Bando MC Ft Rocky - Naomba Tuongee (Official Lyrics Video)

Музыка

#NewMusic #bando #epicjourney #trending #newmusic
(C) Slide Digital
Bando MC Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.bio/1kqop5
Written & Performed by Bando MC x Rocky
There are times when we go through challenges until we lose faith in God's presence, life is a mystery to us, we don't know when or what time God can help us, so we should trust him all the time
Follow Bando On:
Instagram: bando_tz?igshid...
Facebook : web. bandomcoffic...
Twitter: mussabando?lang=en
TikTok: www.tiktok.com/t/ZM2Rv917o/?t=1
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 1 800

  • @BandoMC
    @BandoMC Жыл бұрын

    NAOMBA TUONGEE Chorus Nishakutafuta kila Kona ya dunia ,unaishi wap wewe unaish wap?? Nishakuulizia kila Kona kila njia Ningejua nyumbani kwako mbona ningeshakutimbia ,unaish wapi wewe unaishi wapi?? Kama una muda tuongee (heiyeee eiyeee Lini Unamuda tuongee (eiyeee eiyeee) Kama una muda tuongee (eiyeee eiyeee) Pleas tuongee Verce Nimuda sasa nimezunguka kutafuta namba yako/ Nimeulizia kwa watu wanioneshe hata ndugu zako / Ilanilicho bahati kuoneshwa tu nyumba zako Nawakuta watumishi Nkiwauliza a juu ya mambo yako wanahis nawakejeli / Kama hata unacount ya insta nipe jina bwna / Mana namaongezi nawewe yakina sana / Wengine wanasema pengine nkucheki pitia maombi/ nshakuomba huu mwaka wa kumi naupo kimya sana / Au pengine me dhambi kuliko wengine / Hutaki ulipo weka kambi nifike pengine / Afu watu wanaposema kwamba MUNGU SIO athumani/ Huyu athumani ninani nimjue pengine/ Pengine anawezq akanambia kwanini / Kwanini kama MUNGU mmoja kuna ubaguz wa dini / Kwanin usiweke dini moja na hoja ingekuwa nimoja nadhan hata kila mmoja ingemuingia akilini/ Kwanini kuishi haturidhiki hata sjui kwanini / Kwann watu wanafariki ndo walioshika dini/ Nakama wewe unaishi juu ,natukifa tunakuja uko mbinguni Sa kwann tunazikwa chini / Nakuishi nikamari kama mchezo tu wakarata/ Umefanya game rap bongo imepungua marapa / ungenipa mamlaka yakuchagua wakumchukua / Ningemwacha godzillah kisha nkamchukua harmorapa/ Kwenye kifo cha AKA kipo ulinitchi/ Nijidefend sa vip kifo cha costa teach/ Au hupendi tunapofanya huu mziki/ Ila Kipaji siulitupa wewe ili tujitaftie ridhiki/ Unachukua wanyonge na unawaacha magaidi/ Nakwenye kesi Zao wanasema MUNGU shahid/ Binadamu wengi tunapenda utupende ila hakuna binadam anaependa umpende zaid / Kwan vocha ya shingap Inatosha kuongea na wewe big/ Maan namb yako juzi nimepewa na zumarid/ Kila nkipiga haipatikani sijui ya mchongo/ Maana zumarid nae story zake za uongo/ Dini imekuwa biasha imachange from the colour/ Wapigaji niwengi mpaka kuokoka nimsala/ Muumini akitaka gari kanisa linamuombea/ Mchungaji akitaka kanisa linamchangia/ Yupi Bora Mlevi anaekukumbuka MUNGU akiwa bar/ Au mlokole anaemkumbuka dem akiwa church/ Ndege wa angani ambae halimi na ashindi njaa/ Au mi nae haso kila siku nabado sipati / We ni mungu wawote mbona umeweka matabaka/ Umewapa matajir maskini ukawakata/ Pindi unaninyima why unaruhusu niwe na wivu/ Nakama unahuruma why unanipatia maumivu/ Dada angu anaaamini kwamba we upo kanisani/ Ndo maana anakesha akikuomba sana kanisani/ Hana Ajira mwaka watatu toka ahitim chuo/ Ila shoga zake wadangaj wanamafanikio/ Kaka angu nae anaamin kwamba upo misikitini/ Ndomaana anajitoa kila siku kuirdhini/ Familia inalala njaa yani kutwa kuchele/ Anajirani Yake mganga daily anapeta mchele/ Wanasema we nimkombozo me not ready/ we ndo Yulemajari kwenye ajari ya ndege/ Uliniumba kwa mfano wako kwahiyo me niwewe/ Kumbe nasumbuka kujitafuta me mwenyewe/ We uko wapi kwani nakutafuta/ Au upo kwa Mwamposa au we ndo Yale mafuta/ Wale watu uturuki Tuseme ndo umewasusa/ Sa mbon uneruhusu tetemeko nawamekufa/ Si nivipi nitaamini/ Maana inasemekana hata biblia imeandikwa na watu Kama mimi/ Labda niulize hivi ile siku ya kiham ipo/ Pengine nifununu Ila siku ya mwisho nikifo/ Ila acha tuamin upo Nahofu ya maisha isifanye tumpe binadam nafasi ya MUNGU/

  • @kibrahtz2687

    @kibrahtz2687

    Жыл бұрын

    Naomba tuongeee😢😢😢😢

  • @lightheaventemba3760

    @lightheaventemba3760

    Жыл бұрын

    🙏👊👊👑🙌

  • @renatusmboya3526

    @renatusmboya3526

    Жыл бұрын

    Umetisha sana broh

  • @ReekJay

    @ReekJay

    Жыл бұрын

    Chorus kaimba nani

  • @modimpoz7546

    @modimpoz7546

    Жыл бұрын

    Kaka aya maswali mbona majibu yapo kwenye biblia yote ujapata neema tu yakufunuliwa kk. Mungu yupo angalia tu usikufuru kwakushawishi watu waasiamini yupo nenolake linasema nitafuteni maadam ninaonekana ila hata sasa amjamtafuta . Pia kuna sehemu umesema wadangaji wanabarikiwa ila kaka wa msikitini ananjaa sijui unapaswa kujua neno lake lina sema Mvua yake uwanyeshea wote waovu na wema kwaiyo baraka za Mungu huja kwa wote na tato nikuhusu kusema biblia iliandikwa na watu wale walikua binadamu lkn wenye nguvu ya Mungu yaan manabii waliandia vitabu vile kwa uwezo wa roho na kwa pumzi ya Mungu biblia inasema HAPO MWANZO PALikua na neno nae neno alikuwa kwa Mugu na neno ni Mungu kwa mstari uwo inakuwa wazi kbisa kwamba neno la Mungu (biblia )ndio Mungu mwenyewe ivo kk ukilijua neno lake umemjua Mungu na ndio maana anasema kitabu hiki cha torati kisitoke kinywani mwako bali ukitafakari mchana kutwa na usiku je kaka unafanya ivo . Fanya unamuona ,Mungu na chakuongezea biblia ina sema wanitafutao kwa bidii wataniona je unamtafuta kwa bidii. Kuna jambo umeliongelea hapo la kufa kwa. Costa niliweke ivi Mungu alipo kuumba aliweka kusudi ndani yakila mtu na mtu unapitimiza kusudi lako huna budi kuendelea kuishi je ww na mm makusudi ya kuumbwa kwetu unayajua . Ukijua utakua sio mwepesi wakuuliza ilo swali kwann kamchukua costa kwanza na sio hamo ,nisawa foil imetengenezwa ili kuifadhi chakula na ikishafanya kazi yake haitumiki tena ndio wanadamu mfano ww unakuta uliumbwa ili uje umzae mtt ambaye atakuja kua kiongozi mkubwa wa taifa ili utimizapo kusudi tu zile siku zinazobaki ni kama neema ya Mungu . Pia kaka umeuliza kua kama Mungu alikuumba kwa mfano wake maana yake ww ni yeye ila kwann unasumbuka kujitafuta . Neno linasema NAKASEMA TUMFANYE MTU UYU KWA MFANO WA SURA YETU NA AKATAWALE VYOTE VILIVYOMO DUNIANI, sasa apo Mungu alimaaninsha mfano wa yy katika roho Mungu ni roho na sio mwili ,mwili umefinywangwa kutoka kwenye udogo na Mungu akutoka kwenye udongo ,ndio maana ukifa roho yako inaenda mbinguni kuhukumiwa kwa mema na mabaya na kwa kila neno ovu na jema litokalo kinywani kwako na kwa yale mema uliofanya wakati wa kuishi kwako na ndio maana Mugu anasema katika WAEFASO 6:10 NA MZIDI KUA HODARI KATIKA BWANA NA KATIKA UWEZA WA NGUVU ZAKE ZABURI 105:4 INASEMA MTAKENI BWANA NA NGUVU ZAKE ILI UMJUE LAZIMA UWE NA NEEMA NA UJAZO WA NGUVU NA MAARIFA YA KIROHO KINYUME NA HAPO KAKA UTAKUA KAMA WATU WAMATAIFA WALIOPOTOKA KWA KUKOSA MAHARIFA . Nena lake limesema hata sasa amjapata kwasababu amuombi na pia maadam anaonekana mtafuteni kwa bidii na mtamuona Nikwa ayo machache nitakua nimekusaidia kaka mm ni shabiki wa mziki wako MO __DIMPOZ @BANDO RUDI KWENYE BIBLIA

  • @harunnjagi9417
    @harunnjagi9417 Жыл бұрын

    Tunasubiri sana,waliofika hapa baada ya kuiona TikTok tujuane Kwa like

  • @chazzylukumay2059

    @chazzylukumay2059

    Жыл бұрын

    Oyooo

  • @amonkogo8370

    @amonkogo8370

    Жыл бұрын

    Mara hiyo hiyo

  • @dorcaskathure3169

    @dorcaskathure3169

    Жыл бұрын

    😢😢mimi hapa nmekuja kutoka tik tok

  • @paduaprosper5262

    @paduaprosper5262

    Жыл бұрын

    🔥🔥🔥

  • @touristmorgan4090

    @touristmorgan4090

    Жыл бұрын

    Mara pap😂

  • @danielfabmaina8000
    @danielfabmaina80006 ай бұрын

    Mm hujiuliza kama Kuna msaa mzuri Tanzania nitachukua bando bt nyimbo zake mzuri sana hazina views mbona na bando nimsani mkubwa sana we need to support this man anakipaji 🎉🎉

  • @Japhary_HHA
    @Japhary_HHA Жыл бұрын

    Sijawahi amini kanisa wala msikiti dini zinaunafki mwingi naamini mungu yupo kwahiyo kila mtu ataishi kwa imani yake

  • @MariaKapinga-el4gt
    @MariaKapinga-el4gt2 ай бұрын

    You killed in short tunadanganywa na din mungu hayupo tuabudu mizimu yetu African

  • @AlexRichad

    @AlexRichad

    28 күн бұрын

    Mmmmhu

  • @lukamavoice5377
    @lukamavoice5377 Жыл бұрын

    Oya kama umerudia hili gomaa gonga like hapa na urudie mara kwa mara

  • @zackyflavour4135

    @zackyflavour4135

    Жыл бұрын

    Atu likeee

  • @lkudata90
    @lkudata90 Жыл бұрын

    Mungu ni mwaminifu akupe majibu ya maswali yako kwaajili ya utukufu wake 🔥🔥🔥🔥

  • @samtokarubandika387

    @samtokarubandika387

    11 ай бұрын

    Amina

  • @joseealexislenguumeni18
    @joseealexislenguumeni1810 ай бұрын

    hii ni message na sii kila mtu ataelewa...lots of love❤❤ from Kenya

  • @AziziSaidi-mg8br
    @AziziSaidi-mg8br Жыл бұрын

    Sema umekufulu sana mzee kama unamaumivu yaweke ndani ya moyo broo we nimsanii mzuri ila huku unafel

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 Жыл бұрын

    Watu Tunataka Ngoma Zenye TUNGO Kama Hizi, Sio Mataputapu Aiseee! Big Up Mzee Bando Mc✊🏿🔥🔥

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Kwel man

  • @willinjowritter206
    @willinjowritter206 Жыл бұрын

    This ain't a song,its a prayer 🙏.. much love and blessings from KENYA 💯🇰🇪🔥

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Karibu kusikiliza wimbo wangu mpya👇 kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html

  • @elishayaredi3653

    @elishayaredi3653

    Жыл бұрын

    Deah ngoma nikali sana ❤❤❤❤ bando wewe ni hatariiii

  • @dahustlerlawrence731

    @dahustlerlawrence731

    Жыл бұрын

    Kabisa..

  • @yohanatweve5721

    @yohanatweve5721

    Жыл бұрын

    Shikamoo ???

  • @Alex_Anania

    @Alex_Anania

    Жыл бұрын

    @@BandoMC Hii Ni ngoma ya maombi,inapaswa ipigwe pia kanisani

  • @wewa7329
    @wewa7329 Жыл бұрын

    Hii nyimbo inafikirisha sana kuhusu imani za kidini iv kweli ndo mungu anataka tufanye mbona dini zinaleta machafuko na utengamano katika jamii zetu

  • @sangenyanda-jw5vs
    @sangenyanda-jw5vs Жыл бұрын

    daah,,bando umetisha kinoma iyo nyimbo...#sange# hapa kaka one love pamoja sana

  • @hosammwinchea4391
    @hosammwinchea4391 Жыл бұрын

    "Binadamu wengi tunapenda utupende ila hakuna Binadamu anayependa umpende zaidi" this is my best Lyrics in this song Mr Bando🙏

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Noma sana

  • @hamsojuve432
    @hamsojuve432 Жыл бұрын

    Hhhhhhh wadaishA Hamorapa ni bonge La L0Ss😂😂😂mziki mkali br0ther_man🙌🔛🔝💯🇰🇪🇰🇪

  • @gerry_macopper3808
    @gerry_macopper3808 Жыл бұрын

    Daaah yaan we jamaa sijui unakwama wapi mshkaji wangu, goma la kwenda kabisa hilii,

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Sure

  • @shayoalakara1084
    @shayoalakara1084 Жыл бұрын

    Mwamba umenisababisha kila nikiboreka nasikiliza huu wimbo wako masaa yote. Salute kwako Mwamba

  • @Vairo_tz
    @Vairo_tz Жыл бұрын

    Huez andika hii ngoma wala kurecord buth kam hauko kweny feeling za hali ya juu..this song is real thing🔥🔥

  • @chazzylukumay2059

    @chazzylukumay2059

    Жыл бұрын

    Noma sana

  • @moviedipdozen550

    @moviedipdozen550

    Жыл бұрын

    Feelings

  • @emmanuelgeorge7852
    @emmanuelgeorge78524 ай бұрын

    Hivi hii mistari mnataka kusema hamuioni au rock mbaya tu.... Big up Bando

  • @FrankMandela-ss7cf
    @FrankMandela-ss7cf Жыл бұрын

    Duuh!! Kwamba Mungu Si athumani??? Afu unataka kumjua athumani !! Daaah hatareee sanaa

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc Жыл бұрын

    "Uliniumba kwa mfano wako kwahiyo me niwewe Kumbe nasumbuka kujitafuta mimi mwenyewe" Deep

  • @lengfordmoses2938

    @lengfordmoses2938

    Жыл бұрын

    Deep mno

  • @rogathesarwatt

    @rogathesarwatt

    9 ай бұрын

    Im God

  • @adolphsanga683
    @adolphsanga683 Жыл бұрын

    Nimesikiliza zaidi ya mara 10 @Bando mc hii ngoma ni kari sana❤

  • @dangomc_niger
    @dangomc_niger Жыл бұрын

    Asa mbn akiimba ney mnamdis nyimbo km izi akiimba Mwingine fresh tu

  • @holyboy6056
    @holyboy6056 Жыл бұрын

    Nilikua Kila saa naskiliza tungo kwenye "dear God" ya Dax ambae ni rapper wa mbali uko, but am glady Leo naskiliza the same spirit energy and flow from homeboy✊

  • @wilsonkago6632
    @wilsonkago6632 Жыл бұрын

    This is a masterpiece. He’s a lyricist, knowledgeable about geopolitics and entertainment industry. The religious issues he raised are pertinent too. Much love from Kenya🇰🇪

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Thanks

  • @clementkingu963
    @clementkingu963 Жыл бұрын

    maisha ni fumbo kwetu hatujui muda wala saa Mungu anaweza kuwa msaada kwetu, hivyo yatupasa kumuamini muda na wakati wote.

  • @clementkingu963

    @clementkingu963

    Жыл бұрын

    kazi nzur sana bando mc,kazi nzur sana jay drama pia bill lenz...nmependa kwan bando kamalizia kwa kuamin Mungu yupo na anamtafuta waongee....big up fam

  • @conelkimazi6590
    @conelkimazi6590 Жыл бұрын

    da hongera sana umejua ntamani angarau nikuone jamani nikipe zawad dah umeweza umepangiria vizuri sana 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Asnte sana dm me instagram @bandotz

  • @sarafinasteven8301
    @sarafinasteven8301 Жыл бұрын

    Mungu wangu kaka anajua aana plz mungu mtoe kupitia huuu wimbo❤❤❤❤

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Amen

  • @henryckikihombo
    @henryckikihombo Жыл бұрын

    Aliyeludia kuangalia hii video zaidi ya mala mbili Kama mimi gonga like twende sawa.

  • @asmanndiema2874
    @asmanndiema2874 Жыл бұрын

    Watanzania mko na talent❤

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Bless

  • @josephsumbizi7631
    @josephsumbizi7631 Жыл бұрын

    Tukasepa huo ndo mwanzo wankujuana na bando AMEN

  • @jiwahassan
    @jiwahassan7 ай бұрын

    miaka itasonga huu ujumbe na akili kubwa itaendeleza mijadala. Hongera Master BANDO

  • @detlantamarooned1809
    @detlantamarooned1809 Жыл бұрын

    Maturity, Intelligent and creativity revealed in this song.

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Bonge la wimbo

  • @fashekcmb9927

    @fashekcmb9927

    Жыл бұрын

    Tangu nimskize kwenye kumi ZA maangamizi...jamaa amedhihirisha Ana kipaji... Bando MC namtambua...

  • @jacklineflorence300
    @jacklineflorence300 Жыл бұрын

    Sijawahi kupenda HIP HOP lakini Bando umenikosha… hii song ni hatari i love it❤…

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Ur welcome

  • @khawiadunda1105
    @khawiadunda1105 Жыл бұрын

    Speechless #nakuombea mziki wako ukue dunia ikujue

  • @geraldadolf4928

    @geraldadolf4928

    5 ай бұрын

    T

  • @SniveDacalen_J-jy1im
    @SniveDacalen_J-jy1im Жыл бұрын

    Uko Sahihi Kabisa Kutafuta ukweli na uwazi kuhusu MUUMBA WA MBINGU NA NCHI ila Turudi kwenye Maandiko Yanasema AKIRI ZA MUNGU HAZICHUNGUZIKI Ahsante

  • @dianamasanja5661
    @dianamasanja5661 Жыл бұрын

    This was so touching 😢😢😢😢... Umeongea ukweliii Mungu atusaidie😢😢🙌🙌🙌

  • @ibrahimurichard377
    @ibrahimurichard377 Жыл бұрын

    Shy boy i have seen maturity in this piece,kwenye lyrics every single word is a word to bold,kwenye flow as usual maji unamimina,very creative beat mwanzoni,kati,mwisho ni viatatu tofauti ukizungumzia,chorous ni mbili mwanzo na mwisho umeleta kitu kipya but finally umeoenesha pia kuwa you can sing,mwanzoni nilidhani kiitikio kaimba mtu mwingine.Wewe ni mmoja ya marapa wakali kwenye hii new hip hop generation.

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Thanks sana

  • @pisonmycah9408
    @pisonmycah9408 Жыл бұрын

    BIG SONG BANDO, SO MUCH QUESTIONS ,INAHITAJI MTU MWENYE UBONGO ULIOFUNGUKA. CONGRATS.

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Asnt sana

  • @MariaSimoni-kt3jo
    @MariaSimoni-kt3jo Жыл бұрын

    Naupenda huu wimbo mpaka sijielewi Bando umeweza

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Asant sana

  • @asiakhamsini1490
    @asiakhamsini1490 Жыл бұрын

    Nimepata msisimko💔😭🙌let's take over the game brother 💯

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Hatareeee😊

  • @mickjizze
    @mickjizze Жыл бұрын

    Moja kati ya nyimbo Bora sana kutoka kwa Bando.

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Asant sana man

  • @farajansekela5763

    @farajansekela5763

    Жыл бұрын

    Bando umetisha umeumiza kichwa,,,,

  • @NakantaHunter
    @NakantaHunter3 ай бұрын

    Bando mc huu wimbo kweli umefikilia kwakina pia umepatia story umenigusa hisia nakukubali brother❤🇹🇿

  • @ruddey1469
    @ruddey1469 Жыл бұрын

    Naomba tuongeee......nsipomwona TMA awards 2024 nahama nchi kaka asubuh

  • @martinmsigwa9066
    @martinmsigwa9066 Жыл бұрын

    Lyrical Genius ✊🏾

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Juma Pili Njema fam🙏 Hivi watu wanaposema kwamba MUNGU sio athumani huyu athumani ninani?? Nadhani huu wimbo upo Sawa 👇 NAOMBA TUONGEE 👇 kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html

  • @westlandstv
    @westlandstv Жыл бұрын

    This is my prayer from today❤❤❤

  • @Deezingotz
    @Deezingotz Жыл бұрын

    NAOMBA TUONGEE aise ww kijana umeshindikana daaaahhiii BANDO we ninomaaaa jaman

  • @FrankMandela-ss7cf
    @FrankMandela-ss7cf Жыл бұрын

    Hii tunasema the Bid bland from SHY town woww!!

  • @clementkingu963
    @clementkingu963 Жыл бұрын

    from +257 burundi nimerudia hii ngoma zaid ya mara 10 kusikiliza bando 🔥

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    The winner

  • @moseykeys_tz
    @moseykeys_tz Жыл бұрын

    Waiting is over now🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Noma

  • @khaligraphtzz9581
    @khaligraphtzz9581 Жыл бұрын

    Brother bando umeuwa San Ngoma Kali San kila hatua DUA🙏🙏

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Asant sana

  • @cypriancyprian9331
    @cypriancyprian9331 Жыл бұрын

    Bando kaka..!! 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥Umaarufu wko upo Huku..!! Punguza Nyimbo za Mapenzi muachie J melody

  • @adammajaliwa3125
    @adammajaliwa3125 Жыл бұрын

    You got it BRØ 👊 keep climbing, keep spitting on this🌟 u know knoma🌟

  • @matwin5196
    @matwin5196 Жыл бұрын

    Naomba tuonge 🔥🔥💣🥶

  • @amanisevere9661
    @amanisevere9661 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥hiliii gomaa hatariiiii duh

  • @jackisonidanieli431
    @jackisonidanieli431 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤔🤔🤔💯💯 hujawahi kubaatisha bando daaaah bigap broo

  • @Ciphalee
    @Ciphalee Жыл бұрын

    THE FIRST TO COMMENT.. NAOMBA LIKES TAFADHALI

  • @STAVOO_WEEZZY
    @STAVOO_WEEZZY Жыл бұрын

    More love,,, more talent,,,,,,, more power,,,,,, more consistency,,,,,,more creativity

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Asant snaa

  • @jaykipenzi

    @jaykipenzi

    Жыл бұрын

    ​@@BandoMC wewe nikiboko kaka

  • @emmanuelgeorge7852
    @emmanuelgeorge78524 ай бұрын

    Hii ngoma ni hatari sipendi hip hop lakni hii nasikiliza mara tatu kwa siku huwezi amini... Keep moving kijana shout out

  • @ibraahamos2005
    @ibraahamos2005 Жыл бұрын

    Tumefungua mwez wa Nne na goma kali respect Bando

  • @nicholasog4954
    @nicholasog4954 Жыл бұрын

    Wow this song is fire 🔥

  • @jobkofficial1591
    @jobkofficial1591 Жыл бұрын

    Big up bando , Mistari imeshiba zaidi ya bando la buku ten , yaani hii kubwa WiFi , naskiliza apa tunaenjoy wife and i , bro u gonna be an African eye , masnichy na haters gonna be all shy , mungu akunehemeshee kipaji chako bro hadi wajiulize y u goona be great bro zaidi hata AY .... Big up bro it me fellow artist job k wadinasi

  • @Cde_zubeir
    @Cde_zubeir Жыл бұрын

    Yani hii ghoruse namuona jux,, angekaa Ingelikua Noma sana🙏🏽

  • @SteveMK
    @SteveMK Жыл бұрын

    Hongera, umenikumbusha enzi za roma. Ila umefunika sana

  • @rockyfunto1980
    @rockyfunto1980 Жыл бұрын

    NATIONAL ANTHEM 💥💥💥

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Naam

  • @Janu_Rocka
    @Janu_Rocka Жыл бұрын

    We finally have a hit my boy 🔥🔥🔥

  • @thegxxmovies
    @thegxxmovies Жыл бұрын

    🔥🔥🔥🔥Aisee kaka eeh .....🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @emmanuelshukiah1236
    @emmanuelshukiah12367 ай бұрын

    Ungekuwa na YESU MOYONI MWAKO usingeuliza hata hayo maswali, There is no answer outside JESUS CHRIST.

  • @MariaKapinga-el4gt

    @MariaKapinga-el4gt

    2 ай бұрын

    No jesus in the world

  • @isaacbarnabas9608
    @isaacbarnabas9608 Жыл бұрын

    Certified & Verified National Anthem ⚡✌️

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Asant sana

  • @mohamedidd7385
    @mohamedidd7385 Жыл бұрын

    "Na hofu ya maisha isifanye tumpe shetani nafasi yako" 🔥🔥🔥

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Fam

  • @shinestar_tz373
    @shinestar_tz373 Жыл бұрын

    Daah tuongeee imeninyookeaa Moja Kwa moja Leo tu nishamwambia tungee lakin mpaka xaxa hajapokea sim

  • @georgekisarika
    @georgekisarika Жыл бұрын

    Bando wewe ni mkali sana..wimbo unaelimisha na ,unafikirisha

  • @kentimminvestments7000
    @kentimminvestments7000 Жыл бұрын

    This ninja is just on another level #BandoMC much love from +254 #001

  • @barakafredy6860

    @barakafredy6860

    Жыл бұрын

    Kipaji kinahusika💥✍️

  • @barakafredy6860

    @barakafredy6860

    Жыл бұрын

    Uandishi bobevu ndicho kinachoonekana?????????

  • @mjthefuture96
    @mjthefuture96 Жыл бұрын

    Baba baba 🙌🙌

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Mj

  • @mjthefuture96

    @mjthefuture96

    Жыл бұрын

    Maongezi Yako mwake

  • @JumassonJuma-qc5us
    @JumassonJuma-qc5us Жыл бұрын

    Shay town boy on air,🔥🔥🔥🔥🔥🌹🌹🌹🌹🌹🌹

  • @FrankMandela-ss7cf
    @FrankMandela-ss7cf Жыл бұрын

    Kaka Nyumba zake na watu wake wanakukejeli !!! Kikubwa i Imani ako tuu Broo!!! Kwan ndo Binadamu tulivyo ann

  • @eddytzonlinetvTallMan
    @eddytzonlinetvTallMan Жыл бұрын

    MHHHH 😢 NASHINDWA KUSEMA KAMA NI KIPAJI AU UMEANDIKA UKIWAZA DUNIA INAVYOENDA🙌🇹🇿 BRO UNASTAHILI KITI NA UKIPATA MUNDA TUONGEE🎧🔥💫

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Blood

  • @nasmaharuna8316
    @nasmaharuna8316 Жыл бұрын

    Fire❤🙌

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Ewaaa

  • @bonnyjessy9657
    @bonnyjessy965710 ай бұрын

    Hii n zaidi ya creativity na reality kaka 👏🔥👏 @BandoMc #Bando

  • @sadikisalumu7965
    @sadikisalumu7965 Жыл бұрын

    Acha nitembee na hii, NAOMBA TUONGEE

  • @ezysky
    @ezysky Жыл бұрын

    Killer💯🙌🙌

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    My g

  • @jurcxonmwita5469
    @jurcxonmwita5469 Жыл бұрын

    So nice song my brother Bando big talent bro we still wait for more hits like this. We also wonder "kwann kila kitu kuhusu yeye ni mdaharo usio kua na majibu..? "😢😢😢

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Juma Pili Njema fam🙏 Hivi watu wanaposema kwamba MUNGU sio athumani huyu athumani ninani?? Nadhani huu wimbo upo Sawa 👇 NAOMBA TUONGEE 👇 kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html

  • @shevibenard

    @shevibenard

    Жыл бұрын

    ​@@BandoMC hivi huwa unawaza nini maana mashairi ni ya moto huwezi amini

  • @FrankMandela-ss7cf
    @FrankMandela-ss7cf Жыл бұрын

    Nasemajeee BRO BANDO UMETIShaaaa

  • @nashiruhassani5158
    @nashiruhassani5158 Жыл бұрын

    Mamen bando mc nakukubal sana kaka kazi makini sana💯👊

  • @ashirafuabdallamhed-ez1hj
    @ashirafuabdallamhed-ez1hj Жыл бұрын

    Kijana una akili sana🙏

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Asant sana

  • @zemost
    @zemost Жыл бұрын

    Umetisha Sana Bro....Japo kama Kuna kufuru Ndani Yake🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @mohamedimusa2043

    @mohamedimusa2043

    Жыл бұрын

    Hajatisha hapo kwenye kufuru ndio kaaribu

  • @zemost

    @zemost

    Жыл бұрын

    @@mohamedimusa2043 Tena Sana

  • @rajabutwaha
    @rajabutwaha Жыл бұрын

    shy boy moto sanaaa bug up broo unajua sanaaa kama ngoma hii umeiludia kwa zumalid zaid ya mara mbil gonga like😂😂😂

  • @izzeyboi_Tz
    @izzeyboi_Tz Жыл бұрын

    Oyaa. Bando hii umetuliaa. Na ume kuaa creative kinomaa. Broo kaz ya motooo. Nime i watch more than 10 times💥💥💥💥💥

  • @praymwalu
    @praymwalu Жыл бұрын

    Ngoma kali kbs Brother Congo we love u so much Brother

  • @mbasasi9590
    @mbasasi9590 Жыл бұрын

    Wewe ni noma sana brother

  • @FrankMandela-ss7cf
    @FrankMandela-ss7cf Жыл бұрын

    Kazi iyendeleee Broo amna kulala!!! Naomba Tuongeee🎧

  • @FrankMandela-ss7cf
    @FrankMandela-ss7cf Жыл бұрын

    Daah Ila Uturuki apo kak!! Umetisha

  • @FrankMandela-ss7cf
    @FrankMandela-ss7cf Жыл бұрын

    Kak kikubwa ni Imani ako tuu Broo!!!! Refer NAOMBA TUONGE ONE DAY YES BRO!!!!!!😊

  • @moseykeys_tz
    @moseykeys_tz Жыл бұрын

    Oya ee Kaka bando iwe isiwe ngoma na wewe yajaaaaaaaaaaaaa🙌🙌🙌🙌🙌🙌😭😭

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    YUPI BORA Mlevi anaemkumbuka MUNGU akiwa bar/ Au mlokole anaemkumbuka dem akiwa church??? NAOMBA TUONGEE👇 kzread.info/dash/bejne/l6KjxKludaiXZrA.html

  • @FrankMandela-ss7cf
    @FrankMandela-ss7cf Жыл бұрын

    Sanaa sana sana sana sana sana sana sanan 💥💥💥💥🎯🎯✊✊✊ Nakubali sana Bro

  • @salehefeswali5197
    @salehefeswali5197 Жыл бұрын

    Kaka huu mkolas kama kapta jux🙌🙌

  • @sosomokobiasharamgaya3020
    @sosomokobiasharamgaya3020 Жыл бұрын

    Tunasubiri kideo mzee baba Ngoma imetufikia kwa upana ila tunaomba kideo kitakacho endana na hili Goma mzee Bando

  • @BandoMC

    @BandoMC

    Жыл бұрын

    Kideo Tayar

  • @victormbugobola802
    @victormbugobola802 Жыл бұрын

    Kumbe wakali wapo tu jmn ...mwamba Ni mkali hatar. amepita Kama kala Jeremiah ebu fanyej Colabo aise unajua Hongera Sana Bro...nakupa maua❤❤❤

  • @moseykeys_tz
    @moseykeys_tz Жыл бұрын

    Wana goma kaliiiiiiiiiiii😭🙌🙌🙌

  • @FrankMandela-ss7cf
    @FrankMandela-ss7cf Жыл бұрын

    Aty kwenye kes zao Mungu ndo shaidi !! Nakubali san Bro👊👊

Келесі