VITASA | Tony Rashid vs Oscar Richard | Dar Boxing Derby 29/06/2024

Спорт

Tazama raundi kumi za kazi kazi, Tony Rashid akimshinda Oscar Richard kwa pointi…
Lilikuwa ni pambano la nane katika mapambano ya utangulizi Usiku wa Vitasa Dar Boxing Derby uliofanyika Uwanja wa Posta, Kijitonyama Dar es Salaam.
Main Card ilikuwa ni Nassib Ramadhan vs Juma Choki.
#NyieHamuogopi #DarBoxingDerby #Vitasa

Пікірлер: 59

  • @allymwachipanga2486
    @allymwachipanga248610 күн бұрын

    kila nikiangalia hii naona tony kapata somo zuri sana

  • @user-ms1xg1fp4v
    @user-ms1xg1fp4vАй бұрын

    Uoga ni sumu mbaya sana kwenye Sanaa yoyote ya mapigano.Na ndilo jambo lililomugharimu champion osca.Hakucheza ktk kiwango chake.Angeweza kuifanya hii Game iwe nzuri na Bora zaidi ya hapa.Kama hutoi mikono Raundi tatu nzima unajidai kusoma mchezo unatoa fursa ya mpinzani atawale huo mchezo na unamfanya ajiamini zaidi yako.Yote kwa yote bado umri unaruhusu hivyo mbeleni ataweza kujifunza zaidi

  • @yassinchuwa8824

    @yassinchuwa8824

    Ай бұрын

    Kaka, Oscar alizidiwa round ya kwanza kabisa. Aliingia ulingoni akiwa hajui ni kitu gani anaenda kufanya. Na hata hivyo Tony hakutaka kumaliza pambano mapema. Round ya pili lilikuwa limeisha.

  • @DennisFandi
    @DennisFandi29 күн бұрын

    Oscar ana kipaji Cha ngumi ila anaongozwa na masela wanaomuaminisha ww noma umezaliwa unajua, wakati Tony anajua ngumi ila anaongozwa na watu wanaompa fursa ya kujifunza vitu tofauti kwenye sanaa ya ngumi. Huo ndio utofauti wao

  • @EddyKatamba
    @EddyKatamba21 күн бұрын

    Hata kama ila oska bado anajua ngumi

  • @abdulsintoro5797
    @abdulsintoro5797Ай бұрын

    Oscar bado sana kwa Tony

  • @kaizerabilahi5958
    @kaizerabilahi5958Ай бұрын

    Fundi mitambo husiki sounds inachemsha Iyo🥺

  • @evansdecaprio8196
    @evansdecaprio8196Ай бұрын

    Oscar kapigwa sana sema ni sugu sana

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe87273 күн бұрын

    Tony hatar sana

  • @swahilifashion2206
    @swahilifashion2206Ай бұрын

    Mabondia wa kibongo wanachopambania ni kukimbia kimbia ulingoni ila hawatumii nafasi zao ulingoni. Mpinzani anaenda kwenye kona muda wote lakini mtu hajui kama hapo ndio pakuokotea point na kumaliza pambano

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe8727Ай бұрын

    tonny baada ya kucheza na bongani amebuni kitu

  • @AmiryMangwacha
    @AmiryMangwacha18 күн бұрын

    Hivi uyo ocka kwao hakuna maeneo ya kulima maana ngumi imemshinda boy

  • @gavethhans5242
    @gavethhans5242Ай бұрын

    Oscar ni king of boxer in town

  • @AmiryMangwacha
    @AmiryMangwacha18 күн бұрын

    Hawajui ngumi

  • @paulmwangoka
    @paulmwangokaАй бұрын

    tony ameucheza huumchezo Kwa kutumia akili nyingi nasio nguvu nyingi

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989Ай бұрын

    TONY RASHD ANA FOOTWORK NZURI SANA ANA SPEED ANA JAB ILA TU HANA NGUMI NZITO

  • @RebecabyellaRebecabyella
    @RebecabyellaRebecabyellaАй бұрын

    Mawiii

  • @NasriSaid-x9t
    @NasriSaid-x9tАй бұрын

    Wee. Unajua nenda kapigane

  • @mtengwadj9390
    @mtengwadj9390Ай бұрын

    CHAMPION

  • @yassinchuwa8824
    @yassinchuwa8824Ай бұрын

    Tony is back

  • @gavethhans5242
    @gavethhans5242Ай бұрын

    Mbona wqcahambuzi wa pamabano kama wanamsifia tony wakata anapokea vitasa

  • @husseinshamte7129
    @husseinshamte7129Ай бұрын

    Kuna wahuni wanapiga kelele zisizo na sababu

  • @gavethhans5242
    @gavethhans5242Ай бұрын

    Oscar the king

  • @HassanRamadhanPashua
    @HassanRamadhanPashuaАй бұрын

    Mtuletee commando madafu

  • @samirnasri6991
    @samirnasri6991Ай бұрын

    Mbezi stand up

  • @swahilitherapytv3846
    @swahilitherapytv3846Ай бұрын

    Madafu ni promotion tu😊😊😊

  • @michaelfortune5294
    @michaelfortune529423 күн бұрын

    Tonny yupo kwenye mchezo mgeni, ngoja aumaste ndo utamuelewa

  • @Fredmbawala-hq3pd
    @Fredmbawala-hq3pdАй бұрын

    Tonny Nipigie huyu Oscar coz anaongea Sana 😂😂😂😁😂

  • @hassanshawa8614
    @hassanshawa8614Ай бұрын

    Awajui ngumi wakatafute kazi ya kufanya

  • @IsmailKamilagwa-pt7cw

    @IsmailKamilagwa-pt7cw

    Ай бұрын

    Nenda weee unaejua😁😁😁

  • @scopy0428
    @scopy0428Ай бұрын

    Oscar Richard amefanyiwa uhuni uyo ton rashid sio uzito wake kabisaah huo ndio ukwel

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lbАй бұрын

    Oscar hii mechi hakucheza Kwa kiwango chake aki

  • @gavethhans5242
    @gavethhans5242Ай бұрын

    Sio kweli

  • @LilyKoba-wx2pj
    @LilyKoba-wx2pjАй бұрын

    Ngumi zetu tunajilinda sanaaa adi tunapoteza ladha ya masumbwi

  • @issamelody5818

    @issamelody5818

    Ай бұрын

    Wana onekana wavivu ubunifu hamna

  • @emmanueluronu2386

    @emmanueluronu2386

    Ай бұрын

    Sasa mtu asijilindee

  • @user-qm8pd5yu9n

    @user-qm8pd5yu9n

    Ай бұрын

    Hakuna anaetaka kupigwa ndio mana kila mtu anajilinda anachukua tahadhari refalii mwenyewe anakwambia kila mtu ajilinde mwenyewe..!!

  • @abubakariali9848

    @abubakariali9848

    Ай бұрын

    Unajua maumivu ya ngumi au unaropoka tuu 😢

  • @michaelfortune5294

    @michaelfortune5294

    23 күн бұрын

    Hizi sio ngumi za zamani

  • @alphoncembassa6401
    @alphoncembassa6401Ай бұрын

    After mundu asigale mundu

  • @jseventz
    @jseventzАй бұрын

    oscar anajua huyu tony anapiga makasia

  • @bahatjuma7458
    @bahatjuma7458Ай бұрын

    Ushindi umepangwa

  • @FatimaFati-pu4lb
    @FatimaFati-pu4lbАй бұрын

    Mm kama shabiki WA Oscar hii mechi irudiwe

  • @bladymc7922
    @bladymc7922Ай бұрын

    😂😂😂😂commentator...oohh downs goes oscar Richard....bongo na lugha za watuuuu hukuu.....😂😂😂

  • @MOHAMEDYUSUPH-oq1th
    @MOHAMEDYUSUPH-oq1thАй бұрын

    Amna ngumi tafuten Cha kufanya

  • @user-ul6cs6kk7v
    @user-ul6cs6kk7vАй бұрын

    Hizo ndio zenyewe

  • @user-ei6mm3go8w
    @user-ei6mm3go8wАй бұрын

    Wanaruka ruka sana

  • @SalumkifuLukwe-wk7sp
    @SalumkifuLukwe-wk7spАй бұрын

    Wamepigana

  • @kafirsantana8631
    @kafirsantana8631Ай бұрын

    Toni kampeleka mtu shule

  • @ErinestBoniface
    @ErinestBonifaceАй бұрын

    Kabebwa tony

  • @user-ll9vy5xn4i

    @user-ll9vy5xn4i

    Ай бұрын

    Aujui wewe michezi ya ngumi

  • @IsmailKamilagwa-pt7cw

    @IsmailKamilagwa-pt7cw

    Ай бұрын

    Mmmmhh😇😇😇

  • @user-kz2jk1jf5l
    @user-kz2jk1jf5lАй бұрын

    😂😂😂😂hapa hamna ngumi

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe87273 күн бұрын

    Hii copy ya bongani

  • @saidrakwe8727
    @saidrakwe87273 күн бұрын

    Hao wajinga mwenziwao anakula kichapo wanamsherehekea 😂

  • @NasriSaid-x9t
    @NasriSaid-x9tАй бұрын

    Wee. Unajua nenda kapigane

Келесі