ANGALIA MAAJABU YA UJENZI WA BARABARA YA MASINGINI

Ойын-сауық

WAKALA WA BARABARA ZANZIBAR - TUPO KAZINI
Watendaji wa Wakala wa Barabara Zanzibar wamendelea na zoezi la kuweka alama zinazoonyesha mwisho wa eneo la hifadhi ya Barabara kwa lengo la kuielimisha na kuifahamisha Jamii juu ya umuhimu wa eneo la hifadhi pamoja na matumizi yake ili kukidhi mahitaji ya sasa na baadae kwa barabara hizo. Soez hilo limefanyika katika Barabara ya Binguni, Wilaya ya Kati- Mkoa wa Kusini Unguja
“ Lengo letu ni Kuhakikisha tuna Barabara zenye kukidhi mahitaji muhimu na Viwango Bora, Zanzibar “
Tarehe :: 21 Feb. 2024
Imetolewa na: Ndg: Mulhat Hassan Ali
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Msemaji Mkuu wa Wakala wa Barbara - Zanzibar
#sisitunatekeleza #NeemaZaAwamuYaNane #zanzibarmpya #ccmzanzibar #ccmtanzania #dr.hmwinyi #fyp #Vitendovinasauti #viral #fypviral #CCMImara #ikulu_habari #Vitendovinasauti #KaziIendelee #ChamaImara #CCMImetimia #ChamaKipoKazini #CCMHatutetereki #Chamakwanza #ChamakinaWatu #CCTupoImaraSana
@ikulu_habari @sisitunatekeleza @NeemaZaAwamuYaNane @zanzibarmpya @ccmzanzibar @ccmtanzania @dr.hmwinyi @fyp @Vitendovinasauti @viral @fypviral @CCMImara @ikulu_habari @Vitendovinasauti @KaziIendelee @ChamaImara @CCMImetimia @ChamaKipoKazini @CCMHatutetereki @Chamakwanza @ChamakinaWatu @CCTupoImaraSana

Пікірлер: 17

  • @user-lr5pt1rz3x
    @user-lr5pt1rz3x4 ай бұрын

    safi sana

  • @user-wh5zt5ns5y
    @user-wh5zt5ns5y4 ай бұрын

    Kazi Iendelee

  • @DoctorBondia
    @DoctorBondia5 күн бұрын

    Hongera kwa Rais Mwinyi

  • @user-vx4kb6tx3y
    @user-vx4kb6tx3y4 ай бұрын

    Hakika haya ndio Maendeleo tunayoyataka Zanzibar

  • @ZainabIddiHaji
    @ZainabIddiHaji4 ай бұрын

    imeanza lini?

  • @ZainabIddiHaji
    @ZainabIddiHaji4 ай бұрын

    imeanza lini mbona mm nlikuepo juzi tu?

  • @Nedjadist
    @Nedjadist4 ай бұрын

    Kwi kwi kwi! Kwa jina naitwa "Mheshimiwa Mihayo' Hawa watu wajiona wa maana sana hata hawawezi kujitaja bia ya kutaka aheshimiwe. Nadhani keshamwambia mama yake kuanzia leo niite 'Mheshimiwa'!!!

  • @ccmzanzibar
    @ccmzanzibar4 ай бұрын

    Tumpe maua yake Dk. Mwinyi anaitekeleza Ilani kwa Vitendo Zaidi

  • @salumkarim69
    @salumkarim692 ай бұрын

    mbona haijamalima mmekimbia mambo mengine bhana 😂😂😂

  • @user-jg5ug2fx2y
    @user-jg5ug2fx2y4 ай бұрын

    wafanye waimalize wasije iwach kati ,mana mara hawazimalizi

  • @user-tk1sv7nh4l
    @user-tk1sv7nh4l4 ай бұрын

    anajikaza ila maisha magumu

  • @ussiali1100
    @ussiali11004 ай бұрын

    Watu walipwe haki zao ikiwa barabara imepita au itapita kwenye ardhi zao wanazomiliki.

  • @awenamohd8357
    @awenamohd83574 ай бұрын

    Fuoni kitongani hakuna utalii kwa hiyo barabara haina umuhimu

  • @DuuSaid
    @DuuSaidАй бұрын

    Vizuri ivo ndo inavotakikana Kodi zawananchi zitumike hivo na misaada ya wahisani yalete tija na maendeleo Asante 3:30 3:33 😂😂

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir99654 ай бұрын

    Tunashkuru jitihada za mh ktk kutekeleza majukumu yake na hii ndio kazi ya kiongozi imara na asieyumbishwa

  • @user-bt4hx5jx4o
    @user-bt4hx5jx4o4 ай бұрын

    mapembe tunatak kima nyie

  • @user-bt4hx5jx4o
    @user-bt4hx5jx4o4 ай бұрын

    huyu mzee naona anataka sifa saiv

Келесі