AIBU!!! KAJIBADILISHA MAUMBILE, KAFUKUZWA ZANZIBAR.

Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
• LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu

Пікірлер: 135

  • @muddyjimmy6995
    @muddyjimmy69956 жыл бұрын

    Allah atustri na atulinde sisi na vizazi vyetu na vitendo viovu kama hivyo, kwani kuna umma nyingi zilishaangamizwa kwa vitendo km hivyo, ameen ameen.

  • @salimalsinani4413

    @salimalsinani4413

    5 жыл бұрын

    Amiin

  • @faulatafahmi7733
    @faulatafahmi77336 жыл бұрын

    Nimefurahi sana WaTanzania na haswa Zanzibar...kweli hii si desturi zetu..I'm so proud to be Tanzanian

  • @delphinuskakiza155

    @delphinuskakiza155

    6 жыл бұрын

    Faulata Fahmi Ni kwel ni Jambo la kheri mpka Sasa kufanya maamuzi haya kumuondosha baada tu ya kukanyaga ktk ardhi ya kiislaam, lkn pia niseme ni unafki mkubwa tuonafnya sisi Kama wataznia hususani wazanzbar, maana jang'ombe tunaiona na huko kwingneko, kwani cjapata kuona Wala kuckia mzazi akifikisha au kumchukulia mwanae hatua Kali au serikali kulivalia njuga swala hili.... C vyema kumtoa kibanzi jichon jiran yko ingali wee unacho jichoni mwako, wazanzbar jisafishen Kwanza ndo tuje tuuone uovu wa wenzetu

  • @faulatafahmi7733

    @faulatafahmi7733

    6 жыл бұрын

    Delphinus Kakiza Nakubaliana na wewe ndugu yangu mia kwa mia...lkn lile likuwa kubwa sana kaja kama mwanamke halafu kwenye passport yake jina la kiume, ndio alikua anakuja kutuonyesha nini yaani wazi wazi kabisaa, aliona Nchi ya Tanzania na hususan Zanzibar itamkaribisha kisa mzungu? Ya nyumbani InshaaAllah yatafika nayo kikomo kwa uwezo wake Allah

  • @dashuusaalim8882
    @dashuusaalim88826 жыл бұрын

    Mzigo huo ilkua uxhaingia Zanzibar subhanallaaah vijana wetu wengi wangeangamia... Ddaaaahh Allah atupeperushie takataka kama hizo aaaaaammyna...

  • @salmaothman153
    @salmaothman1536 жыл бұрын

    Safi sana alikuja kuhalibu family zenu tena alaniwe na mungu

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi51045 жыл бұрын

    Hii ndiyo Zanzibar yetu tunayoitaka good job tz👏👏👏👏👏

  • @talibabdalla9675
    @talibabdalla96756 жыл бұрын

    Mola atulindee na tabia kama hizi sisi na watoto wetu na ndugu zetu.amin

  • @salmajadi2506
    @salmajadi25065 жыл бұрын

    Alhamdulillah

  • @fatmasaid3683
    @fatmasaid36835 жыл бұрын

    Well done🤜🏿🤛🏿👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽

  • @AliMohammed-mj4ec
    @AliMohammed-mj4ec6 жыл бұрын

    Alhamdulillah tunaanza kujielewa maana hizi ni laana makhsusi za kuuharibu uislam maana wanajua kwamba znz ni kitovu cha waislam kwa hio wanajaribu kama tutajibu hii ni laana ya watu wa Lout A.S ambao waligharikizwa tusiige mila za kishenzi

  • @Quilant749
    @Quilant7495 жыл бұрын

    Sio zanzimbari tu hata mm mkenya nakataa zoezi hili, pesa mingi ni ushetani2 kwa nini ujichagulie maumbile shenzi huyo arudi huko huko

  • @shakilashakila2256
    @shakilashakila22566 жыл бұрын

    Vizuri sana kwani hawa wageni ndio wanatualibia nchi yetu, ili swala la ushoga na ukaaba vifanyiwe kazi ipasavyo

  • @hassanally9468
    @hassanally94686 жыл бұрын

    Hongereni kwa ilo

  • @nurdinmohamed6539

    @nurdinmohamed6539

    6 жыл бұрын

    MIMI SHEIKH NURDEEN KISHK NIMEFURAHISHWA MNOO NA KITENDO HICHI CHA SEREKALI YA ZNZ KUMZUI KUINGIA NCHINI MWANAUME ALIEBADILI MAOMBILE NA KUA MWANAMKE. HONGERA SEREKALI

  • @fatmakhamis905
    @fatmakhamis9056 жыл бұрын

    Allahumma hifadhwna

  • @zainabonayonah3891
    @zainabonayonah38915 жыл бұрын

    Yani kazi Nzuri safi mlivyomludisha

  • @danielkwilemba4715
    @danielkwilemba47156 жыл бұрын

    Mungu atunusuru na Balaa hili! Pongezi kwa Uhamiaji!

  • @aishaomar4012
    @aishaomar40126 жыл бұрын

    سبحانﷲ,ﷲazidi kuzihifadhi

  • @fatmahmwinyi4061
    @fatmahmwinyi40616 жыл бұрын

    Alhamdulillah am proud to be tanzania

  • @kassimlimo9509
    @kassimlimo95095 жыл бұрын

    hongereni uhamiaji safi sana

  • @ibuyussuf4122
    @ibuyussuf41226 жыл бұрын

    Nice work immigration

  • @aishachambo3293
    @aishachambo32936 жыл бұрын

    Safi sana

  • @laysaasaid4058
    @laysaasaid40585 жыл бұрын

    Nipo dar ila nmefurahiiiiiiii wallah allah atujaalie watoto wema inshaallah

  • @mgalahassan4168
    @mgalahassan41686 жыл бұрын

    vizuri sana mlivyofanya

  • @fatmakhamis1018
    @fatmakhamis10186 жыл бұрын

    mnastahiki pongezi juu ya hili

  • @mussasaid1320
    @mussasaid13206 жыл бұрын

    Nyinyi tegemeeni utalii mtaona hasara zake huyo kabahatika kaonekana mapema watakuja wengine hata msigundue hasara yake ni kubwa kuliko faida lazima mikakati iwekwe

  • @user-wi5tg4sh7l
    @user-wi5tg4sh7l6 жыл бұрын

    Subhanallah

  • @anniyahfacebeat8937
    @anniyahfacebeat89376 жыл бұрын

    Innalillah wa inna ilayhirajiun

  • @fat-hiyaaboud3025
    @fat-hiyaaboud30256 жыл бұрын

    Congratulation migration officer and gevermant 👏👏👏👏

  • @maryammarym4437
    @maryammarym44376 жыл бұрын

    Duh mtihan kwel

  • @warda7373
    @warda73735 жыл бұрын

    👏👏 good

  • @namisgiggah1571
    @namisgiggah15716 жыл бұрын

    Kabisa yani hi Hali naikemea sana na inanuumiza zana, Sina sauti kwa serikali! Ila kwa jamii IPO siku nitasimama kupinga upumbavu huu. Na nikishishindwa nishajua kwamba lazima nibadili uraia ili kukaa mbali na aibu ya taifa lilokua takatifu km hilo la wa Zanzibarians

  • @mariamfaki1166
    @mariamfaki11666 жыл бұрын

    Na nani kamualika kuja hapa lazima kuna mtu kamfata rafiki wa kiringo huyo

  • @zainabswaleh4907

    @zainabswaleh4907

    6 жыл бұрын

    Mumefanya vizuri Sana kumzuia kuingia zanzibaa

  • @samudraramadhani6303

    @samudraramadhani6303

    5 жыл бұрын

    Mariam Faki hahaha hatriii my

  • @khamishemedsaid2134
    @khamishemedsaid21345 жыл бұрын

    Hongera uhamiaji kutoa huyu kaka au dada lakini nasema hongera wasituzarau wajuwe

  • @estheronyoro1452
    @estheronyoro14525 жыл бұрын

    Mungu azidi kututetea kwa mitihani

  • @beieieih9179
    @beieieih91796 жыл бұрын

    Nice

  • @tariqsparrow2563
    @tariqsparrow25636 жыл бұрын

    💯💯🔥🔥🔥🔥

  • @mimaakenirram1405
    @mimaakenirram14055 жыл бұрын

    Alhamdullh

  • @bintiiddy7043
    @bintiiddy70436 жыл бұрын

    Sbuhana llah 😲😲😲😲

  • @ahmedyoung7300
    @ahmedyoung73006 жыл бұрын

    100/100..

  • @sheebqpsheebqp8314
    @sheebqpsheebqp83146 жыл бұрын

    Vizur sana

  • @ishaq9925
    @ishaq99255 жыл бұрын

    mmmh mgekuwa m nafanya n.a. kwenu ugekuwa poa sana

  • @hamidamakamemohd8537
    @hamidamakamemohd85376 жыл бұрын

    Swswa nimefurahi sana abb wanatuharibia

  • @user-ly4eo8qx4m
    @user-ly4eo8qx4m6 жыл бұрын

    Allwahu akbaru

  • @mwafrikabarz4507
    @mwafrikabarz45075 жыл бұрын

    Kafiiroon Laanatullah

  • @MahmoudAli-uk8ci
    @MahmoudAli-uk8ci4 жыл бұрын

    Vizuri sana na wale walio ndani ya Zanzibar watolewe watafutiwe kisiwa kimoja kidogo wakae huko milele wanatuondolea barka katka nchi

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65046 жыл бұрын

    Safi kabisa

  • @lilianmwakapala3658
    @lilianmwakapala36585 жыл бұрын

    mmefanya vizur sana hata mm napinga sana na vitendo ivyo vya kishoga maana kaka zetu wanaharibika sana hata huku dar es salam wapo wengi sana mashoga lakin selikali haikemei vitendo ivyo yaan Zanzibar nawapa pongez sana

  • @anwarmalik6545
    @anwarmalik65453 жыл бұрын

    Subuhana waaallah 😔😔😔

  • @amirmohamed7751
    @amirmohamed77516 жыл бұрын

    Serekali ya Znzibar nawaomba hizo ndege 2 za wataliano zinazokuja kila jumatano zisije tena.mutakuja kujuta na tamaa zenu

  • @user-ly4eo8qx4m
    @user-ly4eo8qx4m6 жыл бұрын

    Mungu tu sitiri vizazi vyetu

  • @mudiinasser4303
    @mudiinasser43035 жыл бұрын

    Mmelala wazanziberi mtu kama huyo ni panga tu tupa mzituni kwisha lakini uwepo uhakika kama amekusudia kuharibu jamii

  • @user-ez1ei6pp1g
    @user-ez1ei6pp1g6 жыл бұрын

    Alikuaa atafutwe mwenyeji wake lazma kutakua na aliemualika aje. Na hiyo shoo itakuepo serekali muifuatilie. Na pengine wameshaingia wengi kuja kushiriki hiyo show .wafuatiliwe na wao waondoke nchini.

  • @saidiali2850

    @saidiali2850

    6 жыл бұрын

    جينا عبد الله mambo

  • @mwanajumaomahundumla6504

    @mwanajumaomahundumla6504

    6 жыл бұрын

    جينا عبد الله kweli kabisa wanakoseaga sana wanapokabili tatizo bila kujua chanzo

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky6 жыл бұрын

    Question is nani kamualika or kapataje visa?

  • @kajanjaahamadi7550
    @kajanjaahamadi75506 жыл бұрын

    saf sana

  • @jumahabib1693
    @jumahabib16936 жыл бұрын

    Wanaojiuza pia wapo na wanajulikana lakin wanaachwa huru

  • @sadakhamis1261
    @sadakhamis12616 жыл бұрын

    Hapo nawapingeza.. Kwa hillo

  • @abdulihamadi2407
    @abdulihamadi24075 жыл бұрын

    Laana tulllah

  • @mgalahassan4168
    @mgalahassan41686 жыл бұрын

    duh

  • @hanifaali9526
    @hanifaali95266 жыл бұрын

    Arudishwe kwao apeleke ushetani kwao.

  • @MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.
    @MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.5 жыл бұрын

    Mlikua muchukue kichwa chake

  • @highburywapemba5165
    @highburywapemba51656 жыл бұрын

    Alikuwa atembezwe mitaa yote ya Zanzibar

  • @fatimakhalifa144
    @fatimakhalifa1445 жыл бұрын

    bora alivorudisha kwao

  • @jackrinaman7521
    @jackrinaman75215 жыл бұрын

    Ila wapo weng zanzbr mashoga tena sana sio wa bar tu hata vijana wenyewe wapo kibao

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga25132 жыл бұрын

    Nyie jamani katoka mbaliii mumuache ale bata

  • @amranabdallah4117
    @amranabdallah411721 күн бұрын

    Sasa kama aligundulika uwanja wa ndege kia ilikuaje akafika zanzibar

  • @suleimankhamis738
    @suleimankhamis7385 жыл бұрын

    Uwo usenge na ushoga mwanaume mzima kujibadilisha jinsi mwanaume mzima anadhalilisha wanaume wenziwe kweli aondoshwe hapa zanzibar

  • @mwanajumaomahundumla6504
    @mwanajumaomahundumla65046 жыл бұрын

    Nashauri wakati mwingine wawe wanapata kuwajua wenyeji wao kabla hawajaondolewa nchini

  • @hardcoreali8110

    @hardcoreali8110

    4 жыл бұрын

    Ma shaa Allah

  • @blacksonismael2501
    @blacksonismael25016 жыл бұрын

    apo nimefurahi Sana sasa vip hawa wa mitaani

  • @shamilamct5442

    @shamilamct5442

    6 жыл бұрын

    Black Son Ismael wanatoa macho tu watajificha labda!

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil6276 жыл бұрын

    Bana mumemuachajeee

  • @fgjjgbnko4383
    @fgjjgbnko43836 жыл бұрын

    Rejesha kwao Malaya uyo

  • @SumaLTD
    @SumaLTD6 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌👌🤣🤣🤣🤣 Kama wao tu wanavyozingu hata ukiwa na show money well done kwanza Fil-nar Jahhanaam🤣🤣🤣

  • @fawzyoalbahry4420

    @fawzyoalbahry4420

    6 жыл бұрын

    uamuzi mzuri idara ya uhamiaji tuna unga mkono mmefanya uzuri sana

  • @ruuh5149

    @ruuh5149

    3 жыл бұрын

    Suma Spain mambo upo nchi gn

  • @amirmohamed7751
    @amirmohamed77516 жыл бұрын

    Kwa nini hamuwafukuzi hao ndio wanaleta madawa ya kulevya na ukahaba Znzibar wanaharibu watoto

  • @utaani1
    @utaani16 жыл бұрын

    Ni vizuri kilofanywa na uhamiaji Zanzibar kwa kumrudisha kwao huyo kishoka wa Italy akatafute madishi hotel aoshe au akaoshe vyoo

  • @emmanuelmisalaba3169
    @emmanuelmisalaba31695 жыл бұрын

    hamna mboo humu jamani

  • @mzeeahmadi9400
    @mzeeahmadi94005 жыл бұрын

    Acheni ujinga yule ni mwanaume Kwa jinsia na alichokifanya ni kuyavuta maziwa na makalio yake Kwa kutumia shindano au vidonge !ila yule ana dhakari kama kawaida !huyo kitaalamu tunamwita "she male" chakusikitisha baadhi kuna wanaamini kuna surgery (operation ) MTU kuwekewe vagina Kwa kuondolewa dhakari !kitaalamu hii inakuwa haiwezekani .mwisho wa hoja yangu

  • @ebisollili6646
    @ebisollili66464 жыл бұрын

    Mkeni wa Kiringo huyo

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah75292 жыл бұрын

    Watalii wakitaliano ni balaa

  • @zabedua4063
    @zabedua40635 жыл бұрын

    Arudi kwao shenzi uyo

  • @zinbormdan9813
    @zinbormdan98136 жыл бұрын

    Kwan huko kwao kapitaje

  • @beatricenicholausiwasa7601
    @beatricenicholausiwasa76015 жыл бұрын

    uko mashoga wamejaa sana mnajisafisha bure

  • @w4058

    @w4058

    2 жыл бұрын

    Beatrice sawa ushoga umejaa lakini kubadili jinsia hatujafika na huku kwenu umejaa pia usijidai hapa

  • @zahraramadhani6253
    @zahraramadhani62535 жыл бұрын

    Eeh nishida

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz51926 жыл бұрын

    Wanalaana hao

  • @hassanlikaba9813
    @hassanlikaba98136 жыл бұрын

    Angewekwa selo moja na kilingo huyo

  • @hassanturky7511
    @hassanturky75116 жыл бұрын

    Uislamu mbona hauzungumzwi na Hawa watu wa serikali.allah awape hidaya hawajui hata uislamu ndo dini yao na maadili yao

  • @kombokombo1728
    @kombokombo17285 жыл бұрын

    Huyo alikua anyongwe hadharani mshenz mkubwa

  • @hawayusuph3556

    @hawayusuph3556

    5 жыл бұрын

    Kweli kabsaaa

  • @donnyechuma6063
    @donnyechuma60636 жыл бұрын

    🙄🙄

  • @talibabdalla9675
    @talibabdalla96756 жыл бұрын

    Naipongeza serikali kwa maamuzi ya kumrejesha na wafanyakaz wa kiserikali mola awalipe kheri

  • @suleimankhamis738
    @suleimankhamis7385 жыл бұрын

    Migration office nmawajiri hao kwann

  • @estertujji6657
    @estertujji66575 жыл бұрын

    M mmmh mbona mashoga wapo wengi tuuu

  • @merryn4891

    @merryn4891

    5 жыл бұрын

    😀😀😀😀😀

  • @michaeleustach8742
    @michaeleustach87425 жыл бұрын

    Hyo jamaa n mxenge

  • @jacksonmodaha1590
    @jacksonmodaha15906 жыл бұрын

    Pelekeni uislamu wenu Huko

  • @shamilajalasi995

    @shamilajalasi995

    5 жыл бұрын

    hé hé hé !

  • @sakhamkhan3568

    @sakhamkhan3568

    5 жыл бұрын

    Kwani uoslam kt gn kla mt na dini yake na ww una dini yakoo uupo

  • @mamyomar1241

    @mamyomar1241

    5 жыл бұрын

    Ukafiri wako utaupeleka wapi. Allah akuongoze Kwan hilo au na we were nikati ya Hao. Naona umetia mambo ya udini inahusu

  • @abuudharishahidy3074
    @abuudharishahidy30745 жыл бұрын

    sasa na kiringo je mbona hatuskii kitu na kafanya makubwa zaidi yeye vp au mnaonea wageni2 waharibifu wako huru

  • @rashid.mwenyezimunguakurin2968
    @rashid.mwenyezimunguakurin29685 жыл бұрын

    aende zake kafiri akafie mbere

  • @marryremson1362
    @marryremson13626 жыл бұрын

    Uko Zanzibar kwenyewe mashoga wamejaa kibao

  • @kulthumhakim5365

    @kulthumhakim5365

    5 жыл бұрын

    marry Remson hakuna sehemu inokusa shoga hata huko kwenu pia wapo

  • @solomonadams6337

    @solomonadams6337

    5 жыл бұрын

    kwa sababu sisi tunapenda ndio asili yetu sawa?

  • @NANCYWARD488
    @NANCYWARD4885 жыл бұрын

    Sasa amegunduliwa sababu ya alikuwa na Passport 2. Je angekuwa na Passport 1 si angeingia huyu jamani

  • @alvinbenito9115

    @alvinbenito9115

    5 жыл бұрын

    Lakini wameenea sana znz watu hao ,watawafukuza wangapi?wapi ge msasa kweli kweli.

  • @w4058

    @w4058

    2 жыл бұрын

    Ndio hapo

  • @w4058

    @w4058

    2 жыл бұрын

    Beatrice mashoga hata huko bara wapo na kila sehemu duniani ila serikali inapiga vita na serikali ya Zanzibar ina haki yake kurejesha raia wa nje hilo sio kosa

  • @jokhanassor3507
    @jokhanassor35076 жыл бұрын

    haijambo nao mashoga pia waandameni waislam tue na amani na wtoto wetu

  • @belgieboys9867
    @belgieboys98675 жыл бұрын

    sasa hao wanaokuja kutoka bara wanaouza uchi na kufanya ujambazi mbona hamuwarejeshi kwao? munawatia ndani Leo kesho mynawatoa

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505

    @hamnakituumupumbatupumohd8505

    5 жыл бұрын

    we jamaaa unazo akili sawa we mzanzbar mwenzangu ndo maana wabongo wantudharau emu ipongeze kwa hili

  • @belgieboys9867

    @belgieboys9867

    5 жыл бұрын

    @@hamnakituumupumbatupumohd8505 wewe sio mznz ni mbara sababu nilipowagusa jamaa zako umechukia. umesikia ukahaba ushoga vipi waje jamaa zako kutoka bara kufanya ukahaba wasirejeshwe makwao. mie mznz sasa hao jamaa zako wabara mie sina time nao wanaokuja kuleta ukimwi na kusikia watu. wewe una akili mbara we

  • @belgieboys9867

    @belgieboys9867

    5 жыл бұрын

    @@hamnakituumupumbatupumohd8505 ndio nyie wanafiki tu. kwa kauli zenu wenyewe hata hiyo dini mumeigeuza unafiki tu. kama ni dini twengekuwa wakweli. eti jamaa zako wabara hahaha

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505

    @hamnakituumupumbatupumohd8505

    5 жыл бұрын

    +belgiem football kids tofaut yetu we mzanzbar we mpemba ndo maaana huna fikra za kuona mbali khanis we em badilika sio kila jambo upinge serikali imembaini pongeza mbona unafiranisha mada ya uku kule ya kule uku amka mzee mtoto wa kiume hawi na akili za mamake kwenye kutoa mawazo inakapofika hoja ya ukahaba na umalaya utakua ruksa kuchangia iko unachotaka

  • @hamnakituumupumbatupumohd8505

    @hamnakituumupumbatupumohd8505

    5 жыл бұрын

    +belgiem football kids hata kama hujasoma bhas uconeshe ujinga wako mbele za watu ufiche iwe siri ako

  • @user-xw5re3bh5x
    @user-xw5re3bh5x5 жыл бұрын

    Laanatullah

  • @whitescreen7241
    @whitescreen72415 жыл бұрын

    Mbona wewe ukitangaza ninaona tuu wa eslam

  • @faizsalehe3326
    @faizsalehe33265 жыл бұрын

    Safi sana

  • @muhammadfadhil9442
    @muhammadfadhil94422 жыл бұрын

    Tunapambana vip na huu ushoga maana ndani wamejaa kwa kweli mtihani Zanzibar.

Келесі