NI UTATA MTUPU, KIFO CHA KIJANA ALIECHUKULIWA NYUMBANI NA ASKARI POLISI
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...
Пікірлер: 50
Poleni sana muliofiwa Allah awajaalie subra na uvumilivu Mussa kashafika mbele ya haki lkn na aliemsababishia mauti nae atakufa tu hatokaa maisha sote ni waja wa Mungu na kwake tutarejea
Kumfukuza kazi sio solution Cha msingi ahukumiwe kama alivyo muhukumu mwenzio Askari kazi kusimamia sheria na kulinda Mali za raia sio kujichukulia sheria mikononi kiukubwa afunguliwe mashtaka kwa kosa la mauaji
Hii ndio kazi ya polisi hapa kwetu. Nakulinda Mali za ccm na wanaccm . Na yeye auliwe
Mungu atawangamiza wte walofanya zulma na kawaida kuwauwa Raiya tangu enzi ya karume askariii wanauwa Raiya na serekali haingili kitu lakini Raiya ikiuwa police mtaa unafungwa lakini mungu atawahukumu
@jumammanga83
4 жыл бұрын
Huyu mzee hajaongea ukweli
Sitaki hata kucoment mana katika watu nisiowapenda ni Polisi kwa unyama wao
@mariamfaki1166
4 жыл бұрын
Hasa polisi wa wazanzbar sheria mikononi mwao
Kufukuzwa kazi hautoshi huyo Ni muuaji sheria ifuate mkondo
vzr sana itakuwa fundisho kwake na wenye tabia km hizo
Sasa kufukuzwa to kazi na vp kuhukumiwa kwa kosa la mauaji ?
Baba mzazi usikubali,nenda nae sambamba mpaka kieleweke,polisi mzima unamchukua mtoto wamtu kwao unaenda kumuua,inalillah wainnailah rajuuni
Ivi kwa nn ktk maisha yetu yq kiafrica wanyonge wapati hakizao za kisheria
Hiyo kumfuta kazi haitoshi anatakiwa ahukumiwe
Ziwani tunakujua hakai Raiya zaidi ya police na police kuuwa Raiya kawaida n walompiga police munasema uwongo kama na nyinyi hamutokufa kilakitu kipowazi
Ni kufukuzwa au kuhukumiwa kifo
Kwa nini hili jeshi la polisi Tanzania lisifutwe???
Kufukuzwa bhado haijatosha; na yeye pia achukuliwe sheria km ya kuwawa au kifungo
Kwaiyo hakushtakiwa ila alifukuzwa kazi?
Naomba muwe mnatueketea na zile stori zenye maigizo at least wiki mara 1. Nzuri zinakua.
HASKARI ANAONGEA KAMA SHOGA😄😄😄😄
kafukuzwa vipi na hata pichayake aijaoneshwa janja ya nyani hiyo
Poleni SNA wafiwa
Jeshi la polisi limewatosha wananchi, "ni usalama upi wa raia unaopatikana" mauwaji Tanzania nzima mwishowe utasikia kafukuzwa kazi keshafunzwa ujambazi na mauwaji halafu haohao mnawatumilia kuendelea kufanya mauwaji.
Inasaidia nini kumfukuza kazi,hiyo ameua nayeye afungwe maisha
Ww kamanda wa polisi acha uongo uyo mussa kapigwa na polisi hakupigwa na wananchi sema ukweli
Kumbe na ww kusha piga Sana watu sasa na ww unalipwa uliyo yafanya
NIKWELI JESHI LA POLOSI HALIWEZINKUWA NAWAFANYAKAZI WANAMNA HIII JEE KWAHIYO HAPO NINI SHELIA NYINGINE IFATE AUNDIO MMEWAACHIA WANANCHINWACHUKUWE SHELIA YAKWAO KUHUSU MAUWAJIYARAIYA WAO
Fukuza kwakila mwenye tabia kma za kwake yye.
Inasikitisha
@safiaabubakar1120
4 жыл бұрын
Sana
@salimalriyami7654
4 жыл бұрын
Hata kama wamfukuza kazi, nini hukum waliomchulia,, sio tatizo kufukuzwa kazi, serikali imechukua jukum gani?????
Bwana yule kasema itakuwa kenda kwa mpenzi wake
huyu husein hana uzoefu wa kazi babake alikuwa polisi bc ndo hivo anqvosema huyo babu kuwq askari wanatia watto wao mana huyu hussen babake alikuwq askar mstaafu hapo ni kesi tu
Mumemuonea Toto lilikwishashinda kwao
@babatunu2063
4 жыл бұрын
Una uhakika na unachokisema kaka?
Mm mwizi sina imani nae ata kdg kwa nn msifanye kazi mnabudu kuiba tuuu maisha magumu alafu mnarudisha watu nyuma safi sn police nafurah sn nikiskia matukio km ayo ya wizi coz wakipelekwa police hawakai hutolewa
Yan awa police wa kwetu wanachekesha sana, ivi ety c area yao, ivi km kuna askari familia yke ipo uko na inafnyiwa kitu mbaya atasema c area yke ataiwacha familia yke iteketee...washenzi sana awa eajingaaaaa.
Zanzibar hakuna Polisi kuna Njagu
huyo askari kajitia mabavu walompiga wote fukuza kazi woteeeee jeshi halijawafundisha hivo hussein yahaya rashidi pole jeshi limekutumbukia nyongo sasa
Upuuzi mtupu eti tume fukuza kazi what?
baada ya kufutwa kazi atashitakiwa kwa mauwaji ama ndio basi ?
Yusuf Ali chunga kauli zako utazaa usiwe na haraka na kama ushazaa watakuwa na kama washakuwa bado ulimwengu unaendelea
Huyo askari ni muuwaji achukuliwe hatuwa kali za kisheria kufukuzwa kazi tu sio dawa yake sheria inamuhusu Muuwaji huyo na yy afe tu
hatua washachukua c washamuuwa!
Serikali gani hii iliojaa zulma kwa nini hauliwi na yeye ndio tulivofundishwa ukiwa julie eti kafukuzwa kazi
Live by gun die by gun
Sinalakusem askri unachukua raia kisha unauwa msaada upo wapi
@shemsasalum2145
4 жыл бұрын
Serekali msiajiri watu wasojuwa sheria lazima wajuwe sheria zote ndio wajiriwe
Pingnie n ww ulipo kuwa police ulizulumu wa znzibar..hasa hayo niyo malipo yko
@fatmaomar6760
4 жыл бұрын
Huyo mkubwa wa polisi hajafanya la sawa. Amemuachisha kazi huyo polisi badili ya kumpeleka mahakamani. Hakuna justice hata kidogo.