Kazi nzurii wezi Kam hao nawao wangechomwa na utakuta waezi wapo onlne wanasom coment zetu
@benancejohn11982 күн бұрын
Imefikia hatua nikiwa barabarani,situmii wala kushika Cm kabisa.
@JoyceMugeta
Күн бұрын
Mimi walishanipora dar mchana kweupe barabarani,sina hamu na tangu siku hiyo siongei na simu barabarani
@benancejohn1198
Күн бұрын
Pole sana
@JosephM.meiliari2 күн бұрын
Inawezekana ndio hao unaowahoji
@twahiluiddi5312
2 күн бұрын
Sio kila mtu Arusha anaongea hivyo ni mwizi
@user-ds7ho1my4u2 күн бұрын
Arusha Watoto wengi, wanalelewa na Mabibi Zao, au Mama Zao, Wengi Hawana Baba Mmoja, Mama Leo Ameingiza baba Huyu, kesho Baba Mwingine.kwa Hiyo Watoto wengi Hawana malezi Bora, Mtoto Lazima alelewe na Baba na Mama.
@kimwanahamisi8551
13 сағат бұрын
😢
@ndukulusudikucho_2 күн бұрын
Kuna mikoa kila mtu waeza muhisi ni mwizi japo ni kosa kuhisi hisi, piga picha hawa jamaa ndio mashahidi kwenye kesi yako labda hakimu , waendesha mashikataka , wanasheria na majaji wote watokee huko huko, yaani kuna vi swahili ukivizikia unatamani uzibe masikio, tunakuomba saana Mhe SSH Mpandishe cheo Makonda atoke huko maana hata yeye hajaumbiwa shida hizi haahahahaaha
@user-ql6et2ql2i2 күн бұрын
Pengo umenifurahisha😅
@mustafamsati95992 күн бұрын
Hahahaha ripota umepata mtu wa kumuhoji
@Brunn-mh2bq
2 күн бұрын
Umesikia vijana walitaka kupiga "you tam"?😅😅
@OmanOman-vb4uj
2 күн бұрын
😅😅😅😅
@levinaernest4364
20 сағат бұрын
😀😀😀
@fatmamdihiri41642 күн бұрын
Alipoliza mzigo aliacha bonge la paroo 🤣🤣🤣🤣🤣🙈
@maureenlilykiwia1515Күн бұрын
Mimi ni mwathirika wa kuibiwa na watu wa bodaboda walipitia pochi yangu wakaondoka na ada ya mtoto wangu nililia mpaka nikaomba Mungu iwe ni ndoto...hawa watu wanaumiza sana sana aisee
@RajabuMkonje2 күн бұрын
Simu ya laki2 imetia hasara ya pikipiki ya milioni 2 hii ni akili au matope dah jamaa wanna hasara ya milioni na laki8
@user-wd2bc7bf5x2 күн бұрын
Mwenye digrii😂😂😂😂
@monicamwainunu79082 күн бұрын
Kadinali pengo umetisha chaliii wangu
@ArafaAmirAmir-ci7ld
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@mussatete2618
2 күн бұрын
😂😂😂
@user-tt1nm9xs4n
2 күн бұрын
Asimchafue kadnali huyo muhuni sio kadnali
@upendoeliya9329
Күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@user-sb7lz9xp4v
Күн бұрын
😂😂😂😂
@AminaLibisa2 күн бұрын
Arusha kunakazi kubwa sana makonda afanye kazi kweli kweli maana so poa Aisee mpaka kunaogopesha
@aishaalbalushaishabalush8291
2 күн бұрын
anakatazwa kuwashughulikia wahujumu na wahalifu kama hao kwahiyo anangalia tu maana alianza vizuri mafumbo kwa rais yakaanza kua anafanya kazi kwa ubabe
@AminaLibisa
2 күн бұрын
Basi mtihani kwa kweli
@frankngoloka5416
2 күн бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291Kwa kauli Ile wapigaji wa Hela za serikari hawataacha
@miriamdavis3893
2 күн бұрын
Kenya ipo Arusha jamani
@miriamdavis3893
2 күн бұрын
@aishaalbalushaishabaluhash8291
@stuntkizzy2 күн бұрын
Dah! kadinali pengo😂
@denismasele4130
2 күн бұрын
Oyaa sio poa cardinal pengo😂😂😂😂😂
@nurumwangoka59242 күн бұрын
Ila Arusha sijutiii kuolewa na mmasai ni burudani tuuu😅😅😅😅
@user-ly9us4db3m2 күн бұрын
Arusha noma sana jaman baba kazi unayo kila tukio ukisikiliza ni Arusha duh
@yukundapeter820018 сағат бұрын
Safi sana.Yatakamatiwa sehemu nyingine.
@letthedeadburythedead21482 күн бұрын
Ukiongea na sim road ishike kama roho yako, especially hapa chuga
@neemapallangyo369
2 күн бұрын
ahhh
@husseinhemedi93142 күн бұрын
Chuga yetu ni 🔥🔥🔥
@estermmafie1758Күн бұрын
Arusha aina tofauti na Nairobi, lugha nitofaut na count zingine, na mikoa mingine kwa tz, utaskia paro, mbao n.k,
@angolina17682 күн бұрын
Mmh Kardinal pengo weee 😂😂😂
@user-qh2bx5em6j
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
@queenmwasanguti23702 күн бұрын
Safi sana boda wa Arusha
@NAMAYANINANYARO18 сағат бұрын
Mungu naomba uwaponye vijana wa Arusha..too much Pombe
@AnnaMollel-w6m2 күн бұрын
Duh chuga yetu na vijana wetu wanavoongea sasa😂😂😂😂
@deboramuhoja1777
Күн бұрын
😂😂😂 yaani ndio ongea yao😅😅
@davantrappe417
Күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@wilondjarama1427
7 сағат бұрын
😂😂😂
@JubilateChristopher2 күн бұрын
hiyo pikipiki iangaliwe plate no itakulikana mmiliki ni nani achukuliwe atua
@josamjoel2079
2 күн бұрын
Je kama mmiliki kampa boda amletee hesabu
@StephanoMoses
2 күн бұрын
@@josamjoel2079 ndo safi hyo bada alopewa diga ili alete hela akamatwe abanwe pumbu na shoti ya umeme ataje hyo cheni yoooote wanaoshieikana tatu mzuka
@emanuelherman7029
2 күн бұрын
Pikipiki nyingi chuka plate no ni bandia nyingi zinaibiwa kenya nakuingizwa chuga kiharamia ni chache sana ambazo zinafahamika
@amanijm746
2 күн бұрын
Mi enyee ukinicheki, unaeza sema sio muizi, lakini ukinishika kwenye uizi, si ni mwizi...
@kulwamikwanga31122 күн бұрын
Degree ya wizi Arusha ya pamba moto Askari hongera sana kwa kazi nzuri mungu akubariki sana kwa umakini wako huenda wangepora pesa hapo hao ni vibaka tu kama vibaka wengine so majambazi makonda oparesheni maarum ifanywe mkoa mzima na kamandi ya jeshi la Akiba ndo wataizibiti Arusha bira huruma vijana hao wakamatwe walale sa 11 jioni mitaa ifungwe ndo watakua na hakiri binadam anajita eti wadudu kweri 🤔🤔🤔🤔🤔
@emanuelherman7029
2 күн бұрын
Peleka ureee huko wadudu tulale saa 11 umelogwa wewe kausha dingi huna lakusema kuhusu chuga yetu
@user-cp2do9pd5k
2 күн бұрын
Achana nae huyo @@emanuelherman7029
@darajalakidatukilomgi23622 күн бұрын
Machuga.bila risasi hapakai sawa, simu ya Elfu sitini umekula hasara ya Laki Saba, akili mbovu tafuta hela wizi utakupeleka kaburini mapema
@judithkirenga99772 күн бұрын
Waandishi muwe mnahoji watu wanaojielewa kama hao wawili wa mwisho
@maureenlilykiwia1515Күн бұрын
Mungu anawaona vijana wa Ar na viswahili vyenu😂😂
@eliaisack1562 күн бұрын
Kazi nzuuri askari
@fatmaalnabhani36092 күн бұрын
Shikamoo Arusha
@samohboy9937Күн бұрын
Huyo mwenye kofia nyeus mbon kama ndio mwizi mwenyewe😅
@user-st9gh2kd5s2 күн бұрын
Askari anapiga risasi juu kwa wizi wa simu na huku aliliona tukio zima sasa wangekuwa majambzi wa benki angetumia nini.
@devothaignatius52562 күн бұрын
Balo ni panga au nikisu mmmh 🤣🤣🤣🤣🤣
@delsonandrea52232 күн бұрын
Kwel Arusha Kuna vijana wa ovyo
@frankkisiki4832Күн бұрын
Nime porwa simu siku ya Idd majuzi, na vijana wezi kwa mtindo huu wa kutumia pikipiki. Hali ya wezi wa namna hii lazima ikomeshwe ipo siku wata kuja kuingia choo cha kike.
@abuukamanda.s.mkenga66872 күн бұрын
Mmenistua kusema et majambazzi. Jambazz anakwapua sim🙆??? Hao v baka
@ashrafadam4629
Күн бұрын
Chuga usela mavi mwingi
@user-iw5hu3mc7l2 күн бұрын
Sio wa zoefu hao wenye kazi zao wanasoma mazingira kabla
@PendoMatemba
Күн бұрын
Yaani wewe
@user-yp9el7xp8g2 күн бұрын
Ingekwa Kenya wangechomwa wote waizi pamoja na pikipiki
@MeckitilidaTushabe-or9hu
2 күн бұрын
Wamekimbia
@muniraahmed6242 сағат бұрын
Daah ase Arusha kwa matukiooo dah so Poa 😂😂😂
@user-ly5gd2zc7uКүн бұрын
Ndio hao hao wameiba uku USA mara mbili jaman, ila hao lazima wafe
@CatherineMbatta23 сағат бұрын
Huyo ambaye amehojiwa anayesema ni msoni inaweza kuwa ndio yeye ,Roho inauma hapo boda yake imechomwa ina maana hajui kutamka panga ,hizo lugha wanazotumia hapo ndio hizo wanazotumia usiku ili usijue kasema panga au bisi bisi huo mngekamata mkasweka ndani,hao wote wanaoongea kama wanatoka usingizini iazishwe oparwsheni Yao mbona watazungumza vizuri Tu
@amox_enterprises2 күн бұрын
very sad😮
@godfreykiwelu72532 күн бұрын
Cheap is expensive wamepoteza pikipiki ya 2 mil Kwa SIM sidhan km inazid Milion moja
@FrankGasper-eq2ui12 сағат бұрын
Naskia pale kwenye hice wadada uuuuu kuangalia hiv mara naskia puuu
@user-sg1du9dp1i2 күн бұрын
Mtu umekaa zako kwako unaona chumaako ulioandikishana na wauni wakuletee hesabu inakula Moto😂😂😂
@mrsferuzi7443
Күн бұрын
Acha tu 😂😂😂
@kituapeter
Күн бұрын
Dah
@MandoliiMoshi2 күн бұрын
arusha mnafelii sababu ya kutamani vitu vidogo kuweni kma wachaga wanaba mamilioni ya pesa angalieni sasa mnajifanya wajanja akati wageni wakuja ndo wanamiliki pesa asee nyie ni machali zng asee achen upuuzi mtazidi kusema wachaga wachawi kumbe cc n wapambanaji
@knowledgeispower1118
2 күн бұрын
Wachaggaa wanapesa za kuweka ndugu zao daharini na karibia kilimanjaro yote kila nyumba ina kichaa nenda rombo,kibosha n.k Kuwatoa ndugu zako kafara ili upate pesa maana yake umeshindwa kutafuta pesa kwa akili zako za kawaida mpaka unaomba misaada kwa mashetani. Swala la uwizi limetapakaa Dunia kote nenda nairobi,southafrika n.k..acha dharau we mtu wa kishimundu
@MandoliiMoshi
Күн бұрын
@@knowledgeispower1118 na ww nenda kaweke ndugu zako darini ili upate pesa wachaga ni wapambanaji toka miaka ya ukoloni kama wanaloga na ww kaloge
@tuikezeezra13152 күн бұрын
Aise watu wana maneno yakuchekesha, ila wezi nao wanapora hadi mchana🤣🤣🤣🤣🤣
@SadaKigwangalaКүн бұрын
Mtihani mm naificha ata jwenye mkoba siweki maana wizi hatarii
@musampanda36432 күн бұрын
Mii apa enyewe unaweza kusema sio muizi ila nikishikwa kwenye wizi si muizi wenye D mbili tumeelewa
@HonestaAloyce2 күн бұрын
Duu;polen
@Carolina-sm5zt2 күн бұрын
Mungu utuokoe wanao Dunia ni nzito inatuelemea
@SungwaFrancis-sx1ls2 күн бұрын
Mbona munalazimisha kutumia mb za bure?
@ole_larusai5872 күн бұрын
Kuna tofauti Kati ya majambazi na wezi
@rudiutotoni.2 күн бұрын
Balaaaa
@exodusmgohachi17332 күн бұрын
Aliyechoma pikipiki anawajua hao majambazi hapo ameoteza ushahidi kama pikipiki ilikuwa ya hao majambazi
@uwembatvonline
2 күн бұрын
Kwani plate number hamna..?? Si tunaangalia..
@musampanda36432 күн бұрын
Wezi wenyewe wapo apo apo
@user-em3uf8wz6r
Күн бұрын
Hahahaha
@WahidaHilaly2 күн бұрын
Daaah 😢😢
@MayungaPlatinumz2 күн бұрын
😂😂😂 mwamba pengo anaelezea kwa umakin usipoelewa rud darasan
@HASASON2 күн бұрын
Acha usenge we pengo hiyo pikipiki ni mradi wa pesa nyingi kuliko simu ambayo hata ingekuwa mbovu, acha wauawe
@MasanjangwesaJiganga
2 күн бұрын
Stupid
@nizoplatinumztz80252 күн бұрын
Hahahaaaa 🙌 hawa wanao hojiwa wanajibu kwa mzaha sana
@HappyBurrito-bm5meКүн бұрын
Waiba simu sio majambazi hao ni wizi jambazi haibi simu
@user-bo5qp9gz8m2 күн бұрын
Kadinari pengo duh😂😂😂😂
@glorymaganga
2 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-dc7vr8vv5f
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@MichaelMaro-hj7yoКүн бұрын
MNAIBA SIM KUCHUNGULIA KABURI ARUSHA KWISHA
@mazulacelestine30382 күн бұрын
Dah Arusha kweli tatu mzuka
@user-sb7lz9xp4vКүн бұрын
Kadinali pengo umetishaa babaakeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@elidiustudoy26402 күн бұрын
Safii
@user-sg1du9dp1i2 күн бұрын
Sema chuga bana Naapo unakuta watu wamekimbia na awakamatwagi wanapoteaga kiaina mbele ya kadamnasi enyewe😂
Sema Arusha 🙌🙌🙌 lugha yao tuuu ya kihuni huni 😅😅 wenye D mbili ndo watawaelewa
@Kibabage032 күн бұрын
Safari hii njombe amewekwa pending na arusha maana daily arusha
@rudiutotoni.2 күн бұрын
Duuuu
@user-qq6mv6vh3eКүн бұрын
😂😂😂uyu kijana amenichekesha san😂
@ezrageofrey9668Күн бұрын
😂 😂 😂 Uyo witness nikama😂😂 au basi
@mtotowamanka2 күн бұрын
Wapewa kibarua,kwa government 😮
@user-ub3xh7ug6c2 күн бұрын
Kweny maish yasaiv ma cm ni kitu cha kuiba kwer..masim meng iv hd z mikop
@StevenSylivester2 күн бұрын
😅😅AkA kadinali
@hamadichopoti29962 күн бұрын
Ila harmonize 🙌
@oissaomary7458Күн бұрын
Yani huyo chunga wakwanza anavyoongea amefanya nicheke na kutazama Vidio mpaka mwisho eti panga Lina chomolewa hariishi
@susanakingu6440Күн бұрын
Pabaya zaidi ni hapo iwe pikipiki siyo ya kwao. Mmmh!!!
@user-jj3yt1ex5c2 күн бұрын
Mm😂😂😂😂 leteni kenya huyu jamaa
@user-ov4hf8dq8r2 күн бұрын
Paruu😮
@rajabumalilo1875Күн бұрын
Wameshindwa kuwakimbizA zamani mwizi anakimbizwa hadi anakanatwa
@alexmbimbi20292 күн бұрын
Kazin kuna kaZi pengo
@user-sp4jr4vw6t2 күн бұрын
Jamani mbona Arusha inatisha kuna ujinga mkubwa wanaongea kiujinga jinga tu makundi mengi ya kipumbavu mpeni Sapoti mkuu wa mkoa asfishe huo mkoa umezidi hskika kwa uchafu
@sebastiansalamba3132 күн бұрын
Huko Arusha vijana wote walevi?
@modekaijames
2 күн бұрын
Umeanza maneno
@rithadonatus8110
2 күн бұрын
Subiri ninyamaze
@user-fs7xc2bb5d
2 күн бұрын
@@modekaijames😂😂😂😂
@user-wo3be1zo6f2 күн бұрын
😂😂😂😂 kadinali pengo haki haki kizazi cha nyota 😂😂😂 Mungu tusaidie
Пікірлер: 268
Hongereni Sana maaskari wa benki na Mungu hawajaze nguvu katika kazi yenu❤❤
Paro ndefu waweza kufa kabla hujapigwa 😂😂😂😂😂 huko mtakufa vibaka kila siku
Craw nzima ya Ayo tv mnanifrahisha Kwa uharaka wenu
Unaweza kuta waizi tupo nao online wanacheki tukio
@ngoniboy1039
2 күн бұрын
Alafu kwelii
@pendo8082
2 күн бұрын
Ni kweli 😂
@user-kc5le8wi3z
Күн бұрын
😂😂😂😂
@joycemkeka3769
16 сағат бұрын
Shauliyako umegusa kwenye mfupa🤣
Kazi nzurii wezi Kam hao nawao wangechomwa na utakuta waezi wapo onlne wanasom coment zetu
Imefikia hatua nikiwa barabarani,situmii wala kushika Cm kabisa.
@JoyceMugeta
Күн бұрын
Mimi walishanipora dar mchana kweupe barabarani,sina hamu na tangu siku hiyo siongei na simu barabarani
@benancejohn1198
Күн бұрын
Pole sana
Inawezekana ndio hao unaowahoji
@twahiluiddi5312
2 күн бұрын
Sio kila mtu Arusha anaongea hivyo ni mwizi
Arusha Watoto wengi, wanalelewa na Mabibi Zao, au Mama Zao, Wengi Hawana Baba Mmoja, Mama Leo Ameingiza baba Huyu, kesho Baba Mwingine.kwa Hiyo Watoto wengi Hawana malezi Bora, Mtoto Lazima alelewe na Baba na Mama.
@kimwanahamisi8551
13 сағат бұрын
😢
Kuna mikoa kila mtu waeza muhisi ni mwizi japo ni kosa kuhisi hisi, piga picha hawa jamaa ndio mashahidi kwenye kesi yako labda hakimu , waendesha mashikataka , wanasheria na majaji wote watokee huko huko, yaani kuna vi swahili ukivizikia unatamani uzibe masikio, tunakuomba saana Mhe SSH Mpandishe cheo Makonda atoke huko maana hata yeye hajaumbiwa shida hizi haahahahaaha
Pengo umenifurahisha😅
Hahahaha ripota umepata mtu wa kumuhoji
@Brunn-mh2bq
2 күн бұрын
Umesikia vijana walitaka kupiga "you tam"?😅😅
@OmanOman-vb4uj
2 күн бұрын
😅😅😅😅
@levinaernest4364
20 сағат бұрын
😀😀😀
Alipoliza mzigo aliacha bonge la paroo 🤣🤣🤣🤣🤣🙈
Mimi ni mwathirika wa kuibiwa na watu wa bodaboda walipitia pochi yangu wakaondoka na ada ya mtoto wangu nililia mpaka nikaomba Mungu iwe ni ndoto...hawa watu wanaumiza sana sana aisee
Simu ya laki2 imetia hasara ya pikipiki ya milioni 2 hii ni akili au matope dah jamaa wanna hasara ya milioni na laki8
Mwenye digrii😂😂😂😂
Kadinali pengo umetisha chaliii wangu
@ArafaAmirAmir-ci7ld
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@mussatete2618
2 күн бұрын
😂😂😂
@user-tt1nm9xs4n
2 күн бұрын
Asimchafue kadnali huyo muhuni sio kadnali
@upendoeliya9329
Күн бұрын
😅😅😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@user-sb7lz9xp4v
Күн бұрын
😂😂😂😂
Arusha kunakazi kubwa sana makonda afanye kazi kweli kweli maana so poa Aisee mpaka kunaogopesha
@aishaalbalushaishabalush8291
2 күн бұрын
anakatazwa kuwashughulikia wahujumu na wahalifu kama hao kwahiyo anangalia tu maana alianza vizuri mafumbo kwa rais yakaanza kua anafanya kazi kwa ubabe
@AminaLibisa
2 күн бұрын
Basi mtihani kwa kweli
@frankngoloka5416
2 күн бұрын
@@aishaalbalushaishabalush8291Kwa kauli Ile wapigaji wa Hela za serikari hawataacha
@miriamdavis3893
2 күн бұрын
Kenya ipo Arusha jamani
@miriamdavis3893
2 күн бұрын
@aishaalbalushaishabaluhash8291
Dah! kadinali pengo😂
@denismasele4130
2 күн бұрын
Oyaa sio poa cardinal pengo😂😂😂😂😂
Ila Arusha sijutiii kuolewa na mmasai ni burudani tuuu😅😅😅😅
Arusha noma sana jaman baba kazi unayo kila tukio ukisikiliza ni Arusha duh
Safi sana.Yatakamatiwa sehemu nyingine.
Ukiongea na sim road ishike kama roho yako, especially hapa chuga
@neemapallangyo369
2 күн бұрын
ahhh
Chuga yetu ni 🔥🔥🔥
Arusha aina tofauti na Nairobi, lugha nitofaut na count zingine, na mikoa mingine kwa tz, utaskia paro, mbao n.k,
Mmh Kardinal pengo weee 😂😂😂
@user-qh2bx5em6j
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂
Safi sana boda wa Arusha
Mungu naomba uwaponye vijana wa Arusha..too much Pombe
Duh chuga yetu na vijana wetu wanavoongea sasa😂😂😂😂
@deboramuhoja1777
Күн бұрын
😂😂😂 yaani ndio ongea yao😅😅
@davantrappe417
Күн бұрын
🤣🤣🤣🤣
@wilondjarama1427
7 сағат бұрын
😂😂😂
hiyo pikipiki iangaliwe plate no itakulikana mmiliki ni nani achukuliwe atua
@josamjoel2079
2 күн бұрын
Je kama mmiliki kampa boda amletee hesabu
@StephanoMoses
2 күн бұрын
@@josamjoel2079 ndo safi hyo bada alopewa diga ili alete hela akamatwe abanwe pumbu na shoti ya umeme ataje hyo cheni yoooote wanaoshieikana tatu mzuka
@emanuelherman7029
2 күн бұрын
Pikipiki nyingi chuka plate no ni bandia nyingi zinaibiwa kenya nakuingizwa chuga kiharamia ni chache sana ambazo zinafahamika
@amanijm746
2 күн бұрын
Mi enyee ukinicheki, unaeza sema sio muizi, lakini ukinishika kwenye uizi, si ni mwizi...
Degree ya wizi Arusha ya pamba moto Askari hongera sana kwa kazi nzuri mungu akubariki sana kwa umakini wako huenda wangepora pesa hapo hao ni vibaka tu kama vibaka wengine so majambazi makonda oparesheni maarum ifanywe mkoa mzima na kamandi ya jeshi la Akiba ndo wataizibiti Arusha bira huruma vijana hao wakamatwe walale sa 11 jioni mitaa ifungwe ndo watakua na hakiri binadam anajita eti wadudu kweri 🤔🤔🤔🤔🤔
@emanuelherman7029
2 күн бұрын
Peleka ureee huko wadudu tulale saa 11 umelogwa wewe kausha dingi huna lakusema kuhusu chuga yetu
@user-cp2do9pd5k
2 күн бұрын
Achana nae huyo @@emanuelherman7029
Machuga.bila risasi hapakai sawa, simu ya Elfu sitini umekula hasara ya Laki Saba, akili mbovu tafuta hela wizi utakupeleka kaburini mapema
Waandishi muwe mnahoji watu wanaojielewa kama hao wawili wa mwisho
Mungu anawaona vijana wa Ar na viswahili vyenu😂😂
Kazi nzuuri askari
Shikamoo Arusha
Huyo mwenye kofia nyeus mbon kama ndio mwizi mwenyewe😅
Askari anapiga risasi juu kwa wizi wa simu na huku aliliona tukio zima sasa wangekuwa majambzi wa benki angetumia nini.
Balo ni panga au nikisu mmmh 🤣🤣🤣🤣🤣
Kwel Arusha Kuna vijana wa ovyo
Nime porwa simu siku ya Idd majuzi, na vijana wezi kwa mtindo huu wa kutumia pikipiki. Hali ya wezi wa namna hii lazima ikomeshwe ipo siku wata kuja kuingia choo cha kike.
Mmenistua kusema et majambazzi. Jambazz anakwapua sim🙆??? Hao v baka
@ashrafadam4629
Күн бұрын
Chuga usela mavi mwingi
Sio wa zoefu hao wenye kazi zao wanasoma mazingira kabla
@PendoMatemba
Күн бұрын
Yaani wewe
Ingekwa Kenya wangechomwa wote waizi pamoja na pikipiki
@MeckitilidaTushabe-or9hu
2 күн бұрын
Wamekimbia
Daah ase Arusha kwa matukiooo dah so Poa 😂😂😂
Ndio hao hao wameiba uku USA mara mbili jaman, ila hao lazima wafe
Huyo ambaye amehojiwa anayesema ni msoni inaweza kuwa ndio yeye ,Roho inauma hapo boda yake imechomwa ina maana hajui kutamka panga ,hizo lugha wanazotumia hapo ndio hizo wanazotumia usiku ili usijue kasema panga au bisi bisi huo mngekamata mkasweka ndani,hao wote wanaoongea kama wanatoka usingizini iazishwe oparwsheni Yao mbona watazungumza vizuri Tu
very sad😮
Cheap is expensive wamepoteza pikipiki ya 2 mil Kwa SIM sidhan km inazid Milion moja
Naskia pale kwenye hice wadada uuuuu kuangalia hiv mara naskia puuu
Mtu umekaa zako kwako unaona chumaako ulioandikishana na wauni wakuletee hesabu inakula Moto😂😂😂
@mrsferuzi7443
Күн бұрын
Acha tu 😂😂😂
@kituapeter
Күн бұрын
Dah
arusha mnafelii sababu ya kutamani vitu vidogo kuweni kma wachaga wanaba mamilioni ya pesa angalieni sasa mnajifanya wajanja akati wageni wakuja ndo wanamiliki pesa asee nyie ni machali zng asee achen upuuzi mtazidi kusema wachaga wachawi kumbe cc n wapambanaji
@knowledgeispower1118
2 күн бұрын
Wachaggaa wanapesa za kuweka ndugu zao daharini na karibia kilimanjaro yote kila nyumba ina kichaa nenda rombo,kibosha n.k Kuwatoa ndugu zako kafara ili upate pesa maana yake umeshindwa kutafuta pesa kwa akili zako za kawaida mpaka unaomba misaada kwa mashetani. Swala la uwizi limetapakaa Dunia kote nenda nairobi,southafrika n.k..acha dharau we mtu wa kishimundu
@MandoliiMoshi
Күн бұрын
@@knowledgeispower1118 na ww nenda kaweke ndugu zako darini ili upate pesa wachaga ni wapambanaji toka miaka ya ukoloni kama wanaloga na ww kaloge
Aise watu wana maneno yakuchekesha, ila wezi nao wanapora hadi mchana🤣🤣🤣🤣🤣
Mtihani mm naificha ata jwenye mkoba siweki maana wizi hatarii
Mii apa enyewe unaweza kusema sio muizi ila nikishikwa kwenye wizi si muizi wenye D mbili tumeelewa
Duu;polen
Mungu utuokoe wanao Dunia ni nzito inatuelemea
Mbona munalazimisha kutumia mb za bure?
Kuna tofauti Kati ya majambazi na wezi
Balaaaa
Aliyechoma pikipiki anawajua hao majambazi hapo ameoteza ushahidi kama pikipiki ilikuwa ya hao majambazi
@uwembatvonline
2 күн бұрын
Kwani plate number hamna..?? Si tunaangalia..
Wezi wenyewe wapo apo apo
@user-em3uf8wz6r
Күн бұрын
Hahahaha
Daaah 😢😢
😂😂😂 mwamba pengo anaelezea kwa umakin usipoelewa rud darasan
Acha usenge we pengo hiyo pikipiki ni mradi wa pesa nyingi kuliko simu ambayo hata ingekuwa mbovu, acha wauawe
@MasanjangwesaJiganga
2 күн бұрын
Stupid
Hahahaaaa 🙌 hawa wanao hojiwa wanajibu kwa mzaha sana
Waiba simu sio majambazi hao ni wizi jambazi haibi simu
Kadinari pengo duh😂😂😂😂
@glorymaganga
2 күн бұрын
😂😂😂😂
@user-dc7vr8vv5f
2 күн бұрын
😂😂😂😂😂
MNAIBA SIM KUCHUNGULIA KABURI ARUSHA KWISHA
Dah Arusha kweli tatu mzuka
Kadinali pengo umetishaa babaakeee😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Safii
Sema chuga bana Naapo unakuta watu wamekimbia na awakamatwagi wanapoteaga kiaina mbele ya kadamnasi enyewe😂
Hivi Arusha ni Tanzania Mana kila cku ni matukio
🔥🔥🔥
Kadinali Pengo noumaaaa 😅😅😂
Arusha mmepinda kinoma huyo chalii anavyoongea unaweza kucheka badala ya kuhuzunisha
Jama kamaa anahigiza vilee, nimempenda uyu jamaa
Me namuomba Mungu msimu ujao simba tubebe ubingwa
Kuwatawanya majambazi ila waandishi wa siku hizi
Sema Arusha 🙌🙌🙌 lugha yao tuuu ya kihuni huni 😅😅 wenye D mbili ndo watawaelewa
Safari hii njombe amewekwa pending na arusha maana daily arusha
Duuuu
😂😂😂uyu kijana amenichekesha san😂
😂 😂 😂 Uyo witness nikama😂😂 au basi
Wapewa kibarua,kwa government 😮
Kweny maish yasaiv ma cm ni kitu cha kuiba kwer..masim meng iv hd z mikop
😅😅AkA kadinali
Ila harmonize 🙌
Yani huyo chunga wakwanza anavyoongea amefanya nicheke na kutazama Vidio mpaka mwisho eti panga Lina chomolewa hariishi
Pabaya zaidi ni hapo iwe pikipiki siyo ya kwao. Mmmh!!!
Mm😂😂😂😂 leteni kenya huyu jamaa
Paruu😮
Wameshindwa kuwakimbizA zamani mwizi anakimbizwa hadi anakanatwa
Kazin kuna kaZi pengo
Jamani mbona Arusha inatisha kuna ujinga mkubwa wanaongea kiujinga jinga tu makundi mengi ya kipumbavu mpeni Sapoti mkuu wa mkoa asfishe huo mkoa umezidi hskika kwa uchafu
Huko Arusha vijana wote walevi?
@modekaijames
2 күн бұрын
Umeanza maneno
@rithadonatus8110
2 күн бұрын
Subiri ninyamaze
@user-fs7xc2bb5d
2 күн бұрын
@@modekaijames😂😂😂😂
😂😂😂😂 kadinali pengo haki haki kizazi cha nyota 😂😂😂 Mungu tusaidie
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kadinali weeeeeeee
Kardinal pengo 😢
😢😢😢