Dakika 10 Za Maangamizi - BANDO MC | Planet Bongo

#Dakika10ZaMaangamizi #EARadio

Пікірлер: 397

  • @oscarmuhumenya1345
    @oscarmuhumenya13454 жыл бұрын

    Unaweza ukafaa njaa cku ya msba ako wakapika pilau kama umeskia kipande icho gonga like twende sawa

  • @official_alipipitz347
    @official_alipipitz3475 жыл бұрын

    shy town city stand up for upcoming super hiphop star!! aiseee siamin mach yang kama kuna mtu alienimwagia maji kweny birthday yang leo anaskika eastafrica fm😂😂 nakubaliiii xana

  • @ezrajay9517
    @ezrajay95175 жыл бұрын

    Dada unaekaa mwanza nishushie nyegezi 🤗🤗🤗😂 dullar we ulizan natukan bro Huhhh bando Mc umeua atar bless up

  • @dadychaps7527
    @dadychaps75275 жыл бұрын

    Unaweza kufa njaa , na kwa msiba wako waka pika pilau! 😁😁😁🍗🔨🔥🔥👍💪 Bando ni Hatari sana . Big up bro.

  • @philipmchina6919
    @philipmchina69195 жыл бұрын

    @bando_mc see you unajua sanaa mdogo wangu kila la kherii unatishaaaaaaa mzeyaaa....utafika uanapostahili nakubali michano yako..iko poa na unanata sana...na Biti 🔥🔥🔥👊

  • @kagileman5798
    @kagileman57984 жыл бұрын

    Nimegundua marapa wengi wanamtaja Diamond kweny ngoma zao

  • @archduke4564

    @archduke4564

    4 жыл бұрын

    Kweli kbs

  • @albertkadyanji9722

    @albertkadyanji9722

    9 ай бұрын

    Japo ao ma k hawataki kulisikia jina ilo linawachefua hahaha

  • @johnizoboy
    @johnizoboy5 жыл бұрын

    The best rappers waliotisha zaidii.. 1. Manengo 2. Chuma boy 3.Bando Mc 4. Category

  • @kulwamkole7400

    @kulwamkole7400

    5 жыл бұрын

    baraka john hapo kwenye 1 . anakaa dizasta vina mfuatilie man

  • @msimbanimohammed4586

    @msimbanimohammed4586

    4 жыл бұрын

    Bila kusahau Cado kitengo Nacha

  • @crystopherjoenas

    @crystopherjoenas

    10 ай бұрын

    𝙲𝚑𝚎𝚔𝚒 𝙳𝙺𝚣𝙼 𝚢𝚊 𝚂𝚝𝚊𝚗𝚣𝚊 𝚅𝚒𝚗𝚊

  • @KelvinEmersonSteven
    @KelvinEmersonSteven5 жыл бұрын

    Bando Mc Ni wamoto kushinda jua🔥🔥🔥

  • @voicevirals9256
    @voicevirals92565 жыл бұрын

    U hit it kijana..... wewe ni star tayar

  • @michaelmg440
    @michaelmg4405 жыл бұрын

    Duhhh n balaa Vijana wanapenda chura kuliko samaki

  • @issamuragemurage8847

    @issamuragemurage8847

    5 жыл бұрын

    safi sana ongeza kipato ili uwe kama diamond

  • @saidmnyama7619

    @saidmnyama7619

    3 жыл бұрын

    Wewe umekuwa kama daimond au unaongea usenge

  • @sixtodix8026
    @sixtodix80265 жыл бұрын

    Da huyu jamaa noma sanaa et vijana wanapenda chura kuliko samaki,,,msumari una nchi sita ila hatumjui rais wake

  • @meshack2559
    @meshack25594 жыл бұрын

    Jamaa salute kwake mzee ,huyu ni fireee motoooo

  • @abdulrahmanhassan3825
    @abdulrahmanhassan38255 жыл бұрын

    Dogo anachana kama Langa kama umeliona hilo wacha like yako hapa

  • @charlesdeus57
    @charlesdeus575 жыл бұрын

    Asee nme enjoy kinoma !! Mc bando ni balaa.. Kama vp wakupe time lingine uue tena🔥🔥

  • @mwiguluzabron1414
    @mwiguluzabron14145 жыл бұрын

    nakubalii sana bando mc umefanya maunyama yako keep it up shy stand up

  • @farajajames12
    @farajajames125 жыл бұрын

    Dogo mkari sana keep going don't give up unakuja kuwa rap mkari sana hapa bongo

  • @yusuphkassim4766
    @yusuphkassim47665 жыл бұрын

    nomarrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr sana hawa ndo wahuni wakuwaleta hapa

  • @francisnyeriga
    @francisnyeriga5 жыл бұрын

    Siku ya kwanza nakusikia unachana nikaamini utafika mbali na nikakuambia.Upo vizuri

  • @georgemagori2158
    @georgemagori21585 жыл бұрын

    Mtuleteeni Nala Mzalendo ni hatari Mtajuta kumfahamu huyo ninja Kiukweli

  • @robertelim1172
    @robertelim11725 жыл бұрын

    Bando ametisha kinoma.Eeeh bana unakuja vizuri mzee wangu!

  • @hassanomar1041
    @hassanomar10415 жыл бұрын

    Bando ukosawa kaka ila vibe limekupanda ukapiga mistari ya kaya na ujue kwa radio zetu za Africa utakatwa maneno (editing). Alafu hutopewa air time yakutosha utaonekana muhuni. Hilo niwazo langu tu kwako Big Up sana bro.

  • @rashidhamis9057
    @rashidhamis90575 жыл бұрын

    Wanangu toka town bando kawa wa moto kushinda jua yani dogo snazzy Jr

  • @alfredmsambaa1443
    @alfredmsambaa14435 жыл бұрын

    Dj,kazngua mbn ajachangamsha beat,sema bando fresh mwanang umetisha..

  • @ibrahimdiwanonlinetv1430
    @ibrahimdiwanonlinetv14304 жыл бұрын

    GIDZILLAH IS BACK..... KEEP ON KEEPING ON DUDE

  • @adrianokahigi2083
    @adrianokahigi20835 жыл бұрын

    Xema bando mc nigga 👍👍👍👍👍 kijana wng uko vzr xanaaaa mwanangu nakuombea ufike mbali xanaaaa

  • @paschalkadama8155
    @paschalkadama81555 жыл бұрын

    Watu tunawatoa mbali Sana Dogo Nimemkabidhi mikoba yote

  • @aziziabdur3821
    @aziziabdur38214 жыл бұрын

    noma saanaa bando mc by killer mc m mwenyw ntsha sn kwakulap

  • @naggaidb
    @naggaidb5 жыл бұрын

    Dullah uyu arudie tena sio kwa moto uo 🔥🔥🔥 shytown in the house

  • @elizabethkihumbe7420

    @elizabethkihumbe7420

    4 жыл бұрын

    Yuko poa sana

  • @elizabethkihumbe7420

    @elizabethkihumbe7420

    4 жыл бұрын

    Umeonaaaa

  • @mbishitrump5621
    @mbishitrump56215 жыл бұрын

    Dulla mnazingua kinoma.. Mnakata kata mno asee

  • @hamadrama9106
    @hamadrama91065 жыл бұрын

    Bando Mc mhun umeuaaa sana an 'ukiona ndoto hazitimii endelea kulala

  • @ramakond2669
    @ramakond26695 жыл бұрын

    Daaaaah jamaa yupo poa sana

  • @rama2ification
    @rama2ification5 жыл бұрын

    Zaidi ya 🔥🔥 bro...mistari yako kaa mishkaki ya mpembaa mitamuu flo zako tamu mistari mikari

  • @mullerrbn4852
    @mullerrbn48525 жыл бұрын

    Huyu jamaa anajua atariiii fireeee

  • @maedsonmahonge122
    @maedsonmahonge1225 жыл бұрын

    Mwanangu mnafinya sana... Maneno mengine sio matusi... Huyu jamaa anabidi apambanishwe na boshoo

  • @kadulosaid9277
    @kadulosaid92775 жыл бұрын

    Kidogo kajitaid BANDO MC het diamond no toch mbona anawaka Waka 😂😂😂

  • @danieljulius1573
    @danieljulius15735 жыл бұрын

    Demu wako siyo mwalimu lkn kila mwezi ana kipind

  • @damisonelly5236
    @damisonelly52364 жыл бұрын

    Nakubali Moto wako brother 🔥🔥💥💥

  • @mudysuguru6267
    @mudysuguru62675 жыл бұрын

    Hahahhdahahahah mwanaume ataawe nanguvuvipi hawezi kuvunja ungo Hahahahahahahahahahahaah like this

  • @mussasamson4398
    @mussasamson43985 жыл бұрын

    Bando wewe ni nyoko🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @josephleonard2735
    @josephleonard27355 жыл бұрын

    Nomaaaa band MC your the best ✊

  • @charleszakayo2376
    @charleszakayo23765 жыл бұрын

    Msumali unanch sita lakin hatumjui lais wake 😂😂😂😂

  • @bongotrends255
    @bongotrends2554 жыл бұрын

    Nasio kila mzungu mweupe wengine wazungumzaji

  • @seifbaus7
    @seifbaus75 жыл бұрын

    Huyu jamaa noma sana,hutuka baba wasomeshe...

  • @yohanabundala9162
    @yohanabundala91625 жыл бұрын

    Shy town Oyeeeeeeee, Bando Mc umetisha xana Endelea kuiwakilisha shy town, Noorah kasepa jumla, Saf xanaaa,,

  • @ernestndauka9301
    @ernestndauka93015 жыл бұрын

    Jamaa yuko poa!! Ila na flor za Bishop ninja!! Kama tungekua tunasikia kwa redio tu nadhani tungekua Boshoo!!

  • @laurentibonifasi8849
    @laurentibonifasi88495 жыл бұрын

    Dah... Dula izo ves ucwe una zkat maan ndy utam mwnyew uwo

  • @hangawizzy2204
    @hangawizzy22044 жыл бұрын

    Ebana Bando Mc noma But i'm the one who can chana ile mbaya zaidi ya mbaya

  • @felicianbwinyende4884
    @felicianbwinyende48845 жыл бұрын

    Duu kweli wew BANDO ila sio bundle LA halotel#kunyenyua mic

  • @rodgersgingila9367
    @rodgersgingila93675 жыл бұрын

    kafanya eid iwe nzuriiii

  • @forextanzaniatv4459
    @forextanzaniatv44595 жыл бұрын

    Hiki kichwaa nomaaaa

  • @mkomaxbizzy9885
    @mkomaxbizzy98852 жыл бұрын

    Aah bando umetisha mpaka wakina nani wanahanya tunaxubili corabo ya wewe n kaligaph jones

  • @suleimansaid4503
    @suleimansaid4503 Жыл бұрын

    naskia miguno kutoka Wana ila maji hayana kiuno mbna kwetu yanakatika snaaa ... kmmko snaaa bando 😂😂😂✊

  • @Benchmarklt01
    @Benchmarklt015 жыл бұрын

    Oyooooo shy town ...jamaaa amejitahid san

  • @Benchmarklt01

    @Benchmarklt01

    5 жыл бұрын

    @@BandoMC poa bando nam n wa shy jap now nik town....nakubal san wasanii wa kwetu kaz mwanangu suppt yet kam mashabik wa hiphop tupo👏👏👏💪💪💪

  • @kutosidenis
    @kutosidenis5 жыл бұрын

    Leta Kaa la Moto

  • @markshuk2421

    @markshuk2421

    4 жыл бұрын

    Waazi

  • @dangotesam9845
    @dangotesam98454 жыл бұрын

    Aisee, unajua kunata na biti, Zaidi ya vile Mugabe alinata na kiti!

  • @frankfabian769
    @frankfabian7693 жыл бұрын

    Mimi bando nakukibalii sanaa toka long

  • @francypol2245
    @francypol22455 жыл бұрын

    Demu mwenye mimba ukimchunguza ndio utapenda....unaeza kuta anaish unguja alafu anakula pemba....

  • @pascalmkindwa7908
    @pascalmkindwa7908 Жыл бұрын

    Mwanafunzi mweupe kwa kingeleza anaitwa whitedent🥰🥰🥰

  • @cathbethswai80
    @cathbethswai803 жыл бұрын

    best1 on planet bong🔥🔥

  • @abdulmohd6880
    @abdulmohd68805 жыл бұрын

    mnazinguwa lakini na nyny apo studio bana, yani ata neno "mimba" mnaliziba? c bora mungeziba ilo "kichwa ch chini" By the way Bando mc yupo poa nampa 95% izo 5 n za VAT

  • @ramaally925

    @ramaally925

    4 жыл бұрын

    Abdul Mohd 5 za vati hii kali sana

  • @yohanampayo2182
    @yohanampayo21822 жыл бұрын

    One of my favourite Mc I'm frequently watching his DK 10 session

  • @abbasruhamo2258
    @abbasruhamo22584 жыл бұрын

    endeleen kuleta hawa upcoming maana wakongwe wameishiwa kabsa

  • @kevzmagrazz893
    @kevzmagrazz893 Жыл бұрын

    Kama ndoto hazitimii endelea kulala 😂😂👌🔥🔥kaa la Moto huyu dogo

  • @patriceenos8681
    @patriceenos86815 жыл бұрын

    Wa kwanza kwa hii mitikasi

  • @mitterrandsebaziga3187
    @mitterrandsebaziga31873 жыл бұрын

    BANDO MC tunaku kubali kutoka marekani. Ndomaana napendaga hip hop kuliko kila kitu.

  • @jayshakitz574
    @jayshakitz5745 жыл бұрын

    Nasio kila mzungu weupeee wengine wazungumzaji hahahaaaaa

  • @MussaEzekiel
    @MussaEzekiel3 ай бұрын

    Huyo bando ni noma sana vijana wanapenda sana chura kuliko samaki

  • @josephsebastian6324
    @josephsebastian63244 жыл бұрын

    Wasukuma bhana dah kila kitu wao Aisee Fd Q mala kala huku bando kidogo msodoki sitaki kusema hao wengine wasukuma wanasukuma huku na kule duh!

  • @benedictoabdul6996
    @benedictoabdul69963 жыл бұрын

    Dem ako so mwalim ila unaweza kuta kila mwez ana kip.......😂😂😂

  • @sixtodix8026
    @sixtodix80265 жыл бұрын

    Mwadela bhabha,,,home boy salute to you

  • @sixtodix8026

    @sixtodix8026

    5 жыл бұрын

    Karbu ibinzamata kaka

  • @emanuelmhagama8193
    @emanuelmhagama81935 жыл бұрын

    duuu jama ana punch za hatar

  • @moonlightmedia9545
    @moonlightmedia95455 жыл бұрын

    Ata jua Liwe kalli VIP ,kichwa cha chini hakiwez vaa kofiii

  • @ezzyb.barnabatz8054
    @ezzyb.barnabatz80544 жыл бұрын

    Hatariii

  • @behindthecmera4659
    @behindthecmera46595 жыл бұрын

    nakubali nakubali mwamba BANDO MC

  • @KiberPlatnumz-qw5vy
    @KiberPlatnumz-qw5vy Жыл бұрын

    Sometimes uwa data napokwenda sheli kutafuta mafuta ya kula na yakupaka

  • @abdallaabedi2354
    @abdallaabedi23545 жыл бұрын

    Vijana wanapende chura kuliko samaki 😁😁😁👏

  • @paulmaliyatabu5069
    @paulmaliyatabu5069 Жыл бұрын

    Bando ninomaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa we upo 3 bora

  • @vdjskjack2543
    @vdjskjack2543 Жыл бұрын

    Watching from Kenya

  • @Jersonjhn
    @Jersonjhn2 ай бұрын

    Bando nakukubar sana 🎉🎉🎉🎉

  • @durascohussein8549
    @durascohussein85493 жыл бұрын

    oya huyu mwamba ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @dicksonakyoo8222
    @dicksonakyoo8222 Жыл бұрын

    Bando Kuna dogo mmoja huku anajiita YUZZO MWAMBA anapiga flowing style yako

  • @therapy2809
    @therapy28095 жыл бұрын

    S H I N Y A N G A STAND UP

  • @alexgodlove776
    @alexgodlove7762 жыл бұрын

    Umetisha bando

  • @rama2ification
    @rama2ification5 жыл бұрын

    Huyu jamaa natamani nimrushie hata buku aongeze bando

  • @hamadrama9106
    @hamadrama91065 жыл бұрын

    Bando Mc mhun umeuaaa

  • @boyjopar8717
    @boyjopar87175 жыл бұрын

    Mshikaji nimemwelewa sana, tuache unafki anaweza!!!!

  • @boyjopar8717

    @boyjopar8717

    5 жыл бұрын

    Pamoja kk, tupo pamoja ktk hio tasnia japo huku bongo Flava

  • @omaryhassan7524
    @omaryhassan75244 жыл бұрын

    Demu wako nkimkonyeZa tu anacheka, sasa nkimtongoza si nitambonya bila pesa

  • @martinsilwimba4282
    @martinsilwimba42825 жыл бұрын

    Dulla planet mnazingua sna kukatakata hayo maneno huku ni social sio on air radio anaeingia huku manake ni ktu mzima ajiandaek kukutana na kila kitu sio mnakatakata maneno use* mtupu acheni tabia ya kukata maneno pili Bando mc mmepa biti nyepesi mno mwa mwi tatu jamaa anajua nampa 70% awasikilize mbeya boy na Dizasta vina

  • @delekalxon7221
    @delekalxon72215 жыл бұрын

    uyu jamaa ni sumu #me msomi nisopenda hisabati hahah

  • @delekalxon7221

    @delekalxon7221

    5 жыл бұрын

    Bando Mc ..naqubaree San mzey 0784802496 tuchekian ma WhatsApp mzey me mwenyew mc

  • @nyatkanyat9470
    @nyatkanyat94705 жыл бұрын

    Huyu jamaaa atar sana

  • @johntyson1330
    @johntyson13305 жыл бұрын

    Uko vizuri bando

  • @gabrielurioh4349
    @gabrielurioh43493 жыл бұрын

    Hii bando uliuwa bro nakubal

  • @richardmwambe1323
    @richardmwambe13235 жыл бұрын

    Bando mc Una uwezo mkubwa sana bro

  • @sadamhussein3927
    @sadamhussein39274 жыл бұрын

    Dah brother your the best rapper

  • @degalaxymsahel9277
    @degalaxymsahel92775 жыл бұрын

    Hatari Sana mwanaume hata ukiwa na nguvu huwez kuvunja ungo

  • @albertochipande1994
    @albertochipande19944 жыл бұрын

    Wa mozambique gongeni line apa ili tujuane😷

  • @user-xm9ql7sw7z
    @user-xm9ql7sw7z3 күн бұрын

    Me ua siichokii kuiskiza iiiih ya bando

  • @PetroSamuel-rl9cq
    @PetroSamuel-rl9cq3 ай бұрын

    Mwanangu bando mc hunaweza weza sana

  • @RojazMwendamseke-wy8up
    @RojazMwendamseke-wy8up Жыл бұрын

    Nakubali sana bando

  • @rama2ification
    @rama2ification5 жыл бұрын

    Duu jamaa mkali Sana...kila nikimsikiliza namuona mtamu zaidi ya Jana...sema bando mc

Келесі