USCF walivyoingia Arusha- Mkutano wa 11 wa USCF TAIFA

Katika kipindi hiki cha Pasaka, Ushirika wa wanafunzi toka Vyuo Vikuu na vya Kati kwa Makanisa wanachama CCT (University & College Students Christian Fellowship-USCF) wameingia mkoani Arusha kwa ajili ya kumwabudu Mungu kwa pamoja. Ibada hii inafanyika katika ukumbi wa shule ya Sekondari ya Edmund Rise Jijini Arusha ambapo wanavyuo kutoka vyuo mbalimbali Tanzania bara na Visiwani wanashiriki.

Пікірлер

    Келесі