2 SEHEMU YA MSALABA WA YESU KUKUONDOA KATIKA UMASKINI || MWL CHRISTOPHER MWAKASEGE || TANGA
Semina ya Neno la Mungu Tanga Mjini || Day 2 || Tarehe 04 JULAI 2024
.................................................................................................................
Unaweza kutumia njia zifuatazo kutuma sadaka yako kwetu:-
M-PESA 0754 211 633
TIGO-PESA 0715 511 633
AIRTEL MONEY 0682 657 080
HAKIKISHA JINA LINALOKUJA NI DIANA MWAKASEGE
WEZA KUTUMA SADAKA KUPITIA _-:
CRDB BANK
ACC: 01J2032214400
JINA: CHRISTOPHER & DIANA MWAKASEGE
Пікірлер: 38
Naomba nguvu za MUNGU ziendelee kumiminika ndani yako mtumishi wa MUNGU aliye hai Mwalimu mwakasege na mama MUNGU AWABARIKI sana Amen
Ni maombi yangu Mungu akutunze Mwl na wanangu wakue niwe nakuja nao kwenye semina zako. Mungu unaemtumikia amenitendea mambo makuu sana, sijawahi weka agano na Mungu kwa kutoa SADAKA za semina zako na asinifanyie. Nina shuhuda nyingi sana natamani hata siku Moja nikae nawe nikueleze. Kuanzia masomo, kazi, mume , familia na afya. Bado Moja tu la baba yangu kuokoa. Jina la BWANA YESU na litukuzwe milele
Amen nami naomba maombi baba Mungu anikumbuke nipate mwenza sawasawa na neno lake
Muniombe na mimi mungu awakumbuke wazazi wangu waokoke
Mungu nikumbuke najiungamanisha na madhabau hii ktk jina last yesu Ameen
Amina🙏🙏🙏naombeni mniombee nipate mwenza mwenye kujali na utu pamoja na hofu ya mungu
Hakika Mungu ni mwema asiyeshindwa atujalie kujua kutumia sehemu ya msalaba wake
🙏🙏🙏🙏, yaani Leo nimeota umeniombea baba ubarikiwe na bwana
2korntho 8:9 msalaba uliachilia Neema ambayo inaweza kunitoa kwenye umasikini kimfumo kwakutazama mfumo wangu wakufikiri nakuniingiza ktk utajiri kifikira Kwanza.
@magetemu
6 күн бұрын
Imani lazima ichukuwe kitu ndani ya Neno ambacho litakuwa binafsi
Amina baba
Amen, Nami naomba mniombee nko Saudi Arabia nimeugua mwezi mzima wa 6 na sasa mwezi huu nasikia kiuno kinauma ndani y mifupa hadi miguu nasikia uchungu kwa ndani naamini kupitia maombi yenu mungu ataniponya
@isaacktarimo8389
6 күн бұрын
Poker uponyaji katika jina la YESU KRISTO na uwe mzima,amen
@wesaelimaricca6561
6 күн бұрын
B😊P1¹¹¹
@upendokiwanga9538
6 күн бұрын
Pole sana damu Yesu ikunenee mema
@simonnanyaro-wayesu4922
6 күн бұрын
@@upendokiwanga9538 Bwana akuonekanie ndugu yangu
@stellachotta483
6 күн бұрын
Mungu wa mbinguni akutie nguvu na kukuponya in Jesus Name tabiria mifupa yako iwe mizima
Najiungamanisha mimi na familia yangu na madhabahu hii ili Mwenyezi Mungu akatukomboe mioyo na nafsi zetu
Hii yenyewe Baba
Amina mwl Mungu azidi kukutumia katka viwango vyake
Ameen
Amen amen amen
Asante Yesu kristo.
Baba mungu awabariki❤❤❤❤❤
Ameni baba barikiwa sana baba na mama Diana
Amina
wastahili
😊😊
😊😊😊
Usinipite
Ameeeeen
Naomba kifahamu utaratibu wa maombi ya kitaifa Niko Morogoro
@neemaloy889
6 күн бұрын
Ni kuanzia tarehe 29/7/2024 nenda KKKT mjini kati hapo morogoro muone mratibu wa mana anaitwa a mwakatobe, au muone mchungaji kiongozi utapata utartbu
Amina baba