Bando MC Ft One Six - Baada Ya Uchaguzi (Official Music Video)
Музыка
#newmusic #bando #trending #newmusic
(C) Slide Digital
Bando MC Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/1kqop5
Written & Performed by Bando MC x One Six
Ni nyimbo ya hip hop iliyoelezea undani wa kile kinachoenda kutokea baada ya uchaguzi
Follow Bando On:
Instagram: bando_tz?igshid...
Facebook : web. bandomcoffic...
Twitter: mussabando?lang=en
TikTok: www.tiktok.com/t/ZM2Rv917o/?t=1
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 1 200
Kama umeiplay Zaidi ya Mara 3 gonga 👍👍 Tuwe waungwana kwa Jamaa mchanaji. @Bando_mc
@BandoMC
3 жыл бұрын
Brooo
@ramzy5280
3 жыл бұрын
Mbona ndogo kwangu naweka kama Alarm 🚨
@Directortomwillz
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/Z3Wlr7R8dK-qlaQ.html
Kama umeielewa ii ngoma gonga like 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@BandoMC
3 жыл бұрын
Goma la hrakati
Kazi kazi.. Sijawahi kukupinga . Umeielewa ngoma hii gonga LIKE TWENDE SAWA.
Aliekua akifanya usajili simba eti nae kasajiliwa yanga gonga like zimfikie manara
They will never understand your creativity but trust me what you do majority of our artists can never do what u do. Respect homie mo love from 254 keep good music alive 👊👊👊👊👊👊👊👊👊
@BandoMC
3 жыл бұрын
Thanks bro
Tumekupa fimbo ili uchape kazi 🤝🤝🤝 Gonga like twende Sawa
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asnte
Huyu mwamba namkubali sana 👊
Nikipewa nafasi ya kumwelezea BANDO nitapata taabu sana maana amezidi kuwa complicated kadri nnavyofuatilia kwa karb ngoma zake, nways... Kitu kikubwa sana Mr MATANDA, Keep on moving fast & surely!
@BandoMC
3 жыл бұрын
Thanks kaka
Kijana anatuaminisha kabisa kuwa anaweza
@BandoMC
3 жыл бұрын
Jam
Ukiona Trafic Mwembamba ujue Mgeni kwenye kazi.. Gonga like kama na wewe umesikia hii
@BandoMC
3 жыл бұрын
Tajiri
@platnumzboy8191
3 жыл бұрын
Kweli mkali
Kesha uongea ukweli Mungu ampe nguvu na amlinde wasiojulikana wasimchukue
@BandoMC
3 жыл бұрын
🙏🙏🙏
Nan yupo apa baada ya #DiamondPlatinumz kumfollow
Ni noma JOMBA WE can't Do Like MAREKANI.
@BandoMC
3 жыл бұрын
Bless
Much positivity on your way bando mc .tell one six that I appreciate
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asnte kaka
Ni bora iwe hivi kwa uandish konk wajanja tunaeelewa inatosha mana wakieelewa basata nyimbo tutaikosa mana walipewa viti kimakosa na hata malipo yetu hatutapata cosota🙌🙌🙌 bando mc umetisha
@BandoMC
3 жыл бұрын
Ameen
@Bando Mc ni zaidi ya firee... Kama umeielewa usisahau kushare na kusubscribe pamoj na kugonga likee...
@BandoMC
3 жыл бұрын
GOMA JIPY KUTOKA KWA BANDO👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/qmxo25aborS6d9Y.html
ARTST: BANDO FT ONESIX SONG: BAADA YAUCHAGUZI VERC1 wajumbe tulipokaa kamati tulijua fika atapita nani/ Ila hatukufikia tamati shamba kumpatia mpinzani/ kuitafuta haki mbele ya watu/ Nikuutafuta msikiti ambao waumini wanasali wamevaa viatu/ Haya karibu tena tumekupa fimbo ili uchape kazi/ Hali sio NJEMA imekuwa wimbo kwa kila mkazi/ narushwa bado ni shazi/ Hii Nchi ukiona traffic mwembamba ujue nimgeni kwenye kazi/ ENDELE KUENYOY👇👇⬇️⬇️ kzread.info/dash/bejne/qmxo25aborS6d9Y.html
@sittashinje4023
3 жыл бұрын
Bando Sem ukwel nan alkula kondoo wa bwana😂😂😂😂😂
Bando ndo msanii peke ayayejua hip-hop tanzania, mwanaangu bando kaza ivyo ivyo tupo pamoja mzee, mziki umekuchaagua sio kama hawa wengine wanaforce
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asnte man
Kenya hii iende viral bana🔥🔥bando apo sawa kazi safi
Daaaaaah "High thinking capacity" respect bro
@BandoMC
3 жыл бұрын
Bless ma gee
@nakamsilikasi3310
3 жыл бұрын
@@BandoMC u a recently top rap genius
moja ya ngoma bora zaidi ya bongo hip hop💪🙏
@BandoMC
Жыл бұрын
Yaah
Watu woyooo goma kama goma bando ww noma Sana tz 1
Nmna nilivyorudia hii ngoma hadi majirani wamekuja kuuliza kma nina hisa na hii nyimbo 😂 froma majita Musoma! 👇
@BandoMC
3 жыл бұрын
😀😀😀
Nakukubali bando....mziki umeweza
Kuitafuta haki mbele za watu ni sawa na kuutafuta msikiti waumini wanaswali na viatu 🔥
wow so amazing rhymes.....real hiphop 🔥🔥🎻💥💥🎹
@BandoMC
3 жыл бұрын
Defender
Kaka bando unatisha sanaa🔥🔥💯 keep it up💪💪
@BandoMC
3 жыл бұрын
♨️♨️♨️
mwana mi nimekubali xna ii ngoma ila ungemuweka na roma ungeua🤝🤝
💣 Daaah umeupiga broda .......................................................💫
Hii ngoma kaliii aseee
Hii nyimbo ina akili mingi sana ndani yake...big up man
@BandoMC
3 жыл бұрын
GOMA JIPY KUTOKA KWA BANDO👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/qmxo25aborS6d9Y.html
Bando bando bando nimekuita mala 3..nikikuangalia ww namwoona roma co ww niroma prt 2...💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asante
Haya karibu tena..tumekupa fimbo uchape kazi tena.....kizaZii sana wimbo wa taifa afu #sixOne kweli
@BandoMC
3 жыл бұрын
Oyooo
Traffic mwembamba ni mgeni kwenye kazi🙌
@BandoMC
3 жыл бұрын
Tatzo
@vumbilacongokasongomundend1351
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂🙌🏻
@dennismrutu7824
3 жыл бұрын
😂😂😂
Mwananguu sanaaa 🔥🔥🔥🔥
@BandoMC
3 жыл бұрын
Bless
Wengi wanaumwa vijijini hakuna madaktari ila umejenga lami wapite wachache wenye magari
Thank you Bando...kwa kunisemea nilonayo moyoni.
Bando hii ngoma imefanya imalize bando langu
@BandoMC
3 жыл бұрын
Dotooo
Kiongozi wa TTF eti nae anatimu.yake ...ahahahahaaaa big up rais wa matanda unaemiliki gorofa LA tembe
@BandoMC
3 жыл бұрын
Garvanaaa wang
Mboka Tanzania📽️
Kiufupi unaweza salute kwako Bando ft one six mnaiwakilisha shinyanga yetu Bila kumsahau Nacha Rapcha
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asante san
Shi town boy💪🏿
@BandoMC
3 жыл бұрын
Makaveri
Hii sio ya kitoto 🔥🔥🔥
@BandoMC
3 жыл бұрын
💯💯💯
Shinyanga mnatiiishaaaaaaaaa sanaaaaaa👍👍👍👍👍👍👍👍
nimependa zaidi ulivojikita kwenye ukweli bila kuonea haya chama chochote
@BandoMC
3 жыл бұрын
Thanks
This is favorite song now
@BandoMC
3 жыл бұрын
Ray
@ramzy5280
3 жыл бұрын
@@BandoMC yes boss
Bomba la kitu🔥🔥
@BandoMC
3 жыл бұрын
Bombaaa
@paskaziambokeji2130
3 жыл бұрын
One six chorus upo vzr
Umeuwaaaa bando mc uku mtaani isha kuwa kelo yan kila mtu akisikiliza unamwacha mdomo waziii!!!
@BandoMC
3 жыл бұрын
Nooma
bandoooooh umeuwa ayiseeh daaah kwaingoma ume mpiga shetani jiwe
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asnte man
Bando mc akili mingi 🔥🔥
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asante kaka
@fedrickatiliyo2615
3 жыл бұрын
Sn jaamaa anajua
Ila baba uwe dereva umepita usimsahau konda. Bando ww n nyoko sana🔥🔥
@BandoMC
3 жыл бұрын
💯💯💯
@BandoMC
3 жыл бұрын
WIMBO MZURI HUWA HAUCHOSHI KUUTAZAMA BANDO FT ONESIX _BAADA YA UCHAGUZI👇👇 kzread.info/dash/bejne/qmxo25aborS6d9Y.html MZIKI MZURI🏹🏹 CONTENT NZURI🎯🎯 VIDEO NZURI✈️✈️✈️ TAZAMA KISHA NISAIDIE KUSHARE🙏🙏
Unauwaa sanaa mwanangu👊✊
babe babe❤️❤️❤️
TAZAMA GOMA LANGU JIPYA HAPA BANDO FT ONESIX BAADA YA UCHAGUZI👇👇 kzread.info/dash/bejne/qmxo25aborS6d9Y.html
Audio low quality kwenye chorus hasa
@alextanzania
3 жыл бұрын
Chorus kali, ila ujazo bado. Bado wana nafasi ya kuiweka sawa.
@narrissajackson3869
2 жыл бұрын
Ujumbe kitu muhimu kuzidi vyote
Bonge la nyimbo big up bando tz sichoki kuitizama Kila inapobidi
The best u did master japo nimechelew kuiona
Natumia muda mwingi kwenye " Editing , "create & na kuproduce📱🖥 Video za mafunzo(tutorial)za app mbalimbali, Games na Dancing video "Naombeni support yenu kwa ku subscribe channel yangu ya UniqueBaraka💛💖
@BandoMC
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/qmxo25aborS6d9Y.html
Broo unajua xana ila unamwiga Roma hahah utapotezwa
Bando aise wee ni Bando tena lisiloisha milele sasa sijui Bando la mtandao gani aise unajuwa Mc Bando big up kwako!!!
@BandoMC
3 жыл бұрын
Unyama
Ningekuomba utupigie collabo na rostam ndg yang,upo vzr san 🔥🔥
But I'm from Tanga ila shinyanga mnatiiishaaaaaaaaa sanaaaaaa 👍👍👍👍👍
Kaz kaz .... vibe kali
Umetisha sana mzee baba kazi konki sana
aki ya nani izi timu zetu zimmisababisha tusiangalie mziki mizuli kama iyi ndani ujumbe wa jutosha nice song from msuumbiji
@BandoMC
3 жыл бұрын
Thanks
One six kuja Kenya kaka
Wangap tumeielewa hii ngoma,, appreciate zangu kwake
Wasanii mmekumbuka kuweka akiba?Maana mnavuna miezi miwili unapata tabu miaka mitano,Nomaaaa sana.
@BandoMC
3 жыл бұрын
Sumu
Bando hii ngoma umetisha
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asnte man
Kuanzia Leo miye shabiki yako nmekuelewa sana Kaka ngoma ya motooooo sanaaaaaaa
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asante mzee
Daah!! Bando jamani mungu akusaidie ufike mbali sana mwanangu wewe ni msanii unajua mziki daah bas tu mungu azid kukuzidishia tu kaka√√√√√√
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asnte kaka
@gama_liely
3 жыл бұрын
@@BandoMC amina bro
Duh,,oyah mbn umenyamaza sana mkuu
Nakubar sana Bando kaza haswa 👊👊👊
Pamoja sana boy,ngoja watufundishe kukaa kimya kwa kutuziba midomo.
@BandoMC
3 жыл бұрын
BINADAM
Tunaandika kitabu kidogo walau kije kisomwe tusipokuwepo wala kuweza kuwakumbusha watu juu ya miaka hii sawa! Mbona sisi tunamsoma shaban robart nao watatusoma sisi miaka ijayo
Ngoma kali sana hii💥 Sema bongo tuna entertain mambo yasiyo ya msingi na kiki tu.
@BandoMC
3 жыл бұрын
Shida ni hyo
Hiyo Ni Real Hip Hop..Umeona Mbali Mkali Bando
@BandoMC
3 жыл бұрын
Asnte man
Goma kali unajua sana bando
SIMBA na yanga nii upuuzi brother ngoma iko bomba sana
@BandoMC
3 жыл бұрын
Bless
Dah..!! Shinyanga tunajivunia (chamaguha boy.)
@BandoMC
3 жыл бұрын
Ayubu
Hongera sana broo, niwachache sana wanaoweza fanya vitu vikali kama wewee ombilangu dogo corus ujitahid iskike vizur zaid, ila kwa ujumla kitu ni og sanaaaaa
@BandoMC
3 жыл бұрын
Saw mzee
Dahh!! One six kwa chorus upo vzr ,, Salute🤗🤗
@BandoMC
3 жыл бұрын
Unyma
@fedrickatiliyo2615
3 жыл бұрын
Sn bando alifanya vzr kumshrksha
Tobaaaaa....... Hiiiii ni nouwmaaa hadi pemba imetufika
@BandoMC
3 жыл бұрын
Bless
Fanya mpango ufanye ngoma 1 na roma mkatoliki nadhan itapendeza san.ila uko vzr big up👍👍👍
@BandoMC
3 жыл бұрын
Aman
Sasa chui mmemkabizi zizi #.........🤫🤔♥️♥️♥️ Unaweza fanya ngoma alafu ile ngoma ikawagusa sana watu yaani unaadika kitu halafu kinagusa miiyo yaa watu ndo kilichofanyika humu ndani duuuu .huu mdo mziki tunao taka so kila kitu kusifia tu #bando_mc ............ Mzik mzuri
@BandoMC
3 жыл бұрын
Mnyama
Wasanii mnavuna miezi miwili alafu ukame miaka mitano,, umefikiria sana bro
Bonge la mziki🎉🎉🎉
Wajumbe tupo ka kamati tulijuwa atapita nan haah bando tisha sana
@BandoMC
3 жыл бұрын
Bless kaka
Nakubali.. Sheeetown boy Bando
@BandoMC
3 жыл бұрын
💯
Mistari yenye mantiki kwa wakat huu hongera Bando
@BandoMC
3 жыл бұрын
Bless
Bro unajua sana 🎉🎉🎉
Wanakufunga mdomo arafu wanasema wanakufundisha kukaa kimyaaa_BANDO MC
@BandoMC
3 жыл бұрын
Oeeeeh
Kazi ni nzuri.
Bando Mc Umetisha,ila hao traffic waache kidogo kazi yao ngumu Sana wanakomaa usiku na Mchana ukipewa wewe utakimbia waache Vijana wachape kazi Kama ni unene hata madokta na manesi wapo wanene wengi tuu😁😁😁👍
@BandoMC
3 жыл бұрын
😀😀😀
Kama uko apa after Diamond platnumz kumchek insta🙌🙌
👆🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓 baba umepita uwe dereva usimsahau konda🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@BandoMC
3 жыл бұрын
Ìoyoo
Bando anachana sana...more love from 254
@BandoMC
3 жыл бұрын
💯💯💯
aye aye aye🙌🙌👍
@BandoMC
3 жыл бұрын
Ayee
Malipo ya mwanampotevu nikudharirishwa tyu #bando Kama MB hujawahi kukosea mdgo wangu
@BandoMC
3 жыл бұрын
Family
Ili goma kalii saana aseee naligonga daily
@BandoMC
3 жыл бұрын
Man dee