UTACHEKA KUTANA NA AISHA MCHINA ANAEPIKA VYAKULA VYA KITANZANIA CHINA
Жүктеу.....
Пікірлер: 267
@castoljmwalyego37785 жыл бұрын
Swahili to the world... Tanzania flag to the world..... Ahsante.......
@emmyjuma5171
5 жыл бұрын
Yaaaah
@enockkilatu41
4 жыл бұрын
Jack
@claysonjulius6520
3 жыл бұрын
Tunapeperusha bendera!!
@castoljmwalyego3778
3 жыл бұрын
@@claysonjulius6520 pamojaaaa
@nassorkhatib86455 жыл бұрын
Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘
@is-hakhassan1090
5 жыл бұрын
Nassor Khatib chiiii
@justinmagotti5 жыл бұрын
Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania
@kagirisamson9221
5 жыл бұрын
Hata wabongo wapo wanapiga kichina balaa
@mwajumasaidi5236
5 жыл бұрын
Justin Magotti q
@alikiba9960
5 жыл бұрын
Twafanana majina ya Babu Magoti..ila sielewi
@paulofesto4948
5 жыл бұрын
Ee ase!
@muhammadnnacho7425
5 жыл бұрын
Hv v2 vya kawaida....kutana na mama wa kimasai hajasoma lkn anaongea kizungu na anamuuzia mzungu vinyago
@ramadhannasibu77535 жыл бұрын
Good. I will be there kupata chakula cha nyumban. 👌👌👍👍💪🏽💪🏽
@alimakame81345 жыл бұрын
Hongora aisha
@hamzalaus95995 жыл бұрын
Hongera Sana Aisha kwa kuitangaza tanzania respect agoshi kwa kumuungisha aisha
@talibally8425 жыл бұрын
Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏
@maezadam54925 жыл бұрын
Kama unangalia 2019 gonga like hapa😎😎😎😎😎
@michaelkiumba60155 жыл бұрын
millard kazi nzuri kaka mungu azidi kukubariki tuzidi kuona vitu vingi
@amnemkubwa73535 жыл бұрын
Aysha niajiri bas na mm jamani niko Beijing nikupikie vyakula vya kitanzania🔥❤😊👌
@bjzee19815 жыл бұрын
Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga
@pasquallungwa3517
5 жыл бұрын
Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo
@rehemahramadhani3428
5 жыл бұрын
inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew
asee afrika ni tanzania sana na jamaa kafanya kitu kizuri sana napenda sana hichi kitu alichokifanya asee
@callmebanger20625 жыл бұрын
aje hangzoue uyo tunapata tabu sana!
@philipbiasaf88893 жыл бұрын
Nakubali siku nikipata bahati nikija apo ndio mahudhurio kibao
@sarahminja72555 жыл бұрын
Mmh sili kwa mchina hata kidogo hata akipika vyakula vya kikwetu bado siwaamini naona kama watanilisha chura
@chabycarpoza2998
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hutaki ujinga
@geraldemmanuel894
5 жыл бұрын
Njoo China uone kama hutokula
@vivianmahoo8611
5 жыл бұрын
Ninakula mbogamboga basi, na maharage
@beatricehassan48775 жыл бұрын
Wachina wanaipenda Tanzania sana
@narmyheart20213 жыл бұрын
I lov u Aisha bure bure!! 😂🤣😂😂🤣
@OnesmoEmmanuel-xr2rf7 ай бұрын
Yani nikija lazima nikutafute aisha
@kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын
Maishaallah bi Aisha 😂
@MajaxiFx5 жыл бұрын
Chips yai Kama lote
@zamzamrashid95345 жыл бұрын
😷 Duh kumbe nauko mgambo wanasumbuwa
@florencekashaija75394 жыл бұрын
Akili ya Mtu taa ya mafanikio yake.
@abdulhamidy89204 жыл бұрын
Kwanini askar wanasumbua
@yusuphjuma19895 жыл бұрын
Anachapulisha sana kuongea huyo aisha ee ka chelehani
@swahiliupdates30515 жыл бұрын
Kumbe hata wachina Wanasema wafrika wanafanana nilizani wafrika tu ndo tunafikiria wachina wamefanana
@amalcsalim-uu7hk
5 жыл бұрын
Sisi tunafanana rangi hao wanafanana sura.. wale ni watoto wa baba mmoja
@peterogast59835 жыл бұрын
Hiyo firigisi unatakiwa aseme firigisi ya mnyama gan maana hawachelewi hao vyura Nije nje
@AnitaBekka
5 жыл бұрын
Peter Ogast 😂😂😂😂
@msafiriduwiya7765
5 жыл бұрын
Uyo kashakuwa muislamu ww
@samirsalum64745 жыл бұрын
Kumrudisha mpenzi siku 3:libwata
@bwwm7914 Жыл бұрын
upendo mwingi kutoka Kenya wapi video ya hivi karibuni yaani baada ya COVID basi kama polisi wamepunguza vizuizi
@haithamrubeabuhet26375 жыл бұрын
Dah mm nimeona ilo chips yai hela yako inalipa
@haithamrubeabuhet2637
5 жыл бұрын
ZEN TV kitu roho inapenda na ningekua mwanga ningeruka ningeenda China kula tu ilo zege
@saidaidid30654 жыл бұрын
huyo aisha anapata taabu kuongea kiswahili 😂😂😂
@yujinxhing37665 жыл бұрын
Mwambie Aisha anipikie ugali bamia
@nicksonanael59205 жыл бұрын
Hahahahaha like this
@thomashudson10835 жыл бұрын
Jaman naombeni niulize kdg kwa wanaojua,kwa nn polisi wanawafukuza..?
@babukasiaka2833
5 жыл бұрын
amesema anapata wateja wengi ambapo muda wa kufunga kazi bado AISHA anawakaribisha wateja wake. mfano mwisho wa biashara ama kutembea mtaani ni saa 6:00 usku bado Aisha ana wateja
@emmanuelmasoko10135 жыл бұрын
Anajitahidi
@ayubukassim79955 жыл бұрын
Hahahaha
@mathnasaeed38065 жыл бұрын
semeni kweli yenu watanzania mshawekeza migahawa uko mana watanzania wengi saiv wako china washaweka zizi mnarahisisha huduma ili wakiingia wafrica waingie Tanzania
@muhammadmahmoud10685 жыл бұрын
Vp matembele hapiki?? +974🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@piusmnanka27555 жыл бұрын
Miaka minne au miezi minne...?
@eenpaard39155 жыл бұрын
Askari wabaguzi
@tuphujekumuhkunonyiile3739
5 жыл бұрын
Saana
@hamisaferuzi46482 жыл бұрын
Aisha naomba namba yako
@TanzaniOman5 жыл бұрын
Acjekutia vijokajoka2
@albait52275 жыл бұрын
Tupele kwenye viwanda vya kutengenezea cm tuon jins gan wanavofanya kaz
@harithwhite5894 жыл бұрын
Hadi raha jamani
@anuaryally61775 жыл бұрын
Kwaiyo uyo aisha yupo mkoa gani umesema vile uko chaina tanga ya uko au pwani bagamoyo ya uko ili tujue kupata kuku kwa mlija
@hellenaguya3737
5 жыл бұрын
Hahaha
@salehsuleiman12185 жыл бұрын
Hatar alivovitaja ivo vyakula
@margaretmkangala7774
5 жыл бұрын
Hata wewe umeweka hatari kuandika neno ivo badala ya hivyo. Toa kwanza boriti kwenye jicho lako.
Пікірлер: 267
Swahili to the world... Tanzania flag to the world..... Ahsante.......
@emmyjuma5171
5 жыл бұрын
Yaaaah
@enockkilatu41
4 жыл бұрын
Jack
@claysonjulius6520
3 жыл бұрын
Tunapeperusha bendera!!
@castoljmwalyego3778
3 жыл бұрын
@@claysonjulius6520 pamojaaaa
Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘
@is-hakhassan1090
5 жыл бұрын
Nassor Khatib chiiii
Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania
@kagirisamson9221
5 жыл бұрын
Hata wabongo wapo wanapiga kichina balaa
@mwajumasaidi5236
5 жыл бұрын
Justin Magotti q
@alikiba9960
5 жыл бұрын
Twafanana majina ya Babu Magoti..ila sielewi
@paulofesto4948
5 жыл бұрын
Ee ase!
@muhammadnnacho7425
5 жыл бұрын
Hv v2 vya kawaida....kutana na mama wa kimasai hajasoma lkn anaongea kizungu na anamuuzia mzungu vinyago
Good. I will be there kupata chakula cha nyumban. 👌👌👍👍💪🏽💪🏽
Hongora aisha
Hongera Sana Aisha kwa kuitangaza tanzania respect agoshi kwa kumuungisha aisha
Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏
Kama unangalia 2019 gonga like hapa😎😎😎😎😎
millard kazi nzuri kaka mungu azidi kukubariki tuzidi kuona vitu vingi
Aysha niajiri bas na mm jamani niko Beijing nikupikie vyakula vya kitanzania🔥❤😊👌
Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga
@pasquallungwa3517
5 жыл бұрын
Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo
@rehemahramadhani3428
5 жыл бұрын
inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew
@zuwenadavid856
5 жыл бұрын
Hahahaahhahhaahjahahhajajajaaj nimecheka kwanguvu😂😂😂😂😂😂😂
@theophilotheodosy5565
5 жыл бұрын
Do minne... Tusijisahaulishe 7 ya primary 🤣🤣🤣
@rasterwangu9708
5 жыл бұрын
englishi ya skuli ni ya somo sio ya lugha
Asanteni ayo tv mnawork hard kutuletea habari
Mashaallah ❤
I do like that hakika Naipenda TANZANia yangu...
Yani Mimi.miaka 35 sijui kichina
@bantuvoicemuchaikinuthia2536
5 жыл бұрын
Nime ingia china kama nime kuzidi umri lakini sasa nakiUngumza... sasa takriban miaka miwili nimekuwa huku... Unayo nafasi..🇰🇪🇹🇿
@rehema2018
5 жыл бұрын
Teachingtruth Missionafrica Kichina kigumuu bhna 😂😂😂
@merlinahwillie3139
5 жыл бұрын
Haha ua point killed me
@pelusiemanueli6926
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😀
@elizabethsamwel9903
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
Aisee Aisha Anaongea Kama Chiriku 😂😂😂😂😂
@susanw8926
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣
@beautyibrahim8428
5 жыл бұрын
😂😂😂😂Umeonaaaa
@muniraabdul205
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@omaniom6030
5 жыл бұрын
@@muniraabdul205 😳😳😳
@fadhiliromwald
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Hyo kalii😄😄 Ugali mlendaa china, kwanza anapata wap muda wa kupika vtu vyote hvyo na yupo mwenyew
@emaneez
5 жыл бұрын
Yupo na mumuwe . acha kukurupa
apo kwa maini nilikua nimesikia kama kasema mende😂😂😂😂lakini nipoa nimeipenda ongela sana aisha mwanamke kazikazi💪💪
@babukasiaka2833
5 жыл бұрын
uwiiii wewe utanivunja mbavu mwaya duh!
@reyham1722
5 жыл бұрын
Nimechekaaa uwiiiii
@merinayakobo2078
5 жыл бұрын
.
@fatmaabdi1722
5 жыл бұрын
😁😁😁😁
Mashaallah .
Safi sana Aisha nimependa kiswahili chakoo
Daah yani aisha nime mkubali sana aisee yuko vizuri
Mimi nipo hapa 🇨🇳 nataka kufika hapo ipo sehemu gani❤
Wow nime Kupenda Aisha mnaubunifu.
Hongera sana Collage mate wangu Sultan lakini unatakiwa uwafundishe Kiswahili Fasaha ili wakifahamu. Mpe hi Cameraman wako Mohammed HB
Mashallah Aisha
Nimependa kumbe hata kuna watu wanaamini tz ipo na pia inatamaduni zake
Good
hongera dada mchina
Hongera sis
Wow wow.... Am sri lanka 🇱🇰 Kalu 💓
Ubosh au agosh Alhamdulilah umetengenea
Waoooooooh Aisha
Mchina ashindwi
mko juu hongeren
@clintzeroTZ
5 жыл бұрын
Hatari fire
Yaani anajua Sana, mm miaka 3 sijui lugha ya watu
Well done, Kaka sulu
chips mayai yake inaonekana hatari!!
@zainabmwengela5987
5 жыл бұрын
Umewaza Kama mimi
Aisha karibu sana Tanzania😀
Saaafi Kiswahili hicho
Tanzania watu na mzuli😂😂😂😂😂😂😂
Kweli kiswahili kigumu umejifunza miaka 4 alaf unaongea hvo hhhhhhh hongera dada aisha
Safi sana Bibi AISHA
Nice
Safi sana Mllard
Maashaallah
Nimekummiss mbaya Aisha
Namjua huyu nachakula chao nimekula sana
Hatari Fire
@naimabruno1351
5 жыл бұрын
Ahahahahah
Anaongea haraka hatariiiiiiii
Hongera AISHA
Safi sana Bi Aisha
😂😂😂kiukweli nimempenda
Jamani jamani 😝😝😀😀😀😀😀 yaani made in China mpaka chakula Cha kitanzania😄😄😄
Aisha wangu nakupenda
aisha mchina
Afro dj anawaigizaga sauti sana
Mtangazaji unaharibu Kiswahili MGAHAWA UNAITA MKAHAWA
Aysha mchina vs Juma sharobaro
@lilyrose4066
5 жыл бұрын
Ha ha haaa ingependeza sana!
@lilyrose4066
5 жыл бұрын
Ha ha haaa ingependeza sana!
😂😂😂😂 waaaa mtoto wawili
Duh sawa sawa 😂❤️🤗
Hongera sana
Tanzania😍😍😝😋😗😙😘
Safi sana Aisha
Tupo juuu
Hyo chips yai konki
Shikamoo kiswahili saf china
asee afrika ni tanzania sana na jamaa kafanya kitu kizuri sana napenda sana hichi kitu alichokifanya asee
aje hangzoue uyo tunapata tabu sana!
Nakubali siku nikipata bahati nikija apo ndio mahudhurio kibao
Mmh sili kwa mchina hata kidogo hata akipika vyakula vya kikwetu bado siwaamini naona kama watanilisha chura
@chabycarpoza2998
5 жыл бұрын
😂😂😂😂😂hutaki ujinga
@geraldemmanuel894
5 жыл бұрын
Njoo China uone kama hutokula
@vivianmahoo8611
5 жыл бұрын
Ninakula mbogamboga basi, na maharage
Wachina wanaipenda Tanzania sana
I lov u Aisha bure bure!! 😂🤣😂😂🤣
Yani nikija lazima nikutafute aisha
Maishaallah bi Aisha 😂
Chips yai Kama lote
😷 Duh kumbe nauko mgambo wanasumbuwa
Akili ya Mtu taa ya mafanikio yake.
Kwanini askar wanasumbua
Anachapulisha sana kuongea huyo aisha ee ka chelehani
Kumbe hata wachina Wanasema wafrika wanafanana nilizani wafrika tu ndo tunafikiria wachina wamefanana
@amalcsalim-uu7hk
5 жыл бұрын
Sisi tunafanana rangi hao wanafanana sura.. wale ni watoto wa baba mmoja
Hiyo firigisi unatakiwa aseme firigisi ya mnyama gan maana hawachelewi hao vyura Nije nje
@AnitaBekka
5 жыл бұрын
Peter Ogast 😂😂😂😂
@msafiriduwiya7765
5 жыл бұрын
Uyo kashakuwa muislamu ww
Kumrudisha mpenzi siku 3:libwata
upendo mwingi kutoka Kenya wapi video ya hivi karibuni yaani baada ya COVID basi kama polisi wamepunguza vizuizi
Dah mm nimeona ilo chips yai hela yako inalipa
@haithamrubeabuhet2637
5 жыл бұрын
ZEN TV kitu roho inapenda na ningekua mwanga ningeruka ningeenda China kula tu ilo zege
huyo aisha anapata taabu kuongea kiswahili 😂😂😂
Mwambie Aisha anipikie ugali bamia
Hahahahaha like this
Jaman naombeni niulize kdg kwa wanaojua,kwa nn polisi wanawafukuza..?
@babukasiaka2833
5 жыл бұрын
amesema anapata wateja wengi ambapo muda wa kufunga kazi bado AISHA anawakaribisha wateja wake. mfano mwisho wa biashara ama kutembea mtaani ni saa 6:00 usku bado Aisha ana wateja
Anajitahidi
Hahahaha
semeni kweli yenu watanzania mshawekeza migahawa uko mana watanzania wengi saiv wako china washaweka zizi mnarahisisha huduma ili wakiingia wafrica waingie Tanzania
Vp matembele hapiki?? +974🇶🇦🇶🇦🇶🇦
Miaka minne au miezi minne...?
Askari wabaguzi
@tuphujekumuhkunonyiile3739
5 жыл бұрын
Saana
Aisha naomba namba yako
Acjekutia vijokajoka2
Tupele kwenye viwanda vya kutengenezea cm tuon jins gan wanavofanya kaz
Hadi raha jamani
Kwaiyo uyo aisha yupo mkoa gani umesema vile uko chaina tanga ya uko au pwani bagamoyo ya uko ili tujue kupata kuku kwa mlija
@hellenaguya3737
5 жыл бұрын
Hahaha
Hatar alivovitaja ivo vyakula
@margaretmkangala7774
5 жыл бұрын
Hata wewe umeweka hatari kuandika neno ivo badala ya hivyo. Toa kwanza boriti kwenye jicho lako.