NI UTATA MTUPU, KIFO CHA KIJANA ALIECHUKULIWA NYUMBANI NA ASKARI POLISI

Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
#Habari #KtvTzOnline
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Juma Maulid
cc: Masoud Maganga
cc: Sauti
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
• ALICHOKIFANYA DIAMOND ...
• NI KWELI ALI KIBA AMNU...

Пікірлер: 50

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Poleni sana muliofiwa Allah awajaalie subra na uvumilivu Mussa kashafika mbele ya haki lkn na aliemsababishia mauti nae atakufa tu hatokaa maisha sote ni waja wa Mungu na kwake tutarejea

  • @khamisijuma4842
    @khamisijuma48424 жыл бұрын

    Kumfukuza kazi sio solution Cha msingi ahukumiwe kama alivyo muhukumu mwenzio Askari kazi kusimamia sheria na kulinda Mali za raia sio kujichukulia sheria mikononi kiukubwa afunguliwe mashtaka kwa kosa la mauaji

  • @zanzibarsmzenji
    @zanzibarsmzenji4 жыл бұрын

    Hii ndio kazi ya polisi hapa kwetu. Nakulinda Mali za ccm na wanaccm . Na yeye auliwe

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Mungu atawangamiza wte walofanya zulma na kawaida kuwauwa Raiya tangu enzi ya karume askariii wanauwa Raiya na serekali haingili kitu lakini Raiya ikiuwa police mtaa unafungwa lakini mungu atawahukumu

  • @jumammanga83

    @jumammanga83

    4 жыл бұрын

    Huyu mzee hajaongea ukweli

  • @stonetown578
    @stonetown5784 жыл бұрын

    Sitaki hata kucoment mana katika watu nisiowapenda ni Polisi kwa unyama wao

  • @mariamfaki1166

    @mariamfaki1166

    4 жыл бұрын

    Hasa polisi wa wazanzbar sheria mikononi mwao

  • @zuberimgawilo2639
    @zuberimgawilo26394 жыл бұрын

    Kufukuzwa kazi hautoshi huyo Ni muuaji sheria ifuate mkondo

  • @abdullahjuma7504
    @abdullahjuma75044 жыл бұрын

    vzr sana itakuwa fundisho kwake na wenye tabia km hizo

  • @tumabhay8576
    @tumabhay85764 жыл бұрын

    Sasa kufukuzwa to kazi na vp kuhukumiwa kwa kosa la mauaji ?

  • @alirahma8967
    @alirahma89674 жыл бұрын

    Baba mzazi usikubali,nenda nae sambamba mpaka kieleweke,polisi mzima unamchukua mtoto wamtu kwao unaenda kumuua,inalillah wainnailah rajuuni

  • @khamisijuma4842
    @khamisijuma48424 жыл бұрын

    Ivi kwa nn ktk maisha yetu yq kiafrica wanyonge wapati hakizao za kisheria

  • @kidaumtumbwi1128
    @kidaumtumbwi11284 жыл бұрын

    Hiyo kumfuta kazi haitoshi anatakiwa ahukumiwe

  • @gangmore9091
    @gangmore90914 жыл бұрын

    Ziwani tunakujua hakai Raiya zaidi ya police na police kuuwa Raiya kawaida n walompiga police munasema uwongo kama na nyinyi hamutokufa kilakitu kipowazi

  • @sabraham5308
    @sabraham53084 жыл бұрын

    Ni kufukuzwa au kuhukumiwa kifo

  • @salimsalum7728
    @salimsalum77284 жыл бұрын

    Kwa nini hili jeshi la polisi Tanzania lisifutwe???

  • @alakhyhajjbinhassan4496
    @alakhyhajjbinhassan44964 жыл бұрын

    Kufukuzwa bhado haijatosha; na yeye pia achukuliwe sheria km ya kuwawa au kifungo

  • @khamisijuma3167
    @khamisijuma31674 жыл бұрын

    Kwaiyo hakushtakiwa ila alifukuzwa kazi?

  • @alhamdulillah5796
    @alhamdulillah57964 жыл бұрын

    Naomba muwe mnatueketea na zile stori zenye maigizo at least wiki mara 1. Nzuri zinakua.

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo43824 жыл бұрын

    HASKARI ANAONGEA KAMA SHOGA😄😄😄😄

  • @salminabuhudhaifa4273
    @salminabuhudhaifa42734 жыл бұрын

    kafukuzwa vipi na hata pichayake aijaoneshwa janja ya nyani hiyo

  • @asherhamidu7940
    @asherhamidu79404 жыл бұрын

    Poleni SNA wafiwa

  • @issamohammed2458
    @issamohammed24584 жыл бұрын

    Jeshi la polisi limewatosha wananchi, "ni usalama upi wa raia unaopatikana" mauwaji Tanzania nzima mwishowe utasikia kafukuzwa kazi keshafunzwa ujambazi na mauwaji halafu haohao mnawatumilia kuendelea kufanya mauwaji.

  • @alirahma8967
    @alirahma89674 жыл бұрын

    Inasaidia nini kumfukuza kazi,hiyo ameua nayeye afungwe maisha

  • @amouramekhamis5254
    @amouramekhamis52544 жыл бұрын

    Ww kamanda wa polisi acha uongo uyo mussa kapigwa na polisi hakupigwa na wananchi sema ukweli

  • @yusrtv2622
    @yusrtv26224 жыл бұрын

    Kumbe na ww kusha piga Sana watu sasa na ww unalipwa uliyo yafanya

  • @alibomba3304
    @alibomba33044 жыл бұрын

    NIKWELI JESHI LA POLOSI HALIWEZINKUWA NAWAFANYAKAZI WANAMNA HIII JEE KWAHIYO HAPO NINI SHELIA NYINGINE IFATE AUNDIO MMEWAACHIA WANANCHINWACHUKUWE SHELIA YAKWAO KUHUSU MAUWAJIYARAIYA WAO

  • @raiye5621
    @raiye56214 жыл бұрын

    Fukuza kwakila mwenye tabia kma za kwake yye.

  • @sabraham5308
    @sabraham53084 жыл бұрын

    Inasikitisha

  • @safiaabubakar1120

    @safiaabubakar1120

    4 жыл бұрын

    Sana

  • @salimalriyami7654

    @salimalriyami7654

    4 жыл бұрын

    Hata kama wamfukuza kazi, nini hukum waliomchulia,, sio tatizo kufukuzwa kazi, serikali imechukua jukum gani?????

  • @alexnass7741
    @alexnass77414 жыл бұрын

    Bwana yule kasema itakuwa kenda kwa mpenzi wake

  • @tumatuma6478
    @tumatuma64784 жыл бұрын

    huyu husein hana uzoefu wa kazi babake alikuwa polisi bc ndo hivo anqvosema huyo babu kuwq askari wanatia watto wao mana huyu hussen babake alikuwq askar mstaafu hapo ni kesi tu

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil6274 жыл бұрын

    Mumemuonea Toto lilikwishashinda kwao

  • @babatunu2063

    @babatunu2063

    4 жыл бұрын

    Una uhakika na unachokisema kaka?

  • @yussufally8668
    @yussufally86684 жыл бұрын

    Mm mwizi sina imani nae ata kdg kwa nn msifanye kazi mnabudu kuiba tuuu maisha magumu alafu mnarudisha watu nyuma safi sn police nafurah sn nikiskia matukio km ayo ya wizi coz wakipelekwa police hawakai hutolewa

  • @hamudseif
    @hamudseif4 жыл бұрын

    Yan awa police wa kwetu wanachekesha sana, ivi ety c area yao, ivi km kuna askari familia yke ipo uko na inafnyiwa kitu mbaya atasema c area yke ataiwacha familia yke iteketee...washenzi sana awa eajingaaaaa.

  • @hmedoggftherljih199
    @hmedoggftherljih1994 жыл бұрын

    Zanzibar hakuna Polisi kuna Njagu

  • @khalfanabass4564
    @khalfanabass45644 жыл бұрын

    huyo askari kajitia mabavu walompiga wote fukuza kazi woteeeee jeshi halijawafundisha hivo hussein yahaya rashidi pole jeshi limekutumbukia nyongo sasa

  • @philipoinzag2379
    @philipoinzag23794 жыл бұрын

    Upuuzi mtupu eti tume fukuza kazi what?

  • @mwanamutemi
    @mwanamutemi4 жыл бұрын

    baada ya kufutwa kazi atashitakiwa kwa mauwaji ama ndio basi ?

  • @yunusjuma4340
    @yunusjuma43404 жыл бұрын

    Yusuf Ali chunga kauli zako utazaa usiwe na haraka na kama ushazaa watakuwa na kama washakuwa bado ulimwengu unaendelea

  • @samsungjsevenprime5717
    @samsungjsevenprime57174 жыл бұрын

    Huyo askari ni muuwaji achukuliwe hatuwa kali za kisheria kufukuzwa kazi tu sio dawa yake sheria inamuhusu Muuwaji huyo na yy afe tu

  • @suleimanbakar1271
    @suleimanbakar12714 жыл бұрын

    hatua washachukua c washamuuwa!

  • @sabraabdilnasir8826
    @sabraabdilnasir88264 жыл бұрын

    Serikali gani hii iliojaa zulma kwa nini hauliwi na yeye ndio tulivofundishwa ukiwa julie eti kafukuzwa kazi

  • @zendopkop2310
    @zendopkop23104 жыл бұрын

    Live by gun die by gun

  • @wahidashabaz5982
    @wahidashabaz59824 жыл бұрын

    Sinalakusem askri unachukua raia kisha unauwa msaada upo wapi

  • @shemsasalum2145

    @shemsasalum2145

    4 жыл бұрын

    Serekali msiajiri watu wasojuwa sheria lazima wajuwe sheria zote ndio wajiriwe

  • @chidiboy5815
    @chidiboy58154 жыл бұрын

    Pingnie n ww ulipo kuwa police ulizulumu wa znzibar..hasa hayo niyo malipo yko

  • @fatmaomar6760

    @fatmaomar6760

    4 жыл бұрын

    Huyo mkubwa wa polisi hajafanya la sawa. Amemuachisha kazi huyo polisi badili ya kumpeleka mahakamani. Hakuna justice hata kidogo.

Келесі