Келесі
- 12:44
- 2,5 МЛН
- 00:55
- 25 МЛН
- 20 күн бұрын
- 00:31
- 24 МЛН
- 13 күн бұрын
- 00:16
- 6 МЛН
- 3 күн бұрын
- 00:21
- 9 МЛН
- 15 күн бұрын
- 5:55
- 724
- 41:37
- 627 М.
- 4:04
- 2,4 М.
- 6:36
- 78 М.
- 2:03
- 235 М.
- 2:51
- 4,2 МЛН
- 5:55
- 47 МЛН
- 3:19
- 1,5 МЛН
- 4:11
- 779 М.
- 2:41
- 804 М.
Пікірлер: 46
Wimbo wa dada Namsifu unatia moyo sana kwa wote ambao bado tunapambana na dhambi... Vita kweli ni kali ila Yesu ni mwaminifu hatatuacha kamwe!
Hizi Ndizo nyimbo za injili. Ujumbe Mzuri wa kuwatoa watu dhambini Ubarikiwe sana🙏
Dada Namsifu, Ubarikiwe kwa wimbo huu. Kila ninapousikiliza nasogea miguuni pa Yesu❤
Barikiwa sana Dada wangu mzuri MUNGU akubariki sana unanibariki sana
Mungu akubariki sana dada angu
Mungu akuinue zaidi dada Namsifu
Mungu akubariki dada wimbo mzur usonge mbele
Barikiwa wimbo mzur
Kiukweli nimejifunza Jambo kubwa ndani ya wimbo huu nikiwa main character.... Songa mbele dada NAMSIFU na Mungu akupiganie katika uimbaji wako
Wimbo mtamu sana huu, una ujumbe, nyimbo zake huyu dada ni za rohoni❤😊
Hallelujah now❤❤❤
Hongera kwa ujumbe mzur sana
Ubarikiwe sana magic voice
Great Item! With a solemn message 🎉
barikiwa mtumishi
Mungu azidi kukubariki kupitia karama hii kufanya kazi yake. Wimbo mzuri unaturejesha kumtafakari Mungu.❤🔥🔥
Mungu akubariki Sana madam Maana wimbo mzuri sana na unatia moyo sana
Amen 🙏
What a blessing song❤❤
Great song
Nice work To God be the Glory
Amina
Wimbo Mzuri sana 😢😢😢
Nabarikiwa.❤
Yes my sister unanibariki mnoo
Wonderful 👍
sina ata cha kusema, ila huu wimbo una mguso wa pekee🙏😢
This song is absolutely lovely! It touched my heart and made me feel blessed despite all the challenges I'm facing. It makes me feel incredibly strong.❤
@namsifuelisa
18 күн бұрын
Amen 🙏
🎉🎉🎉🎉🎉
Barikiwa my twin
Amen, what a blessing, comforting and encouraging song!🙏, ●Usivunjike moyo ●Ushindi ni halali yako ●Yesu yupo kutupigania Mungu akubaliki - Ufike mbinguni
Am blessed with the song. May God Bless You Singer Sister Namsifu
Nabarikiwa sana na wimbo huu
God bless ya gal
Jaman unanibariki sana Naomba utuwekee na instrumental Yako basi
@amosiperesi6547
17 күн бұрын
Barikiwa dada angu unatubariki sana
❤❤
❤❤❤❤❤
Asante dear
Dada siku Hizi bana uko kimyaa na nyimbo zako nazimiss
@namsifuelisa
3 күн бұрын
Nyimbo ziko humu tangu November nimekuwa naweka. Nyimbo Mya ingia andika NAMSIFU ELISA utaona nyimbo zangu mpya
@yohananyamaruri9105
3 күн бұрын
@@namsifuelisa nakupenda Dada angu Mungu akutumie
This incredible melody will stand as a powerful reminder and a symbol of hope and happiness on our journey to eternal life.❤❤
Ubarikiwe sana magic voice
Amen 🙏