RISASI YAFYATULIWA ARUSHA MUDA HUU KUTAWANYA MAJAMBAZI WAWILI, PIKIPIKI YACHOMWA KATIKATI YA MJI

Пікірлер: 268

  • @ReganChuwa
    @ReganChuwa2 күн бұрын

    Hongereni Sana maaskari wa benki na Mungu hawajaze nguvu katika kazi yenu❤❤

  • @user-xk7vy4gb6g
    @user-xk7vy4gb6g2 күн бұрын

    Paro ndefu waweza kufa kabla hujapigwa 😂😂😂😂😂 huko mtakufa vibaka kila siku

  • @dp.digital_
    @dp.digital_2 күн бұрын

    Craw nzima ya Ayo tv mnanifrahisha Kwa uharaka wenu

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION2 күн бұрын

    Unaweza kuta waizi tupo nao online wanacheki tukio

  • @ngoniboy1039

    @ngoniboy1039

    2 күн бұрын

    Alafu kwelii

  • @pendo8082

    @pendo8082

    2 күн бұрын

    Ni kweli 😂

  • @user-kc5le8wi3z

    @user-kc5le8wi3z

    Күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @joycemkeka3769

    @joycemkeka3769

    16 сағат бұрын

    Shauliyako umegusa kwenye mfupa🤣

  • @AlexMoses-mp8sl
    @AlexMoses-mp8sl2 күн бұрын

    Kazi nzurii wezi Kam hao nawao wangechomwa na utakuta waezi wapo onlne wanasom coment zetu

  • @benancejohn1198
    @benancejohn11982 күн бұрын

    Imefikia hatua nikiwa barabarani,situmii wala kushika Cm kabisa.

  • @JoyceMugeta

    @JoyceMugeta

    Күн бұрын

    Mimi walishanipora dar mchana kweupe barabarani,sina hamu na tangu siku hiyo siongei na simu barabarani

  • @benancejohn1198

    @benancejohn1198

    Күн бұрын

    Pole sana

  • @JosephM.meiliari
    @JosephM.meiliari2 күн бұрын

    Inawezekana ndio hao unaowahoji

  • @twahiluiddi5312

    @twahiluiddi5312

    2 күн бұрын

    Sio kila mtu Arusha anaongea hivyo ni mwizi

  • @user-ds7ho1my4u
    @user-ds7ho1my4u2 күн бұрын

    Arusha Watoto wengi, wanalelewa na Mabibi Zao, au Mama Zao, Wengi Hawana Baba Mmoja, Mama Leo Ameingiza baba Huyu, kesho Baba Mwingine.kwa Hiyo Watoto wengi Hawana malezi Bora, Mtoto Lazima alelewe na Baba na Mama.

  • @kimwanahamisi8551

    @kimwanahamisi8551

    13 сағат бұрын

    😢

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_2 күн бұрын

    Kuna mikoa kila mtu waeza muhisi ni mwizi japo ni kosa kuhisi hisi, piga picha hawa jamaa ndio mashahidi kwenye kesi yako labda hakimu , waendesha mashikataka , wanasheria na majaji wote watokee huko huko, yaani kuna vi swahili ukivizikia unatamani uzibe masikio, tunakuomba saana Mhe SSH Mpandishe cheo Makonda atoke huko maana hata yeye hajaumbiwa shida hizi haahahahaaha

  • @user-ql6et2ql2i
    @user-ql6et2ql2i2 күн бұрын

    Pengo umenifurahisha😅

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati95992 күн бұрын

    Hahahaha ripota umepata mtu wa kumuhoji

  • @Brunn-mh2bq

    @Brunn-mh2bq

    2 күн бұрын

    Umesikia vijana walitaka kupiga "you tam"?😅😅

  • @OmanOman-vb4uj

    @OmanOman-vb4uj

    2 күн бұрын

    😅😅😅😅

  • @levinaernest4364

    @levinaernest4364

    20 сағат бұрын

    😀😀😀

  • @fatmamdihiri4164
    @fatmamdihiri41642 күн бұрын

    Alipoliza mzigo aliacha bonge la paroo 🤣🤣🤣🤣🤣🙈

  • @maureenlilykiwia1515
    @maureenlilykiwia1515Күн бұрын

    Mimi ni mwathirika wa kuibiwa na watu wa bodaboda walipitia pochi yangu wakaondoka na ada ya mtoto wangu nililia mpaka nikaomba Mungu iwe ni ndoto...hawa watu wanaumiza sana sana aisee

  • @RajabuMkonje
    @RajabuMkonje2 күн бұрын

    Simu ya laki2 imetia hasara ya pikipiki ya milioni 2 hii ni akili au matope dah jamaa wanna hasara ya milioni na laki8

  • @user-wd2bc7bf5x
    @user-wd2bc7bf5x2 күн бұрын

    Mwenye digrii😂😂😂😂

  • @monicamwainunu7908
    @monicamwainunu79082 күн бұрын

    Kadinali pengo umetisha chaliii wangu

  • @ArafaAmirAmir-ci7ld

    @ArafaAmirAmir-ci7ld

    2 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @mussatete2618

    @mussatete2618

    2 күн бұрын

    😂😂😂

  • @user-tt1nm9xs4n

    @user-tt1nm9xs4n

    2 күн бұрын

    Asimchafue kadnali huyo muhuni sio kadnali

  • @upendoeliya9329

    @upendoeliya9329

    Күн бұрын

    😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉

  • @user-sb7lz9xp4v

    @user-sb7lz9xp4v

    Күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa2 күн бұрын

    Arusha kunakazi kubwa sana makonda afanye kazi kweli kweli maana so poa Aisee mpaka kunaogopesha

  • @aishaalbalushaishabalush8291

    @aishaalbalushaishabalush8291

    2 күн бұрын

    anakatazwa kuwashughulikia wahujumu na wahalifu kama hao kwahiyo anangalia tu maana alianza vizuri mafumbo kwa rais yakaanza kua anafanya kazi kwa ubabe

  • @AminaLibisa

    @AminaLibisa

    2 күн бұрын

    Basi mtihani kwa kweli

  • @frankngoloka5416

    @frankngoloka5416

    2 күн бұрын

    ​@@aishaalbalushaishabalush8291Kwa kauli Ile wapigaji wa Hela za serikari hawataacha

  • @miriamdavis3893

    @miriamdavis3893

    2 күн бұрын

    Kenya ipo Arusha jamani

  • @miriamdavis3893

    @miriamdavis3893

    2 күн бұрын

    ​@aishaalbalushaishabaluhash8291

  • @stuntkizzy
    @stuntkizzy2 күн бұрын

    Dah! kadinali pengo😂

  • @denismasele4130

    @denismasele4130

    2 күн бұрын

    Oyaa sio poa cardinal pengo😂😂😂😂😂

  • @nurumwangoka5924
    @nurumwangoka59242 күн бұрын

    Ila Arusha sijutiii kuolewa na mmasai ni burudani tuuu😅😅😅😅

  • @user-ly9us4db3m
    @user-ly9us4db3m2 күн бұрын

    Arusha noma sana jaman baba kazi unayo kila tukio ukisikiliza ni Arusha duh

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter820018 сағат бұрын

    Safi sana.Yatakamatiwa sehemu nyingine.

  • @letthedeadburythedead2148
    @letthedeadburythedead21482 күн бұрын

    Ukiongea na sim road ishike kama roho yako, especially hapa chuga

  • @neemapallangyo369

    @neemapallangyo369

    2 күн бұрын

    ahhh

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi93142 күн бұрын

    Chuga yetu ni 🔥🔥🔥

  • @estermmafie1758
    @estermmafie1758Күн бұрын

    Arusha aina tofauti na Nairobi, lugha nitofaut na count zingine, na mikoa mingine kwa tz, utaskia paro, mbao n.k,

  • @angolina1768
    @angolina17682 күн бұрын

    Mmh Kardinal pengo weee 😂😂😂

  • @user-qh2bx5em6j

    @user-qh2bx5em6j

    2 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti23702 күн бұрын

    Safi sana boda wa Arusha

  • @NAMAYANINANYARO
    @NAMAYANINANYARO18 сағат бұрын

    Mungu naomba uwaponye vijana wa Arusha..too much Pombe

  • @AnnaMollel-w6m
    @AnnaMollel-w6m2 күн бұрын

    Duh chuga yetu na vijana wetu wanavoongea sasa😂😂😂😂

  • @deboramuhoja1777

    @deboramuhoja1777

    Күн бұрын

    😂😂😂 yaani ndio ongea yao😅😅

  • @davantrappe417

    @davantrappe417

    Күн бұрын

    🤣🤣🤣🤣

  • @wilondjarama1427

    @wilondjarama1427

    7 сағат бұрын

    😂😂😂

  • @JubilateChristopher
    @JubilateChristopher2 күн бұрын

    hiyo pikipiki iangaliwe plate no itakulikana mmiliki ni nani achukuliwe atua

  • @josamjoel2079

    @josamjoel2079

    2 күн бұрын

    Je kama mmiliki kampa boda amletee hesabu

  • @StephanoMoses

    @StephanoMoses

    2 күн бұрын

    ​@@josamjoel2079 ndo safi hyo bada alopewa diga ili alete hela akamatwe abanwe pumbu na shoti ya umeme ataje hyo cheni yoooote wanaoshieikana tatu mzuka

  • @emanuelherman7029

    @emanuelherman7029

    2 күн бұрын

    Pikipiki nyingi chuka plate no ni bandia nyingi zinaibiwa kenya nakuingizwa chuga kiharamia ni chache sana ambazo zinafahamika

  • @amanijm746

    @amanijm746

    2 күн бұрын

    Mi enyee ukinicheki, unaeza sema sio muizi, lakini ukinishika kwenye uizi, si ni mwizi...

  • @kulwamikwanga3112
    @kulwamikwanga31122 күн бұрын

    Degree ya wizi Arusha ya pamba moto Askari hongera sana kwa kazi nzuri mungu akubariki sana kwa umakini wako huenda wangepora pesa hapo hao ni vibaka tu kama vibaka wengine so majambazi makonda oparesheni maarum ifanywe mkoa mzima na kamandi ya jeshi la Akiba ndo wataizibiti Arusha bira huruma vijana hao wakamatwe walale sa 11 jioni mitaa ifungwe ndo watakua na hakiri binadam anajita eti wadudu kweri 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @emanuelherman7029

    @emanuelherman7029

    2 күн бұрын

    Peleka ureee huko wadudu tulale saa 11 umelogwa wewe kausha dingi huna lakusema kuhusu chuga yetu

  • @user-cp2do9pd5k

    @user-cp2do9pd5k

    2 күн бұрын

    Achana nae huyo ​@@emanuelherman7029

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi23622 күн бұрын

    Machuga.bila risasi hapakai sawa, simu ya Elfu sitini umekula hasara ya Laki Saba, akili mbovu tafuta hela wizi utakupeleka kaburini mapema

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga99772 күн бұрын

    Waandishi muwe mnahoji watu wanaojielewa kama hao wawili wa mwisho

  • @maureenlilykiwia1515
    @maureenlilykiwia1515Күн бұрын

    Mungu anawaona vijana wa Ar na viswahili vyenu😂😂

  • @eliaisack156
    @eliaisack1562 күн бұрын

    Kazi nzuuri askari

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani36092 күн бұрын

    Shikamoo Arusha

  • @samohboy9937
    @samohboy9937Күн бұрын

    Huyo mwenye kofia nyeus mbon kama ndio mwizi mwenyewe😅

  • @user-st9gh2kd5s
    @user-st9gh2kd5s2 күн бұрын

    Askari anapiga risasi juu kwa wizi wa simu na huku aliliona tukio zima sasa wangekuwa majambzi wa benki angetumia nini.

  • @devothaignatius5256
    @devothaignatius52562 күн бұрын

    Balo ni panga au nikisu mmmh 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @delsonandrea5223
    @delsonandrea52232 күн бұрын

    Kwel Arusha Kuna vijana wa ovyo

  • @frankkisiki4832
    @frankkisiki4832Күн бұрын

    Nime porwa simu siku ya Idd majuzi, na vijana wezi kwa mtindo huu wa kutumia pikipiki. Hali ya wezi wa namna hii lazima ikomeshwe ipo siku wata kuja kuingia choo cha kike.

  • @abuukamanda.s.mkenga6687
    @abuukamanda.s.mkenga66872 күн бұрын

    Mmenistua kusema et majambazzi. Jambazz anakwapua sim🙆??? Hao v baka

  • @ashrafadam4629

    @ashrafadam4629

    Күн бұрын

    Chuga usela mavi mwingi

  • @user-iw5hu3mc7l
    @user-iw5hu3mc7l2 күн бұрын

    Sio wa zoefu hao wenye kazi zao wanasoma mazingira kabla

  • @PendoMatemba

    @PendoMatemba

    Күн бұрын

    Yaani wewe

  • @user-yp9el7xp8g
    @user-yp9el7xp8g2 күн бұрын

    Ingekwa Kenya wangechomwa wote waizi pamoja na pikipiki

  • @MeckitilidaTushabe-or9hu

    @MeckitilidaTushabe-or9hu

    2 күн бұрын

    Wamekimbia

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed6242 сағат бұрын

    Daah ase Arusha kwa matukiooo dah so Poa 😂😂😂

  • @user-ly5gd2zc7u
    @user-ly5gd2zc7uКүн бұрын

    Ndio hao hao wameiba uku USA mara mbili jaman, ila hao lazima wafe

  • @CatherineMbatta
    @CatherineMbatta23 сағат бұрын

    Huyo ambaye amehojiwa anayesema ni msoni inaweza kuwa ndio yeye ,Roho inauma hapo boda yake imechomwa ina maana hajui kutamka panga ,hizo lugha wanazotumia hapo ndio hizo wanazotumia usiku ili usijue kasema panga au bisi bisi huo mngekamata mkasweka ndani,hao wote wanaoongea kama wanatoka usingizini iazishwe oparwsheni Yao mbona watazungumza vizuri Tu

  • @amox_enterprises
    @amox_enterprises2 күн бұрын

    very sad😮

  • @godfreykiwelu7253
    @godfreykiwelu72532 күн бұрын

    Cheap is expensive wamepoteza pikipiki ya 2 mil Kwa SIM sidhan km inazid Milion moja

  • @FrankGasper-eq2ui
    @FrankGasper-eq2ui12 сағат бұрын

    Naskia pale kwenye hice wadada uuuuu kuangalia hiv mara naskia puuu

  • @user-sg1du9dp1i
    @user-sg1du9dp1i2 күн бұрын

    Mtu umekaa zako kwako unaona chumaako ulioandikishana na wauni wakuletee hesabu inakula Moto😂😂😂

  • @mrsferuzi7443

    @mrsferuzi7443

    Күн бұрын

    Acha tu 😂😂😂

  • @kituapeter

    @kituapeter

    Күн бұрын

    Dah

  • @MandoliiMoshi
    @MandoliiMoshi2 күн бұрын

    arusha mnafelii sababu ya kutamani vitu vidogo kuweni kma wachaga wanaba mamilioni ya pesa angalieni sasa mnajifanya wajanja akati wageni wakuja ndo wanamiliki pesa asee nyie ni machali zng asee achen upuuzi mtazidi kusema wachaga wachawi kumbe cc n wapambanaji

  • @knowledgeispower1118

    @knowledgeispower1118

    2 күн бұрын

    Wachaggaa wanapesa za kuweka ndugu zao daharini na karibia kilimanjaro yote kila nyumba ina kichaa nenda rombo,kibosha n.k Kuwatoa ndugu zako kafara ili upate pesa maana yake umeshindwa kutafuta pesa kwa akili zako za kawaida mpaka unaomba misaada kwa mashetani. Swala la uwizi limetapakaa Dunia kote nenda nairobi,southafrika n.k..acha dharau we mtu wa kishimundu

  • @MandoliiMoshi

    @MandoliiMoshi

    Күн бұрын

    @@knowledgeispower1118 na ww nenda kaweke ndugu zako darini ili upate pesa wachaga ni wapambanaji toka miaka ya ukoloni kama wanaloga na ww kaloge

  • @tuikezeezra1315
    @tuikezeezra13152 күн бұрын

    Aise watu wana maneno yakuchekesha, ila wezi nao wanapora hadi mchana🤣🤣🤣🤣🤣

  • @SadaKigwangala
    @SadaKigwangalaКүн бұрын

    Mtihani mm naificha ata jwenye mkoba siweki maana wizi hatarii

  • @musampanda3643
    @musampanda36432 күн бұрын

    Mii apa enyewe unaweza kusema sio muizi ila nikishikwa kwenye wizi si muizi wenye D mbili tumeelewa

  • @HonestaAloyce
    @HonestaAloyce2 күн бұрын

    Duu;polen

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt2 күн бұрын

    Mungu utuokoe wanao Dunia ni nzito inatuelemea

  • @SungwaFrancis-sx1ls
    @SungwaFrancis-sx1ls2 күн бұрын

    Mbona munalazimisha kutumia mb za bure?

  • @ole_larusai587
    @ole_larusai5872 күн бұрын

    Kuna tofauti Kati ya majambazi na wezi

  • @rudiutotoni.
    @rudiutotoni.2 күн бұрын

    Balaaaa

  • @exodusmgohachi1733
    @exodusmgohachi17332 күн бұрын

    Aliyechoma pikipiki anawajua hao majambazi hapo ameoteza ushahidi kama pikipiki ilikuwa ya hao majambazi

  • @uwembatvonline

    @uwembatvonline

    2 күн бұрын

    Kwani plate number hamna..?? Si tunaangalia..

  • @musampanda3643
    @musampanda36432 күн бұрын

    Wezi wenyewe wapo apo apo

  • @user-em3uf8wz6r

    @user-em3uf8wz6r

    Күн бұрын

    Hahahaha

  • @WahidaHilaly
    @WahidaHilaly2 күн бұрын

    Daaah 😢😢

  • @MayungaPlatinumz
    @MayungaPlatinumz2 күн бұрын

    😂😂😂 mwamba pengo anaelezea kwa umakin usipoelewa rud darasan

  • @HASASON
    @HASASON2 күн бұрын

    Acha usenge we pengo hiyo pikipiki ni mradi wa pesa nyingi kuliko simu ambayo hata ingekuwa mbovu, acha wauawe

  • @MasanjangwesaJiganga

    @MasanjangwesaJiganga

    2 күн бұрын

    Stupid

  • @nizoplatinumztz8025
    @nizoplatinumztz80252 күн бұрын

    Hahahaaaa 🙌 hawa wanao hojiwa wanajibu kwa mzaha sana

  • @HappyBurrito-bm5me
    @HappyBurrito-bm5meКүн бұрын

    Waiba simu sio majambazi hao ni wizi jambazi haibi simu

  • @user-bo5qp9gz8m
    @user-bo5qp9gz8m2 күн бұрын

    Kadinari pengo duh😂😂😂😂

  • @glorymaganga

    @glorymaganga

    2 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-dc7vr8vv5f

    @user-dc7vr8vv5f

    2 күн бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @MichaelMaro-hj7yo
    @MichaelMaro-hj7yoКүн бұрын

    MNAIBA SIM KUCHUNGULIA KABURI ARUSHA KWISHA

  • @mazulacelestine3038
    @mazulacelestine30382 күн бұрын

    Dah Arusha kweli tatu mzuka

  • @user-sb7lz9xp4v
    @user-sb7lz9xp4vКүн бұрын

    Kadinali pengo umetishaa babaakeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @elidiustudoy2640
    @elidiustudoy26402 күн бұрын

    Safii

  • @user-sg1du9dp1i
    @user-sg1du9dp1i2 күн бұрын

    Sema chuga bana Naapo unakuta watu wamekimbia na awakamatwagi wanapoteaga kiaina mbele ya kadamnasi enyewe😂

  • @mwajumakatani4915
    @mwajumakatani4915Күн бұрын

    Hivi Arusha ni Tanzania Mana kila cku ni matukio

  • @ernestchaulema226
    @ernestchaulema2262 күн бұрын

    🔥🔥🔥

  • @saydonahmed5469
    @saydonahmed54692 күн бұрын

    Kadinali Pengo noumaaaa 😅😅😂

  • @IzoTech-bg1en
    @IzoTech-bg1en2 күн бұрын

    Arusha mmepinda kinoma huyo chalii anavyoongea unaweza kucheka badala ya kuhuzunisha

  • @claudesimukoko1436
    @claudesimukoko1436Күн бұрын

    Jama kamaa anahigiza vilee, nimempenda uyu jamaa

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712Күн бұрын

    Me namuomba Mungu msimu ujao simba tubebe ubingwa

  • @mirzah117
    @mirzah117Күн бұрын

    Kuwatawanya majambazi ila waandishi wa siku hizi

  • @dativalyamuya6972
    @dativalyamuya69722 күн бұрын

    Sema Arusha 🙌🙌🙌 lugha yao tuuu ya kihuni huni 😅😅 wenye D mbili ndo watawaelewa

  • @Kibabage03
    @Kibabage032 күн бұрын

    Safari hii njombe amewekwa pending na arusha maana daily arusha

  • @rudiutotoni.
    @rudiutotoni.2 күн бұрын

    Duuuu

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3eКүн бұрын

    😂😂😂uyu kijana amenichekesha san😂

  • @ezrageofrey9668
    @ezrageofrey9668Күн бұрын

    😂 😂 😂 Uyo witness nikama😂😂 au basi

  • @mtotowamanka
    @mtotowamanka2 күн бұрын

    Wapewa kibarua,kwa government 😮

  • @user-ub3xh7ug6c
    @user-ub3xh7ug6c2 күн бұрын

    Kweny maish yasaiv ma cm ni kitu cha kuiba kwer..masim meng iv hd z mikop

  • @StevenSylivester
    @StevenSylivester2 күн бұрын

    😅😅AkA kadinali

  • @hamadichopoti2996
    @hamadichopoti29962 күн бұрын

    Ila harmonize 🙌

  • @oissaomary7458
    @oissaomary7458Күн бұрын

    Yani huyo chunga wakwanza anavyoongea amefanya nicheke na kutazama Vidio mpaka mwisho eti panga Lina chomolewa hariishi

  • @susanakingu6440
    @susanakingu6440Күн бұрын

    Pabaya zaidi ni hapo iwe pikipiki siyo ya kwao. Mmmh!!!

  • @user-jj3yt1ex5c
    @user-jj3yt1ex5c2 күн бұрын

    Mm😂😂😂😂 leteni kenya huyu jamaa

  • @user-ov4hf8dq8r
    @user-ov4hf8dq8r2 күн бұрын

    Paruu😮

  • @rajabumalilo1875
    @rajabumalilo1875Күн бұрын

    Wameshindwa kuwakimbizA zamani mwizi anakimbizwa hadi anakanatwa

  • @alexmbimbi2029
    @alexmbimbi20292 күн бұрын

    Kazin kuna kaZi pengo

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6t2 күн бұрын

    Jamani mbona Arusha inatisha kuna ujinga mkubwa wanaongea kiujinga jinga tu makundi mengi ya kipumbavu mpeni Sapoti mkuu wa mkoa asfishe huo mkoa umezidi hskika kwa uchafu

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba3132 күн бұрын

    Huko Arusha vijana wote walevi?

  • @modekaijames

    @modekaijames

    2 күн бұрын

    Umeanza maneno

  • @rithadonatus8110

    @rithadonatus8110

    2 күн бұрын

    Subiri ninyamaze

  • @user-fs7xc2bb5d

    @user-fs7xc2bb5d

    2 күн бұрын

    ​@@modekaijames😂😂😂😂

  • @user-wo3be1zo6f
    @user-wo3be1zo6f2 күн бұрын

    😂😂😂😂 kadinali pengo haki haki kizazi cha nyota 😂😂😂 Mungu tusaidie

  • @user-qh2bx5em6j
    @user-qh2bx5em6j2 күн бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kadinali weeeeeeee

  • @user-wf8pj6xm5w
    @user-wf8pj6xm5w2 күн бұрын

    Kardinal pengo 😢

  • @halimadamasi2770
    @halimadamasi2770Күн бұрын

    😢😢😢

Келесі