UZINDUZI WA MINARA YA KURUSHA MATANGAZO YA AZAM MEDIA LTD- DAR

Ойын-сауық

Powered by Restream restream.io
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Uzinduzi wa Mradi wa Minara ya Kurusha Matangazo ya Televisheni Ardhini(DTT) ya Kampuni ya Azam Media Limited, Makao Makuu ya Azam Media Limited- Tabata Dar es Salaam leo tarehe 18 Mei, 2023

Пікірлер: 1

  • @kuvetamzazi8689
    @kuvetamzazi8689 Жыл бұрын

    Raisi Samia na team yako tunakuomba mumtupie jicho la huruma mwananchi wako anaeitwa Hawa ambae aliwahi kuwa msanii wa kuigiza miaka mingi iliyopita. Msanii huyo aliekuwa anatumia jina la Caren amekuwa akiteseka kwa muda mrefu bila kupata ahueni yoyote. Binti huyu ambae amekuwa akifanyiwa mahojiano na vipindi mbali mbali vya tv za mitandaoni kama vile "Nitetee" nk ameshafanyiwa oparation zaidi ya 18 bila mafanikio yoyote. Tumbo lake limekuwa na makovu kila upande kutokana na oparation hizo. Na yeye kama raia halali wa Tanzania na binadam anaehitaji kuishi kama wengine, ingependeza Raisi wetu uangalie namna ya kumsaidia ili aweze kuishi na kutimiza ndoto za binti yake mdogo ambae kwa mujibu wa ndugu amekuwa akilia kila siku kutokana na hali aliyokuwa nayo mama yake. Ingawa mgonjwa na familia yake wameshakata tamaa ya binti huyo kuendelea kuishi. Lakini naamini kwa huruma wako kama raisi unaweza kufanya kitu ili kuangalia kama unaweza kuokoa maisha ya binti huyo. Asante sana raisi wetu.

Келесі