Watu kumi na mmoja wamefariki kwenye mafuriko
Watu kumi na mmoja wamefariki huku maelfu wakiachwa bila makao kufuatia mafuriko yaliyoshuhudiwa katika kaunti tisa nchini. Jamaa wanne walifariki Narok usiku baada ya nyumba yao kusombwa na mmonyoko wa ardhi, huku watu wawili wakifariki maji walipokuwa wakijaribu kupita kwenye daraja lililogubikwa maji Machakos. idara ya kukabili majanga imetoa tahadhari ya mafuriko katika kaunti za Tana River, Lamu na Garissa kufuatia ongezeko la maji katika mabwawa ya seven forks.
Пікірлер: 10
Be blessed
Poleni qwa familia
hii mvua ni aina gani😢
😢😢😢😢😢kila mwaka serikari haitawai tafuta solution aky
Bennhin yule muhubiri president alimleta
What's happening in our country
@evejoy6898
Ай бұрын
Psalm 127:1
@georgeodhiambo2118
Ай бұрын
Hatupangwingwi 😂😂😂
@georgeodhiambo2118
Ай бұрын
The person that you elected is just doing nothing yet you are there singing the song Hatupangwingwi 🤔🤔🤔
@landlordnyangena8407
Ай бұрын
Yangu bennhin aliletwa Kenya kuhubiri mambo imeharipika