SHEMEJI
Комедия
#Bhailam#Khairat#comedyplus#2023#
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Karibu kujiunga na group letu la What's app
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/IHI6QLyLTz0...
Subscribe hapa : www.youtube.com/@ComedyPlustz...
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Пікірлер: 72
Karibu kujiunga na group letu la What's app BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/IHI6QLyLTz0JRP4QfAeZCJ Subscribe hapa : www.youtube.com/@ComedyPlustz... Like Ukurasa wetu wa Facebook :
@Kenyaairforce-xd7md
Жыл бұрын
Kazi poa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 love you
@michaelluckness8027
Жыл бұрын
Sawa
@officialdizeverson9376
Жыл бұрын
👊👊👊
Wow leo nime wai likes zangu please kama una kubali kazi ya bailam
@vaghoghontweki9827
Жыл бұрын
Uombe na mme pia,,,,,
Mganga anaimba nyimbo za jandon
Kazi poa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 love you
Bailamu kazi saffy broo tulisoma wote
@samwelimoshi5614
Жыл бұрын
Kasoma shule gan mkoa gan
Bailam , we n muigizaji mkali sana kuliko unavyofanya,, nakufuatilia sana, unafanya vizir lakin bado story sio Kali sana. Keep going _kila la heri
Naomb mjitahidi miendelezo jmn hongereni kazi zenu nzuri sana
Bailam kazi zako Zina viwango vya nadharia nzuri ya kufundisha
Kazi nzuri bhailam mwanangu 🤞
Nakubaliiiii broo bailam 💪💪💪💪
Kali ya mwaka 😂😂😂 like zangu wa dau
She's so beautiful 😍 Naomi,
I like the work well done 👍👍👍✅✅👍👍
Nimekuwa wa 40 shemeji anazinguaa.....
Tatizo hammaliziii zinazoendelea kama bi taus haina muendelezo mpaka leo
@theopistersaimon9664
Жыл бұрын
Yaani wanaboa sana cku hizi
Safi sana bailam
Isichelewe sana
Waooo tuko pamoja baila safiii
Sehemu ilio fatia alaka sana
Can't wait to see the next part
nampenda Naomi
I like it🥰🥰🥰
Hahaha mganga anaimba nyimbo ya jandoni
Waooooo
Namkubali bailamu
Sehemu ya pili isichelewe
Hellooooooo wakwanzaaaa like zenu jameni
Bailam naweza sana sini yauganga ebu nipe mm mara hii
Kazi nzuri bailam (Kenya)
Story zako ni za mafunzo ..vzry sana pongezi kwa kazi yko
Nipeni likes
Kwann sasa
👍
Naumi jmn
Nakukubali kaka yangu Bhailam. Hongera kwa kazi nzuri unaoifanya. Nahitaji kukusapoti angalao kwa movie moja basi. Mungu azidi kukupa hekima na busara kwa kazi yako.
@ComedyPlustz
Жыл бұрын
Ahsante sana ndugu
Kali mno
Nice Work 👏🏻👏🏻👏🏻
Eti mi mzuri tafuta wa kwako kama mzur kwanini unadandia kwa dada yako tabia yako mbaya uoni dada yako katulia ndo maana ameolewa yeye ukabaki na uzur wako
Bhailam on top
Mganga anaimba nyimbo za jandoni 😂😂
Nguo za jamaa ndio zina nichekesha
gonga like kwa game za Kijana wetu Bhailam
Nzur ila saut za watu zinasikika saanaaa
Good job mwamba
Utanita taka usitake kazi nzur sana❤❤❤❤❤❤❤❤
@EnessiSosten-gd7yy
3 ай бұрын
hahahhhahh
Mganga wake wenza kule ni shekhe😅
Nzur Ila mmefel Kwa shemej af dada AK anamuita mwanang Kam mam yake
Hivi nyie mnaotaka likes huwa mnajielewa kweli acheni ujinga nyie toeni komenti za kumjenga msanii acheni upuuzi
Hatari mashemeji punguzeni uzembe
Kazi nzuri ❤❤❤
Munazngua mnawekaga part one halaf zngne hakuna muendelezo
@joyyjoyy5474
Жыл бұрын
Kweli Kuna nyingi sana walituonyesha part one na hawajazimalizia
Duh uyo mganga n mmakua jaman
Second part plzz
Bailam leo uko na raha juu uko na Anita wako sio Anita Anita😂😂😂😂
Kwamba nakutaka😁😁
Wa kwanza likes zikam
Jamani part 2
Mwendelezo plz
Sehem ya pili tafadhali
Mapenzi hayarazimishwi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂