Unaweza ukafaa njaa cku ya msba ako wakapika pilau kama umeskia kipande icho gonga like twende sawa
@official_alipipitz3475 жыл бұрын
shy town city stand up for upcoming super hiphop star!! aiseee siamin mach yang kama kuna mtu alienimwagia maji kweny birthday yang leo anaskika eastafrica fm😂😂 nakubaliiii xana
@ezrajay95175 жыл бұрын
Dada unaekaa mwanza nishushie nyegezi 🤗🤗🤗😂 dullar we ulizan natukan bro Huhhh bando Mc umeua atar bless up
@dadychaps75275 жыл бұрын
Unaweza kufa njaa , na kwa msiba wako waka pika pilau! 😁😁😁🍗🔨🔥🔥👍💪 Bando ni Hatari sana . Big up bro.
@philipmchina69195 жыл бұрын
@bando_mc see you unajua sanaa mdogo wangu kila la kherii unatishaaaaaaa mzeyaaa....utafika uanapostahili nakubali michano yako..iko poa na unanata sana...na Biti 🔥🔥🔥👊
@kagileman57984 жыл бұрын
Nimegundua marapa wengi wanamtaja Diamond kweny ngoma zao
@archduke4564
4 жыл бұрын
Kweli kbs
@albertkadyanji9722
9 ай бұрын
Japo ao ma k hawataki kulisikia jina ilo linawachefua hahaha
@johnizoboy5 жыл бұрын
The best rappers waliotisha zaidii.. 1. Manengo 2. Chuma boy 3.Bando Mc 4. Category
@kulwamkole7400
5 жыл бұрын
baraka john hapo kwenye 1 . anakaa dizasta vina mfuatilie man
@msimbanimohammed4586
4 жыл бұрын
Bila kusahau Cado kitengo Nacha
@crystopherjoenas
10 ай бұрын
𝙲𝚑𝚎𝚔𝚒 𝙳𝙺𝚣𝙼 𝚢𝚊 𝚂𝚝𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚅𝚒𝚗𝚊
@KelvinEmersonSteven5 жыл бұрын
Bando Mc Ni wamoto kushinda jua🔥🔥🔥
@voicevirals92565 жыл бұрын
U hit it kijana..... wewe ni star tayar
@michaelmg4405 жыл бұрын
Duhhh n balaa Vijana wanapenda chura kuliko samaki
@issamuragemurage8847
5 жыл бұрын
safi sana ongeza kipato ili uwe kama diamond
@saidmnyama7619
3 жыл бұрын
Wewe umekuwa kama daimond au unaongea usenge
@sixtodix80265 жыл бұрын
Da huyu jamaa noma sanaa et vijana wanapenda chura kuliko samaki,,,msumari una nchi sita ila hatumjui rais wake
@meshack25594 жыл бұрын
Jamaa salute kwake mzee ,huyu ni fireee motoooo
@abdulrahmanhassan38255 жыл бұрын
Dogo anachana kama Langa kama umeliona hilo wacha like yako hapa
@charlesdeus575 жыл бұрын
Asee nme enjoy kinoma !! Mc bando ni balaa.. Kama vp wakupe time lingine uue tena🔥🔥
@mwiguluzabron14145 жыл бұрын
nakubalii sana bando mc umefanya maunyama yako keep it up shy stand up
@farajajames125 жыл бұрын
Dogo mkari sana keep going don't give up unakuja kuwa rap mkari sana hapa bongo
@yusuphkassim47665 жыл бұрын
nomarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr sana hawa ndo wahuni wakuwaleta hapa
@francisnyeriga5 жыл бұрын
Siku ya kwanza nakusikia unachana nikaamini utafika mbali na nikakuambia.Upo vizuri
@georgemagori21585 жыл бұрын
Mtuleteeni Nala Mzalendo ni hatari Mtajuta kumfahamu huyo ninja Kiukweli
@robertelim11725 жыл бұрын
Bando ametisha kinoma.Eeeh bana unakuja vizuri mzee wangu!
@hassanomar10415 жыл бұрын
Bando ukosawa kaka ila vibe limekupanda ukapiga mistari ya kaya na ujue kwa radio zetu za Africa utakatwa maneno (editing). Alafu hutopewa air time yakutosha utaonekana muhuni. Hilo niwazo langu tu kwako Big Up sana bro.
@rashidhamis90575 жыл бұрын
Wanangu toka town bando kawa wa moto kushinda jua yani dogo snazzy Jr
@alfredmsambaa14435 жыл бұрын
Dj,kazngua mbn ajachangamsha beat,sema bando fresh mwanang umetisha..
@ibrahimdiwanonlinetv14304 жыл бұрын
GIDZILLAH IS BACK..... KEEP ON KEEPING ON DUDE
@adrianokahigi20835 жыл бұрын
Xema bando mc nigga 👍👍👍👍👍 kijana wng uko vzr xanaaaa mwanangu nakuombea ufike mbali xanaaaa
@paschalkadama81555 жыл бұрын
Watu tunawatoa mbali Sana Dogo Nimemkabidhi mikoba yote
@aziziabdur38214 жыл бұрын
noma saanaa bando mc by killer mc m mwenyw ntsha sn kwakulap
@naggaidb5 жыл бұрын
Dullah uyu arudie tena sio kwa moto uo 🔥🔥🔥 shytown in the house
@elizabethkihumbe7420
4 жыл бұрын
Yuko poa sana
@elizabethkihumbe7420
4 жыл бұрын
Umeonaaaa
@mbishitrump56215 жыл бұрын
Dulla mnazingua kinoma.. Mnakata kata mno asee
@hamadrama91065 жыл бұрын
Bando Mc mhun umeuaaa sana an 'ukiona ndoto hazitimii endelea kulala
@ramakond26695 жыл бұрын
Daaaaah jamaa yupo poa sana
@rama2ification5 жыл бұрын
Zaidi ya 🔥🔥 bro...mistari yako kaa mishkaki ya mpembaa mitamuu flo zako tamu mistari mikari
@mullerrbn48525 жыл бұрын
Huyu jamaa anajua atariiii fireeee
@maedsonmahonge1225 жыл бұрын
Mwanangu mnafinya sana... Maneno mengine sio matusi... Huyu jamaa anabidi apambanishwe na boshoo
@kadulosaid92775 жыл бұрын
Kidogo kajitaid BANDO MC het diamond no toch mbona anawaka Waka 😂😂😂
@danieljulius15735 жыл бұрын
Demu wako siyo mwalimu lkn kila mwezi ana kipind
@damisonelly52364 жыл бұрын
Nakubali Moto wako brother 🔥🔥💥💥
@mudysuguru62675 жыл бұрын
Hahahhdahahahah mwanaume ataawe nanguvuvipi hawezi kuvunja ungo Hahahahahahahahahahahaah like this
@mussasamson43985 жыл бұрын
Bando wewe ni nyoko🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@josephleonard27355 жыл бұрын
Nomaaaa band MC your the best ✊
@charleszakayo23765 жыл бұрын
Msumali unanch sita lakin hatumjui lais wake 😂😂😂😂
@bongotrends2554 жыл бұрын
Nasio kila mzungu mweupe wengine wazungumzaji
@seifbaus75 жыл бұрын
Huyu jamaa noma sana,hutuka baba wasomeshe...
@yohanabundala91625 жыл бұрын
Shy town Oyeeeeeeee, Bando Mc umetisha xana Endelea kuiwakilisha shy town, Noorah kasepa jumla, Saf xanaaa,,
@ernestndauka93015 жыл бұрын
Jamaa yuko poa!! Ila na flor za Bishop ninja!! Kama tungekua tunasikia kwa redio tu nadhani tungekua Boshoo!!
@laurentibonifasi88495 жыл бұрын
Dah... Dula izo ves ucwe una zkat maan ndy utam mwnyew uwo
@hangawizzy22044 жыл бұрын
Ebana Bando Mc noma But i'm the one who can chana ile mbaya zaidi ya mbaya
@felicianbwinyende48845 жыл бұрын
Duu kweli wew BANDO ila sio bundle LA halotel#kunyenyua mic
@rodgersgingila93675 жыл бұрын
kafanya eid iwe nzuriiii
@forextanzaniatv44595 жыл бұрын
Hiki kichwaa nomaaaa
@mkomaxbizzy98852 жыл бұрын
Aah bando umetisha mpaka wakina nani wanahanya tunaxubili corabo ya wewe n kaligaph jones
@suleimansaid4503 Жыл бұрын
naskia miguno kutoka Wana ila maji hayana kiuno mbna kwetu yanakatika snaaa ... kmmko snaaa bando 😂😂😂✊
@Benchmarklt015 жыл бұрын
Oyooooo shy town ...jamaaa amejitahid san
@Benchmarklt01
5 жыл бұрын
@@BandoMC poa bando nam n wa shy jap now nik town....nakubal san wasanii wa kwetu kaz mwanangu suppt yet kam mashabik wa hiphop tupo👏👏👏💪💪💪
@kutosidenis5 жыл бұрын
Leta Kaa la Moto
@markshuk2421
4 жыл бұрын
Waazi
@dangotesam98454 жыл бұрын
Aisee, unajua kunata na biti, Zaidi ya vile Mugabe alinata na kiti!
@frankfabian7693 жыл бұрын
Mimi bando nakukibalii sanaa toka long
@francypol22455 жыл бұрын
Demu mwenye mimba ukimchunguza ndio utapenda....unaeza kuta anaish unguja alafu anakula pemba....
@pascalmkindwa7908 Жыл бұрын
Mwanafunzi mweupe kwa kingeleza anaitwa whitedent🥰🥰🥰
@cathbethswai803 жыл бұрын
best1 on planet bong🔥🔥
@abdulmohd68805 жыл бұрын
mnazinguwa lakini na nyny apo studio bana, yani ata neno "mimba" mnaliziba? c bora mungeziba ilo "kichwa ch chini" By the way Bando mc yupo poa nampa 95% izo 5 n za VAT
@ramaally925
4 жыл бұрын
Abdul Mohd 5 za vati hii kali sana
@yohanampayo21822 жыл бұрын
One of my favourite Mc I'm frequently watching his DK 10 session
@abbasruhamo22584 жыл бұрын
endeleen kuleta hawa upcoming maana wakongwe wameishiwa kabsa
@kevzmagrazz893 Жыл бұрын
Kama ndoto hazitimii endelea kulala 😂😂👌🔥🔥kaa la Moto huyu dogo
@patriceenos86815 жыл бұрын
Wa kwanza kwa hii mitikasi
@mitterrandsebaziga31873 жыл бұрын
BANDO MC tunaku kubali kutoka marekani. Ndomaana napendaga hip hop kuliko kila kitu.
@jayshakitz5745 жыл бұрын
Nasio kila mzungu weupeee wengine wazungumzaji hahahaaaaa
@MussaEzekiel3 ай бұрын
Huyo bando ni noma sana vijana wanapenda sana chura kuliko samaki
@josephsebastian63244 жыл бұрын
Wasukuma bhana dah kila kitu wao Aisee Fd Q mala kala huku bando kidogo msodoki sitaki kusema hao wengine wasukuma wanasukuma huku na kule duh!
@benedictoabdul69963 жыл бұрын
Dem ako so mwalim ila unaweza kuta kila mwez ana kip.......😂😂😂
@sixtodix80265 жыл бұрын
Mwadela bhabha,,,home boy salute to you
@sixtodix8026
5 жыл бұрын
Karbu ibinzamata kaka
@emanuelmhagama81935 жыл бұрын
duuu jama ana punch za hatar
@moonlightmedia95455 жыл бұрын
Ata jua Liwe kalli VIP ,kichwa cha chini hakiwez vaa kofiii
@ezzyb.barnabatz80544 жыл бұрын
Hatariii
@behindthecmera46595 жыл бұрын
nakubali nakubali mwamba BANDO MC
@KiberPlatnumz-qw5vy Жыл бұрын
Sometimes uwa data napokwenda sheli kutafuta mafuta ya kula na yakupaka
@abdallaabedi23545 жыл бұрын
Vijana wanapende chura kuliko samaki 😁😁😁👏
@paulmaliyatabu5069 Жыл бұрын
Bando ninomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we upo 3 bora
@vdjskjack2543 Жыл бұрын
Watching from Kenya
@Jersonjhn2 ай бұрын
Bando nakukubar sana 🎉🎉🎉🎉
@durascohussein85493 жыл бұрын
oya huyu mwamba ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@dicksonakyoo8222 Жыл бұрын
Bando Kuna dogo mmoja huku anajiita YUZZO MWAMBA anapiga flowing style yako
@therapy28095 жыл бұрын
S H I N Y A N G A STAND UP
@alexgodlove7762 жыл бұрын
Umetisha bando
@rama2ification5 жыл бұрын
Huyu jamaa natamani nimrushie hata buku aongeze bando
Pamoja kk, tupo pamoja ktk hio tasnia japo huku bongo Flava
@omaryhassan75244 жыл бұрын
Demu wako nkimkonyeZa tu anacheka, sasa nkimtongoza si nitambonya bila pesa
@martinsilwimba42825 жыл бұрын
Dulla planet mnazingua sna kukatakata hayo maneno huku ni social sio on air radio anaeingia huku manake ni ktu mzima ajiandaek kukutana na kila kitu sio mnakatakata maneno use* mtupu acheni tabia ya kukata maneno pili Bando mc mmepa biti nyepesi mno mwa mwi tatu jamaa anajua nampa 70% awasikilize mbeya boy na Dizasta vina
@delekalxon72215 жыл бұрын
uyu jamaa ni sumu #me msomi nisopenda hisabati hahah
@delekalxon7221
5 жыл бұрын
Bando Mc ..naqubaree San mzey 0784802496 tuchekian ma WhatsApp mzey me mwenyew mc
@nyatkanyat94705 жыл бұрын
Huyu jamaaa atar sana
@johntyson13305 жыл бұрын
Uko vizuri bando
@gabrielurioh43493 жыл бұрын
Hii bando uliuwa bro nakubal
@richardmwambe13235 жыл бұрын
Bando mc Una uwezo mkubwa sana bro
@sadamhussein39274 жыл бұрын
Dah brother your the best rapper
@degalaxymsahel92775 жыл бұрын
Hatari Sana mwanaume hata ukiwa na nguvu huwez kuvunja ungo
@albertochipande19944 жыл бұрын
Wa mozambique gongeni line apa ili tujuane😷
@user-xm9ql7sw7z3 күн бұрын
Me ua siichokii kuiskiza iiiih ya bando
@PetroSamuel-rl9cq3 ай бұрын
Mwanangu bando mc hunaweza weza sana
@RojazMwendamseke-wy8up Жыл бұрын
Nakubali sana bando
@rama2ification5 жыл бұрын
Duu jamaa mkali Sana...kila nikimsikiliza namuona mtamu zaidi ya Jana...sema bando mc
Пікірлер: 397
Unaweza ukafaa njaa cku ya msba ako wakapika pilau kama umeskia kipande icho gonga like twende sawa
shy town city stand up for upcoming super hiphop star!! aiseee siamin mach yang kama kuna mtu alienimwagia maji kweny birthday yang leo anaskika eastafrica fm😂😂 nakubaliiii xana
Dada unaekaa mwanza nishushie nyegezi 🤗🤗🤗😂 dullar we ulizan natukan bro Huhhh bando Mc umeua atar bless up
Unaweza kufa njaa , na kwa msiba wako waka pika pilau! 😁😁😁🍗🔨🔥🔥👍💪 Bando ni Hatari sana . Big up bro.
@bando_mc see you unajua sanaa mdogo wangu kila la kherii unatishaaaaaaa mzeyaaa....utafika uanapostahili nakubali michano yako..iko poa na unanata sana...na Biti 🔥🔥🔥👊
Nimegundua marapa wengi wanamtaja Diamond kweny ngoma zao
@archduke4564
4 жыл бұрын
Kweli kbs
@albertkadyanji9722
9 ай бұрын
Japo ao ma k hawataki kulisikia jina ilo linawachefua hahaha
The best rappers waliotisha zaidii.. 1. Manengo 2. Chuma boy 3.Bando Mc 4. Category
@kulwamkole7400
5 жыл бұрын
baraka john hapo kwenye 1 . anakaa dizasta vina mfuatilie man
@msimbanimohammed4586
4 жыл бұрын
Bila kusahau Cado kitengo Nacha
@crystopherjoenas
10 ай бұрын
𝙲𝚑𝚎𝚔𝚒 𝙳𝙺𝚣𝙼 𝚢𝚊 𝚂𝚝𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚅𝚒𝚗𝚊
Bando Mc Ni wamoto kushinda jua🔥🔥🔥
U hit it kijana..... wewe ni star tayar
Duhhh n balaa Vijana wanapenda chura kuliko samaki
@issamuragemurage8847
5 жыл бұрын
safi sana ongeza kipato ili uwe kama diamond
@saidmnyama7619
3 жыл бұрын
Wewe umekuwa kama daimond au unaongea usenge
Da huyu jamaa noma sanaa et vijana wanapenda chura kuliko samaki,,,msumari una nchi sita ila hatumjui rais wake
Jamaa salute kwake mzee ,huyu ni fireee motoooo
Dogo anachana kama Langa kama umeliona hilo wacha like yako hapa
Asee nme enjoy kinoma !! Mc bando ni balaa.. Kama vp wakupe time lingine uue tena🔥🔥
nakubalii sana bando mc umefanya maunyama yako keep it up shy stand up
Dogo mkari sana keep going don't give up unakuja kuwa rap mkari sana hapa bongo
nomarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr sana hawa ndo wahuni wakuwaleta hapa
Siku ya kwanza nakusikia unachana nikaamini utafika mbali na nikakuambia.Upo vizuri
Mtuleteeni Nala Mzalendo ni hatari Mtajuta kumfahamu huyo ninja Kiukweli
Bando ametisha kinoma.Eeeh bana unakuja vizuri mzee wangu!
Bando ukosawa kaka ila vibe limekupanda ukapiga mistari ya kaya na ujue kwa radio zetu za Africa utakatwa maneno (editing). Alafu hutopewa air time yakutosha utaonekana muhuni. Hilo niwazo langu tu kwako Big Up sana bro.
Wanangu toka town bando kawa wa moto kushinda jua yani dogo snazzy Jr
Dj,kazngua mbn ajachangamsha beat,sema bando fresh mwanang umetisha..
GIDZILLAH IS BACK..... KEEP ON KEEPING ON DUDE
Xema bando mc nigga 👍👍👍👍👍 kijana wng uko vzr xanaaaa mwanangu nakuombea ufike mbali xanaaaa
Watu tunawatoa mbali Sana Dogo Nimemkabidhi mikoba yote
noma saanaa bando mc by killer mc m mwenyw ntsha sn kwakulap
Dullah uyu arudie tena sio kwa moto uo 🔥🔥🔥 shytown in the house
@elizabethkihumbe7420
4 жыл бұрын
Yuko poa sana
@elizabethkihumbe7420
4 жыл бұрын
Umeonaaaa
Dulla mnazingua kinoma.. Mnakata kata mno asee
Bando Mc mhun umeuaaa sana an 'ukiona ndoto hazitimii endelea kulala
Daaaaah jamaa yupo poa sana
Zaidi ya 🔥🔥 bro...mistari yako kaa mishkaki ya mpembaa mitamuu flo zako tamu mistari mikari
Huyu jamaa anajua atariiii fireeee
Mwanangu mnafinya sana... Maneno mengine sio matusi... Huyu jamaa anabidi apambanishwe na boshoo
Kidogo kajitaid BANDO MC het diamond no toch mbona anawaka Waka 😂😂😂
Demu wako siyo mwalimu lkn kila mwezi ana kipind
Nakubali Moto wako brother 🔥🔥💥💥
Hahahhdahahahah mwanaume ataawe nanguvuvipi hawezi kuvunja ungo Hahahahahahahahahahahaah like this
Bando wewe ni nyoko🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nomaaaa band MC your the best ✊
Msumali unanch sita lakin hatumjui lais wake 😂😂😂😂
Nasio kila mzungu mweupe wengine wazungumzaji
Huyu jamaa noma sana,hutuka baba wasomeshe...
Shy town Oyeeeeeeee, Bando Mc umetisha xana Endelea kuiwakilisha shy town, Noorah kasepa jumla, Saf xanaaa,,
Jamaa yuko poa!! Ila na flor za Bishop ninja!! Kama tungekua tunasikia kwa redio tu nadhani tungekua Boshoo!!
Dah... Dula izo ves ucwe una zkat maan ndy utam mwnyew uwo
Ebana Bando Mc noma But i'm the one who can chana ile mbaya zaidi ya mbaya
Duu kweli wew BANDO ila sio bundle LA halotel#kunyenyua mic
kafanya eid iwe nzuriiii
Hiki kichwaa nomaaaa
Aah bando umetisha mpaka wakina nani wanahanya tunaxubili corabo ya wewe n kaligaph jones
naskia miguno kutoka Wana ila maji hayana kiuno mbna kwetu yanakatika snaaa ... kmmko snaaa bando 😂😂😂✊
Oyooooo shy town ...jamaaa amejitahid san
@Benchmarklt01
5 жыл бұрын
@@BandoMC poa bando nam n wa shy jap now nik town....nakubal san wasanii wa kwetu kaz mwanangu suppt yet kam mashabik wa hiphop tupo👏👏👏💪💪💪
Leta Kaa la Moto
@markshuk2421
4 жыл бұрын
Waazi
Aisee, unajua kunata na biti, Zaidi ya vile Mugabe alinata na kiti!
Mimi bando nakukibalii sanaa toka long
Demu mwenye mimba ukimchunguza ndio utapenda....unaeza kuta anaish unguja alafu anakula pemba....
Mwanafunzi mweupe kwa kingeleza anaitwa whitedent🥰🥰🥰
best1 on planet bong🔥🔥
mnazinguwa lakini na nyny apo studio bana, yani ata neno "mimba" mnaliziba? c bora mungeziba ilo "kichwa ch chini" By the way Bando mc yupo poa nampa 95% izo 5 n za VAT
@ramaally925
4 жыл бұрын
Abdul Mohd 5 za vati hii kali sana
One of my favourite Mc I'm frequently watching his DK 10 session
endeleen kuleta hawa upcoming maana wakongwe wameishiwa kabsa
Kama ndoto hazitimii endelea kulala 😂😂👌🔥🔥kaa la Moto huyu dogo
Wa kwanza kwa hii mitikasi
BANDO MC tunaku kubali kutoka marekani. Ndomaana napendaga hip hop kuliko kila kitu.
Nasio kila mzungu weupeee wengine wazungumzaji hahahaaaaa
Huyo bando ni noma sana vijana wanapenda sana chura kuliko samaki
Wasukuma bhana dah kila kitu wao Aisee Fd Q mala kala huku bando kidogo msodoki sitaki kusema hao wengine wasukuma wanasukuma huku na kule duh!
Dem ako so mwalim ila unaweza kuta kila mwez ana kip.......😂😂😂
Mwadela bhabha,,,home boy salute to you
@sixtodix8026
5 жыл бұрын
Karbu ibinzamata kaka
duuu jama ana punch za hatar
Ata jua Liwe kalli VIP ,kichwa cha chini hakiwez vaa kofiii
Hatariii
nakubali nakubali mwamba BANDO MC
Sometimes uwa data napokwenda sheli kutafuta mafuta ya kula na yakupaka
Vijana wanapende chura kuliko samaki 😁😁😁👏
Bando ninomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we upo 3 bora
Watching from Kenya
Bando nakukubar sana 🎉🎉🎉🎉
oya huyu mwamba ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bando Kuna dogo mmoja huku anajiita YUZZO MWAMBA anapiga flowing style yako
S H I N Y A N G A STAND UP
Umetisha bando
Huyu jamaa natamani nimrushie hata buku aongeze bando
Bando Mc mhun umeuaaa
Mshikaji nimemwelewa sana, tuache unafki anaweza!!!!
@boyjopar8717
5 жыл бұрын
Pamoja kk, tupo pamoja ktk hio tasnia japo huku bongo Flava
Demu wako nkimkonyeZa tu anacheka, sasa nkimtongoza si nitambonya bila pesa
Dulla planet mnazingua sna kukatakata hayo maneno huku ni social sio on air radio anaeingia huku manake ni ktu mzima ajiandaek kukutana na kila kitu sio mnakatakata maneno use* mtupu acheni tabia ya kukata maneno pili Bando mc mmepa biti nyepesi mno mwa mwi tatu jamaa anajua nampa 70% awasikilize mbeya boy na Dizasta vina
uyu jamaa ni sumu #me msomi nisopenda hisabati hahah
@delekalxon7221
5 жыл бұрын
Bando Mc ..naqubaree San mzey 0784802496 tuchekian ma WhatsApp mzey me mwenyew mc
Huyu jamaaa atar sana
Uko vizuri bando
Hii bando uliuwa bro nakubal
Bando mc Una uwezo mkubwa sana bro
Dah brother your the best rapper
Hatari Sana mwanaume hata ukiwa na nguvu huwez kuvunja ungo
Wa mozambique gongeni line apa ili tujuane😷
Me ua siichokii kuiskiza iiiih ya bando
Mwanangu bando mc hunaweza weza sana
Nakubali sana bando
Duu jamaa mkali Sana...kila nikimsikiliza namuona mtamu zaidi ya Jana...sema bando mc