WAKE WENZA (part 1)
Фильм және анимация
#Bhailam#Naomy#Rachel#comedyplus#2023#
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Karibu kujiunga na group letu la What's app
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/IHI6QLyLTz0...
Subscribe hapa : www.youtube.com/@ComedyPlustz...
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Пікірлер: 100
Wa Burundi tuko wapi gonga like tukishuka
Rech 😂😂😂😂 uko juu mama 🔥wakuotea mbali kama unamkubali gonga like apa na tumpe maua yake 🌹🌹🌹🌹🌹
@shamyalley2091
Жыл бұрын
🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Recho kula mandazi matano kwa bill yangu😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyu mwanamke amekaa kishari shari sana. Na anafit sana. Big up kwake
@faizamohamed6993
Жыл бұрын
Kweli kabisa 😂😂😂😂
@Bonvivant_Richard_Mayila
Жыл бұрын
Yaani Anajua mpaka Raha Nikimuona Tu Juu kwa DP Huwa Najiandaa Kuenjoi😅😅😅
@zeroconscious1916
Жыл бұрын
@@Bonvivant_Richard_Mayila 😂😂😂
@jacklinagodfrey8741
Жыл бұрын
Chezea rechoo weeee❤️❤️❤️
Wakwaza kuona naomba like zangu nimeipenda sana 👍👍
@georgekaila6193
Жыл бұрын
Wataka likes ngapi
Kazi kazi
Leo mm wa kwanza kuview na kulike kutoka kenya wapi like zangu
@georgekaila6193
Жыл бұрын
Wataka likes ngapi
@georgekaila6193
Жыл бұрын
Kenya kutoka wapi
@vokemaithya6646
Жыл бұрын
@@georgekaila6193 makueni
Kwahio huyo mwanaume hafanyi kazi mnakosea pia
Mbwela ni mtu wa ndonga❤😂😂😂😂😂
Mke kama huyo ni wa kupiga vibao kali sana
Mke mkubwa ametisha kinyama.. Namuona mgeni kwenye game lakini confidence yuko nayo.. Mswazi 😁😁😁🙌🏾🙌🏾🙌🏾Anajua Sanaa mashaallah
@mwanalimasaid2368
Жыл бұрын
Sio mgeni n team ioio uyooo
@BobMikwara
Жыл бұрын
@@mwanalimasaid2368 Mashaallah anaongea huyo.. Anajua kutumia mdomo.. Mswahili original
@aaminaasljbgbvf745
2 ай бұрын
Mwenyeji mbona uyu dada weee😂😂😂😂
Karibu bas ndan! Mbwela anataka kumpiga recho ndong
Recho upo moto sana😂😂😂Unajua unajua tena.
Recho nampenda🥰🥰🥰
Ati karibu ndani 😂😂😂😂
Good job
Nzur sana
Mke mkubwa miyayushoo kweli😂😂😂
Nakubari sana
Good 👍 job guys l love it ❤❤❤❤😂
Jamaaa huwa namkubari hajawahi kuniangusha
😂😂😂 recho moto nakukubali mama
Mbona bibi mdogo mzuri tu
Good job ❤❤ from kenya🎉😅
Nice 👍❤
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzee Wa ndoga 😂😂😅🙌
Recho piga kaz mama
Naom mamb ya kulialia achan nay umeplay part ak fresh san
Asuman KAZI zuri
😂😂😂🤣🤣🤣yule recho motooo
Duuh ukeweza
C cool 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kazi ipo 🤣🤣🤣🤣🤣
Ni hatari🤣🤣🤣
Nimungu akutiye ❤moyo
Ndomana sipendagi uke wenza
😅😅😅😅😅nyieeeeee
Unyama mwingi
Aaaah,mbwela
❤❤🔥
❤❤❤woow
Bi mkubwa unajua sana
Bi mkubwa kiboko😅😅
Subuhanallh Allah 😭😭
🥳🎉
Napend rech unavyo ongea jaman dah mpk raha ongera ala naomi nikupe maua yako unaongeaga vzr sana
💥💥💥💥
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwel mtu na mke mwezio mpendane huwaunafiki t
Recho nampendaga vile ushari wako ila
Nasupiri ya 2
Nilikua nampango niolewe na bhailam lkn kwa Hii jeur yang na ukali wake nishaghaili maaana kuna ck watakuta maiti ndani 😂😂😂
napenda recho anavokuwa jasiri...yaani iyo part imeendana na yeye
@JumaChinyaka-bt7rd
Жыл бұрын
Big up2 sana mama anaweza
Sasa msimu wa tatu unatoka Lini Nataka kumuona Mnyalukolo vangu Recho Ambi igita ndauli apene apo u Bailam Amlehile Ali nu Jojo u baba Bailam asitwikhe Koko be Recho unakasi muyangu ila ndikhudoboka nde muyago be whifanya wunofu belaaaaaa!!!
Nzuri sanaaa wake wenza hoyeee
😂😂😂😂
@wawahamisi3157
Жыл бұрын
😬😬😬😬🤣🤣🤣🤣
Rechoo wasumbuliwa na wivu ww
Mnatoaga part one na two halaf hata hamumalzii
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@PASTEURGENEROSEKABAKA
Жыл бұрын
🤣🤣🤣
❤❤❤❤❤nishida😢😅😊❤❤
Part one ndo naiona saiv
Jamani mmi naona ukewenza sio poa bara niwenawangu atakama atakua nakasoro zakutosha ukewenza sio poa
Awe.mkweli.katika.ndoa 3:40
@user-dj7iz2nc2j
Жыл бұрын
Awe.naukweli.nakuwatimiza.mapenzi
@user-dj7iz2nc2j
Жыл бұрын
Wanaume.kutafuta.mke.mpole.nanyenyekevu.nkudumu.nae
@user-dj7iz2nc2j
Жыл бұрын
❤
TATIZO LAKO CHUMA ULETE kzread.info/dash/bejne/o3eeyJOLdLOsotY.html
Big up to all
😂😂😂
Iv dini ya kiisilam ina ndoa ama inaweka mbere zinaa? Mungu aliumba Mme mmoja na mke mmoja iweje Leo hii wanaoa wake wanne et ni suna kama sio uzinzi?
@munimuni3365
Жыл бұрын
We.mjinga.we namanabi anani mhlchamungu nabi Ibrahim anikua nawake wangapi chizi tu
@georgekaila6193
Жыл бұрын
Tueleweshe
@MariamuOboto-vc1sh
Жыл бұрын
Mungu alipo muumba Adam alimpatia mke ambae ni hawa, mke mmoja sasa iweje waisram wanaoa wake wanne? Suna gan kama sio uzinzi?
@munimuni3365
Жыл бұрын
@@MariamuOboto-vc1sh mnakataga kuongenza wake lakini mnawazini makanisani? We jua hili nabi Sulaiman amekua nawake wangapi mwanaumme atusheki namke umonja ayonjo mambileyao njogisi wameubwa
@MariamuOboto-vc1sh
Жыл бұрын
Nabii Suleiman hakuijua ndoa ila alitangaza zinaa, mwanaume asie tosheka na mke mmoja huko ni kujiendekeza na kujaza mapepo ya ngono miili mwao, kwan ata ukipewa wanawake mia wote uwazin unapata faida gan? Jifunzen kutokujiendekeza
Mke kama recho mimi simtaki walai akuu ataniua na mawazo mapema sana😂😂😂