KANISA NA UWEKEZAJI || Watumishi wa CCT walipotembelea jengo la kitegauchumi linalojengwa Dodoma
Watumishi wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania-CCT wamefanya matembezi katika jengo la Kitegauchumi linalojengwa Jijini Dodoma. Watumishi wao wameongozwa na Katibu Mkuu wa CCT Mchg Canon Dkt. Moses Matonya na Mkurugenzi wa Uwekezaji Adv. Beatrice Dengenesa
Пікірлер