"Wewe Ni Mwoga Sana!!!! MBOWE AMJIBU MCHUNGAJI MSIGWA KUHUSU KWENDA CCM //ACHA UOGA DOGO
Жүктеу.....
Пікірлер: 26
@AizackKalenge-ro5rc3 күн бұрын
Mbowe anaona mbali sana,Msingwa njaa tu,
@piumagoha3 күн бұрын
Hakuna vyama vya siasa Tanzania. Kuna wachumia tumbo tu. Uwezi kuwa na mwenyekiti katika chama miaka 20. Kwani wengine hakuna?
@VictaKadama3 күн бұрын
Msigwa umeona mbali maamuzi yako ni sahihi. Unacho paswa kufanya sasa ni ushuhuda ili kuwaaminisha Watanzania kuwa Tanzania ni mali yao na siyo ya wanasiasa.
@AizackKalenge-ro5rc3 күн бұрын
Kai ya Mbowe inaonekana amekitoa Chadema mbali,Msigwa njaaa tu
@ndukulusudikucho_3 күн бұрын
Rekebisheni Chama kwanza , hiko Chama kama sio ukoo huo siku zote unaonekana mgeni ndani ya Nchi yako hahahaha 😜
@yahayamtonga97623 күн бұрын
Tatizo chadema hawakubali mazaifu Yao vunjeni hiyo sacos muunde chama Cha siasa
Atajichakaza mwenyeqe na tamaa zake ameumbuka mchungaji muache aende
@rebekakulwa61593 күн бұрын
Mbona fisiemu. Imekaa miaka 64 kwenye hakuna ni wizi tu wa rasilimali sembuse mbowe amegharimu maisha yake kwa hayo mafisi
@edwindezidery6324 күн бұрын
Mwanasiasa Malaya Malaya akina msigwa wananchi wa iringa wasikuamini Tena
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
3 күн бұрын
Chama cha saccos mwenyekiti wa maisha 😂😂😂
@user-cx4nx7xi7s4 күн бұрын
je picha ya m/ k kuwa kwenye chopa ni SABABU ya kuhama chama unachokiamini?
@user-oy5dz5xl8s3 күн бұрын
Nyerere alikaa madarakani miaka 24 madarakani kwani alikua anasuka na kujenga chama. Mwacheni mbowe ajenge chama atatoka tuu baada ya kuridhika kwamba msingi wa chama umeimarika. Akina msigwa wataendelea kuondoka tuu. Watabaki wabeba roho ya chama.
@thaddeojude7511
3 күн бұрын
Tatizo ni chama cha demokrasia wakati hiyo demokrasia haipo
@AthumanDauda4 күн бұрын
Chadema yasasa sio kumbembeleza mtu kwasa sa chadema ni taasisi kubwa siasa sio visas msigwa ulipo kimbilia usijisahau ccm nimafia kuliko chama chochote
@user-lt1nr4tk9r3 күн бұрын
Kama co mbowe chadema isinge kuwepo hapa ilipo nunuen mwisho utafika
@user-pp1cq9op5y4 күн бұрын
Msigwa mungu atajua atamfanyia mungu ibariki chadema watu wamekufa kwa ajili chama alafu tunasalitiwa duhhhh
@AthumanDauda4 күн бұрын
Kiufup nikwambie au niwaambie uwe nyekiti chadema taifa ni mbowe ndo kiboko ya waliozoea kuuwa vyama nchin
@thaddeojude7511
3 күн бұрын
Ni kiboko kwa kuwaanajuwa kucheza na akili zenu
@JacoboNaftari4 күн бұрын
Acha aende yeye siyowakwanza
@KhamisiNinalwo3 күн бұрын
Msigwa huna lolote
@salummbilinyi52873 күн бұрын
Hakika msigwa hufai hata kidogo shindania haki kwa kuafuta wewe sio wakutafutie wenzio ccm hao hapo nao wapambania sana ndo maana na wewe umenunuliwa 3:14
@thaddeojude7511
3 күн бұрын
Unajitekenya au.....mtu mzina ananunuliwakwa bei gani....kuna njaa na uhalisia...ipo siku mtaimba wimbommoja huko
@KhamisiNinalwo
3 күн бұрын
Njaaaaa mubaya sana ulikuwa unall selo leo unakimlia maadui subilia wajumalizie
Пікірлер: 26
Mbowe anaona mbali sana,Msingwa njaa tu,
Hakuna vyama vya siasa Tanzania. Kuna wachumia tumbo tu. Uwezi kuwa na mwenyekiti katika chama miaka 20. Kwani wengine hakuna?
Msigwa umeona mbali maamuzi yako ni sahihi. Unacho paswa kufanya sasa ni ushuhuda ili kuwaaminisha Watanzania kuwa Tanzania ni mali yao na siyo ya wanasiasa.
Kai ya Mbowe inaonekana amekitoa Chadema mbali,Msigwa njaaa tu
Rekebisheni Chama kwanza , hiko Chama kama sio ukoo huo siku zote unaonekana mgeni ndani ya Nchi yako hahahaha 😜
Tatizo chadema hawakubali mazaifu Yao vunjeni hiyo sacos muunde chama Cha siasa
@jesaminzo
2 күн бұрын
Nilitaka kukujibu, nilivyoona umeandika, "mazaifu" "sacos", nikagundua ntapoteza raslimali zangu muda bure!
Atajichakaza mwenyeqe na tamaa zake ameumbuka mchungaji muache aende
Mbona fisiemu. Imekaa miaka 64 kwenye hakuna ni wizi tu wa rasilimali sembuse mbowe amegharimu maisha yake kwa hayo mafisi
Mwanasiasa Malaya Malaya akina msigwa wananchi wa iringa wasikuamini Tena
@yahyamajidyahyahilalal-har8762
3 күн бұрын
Chama cha saccos mwenyekiti wa maisha 😂😂😂
je picha ya m/ k kuwa kwenye chopa ni SABABU ya kuhama chama unachokiamini?
Nyerere alikaa madarakani miaka 24 madarakani kwani alikua anasuka na kujenga chama. Mwacheni mbowe ajenge chama atatoka tuu baada ya kuridhika kwamba msingi wa chama umeimarika. Akina msigwa wataendelea kuondoka tuu. Watabaki wabeba roho ya chama.
@thaddeojude7511
3 күн бұрын
Tatizo ni chama cha demokrasia wakati hiyo demokrasia haipo
Chadema yasasa sio kumbembeleza mtu kwasa sa chadema ni taasisi kubwa siasa sio visas msigwa ulipo kimbilia usijisahau ccm nimafia kuliko chama chochote
Kama co mbowe chadema isinge kuwepo hapa ilipo nunuen mwisho utafika
Msigwa mungu atajua atamfanyia mungu ibariki chadema watu wamekufa kwa ajili chama alafu tunasalitiwa duhhhh
Kiufup nikwambie au niwaambie uwe nyekiti chadema taifa ni mbowe ndo kiboko ya waliozoea kuuwa vyama nchin
@thaddeojude7511
3 күн бұрын
Ni kiboko kwa kuwaanajuwa kucheza na akili zenu
Acha aende yeye siyowakwanza
Msigwa huna lolote
Hakika msigwa hufai hata kidogo shindania haki kwa kuafuta wewe sio wakutafutie wenzio ccm hao hapo nao wapambania sana ndo maana na wewe umenunuliwa 3:14
@thaddeojude7511
3 күн бұрын
Unajitekenya au.....mtu mzina ananunuliwakwa bei gani....kuna njaa na uhalisia...ipo siku mtaimba wimbommoja huko
@KhamisiNinalwo
3 күн бұрын
Njaaaaa mubaya sana ulikuwa unall selo leo unakimlia maadui subilia wajumalizie
@KhamisiNinalwo
3 күн бұрын
Unajitekenya una cheka mwenyewe