UTACHEKA KUTANA NA AISHA MCHINA ANAEPIKA VYAKULA VYA KITANZANIA CHINA

Пікірлер: 267

  • @castoljmwalyego3778
    @castoljmwalyego37785 жыл бұрын

    Swahili to the world... Tanzania flag to the world..... Ahsante.......

  • @emmyjuma5171

    @emmyjuma5171

    5 жыл бұрын

    Yaaaah

  • @enockkilatu41

    @enockkilatu41

    4 жыл бұрын

    Jack

  • @claysonjulius6520

    @claysonjulius6520

    3 жыл бұрын

    Tunapeperusha bendera!!

  • @castoljmwalyego3778

    @castoljmwalyego3778

    3 жыл бұрын

    @@claysonjulius6520 pamojaaaa

  • @nassorkhatib8645
    @nassorkhatib86455 жыл бұрын

    Hongera sn kijan wng sultan mungu akujaalie ufike mbali zaid.. pia sharo kwa dada Aisha kutupikia vyakula vya kibongo mm npo Hangzhou ila sku nikij Guangzhou ntakuj kula mkahawan apo 😘

  • @is-hakhassan1090

    @is-hakhassan1090

    5 жыл бұрын

    Nassor Khatib chiiii

  • @justinmagotti
    @justinmagotti5 жыл бұрын

    Wachina watu wa kazi sana..imagine hajawahi kufika bongo..lakini imebidi ajifunze kiswahili ili aende sawa na wateja wake..hili ni somo tosha sana kwa watanzania

  • @kagirisamson9221

    @kagirisamson9221

    5 жыл бұрын

    Hata wabongo wapo wanapiga kichina balaa

  • @mwajumasaidi5236

    @mwajumasaidi5236

    5 жыл бұрын

    Justin Magotti q

  • @alikiba9960

    @alikiba9960

    5 жыл бұрын

    Twafanana majina ya Babu Magoti..ila sielewi

  • @paulofesto4948

    @paulofesto4948

    5 жыл бұрын

    Ee ase!

  • @muhammadnnacho7425

    @muhammadnnacho7425

    5 жыл бұрын

    Hv v2 vya kawaida....kutana na mama wa kimasai hajasoma lkn anaongea kizungu na anamuuzia mzungu vinyago

  • @ramadhannasibu7753
    @ramadhannasibu77535 жыл бұрын

    Good. I will be there kupata chakula cha nyumban. 👌👌👍👍💪🏽💪🏽

  • @alimakame8134
    @alimakame81345 жыл бұрын

    Hongora aisha

  • @hamzalaus9599
    @hamzalaus95995 жыл бұрын

    Hongera Sana Aisha kwa kuitangaza tanzania respect agoshi kwa kumuungisha aisha

  • @talibally842
    @talibally8425 жыл бұрын

    Asanteee Millard dayo kw kuleta vpnd km hv n pia jribun kupit nchi nyng kujua ynayofnyk Kun wt haw jaajiriw il wmejiajir wenyew n wkion mmbo km hy nd wnxd kuwa n frja Hongern xn 🙏🙏👏👏

  • @maezadam5492
    @maezadam54925 жыл бұрын

    Kama unangalia 2019 gonga like hapa😎😎😎😎😎

  • @michaelkiumba6015
    @michaelkiumba60155 жыл бұрын

    millard kazi nzuri kaka mungu azidi kukubariki tuzidi kuona vitu vingi

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa73535 жыл бұрын

    Aysha niajiri bas na mm jamani niko Beijing nikupikie vyakula vya kitanzania🔥❤😊👌

  • @bjzee1981
    @bjzee19815 жыл бұрын

    Kajifunza kiswahili miaka minne bado ana mumunya na yuko sawa. Mtanzania akisoma eglish kuanzia form one to form four akatoka hajui hata kujitambulusha mna mwita mjinga

  • @pasquallungwa3517

    @pasquallungwa3517

    5 жыл бұрын

    Hapo umechanganya vitu viwili kati ya mfumo wa elimu ya tz ya miaka 4 na kujifunza lugha ya kiswahili kwa miaka 4 kwa huyo mchina, hupaswi kuringanisha kihivyo

  • @rehemahramadhani3428

    @rehemahramadhani3428

    5 жыл бұрын

    inategemea alijifunza vip kunakusomea darasan na kukaa na watu ambao wanajua lugha mm hp najua kiarabu na huu ni mwaka wa 3 naongea kama waarabu wenyew

  • @zuwenadavid856

    @zuwenadavid856

    5 жыл бұрын

    Hahahaahhahhaahjahahhajajajaaj nimecheka kwanguvu😂😂😂😂😂😂😂

  • @theophilotheodosy5565

    @theophilotheodosy5565

    5 жыл бұрын

    Do minne... Tusijisahaulishe 7 ya primary 🤣🤣🤣

  • @rasterwangu9708

    @rasterwangu9708

    5 жыл бұрын

    englishi ya skuli ni ya somo sio ya lugha

  • @a.856
    @a.8565 жыл бұрын

    Asanteni ayo tv mnawork hard kutuletea habari

  • @salamoman9375
    @salamoman9375 Жыл бұрын

    Mashaallah ❤

  • @abdulisimba6035
    @abdulisimba60355 жыл бұрын

    I do like that hakika Naipenda TANZANia yangu...

  • @teachingtruthmissionafrica9998
    @teachingtruthmissionafrica99985 жыл бұрын

    Yani Mimi.miaka 35 sijui kichina

  • @bantuvoicemuchaikinuthia2536

    @bantuvoicemuchaikinuthia2536

    5 жыл бұрын

    Nime ingia china kama nime kuzidi umri lakini sasa nakiUngumza... sasa takriban miaka miwili nimekuwa huku... Unayo nafasi..🇰🇪🇹🇿

  • @rehema2018

    @rehema2018

    5 жыл бұрын

    Teachingtruth Missionafrica Kichina kigumuu bhna 😂😂😂

  • @merlinahwillie3139

    @merlinahwillie3139

    5 жыл бұрын

    Haha ua point killed me

  • @pelusiemanueli6926

    @pelusiemanueli6926

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😀

  • @elizabethsamwel9903

    @elizabethsamwel9903

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @mtaalamwamambo2099
    @mtaalamwamambo20995 жыл бұрын

    Aisee Aisha Anaongea Kama Chiriku 😂😂😂😂😂

  • @susanw8926

    @susanw8926

    5 жыл бұрын

    🤣🤣🤣

  • @beautyibrahim8428

    @beautyibrahim8428

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂Umeonaaaa

  • @muniraabdul205

    @muniraabdul205

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @omaniom6030

    @omaniom6030

    5 жыл бұрын

    @@muniraabdul205 😳😳😳

  • @fadhiliromwald

    @fadhiliromwald

    4 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @qudratv9169
    @qudratv91695 жыл бұрын

    Hyo kalii😄😄 Ugali mlendaa china, kwanza anapata wap muda wa kupika vtu vyote hvyo na yupo mwenyew

  • @emaneez

    @emaneez

    5 жыл бұрын

    Yupo na mumuwe . acha kukurupa

  • @ratwifamajid3383
    @ratwifamajid33835 жыл бұрын

    apo kwa maini nilikua nimesikia kama kasema mende😂😂😂😂lakini nipoa nimeipenda ongela sana aisha mwanamke kazikazi💪💪

  • @babukasiaka2833

    @babukasiaka2833

    5 жыл бұрын

    uwiiii wewe utanivunja mbavu mwaya duh!

  • @reyham1722

    @reyham1722

    5 жыл бұрын

    Nimechekaaa uwiiiii

  • @merinayakobo2078

    @merinayakobo2078

    5 жыл бұрын

    .

  • @fatmaabdi1722

    @fatmaabdi1722

    5 жыл бұрын

    😁😁😁😁

  • @mwanatz5980
    @mwanatz59805 жыл бұрын

    Mashaallah .

  • @juliussanane1860
    @juliussanane18605 жыл бұрын

    Safi sana Aisha nimependa kiswahili chakoo

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne74915 жыл бұрын

    Daah yani aisha nime mkubali sana aisee yuko vizuri

  • @ELIZABETH-uz6dv
    @ELIZABETH-uz6dvАй бұрын

    Mimi nipo hapa 🇨🇳 nataka kufika hapo ipo sehemu gani❤

  • @ashnaomi2385
    @ashnaomi23855 жыл бұрын

    Wow nime Kupenda Aisha mnaubunifu.

  • @salimkhamis3638
    @salimkhamis36385 жыл бұрын

    Hongera sana Collage mate wangu Sultan lakini unatakiwa uwafundishe Kiswahili Fasaha ili wakifahamu. Mpe hi Cameraman wako Mohammed HB

  • @badaral6167
    @badaral6167 Жыл бұрын

    Mashallah Aisha

  • @adamsilumbe2764
    @adamsilumbe27645 жыл бұрын

    Nimependa kumbe hata kuna watu wanaamini tz ipo na pia inatamaduni zake

  • @ramadhanjuma5046
    @ramadhanjuma50463 жыл бұрын

    Good

  • @superiorsucces5388
    @superiorsucces53885 жыл бұрын

    hongera dada mchina

  • @kautharsalat6449
    @kautharsalat64495 жыл бұрын

    Hongera sis

  • @KaluperumaSL
    @KaluperumaSL4 жыл бұрын

    Wow wow.... Am sri lanka 🇱🇰 Kalu 💓

  • @hamedmaskari518
    @hamedmaskari5185 жыл бұрын

    Ubosh au agosh Alhamdulilah umetengenea

  • @hamisaferuzi4648
    @hamisaferuzi46482 жыл бұрын

    Waoooooooh Aisha

  • @lukundomalunga3233
    @lukundomalunga32335 жыл бұрын

    Mchina ashindwi

  • @user-qs9rn2je4c
    @user-qs9rn2je4c5 жыл бұрын

    mko juu hongeren

  • @clintzeroTZ

    @clintzeroTZ

    5 жыл бұрын

    Hatari fire

  • @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538
    @juvicufjumuuiyayavijanacuf95385 жыл бұрын

    Yaani anajua Sana, mm miaka 3 sijui lugha ya watu

  • @juvicufjumuuiyayavijanacuf9538
    @juvicufjumuuiyayavijanacuf95385 жыл бұрын

    Well done, Kaka sulu

  • @austinkennedy9870
    @austinkennedy98705 жыл бұрын

    chips mayai yake inaonekana hatari!!

  • @zainabmwengela5987

    @zainabmwengela5987

    5 жыл бұрын

    Umewaza Kama mimi

  • @rukkyayub2438
    @rukkyayub24385 жыл бұрын

    Aisha karibu sana Tanzania😀

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno84402 жыл бұрын

    Saaafi Kiswahili hicho

  • @valerieshinia8526
    @valerieshinia85264 жыл бұрын

    Tanzania watu na mzuli😂😂😂😂😂😂😂

  • @kassimayoub5586
    @kassimayoub55865 жыл бұрын

    Kweli kiswahili kigumu umejifunza miaka 4 alaf unaongea hvo hhhhhhh hongera dada aisha

  • @abrahimali3628
    @abrahimali36285 жыл бұрын

    Safi sana Bibi AISHA

  • @naslamgollowatuacheee9852
    @naslamgollowatuacheee98525 жыл бұрын

    Nice

  • @mirajifikirini6949
    @mirajifikirini69495 жыл бұрын

    Safi sana Mllard

  • @kudramzee5769
    @kudramzee57692 жыл бұрын

    Maashaallah

  • @elizabethsimemba5146
    @elizabethsimemba51465 жыл бұрын

    Nimekummiss mbaya Aisha

  • @nurumambovphelman7852
    @nurumambovphelman78525 жыл бұрын

    Namjua huyu nachakula chao nimekula sana

  • @jacquelinechalamila2256
    @jacquelinechalamila22565 жыл бұрын

    Hatari Fire

  • @naimabruno1351

    @naimabruno1351

    5 жыл бұрын

    Ahahahahah

  • @watchme5678
    @watchme56785 жыл бұрын

    Anaongea haraka hatariiiiiiii

  • @fahadjuma5150
    @fahadjuma51505 жыл бұрын

    Hongera AISHA

  • @oyay2821
    @oyay28215 жыл бұрын

    Safi sana Bi Aisha

  • @fatmamajuu5255
    @fatmamajuu52555 жыл бұрын

    😂😂😂kiukweli nimempenda

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus93035 жыл бұрын

    Jamani jamani 😝😝😀😀😀😀😀 yaani made in China mpaka chakula Cha kitanzania😄😄😄

  • @subirajohn728
    @subirajohn7285 жыл бұрын

    Aisha wangu nakupenda

  • @narxtz
    @narxtz5 жыл бұрын

    aisha mchina

  • @PESMOBILEHIGHLIGHTS-rt6rc
    @PESMOBILEHIGHLIGHTS-rt6rc4 жыл бұрын

    Afro dj anawaigizaga sauti sana

  • @malongoisack5811
    @malongoisack5811 Жыл бұрын

    Mtangazaji unaharibu Kiswahili MGAHAWA UNAITA MKAHAWA

  • @hijazhija316
    @hijazhija3165 жыл бұрын

    Aysha mchina vs Juma sharobaro

  • @lilyrose4066

    @lilyrose4066

    5 жыл бұрын

    Ha ha haaa ingependeza sana!

  • @lilyrose4066

    @lilyrose4066

    5 жыл бұрын

    Ha ha haaa ingependeza sana!

  • @queenmariana5887
    @queenmariana58875 жыл бұрын

    😂😂😂😂 waaaa mtoto wawili

  • @shukridjibril6848
    @shukridjibril68482 жыл бұрын

    Duh sawa sawa 😂❤️🤗

  • @user-dx5lz6du4y
    @user-dx5lz6du4y5 жыл бұрын

    Hongera sana

  • @lufufu_mkandala9428
    @lufufu_mkandala94285 жыл бұрын

    Tanzania😍😍😝😋😗😙😘

  • @thehuntervevothehuntervevo7703
    @thehuntervevothehuntervevo77035 жыл бұрын

    Safi sana Aisha

  • @mamairene1627
    @mamairene16275 жыл бұрын

    Tupo juuu

  • @annapeter1128
    @annapeter11285 жыл бұрын

    Hyo chips yai konki

  • @ashuramhando5285
    @ashuramhando52853 жыл бұрын

    Shikamoo kiswahili saf china

  • @gobacktv274
    @gobacktv2745 жыл бұрын

    asee afrika ni tanzania sana na jamaa kafanya kitu kizuri sana napenda sana hichi kitu alichokifanya asee

  • @callmebanger2062
    @callmebanger20625 жыл бұрын

    aje hangzoue uyo tunapata tabu sana!

  • @philipbiasaf8889
    @philipbiasaf88893 жыл бұрын

    Nakubali siku nikipata bahati nikija apo ndio mahudhurio kibao

  • @sarahminja7255
    @sarahminja72555 жыл бұрын

    Mmh sili kwa mchina hata kidogo hata akipika vyakula vya kikwetu bado siwaamini naona kama watanilisha chura

  • @chabycarpoza2998

    @chabycarpoza2998

    5 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂hutaki ujinga

  • @geraldemmanuel894

    @geraldemmanuel894

    5 жыл бұрын

    Njoo China uone kama hutokula

  • @vivianmahoo8611

    @vivianmahoo8611

    5 жыл бұрын

    Ninakula mbogamboga basi, na maharage

  • @beatricehassan4877
    @beatricehassan48775 жыл бұрын

    Wachina wanaipenda Tanzania sana

  • @narmyheart2021
    @narmyheart20213 жыл бұрын

    I lov u Aisha bure bure!! 😂🤣😂😂🤣

  • @OnesmoEmmanuel-xr2rf
    @OnesmoEmmanuel-xr2rf7 ай бұрын

    Yani nikija lazima nikutafute aisha

  • @kassimmanaramalika8592
    @kassimmanaramalika8592 Жыл бұрын

    Maishaallah bi Aisha 😂

  • @MajaxiFx
    @MajaxiFx5 жыл бұрын

    Chips yai Kama lote

  • @zamzamrashid9534
    @zamzamrashid95345 жыл бұрын

    😷 Duh kumbe nauko mgambo wanasumbuwa

  • @florencekashaija7539
    @florencekashaija75394 жыл бұрын

    Akili ya Mtu taa ya mafanikio yake.

  • @abdulhamidy8920
    @abdulhamidy89204 жыл бұрын

    Kwanini askar wanasumbua

  • @yusuphjuma1989
    @yusuphjuma19895 жыл бұрын

    Anachapulisha sana kuongea huyo aisha ee ka chelehani

  • @swahiliupdates3051
    @swahiliupdates30515 жыл бұрын

    Kumbe hata wachina Wanasema wafrika wanafanana nilizani wafrika tu ndo tunafikiria wachina wamefanana

  • @amalcsalim-uu7hk

    @amalcsalim-uu7hk

    5 жыл бұрын

    Sisi tunafanana rangi hao wanafanana sura.. wale ni watoto wa baba mmoja

  • @peterogast5983
    @peterogast59835 жыл бұрын

    Hiyo firigisi unatakiwa aseme firigisi ya mnyama gan maana hawachelewi hao vyura Nije nje

  • @AnitaBekka

    @AnitaBekka

    5 жыл бұрын

    Peter Ogast 😂😂😂😂

  • @msafiriduwiya7765

    @msafiriduwiya7765

    5 жыл бұрын

    Uyo kashakuwa muislamu ww

  • @samirsalum6474
    @samirsalum64745 жыл бұрын

    Kumrudisha mpenzi siku 3:libwata

  • @bwwm7914
    @bwwm7914 Жыл бұрын

    upendo mwingi kutoka Kenya wapi video ya hivi karibuni yaani baada ya COVID basi kama polisi wamepunguza vizuizi

  • @haithamrubeabuhet2637
    @haithamrubeabuhet26375 жыл бұрын

    Dah mm nimeona ilo chips yai hela yako inalipa

  • @haithamrubeabuhet2637

    @haithamrubeabuhet2637

    5 жыл бұрын

    ZEN TV kitu roho inapenda na ningekua mwanga ningeruka ningeenda China kula tu ilo zege

  • @saidaidid3065
    @saidaidid30654 жыл бұрын

    huyo aisha anapata taabu kuongea kiswahili 😂😂😂

  • @yujinxhing3766
    @yujinxhing37665 жыл бұрын

    Mwambie Aisha anipikie ugali bamia

  • @nicksonanael5920
    @nicksonanael59205 жыл бұрын

    Hahahahaha like this

  • @thomashudson1083
    @thomashudson10835 жыл бұрын

    Jaman naombeni niulize kdg kwa wanaojua,kwa nn polisi wanawafukuza..?

  • @babukasiaka2833

    @babukasiaka2833

    5 жыл бұрын

    amesema anapata wateja wengi ambapo muda wa kufunga kazi bado AISHA anawakaribisha wateja wake. mfano mwisho wa biashara ama kutembea mtaani ni saa 6:00 usku bado Aisha ana wateja

  • @emmanuelmasoko1013
    @emmanuelmasoko10135 жыл бұрын

    Anajitahidi

  • @ayubukassim7995
    @ayubukassim79955 жыл бұрын

    Hahahaha

  • @mathnasaeed3806
    @mathnasaeed38065 жыл бұрын

    semeni kweli yenu watanzania mshawekeza migahawa uko mana watanzania wengi saiv wako china washaweka zizi mnarahisisha huduma ili wakiingia wafrica waingie Tanzania

  • @muhammadmahmoud1068
    @muhammadmahmoud10685 жыл бұрын

    Vp matembele hapiki?? +974🇶🇦🇶🇦🇶🇦

  • @piusmnanka2755
    @piusmnanka27555 жыл бұрын

    Miaka minne au miezi minne...?

  • @eenpaard3915
    @eenpaard39155 жыл бұрын

    Askari wabaguzi

  • @tuphujekumuhkunonyiile3739

    @tuphujekumuhkunonyiile3739

    5 жыл бұрын

    Saana

  • @hamisaferuzi4648
    @hamisaferuzi46482 жыл бұрын

    Aisha naomba namba yako

  • @TanzaniOman
    @TanzaniOman5 жыл бұрын

    Acjekutia vijokajoka2

  • @albait5227
    @albait52275 жыл бұрын

    Tupele kwenye viwanda vya kutengenezea cm tuon jins gan wanavofanya kaz

  • @harithwhite589
    @harithwhite5894 жыл бұрын

    Hadi raha jamani

  • @anuaryally6177
    @anuaryally61775 жыл бұрын

    Kwaiyo uyo aisha yupo mkoa gani umesema vile uko chaina tanga ya uko au pwani bagamoyo ya uko ili tujue kupata kuku kwa mlija

  • @hellenaguya3737

    @hellenaguya3737

    5 жыл бұрын

    Hahaha

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman12185 жыл бұрын

    Hatar alivovitaja ivo vyakula

  • @margaretmkangala7774

    @margaretmkangala7774

    5 жыл бұрын

    Hata wewe umeweka hatari kuandika neno ivo badala ya hivyo. Toa kwanza boriti kwenye jicho lako.