ANAPOISHI BI REHEMA MAJUTO ANA CHUMBA CHA KUFUNDIA WARI/MUME WAKE KAMKIMBIA MIAKA 8/KAFUNDA WARI 400

Ойын-сауық

Usisahau ku"SUBSCRIBE" KZread channel yetu kwa videos nyinginezo
#zamaraditv #mambonimengi

Пікірлер: 138

  • @rahmasuleiman9334
    @rahmasuleiman93344 ай бұрын

    Daah nimefurahi kumuona bi Rehema nimekumbuka akiigiza na marehemu mzee king majuto nilikuwa naburudika saaana ❤❤❤

  • @abduliwhryj4ftnassor233

    @abduliwhryj4ftnassor233

    4 ай бұрын

    Nimefurahi sana leo kumuona bi rehema Allah ampe maisha marefu

  • @user-ps5qd9zg8f
    @user-ps5qd9zg8f4 ай бұрын

    Nmekuwa wakwanza leo jmn naomben like zenu

  • @paulabelleghe451

    @paulabelleghe451

    4 ай бұрын

    Tukishakupa uzipeleke wapi dear😁😁😁😁

  • @sikukuuchuo3093
    @sikukuuchuo30934 ай бұрын

    vzri kakangu kushukuru Allah kwa Rizki y chakula ❤

  • @selemanikabeya8020
    @selemanikabeya80204 ай бұрын

    Kazi nzuri kaka hila kwenye mambo ya kuingia chumba chamtu sijapenda chumba kinasiri kubwa kama takuwa nimekukosea nisamehe chumba cha mwanamke kinasiri kubwa broo nibora kwa mwanamme😢😢😢

  • @chimamilion

    @chimamilion

    4 ай бұрын

    Si km utaki unamwambia kwan anakufos

  • @user-hv9pt8bs4q
    @user-hv9pt8bs4q4 ай бұрын

    Salehe nafuatilia sana kipindi chako natamani siku moja nikuone live inshaAllah

  • @ernestwilliam8628
    @ernestwilliam86284 ай бұрын

    Mmh bi harusi mtu jamani mzigo upo kwenye Juba lakini unaonekana😂😂❤❤

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11544 ай бұрын

    Mashallah bi Reema m/mungu azid kukupa afya njema

  • @SuleimanKhdija

    @SuleimanKhdija

    4 ай бұрын

    Amiin

  • @user-fx7ig1uy6t
    @user-fx7ig1uy6t4 ай бұрын

    Naona mwari mwenyew anaonekana fundi balaa kuliko ata kungwi sijui ndo somo...any way tunakupenda darey❤

  • @SafiyaJ-yw2vt

    @SafiyaJ-yw2vt

    4 ай бұрын

    Mh huyo mwari mbona limama 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @SafiyaJ-yw2vt

    @SafiyaJ-yw2vt

    4 ай бұрын

    Hata mm nashangaa mwari hilo limama😅😅😅😅

  • @mwejstar5678

    @mwejstar5678

    4 ай бұрын

    Uyo mwali mbona anafanana na demu wangu wa zaman mwanahamis mmmh aya bhana

  • @hanifahkhamiss8485
    @hanifahkhamiss84854 ай бұрын

    Nampenda sana huyu mama mashallah 😊😊

  • @queenshibaskitchen9130
    @queenshibaskitchen91304 ай бұрын

    Ma sha allah this definitely I'm going to try,

  • @AishaAbdullah-qj1lt
    @AishaAbdullah-qj1lt4 ай бұрын

    Mumekoseaaa sanaaaa sanaaa sanaaaa kumuonyesha Bi harusi wa watu

  • @kibabysaid6692

    @kibabysaid6692

    4 ай бұрын

    Mi sijaona km wamekosea ila huyo bi harusi ndio naona kakosea ...coz yeye kaingia amefunika nikabu sasa kilicho mfanya aiweke juu hiyo nikaab ni nini ?...naameona hpo kuwa wanaume 😢

  • @RehemaSaid255

    @RehemaSaid255

    4 ай бұрын

    Biharusi katoa nikab mwenyewe Amna hata alo mtuma

  • @aminakassim7486

    @aminakassim7486

    4 ай бұрын

    ​@@kibabysaid6692kwa kweli asingetoa nikab, au angeenda kukaa kule mbali

  • @mohamedmwinjuma
    @mohamedmwinjuma4 ай бұрын

    Mashaalah mama anaishi pazuri

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo17414 ай бұрын

    Mashaallah nimefurahi sana kumuona bi rehema

  • @clovicemusobozi3891
    @clovicemusobozi38914 ай бұрын

    Nimefurah kumuona huyu mama ❤❤❤❤

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan17234 ай бұрын

    Ila huyu alijua kuigiza na marehemu majuto😂

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim27944 ай бұрын

    Ntaandamana kwann wadada wakaz hawatambulishwi vzr ,ukisema mdg wangu ,mwanangu kunashida wengine husema hichi kidada changu ndokinatusaidia hapa nyumbn

  • @otavinamkongwa5936

    @otavinamkongwa5936

    4 ай бұрын

    Serikali walisema marufuku kuwaita dada na kuwachukulia Kama ndugu kwasababu baadhi ya wengi wanakua hawawalipi kwa kigezo Cha ndugu

  • @aminaomary5567
    @aminaomary55674 ай бұрын

    Dada Rehema ongera sana umenenepa sana'zaman ulikuwa mwemba sana na gizo la Tarawehi lile

  • @chimamilion
    @chimamilion4 ай бұрын

    Xxa uyu mwali macho makubwa kwa camera ata ajifich tena kaenda mbele kbs tofaut nawenzake😅😅😅😅loh mwali kigego

  • @FatmaMwaita

    @FatmaMwaita

    4 ай бұрын

    Mwali wa mwaliboko 😅

  • @abdulllyhussein3224

    @abdulllyhussein3224

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂jmn

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k4 ай бұрын

    Salehe iyo sio tabia nzuri kirakitu unataka kujua mambo yasomo hayakuhusu angaria mwali umemuonesha tv

  • @antybabybintrashid2333

    @antybabybintrashid2333

    4 ай бұрын

    Kosa la bb harusi Kwann alitoa ninja

  • @user-lm4xw2kx3p
    @user-lm4xw2kx3p4 ай бұрын

    Salehe tuletee na Ringo kwenye show bizz

  • @afrimage_decor
    @afrimage_decor4 ай бұрын

    WA SABA kukoment naomben like zangu

  • @salmahchivatsi791
    @salmahchivatsi7914 ай бұрын

    Bi rehema nitakuja kutafut unifundee 🥰Mungu akuwekee

  • @deadcrush
    @deadcrush4 ай бұрын

    Naitafuta sana movie ya FUKARA HATABIRIKI. Naipataje?

  • @samanthalyimo4598
    @samanthalyimo45984 ай бұрын

    Salehe anapenda kula kwa watu 😅😅

  • @1czay
    @1czay4 ай бұрын

    Ila amepoa sana na Rudi kwa germ

  • @Tuu2019
    @Tuu20194 ай бұрын

    Zama tutee Nyota waziri

  • @Official83640
    @Official836404 ай бұрын

    Jifunzeni kurusha vipindi kwa awamu sasa part 1 inaakuwa ya mwisho part 2 inakuwa ya mwanzo ndy nn sasa mmejifunza wapi kazi

  • @didasdecor4208
    @didasdecor42084 ай бұрын

    😂😂😂Saleh nawe kwa maswali Yako ya kutupia na we si ufanye Uowe Ramdhan upikiwe futari

  • @aishasaif3993
    @aishasaif39934 ай бұрын

    ❤❤Nataka Namba za bi rehema

  • @KesheMedia
    @KesheMedia4 ай бұрын

    Mm ningeomba kipengele cha chumban kwa mtu kisiwepo, nadhani wengine wanashindwa tu kukataa ila chumban n faragha ya mtu

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z4 ай бұрын

    HAO WATU WA WALLPAPERS HUWA HAWAWASHAURI,,,WE KANNUNUE YE ANABANDIKA TU

  • @Aiisha901
    @Aiisha9014 ай бұрын

    bi harusi saleh kamtowa macho😅😂😂😂😂

  • @shamzone388
    @shamzone3884 ай бұрын

    Swali langu haomakungwi au somo mbona woote hawana mume wameachwa naomba jawabu

  • @mariamdullazy8166
    @mariamdullazy81664 ай бұрын

    Kumbe nyota waziri ni somo somo kweli jaman mashallah

  • @hamidawamba

    @hamidawamba

    4 ай бұрын

    Sanaaa

  • @patriciaboniface9975

    @patriciaboniface9975

    Ай бұрын

    Tena some aswaaa ukipitia pale mambo swafiiuu

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe4514 ай бұрын

    Wow

  • @selemanikungu8039
    @selemanikungu80394 ай бұрын

    Kungwi mwenyew kaa hika😂😂

  • @Joliegal834
    @Joliegal8344 ай бұрын

    Na mimi nataka kufundwa ila sina mpenz bado

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s4 ай бұрын

    Bi. Rey❤️❤️

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe4514 ай бұрын

    Naona kungwi umemkatisha mapema eti kaolewa uyuuu😁😁😁

  • @user-eo4hd8xu6d
    @user-eo4hd8xu6d4 ай бұрын

    Mmhhh huyu mama nae kdg age ime go so.akil kdg salehe unataka kumueleleza

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah11544 ай бұрын

    Mwali aelewi somooo anaona macamera camera😅😅😅😅😅😅😅 acha nilud nije Kwa bi Rehema unifunde nimepata somo la mswaki hapo Ila sele ulitaka kufukua mambo😅

  • @rahmaabdallah4514

    @rahmaabdallah4514

    4 ай бұрын

    Huku kwetu hukuti mtu kupiga msuwaki nje tng enzi za mabibi na babu....

  • @user-ys5iu3qu3u
    @user-ys5iu3qu3u4 ай бұрын

    Bi rehema❤❤❤❤❤❤❤

  • @SafiyaJ-yw2vt
    @SafiyaJ-yw2vt4 ай бұрын

    Sasa yuko kwenye interview kwanini kapokea simu

  • @user-tq4kr6tp9j
    @user-tq4kr6tp9j5 күн бұрын

    Uko kuza Lili Shana jamani

  • @werehere2006
    @werehere20063 ай бұрын

    Sijawahi kuona kungwi kadumu kwa ndoa

  • @MoudyMussa-fw8sz
    @MoudyMussa-fw8sz4 ай бұрын

    Tango Tango Tango Lakazigani. ......

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim1434 ай бұрын

    harusi hakujua kama kuna kamera kajifunua nikabu keshaanikwa

  • @MiddyTuesday-on8jp
    @MiddyTuesday-on8jp4 ай бұрын

    Bora ule kabisa mana unavyopenda kula kwa watu

  • @hamidawamba

    @hamidawamba

    4 ай бұрын

    Wew mchoy😂😂😂😂

  • @MiddyTuesday-on8jp

    @MiddyTuesday-on8jp

    4 ай бұрын

    @@hamidawamba 😃😃😃

  • @Chakol123-k7s
    @Chakol123-k7s4 ай бұрын

    Leo umekula mapema 😂😂 hujala kwa watu 😂😂

  • @FatimaAli-of4gh

    @FatimaAli-of4gh

    4 ай бұрын

    Wewe mgomvi😂😂😂

  • @SuleimanKhdija

    @SuleimanKhdija

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂umeona ee huko ni kufunda sio kupika

  • @SomoeIssa-ft6ml

    @SomoeIssa-ft6ml

    4 ай бұрын

    Mmemsema sn😂😂😂

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney73674 ай бұрын

    Hilo tango ni 😂😂😂😂😂

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija4 ай бұрын

    Mashallah ❤❤❤

  • @husna34562

    @husna34562

    4 ай бұрын

    Bikharus upitwi😅

  • @SuleimanKhdija

    @SuleimanKhdija

    4 ай бұрын

    @@husna34562 🧕😄🥺umefata nini huku🚵😃

  • @user-ne4oq7ks4n
    @user-ne4oq7ks4n4 ай бұрын

    Naomba number zake ninamwali wang naitaji somo

  • @user-oz8on4fg8t

    @user-oz8on4fg8t

    4 ай бұрын

    Tuma namba zako

  • @africa7479
    @africa74794 ай бұрын

    na hilo tango je?

  • @user-ne4oq7ks4n
    @user-ne4oq7ks4n4 ай бұрын

    Naomba number zake nina mwali wangu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story4 ай бұрын

    😍😍😍

  • @user-sr3eo8mv7c
    @user-sr3eo8mv7c4 ай бұрын

    B rehema abdalah

  • @bennamush4616
    @bennamush46164 ай бұрын

    Mimi nipo bize na mwali tu

  • @agustinoapolinar1623
    @agustinoapolinar16234 ай бұрын

    Bro wakati una introduce Kipindi uwe unatuambia na location kama ni mbezi,kimara,Goba, n.k

  • @tunkuh661

    @tunkuh661

    4 ай бұрын

    Si nzuri kwa usalama wa mteja wake

  • @agnessmgaza3826
    @agnessmgaza38264 ай бұрын

    Salehe kujifanya mwenyew eti unapunguza sauti

  • @user-uj1ps4tq9x
    @user-uj1ps4tq9x4 ай бұрын

    Hatamm nilizani mkewamajuto

  • @user-qe3rx2ok7z
    @user-qe3rx2ok7z4 ай бұрын

    Salehe

  • @gallusmbaga5522
    @gallusmbaga55224 ай бұрын

    Karibuni wageni. Anaonekana mgeni mmoja

  • @AngelAndress-ph8bh
    @AngelAndress-ph8bh4 ай бұрын

    We mpuuz mbn hujauliza ilo tango ni la nini😂😂😂😂

  • @SafiyaJ-yw2vt

    @SafiyaJ-yw2vt

    4 ай бұрын

    Hata mm nimeona tango😅😅😅😅😅

  • @SafiyaJ-yw2vt

    @SafiyaJ-yw2vt

    4 ай бұрын

    Hilo tango la nini hapo😅😅😅

  • @user-zv4ne2ko7z

    @user-zv4ne2ko7z

    4 ай бұрын

    Hilo tango linamaana yake pia sio ya kusema hadharani

  • @antybabybintrashid2333

    @antybabybintrashid2333

    4 ай бұрын

    ​@@user-zv4ne2ko7zitabid ufafanue vzur mm pia sjui

  • @teedullah5708
    @teedullah57084 ай бұрын

    Bi rehema c umpuze huyo mtangazaji

  • @KhadijaJuma-pb6fw
    @KhadijaJuma-pb6fw4 ай бұрын

    Mbna kwa Asha boko hakuingia kma hutak haingii chmbn

  • @user-yz1lg1mv8p
    @user-yz1lg1mv8p4 ай бұрын

    Nimeipend sebur yake

  • @ummukulthummohd5403
    @ummukulthummohd54034 ай бұрын

    Mwari kuingia tu kafunua niqab wakati kashaona macamera

  • @antybabybintrashid2333

    @antybabybintrashid2333

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂

  • @Zaitoon72
    @Zaitoon724 ай бұрын

    Ila salehe ana maswali ya ajabu 😅😅

  • @aminakazogolo2229

    @aminakazogolo2229

    4 ай бұрын

    Yanachekesha😂😂😂😂😂

  • @Zaitoon72
    @Zaitoon724 ай бұрын

    Kijana ana hangaika huyu 😅

  • @shuwenasamit3311

    @shuwenasamit3311

    4 ай бұрын

    San Tena anafrhisha

  • @user-zl4od3wh9e
    @user-zl4od3wh9e4 ай бұрын

    Alinitapeli huyu mama sina hamu

  • @jesterfredrick9497

    @jesterfredrick9497

    4 ай бұрын

    Polee😂😂ilikuaje??

  • @hijarashid594

    @hijarashid594

    4 ай бұрын

    😭😭😭😭

  • @user-zv4ne2ko7z

    @user-zv4ne2ko7z

    4 ай бұрын

    Samehe ndugu yangu

  • @user-zl4od3wh9e

    @user-zl4od3wh9e

    4 ай бұрын

    Sio rahic km unavyothan nikitewe vitu vyangu ndo ntasamehe

  • @shamzone388

    @shamzone388

    4 ай бұрын

    ⁠@@user-zl4od3wh9ehawana maana yoyote ni kuchukua vitu na pesazawatu……lete chupa za chai vikombe vya chai glass sahani visu kanga shuka na pesa juu mkeka…… Wamefanya nibiashara siku hizi…. Kesho mtasikia na wengine …..biashara isiyo na kibali cha serekali😂😂😂

  • @teedullah5708
    @teedullah57084 ай бұрын

    Kwani cujifinike ninja

  • @edukimaro3489
    @edukimaro34894 ай бұрын

    TUWEKEE NAMBA ZAKE WENGINE TUPELEKE WAKE ZETU

  • @SomoeIssa-ft6ml

    @SomoeIssa-ft6ml

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @HusnaMuhidin

    @HusnaMuhidin

    4 ай бұрын

    Kiboko😅

  • @jesterfredrick9497

    @jesterfredrick9497

    4 ай бұрын

    Jamani🤣🤣🤣🤣🤣🙌

  • @nuruyusuph5562

    @nuruyusuph5562

    4 ай бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅

  • @carynehassan8077

    @carynehassan8077

    4 ай бұрын

    Dah😂😂😂😂

  • @tatuathmani883
    @tatuathmani8834 ай бұрын

    Kaka wewe utaona mpaka chupi

  • @fawziagabriel3355
    @fawziagabriel33554 ай бұрын

    Ilo tango vipi hapo kachumbali ama?

  • @AsdDsa-fi5qk

    @AsdDsa-fi5qk

    4 ай бұрын

    Tango analikatikia

  • @faudhiasaidi3669
    @faudhiasaidi36694 ай бұрын

    Nyie watangazaji wa habari muwege mnatoa taarifa mnapoenda nyumbani kwa watu so mnaingia tu na camera 😢sasa ona anawageni wake labda hawapendi kuonekana mitandaoni

  • @jesterfredrick9497

    @jesterfredrick9497

    4 ай бұрын

    Angekuwa hapendi asingetoa nikabu😂😂😂😂

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    4 ай бұрын

    @@jesterfredrick9497 🤣🤣😂kumbe

  • @bennamush4616

    @bennamush4616

    4 ай бұрын

    Ni umbea wake kutoa nikabu😂😂

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    4 ай бұрын

    @@bennamush4616 😂😂

  • @faudhiasaidi3669

    @faudhiasaidi3669

    4 ай бұрын

    @@bennamush4616 Labda Aliisi camera ni kwaajili yake kungwi wake ndo amemletea camera watengeneze sidii ya kumbukumbu ndio maana alijifunua nikab

  • @paulabelleghe451
    @paulabelleghe4514 ай бұрын

    Turushie namba mi nataka kuolewa na Raia wakigeni nataka nimchanganye kimapenzi mpaka asijute kuoa Afrika hahaa

  • @batulialmass8914

    @batulialmass8914

    4 ай бұрын

    😂😂😂😂

  • @husnathabiti4114

    @husnathabiti4114

    4 ай бұрын

    😂😂😂

  • @chimamilion
    @chimamilion4 ай бұрын

    Mtangazaji tunatak maish yko

  • @patriciaboniface9975

    @patriciaboniface9975

    Ай бұрын

    😅😅😅😅😅salehe yeye anajua kwenda kwa watu tu

  • @3Dshoez
    @3Dshoez4 ай бұрын

    TANGOOOOOO mmeliona wakubwa tumeshaelewa mambo ya kwichi kwichi 🥒🍆🛌💏

Келесі