VITASA | Tony Rashid vs Oscar Richard | Dar Boxing Derby 29/06/2024
Спорт
Tazama raundi kumi za kazi kazi, Tony Rashid akimshinda Oscar Richard kwa pointi…
Lilikuwa ni pambano la nane katika mapambano ya utangulizi Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby uliofanyika Uwanja wa Posta, Kijitonyama Dar es Salaam.
Main Card ilikuwa ni Nassib Ramadhan vs Juma Choki.
#NyieHamuogopi #DarBoxingDerby #Vitasa
Пікірлер: 59
kila nikiangalia hii naona tony kapata somo zuri sana
Uoga ni sumu mbaya sana kwenye Sanaa yoyote ya mapigano.Na ndilo jambo lililomugharimu champion osca.Hakucheza ktk kiwango chake.Angeweza kuifanya hii Game iwe nzuri na Bora zaidi ya hapa.Kama hutoi mikono Raundi tatu nzima unajidai kusoma mchezo unatoa fursa ya mpinzani atawale huo mchezo na unamfanya ajiamini zaidi yako.Yote kwa yote bado umri unaruhusu hivyo mbeleni ataweza kujifunza zaidi
@yassinchuwa8824
Ай бұрын
Kaka, Oscar alizidiwa round ya kwanza kabisa. Aliingia ulingoni akiwa hajui ni kitu gani anaenda kufanya. Na hata hivyo Tony hakutaka kumaliza pambano mapema. Round ya pili lilikuwa limeisha.
Oscar ana kipaji Cha ngumi ila anaongozwa na masela wanaomuaminisha ww noma umezaliwa unajua, wakati Tony anajua ngumi ila anaongozwa na watu wanaompa fursa ya kujifunza vitu tofauti kwenye sanaa ya ngumi. Huo ndio utofauti wao
Hata kama ila oska bado anajua ngumi
Oscar bado sana kwa Tony
Fundi mitambo husiki sounds inachemsha Iyo🥺
Oscar kapigwa sana sema ni sugu sana
Tony hatar sana
Mabondia wa kibongo wanachopambania ni kukimbia kimbia ulingoni ila hawatumii nafasi zao ulingoni. Mpinzani anaenda kwenye kona muda wote lakini mtu hajui kama hapo ndio pakuokotea point na kumaliza pambano
tonny baada ya kucheza na bongani amebuni kitu
Hivi uyo ocka kwao hakuna maeneo ya kulima maana ngumi imemshinda boy
Oscar ni king of boxer in town
Hawajui ngumi
tony ameucheza huumchezo Kwa kutumia akili nyingi nasio nguvu nyingi
TONY RASHD ANA FOOTWORK NZURI SANA ANA SPEED ANA JAB ILA TU HANA NGUMI NZITO
Mawiii
Wee. Unajua nenda kapigane
CHAMPION
Tony is back
Mbona wqcahambuzi wa pamabano kama wanamsifia tony wakata anapokea vitasa
Kuna wahuni wanapiga kelele zisizo na sababu
Oscar the king
Mtuletee commando madafu
Mbezi stand up
Madafu ni promotion tu😊😊😊
Tonny yupo kwenye mchezo mgeni, ngoja aumaste ndo utamuelewa
Tonny Nipigie huyu Oscar coz anaongea Sana 😂😂😂😁😂
Awajui ngumi wakatafute kazi ya kufanya
@IsmailKamilagwa-pt7cw
Ай бұрын
Nenda weee unaejua😁😁😁
Oscar Richard amefanyiwa uhuni uyo ton rashid sio uzito wake kabisaah huo ndio ukwel
Oscar hii mechi hakucheza Kwa kiwango chake aki
Sio kweli
Ngumi zetu tunajilinda sanaaa adi tunapoteza ladha ya masumbwi
@issamelody5818
Ай бұрын
Wana onekana wavivu ubunifu hamna
@emmanueluronu2386
Ай бұрын
Sasa mtu asijilindee
@user-qm8pd5yu9n
Ай бұрын
Hakuna anaetaka kupigwa ndio mana kila mtu anajilinda anachukua tahadhari refalii mwenyewe anakwambia kila mtu ajilinde mwenyewe..!!
@abubakariali9848
Ай бұрын
Unajua maumivu ya ngumi au unaropoka tuu 😢
@michaelfortune5294
23 күн бұрын
Hizi sio ngumi za zamani
After mundu asigale mundu
oscar anajua huyu tony anapiga makasia
Ushindi umepangwa
Mm kama shabiki WA Oscar hii mechi irudiwe
😂😂😂😂commentator...oohh downs goes oscar Richard....bongo na lugha za watuuuu hukuu.....😂😂😂
Amna ngumi tafuten Cha kufanya
Hizo ndio zenyewe
Wanaruka ruka sana
Wamepigana
Toni kampeleka mtu shule
Kabebwa tony
@user-ll9vy5xn4i
Ай бұрын
Aujui wewe michezi ya ngumi
@IsmailKamilagwa-pt7cw
Ай бұрын
Mmmmhh😇😇😇
😂😂😂😂hapa hamna ngumi
Hii copy ya bongani
Hao wajinga mwenziwao anakula kichapo wanamsherehekea 😂
Wee. Unajua nenda kapigane