BREAKING: Zitto Kabwe Aibua Mambo 8 Ripoti Ya C.A.G

BREAKING: Zitto Kabwe Aibua Mambo 8 Ripoti Ya C.A.G
Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe amemtaka Rais John Magufuli kumchukulia hatua kali ikiwemo kumuondoa katika nafasi yake Katibu mkuu wa Hazina, Dotto James kutokana na kushindwa kusimamia taasisi zilizo chini yake na kupata hati chafu.
Akizungumza na waandishi wa habari Mjini Dodoma, Zitto amesema, Taarifa ya CAG imebainisha madudu 8 yaliyofanywa na Katibu mkuu wa hazina kwa kushindwa kusimamia vizuri mapato ya serikali.
Zitto amemtaka Rais Magufuli kumchukulia hatua katibu mkuu huyo kama alivyofanya kwa wakurugenzi ambao wamepata hati chafu katika ukaguzi huo wa CAG.
Insert….Zitto Kabwe-Mbunge wa Kigoma mjini
lnstal GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli .
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, CAG, Prof. Mussa Assad ametoa taarifa yake ya ukaguzi wa mapato na matumizi ya fedha za umma kwa mwaka 2016/17. Kwa sasa taarifa hiyo iko wazi kwa umma, baada ya kuwa imekabidhiwa rasmi bungeni. Sisi ACT Wazalendo, tumeisoma, kuipitia na kuichambua taarifa husika, kwa lengo la kuitumia ili itusaidie kutimiza wajibu wetu wa kuisimamia Serikali, kama chama cha Upinzani bungeni.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ndugu Magufuli tayari amechukua hatua za kiuwajibikaji dhidi ya baadhi ya Watendaji wa Mamlaka za Serikali za Mitaa zenye hati isiyoridhisha, hatua hii ni ya njema, ACT Wazalendo tunampongeza kwa jambo hilo. Hata hivyo, baada ya kuipitia ripoti husika, tumegundua kuwa CAG ameibua masuala mazito ambayo yana madhara makubwa kwenye mfumo mzima wa Bajeti ya Nchi kama hayatashughulikiwa. Tumewaita hapa kuyazungumzia hayo.

Пікірлер: 177

  • @denicekato2583
    @denicekato25836 жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu aendelee kukutia nguvu na uelewa uliotukuka ili tuyajue mengi kupitia kwako! Gonga like kama tuko pamoja.

  • @manfredmbai6
    @manfredmbai65 жыл бұрын

    Daah aisee kichwa ya mh, Zito ni sawa na vichwa 100, vya wale wabunge wenye kazi moja tu bungeni, kupiga makofi kwa meza, kuunga mkono kila hoja bila kupima. Salute kwako mh, Zito werevu wamekuelewa. Maana unavyojua kudadavua we noma aisee

  • @nicolausekama5976
    @nicolausekama59766 жыл бұрын

    Ahsante Zito ,You are real master of that particular field! Those who do not appreciate You , either now's nothing or are benefiting from this fraud

  • @mshindimshindi9120

    @mshindimshindi9120

    6 жыл бұрын

    nicolaus ekama great

  • @gabrielpaul1082

    @gabrielpaul1082

    6 жыл бұрын

    cjawai kukuelewa zito. nonsense

  • @mshindimshindi9120

    @mshindimshindi9120

    6 жыл бұрын

    Gabriel Paul utamuelewaje na wewe zero brain

  • @gabrielpaul1082

    @gabrielpaul1082

    6 жыл бұрын

    ha ha ha zito alifaa kua actor

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын

    Asante Zito na CAG,ukweli unaweka watu huru,hii ndo maana ya usomi kuelewesha wengine ambao hawana uwezo wa kujua yaliyomo

  • @jaziraomary6501
    @jaziraomary65016 жыл бұрын

    hongera zito kabwe.

  • @meshacklomnyack4403
    @meshacklomnyack44036 жыл бұрын

    zito hakika uko vzr, nchi inawahitaji Sana

  • @tumainmatokeo586
    @tumainmatokeo5866 жыл бұрын

    zitto hajawahi kusema uongo kwa mda niliomfahamu so huwa namwamin kuliko mwanasiasa yeyote tz.,hongera mwami

  • @magembemwanamalundi6386
    @magembemwanamalundi63866 жыл бұрын

    Uelewa Mdogo wa watanzania wengi bado ni kikwazo , Mr fact Zitto

  • @fadhilisanga911
    @fadhilisanga9116 жыл бұрын

    Asante zitto kabwe,umetuelewesha sisi tusio elewa, pamoja nakuchambua haya wapo wengine wasio elewa watakukosoa,watakutukana napia watakusema vibaya lakina pamoja na hayo tumetambua umhimu Wa upinzaniiiii. Don't give up our opposition

  • @shabanimtua7235
    @shabanimtua72356 жыл бұрын

    Mwami unafikiri hao walio hama vyama vyao,walihana hivihivi? Mzigi umepigwa huo.

  • @maryammbogo9612
    @maryammbogo96126 жыл бұрын

    Tar 26/4 ndio jibu sahihi. Maansamano ya amani kabisa

  • @khamisilukasi7627
    @khamisilukasi76276 жыл бұрын

    zito mungu akujalie maisha malefu uje kua Rais wa tz

  • @wilsonkaseha2034
    @wilsonkaseha20346 жыл бұрын

    thanks for accentuating those facts. Let's wait and see if our govt authorities may have senses on this situation! Kazi kwa Kamati watusaidie kupata majibu na maelezo kwa mambo haya! Mr Zitto, well done dude!

  • @mtungilandegeya6312
    @mtungilandegeya63126 жыл бұрын

    Hatari sana !! hongera sana Mh zitto kwa darasa.

  • @ndelemwalonde2145
    @ndelemwalonde21456 жыл бұрын

    mfumo wa serikali wameuvuruga Sana ndo maana hata mawaziri wanakurupukia majukum ambayo sio yao.

  • @mtanzaniamzalendo7001

    @mtanzaniamzalendo7001

    6 жыл бұрын

    ndele mwalonde kuna shida hapo

  • @meshackmasanja2844

    @meshackmasanja2844

    6 жыл бұрын

    Sawaaaa

  • @greyfive_tzt3861
    @greyfive_tzt38616 жыл бұрын

    nivizuri kuwaelimisha watz ila yote hayo nimatunda ya rais kwasababu yeye anajiona ndo kila kitu ndiomaana leo vyombo vyetu vingi havinasauti na maamuzi sababu ya rais kuingilia kati kila kona anaendesha nchi anavyo taka bila kufuata utaratibu

  • @davidburton4478

    @davidburton4478

    6 жыл бұрын

    huu ndiyo uzarendo

  • @ceciliajimmy5652

    @ceciliajimmy5652

    6 жыл бұрын

    Kweli kabisa Zito.

  • @Mobmob2013

    @Mobmob2013

    6 жыл бұрын

    Grey five hata ayo ameshanunuliwa siku mingi

  • @erickmassawe5107
    @erickmassawe51076 жыл бұрын

    you are the master

  • @Joe-tr2vk
    @Joe-tr2vk6 жыл бұрын

    Nyinyi Global Tv acheni uzwazwa au mnatumiwa? Sehemu zote sauti ipo hadi ilipofika kwenye kusoma moja kwa moja kutoka kwenye report mkakata sauti. Lengo lenu watu wajue yale mengine Zitto amejitungia? Kama video haipo sawa mnapost ya nini?

  • @mashmashmkeyenge9210
    @mashmashmkeyenge92106 жыл бұрын

    zito kichwa sana

  • @saidsuleiman5255
    @saidsuleiman52556 жыл бұрын

    asante zito wenye akili timamu tunakuelewa mazezeta never.

  • @luganomwakyoma5368
    @luganomwakyoma53686 жыл бұрын

    asante zitto na ndyo unaenifanya niupende upinzani,,,, safi sana

  • @paulsambe3198
    @paulsambe31986 жыл бұрын

    magu anachota tu pesa bila kuthibitishwa na bunge utafikili Pesa zake

  • @godwinmwandimo1681

    @godwinmwandimo1681

    6 жыл бұрын

    paul sambe funguka zito

  • @boscomaboga1021

    @boscomaboga1021

    6 жыл бұрын

    We na wewe sasa ndo umeongea pumba gani, magu anachotaje pesa au na wewe ndo uelewa wako umeishia hapo?

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi6 жыл бұрын

    Nabii,unaongozwa na Malaika Ubarikiwe.Amen.

  • @naftalibwire7374
    @naftalibwire73746 жыл бұрын

    sema ukweli mzee,

  • @minchandekitwana4667
    @minchandekitwana46675 жыл бұрын

    Mbona. Mnakata sauti mnapoambiwa ukwli sisi wnanchi haki zetu mini,jibuni hoja

  • @nurukwawote4716
    @nurukwawote47166 жыл бұрын

    Kama simba angurumaye, na dubu mwenye njaa; Ndivyo alivyo mtu mbaya awatawalaye maskini. Mithali 28:15 Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako. Isaya 3:12 Yesu akawaita, akawaambia, Mwajua ya kuwa wale wanaohesabiwa kuwa wakuu wa Mataifa huwatawala kwa nguvu, na wakubwa wao huwatumikisha. Marko 10:42

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry93086 жыл бұрын

    Shkamoo CAG Shkamoo zito

  • @allybakali9212
    @allybakali92126 жыл бұрын

    Tupo kwenye safari ngumu sana asante Zito kutuweka wazi

  • @sunzuhasani5676
    @sunzuhasani56766 жыл бұрын

    Viva zitto kigoma hapatoki mazwazwa nakupenda sana kiongozi wangu

  • @andrewsadiki9914
    @andrewsadiki99146 жыл бұрын

    Watu wanashughulika na wanawake waliotelekezwa ujinga mtupu nchi hiyo

  • @hashpappi3830
    @hashpappi38306 жыл бұрын

    Brilliant Observations.

  • @mamahawa3694
    @mamahawa36946 жыл бұрын

    mbulura bado ni wengi sana ndugu yangu uko vizur,kigoma hatoki mtu fala nice zitto kabwe

  • @bakarijuma624
    @bakarijuma6246 жыл бұрын

    Anaebisha maneno yko hajasoma ifkie kpnd watanzania wawe wanafuata ukwel halaf hyo ndio kaz yko kma mwanasiasa na msomi

  • @louisnyoni4139
    @louisnyoni41396 жыл бұрын

    Ina maana anachoeleza zito unaona hausiki? na huyo CAG ndio ametoa hoja na kuziwasilisha serikalini ukiukwaji unafanywa wa waziwazi, usiwe mshabiki wa vitu vya hovyohovyo.

  • @josephmwabange9633

    @josephmwabange9633

    6 жыл бұрын

    Jamani Zito ni mwanasiasa,tena ni Mbunge,ndio wanaotunga sheria,sisi huku mtaani ndo tunajua chama hiki chama kile,wao wakiwa bungeni mambo hayo hakuna kuna Bunge la wananchi,kwa hiyo kwa kufanya hivyo ndo demokrasia ili yamkini watakaosikia wasikie,na warudi kwenye mstari na kuweka Tanzania kwanza na sio matumbo yao,na kumsaidia rais wetu!

  • @elizabethandrea4466
    @elizabethandrea44664 жыл бұрын

    Kukosa Kazi Kubaya. Kwahiyo Zito ANATOA Taarifa Yake. KWANANI??? Pole DOMO

  • @ValEmaChannel
    @ValEmaChannel6 жыл бұрын

    Hauko vizuri kwenye sauti Global

  • @diti4899
    @diti48996 жыл бұрын

    hii kichwa hatari.We nijeshi la mtu moja.Big up

  • @ignasmwamwenda3154
    @ignasmwamwenda31546 жыл бұрын

    Hivi huko juu kukoje? Ktk uumbaji wa Mungu, viungo vyote ni muhimu ktk sekta yake kiki feli kimoja mwili hudhoofu pia viungo hivi huzeeka kwa pamoja. Jamani hebu tuige viungo vya mwili kama vinavyo shirikiana ktk kazi.

  • @paulogirashenginy9260
    @paulogirashenginy92606 жыл бұрын

    Mh ZITO uko Sawa kabisa

  • @daniellwanji7074

    @daniellwanji7074

    6 жыл бұрын

    Naona Sauti imekatwa kuanzia dakika 18, Ayo TV wametoa dakika 11 tu. 🏃🏃🏃

  • @georgesamwelchacha7680

    @georgesamwelchacha7680

    6 жыл бұрын

    +Daniel Lwanji NENDA GLOBAL TV ONLINE NDO IKO FULU mwanzo mwisho

  • @JohnPeter-to1hm
    @JohnPeter-to1hm6 жыл бұрын

    Hichi ndo tunachokitarajia kweli, bado mchaw wetu anafanya kaz tuongeze maombi zaid na zaid, otherwise we are going no where

  • @abdillahmbinga7481
    @abdillahmbinga74816 жыл бұрын

    zito upo sawa ila hatuna uratibu mzuri kk.

  • @rashidsuleiman2663
    @rashidsuleiman26636 жыл бұрын

    matamko yanaongeza nchi.

  • @zhgmak6046
    @zhgmak60466 жыл бұрын

    Sema baba sema wanatuibia tu

  • @yairoswai9587
    @yairoswai95876 жыл бұрын

    Jamani kwani huu mfumo wa utawala wa serikali Mbona ninakuwa gizani kiasi hiki? Ni lini Mtanzania ataachana na uchungu wa moyo kwa Nchi yake. Tunaomba demokrasia ya kweli

  • @amadeusmedia5560
    @amadeusmedia55606 жыл бұрын

    Yeye cag si mwanasiasa ndio maana hajaongea acha unafiki kama huna cha kuongea pita zito juuuuuuuuu wewe ni kichwa sana 2teteee 2nakufa

  • @naftalibwire7374
    @naftalibwire73746 жыл бұрын

    huyu jamaa angepewa nafasi wizara ya fedha,angesaidia

  • @ayoubpapi3947
    @ayoubpapi39476 жыл бұрын

    zito kafafanua vizuri sana, vipi Magufuli unazaidiapo ?

  • @mtanzaniamzalendo7001
    @mtanzaniamzalendo70016 жыл бұрын

    watakubali wakaguliwe kwa ukaguzi maalumu??? Sio rahisi kuruhisu hilo.

  • @MrKingsalim
    @MrKingsalim6 жыл бұрын

    catastrophic adminstration

  • @abroadconnectededucationlt5435
    @abroadconnectededucationlt54356 жыл бұрын

    Mh asante sana

  • @sangawasanga4936

    @sangawasanga4936

    5 жыл бұрын

    Abroad Connected Education Ltd mbona sauti hamuna jamani lekebisheni sauti

  • @mwambolabright6561
    @mwambolabright65616 жыл бұрын

    Ni kweli sote tuna paswa kushirikiana kuijenga Tz

  • @petermhonzwa9711
    @petermhonzwa97116 жыл бұрын

    Global TV umefeli 100% ktk swala la sauti tatizo nchi yetu inaongozwa na mazwazwa

  • @mrkgtz
    @mrkgtz6 жыл бұрын

    Ninaona sasa mtamuelewa Zitto Kabwe in nani.

  • @calvinmessi3243
    @calvinmessi32436 жыл бұрын

    zimenunulia mweweee

  • @MrKingsalim
    @MrKingsalim6 жыл бұрын

    mbona hamna sauti !! hujuma hizi

  • @amanichanga3448
    @amanichanga34486 жыл бұрын

    Still bado utasema umenyimwa uhuru wa kuongea. Hayo unayoongea ni mavi

  • @aboubakarmkurdi2698
    @aboubakarmkurdi26986 жыл бұрын

    Chatne patne margeya tumepigwa nini pesa nehiye aiiiiiiiiii

  • @ccmchadema8107
    @ccmchadema81076 жыл бұрын

    ndomana makonda anavuruga kumbe anajuwa yajaho yule bint anamuomba msaama roasa eti anajuta magufuli makonda anakupoza uyo c kiongozi tumbuwa uyo

  • @dinomussa635
    @dinomussa6356 жыл бұрын

    Zitto safi

  • @gidogabriel
    @gidogabriel6 жыл бұрын

    Kwa uelewa tu mdogo wa kawaida. nimemsilikiza waziri mpango akijibu baadhi ya tuhuma za CAG. kimsingi kama jinsi ilivyo kwenye ukaguzi wa makampuni binafsi. ukaguzi wa nje(external audit) unafanywa kwa amri ya mwenye kampuni, mkaguzi hufanya ukagizi na kupeleka ripoti yake kwa shareholders. si ruhusa kwa namna yoyote management kujibu hoja za external auditor bila kuulizwa na mwajiri wake yaani Shareholders. Kwenye utawala wa fedha za uma, kanuni ni hizo hizo. nchi ni kampuni, serikali ni management, wenye kampuni au wamiliki wa kampuni (nchi) ni wananchi wakiwakilishwa na wabunge yaani bunge. na external auditor ni CAG. sasa baada ya ripoti kutolewa inapaswa kujadiliwa na bunge ambao kimsingi ndiyo wanaohusika na kuijadili ripoti hiyo kupitia kamati zake zote haswa PAC. na kisha kama bunge litaona ulazima wa kuwaita watendaji wa serilkali kama mawaziri. itawaira na mawaziri hao wanatakiwa kuoa maelezo yao huko.

  • @mamabruno6308
    @mamabruno63086 жыл бұрын

    wakati utafika watakuelewa tu saa hizi bado

  • @makutaahcastory661
    @makutaahcastory6616 жыл бұрын

    Mmmmmh haya mambo ni magumu

  • @zephaniachibaya5969
    @zephaniachibaya59695 жыл бұрын

    Mh zitto endelea kuwasaidia watanzania kwani bila wewe nchi hii isingekua hapa tulipofikia hongera.

  • @ramadhaniiddbandola1710
    @ramadhaniiddbandola17106 жыл бұрын

    Blobal Tv online mnafanya kazi yenu kwa kubahatisha yani inafika sehemu nyeti na muhimu mnafuta sauti hampitii kazi yenu kbla ya kupost ?

  • @johnongito3548
    @johnongito35486 жыл бұрын

    Nchi inaliwa kweli

  • @georgevalence9243
    @georgevalence92436 жыл бұрын

    serikali ya ovyo sana hii!!! ila yote haya n kupotezea tar 26 siku ya uhuru

  • @abdumpangamawe6110
    @abdumpangamawe61106 жыл бұрын

    Kaz kaz mzee

  • @boscobakila2068

    @boscobakila2068

    6 жыл бұрын

    Zitto acha kuupotosha UMMA,,,""""

  • @obedylaizer2375
    @obedylaizer23756 жыл бұрын

    Asant mweshimiwa zito waambie hao

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo91056 жыл бұрын

    huyu kichaa bana,mwaka huu atayumba kweli.

  • @mategemoses3874
    @mategemoses38746 жыл бұрын

    Acheni uhuni nyie global tv amefika kwenye taarifa ambazo serikali haitaki wananchi wazijue mnakata sauti. Woga wa nn nyie?

  • @amryzubery1051

    @amryzubery1051

    6 жыл бұрын

    Matege Moses acha uoga dogo tusijue nn wakati cc ndyo waripa kodi

  • @mategemoses3874

    @mategemoses3874

    6 жыл бұрын

    Amry Zubery utakuwa hujanielewa

  • @sannycpaul9423
    @sannycpaul94236 жыл бұрын

    🙄🙄sasa hapo mmeibua!!!!!siasa hizi bhana.

  • @mako331
    @mako3316 жыл бұрын

    Mtashinda kusema mambo ya chato wewe ni nani ambaye akipewa uraisi hata tengeneza kwao kidogo. Acheni unafiki uwanja wa ndege chato ni sawa tu

  • @johnongito3548
    @johnongito35486 жыл бұрын

    Aya lissu asipoongea zitto atasema

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga74556 жыл бұрын

    Sasa TRA si ndoo wamezikusanya? Mikopo inatolewa na serikali na inalipwa kwa serikali

  • @mxofmfk8406

    @mxofmfk8406

    6 жыл бұрын

    Kibila Wazebanga unajua maana ya kodi na mkopo?

  • @EJOSAMGROUPOFCOMPANY
    @EJOSAMGROUPOFCOMPANY6 жыл бұрын

    oya mbona mmekata sauti ,,,, oya nyie rudisheni sauti wengine tuko bize tunafuatilia hivi vitu au ni unsubscribe

  • @wiza2309
    @wiza23096 жыл бұрын

    Hii clip mngeikata kwanza kabla ya kuirusha, sasa mnatuhabarisha sinema bubu?

  • @gibsonferouz6040
    @gibsonferouz60406 жыл бұрын

    serekali YA magufulii ndioo yakifisadii zaiid kuliko serekali zotee zilizoo pitaaa

  • @domedeus3488
    @domedeus34886 жыл бұрын

    Viwanda! Viwanda viwanda!

  • @yonassngonye3759
    @yonassngonye37596 жыл бұрын

    usisahau matumizi ya vyama

  • @simoninzumi2888
    @simoninzumi28886 жыл бұрын

    Waliomjibu kwa vyombo vya habari hao nao Walitaka waonekane kwetu!

  • @ashraffhussein9963

    @ashraffhussein9963

    6 жыл бұрын

    uyo milad ayo katumwa tutaipata tu yote umesha kuwa na pesa unaona wote wajinga endelea kaka unampendelea mumeo bashite

  • @abdulsalim8900
    @abdulsalim89006 жыл бұрын

    Uyu magufuli anatutoza kodi kumbe mwizi dah na mie silipi kodi

  • @boscomaboga1021

    @boscomaboga1021

    6 жыл бұрын

    Abdul Salim we na wewe hujui unachokiongea umekuwa bendera fata upepo tu

  • @godfreybigeyo9105
    @godfreybigeyo91056 жыл бұрын

    kichaa wewe

  • @michaeljosephat5309
    @michaeljosephat53096 жыл бұрын

    Sema kaka

  • @mashakaisinika7434
    @mashakaisinika74346 жыл бұрын

    Mimi sijui nakuonaje kama kituko vile!!!

  • @jumahassanjuma6541
    @jumahassanjuma65416 жыл бұрын

    Majembe haya hayatakiwi kukosekana bungeni. Haya wazee wa bombadia @ wadhibiti ufisadi@ wasiongeza mishahara mjibuni mr zito

  • @penabubujashi4768
    @penabubujashi47686 жыл бұрын

    Tuta amn vp maneno yako hayo we ngedere

  • @ngoshamasala8207

    @ngoshamasala8207

    6 жыл бұрын

    Penabu Bujashi we ndo ngedere au ndezi kabisa,,, Zitto huwa haongeagi upuzi Hata CK moja, unaposema utamwami VP? Inamaana huekewi anachokiongea? Mbona hata wa darasa la saba ataelewa?

  • @stephbilkim6574

    @stephbilkim6574

    6 жыл бұрын

    Penabu Bujashi nenda kwenye tovuti ya national audit ukaisome report mwenyewe, acha uvivu kusubiri kutafuniwa, ewe mwenye imani haba.

  • @mohammedsariko9095

    @mohammedsariko9095

    6 жыл бұрын

    Kichwa hewa ndio maana hatusongi

  • @shahamemalenga4838
    @shahamemalenga48385 жыл бұрын

    Nimemsikia CAG akiulizwa mbele na Rais hakasema hakuna upotevu wa 1.5 hapa ndipo ninapomkumbuka Dr Slaa na hoja zake za msingi

  • @luciansanga4826
    @luciansanga48266 жыл бұрын

    Zamu kwa zamu Hata umepewa wewe uta fanya hayo hayo

  • @georgesamwelchacha7680

    @georgesamwelchacha7680

    6 жыл бұрын

    Lucian sanga usiseme hivyo Kuna watu ni wazoefu wa hivyo vitu we acha2, Na ZITO KABWE anaelewa anacho kisema ndio maana hata wewe umeamua kumsikiliza

  • @tinyaanosiatha1118
    @tinyaanosiatha11186 жыл бұрын

    Mbona hakuna sauti Huu ni uongo Hakuna ukweli ndani yake

  • @jameskilasa759
    @jameskilasa7596 жыл бұрын

    Kwann asiongee mdhibiti mwenyewe?

  • @everlastthebad4441

    @everlastthebad4441

    6 жыл бұрын

    james kilasa mwenye haki ya kuhoji ni kueleza bunge na CAG kaz yake ni kukagua tu ,,,,,kuhoji ni kazi ya wabunge na ndio maana mkaguz alisema bunge halitimiz wajibu wake wa kuhoji

  • @gwajimagwajima

    @gwajimagwajima

    6 жыл бұрын

    james kilasa, jina lako linakuonyesha ww ulivyo yaan KILAZA, nguruwe mweusi ww

  • @nicolausekama5976

    @nicolausekama5976

    6 жыл бұрын

    cag wanaongea kwa documents za Auditing!Yeye kama mbunge na mwenye dhamana ya kusimamia serikali kikatiba na ukizingatia anajua ,ni sahihi kuwaelimisha wasiojua! na wanaoficha machafu na uvunjifu wa Sheria za fedha.

  • @magembemwanamalundi6386

    @magembemwanamalundi6386

    6 жыл бұрын

    james kilasa hivi unawaza au kukurupuka, hujasikia anarejelea rpot ya CAG. Punguza mfungamano

  • @acmewinner

    @acmewinner

    6 жыл бұрын

    CAG anasubiri Management responses kwa maandishi tena with supporting evidences aweke audit comments zake averify na kucomment kama hoja za ukaguzi zimefungwa au zinaendelea kubaki na sio kujibiwa orally..

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga74556 жыл бұрын

    Mmh zitto mnafiki, tawala zilizopita fedha zilitolewa zilienda kwenye miradi lakini yote ni hewa. Sasa hivi vitu vikubwa vya kuonekana, miradi ya maana inafanyika halafu unasema eti fedha zimepotea. Hivi kipi bora? Pesa zitolewe miradi isionekane au pesa zisionekane miradi ionekane?

  • @josephmwabange9633

    @josephmwabange9633

    6 жыл бұрын

    Wewe nyamaza hujui lolote bado,Mh.Zito anatendea kazi ripoti ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikari,sasa haina maana kuwa pesa hazijafanya kazi kabisa ila zingine hazijulikani ziliko,hakuna document,sasa wahusika wawajike kwenye hili maana mi naona Rais wetu yupo vizuri ila watendaji wanatutafuta tena tufanye jambo.Naamini ufumbuzi utapatikana,Ninayo imani kubwa na Rais.

  • @wilfredmfuru1677

    @wilfredmfuru1677

    6 жыл бұрын

    we nawe siyo kama uelewi acha kutoa maon

  • @mindy8337

    @mindy8337

    6 жыл бұрын

    LOW VOLTAGE

  • @josephshirima1046

    @josephshirima1046

    6 жыл бұрын

    Na ww kweli kichwa maji, yaan hata humsikilizi Zito vizuri ukamuelewa unachozungumza. Zito we Jembe endelea kutujuza madudu wanayofichaficha kamanda.

  • @saimonmwansile7404

    @saimonmwansile7404

    6 жыл бұрын

    Kibila Wazebanga Mali ya uma hata ufanye vzr namna gani bila kuhusisha wahusika ni sawa wizi!

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga74556 жыл бұрын

    Msiingize siasa kwenye pesa, we zitto acha kupotosha

  • @johnongito3548

    @johnongito3548

    6 жыл бұрын

    Kibila Wazebanga siasa iko wapi kama uelewa wako upo chini tulia

  • @johnongito3548

    @johnongito3548

    6 жыл бұрын

    Siasa ni Maisha

  • @ramadhaniiddbandola1710

    @ramadhaniiddbandola1710

    6 жыл бұрын

    Kibila Wazebanga unakua km hauna uelewa apo ananukuu sasa unacholalamikia n nn?

  • @emanueljoshua925

    @emanueljoshua925

    6 жыл бұрын

    Tupe ww ukweli kama anapotosha

  • @mohammedsariko9095

    @mohammedsariko9095

    6 жыл бұрын

    Sio kosa lako

  • @kibilawazebanga7455
    @kibilawazebanga74556 жыл бұрын

    Usitudanganye sisi tunachojua miradi ya maendeleo tunaiona

  • @mtutulaclassic6207

    @mtutulaclassic6207

    6 жыл бұрын

    Zwazwa

  • @bolizozoshirima8088

    @bolizozoshirima8088

    6 жыл бұрын

    Kibila Wazebanga una kisimi mkunduni ww

  • @wilfredmfuru1677

    @wilfredmfuru1677

    6 жыл бұрын

    sasa we zito kasema nn cag ndiy katoa

  • @aurora2010ist

    @aurora2010ist

    6 жыл бұрын

    Unaiona wewe na nani? Wengine tuna ona maluweluwe tu

  • @samwelmjika.8870

    @samwelmjika.8870

    6 жыл бұрын

    Kibila Wazebanga darasa la ngap umeishia?

  • @mako331
    @mako3316 жыл бұрын

    Kumbe wajinga bado wapo wengi kulingana na comments zetu hapa, huyo CAG ni mtumishi wa serikali. Ni serikali hiyohiyo ina mruhusu kuingia ndani ya mafile yake na kufanya ukaguzi, ningetamani kuona huyu Zitto anaanza kwa kuipongeza serikali ya Jpm kwa kuruhusu uwazi huu uwekwe public, kwani serikali ilishindwa kumuita mkaguzi na kumpangia ya kusema? Serikali hii iko wazi sasa wengine wanaotembea na chama chake kwenye flash ndio wanasubiri vihoja hoja kama hivi angalau wapate kuonekana kwenye tv, tuna serikali makini tuna Raisi makini kasoro zipo na hatutazimaliza zote ila zinashihulikiwa kila zinapojitokeza, Zitto tafuta hoja nyingine

  • @shuaibabdy5401

    @shuaibabdy5401

    6 жыл бұрын

    makoiga mg basi wewe mwerevu toa summary yako Nasi tuisome au tuelimishwe coz wengine twapenda kusoma sana ili tutoke kwenye hiyo hali uitayo “wajinga “.

  • @ngoshamasala8207

    @ngoshamasala8207

    6 жыл бұрын

    We ndo punguani kuliko mapunguani wote duniani kabisa,, Sijui unaelim gani? Mtu anajenga uwanja wa ndege kwao Chato, bila bajeti kutenga hyo hela? Watanzania wanamatatizo mengi, barabae mbovu, mahosbital hakuna Dawa, mishahara haongezi, haajiri wafanyakazi wapya, zoezi na kuendeleza gas yetu kalizimisha, watu Wenye hakili anawapiga lisasi, hataki kukosolewa wala kushauliwa, anaminya democracy,,, umakini wake uko wapi? Kuwa watu Wenye hakili?

  • @shitarupili2006

    @shitarupili2006

    6 жыл бұрын

    Acha ukinga wewe

  • @boscomaboga1021

    @boscomaboga1021

    6 жыл бұрын

    Ngosha masala we ndo taahira kuliko mataahira wote waliowahi kutokea duniani, tuonyeshe ushahidi kuwa mh.rais amempiga risasi mtu anaeonekana kuwa na akili kama unavyodai kama na wewe sio bendera fata upepo, kwahiyo akijenga uwanja wa Ndege chato ni dhambi mbona uwanja wa Ndege wa KIA umepanuliwa kwa pesa za serikali na hamsemi kitu Nina wasi wasi na elimu yako maana uelewa wako unaonekana ni nonsense kabisa

  • @erickmassawe5107
    @erickmassawe51076 жыл бұрын

    you are the master

  • @shabanimtua7235
    @shabanimtua72356 жыл бұрын

    Mwami unafikiri hao walio hama vyama vyao,walihana hivihivi? Mzigi umepigwa huo.

  • @jafarimustafa1688
    @jafarimustafa16886 жыл бұрын

    Hui ndiyo uzalendo

  • @mategemoses3874
    @mategemoses38746 жыл бұрын

    Acheni uhuni nyie global tv amefika kwenye taarifa ambazo serikali haitaki wananchi wazijue mnakata sauti. Woga wa nn nyie?

  • @philiposilasi2135

    @philiposilasi2135

    6 жыл бұрын

    haya mambo hayawezi kurushwa kwenye TV itafungiwa. alafu kuna watu wanaropoka hovyo zito uko vizuri bwana sema mzee

  • @farajamwashiuya1804

    @farajamwashiuya1804

    6 жыл бұрын

    mbona mnakata sauti kwa nini haina maana sasa kuirusha

  • @josephkibulungwa6882

    @josephkibulungwa6882

    6 жыл бұрын

    sauti mbona hakuna hamtakiukwel

Келесі