VIDEO: Diamond Platnumz na Hamisa Mobetto LIVE kwenye Stage Usiku wa Tuzo za Sinema Zetu (SZIFF 2018}
Жүктеу.....
Пікірлер: 85
@sinyoritaqueen74356 жыл бұрын
Napenda sana Amisa and diamond nice couple🔥🔥❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
@rahimajuma6886 жыл бұрын
dah couple naipenda hii mwenzenu tena wamependa sn fungeni ndoa basi jaman ili mtufurahishe vizuri
@64aaa
6 жыл бұрын
Rahima Juma inshaAllah 2018 atafunga kazi tu........hapo pia itapendeza🤣
@ambrosejuliustv82606 жыл бұрын
sam umeungia trending mkuu mm nakwambia habari za huyu jamaa lazima uuze keep support our king na tunakutaka wasafi tv sasa hv millard kashazikwa mkuu hana kitu tena ni 00
@hamadsaidy8752
4 жыл бұрын
Kweli kabic
@husseinremmy81026 жыл бұрын
yan kama ukitaka kuwa maarufu KZread weka habar za balozi wa East African diamond platunmz
@tabuyahya64816 жыл бұрын
Kwa kweli kila mtu Amefurahia uepo wenu wa kuwa pamoja hata mm mmoja wao nimefurahi sana Aliekasilika Akafie mbele na wivu wake huko mmetokelezea kinoma
@Joze-ko9he6 жыл бұрын
Diamond umefurahisha duniya nzima kwa ukweli basi owa wote we ni mwislam owa hamisa na wema
@husseinshengwamkai70
6 жыл бұрын
Joze123 4 huahahaha
@rayfayassen7237
6 жыл бұрын
Joze123 4 nimefurah cn hamissa na diamond
@restymlale60036 жыл бұрын
Zari, wema,Hamisa be ONE AGAINST THE SELFISH MAN. NYIE KUWENI KITU KIMOJA AS WOMEN MSIGOMBANE WALA KUTUKANANA AT THE END OF THE DAY IS A MAN. PLENTY OF THEM OUT THERE.
@fatumasalim83406 жыл бұрын
Diamond owa huyo Hamisa mobbbeto mumependezana sana achana na wema
@faridayahya49196 жыл бұрын
Oyooooo nawapenda sana ningependa mukiowana
@halimkepa7766
6 жыл бұрын
farida yahya naam habibty
@elivtv54446 жыл бұрын
Milad ayo umepotea adi apa haupo du! Pole Sana na clouds yako
@rickstyleboy93736 жыл бұрын
respect Sam keep ua self original
@hassanisadiki8246 жыл бұрын
Chibu mwana fanya uchukue twiga uweke ndani coz mwapendezeshana Sana
@HubertCubaka6 жыл бұрын
We love you Diamond P...
@hamedalsaadi73506 жыл бұрын
Jaman diamond umenifulaicha San nimepend san
@nusurakajubu87856 жыл бұрын
yani diamond apo nimekupenda bure wakomeshe wambea walijua amtaonana tena roho inauma sasa naomba uje upatane na Alikiba jmn
@64aaa
6 жыл бұрын
Nusura Kajubu inshaAllah mwaka huno watakuwa sawa tu. 2018 ni ✌💞
@nusurakajubu8785
6 жыл бұрын
+Abdiilah Awaf InshaaAllah kupata ni kitu kizur sana
@mercyschneider45826 жыл бұрын
All i can say is Mashaallah❤️❤️❤️
@ramadhansemgayo35386 жыл бұрын
Safi sammisago kwa kutuwekea diamond simba sio yule mpumbavu milladayo anazingua eti kisa ruge ndo kaacha kumrusha diamond
@64aaa
6 жыл бұрын
Ramadhan Semgayo 🤣🤣🤣👍
@fatumahengo68496 жыл бұрын
mashaalah m umependeza Hamisa na Diamod
@hadijapazia6846 жыл бұрын
Huyo ndo Mond bhana,lke rohon mamae
@saumuhassan13656 жыл бұрын
Ukiacha *VANESSA NA JUX* Couple nyingine ninayoipenda ni hii wangefunga ndoa ningefurah zaidi, ila wenye wivu wajinyonge kwa uzi please👌 😂😂😂😂 watuache kidogo
I like this couple. Between thy dress same colours when thy meet. I love them together lol.
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
hot cake me too always my dear
@minjoja
6 жыл бұрын
noticed that too
@lwimikomwambene6 жыл бұрын
Mta nyooka tu bado millardayo
@martinezsiwale44196 жыл бұрын
Sema hapo chibu ungemfikishaa anapokaa hamisa ndio urud katka kiti chako
@fatmaalrashdi15776 жыл бұрын
Haya wema VP imekuuma kukumbatiwa hamisa
@goldensparrow15076 жыл бұрын
Alafu wakivaa wanavaa same colours siku hizi.. sijui ndio Aroosa mtarajiwa.. ? Atakaeolewa na Msanii awe na subra sana.. Mana hii Hali ya kubadilisha wake kama vichupi ni Exams..! 😀
@Bonnere6 жыл бұрын
Diamond why can't u live zari and be with Mobeto the African beauty in God sake
@Kaylahplaytime
6 жыл бұрын
0481797312 Bonnere to late zari left him
@samwelnyankena98736 жыл бұрын
Mamaeee🔥🔥🔥
@eliuthamangula17916 жыл бұрын
Wasafi TV
@Joze-ko9he6 жыл бұрын
Waooo mzazi mwenzangu big up
@rosemaryjanuary3126
6 жыл бұрын
baba D na mama D walipendeza
@charlesdaniel47716 жыл бұрын
Mimi kama shabiki Wa mond sammisago tv ni TV yangu pendwa kwa sasa
@rahimajuma6886 жыл бұрын
sasa mtt wenu anajua sema watt wa siku hizi kwa tv
@restymlale60036 жыл бұрын
Zarina. Where are you?
@fababindawood58426 жыл бұрын
Aisee safi sana kwakweli
@hadijapazia6846 жыл бұрын
Macho kodoooo
@jenifamosha16116 жыл бұрын
Umetisha Sam misago funika wote ambao hawamsapoti dai.
@aishaishaom12356 жыл бұрын
duh imenoga adi rahaaa teel nachek adi mate bwiii
@suzanrichard54286 жыл бұрын
awa ninawaswas nao awa walipanga hii sio kwa kuvaa huko sare wamelala na kuamka pamoja hawa oa huyo mondi kwanza she cute na mnaendana
@idayakey68866 жыл бұрын
ambroze Junior bonakawaida tu apanaona 29 pamoja na mm amuwezi ayo siyo levo yake
@mgishajafali3026 жыл бұрын
👏👏👏
@hadijangolo82696 жыл бұрын
Tani wanaendana hawa baci 2 wasinge zeeka miiliyao mizuri
@henrypodolski36526 жыл бұрын
samissago wewe ni zaidi ya milardayo😂😂😂😂
@diamondplatnumz7400
6 жыл бұрын
Henry Lucas milad boyaa tyuu
@christinaelisha44396 жыл бұрын
hee damu nzito kuliko maji hao niwazazi tukubali tukatae hata wakosane mpaka mwisho wadunia bado mtoto atawaunganisha2 ss tutajiumiza namawivu yetu buree bora tukae pembeni
@stanydizzy4806 жыл бұрын
Inap3ndeza saaana wap millad mapuwa
@fatumahengo68496 жыл бұрын
wapi bitokenaooooooo
@marthagathoni5036 жыл бұрын
Wako poa zaidi
@martinezsiwale44196 жыл бұрын
Tunakujaaa huku kwakiwa simba yupo
@henrypodolski36526 жыл бұрын
😁😁😁😁nini hiki jamaniiii
@rahmarajaburahmarajabu1196
6 жыл бұрын
Henry Lucas baduumalekani
@murekateterwandaailzari7306 жыл бұрын
Domondh hanamushimamo
@gamstferdinand1494
6 жыл бұрын
murekatete rwanda Ailzari diamond alieenda kupromote Wasafi TV na Radio mambo ya Hamisa wameyaingiza kutengeneza vichwa vya habari kuhusu hizi tunzo/ awards ili itrend
Пікірлер: 85
Napenda sana Amisa and diamond nice couple🔥🔥❤❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿
dah couple naipenda hii mwenzenu tena wamependa sn fungeni ndoa basi jaman ili mtufurahishe vizuri
@64aaa
6 жыл бұрын
Rahima Juma inshaAllah 2018 atafunga kazi tu........hapo pia itapendeza🤣
sam umeungia trending mkuu mm nakwambia habari za huyu jamaa lazima uuze keep support our king na tunakutaka wasafi tv sasa hv millard kashazikwa mkuu hana kitu tena ni 00
@hamadsaidy8752
4 жыл бұрын
Kweli kabic
yan kama ukitaka kuwa maarufu KZread weka habar za balozi wa East African diamond platunmz
Kwa kweli kila mtu Amefurahia uepo wenu wa kuwa pamoja hata mm mmoja wao nimefurahi sana Aliekasilika Akafie mbele na wivu wake huko mmetokelezea kinoma
Diamond umefurahisha duniya nzima kwa ukweli basi owa wote we ni mwislam owa hamisa na wema
@husseinshengwamkai70
6 жыл бұрын
Joze123 4 huahahaha
@rayfayassen7237
6 жыл бұрын
Joze123 4 nimefurah cn hamissa na diamond
Zari, wema,Hamisa be ONE AGAINST THE SELFISH MAN. NYIE KUWENI KITU KIMOJA AS WOMEN MSIGOMBANE WALA KUTUKANANA AT THE END OF THE DAY IS A MAN. PLENTY OF THEM OUT THERE.
Diamond owa huyo Hamisa mobbbeto mumependezana sana achana na wema
Oyooooo nawapenda sana ningependa mukiowana
@halimkepa7766
6 жыл бұрын
farida yahya naam habibty
Milad ayo umepotea adi apa haupo du! Pole Sana na clouds yako
respect Sam keep ua self original
Chibu mwana fanya uchukue twiga uweke ndani coz mwapendezeshana Sana
We love you Diamond P...
Jaman diamond umenifulaicha San nimepend san
yani diamond apo nimekupenda bure wakomeshe wambea walijua amtaonana tena roho inauma sasa naomba uje upatane na Alikiba jmn
@64aaa
6 жыл бұрын
Nusura Kajubu inshaAllah mwaka huno watakuwa sawa tu. 2018 ni ✌💞
@nusurakajubu8785
6 жыл бұрын
+Abdiilah Awaf InshaaAllah kupata ni kitu kizur sana
All i can say is Mashaallah❤️❤️❤️
Safi sammisago kwa kutuwekea diamond simba sio yule mpumbavu milladayo anazingua eti kisa ruge ndo kaacha kumrusha diamond
@64aaa
6 жыл бұрын
Ramadhan Semgayo 🤣🤣🤣👍
mashaalah m umependeza Hamisa na Diamod
Huyo ndo Mond bhana,lke rohon mamae
Ukiacha *VANESSA NA JUX* Couple nyingine ninayoipenda ni hii wangefunga ndoa ningefurah zaidi, ila wenye wivu wajinyonge kwa uzi please👌 😂😂😂😂 watuache kidogo
@yusuphjaphari154
6 жыл бұрын
najikuta2 nawapenda jmn
@64aaa
6 жыл бұрын
Saumu Hassan👈 ww 🤣 inshaAllah
@maryamdounga2290
6 жыл бұрын
Saumu Hassan 😂😂😂jaman hamisa wangu Inshaallah ndoa ije
I like this couple. Between thy dress same colours when thy meet. I love them together lol.
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
hot cake me too always my dear
@minjoja
6 жыл бұрын
noticed that too
Mta nyooka tu bado millardayo
Sema hapo chibu ungemfikishaa anapokaa hamisa ndio urud katka kiti chako
Haya wema VP imekuuma kukumbatiwa hamisa
Alafu wakivaa wanavaa same colours siku hizi.. sijui ndio Aroosa mtarajiwa.. ? Atakaeolewa na Msanii awe na subra sana.. Mana hii Hali ya kubadilisha wake kama vichupi ni Exams..! 😀
Diamond why can't u live zari and be with Mobeto the African beauty in God sake
@Kaylahplaytime
6 жыл бұрын
0481797312 Bonnere to late zari left him
Mamaeee🔥🔥🔥
Wasafi TV
Waooo mzazi mwenzangu big up
@rosemaryjanuary3126
6 жыл бұрын
baba D na mama D walipendeza
Mimi kama shabiki Wa mond sammisago tv ni TV yangu pendwa kwa sasa
sasa mtt wenu anajua sema watt wa siku hizi kwa tv
Zarina. Where are you?
Aisee safi sana kwakweli
Macho kodoooo
Umetisha Sam misago funika wote ambao hawamsapoti dai.
duh imenoga adi rahaaa teel nachek adi mate bwiii
awa ninawaswas nao awa walipanga hii sio kwa kuvaa huko sare wamelala na kuamka pamoja hawa oa huyo mondi kwanza she cute na mnaendana
ambroze Junior bonakawaida tu apanaona 29 pamoja na mm amuwezi ayo siyo levo yake
👏👏👏
Tani wanaendana hawa baci 2 wasinge zeeka miiliyao mizuri
samissago wewe ni zaidi ya milardayo😂😂😂😂
@diamondplatnumz7400
6 жыл бұрын
Henry Lucas milad boyaa tyuu
hee damu nzito kuliko maji hao niwazazi tukubali tukatae hata wakosane mpaka mwisho wadunia bado mtoto atawaunganisha2 ss tutajiumiza namawivu yetu buree bora tukae pembeni
Inap3ndeza saaana wap millad mapuwa
wapi bitokenaooooooo
Wako poa zaidi
Tunakujaaa huku kwakiwa simba yupo
😁😁😁😁nini hiki jamaniiii
@rahmarajaburahmarajabu1196
6 жыл бұрын
Henry Lucas baduumalekani
Domondh hanamushimamo
@gamstferdinand1494
6 жыл бұрын
murekatete rwanda Ailzari diamond alieenda kupromote Wasafi TV na Radio mambo ya Hamisa wameyaingiza kutengeneza vichwa vya habari kuhusu hizi tunzo/ awards ili itrend
Ni2mie namba yako misago
daimond ume piga sindano piya wew umekuwa mweupe hahaha mumeendeleya afrika hahahahaha
Mond umeuwa baba
simbah
Mondi bin ladin
Hahaha ila movie ipo patamu mungu saidia umeme usikatike
Wakaowane basi, anyway kwa mapishi zaidi na vlog mbalimbali karibu kwa channel yangu
Bofya kzread.info/dash/bejne/YpZnutqFdZytYs4.html utazame video kali na murua. Subscribe na ubofye kengele usipitwe na video mpya kila wiki.
Hahaaaaaaaaaaaaa wooooooow
tag zari
TAZAMA MIX YA NGOMA KALI SANA HAPA kzread.info/dash/bejne/Z6OKqMedcsy9epc.html
Kwanza kimataifa mwmke anapokewa na mwanaume sio uyo kizee kikovaa nyekundu kumpokea Hamisa ovyooo mnaingiza pesa mnatuona maboya fake
Wahindi hahaha
Zari is death walai
Duu
@verdianasteven304
6 жыл бұрын
duh!kweli wapendanao wakigombana shika jembe ukalime nimewapenda jmn day anavomsifia hamisa