NAMSIFU ELISA || HADITHI ZA USHINDI Official Video
Музыка
Barikiwa unapotazama wimbo huu wa hadithi za ushindi, wimbo unaelezea namna itakavyokua furaha tukiwa mbingun, tukiwa tunasikiliza hadithi ya kisa cha ukombozi huku tukiimba na malaika tukiwa tunapiga vinanda na vinubi.
Barikiwa unapoutazama na kusikiliza pamoja nakushiriki mbaraka huu na rafiki.
Пікірлер: 79
Asante kwa nyimbo zenye mguso ktk mioyo ya watu,Mungu azidi kukuinua
Huu wimbo ni wa kipekee sana dada Namsifu, kwakweli sio wewe bali ni Roho Mtakatifu aliyekuongoza kuandika wimno wenye maneno mazito na yaliyojaa mguso wa hali ya kipekee sana. Ubarikiwe mno, Mwenyezi Mungu aendelee kukutumia ktk uinjilisti huu kwa njia ya nyimbo.
@namsifuministry
8 ай бұрын
Ameen tuombeane ili kazi ya Baba iendelee
I can't wait to listen it a whole to express my feelings that this song is for sure a heart touching one. It has brought me a hundred steps more close to Jesus. Let's for sure miss not the heaven. It sounds better here, how about IN heaven! Amen
Mwimbaji aliye na Roho wa Mungu utamuona katika tunzi za nyimbo zake zilizojawa na uelewa wa Maandiko, hakuna bla bla katika mlingano wa sauti, pia mbwembwe za kujionyesha... Kwake agenda kuu ni kumuinua Yesu. Sister Namsifu, umekidhi vigezo vyote, MWENYEZI MUNGU akubariki sana tena sana. Unanibariki sana sana sana.
@namsifuministry
5 ай бұрын
Amen doctor Magufwa katika ratiba zako usisahau kuniombea
Barikiwa sana Dada wangu mzuri
I love u alot dada namsifu❤❤
Amen Amen Amen Amen Amen Barikiwa mnoo Mpenzi dada Namsifu... Huu ni wimbo wangu pendwa sanaa ❤ Bwana akubariki mnoo... Akazidi kukuinuia zaidi.
@namsifuministry
9 ай бұрын
Amen
Hongera saaana dada yangu Mungu akujalie saaaana ufke mbali❤️ur my role model kipenz❤️❤️❤️❤️
@namsifuministry
8 ай бұрын
Amen
Thanks for the nice and courageous song namsifu
Nampenda sana huyu dada, Mungu akubariki sana unanibadiki mno
Barikiwa sana wajina❤
Amen
huu wimbo ni mtamu mno
On that day ..ooh on that day ..I want to be there in heaven
@namsifuministry
7 ай бұрын
Amen
Haleluyaaaa
Ameen
Mungu wetu atukuzwe sana wokovu mkuu aliyotutendea
Dada huu wimbooo kwakweli daaaaaah nabarikiwa sana
Amina
Amina barikiwa sana🙏🙏
Ubarikiw
Mungu akubariki dada Namsifu
Ubarikiwe mno Dada Namsifu, tafadhali uweke tena Nyimbo za Album ya Jerusalem hazipo😢
@namsifuministry
7 ай бұрын
Aminaaa Usijali naziweka
Mungu wambinguni akubariki wimbo mzuri mziki mzuri sna
Be Blessed Beloved Sister Namsifu....
Uko vzr namsifu Mungu akuinue juu zaidi ,wimbo umenigusa😊
Ubarikiwe sana Dada Namsifu
Sifa kwa Mungu aliekupa uwezo, na maarifa kuandika wimbo huu mzuri sana sanaaa
@namsifuministry
5 ай бұрын
Amen
Daaa maadam ❤❤❤ mependa huu wimbo
Amina kubwa. Sabato njema
Amina kubwa dada mdogo barikiwa🙏
Barikiwa sana dada Namsifu
Wooww, from Congo tunakupenda sana mjakazi wa Bwana. Hongera kwa kazi njema
@namsifuministry
9 ай бұрын
Amen salimia Congo inji li Family
Amen. Wimbo mzuri sana
wimbo mzuri.
Dada ubalikiwe natamani nitoe naw wimbo ata mmoja tu
Chukua mau yako... wimbo mzuri sana🎉🎉🎉
@namsifuministry
8 ай бұрын
Thank you dear
Namsifu wewe ni hazina
Hadithi za Ushindii❤
Barikiwa sana kwa wimbo mzuri
@namsifuministry
9 ай бұрын
Aminā
Barikiwa sana my lovely pacha❤
@namsifuministry
8 ай бұрын
Karibu pacha
My favorite song ever God bless you
Hongera mwalimu wangu nakuona unakitumia vyema kinanda, barikiwa namsifu kwa wimbo wenye mguso songa mbele.
@namsifuministry
8 ай бұрын
Amen
Barikiwa Sana Namsifu Bwana akuinue zaidi na zaidi kwa huduma yako hii njema 🙏🙌🙏 Nimebarikiwa na wimbo wa Hadithi za ushindi.
@namsifuministry
9 ай бұрын
Amen
Ubarikiwe Chombo kinachotumiwa naMungu kuteka na kuhifadhi Kundi kubwa la Matunda Yenye Ladha Muziki ni ibada kama ukitumiwa chini ya uongozi wa Mungu Aliekuita Akusimamie na kukufikisha mbali💚
@namsifuministry
8 ай бұрын
Amen my dear
Wimbo mzuri sana, melody, maneno saut ziko vzr sana, zinainua hali ya kumtafuta Bwana ili kwenye sauti za ushindi zitakazosikika na zetu ziwemo, Ubarikiwe sana dada Namsifu
@namsifuministry
9 ай бұрын
Amen🙏
Goood song
Hadithi za ushindi❤
This is Nice song Am finding you On spotify but unsuccessful Help meb
Mungu ni mwema. Barikiwa Kwa kila njia Kwa kutumika katika kueneza injili.
@namsifuministry
8 ай бұрын
Amen
Barikiwa sana namsifu 🙏
@namsifuministry
9 ай бұрын
Amen
very nice stay blessed
Anointed ❤
Hadithi za ushindi
What a master piece 🔥 🔥
Keep that fire burning Namsifu! You have my prayers
@namsifuministry
8 ай бұрын
Amen
Wimbo mzuri ajabu .
@namsifuministry
8 ай бұрын
Amen
Hellow naweza pata namba Yako tafadhali
Amen
Amina