2 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA

Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 2 || Tarehe 04 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE

Пікірлер: 38

  • @RoidaMhame-xq5ki
    @RoidaMhame-xq5ki17 сағат бұрын

    Naomba nguvu za MUNGU ziendelee kumiminika ndani yako mtumishi wa MUNGU aliye hai Mwalimu mwakasege na mama MUNGU AWABARIKI sana Amen

  • @nicemarytemu8361
    @nicemarytemu83616 күн бұрын

    Ni maombi yangu Mungu akutunze Mwl na wanangu wakue niwe nakuja nao kwenye semina zako. Mungu unaemtumikia amenitendea mambo makuu sana, sijawahi weka agano na Mungu kwa kutoa SADAKA za semina zako na asinifanyie. Nina shuhuda nyingi sana natamani hata siku Moja nikae nawe nikueleze. Kuanzia masomo, kazi, mume , familia na afya. Bado Moja tu la baba yangu kuokoa. Jina la BWANA YESU na litukuzwe milele

  • @mkailivin4050
    @mkailivin40506 күн бұрын

    Amen nami naomba maombi baba Mungu anikumbuke nipate mwenza sawasawa na neno lake

  • @EdithaLucas-li4xh
    @EdithaLucas-li4xh6 күн бұрын

    Muniombe na mimi mungu awakumbuke wazazi wangu waokoke

  • @JustaLutataza
    @JustaLutataza3 күн бұрын

    Mungu nikumbuke najiungamanisha na madhabau hii ktk jina last yesu Ameen

  • @user-fu8ie4sq8c
    @user-fu8ie4sq8c5 күн бұрын

    Amina🙏🙏🙏naombeni mniombee nipate mwenza mwenye kujali na utu pamoja na hofu ya mungu

  • @joelkimario42
    @joelkimario426 күн бұрын

    Hakika Mungu ni mwema asiyeshindwa atujalie kujua kutumia sehemu ya msalaba wake

  • @user-fu8ie4sq8c
    @user-fu8ie4sq8c5 күн бұрын

    🙏🙏🙏🙏, yaani Leo nimeota umeniombea baba ubarikiwe na bwana

  • @magetemu
    @magetemu6 күн бұрын

    2korntho 8:9 msalaba uliachilia Neema ambayo inaweza kunitoa kwenye umasikini kimfumo kwakutazama mfumo wangu wakufikiri nakuniingiza ktk utajiri kifikira Kwanza.

  • @magetemu

    @magetemu

    6 күн бұрын

    Imani lazima ichukuwe kitu ndani ya Neno ambacho litakuwa binafsi

  • @ROSEJOSHUA-qn6ie
    @ROSEJOSHUA-qn6ie6 күн бұрын

    Amina baba

  • @user-yk1gl8qw1v
    @user-yk1gl8qw1v6 күн бұрын

    Amen, Nami naomba mniombee nko Saudi Arabia nimeugua mwezi mzima wa 6 na sasa mwezi huu nasikia kiuno kinauma ndani y mifupa hadi miguu nasikia uchungu kwa ndani naamini kupitia maombi yenu mungu ataniponya

  • @isaacktarimo8389

    @isaacktarimo8389

    6 күн бұрын

    Poker uponyaji katika jina la YESU KRISTO na uwe mzima,amen

  • @wesaelimaricca6561

    @wesaelimaricca6561

    6 күн бұрын

    ​B😊P1¹¹¹

  • @upendokiwanga9538

    @upendokiwanga9538

    6 күн бұрын

    Pole sana damu Yesu ikunenee mema

  • @simonnanyaro-wayesu4922

    @simonnanyaro-wayesu4922

    6 күн бұрын

    @@upendokiwanga9538 Bwana akuonekanie ndugu yangu

  • @stellachotta483

    @stellachotta483

    6 күн бұрын

    Mungu wa mbinguni akutie nguvu na kukuponya in Jesus Name tabiria mifupa yako iwe mizima

  • @hellenlillyannep.a.m.mally3653
    @hellenlillyannep.a.m.mally36535 күн бұрын

    Najiungamanisha mimi na familia yangu na madhabahu hii ili Mwenyezi Mungu akatukomboe mioyo na nafsi zetu

  • @FestonLyanda-lv8hg
    @FestonLyanda-lv8hg5 күн бұрын

    Hii yenyewe Baba

  • @JoeJocktan
    @JoeJocktan6 күн бұрын

    Amina mwl Mungu azidi kukutumia katka viwango vyake

  • @HellenJames-mn2lr
    @HellenJames-mn2lr4 күн бұрын

    Ameen

  • @wemaelihaki
    @wemaelihaki6 күн бұрын

    Amen amen amen

  • @annapeter1280
    @annapeter12806 күн бұрын

    Asante Yesu kristo.

  • @ShedrackEstomih-ol9sr
    @ShedrackEstomih-ol9sr6 күн бұрын

    Baba mungu awabariki❤❤❤❤❤

  • @FurahiniSanga-i4h
    @FurahiniSanga-i4h6 күн бұрын

    Ameni baba barikiwa sana baba na mama Diana

  • @sayamos9725
    @sayamos97256 күн бұрын

    Amina

  • @mountukombozi
    @mountukombozi2 күн бұрын

    wastahili

  • @fraviafidelis4792
    @fraviafidelis47923 күн бұрын

    😊😊

  • @fraviafidelis4792
    @fraviafidelis47923 күн бұрын

    😊😊😊

  • @user-ij2po2jw2f
    @user-ij2po2jw2f6 күн бұрын

    Usinipite

  • @evelynmbilinyi1411
    @evelynmbilinyi14116 күн бұрын

    Ameeeeen

  • @fidelisernest3523
    @fidelisernest35236 күн бұрын

    Naomba kifahamu utaratibu wa maombi ya kitaifa Niko Morogoro

  • @neemaloy889

    @neemaloy889

    6 күн бұрын

    Ni kuanzia tarehe 29/7/2024 nenda KKKT mjini kati hapo morogoro muone mratibu wa mana anaitwa a mwakatobe, au muone mchungaji kiongozi utapata utartbu

  • @user-sn9lh6gv7t
    @user-sn9lh6gv7t5 күн бұрын

    Amina baba

Келесі