AIBU!!! KAJIBADILISHA MAUMBILE, KAFUKUZWA ZANZIBAR.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
~-~~-~~~-~~-~
Please watch: "LIVE:SHUHUDIA WAZIRI MKUU AKIWASILI UKEREWE"
• LIVE:SHUHUDIA WAZIRI M...
~-~~-~~~-~~-~ #hakikahiinifahariyetu #hakikahiinifahariyetu
Пікірлер: 135
Allah atustri na atulinde sisi na vizazi vyetu na vitendo viovu kama hivyo, kwani kuna umma nyingi zilishaangamizwa kwa vitendo km hivyo, ameen ameen.
@salimalsinani4413
5 жыл бұрын
Amiin
Nimefurahi sana WaTanzania na haswa Zanzibar...kweli hii si desturi zetu..I'm so proud to be Tanzanian
@delphinuskakiza155
6 жыл бұрын
Faulata Fahmi Ni kwel ni Jambo la kheri mpka Sasa kufanya maamuzi haya kumuondosha baada tu ya kukanyaga ktk ardhi ya kiislaam, lkn pia niseme ni unafki mkubwa tuonafnya sisi Kama wataznia hususani wazanzbar, maana jang'ombe tunaiona na huko kwingneko, kwani cjapata kuona Wala kuckia mzazi akifikisha au kumchukulia mwanae hatua Kali au serikali kulivalia njuga swala hili.... C vyema kumtoa kibanzi jichon jiran yko ingali wee unacho jichoni mwako, wazanzbar jisafishen Kwanza ndo tuje tuuone uovu wa wenzetu
@faulatafahmi7733
6 жыл бұрын
Delphinus Kakiza Nakubaliana na wewe ndugu yangu mia kwa mia...lkn lile likuwa kubwa sana kaja kama mwanamke halafu kwenye passport yake jina la kiume, ndio alikua anakuja kutuonyesha nini yaani wazi wazi kabisaa, aliona Nchi ya Tanzania na hususan Zanzibar itamkaribisha kisa mzungu? Ya nyumbani InshaaAllah yatafika nayo kikomo kwa uwezo wake Allah
Mzigo huo ilkua uxhaingia Zanzibar subhanallaaah vijana wetu wengi wangeangamia... Ddaaaahh Allah atupeperushie takataka kama hizo aaaaaammyna...
Safi sana alikuja kuhalibu family zenu tena alaniwe na mungu
Hii ndiyo Zanzibar yetu tunayoitaka good job tz👏👏👏👏👏
Mola atulindee na tabia kama hizi sisi na watoto wetu na ndugu zetu.amin
Alhamdulillah
Well done🤜🏿🤛🏿👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Alhamdulillah tunaanza kujielewa maana hizi ni laana makhsusi za kuuharibu uislam maana wanajua kwamba znz ni kitovu cha waislam kwa hio wanajaribu kama tutajibu hii ni laana ya watu wa Lout A.S ambao waligharikizwa tusiige mila za kishenzi
Sio zanzimbari tu hata mm mkenya nakataa zoezi hili, pesa mingi ni ushetani2 kwa nini ujichagulie maumbile shenzi huyo arudi huko huko
Vizuri sana kwani hawa wageni ndio wanatualibia nchi yetu, ili swala la ushoga na ukaaba vifanyiwe kazi ipasavyo
Hongereni kwa ilo
@nurdinmohamed6539
6 жыл бұрын
MIMI SHEIKH NURDEEN KISHK NIMEFURAHISHWA MNOO NA KITENDO HICHI CHA SEREKALI YA ZNZ KUMZUI KUINGIA NCHINI MWANAUME ALIEBADILI MAOMBILE NA KUA MWANAMKE. HONGERA SEREKALI
Allahumma hifadhwna
Yani kazi Nzuri safi mlivyomludisha
Mungu atunusuru na Balaa hili! Pongezi kwa Uhamiaji!
سبحانﷲ,ﷲazidi kuzihifadhi
Alhamdulillah am proud to be tanzania
hongereni uhamiaji safi sana
Nice work immigration
Safi sana
Nipo dar ila nmefurahiiiiiiii wallah allah atujaalie watoto wema inshaallah
vizuri sana mlivyofanya
mnastahiki pongezi juu ya hili
Nyinyi tegemeeni utalii mtaona hasara zake huyo kabahatika kaonekana mapema watakuja wengine hata msigundue hasara yake ni kubwa kuliko faida lazima mikakati iwekwe
Subhanallah
Innalillah wa inna ilayhirajiun
Congratulation migration officer and gevermant 👏👏👏👏
Duh mtihan kwel
👏👏 good
Kabisa yani hi Hali naikemea sana na inanuumiza zana, Sina sauti kwa serikali! Ila kwa jamii IPO siku nitasimama kupinga upumbavu huu. Na nikishishindwa nishajua kwamba lazima nibadili uraia ili kukaa mbali na aibu ya taifa lilokua takatifu km hilo la wa Zanzibarians
Na nani kamualika kuja hapa lazima kuna mtu kamfata rafiki wa kiringo huyo
@zainabswaleh4907
6 жыл бұрын
Mumefanya vizuri Sana kumzuia kuingia zanzibaa
@samudraramadhani6303
5 жыл бұрын
Mariam Faki hahaha hatriii my
Hongera uhamiaji kutoa huyu kaka au dada lakini nasema hongera wasituzarau wajuwe
Mungu azidi kututetea kwa mitihani
Nice
💯💯🔥🔥🔥🔥
Alhamdullh
Sbuhana llah 😲😲😲😲
100/100..
Vizur sana
mmmh mgekuwa m nafanya n.a. kwenu ugekuwa poa sana
Swswa nimefurahi sana abb wanatuharibia
Allwahu akbaru
Kafiiroon Laanatullah
Vizuri sana na wale walio ndani ya Zanzibar watolewe watafutiwe kisiwa kimoja kidogo wakae huko milele wanatuondolea barka katka nchi
Safi kabisa
mmefanya vizur sana hata mm napinga sana na vitendo ivyo vya kishoga maana kaka zetu wanaharibika sana hata huku dar es salam wapo wengi sana mashoga lakin selikali haikemei vitendo ivyo yaan Zanzibar nawapa pongez sana
Subuhana waaallah 😔😔😔
Serekali ya Znzibar nawaomba hizo ndege 2 za wataliano zinazokuja kila jumatano zisije tena.mutakuja kujuta na tamaa zenu
Mungu tu sitiri vizazi vyetu
Mmelala wazanziberi mtu kama huyo ni panga tu tupa mzituni kwisha lakini uwepo uhakika kama amekusudia kuharibu jamii
Alikuaa atafutwe mwenyeji wake lazma kutakua na aliemualika aje. Na hiyo shoo itakuepo serekali muifuatilie. Na pengine wameshaingia wengi kuja kushiriki hiyo show .wafuatiliwe na wao waondoke nchini.
@saidiali2850
6 жыл бұрын
جينا عبد الله mambo
@mwanajumaomahundumla6504
6 жыл бұрын
جينا عبد الله kweli kabisa wanakoseaga sana wanapokabili tatizo bila kujua chanzo
Question is nani kamualika or kapataje visa?
saf sana
Wanaojiuza pia wapo na wanajulikana lakin wanaachwa huru
Hapo nawapingeza.. Kwa hillo
Laana tulllah
duh
Arudishwe kwao apeleke ushetani kwao.
Mlikua muchukue kichwa chake
Alikuwa atembezwe mitaa yote ya Zanzibar
bora alivorudisha kwao
Ila wapo weng zanzbr mashoga tena sana sio wa bar tu hata vijana wenyewe wapo kibao
Nyie jamani katoka mbaliii mumuache ale bata
Sasa kama aligundulika uwanja wa ndege kia ilikuaje akafika zanzibar
Uwo usenge na ushoga mwanaume mzima kujibadilisha jinsi mwanaume mzima anadhalilisha wanaume wenziwe kweli aondoshwe hapa zanzibar
Nashauri wakati mwingine wawe wanapata kuwajua wenyeji wao kabla hawajaondolewa nchini
@hardcoreali8110
4 жыл бұрын
Ma shaa Allah
apo nimefurahi Sana sasa vip hawa wa mitaani
@shamilamct5442
6 жыл бұрын
Black Son Ismael wanatoa macho tu watajificha labda!
Bana mumemuachajeee
Rejesha kwao Malaya uyo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌👌🤣🤣🤣🤣 Kama wao tu wanavyozingu hata ukiwa na show money well done kwanza Fil-nar Jahhanaam🤣🤣🤣
@fawzyoalbahry4420
6 жыл бұрын
uamuzi mzuri idara ya uhamiaji tuna unga mkono mmefanya uzuri sana
@ruuh5149
3 жыл бұрын
Suma Spain mambo upo nchi gn
Kwa nini hamuwafukuzi hao ndio wanaleta madawa ya kulevya na ukahaba Znzibar wanaharibu watoto
Ni vizuri kilofanywa na uhamiaji Zanzibar kwa kumrudisha kwao huyo kishoka wa Italy akatafute madishi hotel aoshe au akaoshe vyoo
hamna mboo humu jamani
Acheni ujinga yule ni mwanaume Kwa jinsia na alichokifanya ni kuyavuta maziwa na makalio yake Kwa kutumia shindano au vidonge !ila yule ana dhakari kama kawaida !huyo kitaalamu tunamwita "she male" chakusikitisha baadhi kuna wanaamini kuna surgery (operation ) MTU kuwekewe vagina Kwa kuondolewa dhakari !kitaalamu hii inakuwa haiwezekani .mwisho wa hoja yangu
Mkeni wa Kiringo huyo
Watalii wakitaliano ni balaa
Arudi kwao shenzi uyo
Kwan huko kwao kapitaje
uko mashoga wamejaa sana mnajisafisha bure
@w4058
2 жыл бұрын
Beatrice sawa ushoga umejaa lakini kubadili jinsia hatujafika na huku kwenu umejaa pia usijidai hapa
Eeh nishida
Wanalaana hao
Angewekwa selo moja na kilingo huyo
Uislamu mbona hauzungumzwi na Hawa watu wa serikali.allah awape hidaya hawajui hata uislamu ndo dini yao na maadili yao
Huyo alikua anyongwe hadharani mshenz mkubwa
@hawayusuph3556
5 жыл бұрын
Kweli kabsaaa
🙄🙄
Naipongeza serikali kwa maamuzi ya kumrejesha na wafanyakaz wa kiserikali mola awalipe kheri
Migration office nmawajiri hao kwann
M mmmh mbona mashoga wapo wengi tuuu
@merryn4891
5 жыл бұрын
😀😀😀😀😀
Hyo jamaa n mxenge
Pelekeni uislamu wenu Huko
@shamilajalasi995
5 жыл бұрын
hé hé hé !
@sakhamkhan3568
5 жыл бұрын
Kwani uoslam kt gn kla mt na dini yake na ww una dini yakoo uupo
@mamyomar1241
5 жыл бұрын
Ukafiri wako utaupeleka wapi. Allah akuongoze Kwan hilo au na we were nikati ya Hao. Naona umetia mambo ya udini inahusu
sasa na kiringo je mbona hatuskii kitu na kafanya makubwa zaidi yeye vp au mnaonea wageni2 waharibifu wako huru
aende zake kafiri akafie mbere
Uko Zanzibar kwenyewe mashoga wamejaa kibao
@kulthumhakim5365
5 жыл бұрын
marry Remson hakuna sehemu inokusa shoga hata huko kwenu pia wapo
@solomonadams6337
5 жыл бұрын
kwa sababu sisi tunapenda ndio asili yetu sawa?
Sasa amegunduliwa sababu ya alikuwa na Passport 2. Je angekuwa na Passport 1 si angeingia huyu jamani
@alvinbenito9115
5 жыл бұрын
Lakini wameenea sana znz watu hao ,watawafukuza wangapi?wapi ge msasa kweli kweli.
@w4058
2 жыл бұрын
Ndio hapo
@w4058
2 жыл бұрын
Beatrice mashoga hata huko bara wapo na kila sehemu duniani ila serikali inapiga vita na serikali ya Zanzibar ina haki yake kurejesha raia wa nje hilo sio kosa
haijambo nao mashoga pia waandameni waislam tue na amani na wtoto wetu
sasa hao wanaokuja kutoka bara wanaouza uchi na kufanya ujambazi mbona hamuwarejeshi kwao? munawatia ndani Leo kesho mynawatoa
@hamnakituumupumbatupumohd8505
5 жыл бұрын
we jamaaa unazo akili sawa we mzanzbar mwenzangu ndo maana wabongo wantudharau emu ipongeze kwa hili
@belgieboys9867
5 жыл бұрын
@@hamnakituumupumbatupumohd8505 wewe sio mznz ni mbara sababu nilipowagusa jamaa zako umechukia. umesikia ukahaba ushoga vipi waje jamaa zako kutoka bara kufanya ukahaba wasirejeshwe makwao. mie mznz sasa hao jamaa zako wabara mie sina time nao wanaokuja kuleta ukimwi na kusikia watu. wewe una akili mbara we
@belgieboys9867
5 жыл бұрын
@@hamnakituumupumbatupumohd8505 ndio nyie wanafiki tu. kwa kauli zenu wenyewe hata hiyo dini mumeigeuza unafiki tu. kama ni dini twengekuwa wakweli. eti jamaa zako wabara hahaha
@hamnakituumupumbatupumohd8505
5 жыл бұрын
+belgiem football kids tofaut yetu we mzanzbar we mpemba ndo maaana huna fikra za kuona mbali khanis we em badilika sio kila jambo upinge serikali imembaini pongeza mbona unafiranisha mada ya uku kule ya kule uku amka mzee mtoto wa kiume hawi na akili za mamake kwenye kutoa mawazo inakapofika hoja ya ukahaba na umalaya utakua ruksa kuchangia iko unachotaka
@hamnakituumupumbatupumohd8505
5 жыл бұрын
+belgiem football kids hata kama hujasoma bhas uconeshe ujinga wako mbele za watu ufiche iwe siri ako
Laanatullah
Mbona wewe ukitangaza ninaona tuu wa eslam
Safi sana
Tunapambana vip na huu ushoga maana ndani wamejaa kwa kweli mtihani Zanzibar.