ZAWADI ALIYOITOA DIAMOND PLATNUMZ KWA MTOTO WA IRENE UWOYA
Usiku huu wa June 13, 2021 imefanyika sherehe ya kumpongeza mtoto wa Irene Uwoya kupokea sacrament yake ya kwanza iliyoambatana na siku yake ya kuzaliwa, na hapa msanii Diamond Platnumz aliitwa mbele kwaajili ya kutoa neno na kumpa zawadi mtoto wa Irene Uwoya. PLAY kutazama
Пікірлер: 187
Hongera kwa malezi mazuri ya mtoto Mwenyezi Mungu amlinde siku zote za maisha yake Amen
Siku zote ukifanya mema na kuheshimu kila mmoja utapendwa hadi na watoto Mungu akuinue kila siku Diamond 💎 weng wanafurahia uhai wako..Amen
What a sweet kid Mashallah. Irene congrats ma, kulea sio kazi rahisi. Mwenyezi Mungu azidi kumkuza katika malezi bora.
@pendomarco8928
3 жыл бұрын
Simba
@bongobana666
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/mJ-Aj7Kxm5erZMY.html
@coolruler6820
3 жыл бұрын
Kulea sio kazi bali ni agizo toka kwa Mungu kwamba mlee mtoto ktk njia impasayo. Kwa agizo hilo mzazi unapaswa kujua kwamba unalo la kujibu mbele za Mungu pale mtoto ambaye ni zawadi Mungu amekupa akiharibikia mikononi mwako. Mungu alikupa akiwa malaika na unapaswa kumrejesha kwake vivyo hivyo
Huyu Dada anajitahidi sana ktk malezi japo watu wanamsema vibaya lkn amejitahidi sana kulea ni kazi sana aisee
Mungu amlinde amkinge na maadui na wenye roho za husda, morning star enjoy your life.
@bongobana666
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/mJ-Aj7Kxm5erZMY.html
Mtoto ana akili hiyo 😍🤗 Kuna watu wengi wanatamani sn kumshika Diamond mkono 😢👏🏻🙌🏻
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
kwer 🤝
@hamidawaziri5936
3 жыл бұрын
Yan acha tu nataman anishike tu😀😀
@uwitekamimy3431
3 жыл бұрын
@@hamidawaziri5936 😂😂😂
Nimempenda mtoto yuko vizur
Ukisikia hekima ndio hizi huyu mtoto apatiwe muda wa kuishi mazingira ya kiroho zaidi Mungu akitumie kilichopo ndani yake. Diamond ubarikiwe sana sana uishi maisha marefu yenye mafanikio endelea kujitoa kwa kile unachojaliwa na Mungu.
Hongera kwa malezi mema Irene Mungu amtunze mtt wako akue vyema zaidi
Hongera Dada Kwa malezi bora Allah amlinde na husda na mabalaa amkinge kwa kila jambo baya amuepushe na marafiki wabaya na ampe mwisho mwema inshaallah 🤲🤲🙏❤️🥰❤️
Mtoto mzuri
Diamond platnumz
Mtoto anaongea viizuurii sanaa huyuu....Aaaameen
@abuyunusmohamed6961
3 жыл бұрын
Kachemka kwa diamond na kuongea hajui kabisa.Unaulizwa upewe zawadi gani anataja marafiki zake wapewe mkono na diamond.Angemwambia nataka zawadi ya gari.
@magrethmbuma3045
3 жыл бұрын
@@abuyunusmohamed6961 hapoo ni kitu alipanga kuwatimizia rafiki zake ndio ujue huyo sio mbinafsi
@salmarashid3492
3 жыл бұрын
@@abuyunusmohamed6961 😂😂😂Et gari
@rehemamasoud3687
3 жыл бұрын
@@magrethmbuma3045 kweli kabisa mtoto hana tamaa ya vitu
Hongera sana irene mtoto huyukm alivyoongea anko wake mondi kwa kweli ni wa pekee ameitaji zawadi yenye baraka na si pesa mungu ambariki
Mungu azidi kukubariki diamond....from saudi
Hongera Mama Krish hongera Sana ... Huyu mtoto Ana kitu cha special sana ...
Tukumbuke Nayo Mapenzi Yakizidi Sanaaa Mtihani
@abuyunusmohamed6961
3 жыл бұрын
Mapenzi yakizidi yanaharibu.Tunda likiwiva sana ujue linaelekea kuoza.Mapenzi bora ni ya vitendo.Kumsomesha elimu bora na kumpa maadili mema na hayo ndio mapenzi ya kweli
@damariszuckschwert9489
3 жыл бұрын
Tena kwa hawa watoto wa kibongo ni shida kabisa.
@allthingdranabeauty
3 жыл бұрын
Nikweli ila amejitaidi ingekuwa mtu mwingine nataka sim pesa ilz yeye kachagua mtu amshike mkono ni kitu bacho kipo kwenye bible story imetokea kwa diamond
@abuyunusmohamed6961
3 жыл бұрын
@@allthingdranabeauty huu wakati ni wa maslahi.Diamond anapenda sifa na anapata pesa nyingi kupitia wasafi na KZread channel na muziki. Mtoto alipoulizwa unataka zawadi gani angesema gari angenunuliwa tu na huyu bwana mpenda misifa
@abuyunusmohamed6961
3 жыл бұрын
@@mkapapapai5631 mtu akiwa mlevi kila mtu anamdhania hivyo.wewe huna pakulala na unaishi bondeni na subiri mafuriko yanakuja.Mpuuzi sana wewe na huna adabu
Mashallah daimond oyeeeeeee 😍🥰🥰🥰🥰🇴🇲👌
Mtoto mzuri sana
@ingabirecarine3092
3 жыл бұрын
Namshukuru Sana mtoto wetu Ndikumana
Congatulation Krish!
Dua nzuri hizi. Aamin Allahuma Aamin Aamin.
@bongobana666
3 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/mJ-Aj7Kxm5erZMY.html
@ayshamahariq6665
3 жыл бұрын
Aamin🤗🤗
Mwezangu na mm ange sema nataka gar😂😂😂😂wachache sanaa wakujiongeza
@khojarobebebebebebebebe9329
2 жыл бұрын
Hata me nimewaz hivy ningetaj gari kwasifa
Ndiku Jr
Hongera krishna Mtoto mzuri Mungu azidi kukulinda
Ayo ndiyo mallezi Kwa mtoto sio anaulizwa zawadi anataka pesa
He's Genius
Safi 🥰🥰
@pilimusa7770
3 жыл бұрын
Shantelle uko huku😁
@shantellemwanakombo3703
3 жыл бұрын
@@pilimusa7770 nipo kila mahali mpenzi,
Hongera😍🥰🤩🤩🤩
Greatkid
Milard ayo is the best for the update 🙏
Irene ongera sana kwa kukuza naomba akue na hiyo hiyo eshima
🙌🙌🙌
Wow nice enough
Maashaallah
Ukiwa na pesa raha sana mond hongera
Mashallah
Diamond platnumz amevaa kama harmonize
Umemlea mwanao hadi rahaa hongera sana
Hongera sana mungu akutunze Krish wako
Pesa tamu ñyie yan hapo ni communio&bday mc GalaB plus bomba la party,akija kuoa c harus itafanyika Jupiter na mc jadu
@hapifaniaprowin7529
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂jupiter n mc jadu daaah😂😂😂🙌🙌🙌
@dorcusemmanueldorchi4988
3 жыл бұрын
😂😂😂😂 jadu jmn
@elizayanga9756
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@letshavealiltalk2313
3 жыл бұрын
😂😂😂
@zahooramuba6227
3 жыл бұрын
Umeuwa kabisaaa 😁😁😁😁😁
maa shaa Allah 😘😘😘😘🇪🇭🇪🇭
Ongeraaa irine
Dogo yuko vizuri sana hongera kwa mama yake mzazi kwa malezi bora
😍😍😍😘😘😘
Jomn mtot kalelk mashallah
And yeah 👏👏👏👏😃😃😃😃
Amen
Chibu dangote 🙌🙌👏👏🔥🔥💯💯❤️♥️
Nliogopa swali maana nlihic dogo ataropoka....kumbe kaongea. Hongera sana
Simbaaa 🔥🔥🔥
Nimependa hao watoto
Raha sana
Woow
👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼👏🏼
🙏
❣️❣️❣️❣️❣️❣️
Africa is Watching
kwel mtoto kalelewa vzur kama ningekuwa mm nmeambiwa nichague zawadi kiukweli ningeomba muda nifikilie maana opportunity never come twice 😂😂😂😂
😍😍😍😍😍😍Anaakili Uyu Krish wa Tz 😂Tuachane na Ule wa Indian
Brave boy
Tutafte pesa au mawe kwa jina lingine 😭
Hii yakuzidisha mapenz kwa watoto hasa wakiume na kwa malez ya single mama hua yana madhara makubwa mno
@naomyjulius7251
3 жыл бұрын
Madhara gani mbona na wivu jamani
@luhanyamipawantobi6888
3 жыл бұрын
Kwahiyo ampige fimbo kila cku!!!? Au ???
@naomyjulius7251
3 жыл бұрын
@@luhanyamipawantobi6888 sindio hapo sasa watu wengine ovyo tu hawanamapenzi na watoto wao
@allthingdranabeauty
3 жыл бұрын
KM mtoto umemkabidhi kwa Mungu wala we mwone zawadi kachagua mkono wapewe marafiki mwingine angetaka iphone
@devothasimbi1055
3 жыл бұрын
@@luhanyamipawantobi6888 huenda kukaripia mtoto ndio malezi mema kwa mtazamo wake.teana bila hâta haya wanaingizia suala la kuwa mlezi ni mama peke yake.kuna watotowas a wazazi wote wawili na si wasikivu kabisa.
Watoto wa mastaa bwana do shidaaa kweli kweli
Wapongezwe waalimu wa english medium anakosomea ndio wanamfundisha maadili
Irene hapa umejua kunifurahisha
Mtoto anaongea kidemu zawadi nzuriii anamtengenezea mazingira mabaya sana sio ya ugumu asije kulaumu watu
🥰🥰🥰🥰🥰
Mtoto anajua kizungu mond kiswahili hajui
Ukweli mpaka machozi yamenitoka, mtoto anahekima sana
Mtoto ana akili kuliko hata mama yake
My son's name is FAYSAL I wish he could be among them to touch him too.
Saf
Apeleka zawadi kwa watoto wa wenyewe but wake kashindwa n j. Hana kitu
Sielewi hii party ni ya nini. Ni birthday party au?
@ayshameme4856
3 жыл бұрын
Kabatizwaaaa
@beatricekamenge7000
3 жыл бұрын
@@ayshameme4856 kapata komnio
@ireneassey753
3 жыл бұрын
Sakrament ya komyio
@umruqayya9569
3 жыл бұрын
Komonio ndi nn
@ireneassey753
3 жыл бұрын
@@umruqayya9569 ok katika kanisa katolik huwa watoto wakimaliz mafundisho ya bible class one huwa wanapat hio sakrament kwa kanisan tunaamin kuwa ni mwili wa KRISTO..
❤️❤️
mwanzo mi sikumwelewa kabisa zawad aliyo ichagua khaaaaaa
Me nahangaika tu kujua kuna nn sipat jibu dooh!!
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
komnio ya mtoto wa iren uwoya
Vingine vitoto vingesema zawadi ya gari😂😂😂😂😂
Ungemwambia akununulie gari
Amefanana sana na dogo janja😀😀😀 damu nzito kuliko maji
@user-rd7jt1vi5x
3 жыл бұрын
Huyu mtoto cyo dogo janja mbona baba yake ametangulia mbele za haki
Allah akalinde katoto ketu
Mpaka mara ya pili huyu mtoto akuelewa swali. Ameulizwa unataka zawadi gani kutoka kwa mjomba wako? Jibu alilotoa nitofauti kabisa na swali akiloulizwa. Why zawadi atake kutoa mjomba yeye atake rafiki zake wamshike mjomba mkono? Bora angemuuliza kwa kinge. Wangeelewana kabisa. Na mjomba angenyonywa mpunga wa maana hadi kamasi limshuke🤣. Angetaja anunuliwe ata kiwanja. Chaaa, chezea damu ya Kichaga nyie. 😂
@coletashirima2193
3 жыл бұрын
Rafiki zake wamshike mkono hio ndo zawadi aliochagua ili kutimiza ndoto za marafiki zake ...wenzake awsjawai kushikwa na uncle hahag
Huyu mtoto baba yake si alikuwa muislam au vipi.
@souvenirweber7169
3 жыл бұрын
Kwahiyo unatakaje acha mameno unaona mtoto kafata kwa mama alie mlea.
@fayeezomary6563
3 жыл бұрын
@@souvenirweber7169 acha bangi
@theafricaiknow6615
3 жыл бұрын
Ndikumana alikuwa mkristo Sema Jina lilikuwa ni la kiislam. Si uliona ndoa yake na Irene ili fungiwa kanisani Dar
@damariszuckschwert9489
3 жыл бұрын
@@souvenirweber7169 umeonaee wamekazana baba alikuwa muislam so what?? Mtoto ambae miaka yote kalelewa na mama akifuata Islam kisa nini? Backwards thinkers.
@rachelmuhehe2593
3 жыл бұрын
Alikuwa pure Christian
Huyu wa mwisho cjuh kamwambia nn Diamond
huwezi amini mm ningeomba ps5 hapo
Wema naona anaumia Sana kuona wenzake Wana watoto
@agathathobias8690
3 жыл бұрын
Acha wanga Kwan ukoo wako wote wana watoto
@mahmoodalghefeili5370
3 жыл бұрын
@@agathathobias8690 wanga gan c kajitakia mwenyewe kutoa mimba
Wagawiye na wenzako basi hizo Dollars nawao wafarijike 🤣😂🤣🤣🤣
Kupokea kitu kwa mkono wa kushoto sio poa kabisa,au anaumwa mkono wa kulia
0k
I say. Huyu mtoto ni kitu kingine. Yani zawadi kachagua wenzake ku furahi kwa ku mshika diamond. I say. Huyu ana moyo wa kujali wenzake kuliko anavyo jijali yeye
Samahani huyu mtoto ni mvulana au msichana?
Sa mbon kasep mwishon kabl hajaepw asant kwa zawad yak tho🙄?
Mnaacha kuwasaidia wagonjwa walioko mahospitalin na masikini wenye ziki mitaan na vijijini mnakuja kujimwambafai huku mitandaoni
@anneafrica939
3 жыл бұрын
Elia nakwihita mara tatu hizo ni Mali za kishetani azisaidii tuu mtu yoyote azifikilii Wengine ndio maana mtu aoni hasara kuchangia milioni 10. Ni chama Chao kupeana support za hvyo So take note on that Wewe angalia aliye juu God and Jesus Who choose you wakipata neema ya wokovu basi watavua mavazi yao ya ubatili ni kuombeana tuu hatujakamilika na Bado twaishi chini ya neema ikitoweka neema hiii ya sasa tusubiri kukatana masikio na mapanga 666inafanya kazi na vijana na ulimwengu mzima So fumbua macho tuu upate kuona na hekima ya Mungu ikae moyoni mwako.Amen.
@saimoniboniphace4763
3 жыл бұрын
Kua na ekima ndio kitu pekee nacho kwambia acha kumzalau mtu kwa anacho kifanya kwa wakati huo. Jalib kua na eshima. Nijambo zuli pia kuwapa wangonjwa. Msahada lkn ukumbuke Apo Yuko wap. Ayupo hospital yupo kwenye shelee ya mtoto kupokea kipaimara so pia cyo kitu kiby alicho kifanya so nakuomba acha kua na kauli chafu na za kejeli
@anneafrica939
3 жыл бұрын
@@saimoniboniphace4763 Asante umenena vema yote mema maadamu sijakutukana Nimesikia Nitakuwa na hekima
Ilikua shelehe ya nn jaman
Unamchamba instagram but unamtumia KZread kupata hela 😏 No credibility in your current work at all...
Dogo kakosa ps5 kizembe😂
Huku kwetu ungeskia mjomba baiskel🤣🤣🤣🤣
@coletashirima2193
3 жыл бұрын
Hahah
Dogo hana shobo
Dhu uyu dogo apo katisha
Ww Mc gara b