USIYOYAJUA KUHUSU DK EMMANUEL NCHIMBI KATIBU MKUU MPYA CCM - HUU NDIYO USHAWISHI WAKE NDANI ya CHAMA
USIYOYAJUA KUHUSU DK EMMANUEL NCHIMBI KATIBU MKUU MPYA CCM - HUU NDIYO USHAWISHI WAKE NDANI ya CHAMA....
Taarifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeeleza kuwa, Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekutana Januari 15, 2024 huko mjini Unguja visiwani Zanzibar na kumteua Dk Emmanue Nchimbi kwa Katibu Mkuu Mpya wa chama hicho.
Katibu Mkuu huyo mpya wa anachukua mikoba ya Daniel Chongolo aliyejiuzulu wadhifa huo Novemba, mwaka jana.
Chongolo aliachia wadhifa huo kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kuchafuliwa kwenye mitandao ya kijamii kwa tuhuma mbalimbali.
Nchimbi anachukua nafasi hiyo baada ya kustaafu ubalozi wa Tanzania nchini Misri mwaka jana.
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Пікірлер: 11
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
CCM KWISHA KWISHA
WEWE MAMA WATANZANIA AWAKUTAKIIIII JIUZURU WEWE ndio tatizo
Weee kweri kenge elimu yajuu ni stashahada
Akuna kitu bure
Magu alimuweka bench chawa wakashangilia leo karudi wanashangalia
😂
Huyu balozi sio ccm wamepotea hapo
Dr. Chimbi Nina matumaini nae.
ARAFA KIBITI RUWJI
KUMBE WANAOFIKIRI HAYO MAENDELEO SIO BINADAMU KAMA MSOMI KAMA DR. NCHIMBI ANASEMA HAWEZI KUFIKIRIA MAENDELEO DUH HUYO NI MSOMI, TANZANIA INACHEKESHA