Bando MC Feat Daway - Sir God (Official Music Video)
Музыка
#SIRGOD#NewMusic#Bando# #EpicJourney#
(C) Slide Digital
Bando MC Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/1kqop5
Written & Performed by Bando MC & Daway
Get ready to embark on a journey through soundscapes and storytelling with our latest release, "SIR GOD"! 🎶
🌟 "SIR GOD" is more than just a song; it's an epic tale woven through melodies and lyrics that will take you on an unforgettable musical adventure. With powerful vocals, captivating instrumentals, and thought-provoking lyrics, this track is bound to resonate with listeners on a profound level. 🎤🎸
💥 Prepare to be immersed in a world where imagination knows no bounds and where the lines between reality and fantasy blur. "SIR GOD" invites you to explore themes of strength, resilience, and the journey to self-discovery. It's a reminder that within each of us lies the potential for greatness and the power to overcome any obstacle in our path. 💪🌌
🎬 Accompanied by stunning visuals, our music video for "SIR GOD" brings the narrative to life, enhancing the listening experience and adding another layer of depth to the story we're telling. 🎥✨
🔥 Whether you're a long-time fan or new to our music, we invite you to join us on this adventure as we unveil "SIR GOD" to the world. Hit play, turn up the volume, and let the music take you on a journey like no other. 🚀🎧
Don't forget to like, comment, share, and subscribe to our channel for more updates, behind-the-scenes content, and future releases. Thank you for your support! 🙏✨
Video shot in (Dar es Salaam, Tanzania )and Directed by Deo Abel
Follow Bando MC On:
Instagram: bando_tz?igshid...
Facebook : web. bandomcoffic...
Twitter: mussabando?lang=en
TikTok: www.tiktok.com/t/ZM2Rv917o/?t=1
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 7 200
KARIBUNI KUSIKILIZA WIMBO WANGU MPYA NAAMINI UTAWEKA ALAMA CHANYA SANA BANDO FT DAWAY -SIR GOD kzread.info/dash/bejne/m5dklqZsgsbJitY.html
@roney5584
4 ай бұрын
Hiii nyimbo ni balaaa🔥🔥🥰
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
🎉🎉
@roney5584
4 ай бұрын
Sir god🔥🔥🔥🔥
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Kaka hii ndom ya mwaka
@vedastusmkemia1117
4 ай бұрын
🎉🎉naogopa uoga ambao hauniogopesh 😂😂
Mungu akufikishseeee uko panapostahiliiii maaana unajua xanaaaa kkh
@BandoMC
4 ай бұрын
Amen
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Full blessing sir god ndo Maan Nipo hapa leo
Huu wimbo nimeuskiliza mara 25 kwa leo, kiukweli umetisha sana, kama na wewe unakubali huu wimbo gonga like tujuane.....one love💪
@user-ib2dq4ru3b
3 ай бұрын
Hata mm jmn sichoki kuusukiliza kipenzi
@EvelineNamajojo
3 ай бұрын
Hata Mimi Leo nasikilizia tub 🥳🥳🥳
@AbdulkareemMkwamba-rl4qt
2 ай бұрын
😮
@Liltg12
2 ай бұрын
Huongo 😂😂😂😂
@user-ik9yk6rl7x
2 ай бұрын
Dah kuanzia morning naiskza Ina message inayoishi
Mungu bariki saaaaaaa da please like kama umekubali hoi ngoma
Nyimbo naipenda san hii jmn
kama una ikubari hii ngoma gonga like tufike 100k jaman mashabiki wa bando
@BandoMC
3 ай бұрын
Hatareee
Mungu sio baba Ako ndomaana anawapa utajili wale hambao maadui zako
@chazzylukumay2059
4 ай бұрын
Ayee
@BandoMC
4 ай бұрын
Kabsa
@mellojazzyofficial
4 ай бұрын
@@BandoMC noma anko🔥🔥🔥
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Full blessing sir god ndo Maan Nipo hapa leo❤
Wenetu mmeuwa sanaaa kwenye hii nyimbo
Hii combination wakiiidumisha watavuka mipaka ya Africa niamini....ipo siku mtakuja kuikumbuka hii comment❤.
Hili ni movie la kutisha✅
@roney5584
4 ай бұрын
Italogwaaa hiii ngomaa🔥
Daway ameuwa sana humu ndani Kama unakubali hili gonga like yako tu support ngoma
@godey_tz
4 ай бұрын
Anajua sanaa Mzee
@godey_tz
4 ай бұрын
Shy town boe
@BandoMC
4 ай бұрын
🙏
@user-kiddfuture1i
4 ай бұрын
Sio pw
@slavemaster0867
4 ай бұрын
Bando fundi
Congratulations Bando mc kwa sir God Ww ni mnoma mwamba
Uliye mwazima kiatu leo, kesho anaweza kukukata mguu. Shy Town Boi.
Aliyeimba chorus ndo kafanya niusikilize huu wimbo mpk mwisho hata mchanaji hujaniangusha 🔥🔥🔥🔥
@BandoMC
3 ай бұрын
Asante sana
@zakayojohn7137
3 ай бұрын
shytown boy nakukubali kinomaaaa🔥🔥
@GloryCharles-tb2lu
2 ай бұрын
Sana yan sauti pia uko pw❤❤❤
Bando anastahili pongezi kwa kuleta wimbo kama "Sir God" ambao unachochea mazungumzo na uelewa miongoni mwa jamii za Kiislamu na Kikristo. Kazi yake ni ya kuvutia na inaleta matumaini kwa mustakabali wa umoja wa kidini. Kama una amin Huna roho ya kutu niunge nipe 👍 like
@BandoMC
4 ай бұрын
Amen
@user-kiddfuture1i
4 ай бұрын
Hatare sana
@roney5584
4 ай бұрын
Oaaaaaaa 🔥🔥🥰🥰🥰hiliiii jimbo sio poa
@Colestyezz47
4 ай бұрын
😅
@godey_tz
4 ай бұрын
Goma Kali sanaa aseee
Na wakubali sana kabisa ❤❤❤❤🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Wimbo mzuri hivi harafu views wachache hivi shida nini? Au ndo kusema wengi wanapenda nyimbo za mapenzi da tunafaeli sana, wimbo huu mzuri tena wenye mahadhi ya ki Mungu
@Polepole1
2 ай бұрын
Ni mshangao mkubwa sana🤔
@abduljembe6608
2 ай бұрын
Kaka wabongo wanataka mpaka aimbe Diamond au Kiba kama sio Harmonize ni watu wa kukariri tuna vipaji vingi ila wanasikiliza wale wale tu wakibadilisha basi J Melody,Mario, Jux au Barnabas wamemaliza
@user-ze5ps6uc8m
Ай бұрын
Wakiumwa ndo wanazijua nyimbo za Mungu
@ntullyjanga33
Ай бұрын
Imekopiwa kwa burna boy wimbo wake wa common person
@JosephMwasamwene
Ай бұрын
Nyie tena wajua kacopy na wew uturetee tusikirize @@ntullyjanga33
akubari wimbo wa kupendwA na watu wote❤❤
@BandoMC
4 ай бұрын
Rashii
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Sir god 🙏 ana bless ndo maan nip hapa leo
Noma sana NGOMA MPYA BANDO MC UMETISHA Sir God ..🎺
@BandoMC
4 ай бұрын
🙏🙏
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Sir god 🙏 ana bless ndo maan nip hapa leo
Bando muacheni apewe mauwa yake anajuwa sana miye Hadi saizi huuwimbo nasikiliza TU Toka asubuhi huyu bwana anajuwa sana
Bando tumetoka mbali embu piga like apa
@Juliusmmgeta
Ай бұрын
Kanafaa anafaa tena🎉
Huyu jamaa kaigongaaa iyo korasiiii 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
@user-kiddfuture1i
4 ай бұрын
Kaua sana
@roney5584
4 ай бұрын
Ana balaaaaa sab🔥🔥🔥
@FredJames-ev4vl
4 ай бұрын
Balaaa
@godey_tz
4 ай бұрын
Hatar
@godey_tz
4 ай бұрын
Mzuka sanaaa
Kwa hii chorus Kali ....Naombeni like zangu 20 tuu Ilitwende sawa ....maana hii chorus ni ya mwaka
@Jumaloke
4 ай бұрын
Mtoto anajua sanaa
@Jumaloke
4 ай бұрын
Apewe Kijiji chake
@Jumaloke
4 ай бұрын
Amesogea ivyoo
@Jumaloke
4 ай бұрын
Haikua laisi
@slavemaster0867
4 ай бұрын
Hatar aisee
umekaa ukaaandika nyimbo nzuli san🇹🇿💯👈💥💥💥💥💥💥
Hauwezi kukosa neno lenye kukujenga katika song za Mc Bando nakubari big song yenye maudhui makubwa
Huyo daway ni mnoma kinoma💥💥💥
@roney5584
4 ай бұрын
Daway anabalaa
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Ngoma ya mwaka sir god
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Sir god 🙏 ana bless ndo maan nip hapa leo
Nipo nmekaa kwenye kiti cheupe nangoja ngoma nyeupeeee SIR GOD daaaah uuu mwaka ni wa shaytown bongeee😂😂🔥🔥🔥🔥
@BandoMC
4 ай бұрын
Nakukaribisha kusikiliza na kutazama video ya wimbo wangu mpya 🙏🙏🙏 @bando_tz X @dawaystar SIR GOD 👇 kzread.info/dash/bejne/m5dklqZsgsbJitY.html …
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Sir god 🙏 ana bless ndo maan nip hapa leo
Nishavunjwa mbawa ili mradi angani nisipepepee🙌🙌🙌🙌🙌
Ujumbe mzuri sanàa Hakika sir, GOD anablesss Kila leooo
uliemuazima viatu leo kesho ndo anaweza kukukata mguu👐🔥
@godey_tz
4 ай бұрын
Sir God
@godey_tz
4 ай бұрын
Blessing
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Sir god 🙏 ana bless ndo maan nip hapa leo
Nice nice my favorite songs on this month 🤞🏼👊🏼
@BandoMC
4 ай бұрын
Thanks
Kila siku nilikuwa nasikiliza huu wimbo Kwa majirani ila Leo Kuna jambo limeufanya huu wimbo uimbe Moyoni MWANGU Continuesly . nimejikuta nimekuja hapa kuusikiliza Rasmi. one of the Best song ever. "Bidii hainaga Desturi ya kumtupa Mtu" Sir God It's Only SIR GOD
Bonge la ngoma🎉🙏
Bando unampango gan na sisi sio kwa hitsongs hizi❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@godey_tz
4 ай бұрын
Hit daily
@godey_tz
4 ай бұрын
Balaa zitoo
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Sir god 🙏 ana bless ndo maan nip hapa leo
Sasa nimelizika ahaa kaka bando Sina den na ww kiukwel unajua nn tunataka mashabiki na kwa wakati Gani hivyo umekuja wakat sahihi kabsa kazi nzuri hatujutii kukushabikia maan tuna pata tunachostaili kila la heri _Sir God
@BandoMC
4 ай бұрын
Asante sana
@dasmoon225
4 ай бұрын
Pamoja kk nipo nyuma yako
Nauskiza nikiwa kisumu kenya nipe japo kopa ❤❤
😂Nimeumia sana kuona nyimbo kali kama hii yenye kutia amasa na hari ya kupambana kwa muda wote huu imekosa ata viewers laki tano, hakika wabongo tunapanda nyimbo za ovyo kuliko zile zenye jumbe ulio njema . big up brothers mmefanya kitu kikubwa naamini MUNGU atawapa riziki yenu ata kama si leo ata kesho ipo.
Aseee huyu Daway amenyoosha haswa kwenye chorus..... Sir God bless us
@God12365
4 ай бұрын
Verse kali
Ngoma kalii xana aixeeh🔥🔥
@Petro635
3 ай бұрын
Sana
Ndyo naskiza nasauti nimeongeza naupenda mnooo❤❤
Nyimbo nzuri sana
Nakubali mzee baba mabadiliko ni makubwa na tulipotoka Tisha sanaaa 🎉🎉
@roney5584
4 ай бұрын
🔥🔥🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼hatr
@roney5584
4 ай бұрын
Oaaaa eee hiii nyimboooo ni Kali Sanaa🔥🔥🔥🙏🏻🙏🏻
Brother uuuh mzigo unastaili 🥇
@BandoMC
4 ай бұрын
Nom
Da mnatisha Sana kwakweli Mpo juuu Mna Maua yenu Kwa Mungu
Kipaji makin mistari imetuli✊🏾. Have more blesses bro #hustler-on-top📌
Kali sana hii sir god
@roney5584
4 ай бұрын
😞😞😞😞🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Bando umetishaa 💪💪san time will tell
@BandoMC
3 ай бұрын
Kaua
huu wimbo utafika mbali sana kaka, GOOD SANA ACHANA NA MAMBO YA KUTUNGA KUHUSU POMBE NA MAPENZI PENZI UTAFIKA MBALI🙋♂️
Uyu Kuma aloimba kitikio kaua sana
@user-ib2dq4ru3b
3 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@𝑴𝒆𝒏𝒕2𝒌𝒛𝒚
Ай бұрын
Daaah watu Wana akili fyatu sas k ya nn sas??
BANDO MC ni kati ya wasanii wachache wanaotoa nyimbo zenye maadili na ujumbe mzuri. Nakupongeza Kaka kwa kazi yako nzuri straight outtab Mombasa, Kenya ,🇰🇪🇰🇪
@chazzylukumay2059
4 ай бұрын
Asante sana
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Sir god 🙏 ana bless ndo maan nip hapa leo
Nawakilisha Mbeya Town naomba japo Like 20 tu ❤❤❤🎉
@BandoMC
3 ай бұрын
Noma
@teacherjackobo-qn9vx
3 ай бұрын
Umetisha sana Bro
@MoneyKey247-fk4oy
3 ай бұрын
Ngoma ya kwendaaa sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mbeya town support ipo ya kutosha kwKo mkuu
Kwelii mzikii ni nyota ngoma kalii kama ina views wchache kwelii sioo hakiii tuache kubagua wasanii
Msisahau na Hawa nao wajengewe masanamu Yao❤❤❤❤
ShyTownBoi 💥💥✊✊
@BandoMC
4 ай бұрын
Kado
@Chibertv
3 ай бұрын
Nitampa dada 😂😂😂
@Chibertv
3 ай бұрын
Mwamba anajua kwa hip-hop tu hkn kama yeye
Ni nomaaa sana
@roney5584
4 ай бұрын
🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼
Pongezi kwa muandishi.. Pongezi kwa kiitikio.. Pongezi kwa producer.. Pongezi kwa video producer… Pongezi kwa kazi hiiii.. ✅
Yan huu wimbo mm unanifanyia mpka watoto wangu wa nashangaa naurudia kila mda mda
Sir God Hatar shwaaa✈️✈️✈️
@ChangeBtz
4 ай бұрын
Trending song aseee
Daway Ana hatri sanaa🔥🔥🔥🔥sir god
@godey_tz
4 ай бұрын
Bless 😂😂
@godey_tz
4 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂
@BandoMC
4 ай бұрын
Shukran
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
🇯🇲 sir god bonge la Ngoma wanahitaji mau yao ngoma ya mwak
Mziki mzurii culture
Wimbo huu aliyeuimba anafaa apewe maua yake.ongera sana umenigussa yote hayo nimeyapitia.Mwenyeezi mungu atuepushe nayo Aamiina.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇹🇿daway una balaaa
@godey_tz
4 ай бұрын
Mzukaaaa
Ngoma Kali sana respect my broh
@God12365
4 ай бұрын
Bado lingine linakuja linaitwa SIR GOD remix
Aiseee hii Ngoma ni Kali San jamaa uyo aliepiga kolasi azingatiwe anavocal Kali San anasound Kam marioo flan iv pia beat Kali flow waooooh 🔥 najua bando anamistar flani Kam contawa uchok kumsikiliz all in all Ngoma Kali San jaribu kupush hii ngoma izid kwenda kutok moyoni ngoma nmeipenda mno... congrats kwako
@user-ib2dq4ru3b
3 ай бұрын
Mm mwenyewe nikajuwa mariooo
Tanzania my country ❤aiseee bonge la nyimbo ujumbe mzuri,sana
Huna baya kaka mkubwa 🔥🔥🔥🔥💯 sir god
@BandoMC
4 ай бұрын
Oii
Full blessing sir god ndo Maan Nipo hapa leo🎉🎉🎉
@God12365
4 ай бұрын
Bless
Nyimbo nzuri sana.,...bonge la coras
Cpendi muziki ila nyimbo zenye msg kama hii huwa nasikiza maana anayazungumza maisha yanga
Sir God 🥰🥰🥰🥰🥰🔥lazimaa atende Sir God
@BandoMC
4 ай бұрын
Ewa
@God12365
4 ай бұрын
Boom
Bravo j'aime cette belle mélodie🎉🎉, nime kubari sana tokea Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🎉
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
🎉🎉
Eeeish generations showing off with Jesus 🎉🎉I loooove it🔥🔥🔥❤️Sir God ndio maana nipo hapa 🔥🔥
Nawakilisha Kenya hapa wapi upendo
Killing verse my brodah Kaza msuli ukipata juu✊✊✊
@BandoMC
4 ай бұрын
Nooma
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Sir god 🙏 ana bless ndo maan nip hapa leo
@user-rc5ky6cx6n
25 күн бұрын
@@BandoMCMakini sana shy twn boy
Hiiii nyimbooo imenitoaaa machozi san
@BandoMC
4 ай бұрын
Kukiwasha
@BandoMC
4 ай бұрын
Sana
@God12365
4 ай бұрын
Salut
Ama kweli wimbo ni mzuri vya kutosha
Bonge la bang mmeua kinomaaa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Ngoma kalii kinoma 🔥
More money, more bless,more success 🙏🙏🙏
@godey_tz
4 ай бұрын
More dollars
@roney5584
4 ай бұрын
Tumuombeee🥰🥰
Nawakilisha MWANZA naomba like 50
Nakueleza some of us if not for God yani our situations could not be explained . I love you God
Daway apeweeee ulinziiiiii kauwa sanaaaa
@God12365
4 ай бұрын
Done
daaah wimbo umenitoa machoz huu❤️🥹
@roney5584
4 ай бұрын
Kwasbabau unaelzeaaaaa ualisiaaa😞😞😞😞
@roney5584
4 ай бұрын
🥰🥰🥰🥰🥰
Hongera sana Mr Bando, kazi buti na uendelee kuelimisha jamii ya wa Tz mana wengi huwaza mabaya tu juu ya wengine na yote ni kwa sababu ya shida, keep it up Men. "Binadamu wengi paka uliyemwazima kiatu leo kesho anaweza akakukata mguu" daaahhhh
@BandoMC
3 ай бұрын
Asante sana
Bando huhawahi kuniangusha Soon muda utafika Mziki wako kufikia Watu wote na upewe kitichako 👑
Ngomaa.nkaliii sana
@Petro635
3 ай бұрын
Noma san
Oaaaa eee iiiii nyimbo Kali sana
@BandoMC
4 ай бұрын
Ooh
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
🇯🇲 sir god bonge la Ngoma wanahitaji mau yao ngoma ya mwak🔥🔥🙌🙌🙌
Mungu ana bless tu pamoja
The best inspirational Song ya mwaka. Kazi nzuri sana
Fresh mwanetu Ngoma Kali sana haipingiki Ngoma Fulani hivi ya wapambanaji respect blood 🔥🔥 umetisha kinoma chukua maua Yako💐💐🌹🌸
@chazzylukumay2059
4 ай бұрын
Ewaas
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
🔥🔥🔥
🎉🎉🎉 fire 🔥🔥
@BandoMC
4 ай бұрын
Firee
Romantic song ❤❤love frm🇧🇮🇧🇮🙏
Mwamba ni basi hatar like 20 all the way from Cairo
BIG BANGER 🔥🚀🚀
@BandoMC
4 ай бұрын
Ewaa
@BandoMC
4 ай бұрын
Sumu
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
Full blessing sir god ndo Maan Nipo hapa leo
Kazi ya kwenda....🔥👑
@goldpdancerofficial1540
4 ай бұрын
🔥🔥🔥🙌🙌🙏🙏
Wimbo mzuri sana kaka angu hongera sana
wimbo huu ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌🏻
Unyama sanaa hii ngoma
@BandoMC
4 ай бұрын
Nakukaribisha kusikiliza na kutazama video ya wimbo wangu mpya 🙏🙏🙏 @bando_tz X @dawaystar SIR GOD 👇 kzread.info/dash/bejne/m5dklqZsgsbJitY.html …
daway & bando you killed it 🔥
@BandoMC
4 ай бұрын
Ewa
Bando ananipendeza kwa staili yake ya kurappu kuhusu mambo ya dunia na kumhusisha mungu kama suluhu. Nyimbo zake zina ujumbe wa kipekee
@BandoMC
3 ай бұрын
Sana