TID amchana Harmonize kuweka bango la picha ya Kajala Kinondoni | Neno lake kwa TUMA

Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5

Пікірлер: 166

  • @evansmumo3921
    @evansmumo39212 жыл бұрын

    TID alitikisa Kenya🇰🇪 enzi za Zeze, Nilikataa🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jumazahoro3057
    @jumazahoro30572 жыл бұрын

    Napenda sana interview zako tid comedian sana

  • @ismailmajala2802

    @ismailmajala2802

    2 жыл бұрын

    Mnyama Sana 😆😆😆👐🏾

  • @amriharuna4236

    @amriharuna4236

    2 жыл бұрын

    Sana hili jamaa

  • @robertnoel5232
    @robertnoel52322 жыл бұрын

    Huyu jamaa ni Comedian mkubwa sana , anajua sana kutumia communication skills

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid11712 жыл бұрын

    kata simu kwa usalama wako😆😆💃💃

  • @samsonyonasi5384

    @samsonyonasi5384

    2 жыл бұрын

    😹😹😹

  • @faisalamiri541

    @faisalamiri541

    2 жыл бұрын

    😂😂😂

  • @muddyville
    @muddyville2 жыл бұрын

    Nikamwambia "KATA SIMU KWA USALAMA WAKO" 😃😃😃😃

  • @Bise270

    @Bise270

    2 жыл бұрын

    Dah nimecheka sana😂😂

  • @nurdinngwegwe2943

    @nurdinngwegwe2943

    2 жыл бұрын

    Hip Hop Is A + Way Of Life. World up!.

  • @patrickakitanda7709

    @patrickakitanda7709

    2 жыл бұрын

    Hakuna Mtu hapo zinazoongea ni Ganja tuu hahahahaaaaaa TID mnyama ndio huyo sasa

  • @haibreus2005

    @haibreus2005

    2 жыл бұрын

    nimecheka sana

  • @ianrwabuyongo8294

    @ianrwabuyongo8294

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed42492 жыл бұрын

    Nikamwambia "kata simu kwa usalama wako"😂😂😂😂

  • @ramadhanmusa2878
    @ramadhanmusa28782 жыл бұрын

    Banae wakenya🇰🇪🇰🇪 tunatambua mziki wa zamani Tanzania,,hawa waskuizi kelele Tu wasanii wendawazimi .TID Mzee baba uko fiti miaka mi nane

  • @lanezboy7016
    @lanezboy70162 жыл бұрын

    Ila mwamba namkubali sana

  • @kadengekitsao3885
    @kadengekitsao38859 ай бұрын

    Mike kidogo sogeza nyuma, kuna covid mpya ujue na inatumika na watu wengi... watu wa shirikishoo 😅😅😅sitakiiii... I love that 😂

  • @hannanommy302
    @hannanommy3022 жыл бұрын

    Alhamdulillah 🙏 Allah tupe fahamu ya kufikiria yalo mema!tunzo za kijinga nilidhani hunzo ya kwenda peponi

  • @kondesaidi5728
    @kondesaidi57282 жыл бұрын

    😆😆😆 kwakweli TD bhana mm unaniachaga hoi Sana ka kubwa! Nije tu yaan Nije tu, 😆😆😆 hawakujui ustaa wako

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus81102 жыл бұрын

    Nampenda sana TID jamani

  • @silivesterjoachim4954
    @silivesterjoachim49542 жыл бұрын

    Mnyamaaaa!!umetisha sanaaaa !!

  • @johnjohnson9374
    @johnjohnson93742 жыл бұрын

    Nimecheka sana tulia mdogo wangu staki kataaa

  • @manmahuna1160
    @manmahuna11602 жыл бұрын

    Ni ukweli.....u are an East Africa legend... I was enjoying your music even if I was not understanding well kiswahili that time......from Burundi.....b

  • @mathewsamuel8847
    @mathewsamuel88472 жыл бұрын

    Kata cm kwa usalama wako😂😂😂😂😂😂

  • @officialbntrasool5223
    @officialbntrasool52232 жыл бұрын

    Mtoto mdg nampenda uncle wang Khalid🤣🤣

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus81102 жыл бұрын

    Kweli huyu TIP IN DAR .. " kataa kata zimaa "

  • @faisalamiri541

    @faisalamiri541

    2 жыл бұрын

    TIP?

  • @allycantara3873
    @allycantara38732 жыл бұрын

    Kata sim kwa usalama wako😀😀😀

  • @kephassanga4807
    @kephassanga48072 жыл бұрын

    Hahahahahahha Kata simu kwa usalama wako🤣🤣

  • @ramadhankakai7303

    @ramadhankakai7303

    2 жыл бұрын

    mara mic isongezwe maana imetumika na watu wa shirikisho🤣🤣

  • @user-di1yp4vf6t
    @user-di1yp4vf6t2 жыл бұрын

    Yupo sawa ....huwezi kufuata kadi ya mwaliko. Unamualika mtu unamfuata yeye.

  • @catherinegordian8109
    @catherinegordian81092 жыл бұрын

    “Kata simu kwa usalama wako”😹

  • @bmajesky63
    @bmajesky632 жыл бұрын

    😂😂😂Kuna Covid sogeza maiki

  • @peterkerenge9207
    @peterkerenge92072 жыл бұрын

    Kila week lazima nirud sikiliza hi interview🤣🤣🤣🤣,

  • @leticiamapunda3324
    @leticiamapunda33242 жыл бұрын

    Wasanii wa kibongo kwanini mnapenda kuigana mtetema aliweka bango mwingine nae kaiga

  • @3sixtv140
    @3sixtv1402 жыл бұрын

    Bonge la dharau mbwa hao mimi namsikiliza TID toka nipo tumboni halafu unam2ma achukue mualiko kituo cha basi?? Achananao buddy love ya watanzania kwako ni tuzo tosha

  • @farajihassan3300
    @farajihassan33002 жыл бұрын

    Ndg mtangazaji ana swagger kama Sam misago

  • @ibrahimuponsian2804
    @ibrahimuponsian28042 жыл бұрын

    ila hyu jamaa bang au..?🤣🤣🤣

  • @nasserrostom6340
    @nasserrostom63402 жыл бұрын

    MNYAMA 🇹🇿🇹🇿

  • @fredymbawala6291
    @fredymbawala62912 жыл бұрын

    Harmonize na kajala wanatangaza tangazo la nn Tena,,😀😃😃🤣mbona mnakatakata maneno

  • @nicholauspeter6278
    @nicholauspeter62782 жыл бұрын

    😀😀😀😀 jamani hivi hawa watu washirikisho ni wakina nan mbna wanataka kumpa kichaa TID

  • @mcyudasicqo9610
    @mcyudasicqo96102 жыл бұрын

    Sasa T,I,D hivyo vitisho kwa wana habari,ndo nini ,,,,? Time yko isha Kwisha usirazimishe yazamani ya rudi

  • @khorima
    @khorima2 жыл бұрын

    Hahahaha Nimecheka sana they has confidence and knows how to express himself, no hype....sio mnafiki

  • @halimask3239
    @halimask32392 жыл бұрын

    Ilove tid

  • @emmanuelfataki2283
    @emmanuelfataki22832 жыл бұрын

    Bangi sio chai 😂😂

  • @TomseeBikonde
    @TomseeBikonde2 жыл бұрын

    Much respect 🙏 TID MNYAMA

  • @nurdinngwegwe2943

    @nurdinngwegwe2943

    2 жыл бұрын

    Animal. Old Scul. Watoto hawakuwepo enzi za kuruka maviwanja live. Sasa Sanaa kyk simu.

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus81102 жыл бұрын

    Ila huyu TOP IN DAR anavuta ile chugaa kabisaaa maaana dar au keny kabisaa

  • @gadyetheboss8738
    @gadyetheboss87382 жыл бұрын

    Kichwa cha habari kataa kwa usalama wako

  • @reysetembo8032

    @reysetembo8032

    2 жыл бұрын

    😂😂😂😂

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus81102 жыл бұрын

    Huyu sijui ni chizi au kichaaaa yaani mmmm 😂😂😂😂😂

  • @mohammedathman5816
    @mohammedathman58162 жыл бұрын

    Very nice brother blessed

  • @mejamiela7436
    @mejamiela74362 жыл бұрын

    Sema nae huyu mbn ka anavimba hv afu simwelew

  • @LEO-uq6el
    @LEO-uq6el2 жыл бұрын

    Dah jamaa namkubali

  • @milasbaibe307
    @milasbaibe3072 жыл бұрын

    Nay wa mitego A.K.A True Bowy njoo huku Eti TID akijiita Legend marehemu bi kidude ajiite nani vile hahahaha

  • @hassanabdallahyahya2313
    @hassanabdallahyahya23132 жыл бұрын

    top in dar...!

  • @jameskalori4543
    @jameskalori45432 жыл бұрын

    😂😂😂natoa ZANGUVU

  • @mwakwelisaid3152
    @mwakwelisaid31522 жыл бұрын

    Hahahahahah nakubali TID

  • @thuwayneally9141
    @thuwayneally91412 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 wasintumie message ebwanaaah stakiiii

  • @mohameeddoaan2296
    @mohameeddoaan22962 жыл бұрын

    Love you tid

  • @faithjonathan3845
    @faithjonathan38452 жыл бұрын

    Kweli usipojiheshimu watu watakuchukulia poa sana. Eti fata card kituo cha mabasi🤣🤣

  • @aliyageorge6794
    @aliyageorge67942 жыл бұрын

    Tatizo la Harmonize hana advers wazuri.! Harmonize anajidharaulisha sana. Akapimwe akili.

  • @nicki1885
    @nicki18852 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣JAMANIIIIIIIII

  • @missmwayway4704
    @missmwayway47042 жыл бұрын

    Mnyamaaaaaaaa😍😍😍😍

  • @strong8534
    @strong85342 жыл бұрын

    Kata simu kwa usalama wako 😆😆😆😆

  • @lilianmbugua4966
    @lilianmbugua49662 жыл бұрын

    Mimi penda wewe sana TID wasikuleetee za ovyo wasonge wakikaukanga🇰🇪🇰🇪

  • @Smart_jarm

    @Smart_jarm

    2 жыл бұрын

    💕💕

  • @barnabavumu4637
    @barnabavumu46372 жыл бұрын

    Mzee kigogo bhana 😂😂😂😂

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 Жыл бұрын

    Ushachoka TID hela zako alizowekea Bongo achana na Hamo una jipya🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️🤷‍♀️

  • @Imanikkk
    @Imanikkk2 жыл бұрын

    Good brother

  • @hassanimussa5776
    @hassanimussa57762 жыл бұрын

    🤣🤣🤣 katq simu kwa usalama wako

  • @allydamas3832
    @allydamas38322 жыл бұрын

    KATA SIMU KWA USALAMA WAKO AKI TID ur funny .... Google 😂😂😂

  • @hamadyasin7429
    @hamadyasin74292 жыл бұрын

    Eti watu wa shilikisho

  • @jeremiahmiami1277
    @jeremiahmiami12772 жыл бұрын

    Huyu anatumia coco

  • @abisaimuhanji3687
    @abisaimuhanji36872 жыл бұрын

    Daaah yaani wamekulinganisha na wakongwe akina mzee Kungubaya

  • @eliasbashange01
    @eliasbashange01 Жыл бұрын

    Yeah fact

  • @mbwanamtessa8607
    @mbwanamtessa86072 жыл бұрын

    Simbaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @dullywa9973
    @dullywa99732 жыл бұрын

    maik kidgo 😂😂😂😂

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi75322 жыл бұрын

    Daah "kata cm kwa usalama" tid chiz bn😂😂😂

  • @adamsimba4886
    @adamsimba48862 жыл бұрын

    Duh

  • @chiefnyanda3260
    @chiefnyanda32602 жыл бұрын

    Uare right

  • @salumjumah5648
    @salumjumah56482 жыл бұрын

    😂😂😂😂 Top iN Dar

  • @benedictmhina8940
    @benedictmhina8940 Жыл бұрын

    Kumhoji TID na CHID BENZ kuwafanyia interview ni mtikhan

  • @johnenos233
    @johnenos233 Жыл бұрын

    Ohh mnyamaa 😆

  • @kyelaonlinetv2
    @kyelaonlinetv22 жыл бұрын

    Hahahah uyu mwamba ana jijua mwenyewe

  • @DM_15
    @DM_152 жыл бұрын

    Jamaa kama kavurugwaivi😊😊😁

  • @Fadhili001
    @Fadhili0012 жыл бұрын

    Hahaha 😂😂😂 seriously

  • @Mweya-87
    @Mweya-872 жыл бұрын

    🤠🤠

  • @mbwanaally7526
    @mbwanaally75262 жыл бұрын

    He's smart

  • @jennytugara9470
    @jennytugara94702 жыл бұрын

    Kweli umenena kaka tuzo ni privilege na heshima kwa msanii. Baraza BASATA wakishapiga kura unajulishwa ili uhudhurie au mwakilishi. Hii ya kufuata Kadi duh!!!!!

  • @emmanuelmkumbo1792
    @emmanuelmkumbo17922 жыл бұрын

    Kata simu kwa usalama wako 😂😂😂

  • @collinmhema5443
    @collinmhema54432 жыл бұрын

    Tunzo za namshukuru mhe raisi

  • @kilianwiliam7012
    @kilianwiliam70122 жыл бұрын

    Kataaa

  • @kaluaabdallah6506
    @kaluaabdallah65062 жыл бұрын

    Wasanii wanaoeshimika kwa sasa si wanajulikana

  • @davidheche839
    @davidheche8392 жыл бұрын

    Kata simu kwa usalama wako🤣🤣🤣

  • @valentineekutu7841
    @valentineekutu78412 жыл бұрын

    Huyo TID amechoka

  • @papadimayo1chanel.747
    @papadimayo1chanel.7472 жыл бұрын

    Namona kama ana shida hvy.

  • @jay-bblueband7140
    @jay-bblueband71402 жыл бұрын

    Mzuka mwingi yan

  • @CoachHafidh
    @CoachHafidh2 жыл бұрын

    Huyu TID anaigiza au??😂😂😂

  • @jumazahoro3057
    @jumazahoro30572 жыл бұрын

    Kata cm kwa usalama wako

  • @yasristeven1135
    @yasristeven11352 жыл бұрын

    Kata simu kwa usalama wajo hahahaha

  • @jandaboytzz2755
    @jandaboytzz27552 жыл бұрын

    Kata Simu Kwa Usalama Wako😀

  • @saadali6181
    @saadali61812 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂 full comedy

  • @mohamedsamata9049
    @mohamedsamata90492 жыл бұрын

    Kigogo

  • @rehemaally700
    @rehemaally7002 жыл бұрын

    Nakuheshimu mm pia ww ni noma unaweza mziki

  • @davidarona9903
    @davidarona99032 жыл бұрын

    TID forever

  • @mathanikibuti6676
    @mathanikibuti66762 жыл бұрын

    Kingereza sasa,katakata

  • @matridamwalyoyo1735
    @matridamwalyoyo17352 жыл бұрын

    Uyu mbn km dishi limeyumba

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything2 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌

  • @likungaduu6445
    @likungaduu64452 жыл бұрын

    😆😆😆mnyamaaaaa

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth46522 жыл бұрын

    Wewe zilipendwa muache *HARMONIZE*

  • @ishakafaki3501
    @ishakafaki35012 жыл бұрын

    Naomba mniaaidie wenzangu yule Sam misago Yuko wapi? ?

  • @fatmafaki6163
    @fatmafaki61632 жыл бұрын

    Chizi uyo

Келесі