UTACHEKA VITUKO VYA TID KWA MTANGAZAJI "USINISOGELEE WEWE DEMU WANGU..?"
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 89
Kama umesikia T.ID mnyama anasema mbona unanisogelea Kama demu yangu nipe like hapa chap
Interview ya TID is a must watch, kwa kweli jamaa he is Chilling 24/7 👍
Loved the way he spoke TID, it is what it is
Mnyamaaaaaaaa😂😂😂full confidence
Nimependa majibu ya t.i.d, legendary
Vijana wazamani tunakuelewa sana mnyama...so composed!
😂😂😂😂 wacheni wana nakipindi chao mbona mnataka kuwa chonganisha Masera walisha sema kipindi chao sio kama hivyo vya kwao
@JumaaNdululu
2 жыл бұрын
😂
This guy is real definition of entertainer
Kwa kweli journalist kazi yenu ina challenges when it comes to meet such kind of people who answer you the way you did not deserve to be answered.
@ahmedissa2638
2 жыл бұрын
@Jane Nkhwazi what do you really expect, when so called journalist only askin bout rumours? Hajauliza suali moja profound or productive?
Kigogo 👊✍💪😍😍😍😍😍
Hahaaaa nacheka mtangazaji anauliza kwa uoga😂
@fesalchambuso8023
2 жыл бұрын
Umeonaee eeeh 🤣
One Love T.I.D 🇰🇪✨
Wanyamaaa
I love how he talks
mzee warioba kigogo top in Dar
Hawa tid anatakiwa apate mtu kama huu duuu mbabe mwenzake
Mateja
🤣🤣🤣Anajua kuwa shushua
NAMKUBALI SANA KHALLIDY MOH'D
Tid kadata hayuko sawa
TID mnyamaaa🙌
mzee kigogo
Mtangazaji angalia uyoooooo atakupiga ngumiiiiii hamnazo
Kuhoji TID unajipa kazi penda sana TID Mnyama
No comment 😀😀
Ati mbona wanisongelea kama dem wangu🤣🤣🤣
Huyu mtangazaji mwanaume ama mwanamke
Tid mnyama
Show ya majunk
@othumanlorenzo260
2 жыл бұрын
Haha nani na nani waongezwe kuweka colum sawa
@rosemaryjohn3579
2 жыл бұрын
Salumu...kweli majunk wamekutana
Umemkomesha uyo jamaa anajifanyaga sana anajua kuuliza upuuzi....😏
Tiiiidddd... 😂 😂 mbavu zangu wandugu hahahaahah
Huyu jamaa mbona kavaa ushungi.
Due hapo umefika ndipo...
Ila tid sijui alizaliwa marekani shikamooo tid
Tid na chidi icho kipindi cha vichwa msji
Natamani Sana kukiona hicho kipindi cha maskani poa kinapatikana wapi nicheke Kwa vituko vya niyeyeee
@muddyville
2 жыл бұрын
Dstv
@wifiroom8936
2 жыл бұрын
Maisha magic
Nawapenda sana 😍
@davidbreakerbravo8mkwa389
2 жыл бұрын
Kweli
@samwelimoshi5614
2 жыл бұрын
Na mm nmekulewa ww
Alaah!! Kumbee, basi sawa nipe social distance
*NDUGU ZANGU KWA HESHIMA NA TAADHIMA NAOMBA MUANGALIE VIDEO YA WIMBO UITWAO JE UTAVUMILIA KWA KUBOFYA PICHA YANGU APO PEMBENI NAAMINI MTAUPENDA 🔥🎶🔥*
@willyclassic9263
2 жыл бұрын
Hapana mi cwez kuvumilia...
😁😁
Yani tid kawakomesha kipindi ca majungu cenu 😏😏😏
Huyu ndio Mnyama TID
Wote dakika 3 mbele wasije kupigana studio😂😂
@nasraabdallah850
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@noelbryson7840
2 жыл бұрын
Na me ndiyo wasiwasi wangu 🤣🤣🤣
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌
hapa wahuni alf wajuaj
Mzee Mnyeka
TID kichwa chake kiko sawa
Lp
Wasafi taften watangazaji wenye maswali ya maana na kutengeneza content mmekua kama tv ya udaku tuu, Jifunzeni kwa Millard Ayo na Simulizi na Sauti, mkiangalia interview hii mngeuliza maswali ya maana sana ila mnauliza upuuzi tu.
@hemedihemedi5553
2 жыл бұрын
Huwezi kuwa mjibu maswali, kama uwezo wako wa kujibu na kuchambua maswali ni mdogo, hapo kionekanacho, TİD, ana uwezo mkubwa kuliko watangazaji.
TID Nyoko
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 TID
😂😂Khalid kinondoni Muslim hyo htreee
Walioba 😂😂😂
😂😂😂😂😂 wariobaaaa
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
nmechekaa😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Alf nyie acheni stoli zenu zakingese mnataka kuwavuluga wezenu eti kipindi chao akitofika mbali why wwe nani nyoko we alafu sikendo nyingi mnataka kuipandisha wasafi kifala wacheni watulie nyoko nyie
Ujui kuchezaa mshambaa tuu wewe mxengee
Tid bonge la fala
Kipindi cha mateja
@halimahassan5390
2 жыл бұрын
Mmeleta mateja tuwasikilize
@binaljabirmshihirzanzibar8369
2 жыл бұрын
Mateja wa wili
@devothasimbi6495
2 жыл бұрын
@@halimahassan5390 mateja hawana thamani ya kuishi?
@vanessalaizer4363
2 жыл бұрын
@@devothasimbi6495 ndo hapo sasa sijui anajikuta nani kujiona mkamilifu
@missmwayway4704
2 жыл бұрын
@@vanessalaizer4363 hao wenyewe pia ni mateja tu hata wasikashifu Wenzao
Awo wasela OG watoto wa town waacheni tuu wafanye yao..