomaboga1021
6 жыл бұрын
Abdul Salim we na wewe hujui unachokiongea umekuwa bendera fata upepo tu
kichaa wewe
Sema kaka
Mimi sijui nakuonaje kama kituko vile!!!
Majembe haya hayatakiwi kukosekana bungeni. Haya wazee wa bombadia @ wadhibiti ufisadi@ wasiongeza mishahara mjibuni mr zito
Tuta amn vp maneno yako hayo we ngedere
@ngoshamasala8207
6 жыл бұрын
Penabu Bujashi we ndo ngedere au ndezi kabisa,,, Zitto huwa haongeagi upuzi Hata CK moja, unaposema utamwami VP? Inamaana huekewi anachokiongea? Mbona hata wa darasa la saba ataelewa?
@stephbilkim6574
6 жыл бұрын
Penabu Bujashi nenda kwenye tovuti ya national audit ukaisome report mwenyewe, acha uvivu kusubiri kutafuniwa, ewe mwenye imani haba.
@mohammedsariko9095
6 жыл бұрын
Kichwa hewa ndio maana hatusongi
Nimemsikia CAG akiulizwa mbele na Rais hakasema hakuna upotevu wa 1.5 hapa ndipo ninapomkumbuka Dr Slaa na hoja zake za msingi
Zamu kwa zamu Hata umepewa wewe uta fanya hayo hayo
@georgesamwelchacha7680
6 жыл бұрын
Lucian sanga usiseme hivyo Kuna watu ni wazoefu wa hivyo vitu we acha2, Na ZITO KABWE anaelewa anacho kisema ndio maana hata wewe umeamua kumsikiliza
Mbona hakuna sauti Huu ni uongo Hakuna ukweli ndani yake
Kwann asiongee mdhibiti mwenyewe?
@everlastthebad4441
6 жыл бұрын
james kilasa mwenye haki ya kuhoji ni kueleza bunge na CAG kaz yake ni kukagua tu ,,,,,kuhoji ni kazi ya wabunge na ndio maana mkaguz alisema bunge halitimiz wajibu wake wa kuhoji
@gwajimagwajima
6 жыл бұрын
james kilasa, jina lako linakuonyesha ww ulivyo yaan KILAZA, nguruwe mweusi ww
@nicolausekama5976
6 жыл бұрын
cag wanaongea kwa documents za Auditing!Yeye kama mbunge na mwenye dhamana ya kusimamia serikali kikatiba na ukizingatia anajua ,ni sahihi kuwaelimisha wasiojua! na wanaoficha machafu na uvunjifu wa Sheria za fedha.
@magembemwanamalundi6386
6 жыл бұрын
james kilasa hivi unawaza au kukurupuka, hujasikia anarejelea rpot ya CAG. Punguza mfungamano
@acmewinner
6 жыл бұрын
CAG anasubiri Management responses kwa maandishi tena with supporting evidences aweke audit comments zake averify na kucomment kama hoja za ukaguzi zimefungwa au zinaendelea kubaki na sio kujibiwa orally..
Mmh zitto mnafiki, tawala zilizopita fedha zilitolewa zilienda kwenye miradi lakini yote ni hewa. Sasa hivi vitu vikubwa vya kuonekana, miradi ya maana inafanyika halafu unasema eti fedha zimepotea. Hivi kipi bora? Pesa zitolewe miradi isionekane au pesa zisionekane miradi ionekane?
@josephmwabange9633
6 жыл бұрын
Wewe nyamaza hujui lolote bado,Mh.Zito anatendea kazi ripoti ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikari,sasa haina maana kuwa pesa hazijafanya kazi kabisa ila zingine hazijulikani ziliko,hakuna document,sasa wahusika wawajike kwenye hili maana mi naona Rais wetu yupo vizuri ila watendaji wanatutafuta tena tufanye jambo.Naamini ufumbuzi utapatikana,Ninayo imani kubwa na Rais.
@wilfredmfuru1677
6 жыл бұрын
we nawe siyo kama uelewi acha kutoa maon
@mindy8337
6 жыл бұрын
LOW VOLTAGE
@josephshirima1046
6 жыл бұрын
Na ww kweli kichwa maji, yaan hata humsikilizi Zito vizuri ukamuelewa unachozungumza. Zito we Jembe endelea kutujuza madudu wanayofichaficha kamanda.
@saimonmwansile7404
6 жыл бұрын
Kibila Wazebanga Mali ya uma hata ufanye vzr namna gani bila kuhusisha wahusika ni sawa wizi!
Msiingize siasa kwenye pesa, we zitto acha kupotosha
@johnongito3548
6 жыл бұрын
Kibila Wazebanga siasa iko wapi kama uelewa wako upo chini tulia
@johnongito3548
6 жыл бұрын
Siasa ni Maisha
@ramadhaniiddbandola1710
6 жыл бұрын
Kibila Wazebanga unakua km hauna uelewa apo ananukuu sasa unacholalamikia n nn?
@emanueljoshua925
6 жыл бұрын
Tupe ww ukweli kama anapotosha
@mohammedsariko9095
6 жыл бұрын
Sio kosa lako
Usitudanganye sisi tunachojua miradi ya maendeleo tunaiona
@mtutulaclassic6207
6 жыл бұрын
Zwazwa
@bolizozoshirima8088
6 жыл бұрын
Kibila Wazebanga una kisimi mkunduni ww
@wilfredmfuru1677
6 жыл бұрын
sasa we zito kasema nn cag ndiy katoa
@aurora2010ist
6 жыл бұрын
Unaiona wewe na nani? Wengine tuna ona maluweluwe tu
@samwelmjika.8870
6 жыл бұрын
Kibila Wazebanga darasa la ngap umeishia?
Kumbe wajinga bado wapo wengi kulingana na comments zetu hapa, huyo CAG ni mtumishi wa serikali. Ni serikali hiyohiyo ina mruhusu kuingia ndani ya mafile yake na kufanya ukaguzi, ningetamani kuona huyu Zitto anaanza kwa kuipongeza serikali ya Jpm kwa kuruhusu uwazi huu uwekwe public, kwani serikali ilishindwa kumuita mkaguzi na kumpangia ya kusema? Serikali hii iko wazi sasa wengine wanaotembea na chama chake kwenye flash ndio wanasubiri vihoja hoja kama hivi angalau wapate kuonekana kwenye tv, tuna serikali makini tuna Raisi makini kasoro zipo na hatutazimaliza zote ila zinashihulikiwa kila zinapojitokeza, Zitto tafuta hoja nyingine
@shuaibabdy5401
6 жыл бұрын
makoiga mg basi wewe mwerevu toa summary yako Nasi tuisome au tuelimishwe coz wengine twapenda kusoma sana ili tutoke kwenye hiyo hali uitayo “wajinga “.
@ngoshamasala8207
6 жыл бұрын
We ndo punguani kuliko mapunguani wote duniani kabisa,, Sijui unaelim gani? Mtu anajenga uwanja wa ndege kwao Chato, bila bajeti kutenga hyo hela? Watanzania wanamatatizo mengi, barabae mbovu, mahosbital hakuna Dawa, mishahara haongezi, haajiri wafanyakazi wapya, zoezi na kuendeleza gas yetu kalizimisha, watu Wenye hakili anawapiga lisasi, hataki kukosolewa wala kushauliwa, anaminya democracy,,, umakini wake uko wapi? Kuwa watu Wenye hakili?
@shitarupili2006
6 жыл бұрын
Acha ukinga wewe
@boscomaboga1021
6 жыл бұрын
Ngosha masala we ndo taahira kuliko mataahira wote waliowahi kutokea duniani, tuonyeshe ushahidi kuwa mh.rais amempiga risasi mtu anaeonekana kuwa na akili kama unavyodai kama na wewe sio bendera fata upepo, kwahiyo akijenga uwanja wa Ndege chato ni dhambi mbona uwanja wa Ndege wa KIA umepanuliwa kwa pesa za serikali na hamsemi kitu Nina wasi wasi na elimu yako maana uelewa wako unaonekana ni nonsense kabisa
you are the master
Mwami unafikiri hao walio hama vyama vyao,walihana hivihivi? Mzigi umepigwa huo.
Hui ndiyo uzalendo
Acheni uhuni nyie global tv amefika kwenye taarifa ambazo serikali haitaki wananchi wazijue mnakata sauti. Woga wa nn nyie?
@philiposilasi2135
6 жыл бұрын
haya mambo hayawezi kurushwa kwenye TV itafungiwa. alafu kuna watu wanaropoka hovyo zito uko vizuri bwana sema mzee
@farajamwashiuya1804
6 жыл бұрын
mbona mnakata sauti kwa nini haina maana sasa kuirusha
@josephkibulungwa6882
6 жыл бұрын
sauti mbona hakuna hamtakiukwel