Wito wangu kwa vyombo vya habari ni kuendelea kutumia uhuru wao kwa weledi -Mhe. Samia Suluhu Hassan

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameyasema haya wakati wa ufunguzi wa Kongamano la Pili la Maendeleo ya Sekta ya Habari na Kikao Kazi cha maafisa Habari wa Serikali katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam Juni 18, 2024.

Пікірлер