Uradi Wa Sheikh Walid Aliyopewa Na Baba Yake / Faida Ya Kusoma Quran Kila Siku / Sheikh Walid Alhad
Ойын-сауық
Uradi Wa Sheikh Walid Aliyopewa Na Baba Yake / Faida Ya Kusoma Quran Kila Siku / Dawa Ya Wachawi Majini Na Mahasidi / Sheikh Walid Alhad Omar
Mashaa Allah Sheikh Walid Alhad akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Uradi Wa Sheikh Walid Aliyopewa Na Baba Yake / Faida Ya Kusoma Quran Kila Siku / Dawa Ya Wachawi Majini Na Mahasidi / Sheikh Walid Alhad Omar
usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
Support us DARSA TV
M-PESA +255 765100906
Paypal 👇👇👇👇
paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
Get MORE of DARSA TV:
► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop...
► FOLLOW DARSA TV on Instagram: /
► LIKE DARSA TV on Facebook: /
Subscribe
Comment
Like
And
Thanks
Tu follow katika social media zetu
Facebook @Darsa tv
Instagram @Darsatv
KZread @Darsa tv
TikTok @Darsa tv
Пікірлер: 34
ALLAH akufanyie wepesi kwa Kila ulitakalo,huchoki kutukumbusha mambo ya kheri hf huna hasira ALLAH kakujaalia Hilo MASHAALLAH
Masha-Allah shekh Walid, for really I like your darsa Allah akubarik na akulinde na maadui minkuli hali tuendelee kujifunza insha-Allah
InshaAllah Mola atufanyie wepesi na kutuongoza Ameen shukran sheikh kwa ukumbusho.
Maa Shaa ALLAH, Tabaaraka ALLAH! SWADAQTA! ALLAHU BAARIK ❤
Pia ukitaka kuhifadhi Qur-an mara moja pendelea sana ukiwa ndani ya gari au nyumbani kuisikiliza
@wabongoughaibunimediaprodu4471
Жыл бұрын
Shukran kwa ushauri
جزاكم الله خيرا وبارك الله فيكم الحبيب الأستاذ وليد
Mashaallah Allah akulipe sheikh Walid
Allah ukizidishie ilimu na akulipe heri na atuhifadhi na udhalili wa dunia.
@SociedadeSust1234
9 ай бұрын
Allahuma Amiin
shukran Wajazaukum llah khayra
Wallahi kweli kabisa moe mwenyewe nasema mbona mie sijahifadhi lkn surah nazijua na nikiwa naomba sana Aya zikisomwa njwe nazijua na najua Surah gani
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Maashaallah akujalie umr mrefu
Barak Allah kheri
Allah akuhifadhi akuzidishie
Nakupenda sheikh wangu
اللهم صل على سيدنا محمد،الفاتح لما أغلق والخاتم لما سبق ناصر الحق بالحق والهادى إلى صراطك المستقيم وعلى آله حق قدره و مقداره العظيم
@zulekhamnene9462
Жыл бұрын
Hii nasoma Kila siku
Elimu ya simu ni pana sann inshllah tutafahamishana mungu ajalie
Asalam alaikum Sheikh Walid... Wallahi simu zimekuka kuleta FITNA TUH...kwa njia moja au nyengine.
Hata maradhi ya kifizikal pia yanapotea ukiisoma Qur-an. Ndani ya Qur-an unakutana na aya za shifaa.
Assalamu alaykum xamahan mwenye nmba za shekh walid tafadhal naomba anitumie
Asalam Alaykum warahmatullah
❤
Sufii
Kwa ufupi simu kifaha cha kumlevya mwanadamu kama hana elimu nayo
Unasemakweli shekh nimehizi yasini kwakuisoma kilasiku akaingiya kichwani bilamtu kuni funza swadakta shekh
Jamani ni aibu kubwa kwa mtu wa muislamu ku shindwa kupata nafasi kuwa Qurani.
Usishangae waumini wako hawajui kusoma quran ndo muone faida ya kuwakazania kusoma barzanji na kuimba qaswida kula pilau na birian
@AdamRajab-xd3zg
3 күн бұрын
Nan kukwambia hawajui hapo wameisahau hyo aya mbona una gubu nyie wahabi
Masha-Allah shekh Walid, for really I like your darsa Allah akubarik na akulinde na maadui minkuli hali tuendelee kujifunza insha-Allah
@SociedadeSust1234
9 ай бұрын
Allahuma Amiin
Masha-Allah shekh Walid, for really I like your darsa Allah akubarik na akulinde na maadui minkuli hali tuendelee kujifunza insha-Allah