WAKE WENZA (part 2)
Фильм және анимация
#Bhailam#Rachel#Naomy#comedyplus#2023#
⭐ Disclaimer
This Content is Totally made by us, Don't use or Reupload otherwise we are not Responsible for your Channel!
For Sponsorship, Advertisement/Marketing And Booking,
Please Contact Us Call/Whatsapp : +255758515863.
Video content managed by : Nasry Khan (Bhailam)
Karibu kujiunga na group letu la What's app
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/IHI6QLyLTz0...
Subscribe hapa : www.youtube.com/@ComedyPlustz...
Subscribe hapa : / @bhailamkhan
Like Ukurasa wetu wa Facebook : / comedyplustz
Пікірлер: 98
Nipeni like10 yangu
@DisterMwantimwa-it1ft
Жыл бұрын
Kutoka kwa Nan izo like
@FrankMwenemboka-zv4eo
Жыл бұрын
@@DisterMwantimwa-it1ft kutaka kwa bailamu
@chadracknshimirimana4761
9 ай бұрын
@@DisterMwantimwa-it1ftna amezipata zaidi ya thalathini
Namkubali mbwela anajuw sana uyu mkaka nampenda
leo nimeamukiya sana Nawapenda sana from 🇴🇲🇴🇲🇴🇲oman
Daaah!!!!naomi hii ndio sababu vifo vya wanandoa vinakua vingi, hapa km mumeo bailam akua na hasira tayari keshakumwaga damu,, nawapenda sana jamani
Wallah hapa mmecheza na mefundisha santeni sanaa
Hamna mlichofundisha maana haujaonesha kuwa mke mkubwa amechuliaje
@miriamdavis3893
Жыл бұрын
Mengine ni burudani
Wakwanzaa
Hii hutokea katika uhalisia wa maisha yetu lkn kiukweli inauma zaidi ....hongereni sana ila Recho cjapenda kabisa tabia uliyo nayo
@rizikihasan2198
Жыл бұрын
😂😂
WAUME wote wangekua kama huyu kaka pepo ingejaa😂😂😂😂
Ila Naomi ni mzuri aisee.. that smile at the end 🥰😋
Bailam umenistua ulipo mpiga Mbuela🇲🇿🇲🇿🇲🇿
1💯🇧🇮🇧🇮
Mgeendeleza jamani
Mbwela ilo kofi lenyewe hilo
Nawakubali wakina balam
@Bonvivant_Richard_Mayila
Жыл бұрын
Balam ndo nani 😅
Kiukweli Kama Ni Kuigiza Tu Hawa Wanajua Kila Mmoja Kacheza Part Yake Ipasavyo 👏👏👏👏🙏🙏🙏
Bhailam Umefanya Maamuzi Yakiume... Let them Smile in Joy no plan B🔥🔥🔥🙌
Mbwela hongera unajitahid kwa maneno yako
Bwela nakupenda xna kutoka kenya
Hii ilibidi iwe na mwendelezooo
Wakwanza
Kwakwel naomi haya mavazi yamekupendeza sana 😊nmejiskia faraja kukuona uso uking'aa na kasura kaupole ukiwa Muslim utazid kung'aa zaidi🥰🥰
Kaz nzuri
MI kama mpemba wallah nauwaa mpemba san asee kwa mke wng eeeeeh eeeh
Maua yenu hayo🎉🎉🎉, ila naom ulipaswa kushuka kama mke sio kufoka tu kwani huyo nimumeo then mngeyamaliza ,
Hongera❤ jmn😊🎉
Siwezi kusubiri kuona part 3! Nzuri sana na wongera pia!!!
Sina mke,sina hawala!hahahahaha!wanaume hoyeeeeeee!Mungu anawaona
❤❤❤❤
Halika ya allah yupo pamoja na wale wanaosubiri 🤲
From kenya 🎉❤ hii imekuwa 🔥
@PASTEURGENEROSEKABAKA
Жыл бұрын
Ooooo😂😂
🌹🌹🌹🌹
Bailam wee huna mchezo kweli kesha haribu achukue jiko kwa lazima
Wa kwanza like zangu jaman 🙈 nakupenda recho na mbwela❤
@yahayaallytv2852
Жыл бұрын
Mbona hii haipo kiislamu
Umakiziahji ndio mobovu lile dili lingejulikana kwa wote wawili
Hamjui ku act, haikutakiwa hii movie iishie hapo, ilitakikana ipatikane outcome, mda mwengine mnajishuia soko wenyewe
Hatimae kwa mala yakwanza mmewai kuposti ila mbwela acha uchonganishi
Nasubiriii mbwela na Naomiii Badae itakuwa Seriously love ❤❤❤ Let's going On❤
@aliissahaji33
Жыл бұрын
Wamesema hii ndo episode ya mwisho, cjui walikiwa wanamaanisha Nini hii movie kuisha hivyo
Naomi nakupenda🥰
Muweke part 3 pleas!!! Tunawafuata huku 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Nakukuball bairam natamani kukutia ma we na nicheze naww hata sin 5 to
Tupe part3❤haijafika mwisho plz
Huyu ka mzee Yusuf eeeh?
Hii zuri ❤❤❤❤
Asubiri amalize eda kwnz.
Yaani Kiufupi ni kwamba mmemaliza Lkn bado inataka mwendelezo hapo producer na director wanatakiwa kuwa makini
Mbwla leo umenikwaza kucukua mke wawatu
Duuuh apo sio ivyo jamani, yaani iweze kanalo mbwela ange mchiti mke mkubwa ili, arekebishe wivu. Lakini asante kwa ilo👏👏
MashaAllah
Mbwela nimekupenda bure kwa msimamo wako
Nicee one 😊
😂😂😂 ❤❤❤
Bwela kwa kupiga mistari wanawake anakuwa mpole balaa
Mbwela, umeshindwa kumdhibiti mke mkubwa!!
Kwa nini inaishia apa jameni?
Part 3
Ila naumi nimzur ❤❤❤ all
@naumi2302
Жыл бұрын
Sana🥰🥰
🔥🔥🔥🔥
Hamna fuata maadili ya kiislamu
Kama ni mm ndio bhailamu sijui ningefanyaje maana huo mtihani
ukewenza inauma sana lakini kwa vile wanaume wameluhuxiw kuoa mke zaidi ya1 jatunajnc wanawake
maamuzi y’a kiume kbs
Una maneno yabusara
Love all
Movie nzur ila umLizi vizur brother
Nice
💥💥💥
❤❤❤❤❤❤
Mnamalizaje bila kujua bimkubwa ndio alimtuma
🎉🎉🎉❤
😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Ala!!!! Nan shujaa kat ya Naomi na ok mbwela
Lakini mbona iwe Mwisho???
Haya mbwela mke huyo ila umtunze🥰🥰🥰🥰🥰🥰🔥🔥🔥🔥🔥👌👌👌🖐
@marymwandandila9327
Жыл бұрын
Nampenda Naomi ,Mbwela
Hii bhailam umefeli...maana umejua chanzo cha tatizo lkn umeliacha mpaka limekua kubwa... Ukiona mwanamke kisirani km Hivyo unasuluhisha km hailewi unamuacha yeye.... Nikwambie tu UisLam Una taratibu zake ktk mmbo haya na sio kutunga clips ili watu waone tu Bali unafundisha, ww ni msanii
Ila sijapenda ulivyoinaliza iyo kitu Tungeipata part 3 Mana mana mke wakwanza pindi ameenda kupana delili kwa yule jamaa alimuambia aingie ndani alafu akasema mm nakujua inamana yule jamaa kashampitia mke wa kwanza na tabia zake inaonekana kuchezea wake wa bailamu alafu isitoshe ile nidili tu. Baillam angeonesha nayy anampenda mke wake japo kuw amenkabizi kwa jamaa Mwisho dili lingejulikana alafu unampa jamaa mke wa kwanza kwa sababu yeye ndio mshenzi
@user-dx9ch7vw8r
Жыл бұрын
apo ss ingegeuka saison ya wa bongo😃😂mi fresh tu nawapend iv ivoo
@baimarrajahbuayan6237
Жыл бұрын
Ipo. Part 3 mbona
Kwan episode ya 18 haijatoka?
Japo moyo ukipenda lkn njo ivo tna
Mbwela Lkn 😢 ss mm je
@shamyalley2091
Жыл бұрын
😂😂
@allawiallihongeraruto2640
Жыл бұрын
Mbona fupi mno!
Hilo kofi bhailam 😮nimeshtuka 😢😅
Huyu naomi anajuwa kuigiza
@husseinommy9616
Жыл бұрын
Anamdomo flani hiv wa kuinyoya
MashaAllah