Kufundisha Kiswahili Kama Lugha ya Kigeni

Dkt. Magdalyne Akiding aeleza tofauti ya msingi iliyopo kati ya kufundisha Kiswahili kwa walio na ufahamu fulani wa lugha hii na wasio na msingo wowote. ‪@howarduniversity‬ ‪@ubongokids‬

Пікірлер: 1

  • @indiraconnolly2889
    @indiraconnolly2889Ай бұрын

    Asante sana kwa video hii. Najifunza Kiswahili sasa na najaribu kutazama video kwa Kiswahili ili kuboresha uwezo wangu wa kusikiliza.