Bando MC Ft Rocky - Naomba Tuongee (Official Lyrics Video)
Музыка
#NewMusic #bando #epicjourney #trending #newmusic
(C) Slide Digital
Bando MC Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/1kqop5
Written & Performed by Bando MC x Rocky
There are times when we go through challenges until we lose faith in God's presence, life is a mystery to us, we don't know when or what time God can help us, so we should trust him all the time
Follow Bando On:
Instagram: bando_tz?igshid...
Facebook : web. bandomcoffic...
Twitter: mussabando?lang=en
TikTok: www.tiktok.com/t/ZM2Rv917o/?t=1
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 1 800
NAOMBA TUONGEE Chorus Nishakutafuta kila Kona ya dunia ,unaishi wap wewe unaish wap?? Nishakuulizia kila Kona kila njia Ningejua nyumbani kwako mbona ningeshakutimbia ,unaish wapi wewe unaishi wapi?? Kama una muda tuongee (heiyeee eiyeee Lini Unamuda tuongee (eiyeee eiyeee) Kama una muda tuongee (eiyeee eiyeee) Pleas tuongee Verce Nimuda sasa nimezunguka kutafuta namba yako/ Nimeulizia kwa watu wanioneshe hata ndugu zako / Ilanilicho bahati kuoneshwa tu nyumba zako Nawakuta watumishi Nkiwauliza a juu ya mambo yako wanahis nawakejeli / Kama hata unacount ya insta nipe jina bwna / Mana namaongezi nawewe yakina sana / Wengine wanasema pengine nkucheki pitia maombi/ nshakuomba huu mwaka wa kumi naupo kimya sana / Au pengine me dhambi kuliko wengine / Hutaki ulipo weka kambi nifike pengine / Afu watu wanaposema kwamba MUNGU SIO athumani/ Huyu athumani ninani nimjue pengine/ Pengine anawezq akanambia kwanini / Kwanini kama MUNGU mmoja kuna ubaguz wa dini / Kwanin usiweke dini moja na hoja ingekuwa nimoja nadhan hata kila mmoja ingemuingia akilini/ Kwanini kuishi haturidhiki hata sjui kwanini / Kwann watu wanafariki ndo walioshika dini/ Nakama wewe unaishi juu ,natukifa tunakuja uko mbinguni Sa kwann tunazikwa chini / Nakuishi nikamari kama mchezo tu wakarata/ Umefanya game rap bongo imepungua marapa / ungenipa mamlaka yakuchagua wakumchukua / Ningemwacha godzillah kisha nkamchukua harmorapa/ Kwenye kifo cha AKA kipo ulinitchi/ Nijidefend sa vip kifo cha costa teach/ Au hupendi tunapofanya huu mziki/ Ila Kipaji siulitupa wewe ili tujitaftie ridhiki/ Unachukua wanyonge na unawaacha magaidi/ Nakwenye kesi Zao wanasema MUNGU shahid/ Binadamu wengi tunapenda utupende ila hakuna binadam anaependa umpende zaid / Kwan vocha ya shingap Inatosha kuongea na wewe big/ Maan namb yako juzi nimepewa na zumarid/ Kila nkipiga haipatikani sijui ya mchongo/ Maana zumarid nae story zake za uongo/ Dini imekuwa biasha imachange from the colour/ Wapigaji niwengi mpaka kuokoka nimsala/ Muumini akitaka gari kanisa linamuombea/ Mchungaji akitaka kanisa linamchangia/ Yupi Bora Mlevi anaekukumbuka MUNGU akiwa bar/ Au mlokole anaemkumbuka dem akiwa church/ Ndege wa angani ambae halimi na ashindi njaa/ Au mi nae haso kila siku nabado sipati / We ni mungu wawote mbona umeweka matabaka/ Umewapa matajir maskini ukawakata/ Pindi unaninyima why unaruhusu niwe na wivu/ Nakama unahuruma why unanipatia maumivu/ Dada angu anaaamini kwamba we upo kanisani/ Ndo maana anakesha akikuomba sana kanisani/ Hana Ajira mwaka watatu toka ahitim chuo/ Ila shoga zake wadangaj wanamafanikio/ Kaka angu nae anaamin kwamba upo misikitini/ Ndomaana anajitoa kila siku kuirdhini/ Familia inalala njaa yani kutwa kuchele/ Anajirani Yake mganga daily anapeta mchele/ Wanasema we nimkombozo me not ready/ we ndo Yulemajari kwenye ajari ya ndege/ Uliniumba kwa mfano wako kwahiyo me niwewe/ Kumbe nasumbuka kujitafuta me mwenyewe/ We uko wapi kwani nakutafuta/ Au upo kwa Mwamposa au we ndo Yale mafuta/ Wale watu uturuki Tuseme ndo umewasusa/ Sa mbon uneruhusu tetemeko nawamekufa/ Si nivipi nitaamini/ Maana inasemekana hata biblia imeandikwa na watu Kama mimi/ Labda niulize hivi ile siku ya kiham ipo/ Pengine nifununu Ila siku ya mwisho nikifo/ Ila acha tuamin upo Nahofu ya maisha isifanye tumpe binadam nafasi ya MUNGU/
@kibrahtz2687
Жыл бұрын
Naomba tuongeee😢😢😢😢
@lightheaventemba3760
Жыл бұрын
🙏👊👊👑🙌
@renatusmboya3526
Жыл бұрын
Umetisha sana broh
@ReekJay
Жыл бұрын
Chorus kaimba nani
@modimpoz7546
Жыл бұрын
Kaka aya maswali mbona majibu yapo kwenye biblia yote ujapata neema tu yakufunuliwa kk. Mungu yupo angalia tu usikufuru kwakushawishi watu waasiamini yupo nenolake linasema nitafuteni maadam ninaonekana ila hata sasa amjamtafuta . Pia kuna sehemu umesema wadangaji wanabarikiwa ila kaka wa msikitini ananjaa sijui unapaswa kujua neno lake lina sema Mvua yake uwanyeshea wote waovu na wema kwaiyo baraka za Mungu huja kwa wote na tato nikuhusu kusema biblia iliandikwa na watu wale walikua binadamu lkn wenye nguvu ya Mungu yaan manabii waliandia vitabu vile kwa uwezo wa roho na kwa pumzi ya Mungu biblia inasema HAPO MWANZO PALikua na neno nae neno alikuwa kwa Mugu na neno ni Mungu kwa mstari uwo inakuwa wazi kbisa kwamba neno la Mungu (biblia )ndio Mungu mwenyewe ivo kk ukilijua neno lake umemjua Mungu na ndio maana anasema kitabu hiki cha torati kisitoke kinywani mwako bali ukitafakari mchana kutwa na usiku je kaka unafanya ivo . Fanya unamuona ,Mungu na chakuongezea biblia ina sema wanitafutao kwa bidii wataniona je unamtafuta kwa bidii. Kuna jambo umeliongelea hapo la kufa kwa. Costa niliweke ivi Mungu alipo kuumba aliweka kusudi ndani yakila mtu na mtu unapitimiza kusudi lako huna budi kuendelea kuishi je ww na mm makusudi ya kuumbwa kwetu unayajua . Ukijua utakua sio mwepesi wakuuliza ilo swali kwann kamchukua costa kwanza na sio hamo ,nisawa foil imetengenezwa ili kuifadhi chakula na ikishafanya kazi yake haitumiki tena ndio wanadamu mfano ww unakuta uliumbwa ili uje umzae mtt ambaye atakuja kua kiongozi mkubwa wa taifa ili utimizapo kusudi tu zile siku zinazobaki ni kama neema ya Mungu . Pia kaka umeuliza kua kama Mungu alikuumba kwa mfano wake maana yake ww ni yeye ila kwann unasumbuka kujitafuta . Neno linasema NAKASEMA TUMFANYE MTU UYU KWA MFANO WA SURA YETU NA AKATAWALE VYOTE VILIVYOMO DUNIANI, sasa apo Mungu alimaaninsha mfano wa yy katika roho Mungu ni roho na sio mwili ,mwili umefinywangwa kutoka kwenye udogo na Mungu akutoka kwenye udongo ,ndio maana ukifa roho yako inaenda mbinguni kuhukumiwa kwa mema na mabaya na kwa kila neno ovu na jema litokalo kinywani kwako na kwa yale mema uliofanya wakati wa kuishi kwako na ndio maana Mugu anasema katika WAEFASO 6:10 NA MZIDI KUA HODARI KATIKA BWANA NA KATIKA UWEZA WA NGUVU ZAKE ZABURI 105:4 INASEMA MTAKENI BWANA NA NGUVU ZAKE ILI UMJUE LAZIMA UWE NA NEEMA NA UJAZO WA NGUVU NA MAARIFA YA KIROHO KINYUME NA HAPO KAKA UTAKUA KAMA WATU WAMATAIFA WALIOPOTOKA KWA KUKOSA MAHARIFA . Nena lake limesema hata sasa amjapata kwasababu amuombi na pia maadam anaonekana mtafuteni kwa bidii na mtamuona Nikwa ayo machache nitakua nimekusaidia kaka mm ni shabiki wa mziki wako MO __DIMPOZ @BANDO RUDI KWENYE BIBLIA
Tunasubiri sana,waliofika hapa baada ya kuiona TikTok tujuane Kwa like
@chazzylukumay2059
Жыл бұрын
Oyooo
@amonkogo8370
Жыл бұрын
Mara hiyo hiyo
@dorcaskathure3169
Жыл бұрын
😢😢mimi hapa nmekuja kutoka tik tok
@paduaprosper5262
Жыл бұрын
🔥🔥🔥
@touristmorgan4090
Жыл бұрын
Mara pap😂
Mm hujiuliza kama Kuna msaa mzuri Tanzania nitachukua bando bt nyimbo zake mzuri sana hazina views mbona na bando nimsani mkubwa sana we need to support this man anakipaji 🎉🎉
Sijawahi amini kanisa wala msikiti dini zinaunafki mwingi naamini mungu yupo kwahiyo kila mtu ataishi kwa imani yake
You killed in short tunadanganywa na din mungu hayupo tuabudu mizimu yetu African
@AlexRichad
28 күн бұрын
Mmmmhu
Oya kama umerudia hili gomaa gonga like hapa na urudie mara kwa mara
@zackyflavour4135
Жыл бұрын
Atu likeee
Mungu ni mwaminifu akupe majibu ya maswali yako kwaajili ya utukufu wake 🔥🔥🔥🔥
@samtokarubandika387
11 ай бұрын
Amina
hii ni message na sii kila mtu ataelewa...lots of love❤❤ from Kenya
Sema umekufulu sana mzee kama unamaumivu yaweke ndani ya moyo broo we nimsanii mzuri ila huku unafel
Watu Tunataka Ngoma Zenye TUNGO Kama Hizi, Sio Mataputapu Aiseee! Big Up Mzee Bando Mc✊🏿🔥🔥
@BandoMC
Жыл бұрын
Kwel man
This ain't a song,its a prayer 🙏.. much love and blessings from KENYA 💯🇰🇪🔥
@BandoMC
Жыл бұрын
Karibu kusikiliza wimbo wangu mpya👇 kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html
@elishayaredi3653
Жыл бұрын
Deah ngoma nikali sana ❤❤❤❤ bando wewe ni hatariiii
@dahustlerlawrence731
Жыл бұрын
Kabisa..
@yohanatweve5721
Жыл бұрын
Shikamoo ???
@Alex_Anania
Жыл бұрын
@@BandoMC Hii Ni ngoma ya maombi,inapaswa ipigwe pia kanisani
Hii nyimbo inafikirisha sana kuhusu imani za kidini iv kweli ndo mungu anataka tufanye mbona dini zinaleta machafuko na utengamano katika jamii zetu
daah,,bando umetisha kinoma iyo nyimbo...#sange# hapa kaka one love pamoja sana
"Binadamu wengi tunapenda utupende ila hakuna Binadamu anayependa umpende zaidi" this is my best Lyrics in this song Mr Bando🙏
@BandoMC
Жыл бұрын
Noma sana
Hhhhhhh wadaishA Hamorapa ni bonge La L0Ss😂😂😂mziki mkali br0ther_man🙌🔛🔝💯🇰🇪🇰🇪
Daaah yaan we jamaa sijui unakwama wapi mshkaji wangu, goma la kwenda kabisa hilii,
@BandoMC
Жыл бұрын
Sure
Mwamba umenisababisha kila nikiboreka nasikiliza huu wimbo wako masaa yote. Salute kwako Mwamba
Huez andika hii ngoma wala kurecord buth kam hauko kweny feeling za hali ya juu..this song is real thing🔥🔥
@chazzylukumay2059
Жыл бұрын
Noma sana
@moviedipdozen550
Жыл бұрын
Feelings
Hivi hii mistari mnataka kusema hamuioni au rock mbaya tu.... Big up Bando
Duuh!! Kwamba Mungu Si athumani??? Afu unataka kumjua athumani !! Daaah hatareee sanaa
"Uliniumba kwa mfano wako kwahiyo me niwewe Kumbe nasumbuka kujitafuta mimi mwenyewe" Deep
@lengfordmoses2938
Жыл бұрын
Deep mno
@rogathesarwatt
9 ай бұрын
Im God
Nimesikiliza zaidi ya mara 10 @Bando mc hii ngoma ni kari sana❤
Asa mbn akiimba ney mnamdis nyimbo km izi akiimba Mwingine fresh tu
Nilikua Kila saa naskiliza tungo kwenye "dear God" ya Dax ambae ni rapper wa mbali uko, but am glady Leo naskiliza the same spirit energy and flow from homeboy✊
This is a masterpiece. He’s a lyricist, knowledgeable about geopolitics and entertainment industry. The religious issues he raised are pertinent too. Much love from Kenya🇰🇪
@BandoMC
Жыл бұрын
Thanks
maisha ni fumbo kwetu hatujui muda wala saa Mungu anaweza kuwa msaada kwetu, hivyo yatupasa kumuamini muda na wakati wote.
@clementkingu963
Жыл бұрын
kazi nzur sana bando mc,kazi nzur sana jay drama pia bill lenz...nmependa kwan bando kamalizia kwa kuamin Mungu yupo na anamtafuta waongee....big up fam
da hongera sana umejua ntamani angarau nikuone jamani nikipe zawad dah umeweza umepangiria vizuri sana 🙏🙏🙏🙏🙏
@BandoMC
Жыл бұрын
Asnte sana dm me instagram @bandotz
Mungu wangu kaka anajua aana plz mungu mtoe kupitia huuu wimbo❤❤❤❤
@BandoMC
Жыл бұрын
Amen
Aliyeludia kuangalia hii video zaidi ya mala mbili Kama mimi gonga like twende sawa.
Watanzania mko na talent❤
@BandoMC
Жыл бұрын
Bless
Tukasepa huo ndo mwanzo wankujuana na bando AMEN
miaka itasonga huu ujumbe na akili kubwa itaendeleza mijadala. Hongera Master BANDO
Maturity, Intelligent and creativity revealed in this song.
@BandoMC
Жыл бұрын
Bonge la wimbo
@fashekcmb9927
Жыл бұрын
Tangu nimskize kwenye kumi ZA maangamizi...jamaa amedhihirisha Ana kipaji... Bando MC namtambua...
Sijawahi kupenda HIP HOP lakini Bando umenikosha… hii song ni hatari i love it❤…
@BandoMC
Жыл бұрын
Ur welcome
Speechless #nakuombea mziki wako ukue dunia ikujue
@geraldadolf4928
5 ай бұрын
T
Uko Sahihi Kabisa Kutafuta ukweli na uwazi kuhusu MUUMBA WA MBINGU NA NCHI ila Turudi kwenye Maandiko Yanasema AKIRI ZA MUNGU HAZICHUNGUZIKI Ahsante
This was so touching 😢😢😢😢... Umeongea ukweliii Mungu atusaidie😢😢🙌🙌🙌
Shy boy i have seen maturity in this piece,kwenye lyrics every single word is a word to bold,kwenye flow as usual maji unamimina,very creative beat mwanzoni,kati,mwisho ni viatatu tofauti ukizungumzia,chorous ni mbili mwanzo na mwisho umeleta kitu kipya but finally umeoenesha pia kuwa you can sing,mwanzoni nilidhani kiitikio kaimba mtu mwingine.Wewe ni mmoja ya marapa wakali kwenye hii new hip hop generation.
@BandoMC
Жыл бұрын
Thanks sana
BIG SONG BANDO, SO MUCH QUESTIONS ,INAHITAJI MTU MWENYE UBONGO ULIOFUNGUKA. CONGRATS.
@BandoMC
Жыл бұрын
Asnt sana
Naupenda huu wimbo mpaka sijielewi Bando umeweza
@BandoMC
Жыл бұрын
Asant sana
Nimepata msisimko💔😭🙌let's take over the game brother 💯
@BandoMC
Жыл бұрын
Hatareeee😊
Moja kati ya nyimbo Bora sana kutoka kwa Bando.
@BandoMC
Жыл бұрын
Asant sana man
@farajansekela5763
Жыл бұрын
Bando umetisha umeumiza kichwa,,,,
Bando mc huu wimbo kweli umefikilia kwakina pia umepatia story umenigusa hisia nakukubali brother❤🇹🇿
Naomba tuongeee......nsipomwona TMA awards 2024 nahama nchi kaka asubuh
Lyrical Genius ✊🏾
@BandoMC
Жыл бұрын
Juma Pili Njema fam🙏 Hivi watu wanaposema kwamba MUNGU sio athumani huyu athumani ninani?? Nadhani huu wimbo upo Sawa 👇 NAOMBA TUONGEE 👇 kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html
This is my prayer from today❤❤❤
NAOMBA TUONGEE aise ww kijana umeshindikana daaaahhiii BANDO we ninomaaaa jaman
Hii tunasema the Bid bland from SHY town woww!!
from +257 burundi nimerudia hii ngoma zaid ya mara 10 kusikiliza bando 🔥
@BandoMC
Жыл бұрын
The winner
Waiting is over now🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥
@BandoMC
Жыл бұрын
Noma
Brother bando umeuwa San Ngoma Kali San kila hatua DUA🙏🙏
@BandoMC
Жыл бұрын
Asant sana
Bando kaka..!! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Umaarufu wko upo Huku..!! Punguza Nyimbo za Mapenzi muachie J melody
You got it BRØ 👊 keep climbing, keep spitting on this🌟 u know knoma🌟
Naomba tuonge 🔥🔥💣🥶
🔥🔥🔥🔥🔥hiliii gomaa hatariiiii duh
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤔🤔🤔💯💯 hujawahi kubaatisha bando daaaah bigap broo
THE FIRST TO COMMENT.. NAOMBA LIKES TAFADHALI
More love,,, more talent,,,,,,, more power,,,,,, more consistency,,,,,,more creativity
@BandoMC
Жыл бұрын
Asant snaa
@jaykipenzi
Жыл бұрын
@@BandoMC wewe nikiboko kaka
Hii ngoma ni hatari sipendi hip hop lakni hii nasikiliza mara tatu kwa siku huwezi amini... Keep moving kijana shout out
Tumefungua mwez wa Nne na goma kali respect Bando
Wow this song is fire 🔥
Big up bando , Mistari imeshiba zaidi ya bando la buku ten , yaani hii kubwa WiFi , naskiliza apa tunaenjoy wife and i , bro u gonna be an African eye , masnichy na haters gonna be all shy , mungu akunehemeshee kipaji chako bro hadi wajiulize y u goona be great bro zaidi hata AY .... Big up bro it me fellow artist job k wadinasi
Yani hii ghoruse namuona jux,, angekaa Ingelikua Noma sana🙏🏽
Hongera, umenikumbusha enzi za roma. Ila umefunika sana
NATIONAL ANTHEM 💥💥💥
@BandoMC
Жыл бұрын
Naam
We finally have a hit my boy 🔥🔥🔥
🔥🔥🔥🔥Aisee kaka eeh .....🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Ungekuwa na YESU MOYONI MWAKO usingeuliza hata hayo maswali, There is no answer outside JESUS CHRIST.
@MariaKapinga-el4gt
2 ай бұрын
No jesus in the world
Certified & Verified National Anthem ⚡✌️
@BandoMC
Жыл бұрын
Asant sana
"Na hofu ya maisha isifanye tumpe shetani nafasi yako" 🔥🔥🔥
@BandoMC
Жыл бұрын
Fam
Daah tuongeee imeninyookeaa Moja Kwa moja Leo tu nishamwambia tungee lakin mpaka xaxa hajapokea sim
Bando wewe ni mkali sana..wimbo unaelimisha na ,unafikirisha
This ninja is just on another level #BandoMC much love from +254 #001
@barakafredy6860
Жыл бұрын
Kipaji kinahusika💥✍️
@barakafredy6860
Жыл бұрын
Uandishi bobevu ndicho kinachoonekana?????????
Baba baba 🙌🙌
@BandoMC
Жыл бұрын
Mj
@mjthefuture96
Жыл бұрын
Maongezi Yako mwake
Shay town boy on air,🔥🔥🔥🔥🔥🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Kaka Nyumba zake na watu wake wanakukejeli !!! Kikubwa i Imani ako tuu Broo!!! Kwan ndo Binadamu tulivyo ann
MHHHH 😢 NASHINDWA KUSEMA KAMA NI KIPAJI AU UMEANDIKA UKIWAZA DUNIA INAVYOENDA🙌🇹🇿 BRO UNASTAHILI KITI NA UKIPATA MUNDA TUONGEE🎧🔥💫
@BandoMC
Жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html
@BandoMC
Жыл бұрын
Blood
Fire❤🙌
@BandoMC
Жыл бұрын
Ewaaa
Hii n zaidi ya creativity na reality kaka 👏🔥👏 @BandoMc #Bando
Acha nitembee na hii, NAOMBA TUONGEE
Killer💯🙌🙌
@BandoMC
Жыл бұрын
My g
So nice song my brother Bando big talent bro we still wait for more hits like this. We also wonder "kwann kila kitu kuhusu yeye ni mdaharo usio kua na majibu..? "😢😢😢
@BandoMC
Жыл бұрын
Juma Pili Njema fam🙏 Hivi watu wanaposema kwamba MUNGU sio athumani huyu athumani ninani?? Nadhani huu wimbo upo Sawa 👇 NAOMBA TUONGEE 👇 kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html
@shevibenard
Жыл бұрын
@@BandoMC hivi huwa unawaza nini maana mashairi ni ya moto huwezi amini
Nasemajeee BRO BANDO UMETIShaaaa
Mamen bando mc nakukubal sana kaka kazi makini sana💯👊
Kijana una akili sana🙏
@BandoMC
Жыл бұрын
Asant sana
Umetisha Sana Bro....Japo kama Kuna kufuru Ndani Yake🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@mohamedimusa2043
Жыл бұрын
Hajatisha hapo kwenye kufuru ndio kaaribu
@zemost
Жыл бұрын
@@mohamedimusa2043 Tena Sana
shy boy moto sanaaa bug up broo unajua sanaaa kama ngoma hii umeiludia kwa zumalid zaid ya mara mbil gonga like😂😂😂
Oyaa. Bando hii umetuliaa. Na ume kuaa creative kinomaa. Broo kaz ya motooo. Nime i watch more than 10 times💥💥💥💥💥
Ngoma kali kbs Brother Congo we love u so much Brother
Wewe ni noma sana brother
Kazi iyendeleee Broo amna kulala!!! Naomba Tuongeee🎧
Daah Ila Uturuki apo kak!! Umetisha
Kak kikubwa ni Imani ako tuu Broo!!!! Refer NAOMBA TUONGE ONE DAY YES BRO!!!!!!😊
Oya ee Kaka bando iwe isiwe ngoma na wewe yajaaaaaaaaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌😭😭
@BandoMC
Жыл бұрын
YUPI BORA Mlevi anaemkumbuka MUNGU akiwa bar/ Au mlokole anaemkumbuka dem akiwa church??? NAOMBA TUONGEE👇 kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html
Sanaa sana sana sana sana sana sana sanan 💥💥💥💥🎯🎯✊✊✊ Nakubali sana Bro
Kaka huu mkolas kama kapta jux🙌🙌
Tunasubiri kideo mzee baba Ngoma imetufikia kwa upana ila tunaomba kideo kitakacho endana na hili Goma mzee Bando
@BandoMC
Жыл бұрын
Kideo Tayar
Kumbe wakali wapo tu jmn ...mwamba Ni mkali hatar. amepita Kama kala Jeremiah ebu fanyej Colabo aise unajua Hongera Sana Bro...nakupa maua❤❤❤
Wana goma kaliiiiiiiiiiii😭🙌🙌🙌
Aty kwenye kes zao Mungu ndo shaidi !! Nakubali san Bro👊👊